No video

KIJANA MTANZANIA ATENGENEZA 'APP' INAYOZIMA / KUWASHA GARI, LIKIIBWA LINAJIZIMA😲

  Рет қаралды 23,534

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

KIJANA MTANZANIA ATENGENEZA 'APP' INAYOZIMA / KUWASHA GARI, LIKIIBWA LINAJIZIMA😲
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 146
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Жыл бұрын
Hongera kwa App nzuri
@rajabusuleman5111
@rajabusuleman5111 Жыл бұрын
Hongera mkuu kwakipaji ulicho nacho Mwenyezimung akuweke ameen
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 Жыл бұрын
Nimeipenda hii ya nyumba nitakutafuta😀😀😀
@fauzenkassim8424
@fauzenkassim8424 Жыл бұрын
Mashaallah Allah akuzidishie InshaAllah
@frankjoshua6869
@frankjoshua6869 Жыл бұрын
Hongera sana kwa ubunifu wa hali ya juu. Vp ikitokea imehakiwa hiyo system na watu wakafanya uhalifu app inawezakuzuia hilo jambo
@alexmatt9504
@alexmatt9504 Жыл бұрын
Systems nzuri kwa ajili ya security. Hebu naomba contact yako.
@Tango696
@Tango696 Жыл бұрын
Naombeni no yake?
@emiliamulaki3600
@emiliamulaki3600 Жыл бұрын
Ndugu hongera sana. Utafika mbali sana. Naona ukiwa na kampuni kubwa ya Teknolojia.
@renatuswilson1577
@renatuswilson1577 Жыл бұрын
Dah! Hongerasana Salum. Hii hata ilaya hawana
@HansBwoi
@HansBwoi Жыл бұрын
Ulaya vipo bona long time
@ismailnasibu313
@ismailnasibu313 Жыл бұрын
Mngetupatia na namba za simu ingependez zaidi
@faisalahmed7757
@faisalahmed7757 Жыл бұрын
Fungua company mwanangu ya jina unaipa CAR TRACK 🚨 cz mi nishapigwa ist na nikapigwa pikpik XR 250 ila nilipata coz baada ya kipigwa ist ilibidi nitengeneze kifaa cha kupata kitu chochote ntakachoibiwa XR 250 Nilipata kwa kutumia hicho kifaa company muhimu usitoe maujuzi kwanza man bike ninayo mpaka leo ist ilitembea jumla ila walinifanya nikapata idea 💡 nadhani pia ulipgwa ukapata maujanja
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 Жыл бұрын
English interview is needed here for Elon musk to understand what's going on.
@lailaoman3856
@lailaoman3856 Жыл бұрын
TANZANIA 🇹🇿 no,English SWAHILI
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Жыл бұрын
@@lailaoman3856 Exactly 💯 we proud with our Swahili Tanzania 🇹🇿kwanza wengine tupa kuleeee mbali kabisaa 🤣🤣🏃🏃
@AvatarTV360
@AvatarTV360 Жыл бұрын
This boy is inovator in Tanzania
@faisalahmed7757
@faisalahmed7757 Жыл бұрын
Kijana amemkalisha ELON
@halimahleema5165
@halimahleema5165 Жыл бұрын
The boy have a new technology of security if someone what to still your car and you can use your phone to open the car in en distance also you can here if someone is talking nasty in you car
@ashapearubart2624
@ashapearubart2624 Жыл бұрын
Safi sana. Msiweke gharama kumbwa .ili hata wasikua nauwezo mkubwa pia waweze kutumia.
@bdwel08705
@bdwel08705 3 ай бұрын
Hongera sana kijana huta nifungia niko Canada
@hasfayusuph4891
@hasfayusuph4891 Жыл бұрын
yuko vizuri sana
@saudahassan6667
@saudahassan6667 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣uyo mke atakae olewa na salum uuuuwiiiiii awe mcha mungu kabisa kwa hali hiii
@kigomakid74
@kigomakid74 Жыл бұрын
Wakubwa waliangalie hili pia na kukuza hicho Alicho kifanya ndugu yetu
@heritier5119
@heritier5119 Жыл бұрын
Hakunaga haya afrika,
@kigomakid74
@kigomakid74 Жыл бұрын
@@heritier5119 😂😂🙌
@hamadeddymaclayz
@hamadeddymaclayz Жыл бұрын
Kaza buti kaka utafika mbali hata kama Serikali haijakusapoti
@alizanzibar1586
@alizanzibar1586 Жыл бұрын
Allah Akibari Mashaa Allah bro Salamu Allah bless you
@mubajoti9103
@mubajoti9103 Жыл бұрын
Nice broo yupo vzur
@wahidashabaz814
@wahidashabaz814 Жыл бұрын
Mashallah
@dominicmawala5614
@dominicmawala5614 4 ай бұрын
Mawasiliano hatuoewiii!! NAOMBA MAWASILIANO YA SALUM
@nirerehadidja8266
@nirerehadidja8266 Жыл бұрын
Anaitaji ushirikiano wa hali ya juu
@samwelydanda7155
@samwelydanda7155 Жыл бұрын
Kwenye pikipiki shingapi uo mzigo shingapi na unatumia internet au salio tu
@dukeaaliyah8232
@dukeaaliyah8232 Жыл бұрын
Salute 🎉
@HassanAli-do9iz
@HassanAli-do9iz Жыл бұрын
perfect broo
@faharimovies
@faharimovies Жыл бұрын
IT wengi huwa hatunenepi mzei 🤝
@SIDEBOYTV1990
@SIDEBOYTV1990 Жыл бұрын
😁😁kwanini
@suleimanngare6707
@suleimanngare6707 Жыл бұрын
Masha allah....kazi nzuri sana mungu azidi kuibariki kazi ya mikono yake in sha allah🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🤝
@leonardodeogratiasdeograti697
@leonardodeogratiasdeograti697 Жыл бұрын
Ongera bro
@emmanuelmwaka6070
@emmanuelmwaka6070 Жыл бұрын
Number ya cm au adi tuje wasafi ndio tutapata number zake?sijui mkoje tuwekeeni number
@keepplayingthetapes4310
@keepplayingthetapes4310 4 ай бұрын
Brother naomba namba aise nimemkubali uyo kijana
@saudahassan6667
@saudahassan6667 Жыл бұрын
Mashaaallah mashaallah mdg wangu saalum allah akujaalie kila la kher
@kelyne861
@kelyne861 11 ай бұрын
Huyo jamaa akibahatika kwenda USA anajenga kijiji huku nyumbani
@amanishiughaaa6345
@amanishiughaaa6345 Жыл бұрын
huyu jamaa yuko wapi zebwera.maan daaah
@samweljoel6128
@samweljoel6128 Жыл бұрын
Zembwera unaniuwa baraa Sana angalia wazungu wanamuchukua brother afundishe wengine
@omarjuma2521
@omarjuma2521 2 ай бұрын
I like it📌📌📌📌
@davidkadenge1902
@davidkadenge1902 Жыл бұрын
Yupo vizir sana
@itNeza
@itNeza Жыл бұрын
Coment Zimekuwa Chache kwa Mambo ya Maana kama Haya ile yangekuwa ya Konde bangi na Kajala Zingefika Hadi M3 🤔🙄😏
@aggerdihenga4673
@aggerdihenga4673 Жыл бұрын
🔥🔥🔥
@jayutawala9381
@jayutawala9381 Жыл бұрын
Naomba namba yake
@magutumogeko6936
@magutumogeko6936 Жыл бұрын
Iyo app inaitwa je
@komandowainjiliyayesu
@komandowainjiliyayesu Жыл бұрын
Hawa ndio wasomi tunawataka Tz watafiti siyo misomi imekaatu nakuvaa vinguu vyaa aibu serikali vipaji hivyo jmn
@davidmagari7885
@davidmagari7885 Ай бұрын
Tupe namba yake
@issamaulidi8860
@issamaulidi8860 Жыл бұрын
Naitak iyo from USA 🇺🇸 please
@saniaamhadi6840
@saniaamhadi6840 Жыл бұрын
Tunaomba namba yk hy kaka
@marthahozza2964
@marthahozza2964 Жыл бұрын
Kijana atasababisha tuibiwe magari aisee 😢 hiyo app iwe kwa umakin mkubwa
@simonandrew1489
@simonandrew1489 Жыл бұрын
Akumbuke Kuna Hackers
@rafiudineassanebartolomeub9930
@rafiudineassanebartolomeub9930 Жыл бұрын
Nimeipenda sana elimu yako na kipaji kiujumla. Vipi kuna uwezekano wakuzipata hizo uduma nje ya nchi?
@janechriss8118
@janechriss8118 Жыл бұрын
Kijana hongera sana
@faithmutua2485
@faithmutua2485 Жыл бұрын
Sasa huyu anaogea aje kwani anakariri shehiri
@profs.a5412
@profs.a5412 Жыл бұрын
Huyuu jamaaa mbona hawataji namba zake
@Tango696
@Tango696 Жыл бұрын
Naomba no ya simu .nahitaji mazungumzo nae ofisini
@mauricebrunei4495
@mauricebrunei4495 Жыл бұрын
Safi sana
@keepplayingthetapes4310
@keepplayingthetapes4310 4 ай бұрын
Naomba namba kaka
@fanuelisule3915
@fanuelisule3915 Жыл бұрын
Nitumie namba
@samwelkulagwa861
@samwelkulagwa861 Жыл бұрын
No za simu tupe
@tanzaniantravellor
@tanzaniantravellor Жыл бұрын
anasema yas not Yes ...... alaf hyo technology cyo mpya kama ambavyo zembwela umesema kijana ametengeneza ,,,,,,,ulitakiwa kusema new technology in tanzania
@livinuskamugisha5296
@livinuskamugisha5296 Жыл бұрын
Dha hakika Serikali imushike mkono huyu kijana
@bernardkirumbi8156
@bernardkirumbi8156 Жыл бұрын
Ndugu nipe namba yako ya sim tuwasiliane nitakupata wapi?
@Producerpaki
@Producerpaki Жыл бұрын
Blessings 😍🔥🔥🔥✌️✌️🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@bphotostv8630
@bphotostv8630 Жыл бұрын
Anapatikana wapi, ajaacha mawasiliano yake
@peninashungu6633
@peninashungu6633 Жыл бұрын
Mwizi wa Gari awe tu na App
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Жыл бұрын
Una maana gani we kisimi? 🤣🤣🏃🏃
@Senetalkim
@Senetalkim Жыл бұрын
Wana IT tunajivunia kijana katuwakilisha vzr sana 🤣🤣🤣🤣🤣 sasa wewe endelea kusomea vitu vya hovyo
@mickdadybakari6052
@mickdadybakari6052 Жыл бұрын
Point saaana
@muhammadfarijala2324
@muhammadfarijala2324 3 ай бұрын
Mtengeze app ya wanandoa wakichepuka tunapigiwa simu
@omarjuma2521
@omarjuma2521 2 ай бұрын
Tafuta kufa
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free Жыл бұрын
Daaah,Bongo bahati mbaya!!!
@samwelydanda7155
@samwelydanda7155 Жыл бұрын
Shingapi
@khadijakdj8640
@khadijakdj8640 Жыл бұрын
Sinikama maget ya majumbani yale yenye ukuta kali uwa wanatumia namba ya Nyumba
@CKMO
@CKMO Жыл бұрын
Ebwana me nahujia ya car lakini itaweza kufanyakazi nadini ya uk???
@livinuskamugisha5296
@livinuskamugisha5296 Жыл бұрын
Naomba namba yake basi
@RobbyDejan1234
@RobbyDejan1234 Жыл бұрын
Tunaomba namba za ofisi please.
@athumaninalinga9052
@athumaninalinga9052 Жыл бұрын
💪💪
@suleymanhappiness7094
@suleymanhappiness7094 Жыл бұрын
sasa huyo kinana tunawaze kumtowa wap atuwekey hiyo sistem tupo Burundi
@pascokibesa918
@pascokibesa918 Жыл бұрын
Nimependa hii
@abdurahmansaid5881
@abdurahmansaid5881 Жыл бұрын
Mngeweka hata Page yake ya Instagram
@keepplayingthetapes4310
@keepplayingthetapes4310 4 ай бұрын
Naomba namba kaka ya WhatsApp please not meipenda iyo App
@josephsepetu
@josephsepetu Жыл бұрын
Mbona hajataja kwenye mitandao anapatikanaje ili iwe rahisi kumtafuta
@upendogreutert199
@upendogreutert199 Жыл бұрын
Kinaitwajee ??
@Tango696
@Tango696 Жыл бұрын
Kwa NAMNA ya kussuportiana
@johnyagat973
@johnyagat973 Жыл бұрын
Hiyo gari Roboti 👏👏👏
@emiliamulaki3600
@emiliamulaki3600 Жыл бұрын
Naomba mtuwekee namba yake.
@methodiutou7278
@methodiutou7278 Жыл бұрын
Hatariii
@sabitisefu6044
@sabitisefu6044 Жыл бұрын
Ivi napataje number ya huyu kijana?
@datanya_tz8181
@datanya_tz8181 Жыл бұрын
Hongera yake
@thomacemiliani3385
@thomacemiliani3385 Жыл бұрын
Tupeni namba
@luciafrank4406
@luciafrank4406 Жыл бұрын
Mbona hawajataja namba
@kassimseif5383
@kassimseif5383 Жыл бұрын
Hata mim pia nimependa hii kitu naomba contact please
@alfamgeni6094
@alfamgeni6094 Жыл бұрын
Kifaa cha pikipiki shingp
@ummySheikh72
@ummySheikh72 Жыл бұрын
Tupeni number zake huyu Salum please
@salumali4277
@salumali4277 Жыл бұрын
Nataka mm iyo program ya gar
@dominicmawala5614
@dominicmawala5614 4 ай бұрын
TUNAOMBA MAWASILIANO
@jacobomkumbo9293
@jacobomkumbo9293 Жыл бұрын
Mawasiliano yake hajatoa nimependa
@felixkuluchumila1647
@felixkuluchumila1647 Жыл бұрын
Doh uyu mwamb anajua nyie 😳😳😳
@fahadfahmy
@fahadfahmy Жыл бұрын
huyu kijana mlikua mumfiche sura ili asionekane na wahalifu
@thobiaslaizer9197
@thobiaslaizer9197 Жыл бұрын
Tutampataje sasa kijana Salum
@mickdadybakari6052
@mickdadybakari6052 Жыл бұрын
Huyu mpeni fulsa tu aende nje huko maana huku nchini mwetu hatafaidi au hata nufaika na talent yake
@lucykawala5174
@lucykawala5174 Жыл бұрын
Wewe uki Duniani tunahitaji watu Hawa Africa
@heritier5119
@heritier5119 Жыл бұрын
Ajiconnect mwenyewe
@gooleserviceyoutubescandar3450
@gooleserviceyoutubescandar3450 Жыл бұрын
Bongo modimfikisheni haswaa.
@longoempire1246
@longoempire1246 Жыл бұрын
Tuma namba mzee
@stellah3844
@stellah3844 Жыл бұрын
Serikali wamuangalie huyu kijana na wamuwezeshe la sivyo Wazungu wakimuona wanamchukua na wakimpa dau kubwa hawez kataaa,,,,,,,,Wazungu wanapenda watu wa hivi
@heritier5119
@heritier5119 Жыл бұрын
Ana kadi ya ccm
@heritier5119
@heritier5119 Жыл бұрын
Mbona wabunifu kibao wamekosa msaada.
@jemsamtz8411
@jemsamtz8411 Жыл бұрын
You Are interested man
@strong8534
@strong8534 Жыл бұрын
Ukiwa Ulaya wazungu wanacopy mambo yako then wanakuuwa. Hawapendi waafrika wagunduwe chochote
@user-oz6zp8fr1c
@user-oz6zp8fr1c 3 ай бұрын
Mawasiliano tafadhali
@adammsofe2038
@adammsofe2038 Жыл бұрын
inaitwaje
Mfanyakazi wa Azam Media atengeneza satelaiti
9:24
UTV Tanzania
Рет қаралды 1,2 М.
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 22 МЛН
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 12 МЛН
Comfortable 🤣 #comedy #funny
00:34
Micky Makeover
Рет қаралды 16 МЛН
TAJIRI WA MABUS  SUPER FEO ATOA SIRI YA KUWA BILIONEA
10:36
Wasafi Media
Рет қаралды 25 М.
NAGONGA KOKOTO
10:48
Joti TV
Рет қаралды 430 М.
Wabunifu wa Injini ya ndege (Jet Engine)
4:29
COSTECH Tanzania
Рет қаралды 14 М.
BABA LEVO 'AMKWIDA' BILL NASS KISA PESA YA KULA
2:15
Wasafi Media
Рет қаралды 50 М.
Dalili Za Mwanaume Anaekupenda Kwa Dhati
6:19
Topten Tv
Рет қаралды 325 М.