Vijana wa kitanzania kutoka Tabata Dampo,Dar Es Salaam walio tengeneza injini ya ndege ambao wana dhamira ya kufungua kiwanda cha ndege Tanzania.
Пікірлер: 28
@jamesjahasa33482 күн бұрын
Engine ya ndege sio kitu rahisi kutengeneza kama mnavyosema semeni toi ya engine 😂😂😂
@nsajimwasege687 ай бұрын
Africa inainuka,waafricka wanaamka,hongera kwa wabunifu,hongera COSTECH kwa kuwatia moyo na kuwatambua wabunifu!
@mustapharama40633 жыл бұрын
mnaweza mablo
@user-ds2qr6fx6c3 ай бұрын
Ongela sana
@mbonileslie56732 жыл бұрын
Hongera baba umeweza nimependa hiyo
@AfricanizationProgramme-hq4gt2 ай бұрын
Shida n kwamba hawachelewi kuchukuliwa na wazungu na hatuwez kuwa na kibali cha kutengeneza ndege
@nicaskikula15282 ай бұрын
Nipo pale sijui
@user-ms2cc4fd8e29 күн бұрын
Mimi Rashid kilindi Naishi Dar es salaam nauliza engine ya ndege Ina piston?😅
@user-km4kb3xj3y3 ай бұрын
Sikuzote serikari ijitaidi kuwaongezea zaidi uwezoili badae natanzania iwezekuwanawataramu apandani
@millardayoTZA3 жыл бұрын
Naomba msaada namba yao
@isamocredit44862 жыл бұрын
Millard mawasiliano yako naomba
@selemanipawa1379 Жыл бұрын
Mara nyingi wataalam tunaishia kuwaona hivi tu.. ukihitaji contact zao huzipati.. why.!?
@frankmgunjimgunji92613 жыл бұрын
Aaaaaaah hawa watu ni madin
@deusmorris10302 жыл бұрын
hata wazungu walianza hivi hivi gadi kufika hapo walipo na waafrica tunaakili sana
@yuvencepatrice792 Жыл бұрын
Kwanni msiweke na shule
@rashidsleman55453 жыл бұрын
Buni ubunifu wa injini ya pikipiki mnataka kutembea kukaa hamuwezi
@fundilusato_255tz62 жыл бұрын
Hongera
@ngurukitv458419 күн бұрын
Looking good follow back done God bless you ❤🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷👀💪
@galluskanenge489820 күн бұрын
Muwaachie waliokamilika ninyi mnaiga tu ,mtaua abiria wengi ,kwasababu anayetazamia majibu kwenye mtihani daima ni mtahiniwa hewa !😂😂
@chiengwalu63127 күн бұрын
Hao waliokamilika mbona bado waunaua!? Amka ndugu ubunifu huwa hivyo yale unayoyaona ni maboresho ya ubunifu.
@geraldlyimo28593 жыл бұрын
Serekali ikiwawezesha mtaweza na serekali itafaidika na ujuuzi wenu na nyie mtafaidika kupitia serikali
@edenjordy86192 жыл бұрын
you all prolly dont care but does any of you know of a trick to log back into an Instagram account?? I stupidly lost my account password. I love any help you can give me
@romanzechariah58952 жыл бұрын
@Eden Jordy instablaster ;)
@edenjordy86192 жыл бұрын
@Roman Zechariah thanks so much for your reply. I got to the site on google and Im in the hacking process now. Seems to take quite some time so I will reply here later when my account password hopefully is recovered.
@edenjordy86192 жыл бұрын
@Roman Zechariah it worked and I now got access to my account again. Im so happy! Thank you so much, you really help me out :D
@romanzechariah58952 жыл бұрын
@Eden Jordy no problem :D
@hallin95613 жыл бұрын
Vyema lakin ni vyema mngeanza na mapikpik, pump za maji na mambo mengine ya mwanzo.. Ivi vikubwa ni kama bongo movie lakin msikate tamaa. Nobody knows what's tomorrow brings