No video

Godbless Lema VS Waziri Simbachawene bungeni leo

  Рет қаралды 1,384,290

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

April 6, 2017 mkutano wa saba wa bunge umeendelea ambapo wabunge walikuwa wakijadili mapitio ya mapato na matumizi ya fedha za ofisi ya Waziri mkuu na ofisi ya bunge kwa mwaka wa fedha 2017/2018
Kati ya Wabunge waliopata nafasi ya kusimama ni pamoja na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema

Пікірлер: 680
@williamjosephat8800
@williamjosephat8800 7 жыл бұрын
My. Lema Safi Sana kwa kazi kubwa uliofanya ikiwemo ya kutetea uhuru wa watanzania na haki za misingi za wananchi kwa upande wa selikari hongera mh. Ahsante Sana ndugu
@saulomathayo
@saulomathayo 7 жыл бұрын
Very fantastic speech, I love it. May God bless you Lema.
@hamisindoki9485
@hamisindoki9485 7 жыл бұрын
Lema goja. niongezee, Dunia ni sawa na nyumba kubwa. yenye miwili tutaingilia mlango Mbele na kutokea mlango Nyuma hakuna wa kubaki katika hii dunia hata hau wanaotuma kamata Yule bila kosa mungu nae ana askari wake watakamatwa poleni sana wahanga wote
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 4 жыл бұрын
Kabisaa
@joycemichaellovelove2221
@joycemichaellovelove2221 7 жыл бұрын
duuuuuh Mungu akubarik sanaaaa, akutie nguvu na akuongezee ujasir zaid na zaid Amin
@allyngoda761
@allyngoda761 4 жыл бұрын
KWAKWELI BEST SPEECH IN 2019, NI HII YA LEMA HIVI NAJIULIZA WATANZANIA HAMUMSIKII HUYU JAMAA ANAVYOONGEA? KWANI MMEROGWA NA NANI?
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 2 жыл бұрын
Nashindwa nani kawaroga
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 2 жыл бұрын
Waulize tena kakangu
@emmanuelnasari6129
@emmanuelnasari6129 Жыл бұрын
Hata mimi najiuliza leo😅
@starlily07
@starlily07 7 жыл бұрын
Lema umeongea mpaka mwili wangu unasisimka ...... omg, Mungu akutunze kaka angu Lema.
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 7 жыл бұрын
asante#kumbe leo baba Mwakasege alikuwa mjengoni#ashukuriwe Mungu#Lema kuna siku watakuelewa
@irenegoodlucky1974
@irenegoodlucky1974 7 жыл бұрын
christina kaminsa baba hakuwa bungeni ila yupo huko dodoma kwa semina na anamaliza kesho dia
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 7 жыл бұрын
najua yupo ddoma kwenye semina!#najua ratiba yote# siongelei hilo, naongelea kwenda bungeni kuomba na wabunge baadhi! hata lema kaongea hapo msikilize,kuna sehemu anasema walikuwa wanaomba na mwakasege
@husseinnyomi6120
@husseinnyomi6120 4 жыл бұрын
Hivi kwa nn wabunge Wa ccm hawakuwelewi mbona
@janjarovicent2055
@janjarovicent2055 7 жыл бұрын
Sitakuja kusahau maneno ya lema. Dah I get painful when I hear this speech. 4rever and ever be blessed by sir God lema
@jacobpatrick7936
@jacobpatrick7936 3 жыл бұрын
Daah mlifanya kazi yenu vizur mmemaliza pumzikeni waachieni waongoze peke yao
@eliasmshabaha1509
@eliasmshabaha1509 6 жыл бұрын
one of the best speech only smart brain will understand it God bless you Lema
@pastorbonnyphillip8945
@pastorbonnyphillip8945 4 жыл бұрын
Wow... hii mechi nimeipenda sana... bible debate
@emmanueljuvieh4316
@emmanueljuvieh4316 7 жыл бұрын
kwa mtanzania mwenye akili timamu na anaejielewa nadhani kapata kitu ila matahira hawakosekani nimesema tyu neno langu sio sheria bt big upmh.Lema
@yusuphmruma1771
@yusuphmruma1771 4 жыл бұрын
asante Kaka sema ukweli utalipwa na mungu anakupenda kwaajili ya uwo ukweli wako
@husseinnyomi6120
@husseinnyomi6120 4 жыл бұрын
Hukoseagi kk mkubwa huwa nakuwelewa sana KK mungu akulinde kila ukanyagapo
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 4 жыл бұрын
Mtupu
@emillyvedastus1972
@emillyvedastus1972 7 жыл бұрын
Mungu akubariki Lema kwa hekima zako. naamini watawala hawakuelewi sababu we ni mpinzani
@emmatarimo2815
@emmatarimo2815 7 жыл бұрын
Emiliano Vedasto hekima zake na aanze kuzitumia kwanza kwa kushughulikia kero za wapiga kura wake badala ya kuhubiri kama nabii
@csato9415
@csato9415 7 жыл бұрын
Mpendwa wangu @Emiliano Vedasto, hivi ni mbunge yupi katika bunge letu ametimiza kero za wapiga kura wake? bunge letu linaumizwa na siasa ambazo hazina tija ktk kuendeleza taifa letu.
@amanimfaume7027
@amanimfaume7027 7 жыл бұрын
+Emma Tarimo njoo arusha uone acha kuongea km unakipande cha nyama
@rashidisaidi9102
@rashidisaidi9102 7 жыл бұрын
Mikumi peke yake wanafaidi matunda ya mbunge wao J
@ayubuuomaary4689
@ayubuuomaary4689 5 жыл бұрын
Emiliano Vedasto vbaya San mamuzi magumu mungu yupo
@visualservices8897
@visualservices8897 7 жыл бұрын
Thanks lema ila ni kweli tunaandamana miyooni mwetu na tupo wengi maneno kuntu sana nathani Mungu shahidi natamani kuyafanya maneno haya ring tone yangu ya simu si kwa uchungu naosikia
@mottofoundationinc.3492
@mottofoundationinc.3492 7 жыл бұрын
Only smart brain will understand this talented guy...
@richardtungaraza7509
@richardtungaraza7509 5 жыл бұрын
Simbachawene yupo kweli
@titochungu7986
@titochungu7986 4 жыл бұрын
Amina lema
@bettymassanja881
@bettymassanja881 4 жыл бұрын
Very well said.
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 4 жыл бұрын
true
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 4 жыл бұрын
only
@angelinasimchimba705
@angelinasimchimba705 4 жыл бұрын
Mim ni ccm lakn huyu Lema hua wakat mwingne anaongea point sana@
@hassankayla4076
@hassankayla4076 7 жыл бұрын
Nice speech #LEMA be blessed. Thanks AYOTV
@modesttryphone4030
@modesttryphone4030 5 жыл бұрын
Barikiwa saanaa Lema kuwakumbusha wabunge kwamba kesho INAKUJA na moto wa Jehenamu unatusubiri tusipoacha utahira kiroho
@edsonsign9441
@edsonsign9441 7 жыл бұрын
tunataka wabunge wanaozungumzia taifa kama lema! leo kaongelea uzalendo cyo uvyama nadhani ameshauona upuuzi unaofanywa humo bungeni. ni kweli siasa za uvyama hazitusaidii bungeni. bg up lema.
@jimmysalag9820
@jimmysalag9820 5 жыл бұрын
Mhe lema Nena ukwel Mungu akusaidie Sana ktk hatua unayopita
@suzyjohn6791
@suzyjohn6791 4 жыл бұрын
mungu akubariki akutie nguvu akupe hekima ya kunena mazuri kila ihitwayo leo
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 4 жыл бұрын
Fact Fact Fact Fact, mimi ni Ccm nisie na kadi ya chama ila huyu mwamba leo kaongea Fact tupu aisee
@godhelplatia3044
@godhelplatia3044 4 жыл бұрын
Amina Mtumishi Lema Mungu akubariki Sana
@janjarovicent2055
@janjarovicent2055 7 жыл бұрын
Chin ya jua acha tunyanyasike lakn wote tutakufa.dunian hakun mungu mtu wa kumwabudu kwa kuogopa udikteta hakika lema mwanasiasa na mcha mungu ntakukumbuka sana lema hakika nmejeruhiwa moyon mwang mungu shahidi magufuli na serikali yake have to take ages
@geofbeka1669
@geofbeka1669 7 жыл бұрын
Hii speech inapaswa kuwekwa kama kumbukumbu ya bunge! ahsante Lema..
@josephjelemiah6429
@josephjelemiah6429 5 жыл бұрын
kumbu kumbuka peleka kwa wazaz wako
@tumainimkane2710
@tumainimkane2710 7 жыл бұрын
daaaa nimesikitika sana Mungu akusaidie my. lema akuinue zaidi
@happinessmwanga3633
@happinessmwanga3633 7 жыл бұрын
Nakushukuru Mungu wangu Kwa ajili ya Godbless. Lema mpandishe utukufu mpaka utukufu
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 Жыл бұрын
Kabisaa
@kijanaHai
@kijanaHai 7 жыл бұрын
Kuna speech nikisiliza huwa zinasisimua mwili wangu na akili uchanganua yaliyomo alafu naishia kusema nashukuru Mungu kwa chakula ulichonilisha leo.
@angelatarimo6900
@angelatarimo6900 4 жыл бұрын
Lema Mungu atakulinda tetea haki tetea haki Mh tunakuelewa kabisa mbunge wetu big up sana
@monicasamba2557
@monicasamba2557 7 жыл бұрын
kweli kabisa mh.Lema, watu hatuandamani barabarani lakini mioyoni mwetu tuna kuna moto unawaka, tunajeruhiwa sanaaaa
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 2 жыл бұрын
Ndio ukweli job ndugai
@janetcharles4991
@janetcharles4991 7 жыл бұрын
lema nakupenda bureeeeeeeeeeeeeeeeee
@priscaoscar9263
@priscaoscar9263 4 жыл бұрын
Aisee Lema kaongea Sana kwa kupitia neno Amen
@hanskalitus5583
@hanskalitus5583 4 жыл бұрын
Lema nakukubari Sana brother
@drex81
@drex81 7 жыл бұрын
Simbachawene Jana umepata majibu ya unyenyekevu, hongera sana
@elishaalex6695
@elishaalex6695 7 жыл бұрын
Baba lema @....hata Yohana aliacha uoga na kuthubutu kumwambia Mfalime ametenda thambi kumtwaa mke wa mdogo wake ...Uoga ni thambii
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 6 ай бұрын
Nice thinking 😢
@ramadhanikakoree3728
@ramadhanikakoree3728 5 жыл бұрын
Daaaahhh ewe m/mungu mpe LEMA maisha marefu namtangulie kwenye harakati hizi kwn amesema ukweli mtupu
@lucasjackson3019
@lucasjackson3019 7 жыл бұрын
God bless you brother
@chazdenis7820
@chazdenis7820 7 жыл бұрын
mungu akubariki sana unachonena n sahihi kabsa leo watu wameendamana ndan ya mioyo yao ila ipo siku wataingia barabarani
@marathonsvunthomas76
@marathonsvunthomas76 6 жыл бұрын
chaz denis in
@preciousdoreen9225
@preciousdoreen9225 7 жыл бұрын
aaaaah umenikosha mheshimiwa uuwiiiiiii..baba hyo miatar shkamoo babaa
@musawambura1229
@musawambura1229 4 жыл бұрын
Big up sana lema leo nimekuelewa
@jeviounipers
@jeviounipers 7 жыл бұрын
Duh, mpaka nimepata hasira.....well said Lema
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 4 жыл бұрын
the best ever speech I have ever had
@feisalissa3009
@feisalissa3009 4 жыл бұрын
Lema juu sana 💯👍 👍
@delekalxon7221
@delekalxon7221 Жыл бұрын
This video never get old .Lema🙌🙌
@SarahLibogomalove
@SarahLibogomalove 7 жыл бұрын
Inackitisha Sana..... Bunge halijitambui lina nguvu kiasi gani, laiti wangeweka interest za wananchi wao mbele I bet kuwa bunge letu lingekuwa na tija Sana kwa taifa!! Thanks Hon. Godbless!!!!
@itazowanzagi5721
@itazowanzagi5721 4 жыл бұрын
Kati ya speech nazo zikubali ni zahuyu jamaa mungu amsaidie
@arolamuganyizi5972
@arolamuganyizi5972 Жыл бұрын
Huyu mwamba anaakili za pekee yani
@upendomasai331
@upendomasai331 3 жыл бұрын
Jaman lema natamani ungeendelea kuwepo bungeni miaka yote
@TGN2
@TGN2 7 жыл бұрын
Mr lema u are one of a kind yani nakupenda tu bure 😍😍
@ngometvarusha4030
@ngometvarusha4030 7 жыл бұрын
Aisee pamoja na ushabiki wa kivyama lakin lema kuongea mpaka nimesikia kusisimuka kuna mtu anaongea point kweli
@monicasamba2557
@monicasamba2557 7 жыл бұрын
Joel Joel kesoy me mwenyewe nna ule ushabiki wa vyama but leo nimeguswa
@shadrackmnjelu5285
@shadrackmnjelu5285 7 жыл бұрын
Joel Joel kesoy uyuuuuuuu noooumaaa jamaaa
@ngometvarusha4030
@ngometvarusha4030 7 жыл бұрын
+Monica Samba umeona Monica samba huo ndio ukweli na tujifunze siku zote kusema kweli
@ngometvarusha4030
@ngometvarusha4030 7 жыл бұрын
+SHADRACK MNJELU yaan huyu jamaa ana kitu ambacho inahitajika
@elizabethmkali5782
@elizabethmkali5782 5 жыл бұрын
Umesema kweli
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 2 жыл бұрын
Naipendaga chadema sanaaaa.
@richardjames8615
@richardjames8615 7 жыл бұрын
lema uko vizuri hawaelew mpaka waende jela.....povu hilo ni la wote...nakupenda mpaka kesho......
@esterkinyaiya1562
@esterkinyaiya1562 7 жыл бұрын
mh.lema Munguu akuonekanie popote na ukweliii useme cku zote...pendaaa sana Mh. lema Golbless you broo
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 7 жыл бұрын
halleluya#glory be to God#itafahamika tu#Mungu yupo na anajibu#Mungu akubariki na akusaidie#💪💪👊👊Lema#safi
@yusufukazamba2391
@yusufukazamba2391 5 жыл бұрын
Lema nakukubali unathibitisha maneno yako kwa maandiko Mungu akubariki sana sana
@starchincho3667
@starchincho3667 7 жыл бұрын
mueshimiwa lema tukiwapata watu kama ww mia mbili ii nchi ingekuwa tajiri cna wala tucnge angaika ivi mungu akutangulie cna
@victorlutrac3667
@victorlutrac3667 5 жыл бұрын
Daaaaah Lema mungu akuzdishie miaka
@stanlecioussimba5404
@stanlecioussimba5404 7 жыл бұрын
Nimeipenda hiyo mweshimiwa Lema
@mastermwakyembe1093
@mastermwakyembe1093 4 жыл бұрын
Sawa kabisa Lema unastahili pongezi
@happynessshayo6003
@happynessshayo6003 7 жыл бұрын
big up sana mheshimiwa lema umenena hadi machozi yamenitoka kweli hii nchi inakoelekea Mungu ndie anajua
@AronMkumbwa-wl1ee
@AronMkumbwa-wl1ee 10 ай бұрын
Kweli Lema ulitabiri leo ndugai chali walinaliza upinzani Waka hamia upande wa pili
@godhelplatia3044
@godhelplatia3044 4 жыл бұрын
Mheshimiwa Lema Barikiwa Sana Hakika upo vizuri
@titomsami4737
@titomsami4737 7 жыл бұрын
mheshimiwa Lema .hongera kwa ujasiri wa kuongea ukweli najua kuna watu wanajifanya wanaupinga ukweli wako ila mungu atatenda kenye kweli hiyo hiyo.
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 2 жыл бұрын
like this guy
@Purity493
@Purity493 7 жыл бұрын
safi sana, walishe neno la MUNGU, may God bless you Lema
@hishamally4846
@hishamally4846 6 жыл бұрын
Upo vizuri mkuu
@raphaelrichard2392
@raphaelrichard2392 6 жыл бұрын
Yaani hili bunge linahitaji maombi na si vinginevyo.
@franciskimario1887
@franciskimario1887 5 жыл бұрын
Lema baba yangu sema tena waseme maana daaa lisu ameniuma sana ungekuwa nae hapo bungeni pange, kuwa patam,san,mungu aibariki,Tanzania, mungu,awalinde,wabunge,wa,,chadema,,,,tena,sana,
@drhanda8201
@drhanda8201 5 жыл бұрын
Baba kunywa maji bill kwangu
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 4 жыл бұрын
Hana lolote huyo mbona azungumziii kuhusu Mashehe walio wekwa ndani kwa kesi za ugaidi
@ceciliajimmy5652
@ceciliajimmy5652 5 жыл бұрын
Mwenye masikio na asikie. Upendeleo huleta matata!! Ccm bila upinzani, nchi imekwisha. Yaani watu hawana jeshi, wanalindwa na Mungu, hawana silaha, silaha yao ukweli mtupu kupitia ndimi zao. Hakika hakuna jiwe litakalosalia juu ya jingine!!
@babujinga5819
@babujinga5819 5 жыл бұрын
Ni kweli siasa zimejaa bungeni...lema unasema ukweli..bunge limejaa siasa ya ccm..ipo cku mungu atahukumu haki
@MOJAZAIDI.
@MOJAZAIDI. 7 жыл бұрын
Godbless Lema. huyu jamaa anajambo la msingi sana ila hasikilizwi....lakini kwenye mambo ya msingi tuache uchama...kibaya alichosema Lema ni kipi?Tanzania kwanza.
@stelasasala5972
@stelasasala5972 7 жыл бұрын
Kwel kbs ndugu yangu
@MOJAZAIDI.
@MOJAZAIDI. 7 жыл бұрын
uvyama unachukua nafasi kuliko maslahi ya taifa....taifa halifutiki ila vyama muda wowote vinapotea..ndio maana sisi ni wana ukawa kutokea Tanzania ndiomana sisi ni wana ccm kutokea Tanzania..so TZTZTZTZ...HAIFUTIKI...Mwenye sikio asikie...siku moja ya Lema yanawezakujitokeza.
@elianifaaluka4790
@elianifaaluka4790 4 жыл бұрын
Sio unyenyekevu wa kukubali ujinga
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 Жыл бұрын
Wish ningekuwa lema
@hoseakaponya5070
@hoseakaponya5070 5 жыл бұрын
Lema! We ni nabii wa ukweli hakika maneno yako hayatapita bila jiwe kunena
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 Жыл бұрын
Kila neno unalolitamka kwani imani lazima litatimia kaka lema yuna imani thabiti
@emmanuelaggery6877
@emmanuelaggery6877 7 жыл бұрын
lema is so deep kwene maandiko aisee, majbu mazuri sana kwa simbachawene
@jonsonmungure6552
@jonsonmungure6552 5 жыл бұрын
Mungu Mungu
@emanuelmoshama3899
@emanuelmoshama3899 4 жыл бұрын
tena majibu ya fasta
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 Жыл бұрын
Kuna siku watajua kaka lema
@michaeljohn690
@michaeljohn690 7 жыл бұрын
Mungu atakuvusha kwenye bonde la uvuli wa mauti kiongozi wangu.
@amoskijangwa936
@amoskijangwa936 4 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu lema
@talangepaul5583
@talangepaul5583 7 жыл бұрын
lema unaongea point sana kaks yungelikuwa na wabunge wa fisiem 20 kama wwe nchi hii ingependeza sana
@edwinboaz2628
@edwinboaz2628 3 жыл бұрын
Jembe letu chuga Mungu akulinde mno
@petermatonya1455
@petermatonya1455 4 жыл бұрын
Hakika upo vizur broo Lema
@tracyjustice1600
@tracyjustice1600 7 жыл бұрын
Mh.Lema umeongea point, Tanzania imeanza kupoteza nuru ya Amani, watu wantekwa amna anayefuatilia # bring back Roma wetu
@dostovan5142
@dostovan5142 2 жыл бұрын
The true leaders of this Nation, the way he responded to Simbachani was remarkable
@barick
@barick 7 жыл бұрын
Noma noma Sana .mungu tufanyie wepesi
@nyamweririchard4015
@nyamweririchard4015 7 жыл бұрын
duuu,,,umeongea point sana godbless lema,umeongea maneno yanayoendana na jina lako kweli wazazi wako hawakukosea kukuita ''mungu mbaliki lema",,pia jamani tuache ushabiki wa vyama,tupime mawazo na uwezo wa kiongozi kabla ya kuuliza anatoka chama gani.Tanzania ni ya watanzania wote sio ya mtu m1
@alexsamaluku4104
@alexsamaluku4104 5 жыл бұрын
lema unajua kaka mungu azidi kukuongoza katika kusimamia haki.hakika ww ni nguzo imara kwa ustawi wa taifa hili
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 4 жыл бұрын
Kabisaa ukweli
@ericklibaba1198
@ericklibaba1198 5 жыл бұрын
Kuna watu wanaakili nchi hii... Nakuelewa Lema
@damianmachilutv1167
@damianmachilutv1167 4 жыл бұрын
Lema upo vizuri sana,,
@boniphacejonas4109
@boniphacejonas4109 4 жыл бұрын
Lema uko stronger sana kwenye kutoa point hongera sana
@bahatidan4751
@bahatidan4751 7 жыл бұрын
preach brother Mh Lema
@kijanaHai
@kijanaHai 7 жыл бұрын
Alafu kuna speech nikizioma na kuzisikiliza mwili unakufa ganzi akili uchanganyikiwa na woga uniingia na mwisho nasema ee Mungu naomba kikombe hiki kiniepuke ........Leo nimeona maneno yanayopaswa kuongea na #KIJANA_HAI ambaye anapenda Taifa na watu wake hongera kijana #HAI LEMA endelea ulipoishia
@kimarojoji5340
@kimarojoji5340 6 жыл бұрын
Lema umeongea kwa hisia mimi wa darasa la saba nime kuelewa vizuri sana hao watawala wenye visomo sijui wakuelewaje ila tuzidi kumuomba mungu huku tuki utafuta utakatifu kwa bidii mungu akudumishe uzidi kuwasemea wananchi kwa jina la yesu amina.
@suysoni
@suysoni 7 жыл бұрын
Well Said Lema. Umeongea kwa hekima sanaaa. Hope watakusikia tu one day.
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 2 жыл бұрын
Kabisaa bila shaka
@georgeavelin815
@georgeavelin815 7 жыл бұрын
Lema big up up up broh
@happinessmwanga3633
@happinessmwanga3633 7 жыл бұрын
mh. Lema Mungu ae ndelee kukutunza maana kuna. maono ndani yako
@rajabuabdallah3840
@rajabuabdallah3840 7 жыл бұрын
EEEE HPO IMEWAKAA AKLINI HTA WAKIGOMA KIMWLI KIAKILI Y IMEWAKAA TNKUOMBE MR LMA
@princessmoureen4180
@princessmoureen4180 7 жыл бұрын
thanx for the news millard
@abelmachunda9494
@abelmachunda9494 7 жыл бұрын
Aminaaaa...!!! Lema live long
@tinalekashu1342
@tinalekashu1342 7 жыл бұрын
nyie mnaosema lema hafanyi kitu kwake nyie ndo hamujui Arusha vzr,lema✌✌👌👌 mungu akucmamie Na akupe ujasiri ivo ivo
@mariammuhammed7021
@mariammuhammed7021 5 жыл бұрын
Tina Lekashu Marisa juma
@mariammuhammed7021
@mariammuhammed7021 5 жыл бұрын
Juma baro
@mariammuhammed7021
@mariammuhammed7021 5 жыл бұрын
Maurid juma
@jacobpatrick7936
@jacobpatrick7936 3 жыл бұрын
Best speech ever
@stelasasala5972
@stelasasala5972 7 жыл бұрын
Arusha pls Lema ni bonge la kiongozi. Anasema ukwel kwa mambo alopitia angekuwa mwingine angekaa kimya. Lakn huyu yupo kwaajili ya kutetea wanchi
@neemayo4693
@neemayo4693 3 жыл бұрын
Amina mungu shughulika
@a.j9964
@a.j9964 7 жыл бұрын
Well speaking lema daah!!!!... Free Ben saa nane
@talangepaul5583
@talangepaul5583 7 жыл бұрын
lema wewe ni mtu wa mungu hakika niko geita ila nakukubali sana
@Imapolite
@Imapolite 5 жыл бұрын
Ahsante lema Mungu akubariki
@thomsmollel3076
@thomsmollel3076 4 жыл бұрын
Lema mungu akubariki xana
@annethdominic3403
@annethdominic3403 7 жыл бұрын
Hongera mh kwa kuongea vizuri MUNGU awe pamoja nawe
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 Жыл бұрын
Karibu nyumbani kamanda
@ndeyamassawe1449
@ndeyamassawe1449 7 жыл бұрын
xafi xana xana xana Lema xauti kuu ya tanzania
@endiaelmbise6038
@endiaelmbise6038 5 жыл бұрын
Nakumkubali sana lema
@florahkadewele4256
@florahkadewele4256 4 жыл бұрын
@@endiaelmbise6038 Lema Upo vizuri kabisa, mungu akulinde.
@mickysunday2494
@mickysunday2494 7 жыл бұрын
Roma ndo hvyo hatukonae wala hautackia amepatkana watakaa kmya mwsho wa cku wanatuma FBI. Nakumbuka maneno ya roma kwamba hii ndo Tanzania nchi yenye udongo wenye dhambi nakupenda sana kaka najua hurudsha kadi ya chama kama nakaaya wema hufa mapema
Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka
15:51
Global TV Online
Рет қаралды 575 М.
BUNGENI: Bashe na Sugu kuhusu ishu za kutekwa
11:41
Millard Ayo
Рет қаралды 664 М.
Underwater Challenge 😱
00:37
Topper Guild
Рет қаралды 31 МЛН
Please Help Barry Choose His Real Son
00:23
Garri Creative
Рет қаралды 23 МЛН
Or is Harriet Quinn good? #cosplay#joker #Harriet Quinn
00:20
佐助与鸣人
Рет қаралды 4,6 МЛН
“Watu wanauawa, msifikirie Watanzania hawaoni”-John Heche
9:21
LEMA ALIAMSHA DUDE BUNGENI MATIBABU YA LISSU, MWENYEKITI AMTAKA AKAE
4:05
Mwananchi Digital
Рет қаралды 167 М.
HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"
10:40
Global TV Online
Рет қаралды 465 М.
Cheka kidogo na huyu Mbunge anayejiita 'Bwege' na hivi vituko vyake
10:27
Underwater Challenge 😱
00:37
Topper Guild
Рет қаралды 31 МЛН