No video

BUNGENI: Bashe na Sugu kuhusu ishu za kutekwa

  Рет қаралды 664,499

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 264
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
Hata mm ningekuwa ktk list ningeshindwa kkuvumilia .... Asante bashe kw kuogopa kututangulia
@deviskaliare5420
@deviskaliare5420 7 жыл бұрын
Bashe you are da best.. hujaenda bungeni kulala mkuuu.. Mungu na akulinde...
@yesayamwanjemba4726
@yesayamwanjemba4726 7 жыл бұрын
Hii imekuwa serious issue. Mungu ibariki Tanzania
@furahamwajeka3708
@furahamwajeka3708 5 жыл бұрын
safi sana Dada tulia unajua sana hongera sana,kweli sheria inaweza kuyafanyia kazi baana,hatuna haja kamati za bunge kwani nazo zikiundwa si zitaenda kukusanya taarifa polisi,kwa wahussika na familia za wahanga ambacho naamin na polisi ndo wanakifanya...then au bashe anahisi polisi wamekaa tu noo...wanafanya kazi pamoja na matatizo yote hasa ya rushwa walio nayo
@lupetamhagama2145
@lupetamhagama2145 7 жыл бұрын
Kwel bashee you are smart in ur heard big up nzega they are luck
@shadrackmnjelu5285
@shadrackmnjelu5285 7 жыл бұрын
Yan wew mwanamkeeee kwelii unfnya kazi yako ilokufnya uletwe hapooo xaxa naomba Mungu naww familia yako itekwe
@gracemarine6753
@gracemarine6753 7 жыл бұрын
Shikamoo Bashee MUNGU awaongezee ulinzi awatume malaika wake walinzi ili hawa mashetani weusi waanze kuteketea kuanzia hapa dunia mpaka jehanamu
@ashamwandu3781
@ashamwandu3781 5 жыл бұрын
saruti bashe penda Sana wewe.
@japhetnzunda5421
@japhetnzunda5421 6 жыл бұрын
Nashukulu sana kwa hojaja nzuri muheshimiwa bashe
@shindapapaya9194
@shindapapaya9194 7 жыл бұрын
Shikamoooo mwanamke wa shoka twakupenda je 2020 wewe ni waziri yaani una watuliza kama kitenesi💪💪💪💪
@jasminasha9551
@jasminasha9551 7 жыл бұрын
Bashe & Sugu pamoja sana.
@bushmendatoga4754
@bushmendatoga4754 7 жыл бұрын
Bashe is a gentleman indeed. ... Tanzania tunakoelekea siko na huu utamaduni haukuepo
@isayakaihula8172
@isayakaihula8172 5 жыл бұрын
Your the best in speech the government have to work on this
@santodelove4351
@santodelove4351 7 жыл бұрын
big up basheeeeeee
@fridgeismybestfriendwhenit7149
@fridgeismybestfriendwhenit7149 7 жыл бұрын
"there's no hope kutoka serikalini" so true ...naombeni mkopo nihame nchi 😢😢😢
@thedeo472
@thedeo472 7 жыл бұрын
Waziri wa mambo ya ndani hajui au hana alifanyalo. Ningemshauri ajiuzulu kulinda heshima yake(kama anayo).
@lemalalioloulu3025
@lemalalioloulu3025 5 жыл бұрын
Bashe mungu akulinde witete watanzania we nyonge
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 2 жыл бұрын
Mwendazake alaaniwe huko aliko alikua farao mkubwa
@kefawales8187
@kefawales8187 7 жыл бұрын
Bashe ni akili kubwa sana
@geofbeka1669
@geofbeka1669 7 жыл бұрын
sina imani na naibu spika Tulia, yaani kazi yake imekuwa kutuliza tu hoja, huwa simwelewi kabisaa
@arnoldamel8164
@arnoldamel8164 7 жыл бұрын
geof beka kumbuka kuwa ni mteule wa rais kama mbunge na alimpa huo ubunge ili akawe naibu spika nadhani picha unayo
@davidlauliankitinya3035
@davidlauliankitinya3035 7 жыл бұрын
kaka Bashe me nimekbali I like your chain na ntaifuata kaka I have future
@abdalahsuleiman8989
@abdalahsuleiman8989 7 жыл бұрын
Hatar sanaa
@stephanomwakyobe4675
@stephanomwakyobe4675 5 жыл бұрын
geof beka sio naibu tu ata spika mwenyew ndo ivy ivy
@rahmarahmajuma8646
@rahmarahmajuma8646 5 жыл бұрын
Hilo swara linatuumiza wananchi ila huyo special pamaja navigogo wakuu wanalijua kuwa wakimchukia tu mtu ndio wanamuazibu hichonikikulacho kinguoani mwako
@basraebrahim9687
@basraebrahim9687 7 жыл бұрын
Mashallah you are good
@shehemnazi127
@shehemnazi127 5 жыл бұрын
Asantee bashe.
@palesyosilingo6386
@palesyosilingo6386 7 жыл бұрын
Bashe rafiki yangu mungu atakulinda kwasababu unaongea ukweli na huyo rais wenu anasema msema ukweli ni mpenzi wa mungu
@mwanzashinyanga8060
@mwanzashinyanga8060 3 жыл бұрын
huyu ni mbunge wa watanzania na sio mbunge wa chama cha mapinduzi nakukubari sana bashe
@enosh22wanyeche45
@enosh22wanyeche45 5 жыл бұрын
God bless mh bashe
@revocatusmanyama8621
@revocatusmanyama8621 5 жыл бұрын
Mungu akulinde bashe
@ismailbaruan2833
@ismailbaruan2833 6 жыл бұрын
yaan naibu spika Uko vizuri sana ahsante sana kwa majibu yako
@manfredymahinya9511
@manfredymahinya9511 5 жыл бұрын
mwiguru amini hujafa hujaumbika najua ww ni mcha Mungu sana naomba kwa kauli yako uwasaidie Watanzania ili wawe ktk hali ya amani.
@johnsonkuziwa171
@johnsonkuziwa171 7 жыл бұрын
Bashite Aende Jeratu Wananchi TunaumiaTunakuea Nahofu Nanchi Yetu Hatunaamani Jamani Tunaenda Wapi Sasa Jamani Hatupo Sudani TupoTanzania Nchiyenye Amani"
@aishahussein68
@aishahussein68 7 жыл бұрын
Johnson Kuziwa wee kilaza kweli umeelewa alichokisema sasa aende jela kwa kipi we pumba kweli
@mobileshop818
@mobileshop818 7 жыл бұрын
Aisha Hussein tena pumba asie jielewa kabisa
@mariammarco1554
@mariammarco1554 7 жыл бұрын
Johnson Kuziwa Wew chizi kweli aende jera kwa kosa gani alilolifanya?? kwani yeye ndo anayewateka? unapotaka kukoment uwe unafikilia kwanza muone na kichwa km vile zombi..
@mobileshop818
@mobileshop818 7 жыл бұрын
Mariam Marco ha ha hahahaa kwani kichwa cha zombi kiko vpi? umenifurahisha sana ndugu yngu; ila c mbya umempa maneno ya kweli mana kitu kikitokea majibu yanakuja c mwingine bali makonda
@bilalkitiku9096
@bilalkitiku9096 6 жыл бұрын
mbwa wewe ,,,,,,kusoma mwenyewe hujui ,,,uelewa nako zero
@sakinandoile4758
@sakinandoile4758 7 жыл бұрын
wah. Bashe na Sugu bora mmekuwapo mjengoni...coz watu twaishi kwa mashaka sasa
@alinanusyemwatukambo7908
@alinanusyemwatukambo7908 6 жыл бұрын
Wewe acha uwongo sugu sio mwana siasa mwenyewe ni vta tuu
@vivianlenard3618
@vivianlenard3618 5 жыл бұрын
Unakua na mashaka we naye una nn wakuteke sasa. kuna anayekujua huko zombi kweli
@charlesemmanuel9434
@charlesemmanuel9434 5 жыл бұрын
Yani mtu anaongelea issue ya uhai wetu unamwambia akae chini?????????? Yaani acha ninyamaze tu maana hasira nayo ni dhambi
@jumahassan273
@jumahassan273 3 жыл бұрын
Bunge bado halipo na haki ya kutetea raia na ndio hao wanaotumia kukamata watu kimykimy shenzi kabisa sugu na bashe nawakubali sana
@BLESSblessing1
@BLESSblessing1 3 ай бұрын
Jamani naomba , lissu, sugu, zitto nawengine warudi bungeni siku hizi bunge limekala sana.
@irinekatumwakatumwa6606
@irinekatumwakatumwa6606 5 жыл бұрын
Dhu jaman!!!! Sisi wote niwakupita tuache visasi ili cku moja tuuone ufalme wa mungu
@briggsanji9176
@briggsanji9176 7 жыл бұрын
Safiii
@castrolk.ezekiel7426
@castrolk.ezekiel7426 7 жыл бұрын
Bashe na wew utaambiwa umechochea unatangaza kua nchi hakuna aman!?
@Mkemia..Kirigiti
@Mkemia..Kirigiti 7 жыл бұрын
Bashe, nakukubal xna kaka. inapobid kuzungumza ukweli, we have to say xo.
@swaburyrwamlaza1479
@swaburyrwamlaza1479 7 жыл бұрын
shukurani mheshimiwe bashe
@memoratasalon1128
@memoratasalon1128 7 жыл бұрын
Bashe marry me
@MarcoNM100
@MarcoNM100 7 жыл бұрын
hahahaaa
@mzamilmik7387
@mzamilmik7387 7 жыл бұрын
hahaha
@babawahindi7368
@babawahindi7368 7 жыл бұрын
Yes he deserve to marry you.
@nassorozawiya5778
@nassorozawiya5778 7 жыл бұрын
i wll
@nzegelamalimi1195
@nzegelamalimi1195 7 жыл бұрын
nakupongeza
@bestinamseti3078
@bestinamseti3078 5 жыл бұрын
Basheee your very bright
@noellikwet6113
@noellikwet6113 7 жыл бұрын
huyu tulia huyuuuuu ooooooh
@ghayoghayosd1581
@ghayoghayosd1581 7 жыл бұрын
Duu hatari sana sasa kama mnaogopa kiasi hiki je na kwa walio hali ya chini wanao potea wanasaidiwaje
@khatrarage4445
@khatrarage4445 7 жыл бұрын
it's trueeeee😢😢😢😭😭 there is no hope in serikali basheeeee oyèeeeeeeeee tutetee jmn😢😢😢😢
@novatiemmanuel2175
@novatiemmanuel2175 7 жыл бұрын
Bashe Mungu akuzidixhie uwezo na nguvu na uwe imara kusema ukweli na kutetea wtz na siyo kutetea ugali kama wenzako was ccm hakika Bashe ww ni mfano tosha kwa wanaccm wenye akili kukuunga mkono
@piusjaphet2760
@piusjaphet2760 7 жыл бұрын
Hivi serikali yetu kama ingekua sio makini na kutegemea wa bunge kupanga maendeleo yetu tungekua hali mbaya sana
@olivaanosisye3184
@olivaanosisye3184 7 жыл бұрын
bashe, Sijui upewe kitengo gani? tupiganie baba
@agressngimbudzi5319
@agressngimbudzi5319 6 жыл бұрын
Uko vizuri bashe wenzio wa ccm wanaogopa kusema ukweli wanaogopa
@yohanabandoma9337
@yohanabandoma9337 7 жыл бұрын
Speaker is toothless now,nothing can't do.
@hajamijohana6979
@hajamijohana6979 5 жыл бұрын
2020 bubu ataongea
@annethdominic3403
@annethdominic3403 7 жыл бұрын
MUNGU awe pamoja nawe Bashe umeongea vizuri
@Purity493
@Purity493 7 жыл бұрын
safi sanaa
@dostovan5142
@dostovan5142 3 жыл бұрын
Very brave Bashe,wh
@saidwilson6529
@saidwilson6529 7 жыл бұрын
bashe kweli ni mwanaharakati.....
@kingcobra9238
@kingcobra9238 7 жыл бұрын
bashe umenena vizuri
@mosesjferuzi3413
@mosesjferuzi3413 5 жыл бұрын
H
@charlzlyimo1982
@charlzlyimo1982 7 жыл бұрын
duuuuh!!! hata na nyie wamewageukia
@ndoanirahaonlinetv5031
@ndoanirahaonlinetv5031 5 жыл бұрын
duh
@elishaalex6695
@elishaalex6695 7 жыл бұрын
Yan nchi kama somalia banaa
@DeusNchembah
@DeusNchembah 7 жыл бұрын
Tulia anajua kutuliza,Majina mengine banaa!
@ayubnsajigwa1037
@ayubnsajigwa1037 7 жыл бұрын
Mhh Nchi imekwisha tuliipofika Mungu atusaidie
@mobileshop818
@mobileshop818 7 жыл бұрын
Ayub Nsajigwa Ameen In sha Allah kwa uwezo wake Allah ninaimani tutaishi kwa Amani.
@justinchriss3778
@justinchriss3778 7 жыл бұрын
bashe the great
@shafiimsemo698
@shafiimsemo698 5 жыл бұрын
Bashe ukovizuri,hongera kaka
@stephanomwakyobe4675
@stephanomwakyobe4675 5 жыл бұрын
njoo ukawa kuna mdee lemma nassari, kama wew
@sharonyasin7521
@sharonyasin7521 5 жыл бұрын
love u bashe
@mohammedally8569
@mohammedally8569 7 жыл бұрын
Dah nimasikitiko makubwa kwa nchi hii jamani
@lumamichombochayesu1838
@lumamichombochayesu1838 7 жыл бұрын
duuh ni shidaaaaaa
@sadikisaidi28
@sadikisaidi28 6 жыл бұрын
Sawa ila kunawengine hpo niwatata angalien msje mkapgana na chupa
@riscaoscar521
@riscaoscar521 7 жыл бұрын
jamani mbona
@datchdatch3836
@datchdatch3836 7 жыл бұрын
KAMA CHOMBO TUNACHOKITEGEMEA NI HIKI, KISHA MAAMUZI YA WASIMAMIZI WAKUU NDIO HAYA MAJIBU TUMEYASIKIA , TUSUBIRI NEEMA YA M/MUNGU. siku akifanyiwa anayewagusa LABDA UMUHIMU UTAJULIKANA , MAANA MALIPO HUWA NI HAPAHAPA.
@upendosanga3328
@upendosanga3328 7 жыл бұрын
i luv yuh akson we ni mwanamke wa kukuiga ntajitahid niwe kama ww nakupenda mnoooo
@godwinjohn588
@godwinjohn588 7 жыл бұрын
Akili umeshikiwa UPENDO naona unatafuta kiki za kuteuliwa na we na magu
@athonyfrancis8889
@athonyfrancis8889 7 жыл бұрын
hahaaa fuatilia bunge,utamjua rol modo wako na si tulia wa kuzima hoja hata zile za maana,nikukumbushe tu bunge lililopita kuhusu ile hoja ya haki,hadhi na na madaraka ya bunge,tulia alionyesha kujua hivyo hivyo,lkn Mh.Ndugai aliliona na kuweza kulisimamia likae sawa ,so usikunwe na ushabiki kumuona ni mwanasheria ndo anajua kila kitu sivyo ilivyo
@elishaadolph6768
@elishaadolph6768 6 жыл бұрын
Dadaaa unajielewa??
@ChristerKoku
@ChristerKoku 3 ай бұрын
Wanaoshangilia kwa kubeza,sheria tunajua zipo labda tuambiwe zinamsaidia nani?
@rachelissacmahenge1348
@rachelissacmahenge1348 4 жыл бұрын
Kwanini habari za utekaji ziko awamu wa tano tu🤷‍♀️
@nehemiajohn3918
@nehemiajohn3918 7 жыл бұрын
hawa wote kina jenista wanahemewa kisogoni
@anthonmunishi4463
@anthonmunishi4463 6 жыл бұрын
naibu spka kawekwa jamani kwahyo Hana nguvu yeyote
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 7 жыл бұрын
mwiguru umekaatu aseee
@jeremiajohaziel4927
@jeremiajohaziel4927 7 жыл бұрын
BASHE NI JEMBE LA KUIGWA NA WATANZANIA
@dicksonmrema7584
@dicksonmrema7584 5 жыл бұрын
Ukweli bashe unachosema wasipo fuata maneno yako inamaana wanajuwa watekaji na wanawabeba
@dicksonmrema7584
@dicksonmrema7584 5 жыл бұрын
Bashe sugu mpaka kieleweke yani watu tuwweke kichwani mwaka,,2020watuambia
@shakilaabubakar8517
@shakilaabubakar8517 5 жыл бұрын
m.mungu amlindeee
@mosesolodi242
@mosesolodi242 4 жыл бұрын
Jeremia Johaziel hatar hii
@lichilasalumu7983
@lichilasalumu7983 3 жыл бұрын
Sasaiv ni utopolo tu
@stellamwasenga6205
@stellamwasenga6205 3 жыл бұрын
Seen
@hezronsanga5197
@hezronsanga5197 2 жыл бұрын
Bashe nakukubali sana ndio uongoz huo shida chama chako hakitaki ukweli sio kila kitu siasa
@abelmachunda9494
@abelmachunda9494 7 жыл бұрын
ndiye naibu spika... dk tulia ... tutegemee mabadiliko baada ya miaka 10000
@amryabdallasaid2077
@amryabdallasaid2077 5 жыл бұрын
Big up: Bashe.
@amryabdallasaid2077
@amryabdallasaid2077 5 жыл бұрын
Big up. Bashe.
@mujwahuzikyabwishukuru2917
@mujwahuzikyabwishukuru2917 Жыл бұрын
MWIJAGE JOHN
@flova7022
@flova7022 2 жыл бұрын
Hapo spika hamna kitu...ngoja atekww mumeo na kundi usilolijuaa.. ndio utakaa kwa pattern. Saiz sio dharula kwasababu watekaji unawajua
@babucheenyahega2778
@babucheenyahega2778 5 жыл бұрын
Tutafute katiba yenye usawa maana naibu spika mjinga mjinga kama tulia niwakuponda mawe
@bahatidan4751
@bahatidan4751 7 жыл бұрын
duuh ...I hope speak Ndugai...will do something.. naibu speaker is useless..God bless u Sir Mh Bashe n Sir Mh Sugu
@elishaalex6695
@elishaalex6695 7 жыл бұрын
huyu naibu spika daaa ...sijui na yy ana ubashite.....
@elialucas6140
@elialucas6140 3 жыл бұрын
Ahsante sugu
@jozeymkonge4905
@jozeymkonge4905 5 жыл бұрын
Bashe mwamba wao
@husseinrajabu2735
@husseinrajabu2735 5 жыл бұрын
Waambie bna nchi yetu yaa Amani hatutaki kuipoteza hii Amani
@mustaphakisanga8381
@mustaphakisanga8381 3 жыл бұрын
Dr. Tulia anasitahikuwa spika wa mbuge na sio naibu
@charleskanwani5765
@charleskanwani5765 5 жыл бұрын
MALAIKA wakulinde bashe
@magigejoseph255
@magigejoseph255 5 жыл бұрын
Upon vizuli
@danielmatya373
@danielmatya373 Жыл бұрын
Utawala wa hovyo sijawahi kuuona...
@paschalboniface8319
@paschalboniface8319 5 жыл бұрын
Bashe wewe unafaa kuwa lais wa nnchi yetu kabisa mungu akulindi sana
@paschalboniface8319
@paschalboniface8319 5 жыл бұрын
Gud
@ramsaybrown2708
@ramsaybrown2708 5 жыл бұрын
Kizungu zungu tunapenda amani ila kwetu mby foleni kubwa jioni balabala nindogo sasa tukizungumzia mtu mmoja tu mo tu na wengine hatufiki kwa staili iyoo
@allyfutto8763
@allyfutto8763 7 жыл бұрын
Endapo huyo bashite hajahusika na tuhuma za utekaji huu basi yafaa taifa litambue mkombozi wetu ni huyo Bashita na yafaa tuzingatie Ushirikiano Bora kuongoza nchi unatakikana ili kunusuru haki za wananchi na si ubinnafafsi. Mungu Ibariki.
@babawahindi7368
@babawahindi7368 7 жыл бұрын
Shikamoo bashe laiti kama wabunge qwanakielewa unacho kisema basi hawatosita kukuunga mkono kuhusu hoja yako,ila yatakapo wakuta wao au watu wa karibu kwao ndipo wataelewa.
@yassinmuhajir4391
@yassinmuhajir4391 7 жыл бұрын
zimwi linawatafuna wao sasa wanaanza kupiga kelele, walitekwa mashekhe zetu zanzibar wakapewa kesi mpaka leo wako ndani hawajahukumiwa miaka takriban saba sasa hatukusikia watu kuja mitandaoni au bungeni kuongea leo wametekwa kina roma watu mapov yanawatoka, nataka ile dhambi ya kuwateka mashekhe iwatafune mpaka na wao waachiwe, muone uchungu wake tena nyie hamjafanyiwa walichofanyiwa mashekhe mnalalamika je mngefanyiwa ingekuaje, Allah iweke balance hii nchi kila raia awe na haki sio wasanii tu ndio wana haki au wabunge, viongozi wa juu
@shafiimsemo698
@shafiimsemo698 5 жыл бұрын
Sema japo inauma, ukweli wa mungu ndo huo.
@bamurwakana5890
@bamurwakana5890 4 жыл бұрын
Jamn bashe ubarikiwe kwa ukweli wako
@omanoman1576
@omanoman1576 3 жыл бұрын
Kwakuwa umesema hivyo duh bas utapewa uwaziri mana ucje wazingua kmb ccm ndio inawatek wtu kwa maelezo ya bshe
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 3 жыл бұрын
HIYU NAIBU SPIKA NA SPIKA WAKE DAAAH SIWAELEWAGI MIMI
@athumaningitu7743
@athumaningitu7743 6 жыл бұрын
Ally kessy
@shyneplatnumz2583
@shyneplatnumz2583 7 жыл бұрын
Bashite bungeni
@mohamedkigwehe3561
@mohamedkigwehe3561 5 жыл бұрын
This is to march naibu spika unawezaje kumukatisha mtu anatoa hoja ya msingi jamani
@willsonsaidi7468
@willsonsaidi7468 7 жыл бұрын
sipika end bashitte end rais wote wasukuma hamna usarama watanzania tukae kwa kumuomba mungu mana hii nchi inako elekea hata nashindwa kuelewa kabisa
Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
11:11
Millard Ayo
Рет қаралды 1,4 МЛН
Meet the one boy from the Ronaldo edit in India
00:30
Younes Zarou
Рет қаралды 19 МЛН
🩷🩵VS👿
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 28 МЛН
Ik Heb Aardbeien Gemaakt Van Kip🍓🐔😋
00:41
Cool Tool SHORTS Netherlands
Рет қаралды 9 МЛН
SHAMBULIO LA LISSU LAMWIBUA BASHE, SPIKA ATOA MSIMAMO
10:35
Mwananchi Digital
Рет қаралды 129 М.
MO DEWJI AZUNGUMZIA KUHUSU KUTEKWA KWAKE
28:50
BBC News Swahili
Рет қаралды 1,5 МЛН
Joho DAZZLES CROWD in Homabay, AFFIRMS support for Ruto come 2027
18:09
Azimio TV(Official)
Рет қаралды 40 М.
Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka
15:51
Global TV Online
Рет қаралды 575 М.
Prof Kabudi awarudisha wabunge shuleni kwa muda
25:42
Mwananchi Digital
Рет қаралды 297 М.
Meet the one boy from the Ronaldo edit in India
00:30
Younes Zarou
Рет қаралды 19 МЛН