GPS: BIDEN hali ni tete baada ya kuvurunda kwenye mdahalo na TRUMP! Democrats wahaha! Atabadilishwa?

  Рет қаралды 12,821

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

8 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 135
@iam_sami
@iam_sami 7 күн бұрын
Wanao mkubal dj smaa gonga likes hpa 💪🏽🔥
@janethmafie7721
@janethmafie7721 6 күн бұрын
I wish ningegonga like nyingi zaidi
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 7 күн бұрын
Vijana acheni wivu binafsi naona umuhimu wa uwepo wa mchambuzi Ally Masubi katika mdahalo wa GPS sababu anawakilisha Kizazi cha Gene Z na kuwapa changamoto Kizazi cha Milleniaz kuanzia kwa Sky Walker, Dj Smaa na Henry Mwinuka. Big up kwa Simulizi na Sauti.
@husseinhemedi9314
@husseinhemedi9314 7 күн бұрын
Hii Sio media tena hii #SNS Nizahabu ❣️🙏
@murtalla2826
@murtalla2826 7 күн бұрын
Dj Smaa ni mtulivu sana mashaAllah 🎉
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 7 күн бұрын
Sana kabisa
@ZainabJolie
@ZainabJolie 7 күн бұрын
​@@salehkhalfan7345sn na ana hekima sn
@PalomaMshana
@PalomaMshana Күн бұрын
DJ smaa he is a real man he observes he is a calm man that's a very dangerous man those r men wanawake tunavutiwa nao u will be the one who is tripping if ur not smart woman u won't know what to do with this kind of a man In other words he is a sigma ♂️
@KekeRose-yj6re
@KekeRose-yj6re 4 күн бұрын
Hennry mwinuka uko vizur sana
@MWANGAZAbrain
@MWANGAZAbrain 6 күн бұрын
Kwanza niwapongeze sns kwa kuwa wabunifu katika kuijenga jamii ya kitanzania na kiafrika kwa ujumla kwa wale wenye kujua ligha inayozungumzwa hapa' mnawafumbua walio wengi nakuwafanya tujiamini uchambuzi wenu mzuri' Natumai kwa hili ipo siku mtapewa tuzo hapa nchini na hata Africa mashariki kama si Kenya na wakenya ama vinginevyo. Tunawapenda sana kwa kazi nzuri.Msiache kuchambua tunawasikiliza kwa makini katika kila nukta.
@zuwenarajab6675
@zuwenarajab6675 7 күн бұрын
Wagombea wa "United States of Israel" sera zao ni zile zile. Kwa mtazamo wangu hakuna mwenye afadhali.
@ziongate5464
@ziongate5464 7 күн бұрын
Zuwena kunywa soda kwa mangi nitalipia. Viongozi wasio na huruma na ubinadamu! Yaani wao wanajali maslahi yao kwanza. Nyinyi hata mkifa wao hawajali. Nimecheka kwa sauti Aly alivyosema "li Trump likajibu"😅😅😅
@KhafisaAli
@KhafisaAli 7 күн бұрын
hongereni ila Nakushaurini jitahidini musije mukanunuliwa kama zinavo nunuliwa tv nyengine tu😂
@salehkhamis9994
@salehkhamis9994 7 күн бұрын
Sawa zaidi sisi tunataja kusikia mnachambua siasa Za nje ya bara la African TU itakua POA zaidi
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 7 күн бұрын
Kaka sky,dj smaa Henry na ali nipo apa shabiki yenu kabisa nafuatilia hapa gps...napia tutasapoti gps innshaala tukijaaliwa ili tujifunze zaid..#tujifunzesote#tusapotianekwahiyari na upendo ili tujifunze zaid
@peterilimwa5754
@peterilimwa5754 7 күн бұрын
i sallute you guys
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 6 күн бұрын
Kongole sana Henry unajua sana na unaeleweka sana.Ila all in all SNS mko vizuri DJ-SMA na Ally Masubi hongereni pia.
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 7 күн бұрын
Mim ali akiwa anachambua mala nyingi huwa simuelewagi sanasana namuelewaga sana dj smaa...au Henry lakin leo uchambuzi wa ali simuelewi..hajuw kufindisha kama ni mwalimu...japokuwa anajua vitu vingii..ila hawez kufundisha
@janethmafie7721
@janethmafie7721 6 күн бұрын
Huwa akianzaga kuongea nashindwa kujizuia napeleka mbele
@HamadJuma-kj5td
@HamadJuma-kj5td 7 күн бұрын
Nawakbali sana GPS mpo juu sna yan✌️
@mariusmashelle4528
@mariusmashelle4528 6 күн бұрын
Aly jamaa anadetails za kutosha. Anajua mnoo 🙌
@bronykenzie2322
@bronykenzie2322 4 күн бұрын
Kupandisha interest rates inahusisha kusave hela kwenye banks au kununua government bonds sio kukopa. Henry jifunze zaidi. Matajiri now wanapeleka usd kwenye us banks au kununua government bonds kwasababu interest rate imepanda . And hyo interest rate sio 15% ni 5.5%
@sontrillthereal8186
@sontrillthereal8186 12 сағат бұрын
Wakuu mko vizuri, changamoto moja, hamkai kwenye mada, yaani inaonekana mna madini mengi lakini mnapata shida namna ya kuyaongea. So bora mtu akiulizwa ajibu swali tu, asi rise vitu vingine, mjadala unakuwa mrefu lakini una cover vitu vichache
@janethmafie7721
@janethmafie7721 6 күн бұрын
@SNS, SKY HUWA NASUBIRI KWA HAMU SANA VIDEO ZENU LAKINILEO NIMEPATA HASIRA NIMEJISIKIA VIBAYA SANA KIPINDI LEO NIMEKEREKA SANA YAANI ALLY HAPANA. Dj SMAA na kaka MWINUKA BIG UP SANA. Ally tunaomba wenzako wakiongea usiwakatishe
@jkifutu7936
@jkifutu7936 7 күн бұрын
Mupo vizur sana
@sontrillthereal8186
@sontrillthereal8186 12 сағат бұрын
Wengi mnamponda huyo Ally lakini kila mtu kapewa nafasi ya kutupa summary ya kile kilichoongelewa, SMA kasema yeye hakusikiliza huo mdahalo hivyo waongeaji wakawa wawili tu, na wa watu ni Sky ambaye ni muongozaji. Henry sio muongeaji sana, sasa mlitaka nani aongee? Ofcourse ni Ally, acheni atupe summary ya mjadala, muhimu abaki kwenye mada, asiongee vingine ambavyo havihusiani na mada.
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 7 күн бұрын
Big up kwa Team ya SnS pamoja na wachambuzo wote kuanzia kwa DJ Smaa, Wakili Mwinuka na Ally Masubi kutupa Madini ya Geo Politics Analysis GPS.
@asambakanyalusambya249
@asambakanyalusambya249 4 күн бұрын
Netanyahou pamoja na Zelensky wengine ni pamoja na Biden pamoja na Macron
@HenryFlowin-gc6bi
@HenryFlowin-gc6bi 4 күн бұрын
Nawakubal sna wachambuz wa GPS hap studio ila tafadhl naomben mnieleweshe vzr kuhusian na hli kwamb, inakuaj Marekan inaubav wa kuwakataz mataif kam Iran, Korea kaskazin, Urusi na mengin wasitengeneze silah za nuclear ingal wao, waingereza na wafaransa wanatengeneza bla kuwekewa mipak yyt ile? Tafadhalini naomben mnieleweshe iv hta ktk uchambuz mwngn. Ahsanten.
@user-pu4og7df4y
@user-pu4og7df4y 3 күн бұрын
💣💣
@user-rk6jf6zq6d
@user-rk6jf6zq6d 7 күн бұрын
Kinacho nivutiaga Hapo ni Wachambuzi Kuwa na Mitazamo Tofauti Kutokana na Suala Moja hiyo mmefunika Tofauti na Chaneli zingine Zenye Mrengo mmoja
@Ally-qi7xo
@Ally-qi7xo 7 күн бұрын
🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇧🇮
@FayeezAlbahassaney
@FayeezAlbahassaney 6 күн бұрын
Kaka Sma nataka nikupe mdog wangu InshaAllah
@salumadam2862
@salumadam2862 6 күн бұрын
😂😂😂😂 smaa chukua jiko
@FayeezAlbahassaney
@FayeezAlbahassaney 6 күн бұрын
@@salumadam2862 kbc ndg yng
@Eng2460
@Eng2460 7 күн бұрын
GPS🎉
@fredymwanzi4448
@fredymwanzi4448 7 күн бұрын
Kwani USA kwa nini wanangangania hivi vizee vyote
@GraceMashinga-be9wb
@GraceMashinga-be9wb 6 күн бұрын
Nadhan 1.zelensik 2. Maklon 3. Ramaposa 4. Huyo wa German Luto namweka nafasi ya 8
@SadikiMwakisambwe-yw9cp
@SadikiMwakisambwe-yw9cp 2 күн бұрын
Bundala huyo Ally hawezi kitu
@PalomaMshana
@PalomaMshana Күн бұрын
Huyo kaka mwenye shati ya blue anaongea km mwanamke 😮 Yani Hana kituo 😢 hawezi kuweka pozi Mukta mwanaume aongei ivyo huh😅 yn KUna MDA mwenzake anatoa sign y kutaka kuongea hawezi kumpisha😂 duh what a clown all those 3 men they behave how men must behave 🎉❤ aajifunze kuweka nukta duhhh😮 mwanamke wake Kazi anayo huyu anajibisha maneno hatari 😂😂😂😂
@Mrsuzuki-bq5gh
@Mrsuzuki-bq5gh 7 күн бұрын
Nipo nyuma yenu kuwa sapiti umsijali kw ilo🤝
@janethmafie7721
@janethmafie7721 6 күн бұрын
Ally please Yaani hao wenzako wanajua zaidi yako na wakiongea tunawaelewa lakini wewe Sasa ndg unaongea wewe tu halafu Ndio HUJUI AAAAAH . Please jaribu kujilimit PLEASE
@muhamadharun9432
@muhamadharun9432 5 күн бұрын
Kaka ndio rahaa ya kuwepo mtu mwenye mtazamo kama ally ili debate inoge yani ni bora awepo tukubali hilo please
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 7 күн бұрын
Dj sma awo waisrael hao wapo laki tatu tu ndo wanaran hii dunia hata dokta sure aliwasema hao..awo ndo wanaran kila kitu...ata mungu aliwaongelea
@ramadhanhassan6165
@ramadhanhassan6165 20 сағат бұрын
Kwa bado hamjui tu baideni ametengenezwa kama roboti tazama hata anavyo tembea wakatimwingine anapoteza direction 😅😅😅😅😅 nashangaa nawatu bado wana amini yule ni machine co mtu muelewe hivyo
@khadijaa815
@khadijaa815 6 күн бұрын
Mie naona trump na Biden wote wapumzike hawafai
@amemasudi5735
@amemasudi5735 6 күн бұрын
Kw nn na hapa kwtu Tanzania pasiwe na Vyama vikuu viwili tu vikafanya Debate kuliko kupoteza Pesa nyingi maaafa na hata miundo mbinu huvurugika kwa siasa mbovu tulizo nazo tubadilike Viongozi tusiangalie matumbo yetu tu tutakwnda kuulizwa kwa Allah Kesho kiama tumuogopeni Allah
@user-tx9lx7kw1x
@user-tx9lx7kw1x 7 күн бұрын
Natamani mchambue kinachoikumba nchi ya somalia
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 7 күн бұрын
Tutachambua
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 7 күн бұрын
William Samuel Ruto
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j 6 күн бұрын
Ukiangalia hawa jamaa djsma anatokea kanda ya ziwa,mwinuka anatokea nyanga ya juu kusini sijajua ally masubi anatokea wapi ila hawa 2 sehemu wanaotekea vyakula vyao sio mchezo hata ukiangalia sky nae kanda ya ziwa utagundua
@AbdallahMohamed-en9ko
@AbdallahMohamed-en9ko 6 күн бұрын
Kigezo gani apewe ili awe kiongozi wa nchi
@user-sn4iq6cu1f
@user-sn4iq6cu1f 7 күн бұрын
jaman mie naikubali hii sns mpaka nahisi kuingia kwenye piriod yan mpaka tumbo la piriod linaanza kuniuma
@timothybanda3219
@timothybanda3219 7 күн бұрын
Ndio mana siku chache kabla ya ile debate trump alitaka ifanywe drug test sababu alijua kua babu atapewa dawa za kumpa nguvu
@GraceMashinga-be9wb
@GraceMashinga-be9wb 6 күн бұрын
Pindi pendwa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@FadhiliAlly-fy2tx
@FadhiliAlly-fy2tx Күн бұрын
Dj sma upo kimya vp
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 6 күн бұрын
Ally Masubi kaeleweka sana kwenye hii topic, hao wanaomkosoa wana upande wao.
@muhamadharun9432
@muhamadharun9432 5 күн бұрын
Mbona debate safi tu kila mtu kuongelea upande wake
@godfrey3926
@godfrey3926 5 күн бұрын
Hivi wewe wanaokulipa kuendelea kudanganya Watanzania ni nani, naona kama vile ni warusi.Hakuna mtu.ambae yupo slow na kazi ya uraisi ni kubwa sana kwake kama Trump.Anachojua ni kutukana wanawake na mtu yeyote na matusi yenyewe makubwa.Huyo kichaa utamuweka vipi kwenye uraisi..Sisi tunaoishi hapa nao tunayaona mengi..Wanaokulipa tutawaweka hapa baada ya muda
@espoiraklonda8664
@espoiraklonda8664 7 күн бұрын
Wakwaza leo
@SaraphinaKidoti-qe7gi
@SaraphinaKidoti-qe7gi 4 күн бұрын
Oya smaa anakil basi ningumu kumuelewa
@msuyamsuya9337
@msuyamsuya9337 7 күн бұрын
Yani ninyi nawamarekani mnajiiona mjajua kushinda wao
@Elizabeth-gq9kl
@Elizabeth-gq9kl 7 күн бұрын
Hapokwa Ruto nakubali.
@BigZhumbe
@BigZhumbe 7 күн бұрын
DT 67% vs JB 33%
@abuunesta-ct5ms
@abuunesta-ct5ms 6 күн бұрын
Huyu Ally masubi anapoelekea ataharibu ichi kipindi anaongea sana mpaka anakera
@godsonraphael6669
@godsonraphael6669 7 күн бұрын
Uchawi upo Hadi kwenye siasa
@kingpunzy194
@kingpunzy194 7 күн бұрын
Kwangu mimi majibu ya siasa za nje naona kama wote walikubaliana ku skip. Na ndio maana walitumia muda mwingi sana kujadili katika maswala ya utoaji mimba na sera ya uhamiaji. Sera ya nje ndio inayopasa kutoa kura nyingi sana. Wauliza maswali wamelimiti maswali katika upande wa Siasa za kimataifa.
@mrdaslam301
@mrdaslam301 7 күн бұрын
GPS flashback
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 7 күн бұрын
Nikukumbushe apo kaka Henry unajuwa hata sisi mtume wetu alikabidhiwa rasmi utume kuanzia miaka 40 ...ila kwakuwa sisi umri wetu ni mdogo waanze kugombea miaka 35 mwisho miaka 60
@mudiskaina2342
@mudiskaina2342 6 күн бұрын
Baiden kama anajifunza kusema. tayar umri ushaenda ila democat hwatki wampunzishe maana wanajua malengo yao walopanga hayawezi kua
@PalomaMshana
@PalomaMshana Күн бұрын
Jmn mmemsahau Ruto KKK anastress kusave term mmoja Ni nuksi pia Zuma alitolewa Na kafeli pamoja nakuanzinza Chama chake😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂as for Ruto is worse 😂😂😂😮
@user-gi2jv4kl7s
@user-gi2jv4kl7s 7 күн бұрын
Mimi nnacho hisi kwamba hoja ya Ali masubi ipo sahihi coz Kuna BAADHI ya mataifa ulaya hususan Kama marekani ili uwe raisi Basi lazima uwe na ushawishi fedha,ukaribu kwa matajiri na kua na ukaribu na watu wazito.nje ya hapo wamarekani hawakupi tu urais.
@albert1088
@albert1088 7 күн бұрын
Sky jaribu kumcontrol Ally jamaa anaongea sana............ show nzima tunamsikiliza mwana.!!
@janethmafie7721
@janethmafie7721 6 күн бұрын
HALAFU Sasa Ndio hajui sasa
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 6 күн бұрын
​@@janethmafie7721Wewe kila sehemu upo tu, punguza chuki binafsi mpuuzi wewe.Uchambuzi hamtakiwi kuwa na sauti 1,kila mtu achague upande wake.Mjinga wewe.
@emmanuelmmbaga5209
@emmanuelmmbaga5209 7 күн бұрын
Trump mjanja sana, hakutaka kuegemea upande wowote, maswali mazito ya GAZA na vita vya Ukraine hakutaka kujibu moja kwa moja asije akabainika yuko upande gani, ingemkost ndio maana alikuwa anakwepa kujibu kijanja😅🙏🤣😂nimeluelewa sana trump binafsi
@osmanmohammedosman5493
@osmanmohammedosman5493 7 күн бұрын
Nalikubari hili Channel hadi naumwa na tupo pamoja hâta ktk kuchangia ila nivzr mneweka na account number
@iam_sami
@iam_sami 7 күн бұрын
Huu uchambuz Henry and djsmaa mmeupiga mwingi uyu ally aeleweki aisee
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 7 күн бұрын
"Putin pia kwa mbaali anamtia Stress Netanyahu" Dj Sma Tunaomb utuchambulie japo kwa ufupi tu
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 7 күн бұрын
Dj smaa lzm atafute engo ya kumtukuza putin
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 7 күн бұрын
@@josephwilliam5813 Labda hzo hoja ktk hilo hvo sku akituwekea Makala yke tutaelew zaid
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 7 күн бұрын
@@salehkhalfan7345 mdahalo WA trump na Biden Putin anahusikaje?
@BigZhumbe
@BigZhumbe 7 күн бұрын
Tanzania we need presidential debate pia tujue sera za wagombea. Wagombea waulizwe though questions.
@STEVEN-f6g
@STEVEN-f6g 7 күн бұрын
Trump ni mbaguzi alipo sema Africa itawaliwe tena sijui aliwaza nini..
@Abdulshabani-nl8xk
@Abdulshabani-nl8xk 7 күн бұрын
Naomba kuuliza kwann.marekani.ina.balozi.nchini.urusi na urusi ina baloz marekani nahali wanapigana.?
@ibrahimmakungu9711
@ibrahimmakungu9711 6 күн бұрын
Wapo
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 6 күн бұрын
Kuna uhusiano mwengine wa kidiplomasia tofauti na vita
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 7 күн бұрын
Trump 4 tena
@KidawaMzee-xr3mv
@KidawaMzee-xr3mv 7 күн бұрын
Mi binafsi sioni Kama baiden wa matukio ni og naona lile ni robot tu, yaani Kama utakuwa makini kunuangalia mcheki mikono yake inavyo move utagundua kitu
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 6 күн бұрын
Acha uchawi mkuu
@aloycekomba1
@aloycekomba1 7 күн бұрын
Kaka sky naomba nafasi 😢 kufanya kipindi cha michezo
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 7 күн бұрын
Mtumie official email.thats a professional way bro.
@Elizabeth-gq9kl
@Elizabeth-gq9kl 7 күн бұрын
Hi namba, wakenya wanawezatumiyapiya?
@djsma255
@djsma255 7 күн бұрын
NDIO
@malongoisack5811
@malongoisack5811 7 күн бұрын
GPS ni nn
@DANIELWILLIAM-jo5bw
@DANIELWILLIAM-jo5bw 7 күн бұрын
😂😂😂😂😂😆😆🤣🤣
@murtalla2826
@murtalla2826 7 күн бұрын
Moja Kati ya hasara ya kuzaliwa 90-2000 ni vijana kujiona wajuaji sana huyu dogo Ali masubwi mpaka anakera anasema yeye tuuu mpaka anachosha broSKY huyu dogo kua nae makin anatuboa bhana
@ZainabJolie
@ZainabJolie 7 күн бұрын
Na anapenda kumkosoa Dj smaa 😢
@mathayobmasunzu278
@mathayobmasunzu278 7 күн бұрын
Mnakosea kuchagua upande... Kama haumuelew mtu fulani msikilze unae muelewa... Mdahalo wa upande mmoja hauna maana... So aly ni mtu muhim kwenye GPS... Kazi nzurii...
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 7 күн бұрын
Acha wivu wewe kubwa jinga dhidi ya mchambuzi Ally Masubi sababu umemzidi umri ila kakuzidi maarifa. Karibu GPS uondoe ujinga
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 7 күн бұрын
Naitwa Ally Masubi.kunichukia nichukie lakini jina langu litamke vizuri boss.kuhusu kuongea kila mtu gps anahaki sawa ya kuongea.so chuki zako nitatizo lako.
@murtalla2826
@murtalla2826 7 күн бұрын
@@thefactbook...1607 hakuna chuki maana sioni ufundi mwingi kutoka kwako ninachokiona unaongea sana ile GPS inatoa nafasi kila mchambuzi kuongea kwa mda flana lakin ww unachukua hata nafasi za wenzio hujamaliza kuongea ww ushadakia tunajua ww ni wa 95 lakin hebu pevuka kidogo sikiliza wenzio kwa makin then jenga hoja
@sundaysenga7608
@sundaysenga7608 7 күн бұрын
SNS KILA KITU MNAJUWA NYINYI ONGEENI SIASA ZENU ZA TZ CONVICTED FELON NDIO ACHUKUWE NCHI USA 🇺🇸?? RACIST HUYO?
@shirimabenedict5431
@shirimabenedict5431 Күн бұрын
Tanzania siasa hazina ushindan na mvuto ccm wamejipa nafasi kubwa ya kushinda kwaiyo hakuna atakayesikiliza
@user-ms1xg1fp4v
@user-ms1xg1fp4v 6 күн бұрын
Kichaa anapigana na mlevi chakari.Hapo wote hawafai kabisa.pesa zinafanya vituko vyake tu hapo
@user-tq4lx9si1n
@user-tq4lx9si1n 7 күн бұрын
Nyinyi chaneliyenu ya kibinafs yenyelengo lakueneza habri zauwongo na upotoshaji hamjui nn mahana harisi ya habari mmekariatu ushabik na unazi unazi nachuki zdi yawatu hambao mnahonanyi hawako saii kiupandewenu rakin ss tuliyoko USA baden laispendwa sana kwawatu weusi nawahamiaji hanashda nass kabisa
@radjamtaki5597
@radjamtaki5597 7 күн бұрын
Elewa content kwanza ndo ukosoe,kama unataka wadifie2 c utazame BBC na CNN huku unafata nini????
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 7 күн бұрын
Kajifunze Kiswahili Kwanza....acha mihemko haitokusaidia
@radjamtaki5597
@radjamtaki5597 7 күн бұрын
@@salehkhalfan7345 we akili yako haiko sawa ufai kucomment kabisa huku mana wa2 wasio na akili ndo hua wanadeal na v2 vidogo vodogo visivyo na maana na wanaacha v2 vya msingi,nazan ulielewa ila ukosefu wako wa akili umeona hyo typing error ndo k2 cha kukosoa
@malongoisack5811
@malongoisack5811 7 күн бұрын
Yaani wewe unaishi USA halafu hujui hata kuandika kumbe hata USA wajinga wapi
@svt3
@svt3 7 күн бұрын
Rudi shule kwanza ujifunze ku andika, ukijuwa kuandika unaelewa wanacho ongea, go back to school education is important
@mrdaslam301
@mrdaslam301 7 күн бұрын
GPS flashback
@mrdaslam301
@mrdaslam301 7 күн бұрын
GPS flashback
@mrdaslam301
@mrdaslam301 7 күн бұрын
GPS flashback
Дибала против вратаря Легенды
00:33
Mr. Oleynik
Рет қаралды 4,9 МЛН
Tom & Jerry !! 😂😂
00:59
Tibo InShape
Рет қаралды 66 МЛН
"I'm Not Antisemitic” Roger Waters vs Piers Morgan On Israel-Palestine & More
1:10:36
Piers Morgan Uncensored
Рет қаралды 1,5 МЛН
Что делать, если отказали тормоза?
0:12
РОССИЯДА МУСОФИР АВАРИЯ БУЛДИ
0:17
Yakka Tv
Рет қаралды 3,5 МЛН
Proses Buat Spoiler Hino Lohan
0:55
MR. JUBRIT
Рет қаралды 9 МЛН
#рек #automobile #авто #обзор #машина #топ #mercedes
0:52
Анастасия Адаева
Рет қаралды 1,8 МЛН