Kipindi changu pendwa aisee mnanipa burudani na elimu kubwa sanaa we love you ❤️ SNS
@farusaimon34904 күн бұрын
Ni Bonge la Darasa! Hongereni sana na thanks 🙏!
@sonnyr18994 күн бұрын
Wakenya wapewe maua yao tu 💐💐💐
@fahmanalbulushi29254 күн бұрын
Dj smaa umeongea kitu ambacho. Mm ninakifanyia research na kukiandika na Mada mnayonzungumza hapa ninkama mpo kwenye mind yang bigup
@Gody3603 күн бұрын
Unarusha wapi
@jonathanshamazi98214 күн бұрын
Big love from Uganda 🇺🇬 GPS is the best
@user-gb1hn5ml8y4 күн бұрын
From south Africa Durban tunawapata vizuri sana SMS tunaomba makala ya Sisi wakimbizi huku kwa serikali hii iliyopo maderekani tutaendelea Ku ishi vizuri kama Zamani maana kamata ime Kua nyingi kwa kipind hiki cha karibuni
@amriseleman93954 күн бұрын
SKY MUALIKE HAPO MPOKI BUYAMWANAGASYA, ISAYA BENSON MWAKILEMBE NA GPS TEAM KWENYE HIYO COVERAGE YA AFRICAN HISTORY HISTORY 👏
@user-hx2if3ep2m4 күн бұрын
Comment yangu brother, 😂😂 Nasistiza Mpoki na Mwakilembe waalikwe tule miwa pamoja
@ilalikilimo4404 күн бұрын
Sema amualikee thabit mrangi yule ndio kasomea geopolitics na anafanana na hao.... Lile jembee
@GraceMashinga-be9wb4 күн бұрын
Yes thabit mlangi anatakiwa pia siku Moja moja
@bishweko4 күн бұрын
Asimuache pia Price Katega
@GeorgeAkasha-zx2rj3 күн бұрын
@@GraceMashinga-be9wbMuda wake mchache sana yule, ni mhadhiri wa chuo kikuu Mwlm NYERERE.
@hassanmkufya28674 күн бұрын
Historia ya mkwawa safi sana tuletee kwa kina. Nasikia alisilim huyo bingwa
@charlesmpemba93874 күн бұрын
Yaani hii kitu Cha history imekaa vizuri sana
@graciouskazuri23274 күн бұрын
Nawapendaga sanaaa sns ❤watching from kenya
@nomoboy1523 күн бұрын
Sema Ali kaongea point nzuri Mabunge YETU yanatakiwa yaendelee nasisi wananchi tushilikishwe kwenye maamuzi ya kitaifa weka mkataba unda application tuzipigie kura hii inatakiwa ifanyiwe kazi 💯💯💯
@yasminmustafa22824 күн бұрын
Today l listened to dudubaya and he is very knowledgeable on kenyan politics l think inviting him as a guest to the panel on this issue would be good
@jedidahbintidaudi82414 күн бұрын
do you have that link or title nikamsikie kaka yangu? dada yako hapa toka Tanzania
@yasminmustafa22824 күн бұрын
@jedidahbam not sure which channel it was just type dudu Baya am sure itakua tu
@jedidahbintidaudi82413 күн бұрын
@@yasminmustafa2282 thank you sir
@user-ui1cj5re9k4 күн бұрын
Hongereni sana tukopamojaa nawapenda🎉
@yasminmustafa22824 күн бұрын
Also please note in kenya we have a new constitution so we are learning as we go
@jamilaathumani54814 күн бұрын
Tutasapoti innshaala kwamana tunapenda kujifunza Kila siku
@ramamabinda50634 күн бұрын
Daah aisee leo nimefurahi sana kwa kugusia mambo ya kihistoria na tunayoyasoma mashuleni na vyuoni. GPS imulikie hili na mfanye kipindi kirefu, nadhani tutafaidika sana
@trendz_25484 күн бұрын
❤❤❤❤mnafanya kazi nzuri sana. Love tokea Kenya
@omarsheha5664 күн бұрын
Mimi Niko Netherland ila nikirudi kazini kama sijaona hamuja jadili hamujaweka kipindi chocolate KZfaq bas nakua sina amani maana mukiwa munakadili hizi GPs bas niona Africa kuna future ❤❤
@GeorgeAkasha-zx2rj3 күн бұрын
Netherland ya Nyoko.
@hamimhassan93542 күн бұрын
Tukiwa na nguvu in shaa Allah tuta support. Allah akuhifadhini na akuongozeni kila hatua zenu za maisha na maisha yenu.
@broamzКүн бұрын
Very smart people with a candid conversation. Kazi nzuri majirani
@khamisshee8034 күн бұрын
Insha'Allah tuko pamoja One love AKA BACHUCHU MOMBASA 001 +254
@simonlunyelekwe55204 күн бұрын
❤❤❤❤ sns🇰🇪🇰🇪
@shantalismailhassan98782 күн бұрын
Asanteni sana wote vichwa na Henry leo nampa maua yake kaua💐💐💐
@matanohassan96674 күн бұрын
MI MKENYA MOJA KATIKA CHANEL PENDWA NI SNS NAPENDA SANA NEWS ILA SNS NDIO MAMA CHANNEL KWANGU NYENGINE PEMBENI NAPATA ILIMU AMBAZO SIKUWA NAZO SASA HIVI KATIKA KATIKA VIKAO VYA SIASA ZA WEST NA AFRICAN NIKIONGEA WATU HUNIULIZA NINESOMA WAPI NAWAMBIA NIKO ACADEMIC YA JD SMA
@jafaribori54284 күн бұрын
DJ nakupata vizuri sana nipo hapa England
@adronicokalumna2 күн бұрын
Mi lazima niwasaporti maana mnatudisha vingi sanaa big hug all member👊
@christianfinda72693 күн бұрын
Asante sn wana sns,nmeguswa sn na hiyo historia ya ma chief wetu...plz muingie deep zaidi tutawa support
@Gody3603 күн бұрын
Yaan mnaongea point kinoma kama ungepata nafasi serikalin upande wa ushauri mmgeupiga mwingi sana 🫡
@nsabimanaabedi5414 күн бұрын
Kwali na wapata GPS
@nomoboy1523 күн бұрын
Baada ya kuangalia mahojiano na Mh W.Ruto na waandishi wa habari natamani kuona SNS siku Moja watakaa kama ule mdahalo Amen
@abel_esam2 күн бұрын
Nyinyi ni LULU kwa taifa hili Mnatupa maarifa ambayo tunakosa kuyapata sehemu nyingine You complement each other SKY you moderate the team very well DJ SMA and MWINUKA are the best kwenye kutengeneza hoja na kuwa watulivu na pia wanajua mambo mengi sana. ALLY MASUBI is also good, changamoto yangu ni hakubali ku-learn and ku-unlearn, lakini pia ana interrupt wenzake sana. Not all the time you can be right Nawapongeza Sana
@karirekinyana97594 күн бұрын
Nawapenda sana ❤ tunawafuatilia hapa Danmark ❤
@fahmanalbulushi29254 күн бұрын
Na kuhusu kalenga nimefika ni pahala pazuri Sana
@abrahamhabarugira24834 күн бұрын
Mimi napenda sana ici kipindi niko Switezerland ndacangiya kwa kweli kitu tunapitiya uku Europ itakuwa Sawa
@jamilaathumani54814 күн бұрын
Dj smaa ..na kaka sky..wakati mwingine mualikeni dokta sure mje mdiskasi kuhusu history ya Africa history ya binadamu nakazalika ..hata kuhusu mambo ya sayansi ya dunia ..yule jamaa dokta sure anamadini Sana mualike kwenye kipindi
@arkei40033 күн бұрын
Dj sma ......angali historia ya ruto vizuri utamjua 😂
@oscafrica1Күн бұрын
Im proud of this crew guys.Keep it up
@frankmushendwas374 күн бұрын
Sky dj smaa ally mnafanya kazi nzuri sana yani mm mmenifanya nisiangalie tv wala chochote nikikosa gps nahisi kukosa raha kabisa
@SimuliziNaSauti4 күн бұрын
Tunashukuru sana Frank
@MohamedSalum-kr6nz3 күн бұрын
Yani tangu nianze kufatilia sns na mm kitaa na bishana kwa fact na wanakaa mpak wanajiuliz nimeanz kufatilia lini iv vitu kumbe kumbe na copy uku na pest kule😂
@3erffeoui864 күн бұрын
CC AFRICA HISTORIA YENYE IKO NI YA RWANDA NA UGANDA YA IDI AMINI TU
@sharifahabsi50044 күн бұрын
Pamoja frome Oman 🇴🇲
@3erffeoui863 күн бұрын
sasa hiyo mzee jomo kenyatta na moi ndio walianzisha apa kenya ndio maana hizo family mbili ndio tajiri na karibu arthi yote ya kenya wana miliki
@Chrisblaze-beats3 күн бұрын
Nategemea Kufungua studio nikimaliza chuo. Henry lazima awe wakili wangu.(mwanasheria) yupo smart sana. Wenzake wakiongea anakaakimya kabisa sio anapata mhaho wa kutaka kuongea. Wote wapo sawa ila HENRY taaluma yake nntataka niitumie kwa kweli. Me ni Marketing degree holder mmoja ivi.❤
@piussogoye4 күн бұрын
wana sns mpo vizuri sana, Tanzania na Afrika kwa ujumla tunaponzwa na ukoloni mamboleo,, mfumo huu wa elimu tumeletewa, kama tungelikua na mfumo mzuri wa elimu elimu Hawa mashujaa wetu tungeliwaenzi kwa kuwasimulia vizur
@billskeez924 күн бұрын
Kwa Kweli tunaomba sana wana SNS wote tuweze ku support GPS na mambo mengine ili tuweze ku enjoy na BLoG yetu hii pendwa❤❤❤
@mathayobmasunzu2784 күн бұрын
Introduction nzuri san...
@Chettymlambalipsi-lb9km4 күн бұрын
Intro ya leo nimeipenda sana. ❤❤
@jedidahbintidaudi82413 күн бұрын
Round-table ya President Ruto na kina Linus mmeiskia ndugu zangu? tunaomba basi hiii mlete humu tuskie. alafu mkiweza tafuteni Mkenya muweze mpigia simu kwenye hiii discussion..that would be so cool
@kevicristian27383 күн бұрын
Mwijaku wa Kenya yule au?😂😂😂😂😂
@GeorgeAkasha-zx2rj3 күн бұрын
Sema Henry Mwinuka anajua sana
@3erffeoui864 күн бұрын
hii katiba tuna tumia sahii ya 2010 ruto alikua anaipiga kwa kupiga NO wakati HIZO ni kibaki na raila ndio walisukuma sana ikapita
@EliaSinkala-ou7po3 сағат бұрын
This is so amazing guys🔥
@zulekhasaeed60463 күн бұрын
Ninasapot sana nikikanyaga tu tanzaniya nitasapot nduguzagu
@bishweko4 күн бұрын
Nashukuru sana kwa GPS hii. Nimejifunza mengi.
@billskeez924 күн бұрын
Mungu awabariki sana Crew ao TEAM yenu iendelee kuwa hivo, MUNGU aepushe tu hewa mbaya isije tokea
@osmanmohammedosman54934 күн бұрын
Kiukweli tutawasapot GPS na SNS coz tunawakubali sana
@mwl.michaelsainethmlowe26414 күн бұрын
Noma sana huku dododo!
@yasminmustafa22824 күн бұрын
Dude does not even obey court orders..the judiciary declared the housing levy unconstitutional....huyu aende..we are tired
@yasserhumphrey32954 күн бұрын
Nawaelewa sana wachambuzi, wakenya wakimpoteza Ruto watajuta, sababu namuona ni mtu mwenye maono ya mbali kama mwendazake awamu ya 5 wa Tz 😭😭😭
@MamyHamso4 күн бұрын
Mchukue ww akuonee wewe hayo maono😢
@yasminmustafa22824 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@shijakuligi26743 күн бұрын
sawa nimekuelewa sana na vizuri mnoo sasa naomba kujuwa kutoka kwako ndungu zangu wana gps je hamuoni ulazima wa nyinyi kuweka historia ya kweli kwa kizazi kijacho? na siyo kusema bila kuweka kwa faida hijayo mwisho na wapenda sana na kuwa kubali kwa dhati yangu...
@ilalikilimo4404 күн бұрын
Brother sky mtafuteee jamaa mmoja anaitwaa thabit mrangi ni mzuri sana kuchambuaa mambo ya geopolitics very interesting.... Ajee aongezee nguvuu hapoo mtakuwaa mko full...
@wadeelegbogun30154 күн бұрын
Wakenya tunawapenda sana, mmetuamsha.
@Hassan_Mengi4 күн бұрын
Big up sana GPS, nawapa vzuri nikiwa Seattle
@jedidahbintidaudi82413 күн бұрын
Henry has a point here 1:05:07- 1:16:21
@user-vt2oj3sr4k4 күн бұрын
Mungu awape nguvu kutupa elim natutakua pamoja.
@mohamedrashid65782 күн бұрын
Katika sehem pia tunapenda kujua historia yake ni KILWA
@Cabosport4 күн бұрын
Nimeipenda hi historia 🇲🇿 nachangia shilingi 1.000
@MariamMasunga-v7n2 күн бұрын
Kiukweli yote mliyosema ni mazuri lakini lazima mfaham ukoloni Bado unaedelea Kwa njia zingine
@ChumanaSusi4 күн бұрын
Ruto mwizi na fisadi mkubwa tumemkataa. Mtu anongeo urongo kila siku na kufyonza pesa zetu. Tunataka sisi 🇰🇪 kujua kodi zetu zinaenda wapi,mikopo tunalipa ilifanya nini? Total audit ya deni yetu ndiyo tunataka period. Kisha ruto akanyange chini
@sarahonguso61872 күн бұрын
Changing a Kenyan constitution is not easy, you have to go to the people and do what we call Referendum.... And going for referendum, is a lot of money.
@elijahm.muthini4 күн бұрын
mmenichaniua wasee✌️
@Brunotarimo104 күн бұрын
Ruto must Go
@abkhamsalshamte4294 күн бұрын
Brother's mambo ni mengi, kwanza mimi napenda Tujizoeshe kujita WABANTU kwanza na sio WA AFRIKA NA mukianza nyinyi apa sns itakua mwanzo mzuri wa kujikomboa. Chengine serekali zetu zinaongz kwa uwongo mwanzo hadi mwisho hakuna chengine, ndio maana historia ipo lakn wanadanganya. Wala hawajali.😢
@NuruAiwen4 күн бұрын
Natamani siku mzungumzie historia ya mashujaa wetu wa tanzania
@ShabanNyange3 күн бұрын
Mabrooh mnamadini sana,Wanaotuongoza hatukuwachagua na tunaotaka wawe viongoz wetu Hawatakiwi na mfumo😢
@Agath454 күн бұрын
Pamoja sana nitasapoti
@yusuphrashidi-dr1kb4 күн бұрын
Ally mnigeria kweli ka change topic faster 😂
@mpjozzegalvanize49264 күн бұрын
😂😂😂 aliona wanaenda mletea chawa wa migration
@shenamtukufu12244 күн бұрын
Nawapenda sana wote big up sana wakali
@hassangaddafi23474 күн бұрын
Zakayo must go 💔💔🇰🇪🇰🇪
@fistonmakasi38034 күн бұрын
Kesho njoo mach
@adnanomary19554 күн бұрын
Big up sana brothers
@sarahonguso61872 күн бұрын
Those members of parliament you're blaming, remember they were forced by being bribed 2M, to vote yes 😮😮😮
@nomoboy1523 күн бұрын
Freddy Kuna min spiker kwaajili ya laptop unaweza ukatumia kwaajili ya kuongeza sauti lakini pia wakati wa editing unaweza ukaiweka ikaungana na video yote
@dunstunnchimbi79944 күн бұрын
Nakuja kuungana tena na Ally Masubi katika hili. Ruto mwenyewe alisema kwa kama angepata nafasi ya kuwaelekeza wakenya nini kipo kwenye mswada huo wa fedha basi wakenya wangemuelewa na kuupitisha. Ndo mana nasema naungana na Masubi kwasababu yawezekana kwenye chama chao ambacho ndicho kiliunda serikali ya Ruto walikubaliana ndani ya chama wapitishe mswada huo wao wakiamini kwa maslahi mapana ya taifa. Kwahiyo mpaka hapo Ruto na chama chake pamoja na wabunge wake hawawezi kujitoa kwenye hiyo lawama.
@MohammedBwanga4 күн бұрын
Sky,Ally,sma,Mwinuka, hongereni sn mumeanza kw kuongea kitu muhimu kuliko hiyo mada ya. Leo.hakuna uyatina umasikini lkn ujinnga km kuficha kufundisha historia ya ukweli ktk mashule na badala yake kupotosha haya ni maradhi yanayyofugwa ambayo mwisho wake ni kifo,lkn nii Zaidi ya ukoloni.
@aloycekomba14 күн бұрын
Kaka sky naomba nafasi nijitolee kufanya kipindi cha michezo
@jamilaathumani54814 күн бұрын
Unajuwa dj sma mambo mengine yani yanatia hasira sana mambo ya uwongoz wakiafrika wanakuwa sio waadilifu..wanatia hasira kwer iv..yan wanakula keki yataifa wenyewe viongozi wakati wananchi wanahari mbaya..alafu wanatulimbikiza madeni makubwa mpaka wanatutia maden..wakati wao ndo wameenda kuchukua bila kutushirikisha...yan ni mambo ya ovyo sana hawa viongoz..yan yanatia hasira sana
@YasiniMkakile4 күн бұрын
Kwenye ufisadi akikutwa kiongozi waweke sheria ya kukatwa kichwa
@charlesmartin5694 күн бұрын
Upo vizur sana ndugu yangu yani mm ili nilale lazima nitafute chote chakwenu nisikilize ila kunasiku nitakuja tuongee tujue namna yakusaidiana brother mwezi 8 nitakucheki brother ila napenda sana mnachokifanya..
@mwanahawahawaa74854 күн бұрын
Afadhali uhuru alikua mlevi lk Kenya 🇰🇪 ilikuwa si mbaya
@adamhatibu99934 күн бұрын
Makin sana
@iamprincefelix4 күн бұрын
finance bill ni mapendekezo ya upatikanaji na utumiaji wa fedha lakini kuna allocated budget ambayo ipo tayari , nchi inaeza endelea bila io finance bill
@mussamkanga33294 күн бұрын
Salute GPS
@worldhappiness11814 күн бұрын
Kwenye scramble for Africa, ikiwezekana iwekezwe pendekezo la Movie kabisa za kiasili za kwetu. Tunaona Chinese tunajua joseon, gourueo mpaka ikazaa china, korea n.k. lakin huku kwetu hamna anayejua kwann ni Morogoro, ikawaje Tanga n.k
@michaeljuma77644 күн бұрын
Big up guys🎉
@yvesgrace_z71524 күн бұрын
🔥🔥🔥❤
@novusengineering_tz45234 күн бұрын
Wachambuzi wote wa GPS peponi😂😂😂😂....wa kwanza kuingia n mwanasheria wetu, umetema nondo vibaya mnooooo....anafaa kuwa mshauri wa Ruto na kenya
@wadeelegbogun30154 күн бұрын
Jikiteni na Tanzania, tza yenyewe imetekwa, na kuuzwa juu kwa WAARABU, amkeni, amkeni, amkeni, fungueni macho 4.MSIKUBALI KUWA WATUMWA TENA KWA WAARABU