MWANASIASA nguli wa UK akosolewa kwa kudai MAGHARIBI walichokoza VITA vya Ukraine, anamkubali PUTIN

  Рет қаралды 32,774

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

16 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 161
@MsAggie5
@MsAggie5 14 күн бұрын
Nilikuwa simpendi Farage kwa kauli zake za ubaguzi, lakini katika hili amesana ukweli, western wamem provoke Putin, haina ubishi.
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 13 күн бұрын
Asante sana sky na dj smaa the best channel
@mohamedabdulkadir6186
@mohamedabdulkadir6186 14 күн бұрын
SNS to the world🎉...Kweli huyu DJ SMAA kiboko
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 14 күн бұрын
Baada ya crown media ninayoipenda ni Sns
@remybuyenzi1856
@remybuyenzi1856 14 күн бұрын
Msema kweli kila siku atapingwa na Marekani na Ulaya
@allahisone6386
@allahisone6386 14 күн бұрын
Exactly
@MaugadoMaugado
@MaugadoMaugado 14 күн бұрын
Uko sahih mzee
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 13 күн бұрын
❤❤❤kasema kweli kabisa na maisha yake yapo hatarini mungu amsimamie❤
@niffonlinetz7214
@niffonlinetz7214 13 күн бұрын
MWANETU DJ SMA THE GENIUS MAN
@zakariaabdalla-uo3nk
@zakariaabdalla-uo3nk 14 күн бұрын
Wapo wanamkubalu putin ata uko magharibi na marekan
@aftapat5365
@aftapat5365 13 күн бұрын
asante sana dj 🇨🇦
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 14 күн бұрын
SHIDA YA MASHOGA UKIONGEA UKWELI APOAPO UMEGEUKA ADUI KWANI WALIZOEA KUUDANGANYA ULIMWENGU
@allahisone6386
@allahisone6386 14 күн бұрын
NDIOOO
@allykwaya
@allykwaya 13 күн бұрын
Kabisa
@zanzibarsmzenji
@zanzibarsmzenji 12 күн бұрын
😊
@saphinamirambo8171
@saphinamirambo8171 13 күн бұрын
Nimekubali bj sma
@uwimana6533
@uwimana6533 14 күн бұрын
Hatari sana
@lukafbbwebelof3874
@lukafbbwebelof3874 14 күн бұрын
Uwongo ndio Democrats ya Marekani na Nato.
@malitomalito
@malitomalito 13 күн бұрын
Kama ccm hapa kwetu
@tosh48
@tosh48 13 күн бұрын
Big up SNS
@maneno-my4lu4dt8i
@maneno-my4lu4dt8i 13 күн бұрын
Siku zote ukweli watu hatuupendi😢
@GraceMashinga-be9wb
@GraceMashinga-be9wb 13 күн бұрын
Sns ni number one 💯💯💯💯💯💯
@ericmutalemwa8040
@ericmutalemwa8040 13 күн бұрын
That is the reality everybody know
@asingizibwejacobkalokola7351
@asingizibwejacobkalokola7351 13 күн бұрын
Yupo sahihi
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 14 күн бұрын
Magharibi c waongo na propaganda za media ....Uongo ni dalili ya siku za mwisho....
@swedikagusa9300
@swedikagusa9300 13 күн бұрын
bro sky tunashukulu kwa kuweka vjana wajuz ktka jukwa la siasa za dunia ni jambo kubwa xana lakupongwe mimi napenda wanavyo tofautiana mitazamo
@kefamariba6622
@kefamariba6622 11 күн бұрын
The man has said the truth. Anyway nation kin could not allow that
@Gulfnas1
@Gulfnas1 13 күн бұрын
Ukweli na uongo kamwe haviwezi kaa sehem moja, sawa na maji na mafuta hata siku moja haviwezi kaa sehem moja!! Dunia ya sasa si ile ya Afghanistan na Iraq au Libya
@richq8678
@richq8678 13 күн бұрын
Alooo nyie watu acheni tyuu niwaombee kwa mungu maana Sina feza ila yooh❤ mnanikisha sana
@user-lv4cx1sc5d
@user-lv4cx1sc5d 13 күн бұрын
Ingekuwa afrika wangeingia na na viatu
@user-ct4xj8ty7t
@user-ct4xj8ty7t 13 күн бұрын
Yupo sahii
@jerryndondole1965
@jerryndondole1965 13 күн бұрын
Sma kama kawaida yako, Facts na logic
@shabanbisaki
@shabanbisaki 7 күн бұрын
Kasema kweli ukweli unauma hata mitume wote wapigwa vita kwa kufikisha ukweli
@meshackgeorge6646
@meshackgeorge6646 11 күн бұрын
Smaaa noma na bwana masubiiii wanatupa madin sanaaaa
@fatimasaid9469
@fatimasaid9469 14 күн бұрын
Asiofaa kafaaaaa 😂❤❤❤. Wasiemuhitaji . Wamemuhitajii😅
@matanohassan9667
@matanohassan9667 13 күн бұрын
Kizi mkazi😅😅😅
@saidirakozi1809
@saidirakozi1809 13 күн бұрын
Bint yangu
@mjukuuwaaloyce4743
@mjukuuwaaloyce4743 14 күн бұрын
Me nakumbuka wakati wa operation tuliona wakitafuta mabomu yaliyo tegwa je ni nani aliye yatega??? Hawa nato ndio chanzo na hiyo ndi maana ya operation
@user-fj5dy9hh5v
@user-fj5dy9hh5v 13 күн бұрын
Km wanaupigia upatu ushoga hawawezi kua wakweli kwa jambo lolote wamagaribi watapinga chochote kinachoenda kinyume na matakwa yao
@user-pd5hl9di2q
@user-pd5hl9di2q 13 күн бұрын
Hata wakimkosoa kwa jaziba lakini meseji sent
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j 13 күн бұрын
Putin point zinaongezeka hata wao wanamwelewa kwa kazi yake
@user-pd5hl9di2q
@user-pd5hl9di2q 13 күн бұрын
Kawapasua kwani hawajui waliyatimba wenyewe, acha putini awahangaishe
@jerryndondole1965
@jerryndondole1965 13 күн бұрын
Ukweli utabaki kuwa Ukweli, wanajikuta wanauongea bila kupenda
@saidyabdalla7410
@saidyabdalla7410 12 күн бұрын
Very true
@LuganoAmwamsojo
@LuganoAmwamsojo 13 күн бұрын
❤❤❤❤
@zacharynjuguna8709
@zacharynjuguna8709 12 күн бұрын
Ukraine has Gold Haiti natural resources Gaza natural Gass..
@mjukuuwaaloyce4743
@mjukuuwaaloyce4743 14 күн бұрын
Kumbukumbu ya mwanzo kabisa wakati wa kuanza operation ya mpaka kati ya urusi na Ukraine na mrusi alikuta mabomu je mtegaji ni nani????nipeni jibu hapoo
@allykirunginyamka9171
@allykirunginyamka9171 13 күн бұрын
Hii vita hawaijuii, akili zao ni fupo sana kufikiria chanzo au. Watu wa na lengo gani kuanzisha hii vita.
@shabanbisaki
@shabanbisaki 7 күн бұрын
Jamani kenya nayo inajiingiza mmm
@MbojiHokororo-vl5uf
@MbojiHokororo-vl5uf 13 күн бұрын
Garage yupo VIZURI, Kama aliweza kutabiri vita Ukraine/urusi miaka 10 ikiyopita nikutokana na mwenendo wa EU NA NATO,
@user-po9wi5lh1o
@user-po9wi5lh1o 13 күн бұрын
Uraya wamezoea vitu vya Kona Kona wameona wamtumie zelenski kuibomoa urusi ili wachukue mali za bule bule maana urusi anamali nyingi na Hana mambo ya Kona Kona mkisainiana biashara mnafanya biashara kweli sio hao ulaya mifumo yao sio ya kutuinua Africa kiuchumi isipokua kutunyonya angalia mikopo ya mabenk sio yakumuinua mwananchi msipokua kumumiza kabisa yote hii mifumo yakutokea huko
@user-tu6kb6de4u
@user-tu6kb6de4u 12 күн бұрын
Please kindly bring discussion on Vietnam war
@BenPeter-vp2cy
@BenPeter-vp2cy 13 күн бұрын
Awa jamaa wanapaswa kujua uongo unakikomo chake😂 ila nimeenjoy sna wakipeana doz wenyew kwa wenyew kwanza
@user-hw9yq5so9z
@user-hw9yq5so9z 13 күн бұрын
Bro tunaomba sitori zakenwa Kenya
@YussufMohd-fc1dj
@YussufMohd-fc1dj 13 күн бұрын
tunakuelewa mkuu
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 13 күн бұрын
Tatizo la wazungu ukiwambia ukweli wanakuatack kwa matusi na kejeli hawana hoja. Putin hata sisi huku masikini tunamuelewa sana kuliko ulaya na Nato
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt 13 күн бұрын
Kiukweli mchabuzi upo sahihi kabisa ugomvi huu unaendelenzwa na Mataifa ya maghalibi
@MbojiHokororo-vl5uf
@MbojiHokororo-vl5uf 13 күн бұрын
Watu huwa hawapendi ukweli au kuambiwa ukweli
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 13 күн бұрын
Best best
@JoelFortunatus-du8ww
@JoelFortunatus-du8ww 14 күн бұрын
Hata huyo mkosoaji anaongea hamalizi anapuliza na kung'ata sio kwamba urusi 🇷🇺 ilikiwa na kosa kuivmia Ukraine 🇺🇦 urusi 🇷🇺 alienda kuwakomboa warusi wanaongea kirusi ila alivyo sema kwamba NATO ndio ilichochea vita na ndoo Bado inachochea Yuko sahihi
@GucciJackson-sw6pg
@GucciJackson-sw6pg 14 күн бұрын
Ivi ni kweli madem wanapenda hela au sipendwi😢
@RamadhaniMohamedi-de2vc
@RamadhaniMohamedi-de2vc 13 күн бұрын
Madem wala awaelewekagi wapo kama vibwengo tu😂😂.
@happymrema7487
@happymrema7487 13 күн бұрын
Kwan weww huna ela
@abuusufian6506
@abuusufian6506 13 күн бұрын
Uraaaaaa
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk 13 күн бұрын
🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿👏
@mohayussuf2057
@mohayussuf2057 13 күн бұрын
Nigel faraj he man of true
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 13 күн бұрын
But he is anti Muslims
@radjabusuleiman6486
@radjabusuleiman6486 13 күн бұрын
Adi Morgan kamshambulia
@MuraniSalim
@MuraniSalim 13 күн бұрын
Fact 10:40
@user-sd5hj2im4q
@user-sd5hj2im4q 13 күн бұрын
Wakiambiwa ukweli wanaupinga miongoni mwao ni wao wanasema ukweli kisha wanatengwa na kuzushiwa kesi, mizengwe kibao km walivo ya kw Donald Trump
@user-pd5hl9di2q
@user-pd5hl9di2q 13 күн бұрын
Magharibi wameumbuka walijifanya sana wanatetea uhuru wa maoni, kumbe wanasema wengine ili wajue ya webgine sasa zamu yao nao wawaache watu watoe maoni yao tuwajue nao walivyo wasimtishe
@timonleo9720
@timonleo9720 13 күн бұрын
Putin is master mind
@yahayaannu3663
@yahayaannu3663 13 күн бұрын
Wazee wa double standard 😂😂😂
@BillySmart-tk1wu
@BillySmart-tk1wu 13 күн бұрын
Wengi tu wanamkubali PUTIN Ila wanakificha 😅😅😅 nawatasema mpaka waseme #russia #africa.... Isnt is fault is BORIS JOHNSON who provoking this WAR we know the true
@MS.independent8934
@MS.independent8934 11 күн бұрын
Amesema ukwelii kbs yn ila lazima wamchukie kwasababu katowa kauli za ukwelii mtupu
@bosssyedmund8785
@bosssyedmund8785 14 күн бұрын
Sasa mim ninachojiulza kwann hio ukraine hawaiingizi NATO??
@Muhammedramadhan-xl6yg
@Muhammedramadhan-xl6yg 13 күн бұрын
Hee wanajua mziki wa urusi ndg watagongwa vibaya sana
@ngendakumanajeanmarrie7490
@ngendakumanajeanmarrie7490 13 күн бұрын
Mungu atawaanika watakuja kusema yote
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 13 күн бұрын
Hata ashambuliwe ukweli umefika
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 13 күн бұрын
Sasa wanaongea ukweli wenyewe
@samwelynzaly1175
@samwelynzaly1175 13 күн бұрын
Mpaka mseme si Kaz tu Amna maneno Ni vitendo tu
@uwimana6533
@uwimana6533 14 күн бұрын
Wakwanza leo 😂
@djsma255
@djsma255 13 күн бұрын
🎉
@Mumewangu
@Mumewangu 13 күн бұрын
Nchi za Ulaya zinamkubali huyu mwamba lakin wanamuogopa mmarekani tu. Na huyu wakimfukuza uengereza atakimbilia urusi.
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 13 күн бұрын
Wacha wamtukane anaongea ukweli kaamua kua mkweli bass
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 13 күн бұрын
Uingo na hadaa ndio vinaongoza dunia
@zulekhasaeed6046
@zulekhasaeed6046 13 күн бұрын
Asema kweli puten pekeyake ❤
@user-gi2jv4kl7s
@user-gi2jv4kl7s 13 күн бұрын
DJ sma huna mbaya kila habari unayoitoa nondo.halafu nimekwambia achana na machawa na mashoga wanaotumwa kukupinga ili kukuchafua.sisi tutadeal nao
@djsma255
@djsma255 13 күн бұрын
🤝
@user-gi2jv4kl7s
@user-gi2jv4kl7s 13 күн бұрын
@@djsma255 fanya kazi mtegemee mungu tu.unakipaji kikubwa Sana na una akili kubwa mno kwenye uchambuzi mm nakufatilia Sana Dj muda mrefu tu Hawa wengine juzi tu ndo wameanza kukufahamu.na ndio Mana Wana kuattack sana.wachambuzi n wengi TZ lkn km serekali inatoa tuzo kwenye wachambuzi 10, Wallahi DJ sma na wewe unastahiki..Dj sma mm na miss Sana harakati zako vile ukisema nilikua Kenya kesho nitakuja Senegal kwasbb y kushare mawazo na watu na kutafuta habari pia za kina hii Ina nifanya hata mm nielewe kua life Ni kupambana One day naweza nikafanikiwa.so!! Unatufunza mengi tu DJ.but majitu yasiyo challenge akili yanataka kukurejesha nyuma inaumiza sana..Ila one day watakuelewa ingawaje wao humu ndo the first kununua bando na kusikikiza taarifa za SNS..pig up DJ sma sky Ally n frenk good jop under leader DJ sma.
@KenedyThabiti
@KenedyThabiti 13 күн бұрын
Mpuuzi huyo
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 13 күн бұрын
Mnaanza kuwakataa mashoga wenzenu
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 13 күн бұрын
Putin uwe makini na mtu huyu asije kuwa ametumwa na NATO ikawa ni mbinu tu za kivira
@shaviercharvinho18
@shaviercharvinho18 13 күн бұрын
Lete vitu dj sma qamekula za uso 😂😂😂😂😂
@Supershopdubai-ck8td
@Supershopdubai-ck8td 14 күн бұрын
Ukweli lazima usemwe from 🇧🇮💐🙏
@allahisone6386
@allahisone6386 14 күн бұрын
WOMUHIRA❤🎉
@user-fj5dy9hh5v
@user-fj5dy9hh5v 13 күн бұрын
Kaka hawangilii chanzo chanzo wanakianzisha wao ukilipiza wewe unakua mwenye hatia umesahau chanzo cha mauji ya rwanda alieanzisha yukoadarakani tena anaendeleza ushenzi kwa jirani yake alielipiza alihukumiwa
@victorngulwa2311
@victorngulwa2311 13 күн бұрын
Unatoka Sana nje ya maada Chambua hoja
@sharifuahmed8340
@sharifuahmed8340 13 күн бұрын
MASHOGA MPO weng hahaha
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 13 күн бұрын
Ww choko unaumia kwann usiende bbc
@SAMA-jw4fr
@SAMA-jw4fr 13 күн бұрын
Ukweli ndio uongo na Uongo ndio ukweli tuko katika akhiri zaman Dj Sma unajua ninachokisema
@abdallahngoe
@abdallahngoe 13 күн бұрын
Ushahidi na fact za SNS ndo utofauti wa yeye na wengine. Bro ile tunzo ulistahili kabisa
@kingwandeinvestment8002
@kingwandeinvestment8002 13 күн бұрын
Na muuseme ukweli wa siasa za tz
@MsAggie5
@MsAggie5 13 күн бұрын
Hawajipendi???? 😂😂
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 13 күн бұрын
Wataanzia wapi tz nchi yetu ni kama kakakuona
@user-vv6ox9xh9k
@user-vv6ox9xh9k 13 күн бұрын
Ukweli utabaki kua ukweli tu daima
@user-lv4cx1sc5d
@user-lv4cx1sc5d 13 күн бұрын
Marekan ndio nchi yenye uongo
@mwlpierre
@mwlpierre 13 күн бұрын
Mbona unadandia treni sio Marekani bali mlengo au sera za mambo ya nje ya Chama au uongo I wa Fulani ndio mbaya kama ni Marekani mbona Trump alikuwa fresh tu na huyo Putin ila Obama na Biden ndio wamezingua halafu kama Marekani alikosea kuvamia Iraq,Libya,Afghans basi hata Urusi walikosea pia maana isiwe Mkuki kwa nguruwe
@user-lv4cx1sc5d
@user-lv4cx1sc5d 13 күн бұрын
Labda wew
@radjamtaki5597
@radjamtaki5597 13 күн бұрын
@@mwlpierreunataka kusemaje labda????kuna watu mnahtaj elimu sana,jarbu kufatilia mambo vzur ndo uanze kutoa coment
@joycelinelyimo-fenske8745
@joycelinelyimo-fenske8745 13 күн бұрын
N vibaraka wake
@mwlpierre
@mwlpierre 13 күн бұрын
@@radjamtaki5597 nafuatilia sana kama hujui au hunijui maana Marekani aliwavamia wote hao kwa sababu ya kuvunja mikataba ya uchimbaji wa mafuta walioita ni yakinyonyaji ambayo walitia saini na serekali zao wenyewe wakati wauongozi wa watu waliotangulia ambayo waliona sio unyinyaji wakapata walichotaka yaani wakati una njaa unahitaji kushiba ukishashiba unataka mengi sasa ni bora ungekaza tangu mwanzo ikaingia mkataba mzuri kuliko kufanya ujanja ujanja kama wenzao Saudia,Kuwait,Jordan nk
@user-gc6ps6jn7m
@user-gc6ps6jn7m 13 күн бұрын
Rabda ujui tu bro mimi ninajua cna cku moja nipe nafasi nikupe story kwanini putin kuivamia Ukraine na sio urusi kuivamia Ukraine hapa kuna vitu viwili tofauti pili uyo kasuku pia anatengeneza njia za siasa tramp ni atali cna anaweza kuigawanya america sio nato tu
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 13 күн бұрын
Ww unaongea nini mbona usomeki au ww choko
@khalifasaidi7001
@khalifasaidi7001 13 күн бұрын
Ushoga bhana sasahapo alichokosea nini? Marekani na NATO ndo wachokozi
@JASTA9790
@JASTA9790 14 күн бұрын
We dj siku ukiacha na ww itikadi zako za kiisilam utaeleweka maana mchambuzi hua haegemei ww sio mwana siasa
@nizarrama225
@nizarrama225 14 күн бұрын
utakuwa ulipata zero form 4 maana huelewi kitu 😂
@swalehemusa4546
@swalehemusa4546 14 күн бұрын
Sasa udini gani na ww au ni akili huna
@mountaincoffee7
@mountaincoffee7 14 күн бұрын
😂 Kuna watu wagumu kuelewa. Din inahusiana na Nini kwenye madini ambayo hujawai PATA popote Toka uzaliwe elewa kuwa smaaa nachukua nafasi pia kufundisha. Kwa upande wapili hata kama mtu hajaenda mskitn au kanisan. Wapo wanaojifunza kitu wew huku sio mahali Pako 😂😂 dj smaa pmj kwaelmu
@MsAggie5
@MsAggie5 14 күн бұрын
Well said Jasta, nimekupenda bure 😊
@gabapentin8070
@gabapentin8070 14 күн бұрын
Ww unajua maaana ya kuegemea kaegemea wapi apo na wakat anachambua interview au ayo maneno anayotafsiri ni katunga kweli walimu wana tabu kama mwanafunzi ndo yuko hivi unaweza ukampiga shoka dara sani
@minanifreddy6969
@minanifreddy6969 14 күн бұрын
Sio kweli hamsemi kweli mnaongelea kwa ushabiki...Eti fyuzi 😂😂😂
@RamadhaniMohamedi-de2vc
@RamadhaniMohamedi-de2vc 13 күн бұрын
Toa ukweli wako wewe unataka tuwe mashoga au kwani umelazimishwa kufutilia Sns sikiliza BBC.
@BimkubwaMohd-ef6hr
@BimkubwaMohd-ef6hr 13 күн бұрын
Pita kushoto we bado mpuuzi
@BimkubwaMohd-ef6hr
@BimkubwaMohd-ef6hr 13 күн бұрын
Huez kuelimika hata ukielimishwa Huez kutofautish ukwel upi na uongo ni upi pole san
@user-rt1wf6se5f
@user-rt1wf6se5f 13 күн бұрын
Achana nae mmawia huyo kutoka msumbiji wagumu kuelewa😂😂😂
@saidswalehe932
@saidswalehe932 13 күн бұрын
Ok,huenda fuse haisemi ukweli vp huyo mzungu naye?.Au nayy ni fuse?
@DottoMussa-ro6rw
@DottoMussa-ro6rw 11 күн бұрын
ukweli umesha fika,,wapinge wasipinge ukweli umewafikia
@allykirunginyamka9171
@allykirunginyamka9171 13 күн бұрын
Babu wewe Sky na Dj smaa, mmetawaliwa na chuki but the truth ni kwamba hapo akili yenu inaishia watu walikuepo miaka 50 ilopita. Dj smaa nakurudilia ukiona ADUI yako anakusifu jua ..., kaona udhaifu wako, Mark my words.
@djsma255
@djsma255 13 күн бұрын
Keep ur words....yangu yananitosha
@Ankobiotics
@Ankobiotics 9 күн бұрын
@@djsma255 Usiogope kusema ukweli. Kwa nini unashangilia ujambazi wa Urusi?
@YusriAllyMuhammadahmad
@YusriAllyMuhammadahmad 10 күн бұрын
Ni kweli wao wamenchokoza russia
@omeraJR
@omeraJR 14 күн бұрын
Hii channel imekuwa ya propaganda qmmk ila mjue tu 🦅🦅 tupo around for next 1000 years kenge nyie na kama sio shoga tuguse 😎
@user-rt1wf6se5f
@user-rt1wf6se5f 13 күн бұрын
Bob hakuna wakumtisha hii dunia kama hutak pita hiv au shobo na sns😂😂😂😂😂😂
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 13 күн бұрын
Mbona hueleweki kama popo
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 13 күн бұрын
​@@user-rt1wf6se5fkwani we shoga babu
@user-yl3be9ix4y
@user-yl3be9ix4y 7 күн бұрын
Watanzaia mpojuu kwasimulizi zenu zaingiya akilini
MEU IRMÃO FICOU FAMOSO
00:52
Matheus Kriwat
Рет қаралды 45 МЛН
My little bro is funny😁  @artur-boy
00:18
Andrey Grechka
Рет қаралды 13 МЛН
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
2JZ 2000 сил! СКОЛЬКО СТОИТ? #shorts  #тюнинг #автотюнинг #2jz #TURBO
0:51
МАРТИН БОГАТЫРЕВИЧ garage
Рет қаралды 1,5 МЛН
Моя супер находка для велосипеда #находки #wildberries #топ
0:14