Magharibi c waongo na propaganda za media ....Uongo ni dalili ya siku za mwisho....
@swedikagusa930013 күн бұрын
bro sky tunashukulu kwa kuweka vjana wajuz ktka jukwa la siasa za dunia ni jambo kubwa xana lakupongwe mimi napenda wanavyo tofautiana mitazamo
@kefamariba662211 күн бұрын
The man has said the truth. Anyway nation kin could not allow that
@Gulfnas113 күн бұрын
Ukweli na uongo kamwe haviwezi kaa sehem moja, sawa na maji na mafuta hata siku moja haviwezi kaa sehem moja!! Dunia ya sasa si ile ya Afghanistan na Iraq au Libya
@richq867813 күн бұрын
Alooo nyie watu acheni tyuu niwaombee kwa mungu maana Sina feza ila yooh❤ mnanikisha sana
@user-lv4cx1sc5d13 күн бұрын
Ingekuwa afrika wangeingia na na viatu
@user-ct4xj8ty7t13 күн бұрын
Yupo sahii
@jerryndondole196513 күн бұрын
Sma kama kawaida yako, Facts na logic
@shabanbisaki7 күн бұрын
Kasema kweli ukweli unauma hata mitume wote wapigwa vita kwa kufikisha ukweli
@meshackgeorge664611 күн бұрын
Smaaa noma na bwana masubiiii wanatupa madin sanaaaa
Me nakumbuka wakati wa operation tuliona wakitafuta mabomu yaliyo tegwa je ni nani aliye yatega??? Hawa nato ndio chanzo na hiyo ndi maana ya operation
@user-fj5dy9hh5v13 күн бұрын
Km wanaupigia upatu ushoga hawawezi kua wakweli kwa jambo lolote wamagaribi watapinga chochote kinachoenda kinyume na matakwa yao
@user-pd5hl9di2q13 күн бұрын
Hata wakimkosoa kwa jaziba lakini meseji sent
@user-dg7wf6fg2j13 күн бұрын
Putin point zinaongezeka hata wao wanamwelewa kwa kazi yake
Ukweli utabaki kuwa Ukweli, wanajikuta wanauongea bila kupenda
@saidyabdalla741012 күн бұрын
Very true
@LuganoAmwamsojo13 күн бұрын
❤❤❤❤
@zacharynjuguna870912 күн бұрын
Ukraine has Gold Haiti natural resources Gaza natural Gass..
@mjukuuwaaloyce474314 күн бұрын
Kumbukumbu ya mwanzo kabisa wakati wa kuanza operation ya mpaka kati ya urusi na Ukraine na mrusi alikuta mabomu je mtegaji ni nani????nipeni jibu hapoo
@allykirunginyamka917113 күн бұрын
Hii vita hawaijuii, akili zao ni fupo sana kufikiria chanzo au. Watu wa na lengo gani kuanzisha hii vita.
@shabanbisaki7 күн бұрын
Jamani kenya nayo inajiingiza mmm
@MbojiHokororo-vl5uf13 күн бұрын
Garage yupo VIZURI, Kama aliweza kutabiri vita Ukraine/urusi miaka 10 ikiyopita nikutokana na mwenendo wa EU NA NATO,
@user-po9wi5lh1o13 күн бұрын
Uraya wamezoea vitu vya Kona Kona wameona wamtumie zelenski kuibomoa urusi ili wachukue mali za bule bule maana urusi anamali nyingi na Hana mambo ya Kona Kona mkisainiana biashara mnafanya biashara kweli sio hao ulaya mifumo yao sio ya kutuinua Africa kiuchumi isipokua kutunyonya angalia mikopo ya mabenk sio yakumuinua mwananchi msipokua kumumiza kabisa yote hii mifumo yakutokea huko
@user-tu6kb6de4u12 күн бұрын
Please kindly bring discussion on Vietnam war
@BenPeter-vp2cy13 күн бұрын
Awa jamaa wanapaswa kujua uongo unakikomo chake😂 ila nimeenjoy sna wakipeana doz wenyew kwa wenyew kwanza
@user-hw9yq5so9z13 күн бұрын
Bro tunaomba sitori zakenwa Kenya
@YussufMohd-fc1dj13 күн бұрын
tunakuelewa mkuu
@user-lt1bi5nr1x13 күн бұрын
Tatizo la wazungu ukiwambia ukweli wanakuatack kwa matusi na kejeli hawana hoja. Putin hata sisi huku masikini tunamuelewa sana kuliko ulaya na Nato
@LovelyOmbreSky-pu4jt13 күн бұрын
Kiukweli mchabuzi upo sahihi kabisa ugomvi huu unaendelenzwa na Mataifa ya maghalibi
@MbojiHokororo-vl5uf13 күн бұрын
Watu huwa hawapendi ukweli au kuambiwa ukweli
@mtzhalisi223213 күн бұрын
Best best
@JoelFortunatus-du8ww14 күн бұрын
Hata huyo mkosoaji anaongea hamalizi anapuliza na kung'ata sio kwamba urusi 🇷🇺 ilikiwa na kosa kuivmia Ukraine 🇺🇦 urusi 🇷🇺 alienda kuwakomboa warusi wanaongea kirusi ila alivyo sema kwamba NATO ndio ilichochea vita na ndoo Bado inachochea Yuko sahihi
@GucciJackson-sw6pg14 күн бұрын
Ivi ni kweli madem wanapenda hela au sipendwi😢
@RamadhaniMohamedi-de2vc13 күн бұрын
Madem wala awaelewekagi wapo kama vibwengo tu😂😂.
@happymrema748713 күн бұрын
Kwan weww huna ela
@abuusufian650613 күн бұрын
Uraaaaaa
@HajiKlein-so1rk13 күн бұрын
🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿👏
@mohayussuf205713 күн бұрын
Nigel faraj he man of true
@josephwilliam581313 күн бұрын
But he is anti Muslims
@radjabusuleiman648613 күн бұрын
Adi Morgan kamshambulia
@MuraniSalim13 күн бұрын
Fact 10:40
@user-sd5hj2im4q13 күн бұрын
Wakiambiwa ukweli wanaupinga miongoni mwao ni wao wanasema ukweli kisha wanatengwa na kuzushiwa kesi, mizengwe kibao km walivo ya kw Donald Trump
@user-pd5hl9di2q13 күн бұрын
Magharibi wameumbuka walijifanya sana wanatetea uhuru wa maoni, kumbe wanasema wengine ili wajue ya webgine sasa zamu yao nao wawaache watu watoe maoni yao tuwajue nao walivyo wasimtishe
@timonleo972013 күн бұрын
Putin is master mind
@yahayaannu366313 күн бұрын
Wazee wa double standard 😂😂😂
@BillySmart-tk1wu13 күн бұрын
Wengi tu wanamkubali PUTIN Ila wanakificha 😅😅😅 nawatasema mpaka waseme #russia #africa.... Isnt is fault is BORIS JOHNSON who provoking this WAR we know the true
@MS.independent893411 күн бұрын
Amesema ukwelii kbs yn ila lazima wamchukie kwasababu katowa kauli za ukwelii mtupu
@bosssyedmund878514 күн бұрын
Sasa mim ninachojiulza kwann hio ukraine hawaiingizi NATO??
@Muhammedramadhan-xl6yg13 күн бұрын
Hee wanajua mziki wa urusi ndg watagongwa vibaya sana
@ngendakumanajeanmarrie749013 күн бұрын
Mungu atawaanika watakuja kusema yote
@jonfredkewe345113 күн бұрын
Hata ashambuliwe ukweli umefika
@braystuskibassa384213 күн бұрын
Sasa wanaongea ukweli wenyewe
@samwelynzaly117513 күн бұрын
Mpaka mseme si Kaz tu Amna maneno Ni vitendo tu
@uwimana653314 күн бұрын
Wakwanza leo 😂
@djsma25513 күн бұрын
🎉
@Mumewangu13 күн бұрын
Nchi za Ulaya zinamkubali huyu mwamba lakin wanamuogopa mmarekani tu. Na huyu wakimfukuza uengereza atakimbilia urusi.
DJ sma huna mbaya kila habari unayoitoa nondo.halafu nimekwambia achana na machawa na mashoga wanaotumwa kukupinga ili kukuchafua.sisi tutadeal nao
@djsma25513 күн бұрын
🤝
@user-gi2jv4kl7s13 күн бұрын
@@djsma255 fanya kazi mtegemee mungu tu.unakipaji kikubwa Sana na una akili kubwa mno kwenye uchambuzi mm nakufatilia Sana Dj muda mrefu tu Hawa wengine juzi tu ndo wameanza kukufahamu.na ndio Mana Wana kuattack sana.wachambuzi n wengi TZ lkn km serekali inatoa tuzo kwenye wachambuzi 10, Wallahi DJ sma na wewe unastahiki..Dj sma mm na miss Sana harakati zako vile ukisema nilikua Kenya kesho nitakuja Senegal kwasbb y kushare mawazo na watu na kutafuta habari pia za kina hii Ina nifanya hata mm nielewe kua life Ni kupambana One day naweza nikafanikiwa.so!! Unatufunza mengi tu DJ.but majitu yasiyo challenge akili yanataka kukurejesha nyuma inaumiza sana..Ila one day watakuelewa ingawaje wao humu ndo the first kununua bando na kusikikiza taarifa za SNS..pig up DJ sma sky Ally n frenk good jop under leader DJ sma.
@KenedyThabiti13 күн бұрын
Mpuuzi huyo
@omarymwaluko976513 күн бұрын
Mnaanza kuwakataa mashoga wenzenu
@johnmalembo646413 күн бұрын
Putin uwe makini na mtu huyu asije kuwa ametumwa na NATO ikawa ni mbinu tu za kivira
@shaviercharvinho1813 күн бұрын
Lete vitu dj sma qamekula za uso 😂😂😂😂😂
@Supershopdubai-ck8td14 күн бұрын
Ukweli lazima usemwe from 🇧🇮💐🙏
@allahisone638614 күн бұрын
WOMUHIRA❤🎉
@user-fj5dy9hh5v13 күн бұрын
Kaka hawangilii chanzo chanzo wanakianzisha wao ukilipiza wewe unakua mwenye hatia umesahau chanzo cha mauji ya rwanda alieanzisha yukoadarakani tena anaendeleza ushenzi kwa jirani yake alielipiza alihukumiwa
@victorngulwa231113 күн бұрын
Unatoka Sana nje ya maada Chambua hoja
@sharifuahmed834013 күн бұрын
MASHOGA MPO weng hahaha
@omarymwaluko976513 күн бұрын
Ww choko unaumia kwann usiende bbc
@SAMA-jw4fr13 күн бұрын
Ukweli ndio uongo na Uongo ndio ukweli tuko katika akhiri zaman Dj Sma unajua ninachokisema
@abdallahngoe13 күн бұрын
Ushahidi na fact za SNS ndo utofauti wa yeye na wengine. Bro ile tunzo ulistahili kabisa
@kingwandeinvestment800213 күн бұрын
Na muuseme ukweli wa siasa za tz
@MsAggie513 күн бұрын
Hawajipendi???? 😂😂
@user-lt1bi5nr1x13 күн бұрын
Wataanzia wapi tz nchi yetu ni kama kakakuona
@user-vv6ox9xh9k13 күн бұрын
Ukweli utabaki kua ukweli tu daima
@user-lv4cx1sc5d13 күн бұрын
Marekan ndio nchi yenye uongo
@mwlpierre13 күн бұрын
Mbona unadandia treni sio Marekani bali mlengo au sera za mambo ya nje ya Chama au uongo I wa Fulani ndio mbaya kama ni Marekani mbona Trump alikuwa fresh tu na huyo Putin ila Obama na Biden ndio wamezingua halafu kama Marekani alikosea kuvamia Iraq,Libya,Afghans basi hata Urusi walikosea pia maana isiwe Mkuki kwa nguruwe
@user-lv4cx1sc5d13 күн бұрын
Labda wew
@radjamtaki559713 күн бұрын
@@mwlpierreunataka kusemaje labda????kuna watu mnahtaj elimu sana,jarbu kufatilia mambo vzur ndo uanze kutoa coment
@joycelinelyimo-fenske874513 күн бұрын
N vibaraka wake
@mwlpierre13 күн бұрын
@@radjamtaki5597 nafuatilia sana kama hujui au hunijui maana Marekani aliwavamia wote hao kwa sababu ya kuvunja mikataba ya uchimbaji wa mafuta walioita ni yakinyonyaji ambayo walitia saini na serekali zao wenyewe wakati wauongozi wa watu waliotangulia ambayo waliona sio unyinyaji wakapata walichotaka yaani wakati una njaa unahitaji kushiba ukishashiba unataka mengi sasa ni bora ungekaza tangu mwanzo ikaingia mkataba mzuri kuliko kufanya ujanja ujanja kama wenzao Saudia,Kuwait,Jordan nk
@user-gc6ps6jn7m13 күн бұрын
Rabda ujui tu bro mimi ninajua cna cku moja nipe nafasi nikupe story kwanini putin kuivamia Ukraine na sio urusi kuivamia Ukraine hapa kuna vitu viwili tofauti pili uyo kasuku pia anatengeneza njia za siasa tramp ni atali cna anaweza kuigawanya america sio nato tu
@omarymwaluko976513 күн бұрын
Ww unaongea nini mbona usomeki au ww choko
@khalifasaidi700113 күн бұрын
Ushoga bhana sasahapo alichokosea nini? Marekani na NATO ndo wachokozi
@JASTA979014 күн бұрын
We dj siku ukiacha na ww itikadi zako za kiisilam utaeleweka maana mchambuzi hua haegemei ww sio mwana siasa
@nizarrama22514 күн бұрын
utakuwa ulipata zero form 4 maana huelewi kitu 😂
@swalehemusa454614 күн бұрын
Sasa udini gani na ww au ni akili huna
@mountaincoffee714 күн бұрын
😂 Kuna watu wagumu kuelewa. Din inahusiana na Nini kwenye madini ambayo hujawai PATA popote Toka uzaliwe elewa kuwa smaaa nachukua nafasi pia kufundisha. Kwa upande wapili hata kama mtu hajaenda mskitn au kanisan. Wapo wanaojifunza kitu wew huku sio mahali Pako 😂😂 dj smaa pmj kwaelmu
@MsAggie514 күн бұрын
Well said Jasta, nimekupenda bure 😊
@gabapentin807014 күн бұрын
Ww unajua maaana ya kuegemea kaegemea wapi apo na wakat anachambua interview au ayo maneno anayotafsiri ni katunga kweli walimu wana tabu kama mwanafunzi ndo yuko hivi unaweza ukampiga shoka dara sani
@minanifreddy696914 күн бұрын
Sio kweli hamsemi kweli mnaongelea kwa ushabiki...Eti fyuzi 😂😂😂
@RamadhaniMohamedi-de2vc13 күн бұрын
Toa ukweli wako wewe unataka tuwe mashoga au kwani umelazimishwa kufutilia Sns sikiliza BBC.
@BimkubwaMohd-ef6hr13 күн бұрын
Pita kushoto we bado mpuuzi
@BimkubwaMohd-ef6hr13 күн бұрын
Huez kuelimika hata ukielimishwa Huez kutofautish ukwel upi na uongo ni upi pole san
@user-rt1wf6se5f13 күн бұрын
Achana nae mmawia huyo kutoka msumbiji wagumu kuelewa😂😂😂
Babu wewe Sky na Dj smaa, mmetawaliwa na chuki but the truth ni kwamba hapo akili yenu inaishia watu walikuepo miaka 50 ilopita. Dj smaa nakurudilia ukiona ADUI yako anakusifu jua ..., kaona udhaifu wako, Mark my words.
@djsma25513 күн бұрын
Keep ur words....yangu yananitosha
@Ankobiotics9 күн бұрын
@@djsma255 Usiogope kusema ukweli. Kwa nini unashangilia ujambazi wa Urusi?
@YusriAllyMuhammadahmad10 күн бұрын
Ni kweli wao wamenchokoza russia
@omeraJR14 күн бұрын
Hii channel imekuwa ya propaganda qmmk ila mjue tu 🦅🦅 tupo around for next 1000 years kenge nyie na kama sio shoga tuguse 😎
@user-rt1wf6se5f13 күн бұрын
Bob hakuna wakumtisha hii dunia kama hutak pita hiv au shobo na sns😂😂😂😂😂😂