Leo mama kanifurahisha sana, yaani nitalala msingizi mnono
@ahz6907Күн бұрын
Y?
@jedidahbintidaudi82413 күн бұрын
Mungu mfunike Yusufu...asante Kidata kwa kazi nzuri
@thomasmallya29722 күн бұрын
Watanzania cc ni wez wadanganyifu na wafifu wa kufikiri kuanzia viongoza ad raia
@BarnabasFabiani2 күн бұрын
Usi wasemee wata nzania jiseemee ww
@hadijamandanje6189Күн бұрын
Kwa kweli ulichokisema ni sahihi
@ahz6907Күн бұрын
Wewe ndio mwizi namba moja.
@chakubanga15 сағат бұрын
@@BarnabasFabianina babako pia. Kama mtanzania 😂😂😂😂
@chakubanga15 сағат бұрын
@@ahz6907msikasirike mkiambiwa ukweli. Na kama umemsikiliza vizuri, amemwambia mbele ya dunia, kuwa anajua kuwa alikuwa mwizi.. WEE UNAKASIRIKA.. Jamani.. Kwani shuzi.
@taurehassan73992 күн бұрын
Mam me nakupenda sana❤ unaongea kw upole km haumaanishi vile lkn kumbe ndo unamaanisha hvyo,Allah akubaariki
@msafiriomary8932 күн бұрын
Hakuna kitu hapo wote wezi tuu hapo
@ahz6907Күн бұрын
Kuanzia mama hadi watoto wake 😂
@henulaanthony56383 күн бұрын
Reference to Job Ndugai, once said
@Banzok7002 күн бұрын
Congratulations sana Madam president. Tuko pamoja na wewe. Mwenyeezimung akuhifadh na mahasidi na wakwepa kodi
@MACHAGGECHACHA6 сағат бұрын
Usimsifie mwizi wa taifa.! hivi nyie watanzania mnataamka lini? Magufuli alitaka kuwaamsha hamkutaka mkamuuwa>!! Shenzi nyie waswahili>!!
@AbelCharles-co6qb2 күн бұрын
Mama huwezi kupelekea wez mwizi mwenzao bana😢
@chakubanga15 сағат бұрын
Its really sad admitting thats what CCM has been doing since Independence.
@judicateurassa78172 күн бұрын
Huyu mama anajua maneno yote ya mtaani kudata ni nini
@AugustKisaka-qy7kl3 күн бұрын
Koodi ni nyingi sana, asa kwenye mfumo wa simu ,Makato ni makubwa sana, chaajabu serikali inapata ada mdogo sana ,makampuni ndio walaji wakuu,punguzieni wanachi kodi kwenye mfumo wa mpesa ,tigo pesa ,na mitandao mingine
@daudimusoma33373 күн бұрын
Sasa kumbe mama anajua kukopa ni Kama kudhalilishwa
@AwardHakimu3 күн бұрын
Anajua sana tu sema ndio hivyo yupo kwenye mfumo mikopo ni utumwa mkubwa sana inatakiwa kuikataa kwa vitendo sio maneno
@festokemibala58323 күн бұрын
Imeandikwa hata katika Biblia
@user133752 күн бұрын
Anayatak
@nkwazigatsha2 күн бұрын
Mbona rahis analalamika wakati Madilu Mwigulu Nchemba Maderu anasema kuwa mnakopa kwa sababu mu matajiri? Kumbe mnawadanganya wadanganyika? Kwanini rahisi ameteua mwizi tena anayemjua?
@davidrweyemamu9382 күн бұрын
Mimi ananikoshaga na sauti yake ya kimama kwa wanae yaani❤ I wish watendaji wake wangemuelewa my dear president!
@alanusrespicius17962 күн бұрын
Ushakopa halafu unasema eti kukopa fedheha
@EdwardMbwambo2 күн бұрын
🤞🤞
@nkwazigatsha2 күн бұрын
Mbona rahis analalamika wakati Madilu Mwigulu Nchemba Maderu anasema kuwa mnakopa kwa sababu mu matajiri? Kumbe mnawadanganya wadanganyika? Kwanini rahisi ameteua mwizi tena anayemjua?
@user-mu1hx7yv9b3 күн бұрын
Safi mama
@Optionxll_Playz13 күн бұрын
Weka system nzuri pia kila Biashala iwe on line kama Rwanda
@zanubaahmed49053 күн бұрын
Utashangaa Rwanda walijifunza kupitia TRA , sisi sijui tunakwama wapi?
@Optionxll_Playz13 күн бұрын
@@zanubaahmed4905 Unaona sasa Mimi nafikili Ni Kwa sababu WALA rushwa tunawachia tu Rwanda hawana muchezo.
@camilomassao89712 күн бұрын
Point!
@kevinmary71293 күн бұрын
Mwizi kapewa kaibe zaidi kama alivyokuwa akiiba na wenzio
@namaanwilson64673 күн бұрын
Nimefurahi sanaaa😂😂😂 Leo umeongea kwa mamlaka ya uraisinsafi mama.fanya hivi🎉
@JohnJoseph-qq7ow2 күн бұрын
Acha kujipendekeza samia si mamako
@nadirabdullahal_hinai20162 күн бұрын
Ni mama kwa watanzani wote????sifa ya heshma tu we inakukera au??????? @@JohnJoseph-qq7ow
@user-rv3ml6cf7e3 күн бұрын
Kusanya kodi acheni kukopa manyanyaso
@jeremialyati60923 күн бұрын
Na wabunge walipe Kodi
@leonardsasita46343 күн бұрын
Safi mama watu walipe kodi, Kodi ilipwe
@menelus911mene52 күн бұрын
Rais wangu ccm oyeeee 5 kwako
@DAUDISABLI-uj5em2 күн бұрын
Hongera mheshimiwa rais, mungu aendelee kukuongoza katika kuliongoza taifa letu.
@nkwazigatsha2 күн бұрын
Mbona rahis analalamika wakati Madilu Mwigulu Nchemba Maderu anasema kuwa mnakopa kwa sababu mu matajiri? Kumbe mnawadanganya wadanganyika? Kwanini rahisi ameteua mwizi tena anayemjua?
@user-zg1pu1gl2d2 күн бұрын
Mama umesema kweli kukopa tunadhalaulika kasimamie vzr Mapato
@user-ze6lx9ng6s3 күн бұрын
Mbona hawa mafisadi hauwatoi?
@c759232 күн бұрын
We kesi ya ngedele umpelekee nyani unadhani kutakuwa na salama hapo
@cryptoboy-52 күн бұрын
mtu akisha kuwa mtumishi wa selikari haondoki mpaka astaafu hata awe mwizi kias gani badala yake atabadilishiwa madalaka tu
@godlistenmangowi93282 күн бұрын
Ujamaa ulitumaliza kitambo
@charlesmwambinga43553 күн бұрын
Mama Samia Safiii ..Unapanga Kikosi kazi Vizurii...Mama Samia Kura yangu Unayo 2025❤
@masinda_tz37693 күн бұрын
Duuh acha uchawa basi
@MrA24G2 күн бұрын
Mwenda kapiga kazi Zanzibar ZRA mpk si mchezo.
@JohnJoseph-qq7ow2 күн бұрын
Acha kujipendekeza samia si mamako
@khamishemedi85173 күн бұрын
MAMA Allah azidi kukusimamia katika ubora wako maana una nia njema kwa wananchi wanaojitambua kwa maslahi ya taifa letu lisonge mbele
@user-tt9bp2id5p2 күн бұрын
Unafki uo
@JohnJoseph-qq7ow2 күн бұрын
Samia si mamako acha kujipendekeza nyie ndio mmesababisha bandari imeuzwa ujinga tuu kujipendekeza kucha kutwa
@Optionxll_Playz13 күн бұрын
Kuliko Meri nyingi zinakuwa kwenye foreni sana
@kipepeo_Kitchen3 күн бұрын
Ni meri au meli. Foreni au foleni.
@FloridaAdelinus3 күн бұрын
Tatizo ni kumfunga aliyejitafuta na kumwacha aliyeruhusu sukari kwa kuvunja sheria nani alileta taharuki watu wanapanga foleni utadhani tumerudi miaka ya 1978 baada ya vita vya IDD AMIN
@NATACIARAPHAEL-iz8kr2 күн бұрын
Wakubwa wakiiba hawafungwi masikini akiiba kuku sas
@user-lu8ny2gu7t3 күн бұрын
Mnakopa cha maana unachokifanya hakionekani labda kujinufaisha wenyewe
@ismailsalumu11122 күн бұрын
Kaka yangu Yousuph fanya kazi usiku na mchana Dr Samia Suluhu Hassan Rais wetu amekuamini
@jumagora3462Сағат бұрын
Hongera sana mama unafanya kazi vzr ila tatizo la wizi wa fadha sijui kuna chuo cha kusomea wizi kimya kimya au vp
@bilalabas96362 күн бұрын
Duh unamtuma mwizi tena akakusanye asiibe 😂😂😂😂 hii hatari kwel
@binseif22162 күн бұрын
Vp mama unasema kama mlikula pa1 lkn ukazibe mwanya hapo inatakiwa uwakamate na wafikishwe mahakamani wote haifai kusema najua mlikula lkn kazibe
@Freedom_fighters898Күн бұрын
Kabisa kumbe anajua wanaiba na bado anawapa madaraka mkubwa..
@user-zr5mw3dn4bКүн бұрын
@@Freedom_fighters898sasa utampata wapi ambaye ni malaika?
@abdallahally8422 күн бұрын
Bandarini ndio kwenye mifumo ya rushwa na upigaji ukidhibiti Kodi halali ikalipwa huna sababu ya kukimbizana na maduka kukamata kamata wkt pesa ipo bandarini watu wachache wanafaidika na matumbo yao
@AbdalahMtambuka-rh1dp2 күн бұрын
awakuelewi ao wezi watupu kuiongoza nchi rais lazima uemkali
@davidsimbeye15482 күн бұрын
Mimi kwangu huyu ndiye kiongozi bora kuwahi kutokea Tanzania
@mbegembege3 күн бұрын
Kweli mama
@user-jj7qv7kh2s3 күн бұрын
Hiyo ndio kauli nzuri ya kiongozi bora.
@EliaHiluka3 сағат бұрын
Niaibu sana mama Samia Raise wetu kila kitu kuwa ombaomba
@nursechunga44702 күн бұрын
Mama nakupenda sana, Mungu akutunze tuu🙌
@ilynpayne74912 күн бұрын
Kariakoo kunazidi kubanwa 😢😢 na ana jua kukopa ni vibaya
@eatlawe3 күн бұрын
Rais kasema ukweli kuhusu ulipaje wa kodi. Ukiacha wafanyakazi, wafanyabiashara wengi wenye maduka makubwa yaliyogawanywa mara mbili yaani mbele (kadogo) kama kiosk lakini kule nyuma ni supermarket nzima! Hata maduka ya madawa! Viwanda vya mbao, sehemu za welding, car wash etc hawalipi kodi huku mikoani! Kuna hela za kutosha kama TRA wakiwa waadilifu!
@Felix722823 күн бұрын
Hapo sawa mama
@JohnJoseph-qq7ow2 күн бұрын
Sii mamako huyo acha ujinga
@simonnaivasha639323 сағат бұрын
Kwa sababu sio Mzanzibar TRA pelekeni fedha za Zanzjbar !
@user-ed1tm5re4j2 күн бұрын
Yaan utafikir watu wanapiga stor za kawaida tu na unaowachagua huwap roho za kukuogop wanafurah na kukung'ong'a tu,sio kosa lako unang'ang'ania kiatu kisichokutosha
@BonnyMwajombe-iu7hb2 күн бұрын
Kamati ya vipaza saut hawako vizur ,anawashinda steve mweusi
@ahmed-shakirmwamba4992Күн бұрын
Solution nikuleta maexpartrietes wasimamie RTA utaona tofauti. Hawa jamaa zetu wote wezi na hawatosheki.
@hadija8462 күн бұрын
SHUKRAN MAMA MPENDWA❤🎉
@user-gv4jx2fp4u2 күн бұрын
Hongera Rais wetu umeonyesha ukomavu
@user-dr2lk7im7r10 сағат бұрын
Job Ndugai -spika aliyejiuzulu alitahadharisha, wakamsakama leo tunasifia kukopa, hii ndiyo Tanzania ya sasa.
@user-lt1bi5nr1x2 күн бұрын
Mama samia mbona vituo vya mafuta ni vingi nchi hii tumeanza kuchimba yetu?
@cynthiamcguire1495Күн бұрын
Baada ya miezi sita, nitatuma vifaa vya uwekezaji. Natumaini sintapata shida yeyote. However, kama nikipata shida, who do I go to?
@ahmed-shakirmwamba4992Күн бұрын
Kodi zinalipwa nyingi lakini tatizo ni wizi na wezi hawahukumiwi kwa vile wote ni CCM.
@dainashapwata7705Күн бұрын
Thank you mama .
@narcissusmakenge47102 күн бұрын
Rais wa kwanza kuhalalisha rushwa na kubembeleza wala rushwa.
@MenelusCzar2 күн бұрын
KIDATA IS FOREVER BIG BROTHER🚨
@hamudseif3 күн бұрын
Afrikaaa, Rais anajua km watumishi wake ni wizi na aliemchaguwa amemu address km walikuwa wanaiba, lkn amemchaguwa huyohuyo mwizi aende akasimamie vzr Taasisi. Haya acha tupumue ifike siku tufe tuwaachie wenyewe nchi yao waendelee kuiba, tutakutana tu inshaa allah
@emmanuel14792 күн бұрын
Yani huyu hamna kitu kwakweli, anasema aliemuondoa alikuwa anawabana hadi wao lakini anaempeleka ndiyo huyo anam'adress kama mwizi😅
@user-ub3xh7ug6c2 күн бұрын
Sahii.. unampa pang fis akawaongoz mbuz
@JohnJoseph-qq7ow2 күн бұрын
Umeona ee
@user-qy4vk2qp9t2 күн бұрын
Zanzibar alikua zrb hakuna maendeleo kila sehem kubov leo analetwa tz bara aisee Tanzania yangu jamn 😢
@zahiribrahim8319Күн бұрын
Ahsante mama samia 🎉😊
@iddrashid70542 күн бұрын
TRA watumie mfumo wa Amazon kila mfanyabiashara asajili godown zake na wawe connected kwenye mfumo wa CCTV kila kinachoingia na kutoka kijazwe kwenye fomu online na maduka yote yawe na CCTV connected to TRA kwa ajili ya kusimamia mauzo ya kila siku na utoaji wa risiti. Waanze majaribio hapo kariakoo
@odilomsuha78963 күн бұрын
Ahsante sana mama kusanyaaaa tupige hatua
@alanusrespicius17962 күн бұрын
Aondoe mishahara ya wenza wa viongozi wakuu wa nchi tubane matumizi. Akikusanya wakati anatumia hovyo ni kazi bure. Wabunge mishahara mikubwa hawalipi kodi ushenzi mtupu.
@hajisadiki42303 күн бұрын
Mama hatuelewi maisha magumu wapigaji wamezidi
@user-il5pk2dr5n2 күн бұрын
Uadilifu bila imani haupatikani, ni adithi tu..
@SundaySteven-bz4yq2 күн бұрын
Hawa wanaotia mifukoni badili katiba tuwapeleke mahani tuziwanyanganye hii tengua tengua haisaidii mana alieziiba mbona hawarudishi?
@IsackMungo2 күн бұрын
Kwa Nini tukope?????
@IsackNgwizaКүн бұрын
😅😅
@richardsule44542 күн бұрын
Speech nzuri na yenye ukweli,,,ila jitaidi kupambana na wala rushwa ndo wanaokuchafulia jina
@chiditz1223 күн бұрын
Iyo Hatai
@SimonNnko-wr6sc2 күн бұрын
Hakuna kitu Mambo niyale yale
@user-lt1bi5nr1x2 күн бұрын
Kodi zote zilipwe bandarini wakati wa kutoa mzigo mpige hesabu zenu zote msitusumbue mitaani
@Kisase2 күн бұрын
Yani mama kwahili moyo wangu kwatu ungekua na kabinti ambako bado kapo nyumbani tu hakana pakwenda ningeleta posa chapu
@agustinoezekielКүн бұрын
Kumbe unajua kuwa wanaiba hafu unawarembea tena.ama kweli mama ni mama tu.hata awe mkali vp, lakini mama ni mama Tu.
@user-do2id6pp4g2 күн бұрын
Yaani mama naomba utumbue wazir wa fedha
@evansmoshi19233 күн бұрын
Tumbo wote kabisa mama
@suleimanbalemba334814 сағат бұрын
Mbadilishe na waziri wa fedha
@afropanorama47302 күн бұрын
apo TRA hakuna fundi,wote ni walewale
@gharibsomali45952 күн бұрын
Subiri lawama kwa wahusika yussuf eeeee ungemueka john hapo pia kwa ujinga wa tz utatiwa uzanzibari
@goodluckkombe9942 күн бұрын
Mwanaume anapangiwa kazi....
@MasanjaNyanda-p1p2 күн бұрын
Siasa ni hovyo kweli huyu nae leo eti kajua kukopa ni aibu wakati nchi ameingiza kwenye umasikini kwa sababu ya kukopa asante umemtoa aliyekuwa anakusanya kodi na kuleta watakao endana na wewe duh aibu sn
@silverman69302 күн бұрын
And that’s your president
@menupk_app3 күн бұрын
Kamchukua karibu, alaa safi mama
@mgallahson36502 күн бұрын
Hongera Mh Rais
@BarakaJuma-sk4xx2 күн бұрын
Punguzen piya matumiz ya serikari mnatugharim sana
@BONGOINMOTION2 күн бұрын
My president I like ur presentation but rushwa siyo ya kubembeleza watu,,inatakiwa ikemewe kabisa na Kila mtanzania
@leganmichael6148Күн бұрын
Ndugai alisema hili hili akala rungu
@omarybakunda25543 күн бұрын
Yusuf Mungu alibariki
@ismailsalumu11122 күн бұрын
Kwakweli TRA hawakusanyi mapato ipasavyo
@liannsambu72642 күн бұрын
Kodi ni nyingi na HATUONI faidaaaa ,Kodi zinazidi za zakayo TAIFA lako kama utumwani , Pls TRA jamaniiiiii hapanaa
@user-dr2lk7im7r10 сағат бұрын
Kweli watanzania wanapenda kubembelezwa. Kama Magufuli angeweza kuchungulia tz ya sasa angekubaliana na kauli yake.
@emanuelpeter24892 күн бұрын
Hayo ndio tunataka kusikia tumia amri usisikie ya mtu
@ismailsalumu11122 күн бұрын
Mama ndani ya TRA wenyewe kuna majizi EFD hazitumuki kweli kabisa wafanyabiashara hawataki kutoa risiti na wenyewe wapo ofisini
@danielmwanguku28983 күн бұрын
Mama Samia❤
@pauloegbert5152 күн бұрын
Hapo mama nimekukubali
@AwardHakimu3 күн бұрын
Kila wakati nchi inahubiri wizi mimi nazani sheria inatakiwa kubadilishwa anae hujumu uchumi adhabu inatakiwa kuwa kama china maana huwezi ukawa kila siku unawaambia watu jambo moja kuna watu wengine tungepewa nyafasi za mamlaka wangenyooka uwezi kulikabili changamoto kwa namna ile ile kila siku wakuu wenye mamlaka wanalalamika tu.
@thabitdaudi98153 күн бұрын
Ni ujinga alafu nchi imejaa wataalam wengi wenye maadili hakuna authority inayosimamia maadili kwenye kila public office ila pesa za kuiba wanazo hajui human behaviour huwez kui regulate with empty words. Ndy maana tumesema nchi haifai kuongozwa na mwanamke anakanya mwizi wa mabilion kama anamkanya mwanae aache kuchezea matope😅😅😅 as if that will work
@omaryjudasymwanga71723 күн бұрын
Tatizo Tanzania wenye akili wanaachwa wanaajiriwa walio duni kielimu ili waweze kuwaswaga haiwezekani hatakama ni boss kuswaga mtu mwenye shule
@omaryjudasymwanga71723 күн бұрын
Kwanza kama una elimu huwezi kua chawa maana unajielewa mfano yule waziri wa nishati broo Dotto sijawahi sikia wala kuona akiwa na mambo yakiwaki yupo mzigoni na ana maamuzi na kazi maana shule ipo kichwani wengine nikama wanaona wamepewa favour na nikweli maana shule jumlisha kazi wanauofanya ni mbingu na ardhi ndio maana ili abaki azoee lazima asifie rais hajui kwamba mwenzake anatekeleza yakwake yeye ndio kizibo kazi haziendi kazi kumlewesha raisi na sifa ili abakizwe
@AwardHakimu3 күн бұрын
@@omaryjudasymwanga7172 shule IPO na akili zipo, Kuna watu wana elimu Hila hawana akili kabisa ndio tuko nao wengi sana
@AwardHakimu3 күн бұрын
@@thabitdaudi9815 shida sio kiongozi kuwa mwanamke shida IPO kwenye matumizi ya madaraka na mifumo ya sheria
@SanziNzige2 күн бұрын
Wewe toa mwigulu nchemba mama unahangaiika na wengine bila huyo huyo ndigo hasala kwa taifa mwigulu
@user-wf8eb6nm4s2 күн бұрын
Tupo pamoja una nia nzuri na nchi yetu tukishirikiana tunapendana tukaepuka kufitinishwa tutafika pazuri
@user-ru6ct4rh3t3 күн бұрын
Waaooo! Mama nakupa maua mama🎉🎉🎉
@nkwazigatsha2 күн бұрын
Anaongelea kodi zake. Kwani nchi hii ya Samia au ya Watanzania? Kweli madaraka hulevya haswa na haswa madaraka hulevya haswa!
@WigesaNyerere2 күн бұрын
Ahaaaaa kumbe n mwizi mzoefu anagizwa kuwazuia wezi,hahaha ha mganga hajigangi walisema wahenga