Vijana wa Kenya wametoa funzo kubwa sana kwa vijana wa nchi zingine za Africa.
@simonmartin53582 күн бұрын
Yah is that true.
@BenPeter-vp2cy2 күн бұрын
Hususan kwetu Tanzania tunapaswa kugeuza uoga kuwa courage kunakiongoz alitutusi kwa kusema tuamie rwanda asee dah
@jeremiahcharles6027Күн бұрын
Hadi vijana wa hovyo nao???😁😁
@BenPeter-vp2cyКүн бұрын
@@jeremiahcharles6027 wote
@leonardyona146219 сағат бұрын
Hasa Tanzania
@benoseaone3 күн бұрын
Nimesikuliza sana Hotuba ya Ruto lakini binafsi nimeona mambo mengi. 1. Ruto amepoteza kujiamini na anajaribu kutafuta huruma ya wananchi wake. 2. Amethibitisha kwamba Serikali yake haijui nini inataka kufanya na kusimamia mpaka wakumbushwe majukumu. 3. Ameshakumbuka alichokuwa amesahau kwamba nchi ni mali ya wananchi. 4. Ruto hajui Kusoma nyakati. Finally, alipaswa kuvunja Serikali Kisha ajiuzuru kwa kuwa tayari ameshaonesha udhaifu katika kusimamia masrahi ya Taifa.
Kiongozi yeyote hata kama ni Rais lazima ukubali kukosolewa Kiongozi asiyekuvali kukosolewa hastahili kuwa kiongozi lazima aelewane na wananchi wake
@ShabanKarim-tv3vn3 күн бұрын
❤
@WazirBoy-fe5ew3 күн бұрын
Sio kenya , hata Tanzania ndio uozo mtupu. Mama na kina mwigulu.nchemba na ccm wote waondoke kama inavyoendelea south Africa, tumechoka kunyonywa damu
@missp18143 күн бұрын
Wacha warelax tu muda utaongea😂😂....
@BenPeter-vp2cy2 күн бұрын
Ndo alisema kama atutaki tozo twende rwanda .
@hafidhmiraji94792 күн бұрын
Dj smaa we ni hatari bro daaahhh uko njema
@JacksonYusuph3 күн бұрын
Kwanza kabisa niwashukuru SNS kwa kuanzisha kipindi cha GPS na kuanza kuchambua mambo kadha wa kadha. Mliyokuwa mkiyaongea/kuyachambua siku chache nyuma yametokea. Big up sana !!
@alisalimkenya39722 күн бұрын
Dj sma Ana PhD ya uchambuzi nimekufwatilia zamani , salute
@mariamhassan17233 күн бұрын
Kwanzo KDFaskari kazi yake ni kulinda mipaka ya nchi hawezi kupiga risasi ndani ya nchi##Ruto must go
@Omosh0033 күн бұрын
Iwe jua, iwe mvua, he must GO.
@everrineanyango74103 күн бұрын
We need ruto to gasp for air,aongoze akijua anaongoza raia siyo Bibi,mamake,watoto,mpango wa kando,ruto akifaulu kuongoza hii Kenya miaka mitano basi atakua amechoka sana na kuzeeka,awe pia mwangalifu asije pigwa lisasi na security wake
@samirmswahili2 күн бұрын
Dah polen sana ndugu zetu mungu awatie nguvu katka kipind munachopitia
@BenPeter-vp2cy2 күн бұрын
Na hapo kwenye wapinzani ku take advantage ndio unamkumbuka sun tzu kwenye art of war " when things mess around take the advantage" yani kufa kufaana.. dj sma anaelewa hii❤❤
@djsma255Күн бұрын
Uko vizur
@WazirBoy-fe5ew3 күн бұрын
Hawezi kabisa kujiuzulu kwa sababu keshakula pesa za marrekani
@benoseaone2 күн бұрын
Kula pesa za Marekani isiwe kigezo cha kuwabenesha raia wa Kenya mzigo ambao hawakuutaka wao. Akalipe mwenyewe
@Sidrasidra6362 күн бұрын
Acheni kuongelea hizi mambo mna mtisha raisi wenyu Samia nasikia ........... nyie hamuoni hata Millard Ayo hame simamisha kupost😂
@OnlyRuky3 күн бұрын
Ruto hutuba yake sikuitegemea ilivyosema.... vile nilidhani atajiuzuru....Kenya stand up All the best mpka mpate haki zenu maraisi wa Africa iwe fundishoo kutoka Kenya
@brianbaltazar61983 күн бұрын
SNS mpo vizuri sana...
@user-vx1vb4cz6m3 күн бұрын
GPS Hongera Hongera Tena kwa uchambuzi wenu ulio kuwa pansa na wasi
@destindjumbe80233 күн бұрын
Kizuri Ruto must go, wanatuleteya muswada wa kufanya Watu wateketeye hao they dont care.
@simonmartin53582 күн бұрын
Kuna mke wa zakayo naye anasumbua sana kwenye taifa la ughaibun naye amekuwa kero tena shidaa hajui nini maana ya maisha ya mnyonge. Ipo siku mnyonge mnyongen lakin hakiyake mtatoa.
@mohamedabdulkadir61863 күн бұрын
Jamaa anatuma hadi snipers kuuwa protesters. Snipers walikua located kwa jengo la KICC juu😢
@user-yp9el7xp8g3 күн бұрын
Leo ndio FINAL MAANDAMANO
@salimsoyo81183 күн бұрын
Balaaa sana must go
@simonmartin53582 күн бұрын
Mshupaza shingo huvu jika kabisa ruto must go
@jeremiahcharles60273 күн бұрын
Duh ,,,kama wananchi wanaamua hivo ,,bila shaka kuna watu wanaifadhili hii ishu,,,kuna watu wazito wako nyuma
@evelynemugeni23693 күн бұрын
Ndo manaake
@user-di9hk7bw5w2 сағат бұрын
@@evelynemugeni2369unawezaj kufadhili mamilion ya watu
@husseinmassawa71863 күн бұрын
Dah alishindwa kuwaambia polisi wasiwaue watu, kashabeba dhambi za damu za watu, honest is too bad,
@SalimKombo-xo4pq3 күн бұрын
Samahani bro ni kimekosea kuituma hapo. Utuko pamoja bro.
@user-vt6du7ll8l3 күн бұрын
Mkiwa pamoja habari ndo inanoga vzr
@djafro87293 күн бұрын
Ruto must go
@halimamunga16813 күн бұрын
Tuisubili hii TANZANIA tizama migomo ya kufanya biashara hii itatupeleka mbali kama viongozi hawata sikiliza wananchi
@KOMASAVAOG-yb1mm9fk1r3 күн бұрын
PIYA TANZANIA YENU IZUNGUMZIENI LISU ANAANDAMANA PIYA AU AMONI? AU MPAKA WATU WAFE NDO YATAITWA MAANDAMANO? AU KUMUOGOPA SAANA SAMIA? MBONA MUNAMPAMBA SAANA UYO MAMA WENU AU MNASAAU KM NILAZIMA AWASAIDIE RAIYA YEYE KM RAHISI? TANZANIA MDOMO SANA NA YAKWENU YANAWASHINDA TUACHENI NA KENYA YETU😭😭
@richardrichope35282 күн бұрын
Yani wakenya sijui vichwa vyenu vina nini au ni ujii? Watu huku tunataka muungano wewe unataka kenya kaa nayo tumekuachia mginga nini
@zayumar29552 күн бұрын
😅😅😅😅 mwache Mwenzio akili imevurugika na mabomu ya machozi😅😅😅@@richardrichope3528
@zayumar29552 күн бұрын
Sio rahis kiivyo ila (MUDA UTAONGEA SISI AFRICA NI NDUGU)🇹🇿🇹🇿🇰🇪🇰🇪❤️❤️
@user-en2md9kn5n2 күн бұрын
Samia must go😂😂
@mkambotv54183 күн бұрын
Haja withdraw. Amekataa kusign tuu ila after 14 days mswada utakuwa sheria automatically. Bunge linaenda mapumziko mpaka 24 july, siku 14 zitakuwa zimeisha.
@mpjozzegalvanize49262 күн бұрын
600ml k/sh ndio bajet ya first lady? Hii sio sawa.
@harithimahmoud15772 күн бұрын
ALIILANI URUSI HATIMAE MUNGU KAMLAANI YEYE 😂 RUTO NI RAIS WA HOVYO SANA
@rosekulola83553 күн бұрын
Hawezi withdraw financial bill amekataa kusign of which asipoipresent parliament in 14 days inakuwa law so anajifanya smart kumbe kuna wasomi Kenya
@hanifa91533 күн бұрын
😂😂😂
@ProdactTV-T98143 күн бұрын
Na parliament inaenda recess till July 24. Ruto anafikiria sisi ni mafala.
@abdallasaid55933 күн бұрын
You can't advise Ruto ....Ruto is the one who advise his advisors.... huwezi elewa😂😂
@M7-Band3 күн бұрын
Tatizo jamaa anajifanya so smart,but vijana wa saivi ten steps ahead of him,we cant trust him anymore. hata kama amekataa kusign,after 14days inakuwa sheria
@Nagmah-gf4lp11 сағат бұрын
Mungu saidia
@Eng24602 күн бұрын
This is SnS🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪
@husseinhemedi93143 күн бұрын
Tatizo la ruto ni kujifanya m babe kwa wananch wa kenya huu upuuuz labda kwetu tz il xo kwa Gn Z #kenya Na huku kwetu tz watoto wa 2000 kinukixheni
@KOMASAVAOG-yb1mm9fk1r3 күн бұрын
KWELI KBX KAKA TZ WASAANI WANAMPAMBA SAANA UYO MAMA SAMIA WANASAAU KM NIMAJUKUMU YAKE ANALAZIMIKA AFANYE NA YAKIMXHINDA ATOKE KILA SIKU MAMA MAMA MNASAAU KM KIJIJINI WATU TUNA ANGAIKA YAANI KAWA WEKEYA MADARAJA DAR 2 BS MNAONA TZ IMEFANA DAH😭😭
@user-hj4bc5uh2x3 күн бұрын
Watoto wa 2000 wamejaa mashoga
@husseinhemedi93143 күн бұрын
@@KOMASAVAOG-yb1mm9fk1rtz ni tatizo bila katiba mpya hakuna kipya
@margarethpolepole74383 күн бұрын
Hussein hana ubabe wowote swala kubwa nu kuelewana tu haina haja ya kuandamana hapo tatizo kybwa Wakenya wanasumbuliwa na Ukabila tu
@sonnyr18993 күн бұрын
@@husseinhemedi9314 Katiba mpya ndio itaondoa uvivu wa akili kwa vijana? Tuwe wa kweli vijana walio wengi wa Bongo wako bize na upuuzi, kubeti, ushoga, kumfuatilia Mwijaku na Mama Levo, vita vya Dai na Kiba. Mtu anashinda mtandaoni akiomba like kuliko kuomba kazi nadhani tunahitaji kubadili tabia zetu.
@destindjumbe80233 күн бұрын
Raïs wa AFRICA wapenda kuoneya rahiya. Hasa hawa wanao shirikiana na hawa wanyonya damu ma Beberu ya Europa na America.
@HamiduMtandika-lc2tp2 күн бұрын
Ally umenifurahisha eti hapitajiki D mbili kukuelew yan principles pass
@billskeez922 күн бұрын
Nakubaliana nawewe Ally Masubi 👏 Mpaka Sasa kinacho takiwa RAISI RUTO ajiuluzu tuu
@maidimples82362 күн бұрын
Tuliomuelewa dj smaa huyo mtu aloshindwa kumtaja tujuana 😂
@Mama-A2 күн бұрын
First half imeisha....reject finance bill 2024 1-0 Second half..........Ruto must go
@hamadiizo3 күн бұрын
Big up
@jeremiahcharles60272 күн бұрын
Sns tukumbushane ,,chanzo cha yote hayo ,ni kutokea kwa Muigizaji ERICK OMOND Ndie mtu wa kwanza kuibua hizi mambo na kutia nguvu ,na erick omond amekuwa mstari wa mbele sana kwa hii ishu ya maandamano ya kupinga mswada
@jedidahbintidaudi8241Күн бұрын
dah ila umesema kweli kabisa. ndi yeye huyu jamaa
@oyay28212 күн бұрын
I am happy no deaths today Thursday 27th, and we are slowly going back to calm.
@user-ho2jy6mc8iКүн бұрын
Ruto must go 🤨🤨
@maidimples82362 күн бұрын
Tunawasikiliza vizuri but when its came Tanzania you guys do go specific on the issue
@bbng94753 күн бұрын
🔊🎼✌️🫶pow kweli kaka Colorado moja✌️🔊🎼
@NepporSabith3 күн бұрын
Duhhhhhhh ubabe unamwisho
@mohammedhimba16473 күн бұрын
Usalama wa Taifa kenya umempotosha Rais kwani walipaswa kulitambua hili na kumshauri Rais kwani Gen z walihasishana kwenye mitandao siku kadhaa baada ya mswada kuandaliwa hivyo interejensia hawakumshauri vizuri au walifanya kazi kwa mazoea...
@sonnyr18993 күн бұрын
Alifu nilicho penda hawa vijana waliandamana bila kutumia mwanvuli wa chama chochote bali waliungana kutetea maslahi mapana Ya wananchi.
@aminakenea96142 күн бұрын
Je Imani zao zina ufahamu ya kwamba mungu yupo? Wakipata jawabu,Mtondia naakini watabadilika na kila kitu kitakuwa sawa
@salehkhalfan73453 күн бұрын
Tunafahamu Changamoto za kiutendaji lkn GPS Kwa njia ya cm haiko smart kabisa
@simonmartin53582 күн бұрын
"Makuzi"
@naomikrause17622 күн бұрын
RUTO JUUUUUUUUU🙏🙏🙏💪💪💪♥️♥️♥️
@gasparmpoma38603 күн бұрын
Let's Wait and see Today's Demonstration. We pray for you Kenya, if this was God's plan it will be inevitable.
@wkjshsxbbsbs63923 күн бұрын
We gave him 48 hours
@user-zw1vz7or8v2 күн бұрын
Too late meaning he has failed us
@godfreysudi72643 күн бұрын
You have high economy in your country but people live difficulty live so what importance to have high economy to citizen far better Uganda and Tanzania with their low economy
@hemedmwipopo7803 күн бұрын
Haina maana because too late
@MargaretNyambura-zm5em3 күн бұрын
Gen Zs after 21 day hii bill itaanza kufanya kazi,ache kutumbemba ujinga hakuna kutuliya Leo ni maandamano Hadi atoe Bill yote chini
@aisha_mohammed58253 күн бұрын
Tumechoka na uyu aki ahadi za uwongo 😢😢😢😢😢😢😢tumechoka
@salmasaid70583 күн бұрын
Leo hadi ikulu
@nomoboy15215 сағат бұрын
#SNS Naomba kujibiwa kama usalama wa taifa wanasimamia usalama kwani pesa zinavyopigwa na viongozi hawaoni kama raia ambao wanaona pesa zinapigwa kila siku amani inazidi kuwa ndogo na wao wazuie au ndo na usalama wa taifa ni miyayusho pia
@user-ls2fq5ks7f3 күн бұрын
Mm binafsi kwa Maoni yangu Naona kama Wakenya wamewekwa kwenye mtego Kwa sababu Bunge limefungwa kwa Likizo mpk July inamaana kwa katiba yao hata kama Ruto Hatasaini Siku 14 zikipita bila Bunge kwepo Kazini huu Mswada itakuwa Sheria kwa hiyo Kuna mtego kati Rais Bunge thidi ya Wakenya
@hanifa91533 күн бұрын
😢😢😢
@cooljay94892 күн бұрын
ndomana bdo wana protest
@swalehbakari26672 күн бұрын
Sisi atumtaki yeye iyo 2027 tuta mpeleka home 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@vibetz99913 күн бұрын
Wakenya wanapenda fujo tu 😂
@chapuztv30403 күн бұрын
Bamutowe tu because Africa ataisumbua alifurahi bakia banashabulia Congo bamutowe hatujafulahi kuungana na marikani
@mpjozzegalvanize49262 күн бұрын
😂 batamutoa tuu papaa
@3erffeoui862 күн бұрын
HII MWASADA IMF NDIO IMESUKUMA ATA WALI HONGA KILA MUBUNGE MILLION MBILI KENYA SHILLINGS
@jerryndondole19653 күн бұрын
Tulikumiss Henry,previous GPS hukuwepo
@isaacramadhan97213 күн бұрын
Hawa vijana kuingiya state house siyo tatizo maana naona kama bunge walingiya na kuchoma na wabunge kuingiya mitini basi state house wanaweza ingia, Rais wao asijipige kifuwa lazima asikize wananchi maana wee kenya nawapa heko
@wkjshsxbbsbs63923 күн бұрын
We don't need anything from ruto but to leave the office
@jenifferwanjira61243 күн бұрын
Sad
@HamiduMtandika-lc2tp2 күн бұрын
Hii issue ya mapinduz bolvia imekaaje wakuu
@mpefu_49363 күн бұрын
Kwenye hiyo lazima kutokee vifo akuna uhuru bila damu hiyo walijua kabisa ni kitendo Cha kuamua
@aminakenea96142 күн бұрын
Yani imejitokeza kiongozi tulio Wachovia ni ukosefu wa INANI kbsa
@jumamayonga89143 күн бұрын
Mimi naona kunusuru hili inabidi Ruto ajiuzulu ili kuepusha mauaji zaidi
@Elizabeth-gq9kl3 күн бұрын
Watanzaniya, Huku Kenya tumeshinda , lakini bado tunasonga mbele
@jafarimnaro7043 күн бұрын
Tuko nyuma yenu majirani
@golebenson45973 күн бұрын
🎉🎉🎉
@issakibwana64973 күн бұрын
Moja ya mabango ya wanda manaji huko Kenya. Aliandika. Hata zuwena hajabadilika ghafla ruto amebadilika ghafla Jmn 😢
@furahachuma90393 күн бұрын
Haaaaa 😅
@JacksonMartin-pb2vq3 күн бұрын
Ukiingia mkataba na Marekani hakuna kujiuzuru mpaka utimize malengo yao yani hakuna tofauti na kuchukua mkopo kwenye app ya simu hakuna kutoka mpaka umalize deni Ruto kayavagaa
@aminaali7923 күн бұрын
Dah!!
@user-bv6ew9po7u2 күн бұрын
This is East African spring. Viingozi wa Africa Mjitasmini zakayo omba Mungu lasivo hiyo Matako hutaweka tena kwa kiti Raiyaa wameshakushtukia wewe ni Kibaraka wa Western
@samtechtanzania32522 күн бұрын
Ruto alitaka kukurupuka inatakiwa atumie akili kubwa san na tena angeruhusu jeshi ndio ingekuwa mbaya zaid ingekuwa kama 2007 hali ingekuwa mbaya sna
@mosesg.pendael83813 күн бұрын
Sma em ongelea KENYA, acha kuongelea RUTO. Maana inaonekana uko against RUTO tangu atoke kutafuta msaada America. Umeulizwa swali......Je suala hili litasambaa AFRICA?.....Jibu hilo, acha kum attack Ruto!
@mkambotv54183 күн бұрын
RutoMustGo#
@margarethpolepole74383 күн бұрын
Jamani anezeeka kwa muda mfupu hana raha ya Urais Kenya kuna moto
@josephnyundo61052 күн бұрын
Nikweli jana 26/6 Atacum imeipiga S 500?
@fahmanalbulushi29253 күн бұрын
Tusisahau kuwa kabla ya south africa nigeria waliteta demonstration ya wafanya kazi na kufata Kenya na Tanzania Wana demonstration ya wafanya biashara hii ni wimbi la vijana ambalo mmojanya wasemaji marekani alisema Kuna nguvu ya umma ambayo Ina nguvu Sana la kufanya ninkukaa mbali na kuwapa njia na kuwasikiza
@hamoudcreator63432 күн бұрын
Hao Wabunge Nyuma ya Ruto, Wote ni Wezi na Mafisadi... Eti Leo hii, Wanapiga Makofi...😢 Na juzi mwandishi aliuliza Swali wakacheka sana kwa dharau...
@danielmgalla5583 күн бұрын
During consultative meeting na wananchi waliukataa mswada mzima kwa 90℅. So basically ni mswada mzima unakataliwa
Shida ya ruto ni utumiaji wa pesa kwa wambunge kama sudi, ichungwa,ndindi nyoro wanazunguka na pesa kaa miungu ndo wanavyo chomewa manyumba na maafisi kisha tulipe kodi wakule mbure manyangao😭😭😭
@angelanaftael79653 күн бұрын
Hasira ya mwanadamu haijawahi kutenda haki na kenya wajue Ruto Hana cha kupoteza anaweza kuondoka akawaachia nchi yao iliyoharibika kwa vita na umaskini...Mungu awape utulivu ili maamuzi ya hao vijana wa 2000 wasio na akili wajue mihemko haisaidii lolote...zaidi sana ni kumwaga damu na kuiweka nchi rehani
@bensonsimwa72633 күн бұрын
Wewe ujui chenye unaongea ungeliishi Kenya ungelijua, nyamaza, ndio haki ipatikane sio vile unadhani, your out of modern generation,
@DanielMukora-jx1bh3 күн бұрын
Very true
@DanielMukora-jx1bh3 күн бұрын
@@bensonsimwa7263iwapo atatoka ujuesio malaika ataingia,heri huyu tumeweza kulekebisha na akakubali
@zenajustus57313 күн бұрын
Ungezaliwa Kenya ungeelewa,so huna makosa coz hujui shda zetu,but usiwe mwepesi wakuchagua mrengo bila kuchambua source yenyewe.
@hudumablack93393 күн бұрын
Eti hasira ya mwanadamu haijawahi kutenda haki: Wewe ni mjinga kweli kweli, ya Dini unatuletea hapa? Ya Mungu mpe Mungu na kaisari mpe yake. Sasa kaisari amepata haki yake na amebadilisha mswada sasa kwa kuwa ameua raia wake, lazima Ruto aondoke.
@mariaswakeithekenyanmusici43933 күн бұрын
He was not supposed to use that term we were not competing with him
@KuwakuMalumba68953 күн бұрын
🫵🏿👊🏿🇰🇪🇧🇮🇨🇩🇹🇿🇷🇼👊🏿🫵🏿Kweli Kaka matatizo Africa yana fanana sana! Viongozi awajali watu wa Africa's 😢 Africa ali ningumu sana sana😢 Africa watu wana kufa kila siku😢 wa Africa shida nikila siku 😢 Africa viozozi wana iba sana😢 Africa akuna madawa hospital 🏥 😢 Africa kila siku ni vita😢 lazima tukataye sasa😢 Africa President's they don't care about Africa's people's 😢 Africa's President's they keep make us Africa's people's be more poor every day 😢 Africa is very poverty every day! Kwa kweli sisi wa Africa tuna shoka na viogozi wa Africa's😢 Kila mwaka wa Africa tuna kimbiya Africa kuja Europe 🇪🇺 sio kwetu 😢America 🇺🇸 sio kwetu😢 UK 🇬🇧 sio kwetu😢 Australia 🇦🇺 sio kwetu 😢 Canada 🇨🇦 sio kwetu 😢 lazima tutegeneze Africa yetu sasa hivi😢 our Africa's President's they keeps send our money 💰 Africa's people's to Europe and America 🇺🇸 how many Africa's people's died every day in Africa 😢 we need change now all Africa 😢 power to all people's of Kenya now 🇰🇪🇧🇮🇨🇩🇹🇿🇷🇼🫵🏿👊🏿
@user-cw2nj4io3v2 күн бұрын
Tatizo hili haliko Kenya tu, bali ni la Afrika mashariki kwa ujumla wake, viongozi wetu wanalipina posho, wabunge wanaoptisha Sheria kandamizi wanalipwa mishahara mikubwa, kazi wanazofanya hakuna, wananunua magari ya kifahari, badala ya kupunguza matumizi ya Serikali kipau mbele chao ni kuwabebesha mzigo wa Kodi, hili la Kenya liwe fundusho kwa nchi zetu za Afrika mashariki.
@MohammedBwangaКүн бұрын
Kw mujibu wa Hali ya watu wa nchini Kenya kuandamana,Muswada ulikuwa km busty lkn kuna kitu nyuma ya pazia lkn sababu kuu ni Ruto kuna kosa kubwa kalifanya la kimkakati la kimataifa kw wazo. Langu k w kiasi flani km. Alivosema Henry mwinuka kuna generation mbili 2 X na z hii Maana yake kuna mfanano wa ideology ktk vizaazi vi2 hivi vipo tofauti na mawazo na vipindi vya nyuma.lkn ndani ya waandamannaji kuna watu Wana target au shabaha ambayo ni mbali na Muswada. Lkn. Kw nini baada ya. Kauli ya Ruto tunaona bado maandamano hayakusita?
@Elizabeth-gq9kl3 күн бұрын
Kujigamba wa Rais ndio Imemufikishahapo, Nabado.
@RuttaJames-kh5jx3 күн бұрын
Tanzania bajeti himepitiswa au bado hila bongo Huwa hatuna hakili kbs