Kwa uchungu MAKONDA afichua ukweli wote, MAKONTENA yake yaliyokamatwa kipindi cha MAGUFULI

  Рет қаралды 47,453

Habari Digital

Habari Digital

Ай бұрын

Пікірлер: 76
@eradiusdezideri
@eradiusdezideri 27 күн бұрын
Makonda safi sana piga kazi Mungu akutangulie
@user-sc1gx5zi8i
@user-sc1gx5zi8i 29 күн бұрын
Hata saizi mh. Wanasema kuwa huyu anajitafutia jina. Lakini mungu akulinde nasi tunakuombea
@menelus911mene5
@menelus911mene5 29 күн бұрын
Mhe Makonda mkuu wa Mkoa Wa Arusha wafundishe hao kazihawajui wamekalia yulee huyuuu hawatoshi mungu awaone haooo piga kazi wewe nikiongozi wawanyonge wateteeee mpaka mwisho ❤🎉🎉🎉
@kastorkidumu6579
@kastorkidumu6579 29 күн бұрын
Nakuona mbali sana rais ajae
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 29 күн бұрын
Amen mh hayo maombi kiboko watandikee sawasawa na sisi tunakuombea
@fransismsaki303
@fransismsaki303 28 күн бұрын
Piga Kaz mkuu mwenyezi mungu akulinde
@eliyalaiza6768
@eliyalaiza6768 28 күн бұрын
Tatizo tukiwapata watu kama hawa ambao mda wote wanamtukuza mungu huwa hawakaagi sana sjui kwanini
@geey7893
@geey7893 26 күн бұрын
Wanalishwa sumu wanakufa
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 29 күн бұрын
Kiongozi wa kweli mungu akulinde
@DottoMussa-ro6rw
@DottoMussa-ro6rw 27 күн бұрын
pambana kama,, wazalendo wa kweli vita huwa ni Kali sana
@eliasthomas1547
@eliasthomas1547 28 күн бұрын
Wewe piga kazi Mungu anakupigania.
@stephenkilalacharles1981
@stephenkilalacharles1981 Ай бұрын
Fact man of God.
@user-ct5ct3kw1v
@user-ct5ct3kw1v 13 күн бұрын
Makonda mungu akulinde uingiapo na utokapo
@JacksonMbites
@JacksonMbites 29 күн бұрын
Huyu Makonda namuona Akiwa Rais wa Tanzania
@brunotemu8069
@brunotemu8069 29 күн бұрын
Good broo pambana na Jiji la East Africa ❤
@jasirimjasirimedia7940
@jasirimjasirimedia7940 Ай бұрын
My leader
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 28 күн бұрын
Watu Wana Roho mbaya tu
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 29 күн бұрын
Makonda uko sahihi
@bitutuatemba2164
@bitutuatemba2164 29 күн бұрын
Keep on my brother @ Hon Paul Makonda
@amourmunga8356
@amourmunga8356 27 күн бұрын
Makonda nskupenda sana bro
@YusuphNdakama
@YusuphNdakama 26 күн бұрын
Makonda Hongeraaa sanaaa kaka!hakika unajua pande mbili uongozi na maisha harisia ya mwananchi
@davidnyambuche352
@davidnyambuche352 29 күн бұрын
Maombi ya kusambaratisha vikao vya sirini😅😅😅
@user-ew7xd1xu3s
@user-ew7xd1xu3s 17 күн бұрын
Pole sana
@user-tt6ks8vx6v
@user-tt6ks8vx6v 28 күн бұрын
Makonda mkoa wa Mara uko hovyo sanaaaaa hasa ktk huduma za Afya...watu wanakufa wakiwa wanasubiri huduma...madactari na wauguzi wamkoa huu wengi niwababe sanaaa..tunataman ungekuwa kwenye mkoa wetu utusaidie ktk hili Ndgu zetu wanapoteza maisha kwa uzembe kbs wa watoa huduma..yani inasikitisha sanaaa Tunaye mkuu wetu wa mkoa lkn nikama Simba aliyekufa ni afadhali ya mbwa aliye hai Watu niwazembe Sana mahospitalini..Juzi nilikuwa nyasho hospital nikasikia mama mmoja analia kwa uchungu akisema HIVI NININI KILICHOMUUWA MAGUFULII...INASIKITISHA SANA BAADHI YA WAUGUZI NA MADACTARI WA HOVYO HAWA KUENDELEA KUWEPO
@geey7893
@geey7893 26 күн бұрын
Huo Mkoa wetu umeshindikana kaka. Sjui tulilaaniwa na Nyerere
@eng.lazarongoro
@eng.lazarongoro 25 күн бұрын
Liandike kwenye page ya waziri wa afya na umtagi samia huku kwa makonda hakuna kitu mi nakaa nyakato nimesikitishwa sana
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd Ай бұрын
makonda Nakuona mbali mno
@user-im9ly7vt6b
@user-im9ly7vt6b 28 күн бұрын
Uko sahihi lakini sio la kukumbuka sababu aliokua waziri wa fedha ni boss wako😅
@user-qx4pc3rx8g
@user-qx4pc3rx8g 28 күн бұрын
Safi sana
@salumjabir813
@salumjabir813 29 күн бұрын
Siasa za bongoo😂😂
@emmanuelaloyce932
@emmanuelaloyce932 24 күн бұрын
Huyu jamaa,awe president wa Tz,,🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@SaidKudavada
@SaidKudavada 13 күн бұрын
Pole
@Micaelamerico8699
@Micaelamerico8699 Ай бұрын
Makonda ni president ujae kaza buti
@paulmaganga9700
@paulmaganga9700 22 күн бұрын
Makonda soon unakuja kuwa Rais
@BakariMapua-t9u
@BakariMapua-t9u 26 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤kweli
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 29 күн бұрын
❤❤❤
@user-bz5ti6op6z
@user-bz5ti6op6z 24 күн бұрын
Makonda MUNGU azidi kukulinda na kukuongezea ujasiri
@nuhhumwakanyamale4771
@nuhhumwakanyamale4771 29 күн бұрын
Go up📤 God bless you bro
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 22 күн бұрын
Muongo wewe na nyumba uliyotaka kumtapeli GSM Nayo Utasemaje? Mshahara wa mkuu wa Mkoa amepata wapi hela ya kununua nyumba eneo hilo??
@user-mt3jc6no5w
@user-mt3jc6no5w 28 күн бұрын
Mr. Makonda mwanzoni sikukuelewa pindi uko Dar maana nilipenda kusikia habar za vijiweni na sikuwahi kukufuatlia ila kwa sasa nimekuelewa vzr , pepea kama iwekanavyo tunakuunga mkono
@silasmarandu1485
@silasmarandu1485 28 күн бұрын
Makonda tunamuomba Kilimanjaro aje afanye jambo!
@ibrahimjoseph3221
@ibrahimjoseph3221 24 күн бұрын
Kama makonda yule aliweza aliweza kufanyiwa yooote hayo vp mpinzani au mwananchi wa kawaida kuna watu wanarudishwa nyuma wanafilisiwa kwa mambo ambaya awajayatenda
@sujaiazicani9510
@sujaiazicani9510 27 күн бұрын
🎉
@dennisngonyani1795
@dennisngonyani1795 28 күн бұрын
POLE MATATIZO HAYO YAPO SEHEMU NYINGI NCHINI
@nimrodsigulu6249
@nimrodsigulu6249 28 күн бұрын
Mtasema tu ..😂😂
@JosephineDeus-tb5tr
@JosephineDeus-tb5tr 29 күн бұрын
Na magu alikupiga vita?Muongo
@kefamwakipesile275
@kefamwakipesile275 29 күн бұрын
Hajasema magu!! Amesema watu walimpelekea Rais magu taarifa ambayo sio sahihi
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 29 күн бұрын
Daddy alimpenda mako da kwa kazi nzuri kushinda kiongozi yoyote Ila wale kwenye wivu ndio walimchanganya daddy
@karyori69
@karyori69 29 күн бұрын
Transparency sio Transparent!
@josephmussa0625
@josephmussa0625 29 күн бұрын
Ila umeelewa😂
@gregory6165
@gregory6165 29 күн бұрын
wajinga kama nyie mnaangaliaga spelling mnaacha content
@georgemhalla8853
@georgemhalla8853 29 күн бұрын
Sawa mwalimu, ulichokiona ndo hicho tu??😢😢,
@bny3595
@bny3595 Ай бұрын
Wewe ndo ulizingua ....hukufata utaratibu wa kuleta vitu kutoka nje
@denisyohana8104
@denisyohana8104 Ай бұрын
au wewe naye ulikuwa mmoja wao🧐
@paulsibu5770
@paulsibu5770 29 күн бұрын
Makonda ni kiongozi mzuri bro
@bny3595
@bny3595 29 күн бұрын
Mimi sikatai kwamba anafanya vizurri....lakini kwenye hio issue yeye ndo alizingua ...hivo vitu alikua anahitaji apate msamaha wa kodi....na mwenye mamlaka hayo ni raisi....yeye hakufanya communication nzurri na raisi....sasaivi anazungumza...hata kama ni kweli Kuna hayo mambo yalitokea sijui kupigwa vita na watu....ila kwa upande mwengine alizingua alitakiwa amshirikishe raisi kuanzia mwanzo ....sasa anakuja mwishoni alafu anataka msamaha wa kodi....na mwenye mamlaka hayo ni raisi kwa mujibu wa katiba
@ndetitave466
@ndetitave466 29 күн бұрын
Ndo wale wale
@JosephineDeus-tb5tr
@JosephineDeus-tb5tr 29 күн бұрын
Muongo
@kwisa4899
@kwisa4899 29 күн бұрын
unaagizaje vitu pasipo kuwasiliana na mamlaka ?
@nicasissa
@nicasissa 28 күн бұрын
Shida ukishawasiliana nao, wanaanzisha choko, mara oooh ooh ooh
@Nijuzetzdigital
@Nijuzetzdigital 27 күн бұрын
ofisi ya mkoa ni mamlaka vilevile halaf msaada ni siyo taarifa ni unaweza hakuna anayeukataa
@kwisa4899
@kwisa4899 26 күн бұрын
​@@Nijuzetzdigitalhakuna alie juu ya sheria ndugu yangu Mkuu wa mkoa anausikakaje Kwene ofc za TRA na Bandari tumia akili kidogo
@LameckZakaria-qg9vv
@LameckZakaria-qg9vv 26 күн бұрын
Alichelewa kumwambia magu
@user-ef2ln1mx3s
@user-ef2ln1mx3s 28 күн бұрын
We mwongo ilikua mpigaji magum ataperiwi
@user-bn4br7qm7r
@user-bn4br7qm7r 28 күн бұрын
Mccm bhana hayana hata akili, Sasa Hilo jambo mbona lilikuwa dogo tu
@hoseastephen4508
@hoseastephen4508 29 күн бұрын
Tapeli
@BabaZuu-fq8zj
@BabaZuu-fq8zj 27 күн бұрын
Taperi nani sasa kuma ww ungekua kenya ushakufa mbwa wew
@hoseastephen4508
@hoseastephen4508 27 күн бұрын
@@BabaZuu-fq8zj Na atawapiga sana pumbu watu msokuwa na akili kama wewe
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 29 күн бұрын
❤❤❤
@IbrahimHajiDini
@IbrahimHajiDini 26 күн бұрын
🎉
小蚂蚁被感动了!火影忍者 #佐助 #家庭
00:54
火影忍者一家
Рет қаралды 39 МЛН
Son ❤️ #shorts by Leisi Show
00:41
Leisi Show
Рет қаралды 8 МЛН
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
00:16
Mini Katana
Рет қаралды 30 МЛН
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,6 МЛН
Kicheko cha Mama Magufuli Igizo la Vijana Kumbukizi ya Hayati John Joseph Pombe Magufuli Kawekamo.
16:44
Archdiocese of Mwanza - Jimbo Kuu la Mwanza
Рет қаралды 191 М.
MAGUFULI: Msinichagulie shikamoo Zanzibar, nitapata shida...
10:38
Mtanzania Digital
Рет қаралды 10 М.
Smart Sigma Kid #funny #sigma #memes
0:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 7 МЛН
КЕПКА КОМАРОВ
0:16
KINO KAIF
Рет қаралды 17 МЛН
Comfortable 🤣 #comedy #funny
0:34
Micky Makeover
Рет қаралды 9 МЛН
Я НЕ ОЖИДАЛ ЭТОГО!!! #Shorts #Глент
0:19
ГЛЕНТ
Рет қаралды 1,8 МЛН