Hata saizi mh. Wanasema kuwa huyu anajitafutia jina. Lakini mungu akulinde nasi tunakuombea
@menelus911mene529 күн бұрын
Mhe Makonda mkuu wa Mkoa Wa Arusha wafundishe hao kazihawajui wamekalia yulee huyuuu hawatoshi mungu awaone haooo piga kazi wewe nikiongozi wawanyonge wateteeee mpaka mwisho ❤🎉🎉🎉
@kastorkidumu657929 күн бұрын
Nakuona mbali sana rais ajae
@gladistaemanueliy633629 күн бұрын
Amen mh hayo maombi kiboko watandikee sawasawa na sisi tunakuombea
@fransismsaki30328 күн бұрын
Piga Kaz mkuu mwenyezi mungu akulinde
@eliyalaiza676828 күн бұрын
Tatizo tukiwapata watu kama hawa ambao mda wote wanamtukuza mungu huwa hawakaagi sana sjui kwanini
@geey789326 күн бұрын
Wanalishwa sumu wanakufa
@DafiMohamed-dz8xk29 күн бұрын
Kiongozi wa kweli mungu akulinde
@DottoMussa-ro6rw27 күн бұрын
pambana kama,, wazalendo wa kweli vita huwa ni Kali sana
@eliasthomas154728 күн бұрын
Wewe piga kazi Mungu anakupigania.
@stephenkilalacharles1981Ай бұрын
Fact man of God.
@user-ct5ct3kw1v13 күн бұрын
Makonda mungu akulinde uingiapo na utokapo
@JacksonMbites29 күн бұрын
Huyu Makonda namuona Akiwa Rais wa Tanzania
@brunotemu806929 күн бұрын
Good broo pambana na Jiji la East Africa ❤
@jasirimjasirimedia7940Ай бұрын
My leader
@Optionxll_Playz128 күн бұрын
Watu Wana Roho mbaya tu
@MathewNathan-yb2bz29 күн бұрын
Makonda uko sahihi
@bitutuatemba216429 күн бұрын
Keep on my brother @ Hon Paul Makonda
@amourmunga835627 күн бұрын
Makonda nskupenda sana bro
@YusuphNdakama26 күн бұрын
Makonda Hongeraaa sanaaa kaka!hakika unajua pande mbili uongozi na maisha harisia ya mwananchi
@davidnyambuche35229 күн бұрын
Maombi ya kusambaratisha vikao vya sirini😅😅😅
@user-ew7xd1xu3s17 күн бұрын
Pole sana
@user-tt6ks8vx6v28 күн бұрын
Makonda mkoa wa Mara uko hovyo sanaaaaa hasa ktk huduma za Afya...watu wanakufa wakiwa wanasubiri huduma...madactari na wauguzi wamkoa huu wengi niwababe sanaaa..tunataman ungekuwa kwenye mkoa wetu utusaidie ktk hili Ndgu zetu wanapoteza maisha kwa uzembe kbs wa watoa huduma..yani inasikitisha sanaaa Tunaye mkuu wetu wa mkoa lkn nikama Simba aliyekufa ni afadhali ya mbwa aliye hai Watu niwazembe Sana mahospitalini..Juzi nilikuwa nyasho hospital nikasikia mama mmoja analia kwa uchungu akisema HIVI NININI KILICHOMUUWA MAGUFULII...INASIKITISHA SANA BAADHI YA WAUGUZI NA MADACTARI WA HOVYO HAWA KUENDELEA KUWEPO
@geey789326 күн бұрын
Huo Mkoa wetu umeshindikana kaka. Sjui tulilaaniwa na Nyerere
@eng.lazarongoro25 күн бұрын
Liandike kwenye page ya waziri wa afya na umtagi samia huku kwa makonda hakuna kitu mi nakaa nyakato nimesikitishwa sana
@ScopionScopion-zj9cdАй бұрын
makonda Nakuona mbali mno
@user-im9ly7vt6b28 күн бұрын
Uko sahihi lakini sio la kukumbuka sababu aliokua waziri wa fedha ni boss wako😅
@user-qx4pc3rx8g28 күн бұрын
Safi sana
@salumjabir81329 күн бұрын
Siasa za bongoo😂😂
@emmanuelaloyce93224 күн бұрын
Huyu jamaa,awe president wa Tz,,🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@SaidKudavada13 күн бұрын
Pole
@Micaelamerico8699Ай бұрын
Makonda ni president ujae kaza buti
@paulmaganga970022 күн бұрын
Makonda soon unakuja kuwa Rais
@BakariMapua-t9u26 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤kweli
@exaverysimon106429 күн бұрын
❤❤❤
@user-bz5ti6op6z24 күн бұрын
Makonda MUNGU azidi kukulinda na kukuongezea ujasiri
@nuhhumwakanyamale477129 күн бұрын
Go up📤 God bless you bro
@hamidabarraball316222 күн бұрын
Muongo wewe na nyumba uliyotaka kumtapeli GSM Nayo Utasemaje? Mshahara wa mkuu wa Mkoa amepata wapi hela ya kununua nyumba eneo hilo??
@user-mt3jc6no5w28 күн бұрын
Mr. Makonda mwanzoni sikukuelewa pindi uko Dar maana nilipenda kusikia habar za vijiweni na sikuwahi kukufuatlia ila kwa sasa nimekuelewa vzr , pepea kama iwekanavyo tunakuunga mkono
@silasmarandu148528 күн бұрын
Makonda tunamuomba Kilimanjaro aje afanye jambo!
@ibrahimjoseph322124 күн бұрын
Kama makonda yule aliweza aliweza kufanyiwa yooote hayo vp mpinzani au mwananchi wa kawaida kuna watu wanarudishwa nyuma wanafilisiwa kwa mambo ambaya awajayatenda
@sujaiazicani951027 күн бұрын
🎉
@dennisngonyani179528 күн бұрын
POLE MATATIZO HAYO YAPO SEHEMU NYINGI NCHINI
@nimrodsigulu624928 күн бұрын
Mtasema tu ..😂😂
@JosephineDeus-tb5tr29 күн бұрын
Na magu alikupiga vita?Muongo
@kefamwakipesile27529 күн бұрын
Hajasema magu!! Amesema watu walimpelekea Rais magu taarifa ambayo sio sahihi
@jenyyusuph497329 күн бұрын
Daddy alimpenda mako da kwa kazi nzuri kushinda kiongozi yoyote Ila wale kwenye wivu ndio walimchanganya daddy
@karyori6929 күн бұрын
Transparency sio Transparent!
@josephmussa062529 күн бұрын
Ila umeelewa😂
@gregory616529 күн бұрын
wajinga kama nyie mnaangaliaga spelling mnaacha content
@georgemhalla885329 күн бұрын
Sawa mwalimu, ulichokiona ndo hicho tu??😢😢,
@bny3595Ай бұрын
Wewe ndo ulizingua ....hukufata utaratibu wa kuleta vitu kutoka nje
@denisyohana8104Ай бұрын
au wewe naye ulikuwa mmoja wao🧐
@paulsibu577029 күн бұрын
Makonda ni kiongozi mzuri bro
@bny359529 күн бұрын
Mimi sikatai kwamba anafanya vizurri....lakini kwenye hio issue yeye ndo alizingua ...hivo vitu alikua anahitaji apate msamaha wa kodi....na mwenye mamlaka hayo ni raisi....yeye hakufanya communication nzurri na raisi....sasaivi anazungumza...hata kama ni kweli Kuna hayo mambo yalitokea sijui kupigwa vita na watu....ila kwa upande mwengine alizingua alitakiwa amshirikishe raisi kuanzia mwanzo ....sasa anakuja mwishoni alafu anataka msamaha wa kodi....na mwenye mamlaka hayo ni raisi kwa mujibu wa katiba
@ndetitave46629 күн бұрын
Ndo wale wale
@JosephineDeus-tb5tr29 күн бұрын
Muongo
@kwisa489929 күн бұрын
unaagizaje vitu pasipo kuwasiliana na mamlaka ?
@nicasissa28 күн бұрын
Shida ukishawasiliana nao, wanaanzisha choko, mara oooh ooh ooh
@Nijuzetzdigital27 күн бұрын
ofisi ya mkoa ni mamlaka vilevile halaf msaada ni siyo taarifa ni unaweza hakuna anayeukataa
@kwisa489926 күн бұрын
@@Nijuzetzdigitalhakuna alie juu ya sheria ndugu yangu Mkuu wa mkoa anausikakaje Kwene ofc za TRA na Bandari tumia akili kidogo
@LameckZakaria-qg9vv26 күн бұрын
Alichelewa kumwambia magu
@user-ef2ln1mx3s28 күн бұрын
We mwongo ilikua mpigaji magum ataperiwi
@user-bn4br7qm7r28 күн бұрын
Mccm bhana hayana hata akili, Sasa Hilo jambo mbona lilikuwa dogo tu
@hoseastephen450829 күн бұрын
Tapeli
@BabaZuu-fq8zj27 күн бұрын
Taperi nani sasa kuma ww ungekua kenya ushakufa mbwa wew
@hoseastephen450827 күн бұрын
@@BabaZuu-fq8zj Na atawapiga sana pumbu watu msokuwa na akili kama wewe