Chagua lugha ya kutumia kama ni kiswahili tu tumia kiswahili tu na kama ni English tumia English tu katika sentesi usipoelewa neno moja inaweka ikakutoa kwenye kuelewa sentesi nzima na unajua Tanzania wengine English haipandi sana kivile...
@kwisa48992 ай бұрын
Tanzania tunatumia lugha 2
@TradersEasyWay7 күн бұрын
Kuna wadau wana lalamika kwamba Edmund anatumia kingereza sana! mjue kwamba watanzania bado tuna shida na kiswahili na pia kuna maneno ya kingereza kiswahili chake ni kigumu na watz wengi hawayajui hayo maneno ya kiswahili maana yake ata wakiyasikia.
@AsaphMkaaya26 күн бұрын
Hivi wew ni muingereza au mtanzania
@BukelebeTv2 ай бұрын
Ukitumia Kingereza tunaomba ufasiri. Tunabarikiwa sana na masomo yako
@Neemajames-jo6vwАй бұрын
Wengine hatielew kbs
@ndekemwaifyusi8499Ай бұрын
Muwe mnaenda kufundisha Uingereza.
@AbuuSudais-wf6ns2 ай бұрын
Kaka angalia sana Hilo swala LA lugha, kiswahili ni bora Sana Kwa jumla
@zackariamtunguja94352 ай бұрын
Nimeweza kusave 8000/day kutoka kutumia gari na kutumia public transport.. 5000/day kwa kutumia wifi.. 13,000/day *30 =390,000 Now napambana kufuta madeni.
@marinakarunde33112 ай бұрын
Hongera una uthubutu sana.. Mimi kusave ndo ugonjwa wangu nazidi kupambana nao😂
@maureenmgeni2 ай бұрын
Hongera sanaaa
@hamasikatv2 ай бұрын
Hongera sana kwa hatua hiyo
@EmanuelSimon-eh8mr2 ай бұрын
Kwani bro ww ni Muingerezaa? Somo zuri sana tatizo unachanganya lugha
@benyavan57742 ай бұрын
Kwani hadi muchangaye kuswali na English ndiyo tujue unajua Tumien lugha ya taifa we unadhani una sikiliza na wangapi
@magrethpaul22072 ай бұрын
Haya ndio mambo napenda
@BaruaniAllyally2 ай бұрын
Niku shauri tu Mada iyoiyo irudie Tena kwakiswahili tu umepika chakula kizuri Sana ila kama chunvi haikuskika
@busarafadhil24422 ай бұрын
Wengine hawakurleei hapo unatuchanganyatuu
@EsterinePhilipo2 ай бұрын
Acha ushamba wa rugha
@busarafadhil24422 ай бұрын
Unachanganya lugha kama unaongea kiswahili ongea kiswahilitu na ikiwa English ongea English tu usiige
@ahz69072 ай бұрын
Wa tz nani katuroga? Si tujifunze english maana ndio lugha ya ulimwengu jamani tuache kulalama😂
@BaruaniAllyally2 ай бұрын
Sasa boss mbona kiingereza kingi Sana iyo ni kiswaili cha marekani
@Kanyawela2 ай бұрын
Ukiongea kingereza bas tafsiri ya kiswahili ili wote tuelewe