No video

Huwezi Kufanikiwa Kifedha Bila Kuyajua Haya - Edmund Munyagi

  Рет қаралды 18,656

Hamasika Tv

Hamasika Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 25
@albertdhukuru7443
@albertdhukuru7443 2 ай бұрын
Chagua lugha ya kutumia kama ni kiswahili tu tumia kiswahili tu na kama ni English tumia English tu katika sentesi usipoelewa neno moja inaweka ikakutoa kwenye kuelewa sentesi nzima na unajua Tanzania wengine English haipandi sana kivile...
@kwisa4899
@kwisa4899 2 ай бұрын
Tanzania tunatumia lugha 2
@TradersEasyWay
@TradersEasyWay 7 күн бұрын
Kuna wadau wana lalamika kwamba Edmund anatumia kingereza sana! mjue kwamba watanzania bado tuna shida na kiswahili na pia kuna maneno ya kingereza kiswahili chake ni kigumu na watz wengi hawayajui hayo maneno ya kiswahili maana yake ata wakiyasikia.
@AsaphMkaaya
@AsaphMkaaya 26 күн бұрын
Hivi wew ni muingereza au mtanzania
@BukelebeTv
@BukelebeTv 2 ай бұрын
Ukitumia Kingereza tunaomba ufasiri. Tunabarikiwa sana na masomo yako
@Neemajames-jo6vw
@Neemajames-jo6vw Ай бұрын
Wengine hatielew kbs
@ndekemwaifyusi8499
@ndekemwaifyusi8499 Ай бұрын
Muwe mnaenda kufundisha Uingereza.
@AbuuSudais-wf6ns
@AbuuSudais-wf6ns 2 ай бұрын
Kaka angalia sana Hilo swala LA lugha, kiswahili ni bora Sana Kwa jumla
@zackariamtunguja9435
@zackariamtunguja9435 2 ай бұрын
Nimeweza kusave 8000/day kutoka kutumia gari na kutumia public transport.. 5000/day kwa kutumia wifi.. 13,000/day *30 =390,000 Now napambana kufuta madeni.
@marinakarunde3311
@marinakarunde3311 2 ай бұрын
Hongera una uthubutu sana.. Mimi kusave ndo ugonjwa wangu nazidi kupambana nao😂
@maureenmgeni
@maureenmgeni 2 ай бұрын
Hongera sanaaa
@hamasikatv
@hamasikatv 2 ай бұрын
Hongera sana kwa hatua hiyo
@EmanuelSimon-eh8mr
@EmanuelSimon-eh8mr 2 ай бұрын
Kwani bro ww ni Muingerezaa? Somo zuri sana tatizo unachanganya lugha
@benyavan5774
@benyavan5774 2 ай бұрын
Kwani hadi muchangaye kuswali na English ndiyo tujue unajua Tumien lugha ya taifa we unadhani una sikiliza na wangapi
@magrethpaul2207
@magrethpaul2207 2 ай бұрын
Haya ndio mambo napenda
@BaruaniAllyally
@BaruaniAllyally 2 ай бұрын
Niku shauri tu Mada iyoiyo irudie Tena kwakiswahili tu umepika chakula kizuri Sana ila kama chunvi haikuskika
@busarafadhil2442
@busarafadhil2442 2 ай бұрын
Wengine hawakurleei hapo unatuchanganyatuu
@EsterinePhilipo
@EsterinePhilipo 2 ай бұрын
Acha ushamba wa rugha
@busarafadhil2442
@busarafadhil2442 2 ай бұрын
Unachanganya lugha kama unaongea kiswahili ongea kiswahilitu na ikiwa English ongea English tu usiige
@ahz6907
@ahz6907 2 ай бұрын
Wa tz nani katuroga? Si tujifunze english maana ndio lugha ya ulimwengu jamani tuache kulalama😂
@BaruaniAllyally
@BaruaniAllyally 2 ай бұрын
Sasa boss mbona kiingereza kingi Sana iyo ni kiswaili cha marekani
@Kanyawela
@Kanyawela 2 ай бұрын
Ukiongea kingereza bas tafsiri ya kiswahili ili wote tuelewe
@maicofidelix3549
@maicofidelix3549 2 ай бұрын
Good 👍 brown
@user-wd4xl5cl4y
@user-wd4xl5cl4y Ай бұрын
Speak Swahili
@mwanziajoseck3904
@mwanziajoseck3904 2 ай бұрын
🎉
USIMAMIZI WA MALI (WEALTH MANAGEMENT) na Lawrence Mlaki
27:12
Edmund Munyagi
Рет қаралды 6 М.
Mbinu 5 za Kuongeza Mauzo Katika Biashara Yako - Charles Nduku
10:40
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 15 МЛН
TENGENEZA UTAJIRI KUPITIA HISA na Emilian Busara
57:11
Edmund Munyagi
Рет қаралды 55 М.
UHURU WA KWELI WA KIFEDHA - JOEL NANAUKA
1:14:26
Joel Nanauka
Рет қаралды 48 М.
Dr. Chris Mauki: Vigezo sahihi vya kutumia kumpata mpenzi sahihi
9:44
Aina 5 Za Watu Muhimu - Joel Nanauka
1:02:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 164 М.
JINSI YA KUJENGA MIKONDO MINGI YA KIPATO na Edmund Munyagi
21:18
Edmund Munyagi
Рет қаралды 43 М.
FANYA JAMBO MOJA KWA MUDA MREFU - JOEL NANAUKA
29:30
Joel Nanauka
Рет қаралды 178 М.
#ONK-163; Mjadala; Jinsi Unavyozuia Matumizi Yasizidi Kipato.
56:00
Dr. Makirita Amani
Рет қаралды 123