Joel, Joel, Joel.... Nimekuita Mara tatu wewe ni zaidi..... Ya lulu katika maisha ya watu kwa elimu unayotoa.... Ubarikiwe sana kaka...
@HelenKitunda-xd7rb7 ай бұрын
MUNGU akubariki sana kaka Joel umenivusha pakubwa sana,video zako na vitabu vyako vimekuwa msaada mkubwa sana kwangu,nilikuwa kwenye madeni ambayo hata sikujuwa natokaje ila mpaka hapa siko na madeni biasha angalau imesimama naweza kutunza na akiba,Mungu akupe maisha marefu kaka
@user-uu9sk8nb7b6 ай бұрын
Kwan anauliza na vitabu my dear?
@HelenKitunda-xd7rb5 ай бұрын
@@user-uu9sk8nb7b Ndio mwaya anauza na vitabu,yaani vitabu vyake ukinunua hauta juta
@user-uj5zs8nc5k4 ай бұрын
Asante sana kaka
@user-dc5on6iv5g2 ай бұрын
Asante sana
@salehabdallah27375 ай бұрын
Joel nanauka ww ni speaker namba moja yaan duh nimenyanyua mikono .🙌
@ezekielpanga7599Ай бұрын
Naitwa Ezekiel Panga nimekuwa nikijifunza vingi kutoka kwako, kwa Tanzania tunayo itegemea wewe naweza kukuita Nyerere wa kizazi kipya katika kuiongoza Taifa itokane na changamoto kiuchumi na watu wake wawe huru kifedha, nakuombea mungu akuhifadhi na kukufikisha ikulu kama yusufu kwani ujumbe huu una serve Taifa kwa Ujumla God be with you MY ICON MENTOR NANAUKA! !
@EmilyMwalongo-sg4ruАй бұрын
This is the knowledge that many Africans want, although only a very few percent know that if they want this knowledge, there are many of them, realize that the comfort zone in the brain is not correct, and the need we have
@user-ov3dt7or6v7 ай бұрын
Aisee kwelii nimeamin mungu anakubarik kupiti mtu ww umekuwa mtu mhimu kwangu
@SaimonKazimoto-xt1zo7 ай бұрын
Elimu ya fedha nikweli watu hawana kama ingekuwepo Kila mtu angekua zaidi ya hapo alipo kwakweli ipo ivo asante sana kaka Joel.
@alexmarwa9417 ай бұрын
Asante kwa kutufungua na kutubadilisha fikra
@jichofoundationtv68935 ай бұрын
Hero umeokoa maisha ya watu wengi sana MUNGU aendelee kukupgania kakaa
@ANTONIMAMSERI-jm1he6 ай бұрын
SOMO ZURI SANA NIMEBARIKIWA NA UJUMBE WAKO NAOMBA KUULIZA KAMA HIZO DISPLAYED NOTES ZINAPATIKANA
@user-jz4go4fm1i7 ай бұрын
bro,u are my best motivational speaker in tz.
@jamilaathumani54817 ай бұрын
Nakuelewa kaka na nayafanyia Kaz inshallah nitafika tu ,,kwauwezo wa mungu na akiniwezesha kwakunifanikisha nakufanikisha
@user-sx9lq3ie1j7 ай бұрын
Kaka Joel naomba kupata vitabu vyako ,,mfano money formula,,maaana nahangaika Sana kuvipata
@user-uu9sk8nb7b6 ай бұрын
Yaan kila nkisikliza mafundisho yako najikuta nan uchungu na hela yangu
@AbdallahNguvumali4 ай бұрын
ongeza bidii sana bado kuna vitu unatakiwa kuvipata ongez kasi ya kujifunz zaidi ili uwakilishe zaid
@nyiranzimami7282 ай бұрын
Joel ninaitaji nambasako zasimu mimi naitwa Debora 💯👌👍
@TMMNKOBI2 ай бұрын
Ooh saw
@MohamedSarahani-gk6jx7 ай бұрын
Napendaa masomo yako yanatupaa upeooo waa kujuaa mambo
@kamaratsalimsafari88387 ай бұрын
I'll retire in 2027 😊 with patience and retirement fund...God bless me to reach Uhuru wa kifedha
@ANTONIMAMSERI-jm1he6 ай бұрын
amen
@kelvinkibenje7 ай бұрын
Nimejifunza ✍️✍️
@user-vo8go4zj6t5 ай бұрын
Mungu akubarik yani Kila siku nasikiliza mafundisho yako na yamenisaidia saana
@majidsudi23247 ай бұрын
Joel is our super hero !!
@user-wy6re9be2g7 ай бұрын
Aiseee😂.. This is all what I needed for so long...!! Mimi ni mvivu sana wa kusoma vitabu,, Napenda kusikiliza na kuangalia videos kama hivi... Kwa kweli Mwenyezi MUNGU akubariki..!! Nimeanza kukufuatilia rasmi Mwezi Huu,, Na haya Masomo yamenibariki mno kwa namna ya kipekee na ninayatumia kivitendo ❤.... Thank you so much Bruh..!! Mr Joel Nanauka...💪👏🙏🏿
@isacklaizer67767 ай бұрын
#FIREMovement...Financial Independent and Retire Early. Financial freedom.
@pauljosephtarimo22797 ай бұрын
Hapa kwenye kustaafu ni muhimu Sana,2024 ni mwaka wangu wa mabadiliko
@edwinmmari6343 ай бұрын
Mwalimu Joel ikikupendeza utoe mafunzo kwa kuchambua content za kitabu Cha "The Richest Man in the Babylon" itasaidia sana wengi.kupitia mafunzo haya nimenunua hiki kitabu na nimekisoma na kujifunza zaidi,kikubwa nimeweza pia kuset budget 10% ambayo kipindi Cha nyuma nilikua sifanyi hilo. shukrani sana kwa kuendelea kutoa mafunzo haya na Mungu aendelee kukupigania kwenye shughuli zako🤙🤙🤙
@neemalaurent98369 күн бұрын
Ahsante sana tata 🙏
@pillykajembe-yp1ir5 ай бұрын
Ninayo kichwani 😂😂😂😂😂😂.....Barikiwa sana sana.kila siku naangalia na kusikiliza Masomo yako.....napiga hatua
@bahatimgaya77585 ай бұрын
Hongera kaka kila nikikusikiliza nagundua nimechelewa sana
@faudhiasalum72797 ай бұрын
Powerful 👌🏽🤸♂️🤸♀️
@mohammedrashid29067 ай бұрын
Ahsante
@cosmassostenes48777 ай бұрын
Wa kwanza leo
@MohamedSarahani-gk6jx7 ай бұрын
Masomoo yako yanatupaa upeo waa kujuaamambo
@emanueleugen921Ай бұрын
Yes bro we need money actually
@thomasmeshack22027 ай бұрын
Nashukuru sana kaka ilikuwa shauku yangu kupata somo lote zidi kubarikiwa
@AbedyNalbert2 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka mkubwa❤❤
@frolencialupilya62096 ай бұрын
You're blessed brother Joel
@mwamvitakilima41043 ай бұрын
Ahsante sana kaka nimejifunza
@DennisKinyua-md7nu7 ай бұрын
Ni kweli kabisa bro unavyofundisha nakukubali🙏
@charlesmasangu40807 ай бұрын
Somo tamu sana…. Narudia na sichoki Asante Coach
@pikanaauntzuu14667 ай бұрын
Mwenyezo Mungu akubariki sana kaka Joel
@user-or4ij9cj1e6 ай бұрын
Ahsante nimebarikiwa sana.Nahitaji kushiriki kwenye seminar yako live nitapataje ratiba yako? Me nipo serengeti
@user-go9dz7jq3v7 ай бұрын
Asee ubarikiwe mnoo❤❤❤❤❤
@user-jh6jf2vr4oАй бұрын
Brother 🙏
@nikasmartin37137 ай бұрын
Mungu akubariki brother nimejifunza
@hassanihassani71547 ай бұрын
Bado tuko pamoja kaka joerl
@mpeliakhim37707 ай бұрын
good 👍
@neemadaudisospeter82117 ай бұрын
Mungu akubarikiiiiiii saaaana
@pilichuli44497 ай бұрын
Kaka tunakufatilia sana ubarikiwe
@eyoboboytzeyobo11877 ай бұрын
Kaka nanauka ..mungu akubariki
@shukranjulius95267 ай бұрын
Kaka Mungu azidi kukubariki zaidi
@veronicamapunda76977 ай бұрын
Thanks for this healing
@MARYTHEBLESSEDONE7 ай бұрын
God bless you brother 🙏
@frankchamshama23357 ай бұрын
Bonge la somo
@mohamedismail26627 ай бұрын
God bless you brother
@janetmbwana5535 ай бұрын
Barikiwa sana 🙏🙏
@user-nj6xi4dc6e7 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka
@bethstanford98404 ай бұрын
Mimi nataman sana siku nikutane nae yan nina itan kumuona
@eliastanda98257 ай бұрын
Joel my way
@joanesbazily28697 ай бұрын
Mungu akubariki
@user-bj4vy1wn4t7 ай бұрын
Blessed sana bro
@user-je8qx8ze8oАй бұрын
😅😅😅 muzee yuko na hekima na maneno
@LatifaJuma-jr3qx7 ай бұрын
Ubarikiwe
@maribasimon69937 ай бұрын
My mentor
@aikajaphet11087 ай бұрын
👌somo pambee
@josephinejumba99236 ай бұрын
Great advice
@daudiissa92567 ай бұрын
Am in class together
@lilianjaphet12447 ай бұрын
Thanks bro
@faudhiasalum72797 ай бұрын
😂😂😂😂Joel 😂🙌🏿🙌🏿😊😅
@user-wn4pf8yi1d7 ай бұрын
Thanks for all
@katumbimoses34057 ай бұрын
Good
@paulissayapaul48197 ай бұрын
Kwel
@disturberboy59987 ай бұрын
Somo zuri nakufatilia nikiwa mombosa Kenya
@user-go9dz7jq3v7 ай бұрын
Asee ubarikiwe mnoo❤❤❤❤
@user-fr1ed6es3f3 ай бұрын
Bwsna Joel God bless you,lakini sasa kuna hawa abao hawawezi kubali ata ufanye kazi.utamsaidia aje bila kazi,na anataka tu ufanye yake yenye anataka.