UHURU WA KWELI WA KIFEDHA - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 45,355

Joel Nanauka

Joel Nanauka

7 ай бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 81
@hongerakimbwala8650
@hongerakimbwala8650 7 ай бұрын
Joel, Joel, Joel.... Nimekuita Mara tatu wewe ni zaidi..... Ya lulu katika maisha ya watu kwa elimu unayotoa.... Ubarikiwe sana kaka...
@HelenKitunda-xd7rb
@HelenKitunda-xd7rb 7 ай бұрын
MUNGU akubariki sana kaka Joel umenivusha pakubwa sana,video zako na vitabu vyako vimekuwa msaada mkubwa sana kwangu,nilikuwa kwenye madeni ambayo hata sikujuwa natokaje ila mpaka hapa siko na madeni biasha angalau imesimama naweza kutunza na akiba,Mungu akupe maisha marefu kaka
@user-uu9sk8nb7b
@user-uu9sk8nb7b 6 ай бұрын
Kwan anauliza na vitabu my dear?
@HelenKitunda-xd7rb
@HelenKitunda-xd7rb 5 ай бұрын
@@user-uu9sk8nb7b Ndio mwaya anauza na vitabu,yaani vitabu vyake ukinunua hauta juta
@user-uj5zs8nc5k
@user-uj5zs8nc5k 4 ай бұрын
Asante sana kaka
@user-dc5on6iv5g
@user-dc5on6iv5g 2 ай бұрын
Asante sana
@salehabdallah2737
@salehabdallah2737 5 ай бұрын
Joel nanauka ww ni speaker namba moja yaan duh nimenyanyua mikono .🙌
@ezekielpanga7599
@ezekielpanga7599 Ай бұрын
Naitwa Ezekiel Panga nimekuwa nikijifunza vingi kutoka kwako, kwa Tanzania tunayo itegemea wewe naweza kukuita Nyerere wa kizazi kipya katika kuiongoza Taifa itokane na changamoto kiuchumi na watu wake wawe huru kifedha, nakuombea mungu akuhifadhi na kukufikisha ikulu kama yusufu kwani ujumbe huu una serve Taifa kwa Ujumla God be with you MY ICON MENTOR NANAUKA! !
@EmilyMwalongo-sg4ru
@EmilyMwalongo-sg4ru Ай бұрын
This is the knowledge that many Africans want, although only a very few percent know that if they want this knowledge, there are many of them, realize that the comfort zone in the brain is not correct, and the need we have
@user-ov3dt7or6v
@user-ov3dt7or6v 7 ай бұрын
Aisee kwelii nimeamin mungu anakubarik kupiti mtu ww umekuwa mtu mhimu kwangu
@SaimonKazimoto-xt1zo
@SaimonKazimoto-xt1zo 7 ай бұрын
Elimu ya fedha nikweli watu hawana kama ingekuwepo Kila mtu angekua zaidi ya hapo alipo kwakweli ipo ivo asante sana kaka Joel.
@alexmarwa941
@alexmarwa941 7 ай бұрын
Asante kwa kutufungua na kutubadilisha fikra
@jichofoundationtv6893
@jichofoundationtv6893 5 ай бұрын
Hero umeokoa maisha ya watu wengi sana MUNGU aendelee kukupgania kakaa
@ANTONIMAMSERI-jm1he
@ANTONIMAMSERI-jm1he 6 ай бұрын
SOMO ZURI SANA NIMEBARIKIWA NA UJUMBE WAKO NAOMBA KUULIZA KAMA HIZO DISPLAYED NOTES ZINAPATIKANA
@user-jz4go4fm1i
@user-jz4go4fm1i 7 ай бұрын
bro,u are my best motivational speaker in tz.
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 7 ай бұрын
Nakuelewa kaka na nayafanyia Kaz inshallah nitafika tu ,,kwauwezo wa mungu na akiniwezesha kwakunifanikisha nakufanikisha
@user-sx9lq3ie1j
@user-sx9lq3ie1j 7 ай бұрын
Kaka Joel naomba kupata vitabu vyako ,,mfano money formula,,maaana nahangaika Sana kuvipata
@user-uu9sk8nb7b
@user-uu9sk8nb7b 6 ай бұрын
Yaan kila nkisikliza mafundisho yako najikuta nan uchungu na hela yangu
@AbdallahNguvumali
@AbdallahNguvumali 4 ай бұрын
ongeza bidii sana bado kuna vitu unatakiwa kuvipata ongez kasi ya kujifunz zaidi ili uwakilishe zaid
@nyiranzimami728
@nyiranzimami728 2 ай бұрын
Joel ninaitaji nambasako zasimu mimi naitwa Debora 💯👌👍
@TMMNKOBI
@TMMNKOBI 2 ай бұрын
Ooh saw
@MohamedSarahani-gk6jx
@MohamedSarahani-gk6jx 7 ай бұрын
Napendaa masomo yako yanatupaa upeooo waa kujuaa mambo
@kamaratsalimsafari8838
@kamaratsalimsafari8838 7 ай бұрын
I'll retire in 2027 😊 with patience and retirement fund...God bless me to reach Uhuru wa kifedha
@ANTONIMAMSERI-jm1he
@ANTONIMAMSERI-jm1he 6 ай бұрын
amen
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 7 ай бұрын
Nimejifunza ✍️✍️
@user-vo8go4zj6t
@user-vo8go4zj6t 5 ай бұрын
Mungu akubarik yani Kila siku nasikiliza mafundisho yako na yamenisaidia saana
@majidsudi2324
@majidsudi2324 7 ай бұрын
Joel is our super hero !!
@user-wy6re9be2g
@user-wy6re9be2g 7 ай бұрын
Aiseee😂.. This is all what I needed for so long...!! Mimi ni mvivu sana wa kusoma vitabu,, Napenda kusikiliza na kuangalia videos kama hivi... Kwa kweli Mwenyezi MUNGU akubariki..!! Nimeanza kukufuatilia rasmi Mwezi Huu,, Na haya Masomo yamenibariki mno kwa namna ya kipekee na ninayatumia kivitendo ❤.... Thank you so much Bruh..!! Mr Joel Nanauka...💪👏🙏🏿
@isacklaizer6776
@isacklaizer6776 7 ай бұрын
#FIREMovement...Financial Independent and Retire Early. Financial freedom.
@pauljosephtarimo2279
@pauljosephtarimo2279 7 ай бұрын
Hapa kwenye kustaafu ni muhimu Sana,2024 ni mwaka wangu wa mabadiliko
@edwinmmari634
@edwinmmari634 3 ай бұрын
Mwalimu Joel ikikupendeza utoe mafunzo kwa kuchambua content za kitabu Cha "The Richest Man in the Babylon" itasaidia sana wengi.kupitia mafunzo haya nimenunua hiki kitabu na nimekisoma na kujifunza zaidi,kikubwa nimeweza pia kuset budget 10% ambayo kipindi Cha nyuma nilikua sifanyi hilo. shukrani sana kwa kuendelea kutoa mafunzo haya na Mungu aendelee kukupigania kwenye shughuli zako🤙🤙🤙
@neemalaurent9836
@neemalaurent9836 9 күн бұрын
Ahsante sana tata 🙏
@pillykajembe-yp1ir
@pillykajembe-yp1ir 5 ай бұрын
Ninayo kichwani 😂😂😂😂😂😂.....Barikiwa sana sana.kila siku naangalia na kusikiliza Masomo yako.....napiga hatua
@bahatimgaya7758
@bahatimgaya7758 5 ай бұрын
Hongera kaka kila nikikusikiliza nagundua nimechelewa sana
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 7 ай бұрын
Powerful 👌🏽🤸‍♂️🤸‍♀️
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 7 ай бұрын
Ahsante
@cosmassostenes4877
@cosmassostenes4877 7 ай бұрын
Wa kwanza leo
@MohamedSarahani-gk6jx
@MohamedSarahani-gk6jx 7 ай бұрын
Masomoo yako yanatupaa upeo waa kujuaamambo
@emanueleugen921
@emanueleugen921 Ай бұрын
Yes bro we need money actually
@thomasmeshack2202
@thomasmeshack2202 7 ай бұрын
Nashukuru sana kaka ilikuwa shauku yangu kupata somo lote zidi kubarikiwa
@AbedyNalbert
@AbedyNalbert 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka mkubwa❤❤
@frolencialupilya6209
@frolencialupilya6209 6 ай бұрын
You're blessed brother Joel
@mwamvitakilima4104
@mwamvitakilima4104 3 ай бұрын
Ahsante sana kaka nimejifunza
@DennisKinyua-md7nu
@DennisKinyua-md7nu 7 ай бұрын
Ni kweli kabisa bro unavyofundisha nakukubali🙏
@charlesmasangu4080
@charlesmasangu4080 7 ай бұрын
Somo tamu sana…. Narudia na sichoki Asante Coach
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 7 ай бұрын
Mwenyezo Mungu akubariki sana kaka Joel
@user-or4ij9cj1e
@user-or4ij9cj1e 6 ай бұрын
Ahsante nimebarikiwa sana.Nahitaji kushiriki kwenye seminar yako live nitapataje ratiba yako? Me nipo serengeti
@user-go9dz7jq3v
@user-go9dz7jq3v 7 ай бұрын
Asee ubarikiwe mnoo❤❤❤❤❤
@user-jh6jf2vr4o
@user-jh6jf2vr4o Ай бұрын
Brother 🙏
@nikasmartin3713
@nikasmartin3713 7 ай бұрын
Mungu akubariki brother nimejifunza
@hassanihassani7154
@hassanihassani7154 7 ай бұрын
Bado tuko pamoja kaka joerl
@mpeliakhim3770
@mpeliakhim3770 7 ай бұрын
good 👍
@neemadaudisospeter8211
@neemadaudisospeter8211 7 ай бұрын
Mungu akubarikiiiiiii saaaana
@pilichuli4449
@pilichuli4449 7 ай бұрын
Kaka tunakufatilia sana ubarikiwe
@eyoboboytzeyobo1187
@eyoboboytzeyobo1187 7 ай бұрын
Kaka nanauka ..mungu akubariki
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 7 ай бұрын
Kaka Mungu azidi kukubariki zaidi
@veronicamapunda7697
@veronicamapunda7697 7 ай бұрын
Thanks for this healing
@MARYTHEBLESSEDONE
@MARYTHEBLESSEDONE 7 ай бұрын
God bless you brother 🙏
@frankchamshama2335
@frankchamshama2335 7 ай бұрын
Bonge la somo
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 7 ай бұрын
God bless you brother
@janetmbwana553
@janetmbwana553 5 ай бұрын
Barikiwa sana 🙏🙏
@user-nj6xi4dc6e
@user-nj6xi4dc6e 7 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka
@bethstanford9840
@bethstanford9840 4 ай бұрын
Mimi nataman sana siku nikutane nae yan nina itan kumuona
@eliastanda9825
@eliastanda9825 7 ай бұрын
Joel my way
@joanesbazily2869
@joanesbazily2869 7 ай бұрын
Mungu akubariki
@user-bj4vy1wn4t
@user-bj4vy1wn4t 7 ай бұрын
Blessed sana bro
@user-je8qx8ze8o
@user-je8qx8ze8o Ай бұрын
😅😅😅 muzee yuko na hekima na maneno
@LatifaJuma-jr3qx
@LatifaJuma-jr3qx 7 ай бұрын
Ubarikiwe
@maribasimon6993
@maribasimon6993 7 ай бұрын
My mentor
@aikajaphet1108
@aikajaphet1108 7 ай бұрын
👌somo pambee
@josephinejumba9923
@josephinejumba9923 6 ай бұрын
Great advice
@daudiissa9256
@daudiissa9256 7 ай бұрын
Am in class together
@lilianjaphet1244
@lilianjaphet1244 7 ай бұрын
Thanks bro
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 7 ай бұрын
😂😂😂😂Joel 😂🙌🏿🙌🏿😊😅
@user-wn4pf8yi1d
@user-wn4pf8yi1d 7 ай бұрын
Thanks for all
@katumbimoses3405
@katumbimoses3405 7 ай бұрын
Good
@paulissayapaul4819
@paulissayapaul4819 7 ай бұрын
Kwel
@disturberboy5998
@disturberboy5998 7 ай бұрын
Somo zuri nakufatilia nikiwa mombosa Kenya
@user-go9dz7jq3v
@user-go9dz7jq3v 7 ай бұрын
Asee ubarikiwe mnoo❤❤❤❤
@user-fr1ed6es3f
@user-fr1ed6es3f 3 ай бұрын
Bwsna Joel God bless you,lakini sasa kuna hawa abao hawawezi kubali ata ufanye kazi.utamsaidia aje bila kazi,na anataka tu ufanye yake yenye anataka.
@MichaelErnest-do5yc
@MichaelErnest-do5yc 2 ай бұрын
Kaka unaweza kunipatia Namba yako ya WhatsApp
KUJENGA MTAJI WATU/SOCIAL WEALTH  - JOEL NANAUKA
1:14:15
Joel Nanauka
Рет қаралды 18 М.
FANYA JAMBO MOJA KWA MUDA MREFU - JOEL NANAUKA
29:30
Joel Nanauka
Рет қаралды 175 М.
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 7 МЛН
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 63 МЛН
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 12 МЛН
JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO ILI UINGIZE KIPATO ZAIDI - JOEL NANAUKA
1:11:12
UNAWEZAJE KUONGOZA BILA KUTUMIA CHEO AU NAFASI - JOELNANAUKA
1:06:28
Joel Nanauka
Рет қаралды 39 М.
DR IPYANA ft JOEL NANAUKA // DAMU YA YESU NA UTAJIRI
18:43
Dr Ipyana
Рет қаралды 48 М.
JINSI YA KUJENGA MIKONDO MINGI YA KIPATO na Edmund Munyagi
21:18
Edmund Munyagi
Рет қаралды 36 М.
Je,Wewe Una Maono Gani Kwenye Maisha Yako?
46:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 178 М.
HATUA SABA ZA UHURU WA KIFEDHA - DR. AMINA ABDUL
57:09
Edmund Munyagi
Рет қаралды 12 М.
UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA
1:11:22
Joel Nanauka
Рет қаралды 180 М.
KUTENGENEZA UTAJIRI WA WATU FULL VIDEO - JOEL NANAUKA
49:41
Joel Nanauka
Рет қаралды 31 М.
Jinsi ya kutoka kwenye madeni sugu.
1:03:49
Joel Nanauka
Рет қаралды 108 М.
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 7 МЛН