Mambo ya Kuzingatia Ukitaka Kufanikiwa Kwenye Maisha - Joel Nanauka
Пікірлер: 132
@bernadetachari76483 ай бұрын
Mwalimu nikweli pale kwenye miaka kumi na nane ndipo tulipotezA muda tukifikiri watu wanatuanghalia na tukachelewa kufanya tlicho takiwa kukifanya.lakini hatakama nimechelewa nitajikaza sana kwani unanitia moyo sana
@IsakaJackson-uc9jjАй бұрын
Daah, kiukwli Tangu Nikujue sijawahi kuku oinga MY"Blaza Uko vzl sana 🔥🔥
@rehefehe88903 ай бұрын
Kaka joel mungu akubariki sana uishi miaka mingi tuzidi kujifunza , tangu nianze kukufatilia nimekuwa nna furaha ,strong, naweza kufanya maamuzi ubarikiwe sana
@josephtesha8723 ай бұрын
Barkiwa sana Sir Joel hizi na vitabu vyako umebadilisha akili na mtazamo wangu🙏
@MartinsDimbanda2 ай бұрын
Nimekukubali Kaká,kwa lugayangu wanasema Ivi,acredito que você tás falar é verdade 🇲🇿
@BreckmasBaraka-zx1gbАй бұрын
Unafaa kuwa mtawala au kuwa spika wabunge maana una mafundisho ma zuri sana yanayo weza kuvusha watu kutoka hatuwa moja kwenda nyingine
@hamasikatvАй бұрын
Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza
@UnjuKhan-wq5rj2 ай бұрын
siwezi comment juu ya kipaji chako ulicho nacho,lakini acha nikwambie kitu kimoja bro...unaisaidia sana jamii hasa vijana naomba usikate tamaa na usichoke juu ya hicho unachikifanya lakini pia naamin mungu amekuinua kuwa mtu kati ya watu kwahyo naomba usichoke na mungu akubaliki sana na akakuongezee pale ulipo pungukiwa
@jacquelinemwacha778411 күн бұрын
Mungu nisaidie na mim nifikie hatma yngu🙏🙏 Kaka Joel Mungu akubariki umekuwa msaada wngu🙌🏼
@user-bz3gu4tv1vАй бұрын
Nakukubali Sana mkuu Mungu akupe nahitaji yako ya Muhimu.
@user-sq6cl8mf3b2 ай бұрын
Safiiiiii sanaaaa barikiwa endelea kunielimisha
@CristinaPedro-tv6qm2 ай бұрын
Nimekuelewa kaka. Hongera sana na mungu akubariki.
@user-hf9fh6nk6hАй бұрын
Ubarikiwe umenitowa mbali wewe kaka mungu akueke uzidi kutufunza
@user-lo6rw3ic7v3 ай бұрын
Yaani ni Mimi kabisa kwenye swala la health
@shukranjulius95263 ай бұрын
Hallelujah, dumu kubarikiwa kaka Joel
@user-cz7yn8ct5rАй бұрын
Wewe ni mwalimu mzuri Mungu akupe Kibari siku zote
@shukranjulius95263 ай бұрын
Kiukweli Mungu akuweke kaka
@rehemamallya11366 күн бұрын
nashukuru kwa somo zuri ila ktk 7 areas of life hujamalizia Finances na Career.
@AlbertGau-k7u24 күн бұрын
Kaka Joel mawazo na maono yako Ni makubwa mno Kwa vijana ambao Ni Sisi respect 🙏🏾✊🏾
@bazompolaphilbert3 ай бұрын
Amina 🙏 barikiwa sana, but nashindwa kupata vitabu vyako.
@alexandercamili72753 ай бұрын
Katika haya kuna mengi sana nimejifunza, Asante sana
@festodaudi64783 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@hamilcharles68303 ай бұрын
MaashaaAllah
@Dafetty2 ай бұрын
Asante sana brother God bless you
@user-te4nq8vv6c2 ай бұрын
Mimi Toka nimekupata wewe na matokeo ya kumtunza pesa nimejua , before sikujua kitu Asante ,kiongozi🙏
@ElizabethHamiduАй бұрын
Kaka ubarikiwe kwa darasa lako
@TumainiMsumba-el3oe3 ай бұрын
Ni kweli hatar mm nilikataliwa na wazaz wangu wa kambo
@magretharcard45313 ай бұрын
Asante sana kwa kutuelimisha
@festomatiku2611Ай бұрын
ur ze insparation zion utafika kule unaenda bro joel.
@StanleyMatembo-wj8rz2 ай бұрын
Mungu akubariki kwa helimu yako
@SalumuSaid-vq2kp2 ай бұрын
pa1 sana mkuu
@emmanueltangale25873 ай бұрын
Comrade Joel hongera sana
@RafaelHarubu2 ай бұрын
Thanks bro for ur inspiration ❤
@user-mt6nu5hs8qАй бұрын
Nikisikiliza maneno yk wkt sijafanikiwa ndo nakataga tamaa kabisa Brother.
@realemma231220 күн бұрын
Pambana usikate tamaa
@edithavalelian2563 ай бұрын
Barikiwa sana Kaka
@dolamussa87492 ай бұрын
Hapo kaka sawa kwamtindo huu tutakuelewa sana mm umenisaidia Sana kwaswala lakufuta aibu yangu kwasababu yako kaka mm nipo mtwara nakufatilia Sana
@godfreyjulius87409 күн бұрын
Good joel imenigusa sana
@veronicawilsonmbwambo105422 күн бұрын
Umenibariki sana
@nurujuma69123 ай бұрын
Umenibadilisha sana kaka angu nimejifunza,mengi kupitia ww
@user-oj6qq8up7f2 ай бұрын
Barikiwa mtumishi
@abidandastanmaliyatabu13732 ай бұрын
Kaka Mungu akubariki kwa uelimishaji wako mzuri, ila shida yangu hapa kwenye lugha unachanganya lugha mbili kwa wakati mmoja na sidhani kama kusudi lako waelewa watu ambao waliosoma au wanaoelewa lugha ya kizungu; ombi langu kama unaweza kutumia lugha ya taifa au moja wapo ya hizo unazotumia na sisi tusioelewa lugha ya kizungu tunataka kuelewa kila neno unalozungumza. Kama hautajali lakini; ni maoni yangu
@bmajesky632 ай бұрын
Uko vizuri sana bro umenitachi sana na umeni encourage
@IsayaMilya2 ай бұрын
Mungu awe na we thank
@RobatiMwambakale-jm5ljАй бұрын
Yani naona umenigusa sanaaa
@IrankundaOseeАй бұрын
kijana wew ni kichwa.Mungu akubaliki sana.no comment brother
@goodluckjackson55643 ай бұрын
Mungu akubariki
@realemma231220 күн бұрын
Napata nguvu sana kila nikikusikiliza
@kuruthumukondo714912 күн бұрын
Shukrani kaka ❤❤
@user-rh5kv2du5e2 ай бұрын
Ubalikiwe sana
@user-lj2cl5yn6jАй бұрын
I learn many different things about you
@hamasikatvАй бұрын
Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza
@rehemadaudi43902 ай бұрын
Hi kwa Mara ya Kwanza kukusikia ,nimepata. Kitu
@EmmanuelMaziku-vp6mq2 ай бұрын
So great 👍
@CheusiMshani2 ай бұрын
Nakukubali mpaka naazima cm kukufutilia by med
@user-iq7uq3qu9d3 ай бұрын
Kk Asante sanaaa
@BimmangaHemed2 ай бұрын
Uko sahihi sana kijana
@DonardTomas2 ай бұрын
Asant sana Joel nanauka
@aderiderkihupi72403 ай бұрын
Barikiwa
@veronicawilsonmbwambo105422 күн бұрын
Barikiwa san 🔥🔥
@AnnaMagembe-uv5el3 ай бұрын
Hata bhana
@veliuspaschal-wj7evАй бұрын
mungu akubariki kaka
@charlesmtatiro85342 ай бұрын
Asanteee kaka
@shekhaahmed39612 ай бұрын
Ahsante sana
@mpazijuma9623 ай бұрын
Good
@francisndabila11193 ай бұрын
Nakubali joel Nanauka
@user-qh2ef5gj5b2 ай бұрын
Nimekueerewa sanna kaka mungu akulinde
@user-zj7br5vf8hАй бұрын
Uyu jamaa ni mtu na nusu genius balaa
@4bod8013 ай бұрын
The best 👌
@Hopestanley5652 ай бұрын
Yani unafaaaa kua kiongozi mkubwa kwenye nchi unaupeo mkubwa sana
@user-uq6uv7mb4oАй бұрын
Mm niombe kitu kama kitakupendeza utafte tamasha taifa na uweke kingilio ili utufundishe maisha biashala na mafanikio br ww uko vizur
@user-lj7oq5hp4f3 ай бұрын
Mi natamani pia hata udoctor wa heshima upewe
@ElishaMwasenga-r6j10 күн бұрын
Asante
@user-rl5qu4zj9b2 ай бұрын
Duuuu hii nikweli aisee
@tunumigila89953 ай бұрын
Thank you
@sadickhassan87642 күн бұрын
🔥🔥
@SwedyMohamed-vt5zm25 күн бұрын
Wewe ni jembe,hakika Kuna mambo kadhaa umenifunza na tayari yamenisaidia maishani.
@paschalpaul38622 ай бұрын
Mimi nakataa kwenye kulinganisha na akina dangote,moo na backresa mfano dangote ni mtu aliyepata pesa kwa kushirikiana na viongozi waliopo serkalini kwenye serkali ya nigeria, hayo moo fuatilia miradi yake mingi ina connection na serkali kama mlivyoona moo alivyoharibu timu ya simba,mashamba ya chai yameharibika kwa sababu ya upigaji.
@hamasikatvАй бұрын
Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza
@user-bz3gu4tv1vАй бұрын
Nampenda sana huyu mkali.
@JohnJoseph-xu8qvАй бұрын
Asante sana
@javanskiti59113 ай бұрын
🙏🙏
@directorpatron6995Күн бұрын
kaka unatufunza mengi
@ToboaSaid3 ай бұрын
❤❤❤
@user-hz3rb7vc1x2 ай бұрын
Uyo ndio Joel Nanauka
@IrankundaOseeАй бұрын
mhimu sana kwa jamii
@jumalihumbo5314Ай бұрын
Najiona kbs mtt wa pili ila nimebeba mizigo mizito sana ya family😢😢😢ntakufa mapema😮😮😮
@hamasikatvАй бұрын
Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza
@beatricemwamini2044Ай бұрын
Amen.
@mathiasdickson5222 ай бұрын
❤
@JrmontaizaАй бұрын
I feel ungekuwa CEO wa simba 😂😂
@lovemusicnoreen918524 күн бұрын
Nahitaji hii video naipataje nashindwa ku download
@kennedyiganja64854 күн бұрын
😂😂Au sio umeshidwa
@adolphishengoma749625 күн бұрын
💯 ✅
@neemastima6363 ай бұрын
👍👍👍👍
@GraceRugoyera2 ай бұрын
Vraiment
@TumainiMsumba-el3oe3 ай бұрын
😮
@user-jm7im4sz1p3 ай бұрын
Exactly
@NestroySemeАй бұрын
Kikubwa n kujiamin tu bro kama ulivo xema
@husseinmgoo30742 ай бұрын
Ok
@MinzaNgasa2 ай бұрын
Duuh kweli kabisa
@juliusjohnii78233 ай бұрын
👍👍👍👍🤝🤝🤝🤝🤝.
@user-tp5mz9bi1u3 ай бұрын
God bless you
@ElizabethHamiduАй бұрын
Vitabu vyako vinapatikana kwa mfumo gani na mkoa upi?