Mambo ya Kuzingatia Ukitaka Kufanikiwa Kwenye Maisha - Joel Nanauka

  Рет қаралды 97,289

Hamasika Tv

Hamasika Tv

3 ай бұрын

Mambo ya Kuzingatia Ukitaka Kufanikiwa Kwenye Maisha - Joel Nanauka

Пікірлер: 132
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 3 ай бұрын
Mwalimu nikweli pale kwenye miaka kumi na nane ndipo tulipotezA muda tukifikiri watu wanatuanghalia na tukachelewa kufanya tlicho takiwa kukifanya.lakini hatakama nimechelewa nitajikaza sana kwani unanitia moyo sana
@IsakaJackson-uc9jj
@IsakaJackson-uc9jj Ай бұрын
Daah, kiukwli Tangu Nikujue sijawahi kuku oinga MY"Blaza Uko vzl sana 🔥🔥
@rehefehe8890
@rehefehe8890 3 ай бұрын
Kaka joel mungu akubariki sana uishi miaka mingi tuzidi kujifunza , tangu nianze kukufatilia nimekuwa nna furaha ,strong, naweza kufanya maamuzi ubarikiwe sana
@josephtesha872
@josephtesha872 3 ай бұрын
Barkiwa sana Sir Joel hizi na vitabu vyako umebadilisha akili na mtazamo wangu🙏
@MartinsDimbanda
@MartinsDimbanda 2 ай бұрын
Nimekukubali Kaká,kwa lugayangu wanasema Ivi,acredito que você tás falar é verdade 🇲🇿
@BreckmasBaraka-zx1gb
@BreckmasBaraka-zx1gb Ай бұрын
Unafaa kuwa mtawala au kuwa spika wabunge maana una mafundisho ma zuri sana yanayo weza kuvusha watu kutoka hatuwa moja kwenda nyingine
@hamasikatv
@hamasikatv Ай бұрын
Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza
@UnjuKhan-wq5rj
@UnjuKhan-wq5rj 2 ай бұрын
siwezi comment juu ya kipaji chako ulicho nacho,lakini acha nikwambie kitu kimoja bro...unaisaidia sana jamii hasa vijana naomba usikate tamaa na usichoke juu ya hicho unachikifanya lakini pia naamin mungu amekuinua kuwa mtu kati ya watu kwahyo naomba usichoke na mungu akubaliki sana na akakuongezee pale ulipo pungukiwa
@jacquelinemwacha7784
@jacquelinemwacha7784 11 күн бұрын
Mungu nisaidie na mim nifikie hatma yngu🙏🙏 Kaka Joel Mungu akubariki umekuwa msaada wngu🙌🏼
@user-bz3gu4tv1v
@user-bz3gu4tv1v Ай бұрын
Nakukubali Sana mkuu Mungu akupe nahitaji yako ya Muhimu.
@user-sq6cl8mf3b
@user-sq6cl8mf3b 2 ай бұрын
Safiiiiii sanaaaa barikiwa endelea kunielimisha
@CristinaPedro-tv6qm
@CristinaPedro-tv6qm 2 ай бұрын
Nimekuelewa kaka. Hongera sana na mungu akubariki.
@user-hf9fh6nk6h
@user-hf9fh6nk6h Ай бұрын
Ubarikiwe umenitowa mbali wewe kaka mungu akueke uzidi kutufunza
@user-lo6rw3ic7v
@user-lo6rw3ic7v 3 ай бұрын
Yaani ni Mimi kabisa kwenye swala la health
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 3 ай бұрын
Hallelujah, dumu kubarikiwa kaka Joel
@user-cz7yn8ct5r
@user-cz7yn8ct5r Ай бұрын
Wewe ni mwalimu mzuri Mungu akupe Kibari siku zote
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 3 ай бұрын
Kiukweli Mungu akuweke kaka
@rehemamallya1136
@rehemamallya1136 6 күн бұрын
nashukuru kwa somo zuri ila ktk 7 areas of life hujamalizia Finances na Career.
@AlbertGau-k7u
@AlbertGau-k7u 24 күн бұрын
Kaka Joel mawazo na maono yako Ni makubwa mno Kwa vijana ambao Ni Sisi respect 🙏🏾✊🏾
@bazompolaphilbert
@bazompolaphilbert 3 ай бұрын
Amina 🙏 barikiwa sana, but nashindwa kupata vitabu vyako.
@alexandercamili7275
@alexandercamili7275 3 ай бұрын
Katika haya kuna mengi sana nimejifunza, Asante sana
@festodaudi6478
@festodaudi6478 3 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@hamilcharles6830
@hamilcharles6830 3 ай бұрын
MaashaaAllah
@Dafetty
@Dafetty 2 ай бұрын
Asante sana brother God bless you
@user-te4nq8vv6c
@user-te4nq8vv6c 2 ай бұрын
Mimi Toka nimekupata wewe na matokeo ya kumtunza pesa nimejua , before sikujua kitu Asante ,kiongozi🙏
@ElizabethHamidu
@ElizabethHamidu Ай бұрын
Kaka ubarikiwe kwa darasa lako
@TumainiMsumba-el3oe
@TumainiMsumba-el3oe 3 ай бұрын
Ni kweli hatar mm nilikataliwa na wazaz wangu wa kambo
@magretharcard4531
@magretharcard4531 3 ай бұрын
Asante sana kwa kutuelimisha
@festomatiku2611
@festomatiku2611 Ай бұрын
ur ze insparation zion utafika kule unaenda bro joel.
@StanleyMatembo-wj8rz
@StanleyMatembo-wj8rz 2 ай бұрын
Mungu akubariki kwa helimu yako
@SalumuSaid-vq2kp
@SalumuSaid-vq2kp 2 ай бұрын
pa1 sana mkuu
@emmanueltangale2587
@emmanueltangale2587 3 ай бұрын
Comrade Joel hongera sana
@RafaelHarubu
@RafaelHarubu 2 ай бұрын
Thanks bro for ur inspiration ❤
@user-mt6nu5hs8q
@user-mt6nu5hs8q Ай бұрын
Nikisikiliza maneno yk wkt sijafanikiwa ndo nakataga tamaa kabisa Brother.
@realemma2312
@realemma2312 20 күн бұрын
Pambana usikate tamaa
@edithavalelian256
@edithavalelian256 3 ай бұрын
Barikiwa sana Kaka
@dolamussa8749
@dolamussa8749 2 ай бұрын
Hapo kaka sawa kwamtindo huu tutakuelewa sana mm umenisaidia Sana kwaswala lakufuta aibu yangu kwasababu yako kaka mm nipo mtwara nakufatilia Sana
@godfreyjulius8740
@godfreyjulius8740 9 күн бұрын
Good joel imenigusa sana
@veronicawilsonmbwambo1054
@veronicawilsonmbwambo1054 22 күн бұрын
Umenibariki sana
@nurujuma6912
@nurujuma6912 3 ай бұрын
Umenibadilisha sana kaka angu nimejifunza,mengi kupitia ww
@user-oj6qq8up7f
@user-oj6qq8up7f 2 ай бұрын
Barikiwa mtumishi
@abidandastanmaliyatabu1373
@abidandastanmaliyatabu1373 2 ай бұрын
Kaka Mungu akubariki kwa uelimishaji wako mzuri, ila shida yangu hapa kwenye lugha unachanganya lugha mbili kwa wakati mmoja na sidhani kama kusudi lako waelewa watu ambao waliosoma au wanaoelewa lugha ya kizungu; ombi langu kama unaweza kutumia lugha ya taifa au moja wapo ya hizo unazotumia na sisi tusioelewa lugha ya kizungu tunataka kuelewa kila neno unalozungumza. Kama hautajali lakini; ni maoni yangu
@bmajesky63
@bmajesky63 2 ай бұрын
Uko vizuri sana bro umenitachi sana na umeni encourage
@IsayaMilya
@IsayaMilya 2 ай бұрын
Mungu awe na we thank
@RobatiMwambakale-jm5lj
@RobatiMwambakale-jm5lj Ай бұрын
Yani naona umenigusa sanaaa
@IrankundaOsee
@IrankundaOsee Ай бұрын
kijana wew ni kichwa.Mungu akubaliki sana.no comment brother
@goodluckjackson5564
@goodluckjackson5564 3 ай бұрын
Mungu akubariki
@realemma2312
@realemma2312 20 күн бұрын
Napata nguvu sana kila nikikusikiliza
@kuruthumukondo7149
@kuruthumukondo7149 12 күн бұрын
Shukrani kaka ❤❤
@user-rh5kv2du5e
@user-rh5kv2du5e 2 ай бұрын
Ubalikiwe sana
@user-lj2cl5yn6j
@user-lj2cl5yn6j Ай бұрын
I learn many different things about you
@hamasikatv
@hamasikatv Ай бұрын
Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza
@rehemadaudi4390
@rehemadaudi4390 2 ай бұрын
Hi kwa Mara ya Kwanza kukusikia ,nimepata. Kitu
@EmmanuelMaziku-vp6mq
@EmmanuelMaziku-vp6mq 2 ай бұрын
So great 👍
@CheusiMshani
@CheusiMshani 2 ай бұрын
Nakukubali mpaka naazima cm kukufutilia by med
@user-iq7uq3qu9d
@user-iq7uq3qu9d 3 ай бұрын
Kk Asante sanaaa
@BimmangaHemed
@BimmangaHemed 2 ай бұрын
Uko sahihi sana kijana
@DonardTomas
@DonardTomas 2 ай бұрын
Asant sana Joel nanauka
@aderiderkihupi7240
@aderiderkihupi7240 3 ай бұрын
Barikiwa
@veronicawilsonmbwambo1054
@veronicawilsonmbwambo1054 22 күн бұрын
Barikiwa san 🔥🔥
@AnnaMagembe-uv5el
@AnnaMagembe-uv5el 3 ай бұрын
Hata bhana
@veliuspaschal-wj7ev
@veliuspaschal-wj7ev Ай бұрын
mungu akubariki kaka
@charlesmtatiro8534
@charlesmtatiro8534 2 ай бұрын
Asanteee kaka
@shekhaahmed3961
@shekhaahmed3961 2 ай бұрын
Ahsante sana
@mpazijuma962
@mpazijuma962 3 ай бұрын
Good
@francisndabila1119
@francisndabila1119 3 ай бұрын
Nakubali joel Nanauka
@user-qh2ef5gj5b
@user-qh2ef5gj5b 2 ай бұрын
Nimekueerewa sanna kaka mungu akulinde
@user-zj7br5vf8h
@user-zj7br5vf8h Ай бұрын
Uyu jamaa ni mtu na nusu genius balaa
@4bod801
@4bod801 3 ай бұрын
The best 👌
@Hopestanley565
@Hopestanley565 2 ай бұрын
Yani unafaaaa kua kiongozi mkubwa kwenye nchi unaupeo mkubwa sana
@user-uq6uv7mb4o
@user-uq6uv7mb4o Ай бұрын
Mm niombe kitu kama kitakupendeza utafte tamasha taifa na uweke kingilio ili utufundishe maisha biashala na mafanikio br ww uko vizur
@user-lj7oq5hp4f
@user-lj7oq5hp4f 3 ай бұрын
Mi natamani pia hata udoctor wa heshima upewe
@ElishaMwasenga-r6j
@ElishaMwasenga-r6j 10 күн бұрын
Asante
@user-rl5qu4zj9b
@user-rl5qu4zj9b 2 ай бұрын
Duuuu hii nikweli aisee
@tunumigila8995
@tunumigila8995 3 ай бұрын
Thank you
@sadickhassan8764
@sadickhassan8764 2 күн бұрын
🔥🔥
@SwedyMohamed-vt5zm
@SwedyMohamed-vt5zm 25 күн бұрын
Wewe ni jembe,hakika Kuna mambo kadhaa umenifunza na tayari yamenisaidia maishani.
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 2 ай бұрын
Mimi nakataa kwenye kulinganisha na akina dangote,moo na backresa mfano dangote ni mtu aliyepata pesa kwa kushirikiana na viongozi waliopo serkalini kwenye serkali ya nigeria, hayo moo fuatilia miradi yake mingi ina connection na serkali kama mlivyoona moo alivyoharibu timu ya simba,mashamba ya chai yameharibika kwa sababu ya upigaji.
@hamasikatv
@hamasikatv Ай бұрын
Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza
@user-bz3gu4tv1v
@user-bz3gu4tv1v Ай бұрын
Nampenda sana huyu mkali.
@JohnJoseph-xu8qv
@JohnJoseph-xu8qv Ай бұрын
Asante sana
@javanskiti5911
@javanskiti5911 3 ай бұрын
🙏🙏
@directorpatron6995
@directorpatron6995 Күн бұрын
kaka unatufunza mengi
@ToboaSaid
@ToboaSaid 3 ай бұрын
❤❤❤
@user-hz3rb7vc1x
@user-hz3rb7vc1x 2 ай бұрын
Uyo ndio Joel Nanauka
@IrankundaOsee
@IrankundaOsee Ай бұрын
mhimu sana kwa jamii
@jumalihumbo5314
@jumalihumbo5314 Ай бұрын
Najiona kbs mtt wa pili ila nimebeba mizigo mizito sana ya family😢😢😢ntakufa mapema😮😮😮
@hamasikatv
@hamasikatv Ай бұрын
Asante kwa maoni yako tuendelee kujifunza
@beatricemwamini2044
@beatricemwamini2044 Ай бұрын
Amen.
@mathiasdickson522
@mathiasdickson522 2 ай бұрын
@Jrmontaiza
@Jrmontaiza Ай бұрын
I feel ungekuwa CEO wa simba 😂😂
@lovemusicnoreen9185
@lovemusicnoreen9185 24 күн бұрын
Nahitaji hii video naipataje nashindwa ku download
@kennedyiganja6485
@kennedyiganja6485 4 күн бұрын
😂😂Au sio umeshidwa
@adolphishengoma7496
@adolphishengoma7496 25 күн бұрын
💯 ✅
@neemastima636
@neemastima636 3 ай бұрын
👍👍👍👍
@GraceRugoyera
@GraceRugoyera 2 ай бұрын
Vraiment
@TumainiMsumba-el3oe
@TumainiMsumba-el3oe 3 ай бұрын
😮
@user-jm7im4sz1p
@user-jm7im4sz1p 3 ай бұрын
Exactly
@NestroySeme
@NestroySeme Ай бұрын
Kikubwa n kujiamin tu bro kama ulivo xema
@husseinmgoo3074
@husseinmgoo3074 2 ай бұрын
Ok
@MinzaNgasa
@MinzaNgasa 2 ай бұрын
Duuh kweli kabisa
@juliusjohnii7823
@juliusjohnii7823 3 ай бұрын
👍👍👍👍🤝🤝🤝🤝🤝.
@user-tp5mz9bi1u
@user-tp5mz9bi1u 3 ай бұрын
God bless you
@ElizabethHamidu
@ElizabethHamidu Ай бұрын
Vitabu vyako vinapatikana kwa mfumo gani na mkoa upi?
@yusuphsitta2400
@yusuphsitta2400 Ай бұрын
pa1
@FelicianFrank
@FelicianFrank Ай бұрын
By Joel Nanauka
@user-bh7nb2kn5o
@user-bh7nb2kn5o 3 ай бұрын
Wa kwanza n wewe
Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka
14:16
Hamasika Tv
Рет қаралды 51 М.
HATUA 6 ZA KUJIAJIRI II Roadtosuccesstz
1:52
Roadtosuccesstz
Рет қаралды 15 М.
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 2,6 МЛН
Cat Corn?! 🙀 #cat #cute #catlover
00:54
Stocat
Рет қаралды 15 МЛН
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 29 МЛН
JAMBO MUHIMU UNAPOELEKEA MAFANIKIO - JOEL NANAUKA.
10:48
Joel Nanauka
Рет қаралды 12 М.
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
59:26
Personal Finance Hub
Рет қаралды 20 М.
Huwezi Kufanikiwa Kifedha Bila Kuyajua Haya - Edmund Munyagi
14:27
UTT AMIS - JINSI YA KUWEKEZA NA MAAJABU YA FAIDA ZAKE
1:06:29
Iringa Talk Show
Рет қаралды 1,5 М.
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39
Visit Tanzania
Рет қаралды 269 М.
JINSI YA KUJENGA MIKONDO MINGI YA KIPATO na Edmund Munyagi
21:18
Edmund Munyagi
Рет қаралды 33 М.
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 2,6 МЛН