No video

HAPA NDIPO ALIPOANZIA BAKHRESA KUSHONA VIATU KARIAKOO, HUYU HAPA ALIEANZA NAE

  Рет қаралды 437,715

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

#millardayo#AyoTVEXCLUSIVE#Bakhresa
Ayo TV, millardayo.com imekutana na Mzee Ally Msusa ambaye amekuwepo tangu Mzee Bakhresa anaanza na biashara yake ya kwanza ya kushona viatu mtaa wa Agrey na Livinstone Dar es Salaam miaka ya 1970, ametuonesha eneo alipoanzia Bilionea huyo.

Пікірлер: 550
@patricemacky1164
@patricemacky1164 4 жыл бұрын
Nimekuja kuiangalia hii taarifa kwakua imetolewa na millard ayo ila ingekua tv nyingine wala nisingefikiria hata kubonyeza.kama unakubalia namimi gonga like.
@mercylemboto5129
@mercylemboto5129 4 жыл бұрын
Hata mm ingekua tv nyingn nisingeangalia
@anatorydesdery4654
@anatorydesdery4654 4 жыл бұрын
Mimi niliiona jana nikaipuuza , nikawa nafikiria,' hivi Millard Ayo naye ameanza kufanana na zile channel za kichoko ???"
@shamimuabubakari3508
@shamimuabubakari3508 4 жыл бұрын
Sana
@simbawateranga7020
@simbawateranga7020 4 жыл бұрын
😊😊😊😊😀
@mtaalamwamambo2099
@mtaalamwamambo2099 4 жыл бұрын
Ata Mm Habr yyt Huwa siiamin labd kwa Millard tu! 🔥🔥🔥🔥
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 4 жыл бұрын
Hiyi interview yte watu wamekosa kugundua kitu kikubwa mno kutoka kwa huyu Mzee, huyu Mzee inaonaonekana Mungu kampa kipaji cha kukinai, wallah ingelikuwa ni mswahili mwengine apo ungemsikia tu "tumekula msoto pamoja ila anashindwa kunisaidia mtaji" ila Mzee hana shobo hizo yaani mwenyewe karidhika na kuokota mabox akiuza pamoja na miwa kama ckupewa hili koromeo la kiume, ningelia kama mtoto leo kwa imani nilomuonea huyu Mzee, yaa Allah! Tukoseshe yte hapa duniani ila utupe msimamo wa ibada na roho zenye kinai
@hajjiqasim5977
@hajjiqasim5977 4 жыл бұрын
Mashaallah nimependa sana hilo
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 4 жыл бұрын
Watu wa zamani walikuwa na aibu sana ya kuombaomba hiyo iliwasaidia sana kutunza utu wawo. Lakini ingekuwa hawa vijana wa sasa loh utawakimbia
@kamanda007
@kamanda007 4 жыл бұрын
Kweli kabisa na inaonekana mungu kampa afya nzuri maana kwa miaka 81 anaonekana vizuri sana na kichwa inakumbuka vizuri sana, mungu aendelee kumweka vizuri tuu
@rizwanamo5hidaya75
@rizwanamo5hidaya75 3 жыл бұрын
@@kamanda007 amin
@fizomedia5112
@fizomedia5112 3 жыл бұрын
Ka jamaa umesema point kwelikweli yan
@seifmassoud2686
@seifmassoud2686 4 жыл бұрын
81yrs and he is very strong Mashaallah Allah akupe nguvu zaidi Mzee
@keyakeya8911
@keyakeya8911 4 жыл бұрын
Ni kumushukuru tuu mungu baba angu now katimiza miaka 78 na bado yupo strong kabisaa
@seifmassoud2686
@seifmassoud2686 4 жыл бұрын
Swaumu Kea keel 2 much Keya, yeah
@yascomdoe5686
@yascomdoe5686 4 жыл бұрын
Broo tupunguz na hii michez mipya Punyeto Na hata ngoni za mara kwa mara Then tujitahid san kuwaig wazee wet vykul walivyokuwa wanakula naamin tutafik ata 70 iv
@yascomdoe5686
@yascomdoe5686 4 жыл бұрын
Pia dua muimu
@Rashidmhedhery
@Rashidmhedhery 4 жыл бұрын
yasco mdoe ; wewe ni ng’ombe!
@ramamtetu2327
@ramamtetu2327 4 жыл бұрын
Kama Umesikia Mzee Wa Mjini kasema Siwezi kuhesabu Mifuko nahesabu hela , Elfu saba, Nane gonga like hapa twende Sawa
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 3 жыл бұрын
Ahhahahahahhaha
@mc9diabeticclinic392
@mc9diabeticclinic392 4 жыл бұрын
M nimejifunza kuwa na moyo wa kutoa kwa ajili ya MUNGU utafanikiwa sana
@husnauthman7609
@husnauthman7609 4 жыл бұрын
Sanaa mustakimu
@fahadkhamisi3061
@fahadkhamisi3061 3 жыл бұрын
Kwel
@dinomdl5369
@dinomdl5369 3 жыл бұрын
Sana. Ila usiwe na ndugu wenye kijicho. Unawapa bado wanataka ufilisike wafaidike wao
@stevenmaketa8051
@stevenmaketa8051 2 жыл бұрын
Kweli brooo
@kisukikalimkunaji1263
@kisukikalimkunaji1263 4 жыл бұрын
Miaka 15 anashona viatu lakin siku izi vijana tunataka maendeleo ya haraka kupita maelezo tunaajiriwa tuna mwaka Mara tunataka kujenga kwa feza za kumuibia muajiri wako mwisho hufanikishi na kibarua huna unabaki unatangatanga hii interview imenifunza jinsi ya kuwa mvumilivu kwenye maisha Allah anipe mwisho mwema inshaallah
@user-sk1yd4pw1v
@user-sk1yd4pw1v 4 ай бұрын
Acha kuongea mbanga wewe unafikili Kuna Tajiri anajali wewe unapitia nini ukiona anaibiwa na yeye ni zuruma ishi maisha yako kama ujawai kupita misoto ya waajiri wa nchi hii
@mohamedfaris3000
@mohamedfaris3000 4 жыл бұрын
Bakhresa wazee wake walimlea Mh Rais wa kwanza wa Zanzibar kabla ya kuwa Rais huko Mwera Zanzibar, baaada ya kuwa Rais kuna tukio lilitokea kwa mzee wake bakhresa ambae alikua hawezi kuona vizuri ambapo alipata ajali na kwa bahati mbaya na kupelekea kuupoteza uhai wake, aliposikia Mh Karume alisikitishwa sn na tukio hilo ndo ikambidi kuwapatia pesa ya kina Bakhresa yaani bkharesa mwenyewe na kakaake Mohamed Bakhresa ndio akanza kufanya biashara hiyo ya kushona viatu huko Zanzibar karibu na kwao Mbuyuni, baadae akahamia Dar es salam kuendeleza biashara yake, hiyo, Allah amzidishie na wengine ambao wanatamani kuwa km yeye, pia Allah amzidishie na huyu mzee wetu pa1 na afya njema Inshallah
@albahryonlinetv9319
@albahryonlinetv9319 4 жыл бұрын
Mohamed Faris ww ni mkweli kabisa kwan unaijuwa2historia vzur ya zanzibar asante
@mohamedfaris3000
@mohamedfaris3000 4 жыл бұрын
Ahmed albahry, babu yangu uyo
@albahryonlinetv9319
@albahryonlinetv9319 4 жыл бұрын
Mohamed Faris ,p kaka ahsante
@frednixon2319
@frednixon2319 4 жыл бұрын
Mohamed Faris ok
@ahmeidyoung2410
@ahmeidyoung2410 4 жыл бұрын
Umeongea sahihi na iyo ndio historia ya kweli bana
@imagepower3641
@imagepower3641 4 жыл бұрын
kuwa tajiri mkubwa inawezekana kabisa/1.zitambue nguvu za asili za ulimwengu/2.fanya kazi kwa malengo makubwa ya kimkakati/nidhamu/muda/akiba.,,,,,,,,,,,,,,gonga like kama unaamini
@elishaalex1747
@elishaalex1747 4 жыл бұрын
Hapo kwenye nguvu za asili bro hapo sijakuelewa
@imagepower3641
@imagepower3641 4 жыл бұрын
@@elishaalex1747 ulimwengu wa roho.(spirit realm)
@imagepower3641
@imagepower3641 4 жыл бұрын
Dunia hii tunamoishi inapokea nguvu na maamuzi yote kutoka katika ulimwengu wa roho,huwezi kufanikiwa kufika lever za juu kwa ujanja tu ,lazima ama umshirikishe mungu mwenyewe au viumbe waasi.
@bariuezekiel5841
@bariuezekiel5841 4 жыл бұрын
@@imagepower3641 kweli hapo kaka
@sanifumedia9614
@sanifumedia9614 4 жыл бұрын
Hata hii sunset TZ ni noumaa
@sharifakhamis2461
@sharifakhamis2461 4 жыл бұрын
Allah anasema anae pewa hekima bas kapewa kitu kikubwa na anae kinae bas atafaulu baba umekinae Allah akuzidishie huna wasi wasi moyo umepoa masha Allah
@godifreypaul9409
@godifreypaul9409 4 жыл бұрын
Viatu gia tu kama ilivyo gia namba moja ya gari.Gia namba 2 sukari gunia 200 bila VAT,yaani gia bila kukanyaga cluch.Gia namba 3 kuvua samaki,gia namba 4 hoteli.Na zamani gari nyingi zilikuwa na gia 4 ya 5 ni rivers Hivyo alirudi kwenye gia namba 2 ambayo ni gunia 200 baada ya Mzee Nyerere kustafu ikaja ruksa.Kwa hiyo alikuwa anacheza na gia tu,mpaka hapo alipo sasa. Pili hakuwa na roho mbaya,alisaidia watu kwa kadiri Mungu alivyomjalia.Hata mke wake ni mchango mkubwa sana.Maana alikuwa anamtia moyo.
@omarykada1034
@omarykada1034 2 жыл бұрын
Dah nimechka sana gia tu
@mustayoo
@mustayoo 4 жыл бұрын
Allah anamruzuku anae mtaka bila kipimu.mungu amuongezee bakresa na sisi pia atupe
@shinoneydah4524
@shinoneydah4524 4 жыл бұрын
kama waamini mungu akupi unachotaka na kukiomba anakupa anachotaka yeye gonga lyje apa
@abdulihafidhali5379
@abdulihafidhali5379 4 жыл бұрын
Katika maisha usikate tamaa ila bakheresa amepita mbali mpaka akafanikiwa anaeamini agonge Like chini
@abdulihafidhali5379
@abdulihafidhali5379 4 жыл бұрын
@Ali Ali iyo habari ni ya ukweli
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 жыл бұрын
Ni bora muwaulize watu wa Zanzibar (Unguja) kuhusu Bwana Bakhresa watakuwa wanajuwa zaidi kuhusu Bakhrasa . Ni mtu hodari wa kazi kutafuta maisha. Na mengi sana. Mungu amhifadhi na ambariki. kwa sote....
@Patrick-fo1qb
@Patrick-fo1qb 4 жыл бұрын
Anae amini zamani hakukua na tuma na ya kutolea ndo maana barhesa alitoboa gonga like
@godblessmushi2219
@godblessmushi2219 4 жыл бұрын
Mnasema haiwezekani maana mmeshakata tamaa ya maisha,,, kumbuka kila kitu kinawezekana hakuna mtu aliyekuja na kitu
@shahamtindo
@shahamtindo 4 жыл бұрын
Kweli vyote tunavikuta duniani
@maryammaram2612
@maryammaram2612 4 жыл бұрын
🙌
@godblessmushi2219
@godblessmushi2219 4 жыл бұрын
@@maryammaram2612 👍
@yusufally6853
@yusufally6853 4 жыл бұрын
Godbless Mushi ..yaaan kaka big like ur name Gobbles mashallah una IQ..and thinking capacity never die poor br.
@yusufally6853
@yusufally6853 4 жыл бұрын
True be Godbless.
@omaryshafii1174
@omaryshafii1174 4 жыл бұрын
Bakhresa muangalie mzee mwenzio usisubiri afe najua utakuwa umemsaidia lkn mfanyie kitu cha kuweza kukukumbuka... Allah akizidishie Said Bakhresa
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 4 жыл бұрын
Asante mzee kwa ushuhuda japo ni vyema yeye mwenyewe muhusika akajishuhudia,ingawa amekuwa Kama tajiri aliye mafichoni au uhamishoni tofauti na matajiri wakubwa hata zaidi yake duniani.ndo maana hata baadhi wanasita kuamini asili ya utajr wake. Binafs Jack ma ni miongon mwa matajr wachesh ninayependezwa naye.
@nurumuna7297
@nurumuna7297 4 жыл бұрын
kaka watu hawawezi fanana wote hiyo ni tabia yake - nani vizuri tu mi naona watu wakakushuhudia kuliko kujishuhudia mwenyewe ..
@allymapinda8804
@allymapinda8804 4 жыл бұрын
Nyie wengine wote mmekuja tu Dar. Mzee kazaliwa downtown na anazeekea downtown :)
@najmaalbajun4686
@najmaalbajun4686 3 жыл бұрын
❤️
@stevenmaketa8051
@stevenmaketa8051 2 жыл бұрын
Umeonaeee eeeee huyu ndo wa town sasaa
@sayman158
@sayman158 4 жыл бұрын
Hiyo ni.miaka ya 1970's...ila sasa hivi wewe shona viatu tuone kama utakuja kuwa bakhresa...kipind hicho matajiri walikuwa wachache na fursa zilikuwa nyingii...sasa hivii hapana kwa kweliii....🙌🙌
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Kwa vyovyote vile kulikuwa na dili zingine!!!
@husnauthman7609
@husnauthman7609 4 жыл бұрын
Kabisaaa saidi
@mohamedsheikh6618
@mohamedsheikh6618 2 жыл бұрын
Wewe usiwe muoga wa maisha, mtegemee Allah wangapi wa jana na juzi wako vizuri, uaminifu, ukweli ndo mtaji, fikra sahihi huleta matendo na matokeo sahihi, ukifikiri kimakosa utaenda kimakosa na matokeo ni makosa, kitume kichwa tafakari hakuna lisilowezekana mtangulize Allah na u jiamini inawezekana
@sayman158
@sayman158 2 жыл бұрын
@@mohamedsheikh6618 Allah tunamtegemea a ndie anaekadiria maisha yetu.lakin mimi sio muoga na pia nimezungumzia uhalisia...kila mtu anajua uhakisia wake na uwezo wake wa kiuchumi...Mengneo ni tunaongea tu kiimani,,ila imani pia inataka mtu ujiambue na Uwe na akili za kufanya kazi kwa usahihi
@mohamedsheikh6618
@mohamedsheikh6618 2 жыл бұрын
@@sayman158 wewe kama umeelewa inatosha, chapa kazi, heshimu wakati, heshimu taratibu zako kufa.nikiwa au la hiyo ni siri ya Allah usibweteke wala usiangalie mtu kila mtu kivyake kama sura zetu, pambana, kuwa mwaminifu na mkweli you will be champion, nothing else
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 4 жыл бұрын
Nimejifunza kitu hapa. Usikate tamaa na Utowe sadaka kwa Ajiri ya Mungu.Mungu Atakupa M badara wake.InshaAllah Allah Atufanyie wepesi sote .
@husnauthman7609
@husnauthman7609 4 жыл бұрын
Kweli husen
@shuwanaliloka3816
@shuwanaliloka3816 2 жыл бұрын
Amin
@GHOST-gc8ju
@GHOST-gc8ju 4 жыл бұрын
Mliyemuhoji mtu sahihi kabisa
@luhanchen7824
@luhanchen7824 4 жыл бұрын
Allah insist people to be tollerant..Almost 15 years man stay as a show shiner 🙏🙏
@riphatmuhene9615
@riphatmuhene9615 4 жыл бұрын
Sawa lkn bro Bakhresa Kihistoria alisaidiwa na Mzee karume rais wa Zanzibar na kipindi kile ilikua ukiwa na mali basi biashara unatusua. Walisaidiwa na ndo sababu ya kutisua.
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 4 жыл бұрын
Kwa siku alikuwa anashona viatu vingapi lo msidanganyike
@luhanchen7824
@luhanchen7824 4 жыл бұрын
@@blandinamwarabu5025 kamulize babak0,,,👎😔 🖕
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 3 жыл бұрын
Shoe shiner...malaka
@sharifabdul6085
@sharifabdul6085 4 жыл бұрын
Ama kweli maisha ni safari ndefu mno,kwani hata wazamia lulu(wazibua vyoo)mwanzoni walokua na ndoto za kua matajiri wakubwa ila ndio kila mja mungu ameshamuekea riski yake,maana huyu mzee pamoja na ukaribu huo wake yy mua mpaka leo hajaubrandi,namuomba bakhresa amkuze rafki yake kibiashara😀😀😀😀 nae atajike
@tangaoldtv1067
@tangaoldtv1067 3 жыл бұрын
Jamani katika kazi hakuna ushirikina muacheni milad ayo azidi kuwa juu maana kazi zake sio za kubahatisha wala kuandika kitu ambacho huta kikuta katika vidio zake kitakacho andikwa basi ndicho kilichomo hongera sana sana kaka mungu akubariki chapa kazi ukituma tutaangalia wasio taka kujua ukweli wakafuata mitandao ya kuwadanganya wasikutishe hawakuwezi hata wafanyaje
@bressfabians4537
@bressfabians4537 4 жыл бұрын
Bongo watu wanatoka mbali usifikilie freemanson maza faka 😆😂😅😁
@albahryonlinetv9319
@albahryonlinetv9319 4 жыл бұрын
bress fabians hashuolo kwan hakharesa mbongo huyo kuyalo huyu ni Mzanzibari pure na kuanzia kwao Zanzibari hyu hajui kit ila sahv anchukuwa bara anaweka kwao Zanzibari Hahahahahaha
@anelkaking9342
@anelkaking9342 4 жыл бұрын
Sure.umenena.
@fatmamwinyi8102
@fatmamwinyi8102 4 жыл бұрын
Ahmed Albahry hovyooo jahil ww
@mweucchunda4244
@mweucchunda4244 3 жыл бұрын
Huyu ndo backhresa wa Azam yule tajir wa Tim ya azam?
@machetebogota4218
@machetebogota4218 3 жыл бұрын
Ila watu wa zanzibar akili ziro kweli Kwan apo ye kasema je mtazid kuwa watumwa
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 жыл бұрын
Ili utoboe kwenye hili life nilazima kupamban🙆
@mootelahamongus633
@mootelahamongus633 4 жыл бұрын
Munira nitumie Namba yako please
@kipagomedia6857
@kipagomedia6857 4 жыл бұрын
Ndo hivyo
@edgardavis9668
@edgardavis9668 4 жыл бұрын
Tena haswa imagine mtu anashona viatu Kwa Zaid ya miaka15🤔
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 4 жыл бұрын
Umeonaeee 💪
@Mzalendo-
@Mzalendo- 4 жыл бұрын
Muni girl
@yussufabdul-rahman5601
@yussufabdul-rahman5601 4 жыл бұрын
Bakhresa Anawalipa kla mwsho wa mwezi wezke wote aliocheza nao kwa mbuyuni,malindi na mchangani Zanzibar. Na wnpta kuwasomshea watoto wao kptia icho icho wnchopewa pia ameweza kutoa ajira kwa watoto wengi wa kizanzibar, nakutngneza mckti. Mengi ktk mjii wa Zanzibar na kuwalpa maimamu,wadhini na wanaosafsha mckti na kla ktu knacho husiana na mckti hutoa yy,na kila ikifika ckuku ya idii hutoa pesa kwa watu.mungu ampe khatima njema na awe na moyo uwo uwo wa kutoa zaidi na zaidi
@pascalboniphace1895
@pascalboniphace1895 Жыл бұрын
Tudanganye Sasa mhhh ww kuweza
@aichaabdul5844
@aichaabdul5844 4 жыл бұрын
Kwa maana hiyo kuna shida hapo....kama kipinde kile cha mwalimu Nyerere sukari ikuwa shida wakati huo yeye Bakresa alikuwa na gunia karibu 200 wakati mtu mwingine hana hata kilo 2. Huoni hapo tayari kuna alama za kuuliza, ???????
@fintaniferx9535
@fintaniferx9535 4 жыл бұрын
Mungu awalinde nyote uyu mzee na mzee bakelesa mungu awalinde tuombeane jamani amina
@immamrema2288
@immamrema2288 4 жыл бұрын
Kumbe bakresa simba ndo nimejua leo ❤️
@nahengadesempy8555
@nahengadesempy8555 4 жыл бұрын
Saiz Azam😂
@khalfansharji9790
@khalfansharji9790 4 жыл бұрын
Mzee Bakhresa ikikupendeza muwezeshe huyu mzee mwenzio naye hata asitajirike sana lakini angalau amalizie malizie na maisha ya furaha kumbuka mliko toka inawaza kuwa anaona haya kukuomba mpaka augue wewe fanya kher kwa mtani na rafiki yako.
@Worldunite
@Worldunite 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@mwajabuhamis6234
@mwajabuhamis6234 3 жыл бұрын
Allah amlipe huyu baba aliyehojiwa inshaallah Hana roho ya ubinafsi kabisa
@iddiking6963
@iddiking6963 4 жыл бұрын
Km unaamini maisha ni mzunguko ht ww ipo siku utakuwa km huyo tajiri twende kazi🙏🙏🙏🙏🙏
@harunimfaume6280
@harunimfaume6280 4 жыл бұрын
daaaaah huyu jamaaa anahadisia vizue saaf sana milad ayoo mana chaneli zingine zinaweka picha ukiingia unakutana kingine good kwenu milaa ayoo
@kijubakidiza730
@kijubakidiza730 4 жыл бұрын
Mzeee mungu akujalie ujaficha kitu sema hapo kwa manara umenikosha
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 жыл бұрын
Barhesa tafuta mtaalam mzuri wa kuabdika.historia yako sasa. Mungu alikujalia kuweza kufikia hapo ulipo na umeweza kufanya maajabu ktk biashara. Hakuna aliyeamini lawalawa tamtam ice cream nk vinaweza kumtoamo mtu. Mf ukwaju ulikuwa umedharaulika. Ni utundu wa kibiashara unafa kuigwa. Hongera sana.
@alexchungu9505
@alexchungu9505 4 жыл бұрын
Huyu mzee picha linaanza kazaliwa town
@shahamtindo
@shahamtindo 4 жыл бұрын
Mzee wa Mjini huyo
@joycenganyule3231
@joycenganyule3231 4 жыл бұрын
kaachwa mbali saaana so kabaki na historia kweli akili ni nywele kila mtu ana zake
@aaaaaah290
@aaaaaah290 4 жыл бұрын
Joyce Nganyule NI KWELI, LAKINI WOTE WENYE BUSARA HUONA NA KUBAKI KIMYA, HUENDA NA WEWE KUNA WATU WAMEKUPITA SANA NA ULISOMA NAO, NA KAMA NOW UPO KILELE OMBA YASIKUKUTE🤔
@yaedlifemedia3203
@yaedlifemedia3203 4 жыл бұрын
uyu tumuie babu town😅😅😅 toka enz izo yeye na baharesa marafik aisee sifa njema anastahiki aliye tuumba.mzee bado strong kabisa aisee na umli miaka 81.
@elizabethmabula101
@elizabethmabula101 4 жыл бұрын
Lol
@rogersmasofa6549
@rogersmasofa6549 4 жыл бұрын
gonga like kama umelisikia neno kula kulala
@dshynermcongo1564
@dshynermcongo1564 4 жыл бұрын
Ni vema kumpa mtu sifa kabla hajafa hongereniii
@afamatv4848
@afamatv4848 4 жыл бұрын
Infact nothing easy we must struggle. "No pain no gain"
@hanankhalifa8309
@hanankhalifa8309 4 жыл бұрын
Ma shaa Allah unapotoa kwa ajil ya Allah bs jua Allah anakuongezea zaid na zaid.... Na hata ww chunguza ukitoa japo sh.50 bs unapata zaid y hyo hata nguo.
@stevoeligwe859
@stevoeligwe859 4 жыл бұрын
Kama wewe ume zaliwa k/koo gonga like tujuane.
@aminamikidadi7754
@aminamikidadi7754 2 жыл бұрын
Huyo babu ...namfahamu kitambo ....anauza miwa mtaa wa living ston ...pembeni ya bakhresa... siku moja niliwahi piga nae story ...akaniambia mwanangu kikubwa ukijaliwa kupata ridhki.. kula kdogo weka ....baada ya kuweka tafuta ardhi nunuwa kisha jenga nyumba usipokuwa na sehemu yako unayo imiliki mwenyewe hata watoto wako uliowazaa mwenyewe watakuzarau sn. ...
@nataliakenny9499
@nataliakenny9499 2 жыл бұрын
Fact
@geraldluiso6792
@geraldluiso6792 Жыл бұрын
100%√ Ukinyosha mkono unabarikiwa zaidi. Ukikunja mkono riziki inabana.
@ampelibasimaki4114
@ampelibasimaki4114 4 жыл бұрын
Inatufundisha katika maisha ishi kwa wema na kila mtu, hujui kesho atakuwa nani!
@abdulazeeznaaswir4518
@abdulazeeznaaswir4518 4 жыл бұрын
Mtangazaji hongera sana
@noortvborder7369
@noortvborder7369 2 жыл бұрын
Mungu ampe bakherasa maisha marefu mashaallah ana roho nzuri
@priskasantony5392
@priskasantony5392 4 жыл бұрын
Nd zangu ni kweli hii stori huku zanbari suma ni tajiri na kaanzia kuuza kahawa tu
@godblessmushi2219
@godblessmushi2219 4 жыл бұрын
Prisca tatizo watu hawamwamini Mungu,
@alhabibalhabib2543
@alhabibalhabib2543 4 жыл бұрын
Priskas Antony usilolijuwa
@luvangakalinga8698
@luvangakalinga8698 4 жыл бұрын
Namfahamu huyu mzee toka miaka ya 90 anakuaga opposite na ofisi ya azam hapo alikuwa anauza miwa na tulikuwa tukitoka kununua mikate na ice cream mzee alikuwa anatupeleka kwa huyu mzee tunamsalimia na alikuwa akitusisitiza tusome sana kwa bidiii
@geraldjoel5727
@geraldjoel5727 4 жыл бұрын
Kumbe bhakresa naye ni simba ndio najua Leo ase
@angelmhina5072
@angelmhina5072 4 жыл бұрын
Kuna kipindi alitkaga simba iwe chini yake viongoz wa simba wakagoma ndio akaamua kuanzisha timu yake
@stephanonyogoto6421
@stephanonyogoto6421 4 жыл бұрын
Kabla ya Azam alitaka kuinunua Simba wakamzingua na alishawahi kuwa kiongozi ndani ya Simba. Yule ni mnyama lialia
@leonardgervas7515
@leonardgervas7515 2 жыл бұрын
Mungu aendelee kumuongezea iliaendelee kuwasaidia na wengine!!
@mbaroukali9758
@mbaroukali9758 4 жыл бұрын
Allah amzaidishie
@alemalmaz9466
@alemalmaz9466 4 жыл бұрын
Tithing/Sadaqa uwe mwislamu au mkristo toa sadaqa uone tofauti the likes of bakhresa and bamburi cement they will never go bankrupt from that one thing.
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 4 жыл бұрын
Simbaaaaaa,Nguvu moja.
@nahime9907
@nahime9907 4 жыл бұрын
Nashindwa kitu kimoja...huyu bakhresa millionea mungu akustiri...yaani huyu baba mulikotoka ni mbali mno..ila ulishindwa kumstiri jirani yako mpendwa... baba wawatu mpaka kafika umri 81 mungu akueke na akubariki uwe na moyo uliotosheka ....
@drnickysarapion134
@drnickysarapion134 4 жыл бұрын
Very inspirational
@julihanjosephyjs6361
@julihanjosephyjs6361 3 жыл бұрын
Inshaallah kher, Ila sishangai Sana Saidi ndugu zake wanavisima vya mafuta omani,ilo mlijuwe.
@artisthusnatalal3099
@artisthusnatalal3099 2 жыл бұрын
*Mzee hali yako siyo mbaya uko sawa shukuru mungu!* 😊
@jajipeter4873
@jajipeter4873 4 жыл бұрын
Wato wapo sooo negative...huyu mzee hanasababu ya kudanganya.
@shahamtindo
@shahamtindo 4 жыл бұрын
Kweli
@abdulkhanyraashid7887
@abdulkhanyraashid7887 4 жыл бұрын
Dah! uyumzeee anakinaa yaroho kinaa yaroho nimojakatiyahatuwa ktk maisha mungu mbarikiuyu babu umpekilala kheri
@vickykassumy1630
@vickykassumy1630 3 жыл бұрын
Mzee wa taun,hongera hupindishi maneno🙏🏼
@nadiafahad3926
@nadiafahad3926 Жыл бұрын
Masha Allah nimependa maongezi ya uyu baba angu ni mtu alie kinai wallah
@kibokibosho7476
@kibokibosho7476 4 жыл бұрын
Gonga like kam umeckia Shati jeupe
@user-tf8qx4us5b
@user-tf8qx4us5b 4 жыл бұрын
MashaAllah.
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Mzee wangu unaongea vzr bila uoga wala kinyongo wala matamanio
@tangaoldtv1067
@tangaoldtv1067 3 жыл бұрын
Milad ayo utaendelea kuwa juu na mungu akuzidishie upeo wa ko wa kazi yako nandio maana watu wanakufuatilia sana kaka hongera sana ila hao wajinga wengine unacho kisoma tofauti na unacho kiangalia ila ww hakuna kama ww
@TALLUBOY
@TALLUBOY 4 жыл бұрын
Leo mulimkuta kigogo kwel kwel Duh Mzee SAID LEO kaanikwa Adharan kwel kwel
@elizabethmabula101
@elizabethmabula101 4 жыл бұрын
Kamuanika jamali. Ati yeye kula kulala tu. Hafanyi chochote lol
@salimmachila5736
@salimmachila5736 4 жыл бұрын
Respect kwa huyu mzee
@suratfrank6282
@suratfrank6282 4 жыл бұрын
Poa sana mi naamini ukijituma utatoka na mafanikio makubwa hata madili Mengine yatajileta yenyewe ,,,,
@saidibambo4339
@saidibambo4339 4 жыл бұрын
Muachen bakhresa azidi kuwa juu kifedha maan kutoa msaada kwa kila cku kwa omba omba co mchezo
@christophermlaponi534
@christophermlaponi534 4 жыл бұрын
Na huwezi amini, kwamba kuna watu wamezikariri hizo siku zao za kuomba msaada badala ya kutaka akili za kuzalisha hiko kidogo !
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 4 жыл бұрын
Kwa hiyo unaamini huo utajiri umetokana kwa kushona viatu aaaaaa wapi there is something behind that will never be told. Kwanza tu kwa kudokeza umeshasema aliwahi kukamatwa na sukari gunia 200 wakati wa kampeni za Sokoine za uhujumu uchumi. Utasema alinunuwa kwa pesa zake halali Sasa alipataje gunia 200 kinyume na utaratibu wa wakati huo!!!?? Kuna mambo mengi matajiri wanafanya kuwa hapo walipo hawatayaamsema kamwe
@anuaryally6177
@anuaryally6177 4 жыл бұрын
Tafadhari mzee uyo muuwa tembo jangili mkubwa kwa ilo mimi apana kama viatu alikuwa anazuga kama wanavyozuga wengine kuwa na sehemu ya kazi uku akipiga madili madawa ya kulevya vipusa basi maisha yanakwenda
@abuyabally5086
@abuyabally5086 4 жыл бұрын
mungu humruzuku amtakae bila.hesabu. hasad niyule mtu anachukia neema ya mwenzie asipate huyo ndio hasidi
@ramabendera8183
@ramabendera8183 4 жыл бұрын
Unapomdhania mwezio mabaya bila uakika Allah atakulipa kwa kile ulichomdhania mwezio.
@machimbenedicto9163
@machimbenedicto9163 4 жыл бұрын
acha roho mbaya ww,kwan ulikua unamsaidia ww
@Rashidmhedhery
@Rashidmhedhery 4 жыл бұрын
Acha wivu wewe😚
@sadih5333
@sadih5333 4 жыл бұрын
Haujaambiwa kua kashona viatu Kawa Tajiri la hasha, hio ni katika mapitio ya kutafuta maisha kila mmoja ana history yake, kama uliwahi kumsikia mzee mengi utaelewa hilo, Rais wetu alikua mchunga ngo'mbe leo yupo magogoni, litazame na hilo pia.
@asyaibrahim1504
@asyaibrahim1504 4 жыл бұрын
Napenda Sana taarifa zenu nizauhakika hamudanganyi
@shahamtindo
@shahamtindo 4 жыл бұрын
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha..
@JumaZahoro2000
@JumaZahoro2000 4 жыл бұрын
Ila mchicha auwez kua mbuyu
@azzaalmaamry76
@azzaalmaamry76 4 жыл бұрын
Yaan nimezaliwa tz nimekulia na kusomea tz lakin simfaham bakhresa hata kwenye gazet hajulikan ni tajir ambaye hujificha hapend aonekane hata kwenye waandish wa habari
@comedytz3487
@comedytz3487 4 жыл бұрын
kuna behind scene kuhusu bakhresa ndioo maana hataki kuogelea kuhusu mafaniko yake
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 жыл бұрын
Huyu mzee wa Ki Bara Mungu amhifadhi anamjuwa Bw. Bakhresa kwa miaka 40 ni kidogo sana. Ni bora mwende Zanzibar (Unguja) kwao kwenye mitaa inayo itwa Malindi, Mchangani na Mbuyuni hapo ndipo mtajuwa wapi Bw. Bakhresa kaanziya biashara yake...pesa hazikuja kwa USIKU MMOJA. Mungu amhifadhi na ampe afya na sihaa yake. Kwa sote. Amin.
@abrahamkibona7038
@abrahamkibona7038 4 жыл бұрын
Basi Bakhresa ampe mtaji huyo mzee
@yeasrmsafi7152
@yeasrmsafi7152 4 жыл бұрын
Mzee huyo anamajengo k/koo
@lipymuscat4779
@lipymuscat4779 4 жыл бұрын
kweli kabisa
@josephatmazinde1628
@josephatmazinde1628 4 жыл бұрын
Nimempenda huyu mzee kanichekesha kinoma. Kwanza anasema hizo ni pesa. Ukiwa na shida million mbili unapata siyo milioni kumi. Na huyo wa kula kulala kazi hataki.
@khadijaa815
@khadijaa815 4 жыл бұрын
Kweli alianza na kushona viatu mimi kaka angu alianza kuwa mfanyakazi wake kweli kaanza mbali
@mossesimessi3256
@mossesimessi3256 4 жыл бұрын
Shona wew km utatoka thubutu tembea jomba dunia ii
@tangaoldtv1067
@tangaoldtv1067 3 жыл бұрын
Mashaallah mzee bado yupo fiti kabisa mashaallah
@nyangaotv8555
@nyangaotv8555 2 жыл бұрын
Kumbe Mzee Bakhresa ni Mnyamaaa..... Kumbe Azam na Simba ni nduguuuuu
@hamisisuley6362
@hamisisuley6362 4 жыл бұрын
Sasa mtu hanakamatwa na sukari gunia 200 halafu hunamuhita masikini mtu hanamiliki gari ya kutembelea mda huo hatakua masikini kweli mmhh
@saidibambo4339
@saidibambo4339 4 жыл бұрын
Alikua anashona viatu kwa sababu maalum lkn co km ndio kaz aliyokua anategemea tuchukue mfano leo hii mie niseme nauza unga au bangi lazima niwe na kibiashara au kikaz cha kuzugia ili kesho nicshtukiwe hela nying nazitoa wap ikiwa cna kaz ndio maisha yanavyokwenda hvyo
@derrickboaz5099
@derrickboaz5099 4 жыл бұрын
Original diagonal inafanyakazi leo hii🤣🤣🤣🤣
@victormaimu3748
@victormaimu3748 4 жыл бұрын
Na mm nafikiria kuanza kushona viatu 🧐
@nasmafarmsltd9146
@nasmafarmsltd9146 4 жыл бұрын
ili utoke kimaisha ety eee eee
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 4 жыл бұрын
Utaota sugu
@maesryclassic456
@maesryclassic456 4 жыл бұрын
😂😁😁 99% ya watu watakao comment apaah watasemaa huu ni uongooo aiseeh 😀😅😅
@mikidadichande9488
@mikidadichande9488 4 жыл бұрын
Maesry Classic kiakl haingii akln kwamba kushona viatu tu ndye awe tajr hv
@yusufally6853
@yusufally6853 4 жыл бұрын
Maesry Classic ...wongo VP ww
@yusufally6853
@yusufally6853 4 жыл бұрын
Maesry Classic ..people from even baobao tree it start like mcchicha.
@africanhappyadventure6951
@africanhappyadventure6951 4 жыл бұрын
@@mikidadichande9488 Kaaa na Akili yako mgando..Alafu wee hueewi husikii Hapo kuwa alishona viatu,Akawa na Hotel sijui mgahawa na Akaanza kuuza Ice krim..Huoni.kwamba alifanya vitu vingi na huwenda alifanya vingi vidogo vidogo ambavyo hatuvijui.na Hivyo ndio huwa wanatu wanapotokea..Nakwambia Biashara nyingi tunazoona za Kijinga Ndio zinalipa ukiwa na Malengo sema wengi tunawaza kuwa na Mamilioni kabla hata kidog..huna start small aim high.Kuna watu wanabiashara za Genge tu na Wana vitu za maana Julko hata hao wanaonekana zao za Maana..Kikubwa Malengo tu..
@maesryclassic456
@maesryclassic456 4 жыл бұрын
@@africanhappyadventure6951 Well said Broh 🙌
@shamimkingazi8925
@shamimkingazi8925 4 жыл бұрын
Nimekuja apa kujua bakhresa ni unga au ni mtu ☺☺☺☺☺☺☺
@leahedward8063
@leahedward8063 4 жыл бұрын
kwikwikwi
@victormaimu3748
@victormaimu3748 4 жыл бұрын
Ni unga wa mtu
@anatorydesdery4654
@anatorydesdery4654 4 жыл бұрын
Hahahahahahahahahahah
@mumybhay6561
@mumybhay6561 4 жыл бұрын
kwa bakhresa na hictoria ya kushona viatu ni kweli kabisa.ila kwa mungu hakuna kubwa humnyanyua aliechini muda wwt to akitaka.
@victormtani7170
@victormtani7170 2 жыл бұрын
Hakuna kitu msituadae alikuwa akiuza madawa huyo na pembe za ndovu Mwarabu acheni uongo bhana msitufanye mazombi. Alikuwa mkwepaji wa kodi huyo. Ila Kwa moyo wake namkubali anasaidia watu. Hilo nimeshuhudia
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 4 жыл бұрын
Allah amjaalie kher mzee wetu bakhresa
@jumayusuph8471
@jumayusuph8471 4 жыл бұрын
Kumbe ni shabiki wa Simba ama kweli Simba ni timu ya matajir wacheni tule rahaaaaaaaa gonga like Kama zote
@galachagalacha1808
@galachagalacha1808 2 жыл бұрын
Mungu awajaliee awaweke miaka miamoja asanteee
@sellah4603
@sellah4603 4 жыл бұрын
Nakubala sn dullah tz
@mohamedalaraimi6813
@mohamedalaraimi6813 4 жыл бұрын
Nilikua naishi tandamuti mpaka mwaka 1978 nikaenda arabuni naikumbuka sana iyo mitaa
@blueskytravel5441
@blueskytravel5441 4 жыл бұрын
Utakuwa mzee sana au?
@mohamedalaraimi6813
@mohamedalaraimi6813 4 жыл бұрын
@@blueskytravel5441 Nimezaliwa mwaka 1965 Ocean Road Hospital Da es salaam unajua?
@blueskytravel5441
@blueskytravel5441 4 жыл бұрын
@@mohamedalaraimi6813 hapana me Niko Mwanza sipajui hapo
@tareqhilal6750
@tareqhilal6750 4 жыл бұрын
Umekula chumvi, huko Yuko baba yangu mkubwa anaitwa Seif Salum Seif
@tareqhilal6750
@tareqhilal6750 4 жыл бұрын
Huitwa pia Seif Salum albusaid
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
@yahyamajidyahyahilalal-har8762 4 жыл бұрын
Tutoe Sadaka ndugu ni Muhimu Sana.
@Mr_Africanman
@Mr_Africanman 4 жыл бұрын
Safi ,hard work pays
@kingpesapesha2597
@kingpesapesha2597 4 жыл бұрын
Nakutakia maisha marefu mzeee
@AmisiHassaniTygo
@AmisiHassaniTygo 4 жыл бұрын
Shusha like yako hapa kama umependa maana ya shati nyeupe
@bonabonala42
@bonabonala42 3 жыл бұрын
Bakhresa mungu anakutumiaa ubarikiwe
Ik Heb Aardbeien Gemaakt Van Kip🍓🐔😋
00:41
Cool Tool SHORTS Netherlands
Рет қаралды 8 МЛН
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 41 МЛН
Prank vs Prank #shorts
00:28
Mr DegrEE
Рет қаралды 8 МЛН
RC RUVUMA ALIVYOTATUA KERO ZA TUNDURU
4:39
KUSINI NEWS
Рет қаралды 7
BIASHARA YA FAMILIA: MKURUGENZI KIJANA KIWANDA CHA JAMBO ASIMULIA
12:30
TAARIFA YA HABARI  - AZAM UTV - 23/08/2024
UTV Tanzania
Рет қаралды 231
MREMBO AMESOMA MASTERS MAREKANI ILA ANAUZA MAKANDE MWANZA
18:47
Millard Ayo
Рет қаралды 595 М.
Ik Heb Aardbeien Gemaakt Van Kip🍓🐔😋
00:41
Cool Tool SHORTS Netherlands
Рет қаралды 8 МЛН