Ambao hatujui hata baba zetu wako wapi ila bado tuna fight wenyewe.. gonga like mayatima tujuane.
@ndayisengafrorence84615 жыл бұрын
Tupooo
@officer12085 жыл бұрын
@@ndayisengafrorence8461 daah pamoja sana mkuu! Bado tuna pambana na hatutochoka kupambana.
@alexlingwendu67804 жыл бұрын
Kweli tuupo .Na tunapigana kwelikweli .Japo Mimi baba yuupo Ila mpka naanza kujitambua baba Angu hakua na chochote .
@albeleenalberto1584 жыл бұрын
Don't make me cry
@yusufally68534 жыл бұрын
Alhamdulilah yote yana mungu.tumshukuru mungu kwa kila jambo
@abuyunusmohamed69614 жыл бұрын
Mashaallah.Hongereni Sana na mtangulizeni Mwenyezi Mungu katika Kila kitu.Msisahau kutoa zaka mwisho wa mwaka na kuwapa maskini
@40kstore5 жыл бұрын
millard tunaomba hizi interview za watu kama hawa ziongezeke kaka,please...zinatupa sana moyo wa kupambana,hoji watu wengi waliofanikiwa,ili tuweze kupata vitu
@maryammaram26125 жыл бұрын
✌
@estherpetza52365 жыл бұрын
true
@mandyfitnesstv67385 жыл бұрын
Kweli bro. Zinatujenga sana.
@simbawateranga70205 жыл бұрын
Point kbs mkuu
@eenpaard39155 жыл бұрын
kweli
@kazungujonathan90005 жыл бұрын
Millard nakuelewa sana kwa kazi yako , kutoka maganzo kwa jamaa wa almasi ukasogea jambo, jambo ndo nilipoanzia kazi baada ya kutoka SUA 2014 kama field officer. Ndo palinifungulia mlango, kwasasa nafanya kazi na taasisi ya utafiti wa kilimo tananzania kama mtafiti wa kilimo.
@OKiduma5 жыл бұрын
kazungu jonathan bro kazungu tuwasiliane bas
@maijopardon2274 Жыл бұрын
Namba za company p Ries
@brysonuronu58625 жыл бұрын
Hapa ndio utakapojua maana ubora wa Elimu naaarifa yanayopatikana.Investment yote haikua inamuandaa mtoto kusubiri au kuwaza kuajiriwa ..waliangalia zaidi kuanza jambo lao kuemdeleza na kuwa wabunifu .Hongera sana .
@abrahamsingano53725 жыл бұрын
Hongera Ayo kwa kutuletea interview hii. Endelea kutuletea nyingine za wengine waliofanikiwa. Interview kama hizi zitatusaidia kushirikiana na vijana wetu ktk kuendesha miradi kwa mafanikio
@simbawateranga70205 жыл бұрын
Mi nahc miaka mi'5 mbele MirlladAyo atakua kijana mdogo mwenye uwezo mkubwa sana..
@davidobonyo75585 жыл бұрын
Nimependa sana uzalishaji wa bidhaa za Jambo yaani very hygienic keep it up Jambo
@shamimushittindi14185 жыл бұрын
Sasa ni kipindi cha kurudi nyumbani maana tunayoyaona huku kwenye dunia ya kwanza ndio yanayoendelea nyumbani big up boss mtoto
@Pedeshee015 жыл бұрын
Shamimu Shittindi tutarudi pamoja upo pande zipi
@jumannechapembe82805 жыл бұрын
Nafarijika Sana kwa unachokifanya ayo tv. Natamani na Mimi kufanya innovation baada ya miaka kazaa niwe Kama Jamaaa hpo. Big up Ayo TV
@ahmedadam65685 жыл бұрын
Baba alikuwa akimpeleka kwenye ofisi ya biashara sio ofisi ya serikali,watu weupe wana uvumilivu na wananyanyuana sana lakn watu weusi tuna unyimi na malengo ya mida mfupi,ukaichana na tatzo la mtaji wa pesa bado mtaji wa mawazo ni duni,elimu itakufanya kuwa na mawazo mapana na zaidi ukisoma nje unapata fursa ya kujionea mambo mengi mazur na ya kisada,hongereni sana
@darmillionaire5 жыл бұрын
Jiongelee mwenyewe. Hili sio jambo la weusi au weupe. Ni jambo la mtu na mtu. Kama hujawahi kusikia basi enzi za Kikwete kuna mweusi mmoja mmiliki wa hoteli ya Peacock pale Mnazi Mmoja aliwahigi na yeye kuhojiwa na kueleza jinsi alivyosota kutoka kuuza duka Iringa hadi kujenga hoteli Mnazi Mmoja kwa elimu ya darasa la saba, halafu jinsi alivyomrithisha mwanae mikoba. Ila ujue pia kuna wengine wanaofanya hivyo ambao hawaongei. Sasa usijishushe na kukweza rangi ya mtu au kudharau rangi ya mtu kwa sababu ya matatizo ya watu binafsi. Hata watu wenye ngozi unazosifia ni wengi tu huko kwao ambao wana mambo ya ovyo ovyo kabisa. Usiangalie wachache unaowasikia wanavuma ukajua basi wote wako hivyo.
@crershawmafia10095 жыл бұрын
Ubinafsi ndio unatuponza sie weusi. Tunapenda kusujudiwa sana hasa tukipata mafanikio kidogo tu. Unataka walioko chini wabakie huko huko hata kama una nafasi ya kuwainua ila unawakazia makusudi ama kwa roho mbaya tu. Hatutakaa tusogee
@goodteam78904 жыл бұрын
@@darmillionaire weuc wenye maendeleo makubwa ni wachache sio kama wenzetu weupe
@firdausnassor11055 жыл бұрын
Mungu awalinde hii familia , ni vema sana ndugu kukaa pamoja na kupendana
@mohamedhamdan49565 жыл бұрын
MashaAllah huyu kijana anakosa kubwa sana ambalo ni hatari kutoka wewe tangu uanze kulizungumzia kuhusu viwanda viwanda mbona hatujawahi kusikia ukishukuru Mungu ukisema ALHAMDULILAH HAPO UMEMASI ALLAH MAANA KAMA SI ALLAH NI NANI MWENGINE NI MWEZA??? Lazima utafakari maalim umemasi Mungu
Very impressed, very young Tanzania to run a big company like this owesome....
@louisngaiza5 жыл бұрын
Hizi ndo contents tunapenda kuona Be Millard una focus.
@aminaibrahim41483 жыл бұрын
Safi sana mungu awa zidie mapenzi na imani
@blackmamba75535 жыл бұрын
Had leo sijui ofisi ya Baba iko wap 😢😢😢
@mgasathedon15795 жыл бұрын
Uwe unatupa hizo story znatupa moyo sio udaku news
@emmakalou59205 жыл бұрын
😂😂😂
@richardrobert10325 жыл бұрын
Black Mamba 😂
@officialgakankara5 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@jacksonchimomo5545 жыл бұрын
Black Mamba kakuona huna Akili
@ericernest20995 жыл бұрын
Niwapongeze kwa kuwekeza kwenye mkoa wao. Wengine wangekimbilia Dar au Mwanza
@ibrahimallyweunaijuahiyoco86084 ай бұрын
juisi zao ni nzuri sana
@richardntullo61054 жыл бұрын
Hongereni Kwa kazi nzuri mbarikiwe katika biashara ipate kua yamafanikio siku zote mungu akuongoze daima
@maigajohn5828 Жыл бұрын
Hongera sana mzee amesimama vyema sana na kijana anajitambua sana ni vijina wachache sana
@lukombesoemmanuel72715 жыл бұрын
Nice interview...vinajana tunapenda kusikia hays
@Rashidmhedhery5 жыл бұрын
Well done young boy, initiatives, eduction, commitments , mitigation and excursion is the key of successes
@mutalemwagabriel22775 жыл бұрын
😁😁
@InnohubGroup6 ай бұрын
Sasa mbona ujiaibishe mbele ya Dunia wakati unaweza kukitumia kiswahili. Kiingereza sio kipimo Cha masomo au ujanja! Next time try to find out the meaning of the vocabulary you would like to use and the correct/proper spelling. STOP 🛑 worshipping the English language. Be proud of our Swahili language.
@micamathew64335 жыл бұрын
Mzee wake huyu jamaa ni kati ya baba bora sana hapa Africa..ahsante sana millard
@robtv96345 жыл бұрын
Lemme tell you guys u have good governorship. And a great President #FromSomalia
@santodelove43515 жыл бұрын
Come and take him
@robtv96345 жыл бұрын
@@santodelove4351 wish i can
@cbegram61612 жыл бұрын
Miaka miwili baada ya hii comment, he is no longer with us😥😥
@justinemaganga41395 жыл бұрын
hii ndo interview bora kwangu ndani ya mwaka huu umefanya Millard hayo
@edsonsibuti69145 жыл бұрын
Sitokei katika familia tajiri lakini familia tajiri lazma itoke kwangu
@zalhatamakange26273 жыл бұрын
Nimependa hii
@kaburashindika56173 жыл бұрын
💪
@zurfashafii95313 жыл бұрын
Mungu akujaaliye
@rayesrayyan24285 жыл бұрын
MashaAllah very proud of you khamis your doing so well. May Allah bless you all and keep up with high quality products.
@munnawwaryaqoob34145 жыл бұрын
Safi sana kwa Elimu kweli nampa big up sana Salum wtt wote wamesoma
@Witnessvlog5 жыл бұрын
Familia za jamii ya watu weupe zimefanikiwa sana kuliko sis wabongo, tunawazaga tu kuuana
@Bigboy-nx3nc5 жыл бұрын
UKWELI
@khadijak30655 жыл бұрын
Tatizo kubwa sisi watu weusi hatufikirii kuona mbali na rohoo mbaya ndio maana hatuwi na maendeleo MTU na mtoto wake anamfanyia rokho mbaya .Sasa wakiona intavyoo kama hizi ndio maswali mengi yanazuka kwanini biyashara kubwa zinashikwa na watu kwanza hawa watu wana hofu ya mungu pili wanaalikili yani ukiwa karibu na MTU mweupe kama unaakili hukosi kuishi maana utapata umajimaji Wa kutafuta kwa bidiii .Lakini sisi Tanzania uwena uwezo wakumiliki bajaji basi utawapanga kwa safu wanawake na kijisifu .lakini hakumbuki hata kuna watoto wakupeleka shule wakiona kamaivyo baba kajikaza kumsomesha kajima mengi na kukuza miradi Ingikuwa gozi nyusi majigambo. Mengi mahojiano hapo ungesikia NO : koment Tujitume Wa baba na Wa mama Wa KITANZANIA tusipende kubweteka
@dasilvajacmwax74365 жыл бұрын
Kabisa
@mohamedimohamedi78815 жыл бұрын
@@dasilvajacmwax7436 sio kweli kuna watu weusi wamefanikiwa sana
@dasilvajacmwax74365 жыл бұрын
@@mohamedimohamedi7881 kaka mkubwa, hawa ndugu zetu kiukweli wako tofauti, sio Kama sisi blacks
@johnmwandry43095 жыл бұрын
gonga like kwa mzee aliona mbali kuwekeza elimu kwa watoto
@khadijak30655 жыл бұрын
Hakika amefanya kitu cha maana lio hii angeajiri MTU baki lakini hela ya mshahara imerudi nyumbani hongera baba
@salamakombo32574 жыл бұрын
Goood
@jabalimikechi77505 жыл бұрын
Congratulations guys we need people like so we can change the lives of our peoples, big up my bro
@ikulunimahalipatakatifu76424 жыл бұрын
Safi sana , fursa ni mahari popote, mnaokimbilia kuangalia magorofa ulaya fursa mnaziahacha hapa kwenu, karibuni shinyanga Tanzania
@mussamsindo20295 жыл бұрын
Safiiiii Ila muda mchache sn nimependa sn Hamis anavyojieleza kwa kujiamin big up
@samuelmulumba18925 жыл бұрын
Hongera sana wana Shinyanga wenzangu. No efforts without impacts.
@HusseinHaule-pr5ov2 ай бұрын
Iko poa sana tuwasomeshe watoto jaman milla hongera bro
@ahikemankambila72555 жыл бұрын
Very very inspiring; assurance and guarantee of products quality to consumers is where success rely; 👊Big up Jambo family 👏
@khamisjuma46915 жыл бұрын
Beautiful wajina.message from USA good job brother
@geographyteacher.29615 жыл бұрын
Nimeipenda hii, safi sn Millard!
@moussabmohamedsaid60665 жыл бұрын
Millard tunahitaji more Interviews Kama hizi zinatu motivate vijana kama sisi ambao tupo vyuoni trying to get our Educations
@jumakibula48513 жыл бұрын
Mashaallah good inspiration
@tztanzania22625 жыл бұрын
Mashaa allah nataman utajir in shaa allah nitapambana sana kutafuta halaal
@najimshaib93065 жыл бұрын
Taman uchamung
@abelshinyanga26833 жыл бұрын
wale wote wa shy nyumbn ngola like twende sawa
@ismailabbas26753 жыл бұрын
Majengo moja iyo💪
@sebaskibiki48363 жыл бұрын
Waarabu na wahindi wako vizuri lakini weusi ngozi ya yako nyoko Sana! Litahonga vimada mpaka mfilisike
@seifkulwa33465 жыл бұрын
Miaka 5 ijayo tutashindana sokoni na jambo company, Mimi nikiwa Geita I'm serious!
@stevegill27995 жыл бұрын
Tutafutane kaka na Mimi nipo geita
@proevolutionsoccer37795 жыл бұрын
GOD BLESS YOU
@fatmafeisal43284 жыл бұрын
mungu akubariki
@seifdisail30074 жыл бұрын
MUNGU akujaalie baraka
@martinmichael60574 жыл бұрын
sawa
@blacknature76375 жыл бұрын
Huyu kijana Millard huwa anajuwa mambo ya kutuletea kwa kweli hanaga upuuzi
@amethysturanus63514 жыл бұрын
Hongera Khamisi, Hongera Jambo. Mnatuletea maendeleo, Ajira na mafinikio Tanzania. Mungu abariki Tanzania.
@luizabahati51984 жыл бұрын
Whaoo...good info ..job well done ...wako vzr
@YusufAli-ib6xu5 жыл бұрын
May Allah bless you and your family more and more Insha Allah Ameen
@Famsting5 жыл бұрын
Leading the industry, big up Khamis !
@onlinemovie85805 жыл бұрын
Tisha sana millado bonge moja la interview
@mwarabutoleolamwisho78794 жыл бұрын
Hamis Salum,WAJNA ALLAH azd kukusimamia inshallah
@herysikawa31385 жыл бұрын
Mungu akubariki Millard, ii content ni nzuri kuliko shukran sana
@Jcmadad4 жыл бұрын
Great. I love it
@alexmichael87355 жыл бұрын
mahojiano kama haya ndo muhimu nyakati hizi keep it up millard
@swalehfarid54663 жыл бұрын
ALLAH Azidi Kuwatilia Barka Muzidi Kupanua Company
@blacknature76375 жыл бұрын
Masha Allah mungu awasimamie
@ramsthebiggest47165 жыл бұрын
hongera sana kijana familia yako ina upendo sana ,naijua familia yako vizur apo shy.mzee wako salum na wale wadogo zake wengine duh nakumbuka kipndi nafanya kazi apo japo kwenye kiwanda chenu cha pamba duu mko vzri kaza buti
@mohdpandu68025 жыл бұрын
Safi sana Millard, njoo na Zenji huku
@gitanokambarage87895 жыл бұрын
Aje awaone wakina #Suhail
@khalidballeth59575 жыл бұрын
Maashallah Big Up Mjmb👍🏼
@jumamohamedy20054 жыл бұрын
Millard Ayo TV umeona mbali unatufundisha mengi kupitia vipindi vyako mungu akupe maisha marefu.
Poleni mnao kunywa sumu toka viwandani nitabaki kunywa maji yangu asilia toka mirimani huko Morogoro chunguzeni kwa kina hao wenyewe hawatumii hivyo vitu kwa sababu wanajua fika vina chemical za kufa watu
@piusundisputed Жыл бұрын
A lesson to learn from this amaizing interview, for a child to achieve financially, a family must play a vital role, unlike relying to gain it only from schools, this is contrary In Tanzania,whereby financial knowledge is left only to school!!
@badmanno.16505 ай бұрын
Well said .. point kubwa mno sema umeweka kiingereza ndiyo naona watz hatuja kufahamu 😅
@khamisrashidy13485 жыл бұрын
Millard karibu shay jamukaya
@user-tf8qx4us5b5 жыл бұрын
Mashaa Allah
@lawfang23115 жыл бұрын
He been the hardest worker man!!!! Happy for you bro keep going
@danielshunda44105 жыл бұрын
Kanyoeee.nyweleeee.miraddd
@fatmaabdallah77092 жыл бұрын
Mi naomba uwakala wa jambo Niko dar es salam
@newforcejv97215 жыл бұрын
Ayo kazi zako hazipitwi na wakati
@muhsinsalum23054 жыл бұрын
Mko vizuri saana maa shaa Allah
@princegabytv72515 жыл бұрын
This guys are so SMART.
@allyhamad79994 жыл бұрын
Maashallah. Hongereni sana
@husseinmbetela40465 жыл бұрын
Jambo wapo vizuri sana mimi nikiwaga shinyanga hua naifulahia sana juisi zao
@ntulia.kapologwe90885 жыл бұрын
Very good interview...mahojiano ya aina hii ni muhimu sana kwa kizazi chetu na vizazi vijavyo.
@abdalahsuleiman89895 жыл бұрын
Nimewakubali sanaaa Masha Allah
@salminejuma54543 жыл бұрын
Asante baba ckulaumu kwa chochote.
@faizahalidi45564 жыл бұрын
Interesting big up millard
@salumsaid99135 жыл бұрын
MASHAALLAH
@malikzafarani1722 жыл бұрын
Woow aisee imeniamasisha saana hii Millard saluti
@manenolugendo63965 жыл бұрын
Safi sana jamaa wanaandaliwa mapema sana
@edwingwesso1295 жыл бұрын
Kazin kwangu hapa
@imagepower36415 жыл бұрын
hongera sana jambo company napenda sana ubora wenu
@mariamkaaya2145 жыл бұрын
shkamoo wajerumani,technology imekua,inatengenezwa wakiwa ujerumani,technology ni nzuri mno
@orgeneslema94645 жыл бұрын
Ayo next time uliza kuhusu kiasi cha investment. Benki zilizoshiriki kutoa mikopo na riba. Na masharti ya ulipaji. Hayo mengine ni ya kawaida sana kwenye biashara
@shamsimagesa45205 жыл бұрын
Yes.!!
@meshackabdul9285 жыл бұрын
Orgenes Lema hizo ni siri za biashara ndugu
@Wanja.Kelvin5 жыл бұрын
H
@ambakisyemwakinunu20025 жыл бұрын
Huwezi ambiwa kila kitu, pia benki washirika(mikopo yenye ribs nafuu wakutafuta ni we mwenyewe pindi uanzishapo biashara yako
@abdulrazakgwotta55614 жыл бұрын
Uambiwe ili iweje sasa?????
@maryammaram26125 жыл бұрын
Insha Allah wanaosema weusi hawez ati kufanya watoto wao kuwa kama huyu mi nasema wangu naanza kumjenga saiv atakuja kuwa zaidi ya hawa.. tuwajenge watoto wetu kuanzia chini siku 1 watakuja kuwa kama hawa akina jambo..✌
@saumuhassan63655 жыл бұрын
True my dear
@rashidhemed12125 жыл бұрын
Dada mum upo
@maryammaram26125 жыл бұрын
@@saumuhassan6365 yeah✌
@maryammaram26125 жыл бұрын
@@saumuhassan6365 yeah✌
@maryammaram26125 жыл бұрын
@@rashidhemed1212 nipo mdogo wangu hujambo
@amosurio80454 жыл бұрын
akuna asie jua Jambo tuko vizuri kilakona kwenye bindaa zetu
@J4UPro4 жыл бұрын
Washindani wa AZAM
@dflexmashairi88243 жыл бұрын
Waliidhamini Stand United lakn kwa bahati mbaya ikashuka daraja.Rest in peace Chama La Wana
@johanesssiongo13515 жыл бұрын
Powerful!
@elizamwaigombe24575 жыл бұрын
Iko sawaa hii
@marthaleonard24443 жыл бұрын
Hii ndio tunataka kuona sio umbea !Au maisha ya watu!
@princabubakr24925 жыл бұрын
Kazi nzur mallard
@Shirimatunda5 жыл бұрын
Naona mnatumia mashine za krohnes hope mtakua na bidhaa bora
@stephanominja89273 жыл бұрын
Yes jambo naikubali,,
@petersonshaezra11355 жыл бұрын
ongezeni mda kweny interview nzur km hzi zinazo inspire watu kujifunza na kuelewa @Millardayo
@shamimhayat76373 жыл бұрын
Mashaaalah weldone
@frankforeheads97965 жыл бұрын
sometime familia inachangia katika watoto kufanya vizur angalia huyu jamaa kasomeshwa mpaka nje ndio maana mpaka Leo kafika hapo alipo ,Lakini ninaacho Mimi mafanikio ya mtu yako katika mikono yake mwenyewe
@edinakyaruzi9226 Жыл бұрын
Ndio kunakusomeshwa nje mtoto akaja waovyo kweli mafanikio yapo mkonono mwetu