Docter sule upo juu wa mstari Allah atuwekee sheikh wetu kwa hakika tunajivunia kuwa na sheik mfono wako unaakili ya ajabu
@habogorimanaathumani61253 ай бұрын
Suley endelea kazi Allah akuzidishie elimu zaidi .
@djarudihabimana35713 ай бұрын
Docter sulle, kicwa. Mungu amupe kira anacohitaji amin
@AaWe-ze9ho3 ай бұрын
Mashaallah allah akuthibitish dkt sule hkk unakumbusha
@MaddybeatekJabil3 ай бұрын
Dr sule Allah akup maisha mazur archer na Dunia inshallah harmonaiz afunzwe kbx
@user-ue4fu9oo7s3 ай бұрын
Huyo haminaiz atapata shida saaana hapa duniani Mungu hamuoni kama ingelikua raisi angelisha omba msamaha Fanya kazi dokta sule Mungu atakulipa ishaalla
@user-kk8zj1rf5k3 ай бұрын
Dr Sulle may Allah grant you jannat firdaus lnshaAllah
@aminandurya3 ай бұрын
Allah thabarqAllah akuzidishie kauli njema InshaAllah ❤
@eddymaphy3 ай бұрын
Aamin
@RamadhanSelemani-on1yb3 ай бұрын
Allah akujalie Dr.sule
@eddymaphy3 ай бұрын
Aamin
@user-sf3ys8rm5s3 ай бұрын
Sema shehe sule uwondio wajibu wk mungu atakupa wepesi na mingine yakitokezea utayasema
@eddymaphy3 ай бұрын
Aamin yarabbil'alamin
@JustinTutuki3 ай бұрын
Mweyez mungu akulinde dk sule
@Manjalino3 ай бұрын
Aisee dokta haemonize ni sisimizi tu kwako
@user-hz5dv2el4m3 ай бұрын
Doctore Sule ni maharufu zaidi ya harmonize. Haipingwi
@suleimanjokoro3 ай бұрын
Allahumma aamyn 🙏🙏
@RamadhanShaban-ov8uk3 ай бұрын
Mungu akupe nguvu uzidi kuupigania uislamu shekh inshaalah
@WardaWarda-gi2wn3 ай бұрын
Masha Allah, Jazakallahul khayr ❤
@idrissansereko64033 ай бұрын
Dr Sule Allah akupe kila heri tunakupenda sana karibu kwetu Rwanda kwa mzee wetu Raisi wetu Kagame mpendwa 🎉
@IbrahimuLiinje3 ай бұрын
Dokta sule ongera yako mana upo ktk kunyosha maelezo bila kupindisha pindisha
@issanabiswa33933 ай бұрын
Huyo anaesema DR SULLE anamzungumzia Harmonize ili awe maarufu au kutafta kiki mwenyezi mungu amsamehe na amzidishie Sheikh SULLE azidi kutuongoza katika njia iliyo nyooka🤲
@amosicommedy69173 ай бұрын
Kwa harmonize hayuko hapo dar kwann asimfate sura gan kwenye Quran inasema msilamu akikosea asemwe mitandaoni
@user-ow7hw1oy2g3 ай бұрын
W chizi kwani Dr sulle alimsemanga harmonize sikuzanyuma kabla ajaongea ili la kusema mw/mungu wenda atakuwa mwanamke, mpaka w useme anatafuta kiki
@user-ko6lg9tw6w3 ай бұрын
Mjinga t huyo aloongey hvo hajielew
@issanabiswa33933 ай бұрын
@@user-ow7hw1oy2g Kuna vitu vingi vya kurithi maishani,ujinga,ujeuri,hekima na vinginevyo...jiulize ulirithi kipi,kuelewa pia sio rahisi kwa mtu mwenye upungufu wa kufikiria🤔🤔🤔
@bellahally28523 ай бұрын
@@amosicommedy69171qq1
@hafidhaliali94193 ай бұрын
dr sule macho yangu yanaon kama umekata panki alafu unasema msemaji wa dini ya kiislam dah innaaa lillah wainnaa ilaihi rajiuun
@EmmyMuha3 ай бұрын
Haijalishi imani ya mtu tu
@user-ko6lg9tw6w3 ай бұрын
Mungu akupe umr mrefuuu wenyeher na Baraka kwako Doctor sule tunakupenda Kwa ajli y ALLAH
@jabirkasunzu68413 ай бұрын
Aamiiin♥️♥️♥️
@hakizimanatatuhakizimana61863 ай бұрын
Allahumma Amina
@mwanamutemi3 ай бұрын
Tafauti ya Popularity ya MSANII na MUHADHIRI wa dini. Wasanii hutumia njia nyingi kutafuta umaarufu bila kujali hata Mungu. Bahati ya Harmonise kama Muisilamu amepata mtu asiye jali umaarufu wowote akampa naswaha ya lile alilosema kama hakujuwa ni kosa sasa ameeleweshwa kama ni kosa. Kama amesoma dini basi atafahamu amepata naswaha na mzazi wake pia ataweza kumueleza mwanae amekosa. KAMA MUISILAMU DR SULE AMEJITOKEZA WAZI KUMPA NASWAHA WENGINE WALIWANYAMAZIA WASANII TZ SABABU WAZI WAMEPITA MIPAKA YA MUNGU KWA MTAZAMO WA DINI YA KIISLAMU
@aishaaisha45493 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh wetu🤲🤲🤲
@pastor.frank.tmwaisemba74013 ай бұрын
Hawa watu hulingia huchawi na ushirikina Tu . Dini kwao NI kivuli cha kufanyia uganga . Mungu hawezi kuwa na machawa.na huwezi msaidia Mungu kuhukumu waja wake ninyi mmemuhukumu harmonize na kumtishia kumfanyia dua mbaya. Mungu Mwenye sifa njema hawezi kusikia dua za ubaya Kwa mja wake
@semhineshauri34103 ай бұрын
Kweli mzee baba masheke njaa tu wanafki na wachawi anatoa hukumu yéyé Nani?
@semhineshauri34103 ай бұрын
Kweli mzee baba masheke njaa tu wanafki na wachawi anatoa hukumu yéyé Nani?
@hajiramadhanihaji3553 ай бұрын
Wacha ujinga wewe, sisi waislamu tuna wivu na Mungu wetu.
@BibongeMuhozya3 ай бұрын
Allah akuongoze shekhe wetu na utupe darasa pale tunapoteleza
@HouseofCravings-HOC2 ай бұрын
Sincerely speaking God should not compare with anything else on Earth let God to God money should not drive us at all.i understand swahili even though am typing from other countries .
@emmanuelsanga97653 ай бұрын
Mungu akuzidishie amin
@MwanaishaMtavassy3 ай бұрын
Huyo juma siwajuzi tu hajui chochote masikini, Sulle rafiki yangu Allah akuongoze
@IsiakaAsouman2 ай бұрын
Nakushukuru Sana shehe mugozetu mupaka aeleweke nikokongo nanampenda armo ainsi
@ednahumazi7773 ай бұрын
Kwani wewe shekhe ni mungu
@user-gn2rq8sf7t3 ай бұрын
SULE ❤ HARMONIZE TUKIMUOMBEA DUA ATA SIKU HAKATISHI ANAKUFA
@semhineshauri34103 ай бұрын
Wachawi nyinyi
@omarybakunda25543 ай бұрын
Sure ni kichwa na anajua.
@FabianTebeka3 ай бұрын
MWENYEZI MUNGU akupe nguvu sheikh wetu Dr sule nakukubali sana kwa kutetea dini yetu na ALLAH akupe maisha marefu na mazuri lakini Dr naona kama umenyoa panki au macho yangu Dr sule ila mm nitakukubali kwa kutetea dini yetu Amin 😅
@MwakaHaji94-zi4qf3 ай бұрын
Ata mm nimeiyona hiyo ya kiduku
@NIYOKINDI3 ай бұрын
docta sule ukosahih❤
@Ismailmtp8883 ай бұрын
Hakika waislamu wote ni ndugu
@user-rz2ek3qw3h2 ай бұрын
Sule wewe ni mchawi sio muislamu achana na maisha ya harmonize
@amosicommedy69173 ай бұрын
Dr sulle utamtangulia harmonize mtoto kakosea badala umfate umuelimishe unashauka mitandaoni who are you by the way muhaziri my foot hujui uislamu muelimishe kijana kakosea acha kutoa hukumu 😂
@iddyjm25603 ай бұрын
Hapn sis cyo wachaw ilah 2namueshim San mwenye zi mung yey ndy kila ki2 kwet uwez kumtukan mung alaf ukafurahia utakuw ni mjing San muogop San mung yey ndy kila ki2 na il na mshukur doctor sule kwa ku2pa elim ya kumuogop mung na azid kufany hivy il 2elimike mfate yey utapat elimu ya kutosh
@Maerys-xm8xt3 ай бұрын
Dr sule unaongeya point,wanaokuponda wasubiri malipo kwa Allah.
@user-kb4dk7zo1l3 ай бұрын
Mwenyez mungu akuweke dr sulle
@thomaskiponda60793 ай бұрын
DORIA INAYOFANYWA KTK NAFSI ZA WATU NA KUWEKA MAHUSIANO MAZURI NA MUNGU NI BORA ZAIDI KULIKO DORIA ZINAZOFANYWA NA BUNDUKI KATIKA MITAA❤❤😂😂 SAFI DR SULE MIMI MKRISTO LAKINI NNAKUELEWA SANA UNA AKILI NA UELEWA MWINGI SANA❤❤
@ramadhanwilbard81963 ай бұрын
Umaarufu katika dini huu ndiye umaarufu nzuri daudi kuliko sehemu yoyote!
@user-xh3id9il6k3 ай бұрын
DkT sule upo vizur kwa majibu yako .nakupenda sana unajibu vizur naomba namba yako km hutojali
@saidihamadi61103 ай бұрын
Huyo kijana ajiangalie sana ikiwa hatotubia kwa M/Mungu ajue kuzikwa kwake itakuwa shida kwake
@munic66863 ай бұрын
Dct upo sahihi sana
@user-xw9wo7nh6c3 ай бұрын
doktar sule tekeleza kz yako make siku ya mwisho kila mungu atamuliza kila atamuuliza karama aliyompa ameitumiaje na kila mmoja ni mchunga mungu atamuliza alicho kichunga chapa kz mm niko nyuma yako
@user-dd7uv7yl1r3 ай бұрын
Mashaallah safi Dr
@ibramakaveli10223 ай бұрын
Sheikh sule harmonize kakufuru kasema kuwa anaona kuwa Allah ni mwanamke harmonize ni freemason ndio sababu kakufuru.ikiwa mtume Mohamed mwenyewe hakumuona Allah yy nani aseme kuwa Allah ni mwanamke.Allah atampa la umpa InshaAllah
@user-jh7is5do2f3 ай бұрын
Mashaalah
@asiakheir86843 ай бұрын
Tupo pamoja doctor sule
@shameemahmed11303 ай бұрын
DR SULEE ni maarufu dunia mzima sio eti kwa tanzania tu na kila mmoja ana muheshimu huyu sheikh Dr Sulee
@saidihamadi61103 ай бұрын
Ustadh gani yule Ustadh mchongo anaemtetea yule kijana anae mkufuru Allah, huyo kijana anatakiwa kusoma dini kwanza halafu halafu ndio ajuwe Allah ni mwanamke au ni mwanaume
@AidahAlen3 ай бұрын
Dr sule pambana shekh
@omarswaleh60823 ай бұрын
Mjomba usikubali hela zake ikiwa wewe ni mumin wa sasa hela zake sio za halali afadhali usavaiv hivyo na maisha yako lakini ule chahalali chako mwenyewe muhogo dagaa na ugali vizuri utavipata peponi hakuna kufa huko
@chantalharakandi25763 ай бұрын
Docta suley wanyooshe kabisaaa wanajirusha akili na hawajasoma dini vizuri wape makavu live hauna njaaq sheih wangu
@user-st2ig6ds3f3 ай бұрын
Allah akuhifadh inshallah Dr sule
@eddymaphy3 ай бұрын
Aamin
@sadikimgaza67773 ай бұрын
Anae sema Dr sule anatafuta kiki siyo mwislam
@yukundapeter82003 ай бұрын
Dr Sule nakuaminia sn,hasa wakati ule ukampa jambajamba mdandia dini kwa mbele lenyewe na lile lidandia dini lingine hayanaga mahubiri xaidi ya kuongelea waKristo.Mwampopo na lile lingine hayawexi msogekea Sule,Sule jeshi kubwa,Sikia madini hayo.
@ShantoiShantoisinekikasimu3 ай бұрын
🎉🎉 mtwara tunakujua vyema kabisa tunamshangaa huyu. Lana kazipata wap
@hajiramadhanihaji3553 ай бұрын
Dr nakukubali tangu enzi za ujana wetu .
@ruqiyanasir71413 ай бұрын
Nahuyo baba ake bona hatumjuwi kama ni shekhe mashekhe tunawajuwa huyu jama nimshezi naanakiburi nahicho kiburi chake ndicho kitakacho mpoza namukitaka msitake munao mteteya huyo jamaa hana ndin anaabundu viuno vya kutengeneza
@KobaAbbas3 ай бұрын
Ndicho kijua jamani HAMO.ametumwa naSHETAN kumtukuza mungu
@RaimamomedSaidi-wz1yu3 ай бұрын
Me naona mnampa nasaha sana na kufanya mahojiano sana kwanini mnamchelewesha ngombe wakat kashafika kichinjion?
@ibrahimabdullah18873 ай бұрын
Mashallah
@himnakhatib10503 ай бұрын
Jamani walimu mda mwengine tuwe wazi uyo konde hata km hajatamka hiyo kauli basi hana uislam iv jaman uislm ni vitendo ama jina.asa yule ana vitendo gani .yule ni kefir bwana moja kwa moja.
@user-nx4eg7sf8u3 ай бұрын
Safi sana dr, yule dudu baya ni lijizi tu kama majizi wengine na siku ya kifo chake atakwenda motoni kwanza tu anamshirikisha nabii Issa kua ni mkristo na hiyo ni kosa, kama dudu baya hajasilimu basi ni kuni ya motoni.
@sultanaswaleh78133 ай бұрын
DR SULE . FANYA KAZI YA ALLAH !, WAFUUZIE HAO WANAFIK. MIMI NAKUFWATILIA SANA . FROM🇰🇪 ALLAH ! AKUHFADHWI 🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️💕💕💕
@fabienuwimana95593 ай бұрын
Kweli kabisa
@Josephmalack3 ай бұрын
binadamu niwanafiki 2 hiyo ni kiki konde achana nae
@jumanayopa3 ай бұрын
Yaani harmo kapata elim ya kuunga unga ndiyo inampa kibri.sasa anasema hata yy baba yake shehe inamaana baba yake ndyo kamtuma amtukane mungu .acha ujinga harmo
@user-pg2pe6ye4i3 ай бұрын
Uyu sule si chochote dogo harmonize usilie akuna kitakacho kukuta wewe sule ata atume jini wake kkkkk
@user-mt3wr9mx7c3 ай бұрын
Big up sule waelekeze harmonize tumpige kunuti duh mtoto bangi sio mchicha😂😂😂😂😂
@eddymaphy3 ай бұрын
😂😂😂
@allyduniakhamis223 ай бұрын
Docter sule ni maaruf kabla ya huy kafir homonize mungu akuunze sheikh wetu
@hakizimanatatuhakizimana61863 ай бұрын
Hamonaizi nilikuwa nampenda lakini namchukiya sasa ajili ya mambo yake smpendi kabisa Allah amuongoze na amsamehe izo ni bangi
@eddymaphy3 ай бұрын
Hayo ndio matatizo ya kuanza starehe ukubwani ,ndio yanafikisha mtu kufanya mambo kinyume na dini
@SatmaAlly2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉vzr
@WardaMohammedRashid2 ай бұрын
Mnatuchanganya bhn
@henryfaraji15273 ай бұрын
Binadamu kama binadamu wengine weee uko biashara sio dini boya tu wewe uko kazi sio dini
@user-lm3lt7xx6l3 ай бұрын
Sulle hanashida na umafufu
@godshanthomas32973 ай бұрын
Kwenda huko ww ndio unampigania mungu
@elbattawy28643 ай бұрын
Huyu mwandishi sijui anatokea taasisi gani maswali ya kipuuzi sana anamuuliza Dr Sule baadala ya maswali ya msingi, Hamonizi amekufuru na Dr Sule ameshapambanua sana kwenye mahojiano mbali mbali, inaonekana Tz waandishi wamekosa kazi za kufanya Dr. Sule kuna clips nyingi ameshatoa ufafanuzi halafu anatoka mtu tena anaenda uliza upuuzi ule ule, kwanini waandishi hawaendi kwa hamonize kumuhoji kama amerudi kwa Mungu na kuleta shahada upya?
@Kibabe20243 ай бұрын
huyu jamaa nisheher aula mtu wamitandao Anataka Sombrero radhi yeye ninani anatoa Lana yeye Nani wewe siokiongozi wadini wewe kiongozi wakuwafanya watu duazalana acha kujiona wewe mkamilifu
@EmmyMuha3 ай бұрын
Hajasema km mkamilifu anatufundisha anaongea ukweli hajakosea apo haimo shetani
@EmmyMuha3 ай бұрын
Anatakiwa atubie nakipini chake km ng'ombe wa maonyesho
@dastopadady24023 ай бұрын
Huyo mtangazaji ame kosea kusema wakilisto at kuna dhambi zisizo sameheka sokweli kila dhambi ina sameheka
@Kibabe20243 ай бұрын
Hawa ndio wanaowadhalilisha wanawake wakati
@user-sf3ys8rm5s3 ай бұрын
Uyo sio shehe bali ni msemaji tu nahuyo ndio wale wale mashetani
@jabirkasunzu68413 ай бұрын
Sheikh kwa kiswahili mzee Hata wewe hujui maana ya Sheikh
@hajiramadhanihaji3553 ай бұрын
Nyie makafiri mbona mna nongwa na mashehe wakikemea uovu? Maana naona mko mbele Sana kumtetea ujinga ?shida yenu Nini?
@MuzirAmisseSalimo3 ай бұрын
tunakushukuru mzee
@hassanimatenga-du2ct3 ай бұрын
Wewe acha ujinga mtangazaji hakuna dhambi kubwa wala ndogo mkristo yupi aliyekwambia dhambi ni dhambi huku ni ileile
@GladnessMassawe-iz7nk3 ай бұрын
Wewe unatakiwa umuweke sawa siyo kulitole macho ata mwenye simungu ajawapa ukumu ya nyie kutoa ukumu mtoto akinyea mkono awaukati unausuuza hii dini na hiii dini siyo yamtu mmoja yakwetu sote atukatai nyie ndo mwenye maanulaka kiduni ila ukumu anatoa mungu
@user-nx4eg7sf8u3 ай бұрын
We Dr ki kweli kweli kwani unajua pasipo ubabaishaji
@user-ow7hw1oy2g3 ай бұрын
W kichaa Dr sulle atafute kiki ya nn
@JacksonYesu3 ай бұрын
Hana lolote huyo hamonize anawasiliana na mataifa wewe unamshambulia mtoto mdgo kubwa ziro
@sembuchemahiya42013 ай бұрын
Muongelee harmonize ujulikane
@RahmaMohamed-bi4ro3 ай бұрын
Inalilahiwainaillaih lajiuni
@domingosjohnraissemaikomai79303 ай бұрын
Auna akili
@user-fy4op1sw2f3 ай бұрын
Hata hayo maswali ni ya mtu jahili zuzu jinga
@PurityWaithira-ud2vj3 ай бұрын
Wewe ni mungu uhukumu mtu??sisi wote wenye dhambi,usihukumu mtu Allah tuu wa kuhukumu
@FatumaBasho3 ай бұрын
Wewe hujakubali kuwa huyo MTU wenu alikufuru allah. Wewe sio mzima wa akili
Kweli mzee baba masheke njaa tu wanafki na wachawi anatoa hukumu yéyé Nani?
@JacksonYesu3 ай бұрын
Unajiitapa
@Kibabe20243 ай бұрын
domo lake ninaweza kumdhalilisha mtu
@yusufabdikadir42603 ай бұрын
Huyu hamo ni kafiir kama hawo makafir wengine hiwo munkar pekeyake tuu anawo ufanya wa muziki ni munkar Sawa huyu mwanzo tuu alikua kafiif tayari achana na hayo matamko ya Sasa ule munkar tuu unakupeleka motoni achana hi kufuur alio ifanya huyu hamo ni kafir
@Kibabe20243 ай бұрын
eti mitume yote wangalikua km wewe tungalifikawap
@Kibabe20243 ай бұрын
Sasa wewe ule ulipewa mamlaka ninani unaewapalana watu kwaza toast ka Familia yako unawajua wanachokifanya acha njaa yamitandao unakipaka dini sio yako niyetusote Aombe msamaha kwanani wakati wewe tayari mtoanala wewe