HATIMAE BABA KIRUWASHA ATIMIZA AHADI YAKE

  Рет қаралды 16,390

Baba kiruwasha official

Baba kiruwasha official

2 ай бұрын

Пікірлер: 277
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 Ай бұрын
Mm nimekupenda shekh kwakukubali shekh bachu yale aliyoyasema simaneno yake bali nimaneno ya mashekh masha Allah nimekupenda bure mzee kwakukubali ukweli. ngoja tumsubiri bachu ajekumaliza kazi
@muhammadmbaraka4515
@muhammadmbaraka4515 Ай бұрын
Huyu Shekh Hana kibri MAA SHAA ALLAAH.. ikimjia haqi anaifuata tofauti na baadhi ya mashekh wengine
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 Ай бұрын
@@muhammadmbaraka4515 swadakta anajielewa wallah
@allymbarouk5362
@allymbarouk5362 Ай бұрын
Mm katika hili jambo nimemuelewa zaidi sheikh BACHU nasiamamia hapo. Kumtumia jini nirahisi zaidi kumtoa MTU ktk tawaqal kwa Allah na ndio njia rahisi yakuzama ktk shirki bila kujua au kwa kujua hasaaa Wallah aalam
@allythabiti8150
@allythabiti8150 Ай бұрын
Exactly.
@dulividuli5237
@dulividuli5237 Ай бұрын
Upo sahihi kabisaa
@musarashid-xw1qm
@musarashid-xw1qm Ай бұрын
Pamoja
@WaziriShabani-ie3nh
@WaziriShabani-ie3nh Ай бұрын
Mimi binafsi shekh bachu nimemuelewa bila kigugumiz
@user-fq1gg8rj9i
@user-fq1gg8rj9i Ай бұрын
As-salam alaykum warahmatullah wabarakatu vip hali zenu vipenz vya Allah. Aya tupo tunackiliza
@hamisisaidi9525
@hamisisaidi9525 Ай бұрын
Waleykum salam warahmatullah wabaraktul
@jabirinyoni823
@jabirinyoni823 Ай бұрын
Mashallah, ilmu ni bahari, usilolijua ni sawa na usiku wa giza, nimekuelewa sana babu kiluwasha, nimemuelewa mohamedi bachu kila mmoja kwa anachojua yuko vizuri. Hizi ilmu zipo isipokuwa hatuzijui tuu. Allah atujalie elimu zenye manufaa fiduniya wal akhera
@ommymo
@ommymo Ай бұрын
Ameen,hainahaja ya kubishana , kila mtu katika hawa ukiangalia kunakitu kimoja muhimu,wamekigusia, KAMA KUMTUMIA KWANJIA YA HALALI NA WASILA ITAKAYO TUMIKA KUMFIKIA YEYE BASI NI HALAL YAFAA, KAMA MAMBO NIYA HARAMU NA NJIA ITAKAYO TUMIKA NI YA HARAMU BASI NIHARAM,
@ommymo
@ommymo Ай бұрын
Alafu wengi ktk watu wanaenda kulingana na fikra na akilizao, kwakuwa hajazowea hilo basi yye anaona hata sheria imekataza, Kwaivo mtu azingatie, kama madhara ni mengi kuliko faida kwake haifai kutumia, kama faida nyingi na njia atakayoitumia niya halal basi yajuzu, asiambiwe ni shirki
@user-fq1gg8rj9i
@user-fq1gg8rj9i Ай бұрын
Baba kiriwasha kumbe wale wanao tumia chuma ulete kumbe Ni jini. Subhana Allah ,,,, Yarrab tuhifadhi waja wako na utulinde na hasad na husda na vitimbi vya kiduniya. ,,, amiiiiiin
@jumafaki2891
@jumafaki2891 Ай бұрын
chuma ulete si jini Wacha kuwazulia watakuja kukushtaki mbele ya mungu
@Abdulrahmanhassan18
@Abdulrahmanhassan18 Ай бұрын
Mashaallaa Allah bariq mwenyenzi mungu akujaze maarifa zaidi na afya njema ili uzidi kutupa elimu, mwenye akili timamu amekuelewa na yule mbugila mbugila hatokuelewa kwa ubishi wa asili yake.
@suleimansuleiman7947
@suleimansuleiman7947 Ай бұрын
Ma shaa Allaah, Allaah akupe wewe na sisi mwisho mwema , Wew ni sheikh wa kwanza kukuona hauna kibri katika elimu hasa yakumujua Allaah, Sheikh bachu kamalize kazi ili watu waelewe zaidi....Allaah awahifadhi masheikh wetu wenye kusimama katika haki tena bila kuws na vibri
@hassanjr5318
@hassanjr5318 Ай бұрын
Eti kuna mwanamke ana swahibu jinn Kitendo cha jinn kukaa ndani ya mwili wa mwanadamu tayari ameshakufuru Iblis ana njia nyingi sana za kumpoteza mwanadamu Allah atuongoze na kutupa mwisho Mwendo
@chinguilechinguile1501
@chinguilechinguile1501 Ай бұрын
Mimi pia najua hivyo.Kitendo cha jinn kukaa kwenye mwili wa mwanadamu anakuwa ameshakufuru. Lugha nyepesi ni kwamba hakuna jinn mwema anayefungamana na wanadamu,majini wema wote wanaishi ulimwengu wao wakimuabudu Allah S.A
@shawwalmsati3405
@shawwalmsati3405 Ай бұрын
SHEIKH HAWATAKUELEWA KWA SABABU ULIYOYASEMA NI YA KIELIMU NA SI YA KIFIKRA
@AllyHussein-so1hr
@AllyHussein-so1hr Ай бұрын
Allah S.W. ndiye kutegemewa, kuombwa na kuelekewa kwa kila hitajio kwa waja wema. Kumhitajia jinni ni kukata tamaa na rehma za Allah na kukosa subra.
@user-qe9pd9zk8v
@user-qe9pd9zk8v Ай бұрын
Kutoka kwa Hafswa bint Omari bin Khattwabi- Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao- Kutoka kwa Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake- Amesema: "Atakayemuendea mpiga ramli akamuuliza kuhusu lolote, akamsadikisha, haitokubaliwa kwake swala yoyote siku arobaini". Sahihi - Imepokelewa na Imamu Muslim
@yusuphsuphian8521
@yusuphsuphian8521 Ай бұрын
shekhe usilazi mishe kumpa nguvu mshili kina
@yusuphsuphian8521
@yusuphsuphian8521 Ай бұрын
shekhe unampa nguvu mtu ili aendee kupotea
@yusuphsuphian8521
@yusuphsuphian8521 Ай бұрын
naku tumia nyota
@yusuphsuphian8521
@yusuphsuphian8521 Ай бұрын
mshili kina kaanae mbali
@maarufumustwapha3055
@maarufumustwapha3055 Ай бұрын
Baba kiruwasha nimekuelewa Sana tena mno ndugu yako ktk imani
@hawa6052
@hawa6052 Ай бұрын
Jamani mimi nazingatia qala llahu wa Rasul hayo mengine mmm sitaki kujua
@user-wl3qj2fx8u
@user-wl3qj2fx8u Ай бұрын
Utazifahamu hizo aya au hadithi kama hujapewa tafsiri yake Mbona mkikwamas mnakua waongo?
@IbraFareed
@IbraFareed Ай бұрын
@@user-wl3qj2fx8usheikh umenifurahisha Umeongea maneno mazuri
@awadhally1052
@awadhally1052 Ай бұрын
Kwel kabisaa
@selewenger8323
@selewenger8323 Ай бұрын
Shekh, barakallah, mi naomba njia SAHIHI ya kumwita jini na kumtumia, Mana kumbe huu umaskini tynautak mwenyew
@Athumaniomari-ge2gs
@Athumaniomari-ge2gs Ай бұрын
Huwa nakuskilizaga kweny mambo y familia endelea na zile mada ;am hiii mada kwkwel naomb tu uachane nayo mwalim wangu
@KhamisDaud-nz3rc
@KhamisDaud-nz3rc Ай бұрын
Mimi namuusia Mzee wetu baba kiruasha akamsikilize tene Muhammad bachu vzr inawezekana hakumuelewa
@sabihiathumani6612
@sabihiathumani6612 Ай бұрын
Madhara ni mengi HAIFAI KABISA na baadhi ya wanaofanya hayo mambo hawajasoma dini vya kutosha. Tafadhalini sana huu mlango msiufungue ni fitina kubwa watu watapotea.
@hamzaforogo
@hamzaforogo Ай бұрын
Baba kiruwasha kazoea kuongea usiku akiongea mchana anapoteza confiance
@SaidShemkieti
@SaidShemkieti Ай бұрын
Mada anayoizungumzq imemzidi umri ndomana anashindwa kuwa na cofidence
@omaryngole6450
@omaryngole6450 Ай бұрын
Ama
@mussakantumba9914
@mussakantumba9914 Ай бұрын
Yeyote anae amini kuwa kutumia jini inafaa basi huyo ni Mshirikina tu ikiwa binadamu tu yaliyojificha mioyoni mwao hatuyajui je itakuwaje kwa majini viumbe ambavyo hatuvioni? Huyo Baba Kiruwasha ni Mshirikina tu hana jipya.
@SelemanAmir-ze8zz
@SelemanAmir-ze8zz Ай бұрын
Allah ukuhifadhi shekh huyo bachu anajua utafungua watu ukweli wataujua yeye kaja kujiweka ujuaji zaidi bila uchanganuz Kama hivo tukanufaika navyo rad hazijengi tunabomoa jaman tutumiane dhana mzur bila jazba kitu wanakijua hawataki kifahamike uzur
@AbuuKhafswa
@AbuuKhafswa Ай бұрын
Wewe uliecoment kumtupia lawama bachu yakuwa amekuja kujifanya mjuaji sio kwei chukua kauliyake baba kuluwasha mimi natumia kitabu na yeye bachu sio manenoyake anatumia kitabu namwenyewe kasema amepata faida kubwa kwa bachu
@idrisaabkar3760
@idrisaabkar3760 Ай бұрын
Acha kujizima data
@kylesmeight4837
@kylesmeight4837 Ай бұрын
Sw Sheikh Nenda kwa mganga
@mtindikoja8837
@mtindikoja8837 Ай бұрын
Hii madauiache inatuchafula dini yetu chaguenimoja mue waganga au masheikh toka zamani wapo masheikh nawaganga I'ma mkufuri I'ma muwe waalimu, mtachanganya wasiojua kutumia majini niushirikina, Kama sio shiriki wekekeni majini tuyaone nasisi hadharani
@user-oo1fs7lp6d
@user-oo1fs7lp6d Ай бұрын
Mm binafsi nmekuelewa jaman kama hamuna elimu na uwelewa wenu mdogo msijibu jamani
@jasminmohamed6145
@jasminmohamed6145 Ай бұрын
SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA SAIDINA MUHAMMADIN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM Barakallahu Feek
@AbasiChigo
@AbasiChigo Ай бұрын
Unajivunjia heshima yako unachotetea hakipo bora ukae kimya ujifunze kwa bachu anaeleweka
@Its_me_hanseif
@Its_me_hanseif Ай бұрын
حفظك الله ورعاك يا ابو كروش
@officialbabakiruwasha
@officialbabakiruwasha Ай бұрын
Amiin
@issaabdallah1205
@issaabdallah1205 Ай бұрын
Kiliwasha tufahamishe jinsi ya kumpata huyo jini mwema ili tumtumie kwa wema
@user-wl3qj2fx8u
@user-wl3qj2fx8u Ай бұрын
HUENDA AKAWA HANA HIYO ELIMU ILA YEYE KAZUNGUMZIA SHERIA YA KUA INASWIHI KUMTUMIA JINI
@NassirMansour-zx2jd
@NassirMansour-zx2jd Ай бұрын
Hapo sasa
@alhadajjmohammedsmith9042
@alhadajjmohammedsmith9042 Ай бұрын
Mtume aliusia kwamba Wana wa Zuoni watakuja iharibu Dini/Watauharibu Uislamu na ndo hayo/ahaya yanayotokea Sasa (Ishara/Daluli) Mwisho wa Dunia umekaribia.. Mtume aliposema anawakhofia Wana wa Zuoni watakuja iharibu Dini, Mtume hakuwataja Kwa Majina yao hao Wana wa Zuoni na Wala hakutaja Maeneo/MaTaifa watakayotokea/walipo(Wanapoishi) hao Wana wa Zuoni ni Tz, Kenya, ZNZ, Saudia nk.🙌
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 Ай бұрын
Achana na Majini ww Mzee, mtegemee Mola wako
@mwechizumbabaraka3273
@mwechizumbabaraka3273 Ай бұрын
Sheikh SALUM MSABAHA Yuko wap jaman aje a2ambie ukwel 16:10
@husseinbwandu
@husseinbwandu Ай бұрын
Allah awazidishie kheri na baraka baba kiruwasha na sheikh bachu mnawakilisha hekima katika jamii yetu. Binafsi nimependa hili suala lilivyohitimishwa, kwamba ni vyema kupima madhara na faida ya kumtumia jinni kabla ya kuchukua hatua hiyo. Asanteni sana kwa i'lmu.😊
@officialbabakiruwasha
@officialbabakiruwasha Ай бұрын
Afuan
@husseinshehuna68
@husseinshehuna68 Ай бұрын
Shekh Mohammed Bachu hajasema haifai kuwatumia lakini kuwatumia Kuna madhara mengi ... Na kitu hata kama kina maslah madhara yakiwa mengi kinaachwa maalim... Iwe tunatosheka na dalili... Na tumuelewe mtu kile anachokisema... Unarudia Yale aliyoyasema... Lakini je hujui hayo madhara Mzee wetu... والله المستعان
@user-es4uf6gj7u
@user-es4uf6gj7u Ай бұрын
Tuwache kuyumia majini
@husseinshehuna68
@husseinshehuna68 Ай бұрын
@@user-es4uf6gj7u Hakika sio jambo zuri... Lina madhara mengi sana
@jumaa052
@jumaa052 Ай бұрын
Samahan naomba kuuliza nabii Suleiman Ali Fanya shiriki juu ya kutumia majin ?
@JumaOmar-ku6cr
@JumaOmar-ku6cr Ай бұрын
Tatizo huwezi jua jini yupi mwema yupi mbaya nikujiepusha nayo tu hatuna imani ya kumzibiti asitukufurishe
@AbdillahAlly-fl4vh
@AbdillahAlly-fl4vh Ай бұрын
Wew ndio hujui wanajulikana km tunavyowajua binadamu muhimu elimu tu
@MkutiNandaja-rz3nk
@MkutiNandaja-rz3nk Ай бұрын
Tafuta elimu ndugu Kila kitu kipo duniani ww na elimu yako soma sana
@jumafaki2891
@jumafaki2891 Ай бұрын
kwani ukimleta fundi kwako wajua kama ni mwizi au jambazi au n,k Kwa Nini umpe kazi yako
@HamisMagambo-gw6ti
@HamisMagambo-gw6ti Ай бұрын
Elimu tu
@user-es4uf6gj7u
@user-es4uf6gj7u Ай бұрын
Hakika watu sasahivi wengiwao wana penda shari kuliko kheri kwa nini jlazkmishe jini wakati njia zingine zipo zakufanya kila kiyu ilk kujiepusha nao
@isackwaite-uf1zy
@isackwaite-uf1zy Ай бұрын
MashaAllah
@jumangozi2720
@jumangozi2720 Ай бұрын
Alafu umejikita zaidi kwenye hukmu mubahu mubahu maulamaa wanasema itafaa kumtumia kwaajili ya da'awa kwa wenzie kwa vile tunaitakidi kwenye vikao vyetu vya kielimu wanakuepo sio kumtuma kwenye haja atakuludishia vipi majibu na yeye mpaka akae kwenye mwili wa mtu ndio aongee na huo ni uasi aruhisiwi kuingia mwilini kwa mtu
@abdallahhuseinkabale7534
@abdallahhuseinkabale7534 Ай бұрын
Point ya msingi kabisa..haya watatudishiaje majibu kuwa dawa imefika..kifupi hao viumbe wapo kwenye himaya nyingine tuu..abgalia kipindi mtume swallahalywasam alipoenda pamoja na yule swahaba alimcholea duara asitoke hapo.kisha mtume akaanza kuwasomea ...kwa ile khofu ya yule swahaba ilibakia akidogo atoke.na mtume akameambia raiti angejaribu kutoka njee ya hiyo sehem angeungua..sasa unasemaje kuwatumia hao viumbe kimchezo mchezo...mie nahisi ni kukataa tamaa kukubali uwezo wa mwenyezi mungu....au kama kipindi cha nabii suleiman kipindi alipo taka kile kiti cha malikia. Kuonyesha mwanadam ni bora aliketa kile kiti...kwahiyo wasiwape shavu hayo majini hakika hiko tuendako inaweza kua hatari zaidi
@mussakantumba9914
@mussakantumba9914 Ай бұрын
Ni washirikina hao wanaosema inafaa kuwatumia majini.
@twahamuhoro1656
@twahamuhoro1656 Ай бұрын
Hahaha dini ni dalili kwenye hili babu kiruwasha ana dalili zilizoshiba...
@azizihassan1613
@azizihassan1613 Ай бұрын
10:55
@MuhammadMuhammad-gr2qv
@MuhammadMuhammad-gr2qv Ай бұрын
WAPIGA RAMLI IMEWATACHI SANA KUAMBIWA NI HARAM.. WALIKUWA WAMEJIFICHA LAKINI SAHII WANAJITOKEZA MMOJA MMOJA KUTETEA SHIRK ZAO... SHUKRAN SHEIKH MUHAMMAD BACHU
@MussaYusuf-fd8je
@MussaYusuf-fd8je 29 күн бұрын
Kwani huyu BACHU hamumuelewi amaa mbona kashaafafanua yote lakin bado mnaleta mambo mengine,
@user-zs6qg7ql1i
@user-zs6qg7ql1i Ай бұрын
MAwahab shekh wenu pia hamumuamin hv ungekuw kumtumia jini haifai nabii sleman ataenda motion vitu vipo wazi ikiw haifai ht mskiti wa bautul makdis waliujenga Majin kw hio haifai kusaliw ni kusoma tu
@sadih5333
@sadih5333 22 күн бұрын
Nimakosa makubwa sisi kuongelea na kujifananisha na Nabii wa Allah Suleiman yeye ni mfalme pia ni Mtume alikua pia anawasiliana na wanyama na viumbe wengine Malaika na Majini , sasa kwa hayo machache si sahihi kupigia mfano na kujilinga Nisha nae, Allah atupe ufahamu mwema.
@hasanisaidishabani3879
@hasanisaidishabani3879 Ай бұрын
Mashallah nimepata faida
@salummussa-ms6nb
@salummussa-ms6nb Ай бұрын
Baba kiruwasha unafeli
@hamishassan6784
@hamishassan6784 Ай бұрын
The Reality of Jinn in the Qur'an and Sunnah - Dr. Yasir Qadhi
@zulekhaa6817
@zulekhaa6817 Ай бұрын
Hakuna aya wala hadithi inayoelezea kufanya hayo. Kwa nilivyoelewa kwamba kutunia majini wema kytafaa kwa dharura n sii iwe kawaida. Mtume swallahu alyhi wassllam ndio aliwasomesha na sio kuwatumia. Na ruhisa hiyo itabaki kwa maulamaa waliobobea elimu. Sio mashekhe wasasa wamitandaoni, Na hili jambo sio muhimu muhimu. Hebu watu wakasime yaliokiwa y muhimu yamejaa, tusikimbilie majini.
@idrisamnyamisikhalifa4348
@idrisamnyamisikhalifa4348 Ай бұрын
Dah umenitoa chozi ostadhi sio wote wenye kukubali
@Abdulrahmaniluhumba-kf6sd
@Abdulrahmaniluhumba-kf6sd Ай бұрын
Mi nataka kusikia kasema HABIBY MUHAMMAD S.A.W .... sio mashekh ambao hata hadith za mtume wa allah haziwajui wanakazi ya kupoteza umma tu hamna lengine....
@abubakarshaban6118
@abubakarshaban6118 Ай бұрын
Mbona husomi kiarabu unatitafsria tu juu juu... Mambo gani hayo...
@matendondambwe9527
@matendondambwe9527 Ай бұрын
Shee kilowasha je qur Ani inazungumziaje kuhusu matumizi ya majini baina ya Bina damu na majini
@KitasaWaaction-gm9zr
@KitasaWaaction-gm9zr Ай бұрын
Majini wanaulimwengu wao na wanaadam wanaulimwengu wao wewe usaidiwe na jinni kwani Allah hatoshi?
@hamzaforogo
@hamzaforogo Ай бұрын
Hasbiyallaahu waniimalwakiil
@user-es4uf6gj7u
@user-es4uf6gj7u Ай бұрын
Kama itatoka moyoni hiyo basi hakuhaja yajini wala mtu kila kitu kitakuja wenyewe kwajia anayo I juwa yeye mola
@ramagwama
@ramagwama Ай бұрын
Sheikh Bachu kaeleza kiufasaha kabla hujajishulisha kumtumia jini unatazama faida na hasara zke ambapo akasema kutumia jini atakuplka ktk shirk moja kwa moja ajil ya maagano yko kati yake vilevile ao majini utawatambuaje kua uyu mwema na uyu mbaya ilhal hatuna uwezo wa mitume kuwatambua vyma.
@allymbarouk5362
@allymbarouk5362 Ай бұрын
Hakika
@jumaa052
@jumaa052 Ай бұрын
Nabii Suleiman Ali Fanya shiriki juu ya majin ? Nauliza nataka tu kujua 🙏
@allymbarouk5362
@allymbarouk5362 Ай бұрын
@@jumaa052 huyo ni mtume wa Allah, Allah aliwaandaa mitume wake wawe vigezo na walimuabudu Allah kwa yaqini ya kweli wala hawakumshirikisha na chochote ktk viumbe wake.
@Bombwejr18
@Bombwejr18 Ай бұрын
​@@jumaa052Nabii suleiman alipewa uwezo wa kuishi majini kabisa na kuwatumikisha ndo uwezo alipewa na pia mitume na manabii wana uwezo binafsi vp mm na ww mtihani sheikh iman zetu ndogo lazima tuingie kwenye shirk
@user-mg6hn6os6y
@user-mg6hn6os6y Ай бұрын
HAKUNA kutumia majini.MTUME MUHAMMAD hajafundisha.
@athumanimbarukulimbungaathuman
@athumanimbarukulimbungaathuman Ай бұрын
Sheikh unatupaka mafuta
@muhsinkimaro4283
@muhsinkimaro4283 Ай бұрын
Bado hamjatushawish, watu wa tanga na zanzibar mnayaamin sana majin, baadh ya watu lkn nieleweke vzr
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Ай бұрын
Nyie ndio mnaitukanisha dini ya Mungu inasibishwe na majini
@salehrashid-fx9rq
@salehrashid-fx9rq Ай бұрын
Saihihi. Cjui hawana la kufanya ktk uislamu. Mbona❤ kuna mambo mengi saana wailamu wanafaa kufundishwa
@user-wl3qj2fx8u
@user-wl3qj2fx8u Ай бұрын
sasa yeye au IBUN TAIMIA?
@SelemanAmir-ze8zz
@SelemanAmir-ze8zz Ай бұрын
Naomba msaada wa ufaham ivi Kuna makatazo ya kupinga kauli ya mashekhe ambayo Ni rai au ufafanuz wao na sio Aya ya qur an
@user13375
@user13375 Ай бұрын
​@@SelemanAmir-ze8zzukipinga watakuroga😂😂😂
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 Ай бұрын
Shekh wangu sikiliza vizuri Umeambiwa kutumia Majini kuna faida chache kuliko madhara, kama madhara n mengi shekh İbn Tamiyyah anamaliza kusema sio vizuri Kuacha ni HAULA zaidi 1- majini wabaya 2- majini wazıri lkn aina zote hiz wanakupelekea kwenye Ushirikina ! Sikiliza vizurii shekh nahic utaelewe vizuri biidhin kariimu
@shawwalmsati3405
@shawwalmsati3405 Ай бұрын
Kwani hao vigogo walioruhusu hawajui hayo madhara wala faida hizo ispokuwa BACHU tu
@SaeedMohammad-sw7jq
@SaeedMohammad-sw7jq Ай бұрын
​@@shawwalmsati3405ila baba Kirwasha katoa vitabu vi2 vya sheikh Uthaymin kimoja chakubali kutumia majini wema na kingine kinakataa kwa kuhofia mahsad yatakayotokea kwa kuwatumia majini. Tanbihi, ikiwa kichwa chako ni kizuri kufikiria basi yatosha kujiweka mbali katika kuwatumia viumbe hawa.
@user-zs7eq8up5s
@user-zs7eq8up5s Ай бұрын
Mtu ana kesi anadaiwa kweli anatumia jini kuharibu kesi..mty anataka mtoto wa watu amzini anatumia jini.mtu anataka kumdhuru mtu kwa dhulma anatumia jini...ndo hivi alikusudia sule...
@neemafatu471
@neemafatu471 Ай бұрын
Kama ndivyo basi Sawa. Ila kufanya hivyo, ni kama kucheza pembezoni mwa moto. Ni hatari ni bora kuacha naona.
@yusuphsuphian8521
@yusuphsuphian8521 Ай бұрын
baba kilwasha kumbe unaumga mkono anae tafuta pesa kwaku tumia majini
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z Ай бұрын
shekh baba kiluwasha tumekuelewa...ila bachu awez kukuacha kamwe😊😊
@azizihassan1613
@azizihassan1613 Ай бұрын
Kwani Allah na Mtume Muhammad s.a.w wanasemaje ktk quran na sunna? (HUO NDO MSIMAMO SAHIHI, NJE YA HAPO NI KUJITIA UJINGA)
@HakizimanaJeandieu-dy7cx
@HakizimanaJeandieu-dy7cx Ай бұрын
Shukran shekh
@HemedSerious
@HemedSerious Ай бұрын
Kwa alicho zungumza sheikh ni haki bachu anapenda ushindani wa kijinga tu
@maarufumustwapha3055
@maarufumustwapha3055 Ай бұрын
TUnapiga kelele tutamjuaje jini mwema hamulizi binadamu mwema mtamjuaje kwani wema unakulikana na ubaya unakulikana
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e Ай бұрын
Arafu maneno ya shekhe matupu bila kuegemeza na dalili huwezi patia imamu shafi mwenyew alisema , ilipo aya ya quruani na hadithi ndo madhebu yangu yalipo mkiona maneno yanaenda patupu yatupeni mbali shikene dalili kwa mtume sasa ww mwenzio alisoma maneno akaegemeza na dalil ww wasoma matupu ya wanazuoni bila kuegemeza dalili
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 Ай бұрын
Sheikh hujafaham kauli za wanachuoni vizuri, hao wezako wanawatumia hao viumbe kwa ushirikina.
@jumankumilwa4139
@jumankumilwa4139 Ай бұрын
NAAM MWAMBA UPO SAWA
@Athumaniomari-ge2gs
@Athumaniomari-ge2gs Ай бұрын
Mwalim hii mada ungeacha tu sheikh maan Moto wa raddi hutauweza
@MkutiNandaja-rz3nk
@MkutiNandaja-rz3nk Ай бұрын
Moto wa radi ndio Nini yeye anazungumza Kitabu nini moto wa raddi
@SelemanAmir-ze8zz
@SelemanAmir-ze8zz Ай бұрын
Upambanuz wa Kona use Waz raddi hazisumbui Ila haki owe mbele Kwanza tusiogopane din ya Allah tunyooshane kwa uzuri
@habajuashesema
@habajuashesema Ай бұрын
Toeni vitabuvinav yopingana na ibn uthaimin na ibn TAIMIYYAH ktk hili.Mwenzenu kaja na vitab nyi mwaja na maneno matupu
@ibramussa1762
@ibramussa1762 Ай бұрын
BAADHI ya Watanga wamelelewa kwenye familia zinawaganga matambiko , hivyo zikija mada zenye utata kama hizi zamajini lazima waziunge mkono.( Zingatia neno BAADHI)
@IbraFareed
@IbraFareed Ай бұрын
Sheikh sijui ulifikiria unachoongea Unanasibisha MIJI NA AKILI HII INAONEKANA HUNA UELEWA TENA MCHACHE SANAH SIKILIZA SHEIKH ANATUMIA MANENO YA WANAZUONI SASA TANGA NA MAJINI YANAHUSIANA NINI SHEIKH DO YOU LISTEN TO YOURSELF
@MateusPaulino-cf8hf
@MateusPaulino-cf8hf Ай бұрын
Nyie watanzania mko busy kwa kupotosha uma wakiskam kwa ajili ya maslah yenu
@MahadBedui
@MahadBedui Ай бұрын
Ww py nimgonjwaa
@rajabumbendenga5480
@rajabumbendenga5480 Ай бұрын
MANHAJ SALAF NDIO MAPITO SAHIHI YA KUENDEA UISLAM WETU HUTOKAA KUSIKIA VITU VYA KITOTO KAMA HIVI KWENYE SOCIAL NETWORK. HUWA MAREJEO NI QURAN NA SUNNAH KWA UFAHAMU WA SALAF KINYUMECHO MTABURUZWA NA MAKANJANJA WA MJINI MPAKA BAAS
@sharifuburuhani1969
@sharifuburuhani1969 Ай бұрын
Sheikh Ibn Taymiyyah siyo SHEIKH wa KISALAFI?
@user-es4uf6gj7u
@user-es4uf6gj7u Ай бұрын
Njia ambazo hazina shaka hatuzifati kwa nini tulazimishe kwanjia zenye mashaka ??kwanini nauliza kwanini njia salama zipo hazina shaka hata kidogo lakini kwanini tutumie njia zenye mazonge kwann??
@user-ie7ey2uz3c
@user-ie7ey2uz3c Ай бұрын
shehe jamiiyetu haizingatiidini wanaishi kama hawanadini je huu mlango mkiufungua watu watakua ktk haligani jambo likiwa lìnamashaka nibora kuachana nalo mtt wabacho ameeleza vizuri mimi ushauri wangu endelea namada zako zandoa huatunazielewa ila hiimada hatukuelewi
@omaar5693
@omaar5693 Ай бұрын
15:16 kama amesema inafaa nae amekosea kuna.mambo mashekhe hawajui lakini sisi wengene tumeishi.katika familia.ambazo tunakuta wazee wanafanya mambo hatujui asli yake... mfano: kuna mda tunaogopa tusipo chinja kinaweza kutokea chochote... ndio hayo munayo ungia mkono... jini mwema yupo na mbaya yupo,,, lakini.hayo kwetu ni.Ghaib.... utasaidiana.na.jinii vile uthaimin alivyo elekeza lakini tujuwe jinn karne inaisha yeye bado ni kijana lakini wewe ushasahauliwa lakini kuna mitego alisha weka kuwakamata kizazi chako...
@user-xh9gj2wd6o
@user-xh9gj2wd6o Ай бұрын
Ndg yetu Baba Kiliwasha kwanza muogope Allaah pili huna elimu ya kumjua huyu jini ni mwema au mbaya tatu ili jini akutumikie lazima pawepo badala ya kumpa jini na badala yenyewe haiwi ila ni jambo la haramu tuu nne maneno ya mwanachuoni yeyote sio qur an wala hadithi tunaweza tuukaachana nayo na hatupati dhambi
@Aymanland
@Aymanland Ай бұрын
Sheikh unayumba na unawayumbisha wanao kufuatilia achana na mada hii iko mbali na upeo Sheikh wangu na sio aibu kutojua yote katika dini huna haja ya kuminyana masheikh pia wanakosea usishikilie ibun taymiyah tu yule ni mwanachuon mkubwa mchamungu mwenye elim kubwa lakini anaeeza kosea pia katika kauli zake au akaeleweka vibaya kwa wanao soma fatuwa zake kikubwa tujue haifai kutumia jini kwani allah ametutofautisha kimaumbile na kila kundi tunatakiwa kumuabudu Allah na sio kwa kazi hiyo wanayo fanya Washirkina, sheikh unataka kuziporomosha mada zako watu wa TAWHIID waache kuzisikiliza hebu achana nayo hayo turudishe kwenye mambo ya familia Tufaidike. Uko unako enda unaenda kutufanya tukatae na mada zako je mada zako zikipotezewa kwa tatizo lako ndio umepata faida.
@gigiman5465
@gigiman5465 Ай бұрын
Msiba mkubwa na Africa umasikini tunao sana yaani watu kutukia majini na si technologia kisa dalali ktk mijitabu eti shekh ul Islam kasema ! na si Allah.
@hawa6052
@hawa6052 Ай бұрын
BABA Kirwasha acha hiyo Mada tafadhali
@user-wl3qj2fx8u
@user-wl3qj2fx8u Ай бұрын
HAHAHAHA
@makameally1962
@makameally1962 Ай бұрын
Nimegundua KITu bachu kwao wao Ibny Taymiya humfanya kama ni mtume na akitelezaa wao Shekh wao Huwa hawakubali kuwa kakosea Ibny Taymiya Kazungumzia kuhusu kasema ina faa lakini Wao kwao hawathibishi Wao wanapindisha maneno na kusema ya kwamba wao wanaangalia athar
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 Ай бұрын
Kitu ambacho hukijui huyu sheikh uthaymeen na bin taimiya wote ni wanachuoni wetu wa kisalafi kwaiyo hujui unachokizungumza ww
@makameally1962
@makameally1962 Ай бұрын
@@saidimkwinzu9106 Ww hao wamethibisha wenyewe
@user-zs7eq8up5s
@user-zs7eq8up5s Ай бұрын
Baba kiwasha kauli ya ulamaa ikiwa haina mashiko tunaiwacha tunashika dalili... وقال ابن أبي حاتم : حدثنا أبي ، حدثنا فروة بن المغراء الكندي ، حدثنا القاسم بن مالك - يعني المزني - عن عبد الرحمن بن إسحاق عن أبيه ، عن كردم بن أبي السائب الأنصاري قال : خرجت مع أبي من المدينة في حاجة ، وذلك أول ما ذكر رسول الله صلى الله عليه وسلم بمكة ، فآوانا المبيت إلى راعي غنم ، فلما انتصف الليل جاء ذئب فأخذ حملا من الغنم ، فوثب الراعي فقال : يا عامر الوادي ، جارك ، فنادى مناد لا نراه ، يقول : يا سرحان ، أرسله ، فأتى الحمل يشتد حتى دخل في الغنم لم تصبه كدمة . وأنزل الله تعالى على رسوله بمكة ( وأنه كان رجال من الإنس يعوذون برجال من الجن فزادوهم رهقا )
@aljalilatiba9873
@aljalilatiba9873 Ай бұрын
SASA LEO HII MAJINI YANATUMIWA KWA SHIRKI
@mwechengo6156
@mwechengo6156 Ай бұрын
wenzenu wanapigwa Gaza upande unapigwa upande unakula maisha sasa wakiisha wa suruali fup msizani msiokua na ndevu utabaki salama
@elbattawy2864
@elbattawy2864 Ай бұрын
Baba Kiriwasha ameelewa somo kutoka bachu, lakini nadhan shida ipo kwamba sisi binaadam wa sasa hatuna ubavu wa kumjua jini mwema 100% ili tutimize hiyo mubaha, Mitume ndio walikuwa na upeo huo, nashkuru kwamba masuala ya mapete ya bahati ya Dr Sule umemuachia mwenyewe Dr Sule umejiweka mbali na ushirikina, wewe umekuja na kitu mubaha tu, tumekuelewa
@shafiismaily9223
@shafiismaily9223 Ай бұрын
Msijiingize kwenye vitu vyenye kutia shaka!?
@KessyMwinchum
@KessyMwinchum Ай бұрын
Kwa ufupi ww Shekh haueleweki
@ayububakari9942
@ayububakari9942 Ай бұрын
Baba kiruwasha ungezungumzia mapenzi UTAWAPA KICK WASHIRIKINA..
@nasramusaro
@nasramusaro Ай бұрын
Baba kiruwasha umenikera binafs ungetuambia. Faida ni kubwa au hasara ni kubwa?
@kanobayirelambert8400
@kanobayirelambert8400 Ай бұрын
Mie napita kidogo!
@user-ie7ey2uz3c
@user-ie7ey2uz3c Ай бұрын
nawausia waisilamu tuachane najambo hili tumfateni mtt wabacho ilitusalimike
@user-mg6hn6os6y
@user-mg6hn6os6y Ай бұрын
Je Mtume ametufundisha kutumia majini?
@jumaahmadi
@jumaahmadi Ай бұрын
😅 aslam alekum akh mm nilivyo muelewa shekh bach ni kwamba yafaa kutumia majini wema kwa mamb ya kher ila tu ayo majini kuyatumia ninjia moja wapo wa kukupelekea ktk ushilikina
@salehrashid-fx9rq
@salehrashid-fx9rq Ай бұрын
Sahihi na kwakweli ndio ilivyo atakutumikia wee mpaka kushazoea baadae atataka umtii analolitaka
@SelemanAmir-ze8zz
@SelemanAmir-ze8zz Ай бұрын
Kama kuwatumia Ni njia ya kuelekea ktk ushirikina vip ifae Tena kwanin isiwekwe Waz kuwa haifai kabisa kuepuka mashaka hayo Tung kwa hao mashekh wakubwa
@yusuphsuphian8521
@yusuphsuphian8521 Ай бұрын
makafili wana sema uislam nidini yawa fuga majini jee sawa baba kilwa sha
@hassanjr5318
@hassanjr5318 Ай бұрын
Eti kuna mwanamke ana swahibu jinn Kitendo cha jinn kukaa ndani ya mwili wa mwanadamu tayari ameshakufuru Iblis ana njia nyingi sana za kumuingia mwanadamu ....
@Athumaniomari-ge2gs
@Athumaniomari-ge2gs Ай бұрын
Baba kirwasha sjui ni nni unaongea tena maaana tumekusklza bado tu hatukuelewi ;mbon maelezo ymetolewa;majin unawatuma kw mambo yadaw kuwalingnia wanadam au majini wenzao ?je mpk uwatume wakiwa wapi maaan sjui. Unasem swahib sas yale wakirst husem mnafug majin ndo mambo km hay
@HemedSerious
@HemedSerious Ай бұрын
Kicchwa Cha jiwe, hujaelew nn
@habajuashesema
@habajuashesema Ай бұрын
Tatizo ufaham wa watu ni mdogo.Elim uliotoa ni kubwa imezidi ufaham wao.Anaesema anataka qaala ALLAAH NA QAALAL RASUUL, ASOME AYA 2.Ya kwanza surah Albaqara Aya ya 29 .Yeye ndie aliekuumbieni vyote vilivyoko ktk ardh.Ukisema kitu ni haram we ndo unapaswa kuleta ushahid.Ngurue ni haram imetajwa kwenye quran, we unakula fenesi,mapera maparachich vimetajwa wap kwny quran.Waachieni wasomi mambo ya kielim.Quran ingeandika ugali, mlenda nk. Kitab tungekibeba na semi.Lakin zatumika kanun za aya kujua halal na haram.
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Ай бұрын
Kwahiyo naww unajini wako ambae unampa mawaidhs ilinae akawape mawaidha wwnzie?
@shabanihugo8332
@shabanihugo8332 Ай бұрын
Inaonesha unakurupka tu sheikh,jarbu kuwa unajua mahli nizaa
@matendondambwe9527
@matendondambwe9527 Ай бұрын
Wanaosababisha wanazuoni wakubwa kutukanwa ni nyinyi mashee musio waelewa sasa angalieni sana ila nais kilowasha ajamuelewa bachu au unataka tivii Yako watu watazame Kwan mada za ndoa umeishiwa shee
@saadakhalfan945
@saadakhalfan945 Ай бұрын
majini kutafuta elimu ya dini kwa watu ni kawaida lakin watu kutafuta elimu kwa majini au kuamiliana nao si vizuri kabsa
@yusuphsuphian8521
@yusuphsuphian8521 Ай бұрын
mimi nime kuelewa bachu katika kuliongelea hili
@user-rg3tu2nc2f
@user-rg3tu2nc2f Ай бұрын
Kila mtu ahitaji apate msaada wa jini. Je vp utajua mzuri na mbaya. Msifungue mipaka watu waache ibada na watafute kufuga majini. Ni Hatari.
Ustadh Haji Upepo amtetea Dr Sule kuhusu kutumia jini
11:34
Haji Upepo Online tv
Рет қаралды 10 М.
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 17 МЛН
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 30 МЛН
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 491 М.
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 87 МЛН
KUVAA NIQAB NI SUNNA AU FARADH? MASWALI NA MAJIBU NA USTADH KHATIB OMARY
11:52
UJUE UCHAWI WA HALALI
7:24
Baba kiruwasha official
Рет қаралды 2,3 М.
HUU NDIO WIVU UNAOWEZA KUJENGA MAPENZI KWENYE NDOA (HUBBUL HALAL)
20:36
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 6 М.
MTAMKIE MKEO MANENO MATAMU - BABA KIRUWASHA
1:19
Oasis TV
Рет қаралды 250
DR.SULLE HATAKI MASIHARA TENA//ELIMU YANGU ITADUMU NITAKUMBUKWA NA........
38:03
MAJINI WA DK SULE SIO WEMA USIMTETE || MAJIBU KWA BABA KIR'WASHA || Muhammad Bachu.
1:04:29
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 17 МЛН