Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Пікірлер: 21
@bintsalimalbimany287
Mashallah Asante Madam wetu love uuu much love from UAE🇦🇪
@fatmahamdoun74
Madam leyla iyo kisutu inaitwa ❤
@user-pw2dv9fr6r
Mashallah mtangazaji Mbwana bin Ali umekimbiza .
@user-kh6yf5ps9k
hatamimi nipo omani lakini tunapendana sana namme wangu mapezi yamezidi kama ndotunaaza lakini tunawatoto watatu dada upo sahihi
@hemedhemed8590
Shukran san madam lelaa
@mwalimjuma5837
Nampenda sana huyu dada
@bentybenty2343
Masha ALLAH ❤ ♥ 💖
@amadeomarsaide5023Күн бұрын
Hamja angalia wala kuchunga mda gani mwanamke anaweza kunvumilia mumewe hawapo mbali. Huezi kumuacha mwanamke ndani ya myaka 2. Huko nikupitiliza
@HawaAhmed-yj8wo
Hapo pa upendo kuhamishia kwa mtoto sio wote ndugu yangu
@mwalimjuma5837
Kwani huyu dada ashaolewa
@lelaali8001
Kanga ya kisutu hio inaitwa
@KabulaMalimi-es1jm
Shukurani
@husseynomar9523
MashaAllah Madam Leila.🎉🎉🎉
@user-sv9ey8eq7v
Naomba hii kwa galary yangu nitaipataje? Kwa download siioni
@starpowerali7559
Inakuwaje mwislam anapendekeza mtu mwengine ajengewe Sanamu? Watu wa nabii Idriss ndivyo walivyokufuru.