Mbingunu hatutazeeka karibu ubarikiwe na wimbo huu kutoka kwaya ya kanisa la Waadventsta Wasabato Nyamekoma Nyamongo.
Пікірлер: 81
@stephanyoloo9807Ай бұрын
Amina
@lucyelia62286 ай бұрын
Mmeimba vizuri punguzeni madoido hayo maisharaishara.hasa wadada.hapo mnamuimbia Mungu sio maonyesho kwa wanadamu.
@nyamongo6 ай бұрын
Ujumbe umefika shkuran 🙏
@simonnyakunga60303 ай бұрын
AMEN
@neemakabanza41063 ай бұрын
Amina Amina.
@nyamongo3 ай бұрын
Amen
@graceratemo31993 ай бұрын
Heaven we will not be old, encouraging words, praise God,Barikiwa sana
@nyamongo3 ай бұрын
🙏🙏
@victoriaodongo18826 ай бұрын
Waaoo,mumenibariki ajabu,ukweli mbinguni hatutazeeka.natamani kuufikia mji ule wa mbinguni. Mungu azidi kuinua huduma yenyu. Very beautiful voices 🤗
@nyamongo6 ай бұрын
Amen barikiwa 🙏
@FrankAmos-fi8hg5 ай бұрын
Hongeren sana Mungu azidi kutubariki waimbaji na wasikilizaji
@nyamongo5 ай бұрын
🙏🙏
@user-jw8pw2pd9l6 ай бұрын
Barikiwa sana mko vxr makelele ya wtu msikilize by kenyamanyori ada choir
@nyamongo5 ай бұрын
😂🙏🙏🙏🙏👋
@fadhilidzombe11046 ай бұрын
Barikiweni kwa kazi njema, Bwana aendelee kuwatumia zaidi kwa utukufu wa jina lake. Msirudi nyumaa
@nyamongo5 ай бұрын
Amen 🙏 barikiwa
@graceratemo31993 ай бұрын
Amen Amen
@nyamongo3 ай бұрын
🙏
@happynesschristopher84934 ай бұрын
Hakika mnatuheshimisha ,ninapata ladha ya kisabato ambayo kwasasa ni hadhim. Mungu awabariki kwa njozi hii nzuri. Furaha ni mfano kwa kwaya za Mara wanapaswa kukifunza kutoka kwenu.
@nyamongo4 ай бұрын
Amen barikiwa 🙏🙏
@adamkibe14596 ай бұрын
My favorite song
@nyamongo6 ай бұрын
🙏🙏
@ImaniMkumbwa-jl6qi6 ай бұрын
Kazi nzuri sanaa
@user-bx6ys1ph8v5 ай бұрын
Merci Seigneur
@frolenciashinga60736 ай бұрын
Wimbo mzuri Mungu awasimamie wapendwa
@nyamongo6 ай бұрын
Aminaaaaaaa mbarikiwe piah🙏
@NdagijimanaElisaphanАй бұрын
Amen
@nyamongoАй бұрын
🙏
@Mwl_wazamumediapro.59796 ай бұрын
Barikiwa sana furaha choir @Nyabihore secondary school
@nyamongo6 ай бұрын
Asanteeeeee sana mwl wa zamu barikiwa piah 🙏
@MoshiPaulo2 ай бұрын
Mungu awabariki sana❤❤
@nyamongo2 ай бұрын
Amen
@user-rc5zd1zl6u3 ай бұрын
Watu wa Mungu niwatie moyo hapana ushindi bila vikwazo wala majungu msiwasikilize hao nyie tumiken tu kwa ubora kazi yenu ni nzuri sana mnatusogeza sana karibu na Bwana nawapenda sana 😊😊😊😊😊
@nyamongo3 ай бұрын
Amen barikiwa Rafki
@janethmwihumbo12893 ай бұрын
Amina amina
@user-rc5zd1zl6u3 ай бұрын
Barikiweni Sana furaha sda kiukweli ukifanya kazi ya Bwana ipasavyo kuzeeka hakupo
@nyamongo3 ай бұрын
Amen
@DorvilierNatacha-yc3pl5 ай бұрын
Hello the bunny Girls Gloire a Jesus Chrises Thanks You👼👼⛑️💎👒👑
@nyamongo5 ай бұрын
Amen
@ChristopherJoram-wt3xr6 ай бұрын
Waoooow am feel blessed, i really appreciate may God bleess u all
@nyamongo5 ай бұрын
Be blessed too
@EneaMwaijulu-iq2ki6 ай бұрын
Hongereni sana Mungu awabariki
@nyamongo6 ай бұрын
amen
@lucykarii68605 ай бұрын
Amina amina
@nyamongo5 ай бұрын
Barikiwa 🙏
@marykainyu41915 ай бұрын
Glory to God tutakuwa na sura za kupendeza amini tu❤amen
@nyamongo5 ай бұрын
Amen 🙏
@lenardmayuki89906 ай бұрын
😄😄 hiz coment za hapa bwana Tulia, tuliza mikono, tuliza ishara, tuliza kichwa, Kwa ufupi kazi ni nzuri watumishi mbarikiwe
@nyamongo6 ай бұрын
Amen barikiwa Mr. Lenard 🙏🙏
@dorisgesare77075 ай бұрын
Hallelujah 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@nyamongo5 ай бұрын
🙏
@ChristopherJoram-wt3xr6 ай бұрын
Mmechaguwa kuimba vzr ishara zenu hachani sisi tubarikiwe na vyenye mnaimba inatosha
@Mtangazaji6 ай бұрын
Hizo ishara za msisitizo nazo zinashida!!!Du!!!Wahubiri wanapohubiri mimbarani mbona hawasimami kama gogo!!!
@nyamongo5 ай бұрын
Amen tunashukuru Kwa ushaur utafanyiwa Kaz 🙏🙏🙏
@zwadiijaxen6 ай бұрын
A pretty song..
@nyamongo6 ай бұрын
Barikiwa 🙏
@sabathmnubi50335 ай бұрын
Ukweli wakiacha maurembo ya ishara ni waimbaji wazuri
@nyamongo5 ай бұрын
Asanteeeeee Kwa ushaur utafanyiwa Kaz 🙏
@FebroniaMsilanga6 ай бұрын
Mnaimna vizuri Ila acheni maishara tulieni Tu italeta utukufu kuimba Kwa maishara kunafanya wimbo unakuwa na vurugu fujo
@nyamongo6 ай бұрын
Asanteeeeee sanaaaaaaa Kwa ushaur utafanyiwa Kaz 🙏 barikiwa 🙏
@vicentmigodela1905 ай бұрын
Imba wewe tukuone
@brightonjonas695 ай бұрын
Masihara gani hapa jamani
@ikwabeinjilitv97585 ай бұрын
Mbarikwe kwa kweli hazeeki mtu
@janethmwihumbo12893 ай бұрын
Kwa iyo unadhani Mbinguni wanaimba wamesimama Kama maiti hiyo nishelia ya udhehebu sio Mbinguni,kule wanasujudu mikono Wana ipeleka kushoto kulia Wana inama,na maua yanafanya hivyo hivyo alafu yana toa arufu nzuri
@lucyelia62286 ай бұрын
Na vichwa vitulieni.hamjatulia bado.
@nyamongo6 ай бұрын
🤗🙏🙏🙏
@user-ok6xt9xl9k5 ай бұрын
РОССИЯ БЛАГОДАРИТ. БЛАГОСЛОВЕНИЙ.
@nyamongo5 ай бұрын
Thanks too 🙏
@user-rc5zd1zl6u3 ай бұрын
Jamani kuimba kwa ishara au vitendo nipale unapoguswa zaidi yaani hua kunakuep msukumo Fulani nawapenda Sana!!❤
@nyamongo3 ай бұрын
Amen
@FebroniaMsilanga6 ай бұрын
Tunataka kusikia wimbo si mikono yenu
@nyamongo6 ай бұрын
Asanteeeeee Kwa ushaur utafanyiwa Kaz 🙏🙏🙏 barikiwa 🙏🙏
@janethmwihumbo12893 ай бұрын
Huo ni udhehebu tu Mbinguni wanaimba Bwana hawasimami Kama maiti
@FebroniaMsilanga6 ай бұрын
Mikono yenu itulie
@nyamongo6 ай бұрын
Asanteeeeee Kwa ushaur utafanyiwa Kaz🙏🙏🙏
@innocentsylvesterkitua8266 ай бұрын
Mr,Febroniamsilanga Umeeleweka vyema Rafiki,Naamin hilo Litafanyiwa kazi Mpendwa,Hiyo mikono inayocheza Itatulia Asante kwa ushauri.
@janethmwihumbo12893 ай бұрын
Itulie wamekuwa maiti jamani Wacha wamwimbie Mungu wao
@BurtonSon2 ай бұрын
Hello wapendwa..naomba mwenye number zenu au za mwalimu wa kwaya tafadhli anitumie kuna mualiko muhimu sna .barikiweni