MAAJABU YA CHUMBA CHINI YA BAHARI, RAIS AMEWAHI KUFIKA, KULALA USIKU MMOJA NI ZAIDI YA MIL. 4

  Рет қаралды 425,110

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

#underwaterroomPemba #millardayoUPDATES
Huwenda umewahi kusikia kuwa kisiwa cha Pemba kuna chumba cha kulala chini ya Bahari, Chumba hiki kimekuwa maarufu kutoakana na watu kutoka mataifa mbalimbali kuvutiwa na Hoteli hii iliyopewa jina la Manta Resort ili uweze kulala hapa kwa usiku mmoja utatakiwa kulipa dola 1,900 sawa na Milioni na Laki tatu.

Пікірлер: 403
@user-hu2hl9sx1n
@user-hu2hl9sx1n 3 ай бұрын
Huo mtihani sana je ikaja shida ya kupasuka kio maji yakaingia ndani sikifo chakujitakia manankionahapo nikama upo kwenye yai likipasuka hatari sana
@flyimaadonlinetv5539
@flyimaadonlinetv5539 Жыл бұрын
Hongereni sana Ayo Tv....naomba kutowa ushauri kwanza jambo mlolifanya zuri sana la kufanya mahojiano na raia wa nchi nyengine....ombi langu muwe munaweka ssuti ya kutafsiri pale mtu anapozungumza lugha nyengine au mahojiano ya lugha nyengine. Ahsanten sana Mko vizuri sana
@yassirrashid7802
@yassirrashid7802 2 жыл бұрын
Amazing Sana
@ramadhanjuma4087
@ramadhanjuma4087 2 жыл бұрын
Mashaallah nicely Ilike it
@HekaSaid
@HekaSaid 3 ай бұрын
Beautiful i can see one of my hand work it was crazy job for sure
@anitamabuga6346
@anitamabuga6346 Ай бұрын
Hizo ni dalili Moja wapo za siku za mwisho, Yesu anarudi hivi karibuni tujiandeni kuraki mwokozi wetu mambo ya Dunia yote ni ubatili tu.
@mrsinia3064
@mrsinia3064 2 жыл бұрын
Hongera sana kwa ubunifu muzur, one day nitafk inshaalah
@nassorsalim8748
@nassorsalim8748 2 жыл бұрын
Yahe sehemu mzuri sana Lakini ni bora kwenda Maka kuliko kuja huku na ni kupoteza pesa Bora uko nazo nyingi pesa wasaidie mayatima wajane na mafukara Uipate pepo ya Allah InnshaAllah Allah atuwezeshe amin
@GMD820
@GMD820 2 жыл бұрын
Kweli kabisa maana Ii ni fahari ya Dunia tu wala munyanzi mungu haitambui.
@ceciliamabala615
@ceciliamabala615 Жыл бұрын
Pp0
@imanmohamed7632
@imanmohamed7632 Жыл бұрын
SubhannahAllah
@husseinathuman8469
@husseinathuman8469 Жыл бұрын
Kweli ndugu
@mohamedkutwambi
@mohamedkutwambi Жыл бұрын
🙏🙏
@piusmajo8133
@piusmajo8133 2 жыл бұрын
Ubunifu mzuri sana,Safi Sana mwanasayansi kwa Jambo hili
@malikzafarani172
@malikzafarani172 Жыл бұрын
Woow amazing saana 🙌🙌🇶🇦
@ajayakikoytz590
@ajayakikoytz590 2 жыл бұрын
Ila wandishi wahabali wanashuhudia mengi Da🥰, Apo kulala tu million Kadhaa na laki mbili😅
@kassebo
@kassebo 2 жыл бұрын
Acha mwenye pesa! aendeleee kuitia ushamba Dunia
@user-ou7pe3mv6k
@user-ou7pe3mv6k 2 жыл бұрын
Mashallah
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 2 жыл бұрын
Milioni 4 kawaida sana hapo kwani hata hizo booking tu unaona zilivo na compition...I think Blue economy ingeangalia miradi kama hii ina collaboration with Ministry of Tourism.
@hokakoko730
@hokakoko730 2 жыл бұрын
Daah ila mm siwez kulala sehemu iyo ata ikiwa bure
@maujanjatv24h41
@maujanjatv24h41 2 жыл бұрын
Huna hela
@annajustin1945
@annajustin1945 2 жыл бұрын
@@maujanjatv24h41 jamani siyo hela kwanza huo usingizi unakujakujaje weeee mm kuyachungulia maji tu hoi
@user-xy5uy4eu1x
@user-xy5uy4eu1x 3 ай бұрын
Hata Mimi siwez, nyangumi mara owaaa kioo chalii
@fifo262
@fifo262 2 ай бұрын
Hhhhhh uoga uoo
@user-mi7yx8ew1k
@user-mi7yx8ew1k 23 күн бұрын
​@@user-xy5uy4eu1x😂😂😂😂😂😂😂😂owaaaaaaa😮😮😮
@jeremiahsanare8754
@jeremiahsanare8754 2 жыл бұрын
Hata bure siwezi kulala hapo
@mukhsintwaha5909
@mukhsintwaha5909 2 жыл бұрын
Acha uoga
@gloriadaniel3827
@gloriadaniel3827 2 жыл бұрын
😄😄😄😄
@khayratmhina3735
@khayratmhina3735 2 жыл бұрын
Bwanaweee 🤣😂🤣
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣☝ pia 😇
@wemakalama6458
@wemakalama6458 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣acha uoga
@mshamhemedy8567
@mshamhemedy8567 7 ай бұрын
Super cute maganga wa pemba
@shailglobal2296
@shailglobal2296 2 жыл бұрын
How do you get oxygen inside the watar
@adamhashim3352
@adamhashim3352 2 жыл бұрын
Ukilala hapo ni sawa na mwanandani kasoro sanda
@user-yb6wh1bk9d
@user-yb6wh1bk9d 3 ай бұрын
Kuna uboresho mzuri ss mpk wageni wanaenda tn miaka na waokoaji hpo wapo karibu kuna umakini
@TheSalma1999
@TheSalma1999 2 жыл бұрын
Mbona rahisi hicho chumba ntakuja kwenye honey moon yangu insh Allah
@ngoshachaula172
@ngoshachaula172 2 жыл бұрын
Nyoko unae ww
@asiaoman3040
@asiaoman3040 2 жыл бұрын
MashaAllah 😙😙😙
@cornelytv2839
@cornelytv2839 3 ай бұрын
congratulations 💐
@MussaIbrahim-xz8mr
@MussaIbrahim-xz8mr 2 ай бұрын
Amazing
@AbisinaRashidi-wg5jt
@AbisinaRashidi-wg5jt 3 ай бұрын
Mwenyezi mungu sianipe mume anipeleke tu hapo mm
@samwelsaidsalum676
@samwelsaidsalum676 3 ай бұрын
Hatakama hautapata mume wa kukupeleka mungu akiamua utaenda2
@user-ht8np4yh5t
@user-ht8np4yh5t 2 ай бұрын
Amin tyu utampata
@tumumaumba3037
@tumumaumba3037 2 жыл бұрын
Aisee
@janekuria1898
@janekuria1898 Жыл бұрын
Waaaa 🥺 Mimi siwezi lala kwa hicho chumba. La....
@storytownTv
@storytownTv 2 жыл бұрын
Mimi ninachumba juu ya mti wa muembe jamani.. kulala buku tu... Hamna kunguni kiivyooo ila utazoea tu wote mnakaribishwa okoa milioni nne yako kwa buku..😁
@rhodarabani3222
@rhodarabani3222 2 жыл бұрын
haha
@thuwaybah5679
@thuwaybah5679 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@wasalimie11
@wasalimie11 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jamesobedy3940
@jamesobedy3940 2 жыл бұрын
😁😁😁😁
@johnbernad3990
@johnbernad3990 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@AhmadySeifsoud-ng3bn
@AhmadySeifsoud-ng3bn 4 ай бұрын
Karibu pemba 🤗
@user-yc5qk4jf5l
@user-yc5qk4jf5l 3 ай бұрын
How do u get oxygen under the water
@fatmasuleiman1104
@fatmasuleiman1104 2 жыл бұрын
Jiran yetu ndo walikuwa mafundi waliniambia kma wanatengezea room chini ya bahar nikajua utani kilipoisha kikaonyeshwa kwenye tv akaniambia twende nikupeleke utaingia bure maana bado ndo kwanza tumemaliza kujenga nikamwambia sisubutu maisha bado nayapenda labda mungu atake kunichukuwa kwa hiar yake lakin c kwenda kujitaftia kifo cha kusud
@mwajabumsami6388
@mwajabumsami6388 2 жыл бұрын
Yaani wewe kama mimi😂😂😂😂
@bahakyejo3800
@bahakyejo3800 2 жыл бұрын
Hata Mimi duuuu
@janekuria1898
@janekuria1898 Жыл бұрын
Pia mie siwezi hata kutembea hapo
@ibraheemiddy8612
@ibraheemiddy8612 2 жыл бұрын
Watu wanabalaaa jaman mmmh silali aje papa aniletee vurugu mie
@user-tj5zs5dj3y
@user-tj5zs5dj3y 2 ай бұрын
Me siwezi lala we maji yakihingia ndani huko jee😂😂
@hellenmwasalwiba6555
@hellenmwasalwiba6555 2 ай бұрын
nimecheka sana
@mercypeter162
@mercypeter162 2 жыл бұрын
Mmmh !!
@priscamagambo5320
@priscamagambo5320 2 жыл бұрын
Acha yanipite,hata bule silali ng'oooo
@kassimomar7589
@kassimomar7589 2 жыл бұрын
Zanzibar
@jescaisrael7338
@jescaisrael7338 2 ай бұрын
❤❤cool
@neemamjengi9913
@neemamjengi9913 2 жыл бұрын
Mwanadamu ana akili nyingi sana,Mungu alizo mjalia
@ismailalfankihiyo3215
@ismailalfankihiyo3215 2 ай бұрын
Mimi nilishawahi kukaa 2 days kwakweli ni raha sana,very enjoyments
@TonnyMaleko
@TonnyMaleko 2 ай бұрын
Wegiñe. Ha5a ndege Hawaii. Kapakia.
@Chekibob
@Chekibob 2 жыл бұрын
Mbona mmekata hiyo sauti tusikilize habibi 😁😁😁😂
@yordanyona1234
@yordanyona1234 2 жыл бұрын
sio lazima tour
@user-ou7pe3mv6k
@user-ou7pe3mv6k 2 жыл бұрын
Imshallah wamekusikien wa2 wa oman watajarbh na wao
@issaal-busaidi4479
@issaal-busaidi4479 2 жыл бұрын
Fatma uko nizwa sehem gan
@NeemaShababi-nu8dr
@NeemaShababi-nu8dr 3 ай бұрын
Aki ya mungu
@neemaneema9969
@neemaneema9969 2 жыл бұрын
Cwezi kulala humo hata bure
@wazirmlogi7532
@wazirmlogi7532 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 2 жыл бұрын
Gorofa heluwa wagidi mashaallah
@mariyammariyam6584
@mariyammariyam6584 2 жыл бұрын
😀😀😀🇴🇲Heiwaaa ana shufii heluwaa
@aliclassic8468
@aliclassic8468 2 жыл бұрын
Vip kuhusu samaki papa
@user-mi7yx8ew1k
@user-mi7yx8ew1k 23 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😊
@KadeejaKadeeja-ej4bu
@KadeejaKadeeja-ej4bu 3 ай бұрын
Atali sana
@khayratmhina3735
@khayratmhina3735 2 жыл бұрын
AyoTV wanamaswali yalioenda shule mashallah
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
Tabarakallah
@salhidasuleiman6202
@salhidasuleiman6202 2 жыл бұрын
Nishawahi kuenda na family yangu mallah
@salhidasuleiman6202
@salhidasuleiman6202 2 жыл бұрын
Mashallah
@credo7837
@credo7837 2 жыл бұрын
@@salhidasuleiman6202 mmmh
@sharmelasaif47
@sharmelasaif47 2 жыл бұрын
Mmmmh makubwa hayo
@Haulat-yc9gz
@Haulat-yc9gz 2 ай бұрын
Mm hata unilipe silali wala siingii
@franciscosmas6108
@franciscosmas6108 2 ай бұрын
1
@kakabaraka1058
@kakabaraka1058 2 жыл бұрын
manta🇹🇿
@agnesbaligono2742
@agnesbaligono2742 2 жыл бұрын
Maajabu kweli
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 2 жыл бұрын
Yaani samaki unawaona live bila chenga😀😀
@HassanKubwito-uv7jv
@HassanKubwito-uv7jv 2 ай бұрын
Kwakweli Zanzibar wamepiga hatua
@drankskhally7019
@drankskhally7019 2 жыл бұрын
Ukiwa na pesa hakuna unachokosa na kushindikana
@adamhashim3352
@adamhashim3352 2 жыл бұрын
Afya baba hela inagonga mwamba
@abrahmansururu4393
@abrahmansururu4393 2 жыл бұрын
Pumzi
@rhodajoseph9043
@rhodajoseph9043 2 жыл бұрын
Silali humo hata kama ni bure kwanza usingizi sintaupata kabisa
@Gorgeousij
@Gorgeousij 2 ай бұрын
Inanikubusha ile sub marine iliopasukia America.njia ya kuingia chini ya ogopesha sana juu ukiteleza itakuwa je?hata nikalipwa niende pale siwezi.wenye waliandikisha historia kama Dedan kimathi,Mandela hawako.
@jamesobedy3940
@jamesobedy3940 2 жыл бұрын
Hata kwa bure siwezi kulala 😂😂 Labda kuingia na kutoka basi 🚶🚶
@christercheru8328
@christercheru8328 2 жыл бұрын
Tuko pamoja
@tumainlession411
@tumainlession411 Жыл бұрын
Meonae
@user-on3sb4fn7w
@user-on3sb4fn7w 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@josiahkulwa34
@josiahkulwa34 2 жыл бұрын
Good
@emmadominic9601
@emmadominic9601 2 жыл бұрын
Kusema ukweli,hicho chumba hakina starehe yoyote,nishida tu,jinsi ya kushuka huko kama vile mtu anarumia ngazi za kujengea nyumba
@emmadominic9601
@emmadominic9601 2 жыл бұрын
Yaani hizo ngazi utadhani mafundi umeme wa tanesco,hata bure sitaki katu
@IsmailDede-nz5ut
@IsmailDede-nz5ut 3 ай бұрын
Cwez lala hapo mm
@user-cc3ki8vv2p
@user-cc3ki8vv2p 2 ай бұрын
Kabwawa tu Kindai huku kwwtu nakaogopa hata kusogea,,humo kwa kweli kufika tu nishakuwa marehemu kwa pressure,,tena mbao,,,,,bado tu hazijaoza?
@aggerdihenga4673
@aggerdihenga4673 Жыл бұрын
Makangale manta I mic u so much 2taonana tena soon Inshaallah 🙏
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 3 ай бұрын
Apo Mimi kama Mimi Siwezi lala chini Kwa maji Japo tutakufa..😂☑️📌
@benderarulenge2477
@benderarulenge2477 2 жыл бұрын
Ata Hilo boat Mimi sipandi kabsaaa,mungu aniepushe majanga hayoo🙉🙉🙉🙉🙉🙉
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 жыл бұрын
hata bure siingii ata ndan
@esthersissamo1120
@esthersissamo1120 2 жыл бұрын
Inaogopesha kwa kweli
@tumumaumba3037
@tumumaumba3037 2 жыл бұрын
Hahaha kwakweli
@user-uh5ps3cl5e
@user-uh5ps3cl5e 6 ай бұрын
Safiii
@user-sn9ip6qr3l
@user-sn9ip6qr3l 3 ай бұрын
Ila wazungu wanapenda kumchefua Mungu anaweza kuwaletea gharika wasiamin
@theresialubida161
@theresialubida161 3 ай бұрын
Wenzao waribadirishiwa rugha Sasa subiri wao MUNGU akikasirika
@user-sn9ip6qr3l
@user-sn9ip6qr3l 3 ай бұрын
Kabisaaaaaa umenenaaaa
@najmanassoro308
@najmanassoro308 2 жыл бұрын
Mh ngoja nisome koment tu
@ramayonline2281
@ramayonline2281 2 жыл бұрын
Under water room.
@user-tj5zs5dj3y
@user-tj5zs5dj3y 2 ай бұрын
Kitanda chenyewe kimejaa mito tu ndo milioni 4 sasa walijengaje mbao za uko chini jamani 🤣
@fifo262
@fifo262 2 ай бұрын
Fika ujionee sio uongee tu
@TonnyMaleko
@TonnyMaleko 2 ай бұрын
Julianne deep Sea.
@kasukukasuku3896
@kasukukasuku3896 2 жыл бұрын
It's amazing katumia mechanisms zipi kujenga na je wimbi la bahari likija Hari inakuaje apo
@jambo3751
@jambo3751 2 жыл бұрын
Hahaha. Halafu Ayo ungetutafsiria muarabu wako amesema nini😄 Nasikia GHORFA TAHTA LMAI MAA MAUJUDI FIY OMAN WA HADHA AWAL MARRA ASHUF HADHA sijui ndio nini amesema😄😄😄🏃🏃🏃🏃
@jambo3751
@jambo3751 2 жыл бұрын
@@swaumdodoma7591 Nitafsirie.
@jambo3751
@jambo3751 2 жыл бұрын
@@swaumdodoma7591 bobo ndio wapi?
@jambo3751
@jambo3751 2 жыл бұрын
@@swaumdodoma7591 Niko nje ya Africa lakini nyumbani TZ.
@jambo3751
@jambo3751 2 жыл бұрын
@@swaumdodoma7591 Boboo japo unasema kuwa ipo TZ lakini sipajui ila kule nchi jirani KENYA kuna mji unaitwa KAKUMA! Kwahiyo inawezekana kukawa na mahusiano baina ya miji miwili hii🏃🏃🏃.
@annachales9623
@annachales9623 2 жыл бұрын
Ni mandhari nzuri lakini silaliiiiiiiii.......
@mamitaamashausi5164
@mamitaamashausi5164 Жыл бұрын
😂😂Unaogopa mbona pazuri sana
@uswegemwasumbi5739
@uswegemwasumbi5739 2 жыл бұрын
Iko vizur
@LovelyCoastline-il1lr
@LovelyCoastline-il1lr 3 ай бұрын
Kwann chumba kimoja
@pesamadafu1673
@pesamadafu1673 2 ай бұрын
Mungu aritega mahari naichi kafu
@ireneathuman5227
@ireneathuman5227 2 жыл бұрын
Kama starehe nikulala kwenye hicho chumba niacheni kwanza nipo likizo
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d 11 ай бұрын
😂😂😂tuko pamoja
@manaseliberatus1347
@manaseliberatus1347 Жыл бұрын
hayo ni maeneo ya washirikina
@aaminaasljbgbvf745
@aaminaasljbgbvf745 6 ай бұрын
Iyo apana kabisaa siwezifika
@mkalywagoka9913
@mkalywagoka9913 2 жыл бұрын
Hela hela zinasababisha tuuwaneeee
@marcellakomba6758
@marcellakomba6758 2 ай бұрын
Wenzetu SA na Ulaya zipo "Under Water Room" zipo nyingi tu. Nanga zake ni makini haiwezi kupinduliwa.
@theresiamartin3008
@theresiamartin3008 2 жыл бұрын
Kwa jinsi navyoogopa maji,Hata kwa buku 2 siwezi kulala hapo
@latifartygh4828
@latifartygh4828 2 жыл бұрын
Mimi ht bule silali
@zainaburamadhan8275
@zainaburamadhan8275 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@nuruali7859
@nuruali7859 Жыл бұрын
Ntakuja kulala hucho inshaallah honey moon yngu when mi bby arrived amiin
@SulemaniBaynit
@SulemaniBaynit 2 ай бұрын
Jamani jamani
@user-ou7pe3mv6k
@user-ou7pe3mv6k 2 жыл бұрын
Mm nikifka hapo siwez kull
@edwinamos9734
@edwinamos9734 Ай бұрын
Nathamini uhai MUNGU alio nipa siwezi ingia humo hata mkinipa dhahabu zimejaa pipa.
@user-no2tw5vb8j
@user-no2tw5vb8j 2 жыл бұрын
Doreen edasi from saudi arabia, jini makata na jini maimuna kanipata mle ndani kwisha mimi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@burhaanmamboleo3551
@burhaanmamboleo3551 Жыл бұрын
What????
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 2 жыл бұрын
Room ina chuma kimoja😂😂
@esterhezron6143
@esterhezron6143 2 жыл бұрын
Alafu lak 4🤣
@yasminjuma9146
@yasminjuma9146 Жыл бұрын
Ulimi hauna mfupa kukosea ni lazima
@helenangamoga5927
@helenangamoga5927 2 жыл бұрын
Ama kweli ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni
@user-he7nv8no3e
@user-he7nv8no3e 2 ай бұрын
Ndomujue Tanzania laha
@SalumuMeso
@SalumuMeso 3 ай бұрын
Kiukweli ni laha sana namm nakwenda
@user-ii9cc5um1j
@user-ii9cc5um1j 11 ай бұрын
Hv yule Samaki mkubwa anaepinduaga Meli akifanya yake hapo inakuwaje?
@sabilibrahim2457
@sabilibrahim2457 2 жыл бұрын
Bei gani kwa siku 1
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Mnao sema hamuwezi kulala wote hamna hz pesa za kulala hapo
@fatumakambangwa2915
@fatumakambangwa2915 2 жыл бұрын
Ndugu mimi masikini uwezo hata sh 20,000/= sina ila hata kama nimepata msaada sisubutu mimi muoga sana na maji weeeee
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
@@fatumakambangwa2915 kubali huna km unayo ungeenda hvy hvy na uwoga wako
@fatumakambangwa2915
@fatumakambangwa2915 2 жыл бұрын
Mimi kwer choka mbaya ha sh 20,000/= sina ila hata kwa msaada silali mimi na maji hapana chini ya bahari mmmmm uko juu na boti naendaga basi sina jinsi niingie chini weeeee siwezi
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
@@fatumakambangwa2915 bc waache wanao weza
@mikidadymohammedy7603
@mikidadymohammedy7603 2 жыл бұрын
Ni kwel Bi khadija pesa hana ndio maana
@Fatma99-ve7ys
@Fatma99-ve7ys 2 ай бұрын
Kuzinga liwa ni majini tu viumbe visivo na urafiki wa binadamu
@DeusJonathan-np8gd
@DeusJonathan-np8gd 2 ай бұрын
Duh!! Mie siwezi lala hata kama ninalipwa
@user-rg3lq7sd9f
@user-rg3lq7sd9f 3 ай бұрын
Maajabu hayo et nyumba chini ya maji mimi nsons hiyo n miujiza natamani siku moja nitembelee hiyo sehemu
@christinamasumbuko2514
@christinamasumbuko2514 2 жыл бұрын
Maiishha. Ni pesa maana Kila kitu kizuri ni pesa..
@priscillawilliam3603
@priscillawilliam3603 3 ай бұрын
Mmm kumbe ni huko haya kila na kheri.
@saidmandoadaahtumepotezaje9937
@saidmandoadaahtumepotezaje9937 3 ай бұрын
Kwer
@glorydenis5111
@glorydenis5111 2 жыл бұрын
Kuna mtu sku Moja itakuwa ndo kaburi yake
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 2 жыл бұрын
Acha kusema ivo😄
@jamesobedy3940
@jamesobedy3940 2 жыл бұрын
Wivu 😂😂
@user-dm9or7xh8x
@user-dm9or7xh8x 2 ай бұрын
Never siwezi hata bure
GARI NYUMBA LILILO NA SEBULE, JIKO NA CHOO CHA NDANI ZANZIBAR
19:34
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,7 МЛН
When You Get Ran Over By A Car...
00:15
Jojo Sim
Рет қаралды 18 МЛН
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 99 МЛН
Мы никогда не были так напуганы!
00:15
Аришнев
Рет қаралды 6 МЛН
MAKALA VIVUKO VIPYA JAMBO TANZANIA
23:47
Temesa Tanzania
Рет қаралды 1,2 М.
Mpaka Home MAISHA HALISI YA MUIGIZAJI KINGWENDU NYUMBANI KWAKE
18:31
Hoteli mpya ya Kisiwa cha Bawe, Zanzibar
4:17
Salim Kikeke
Рет қаралды 14 М.
#tanzani #kenya #jotitv
6:08
Sharifu Suleymana TV
Рет қаралды 234 М.
PEMBA YAJIVUNIA MNARA WENYE HISTORIA PANA DUNIANI
5:03
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 10 М.
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,7 МЛН