Mwenyezi mungu ampe maisha marefu baba askofu. Kwenye historia ya maisha yangu huyu baba alinirudisha kwenye msingi wa maisha baada ya kuwa nimefanyiwa uonevu na walimu ktk shule ya kahororo.baba ulinipokea seminary ndogo ya itaga ili niendeleee kuitafuta elimu ya kidato cha tano. Heeh mungu mpe maisha marefu baba askofi
@josephlorri4318 ай бұрын
Mpole,mnyenyekevu lakini mkali. Tunamshukuru Mungu kwa huduma ya Baba Askofu Ruzoka katika Kanisa Katoliki
@lilianvitus24888 ай бұрын
Mungu azidi kukutunza uzidi kumtumikia milele
@edwinkajuna72078 ай бұрын
Ahsante Sana mwenyezi Mungu kwa utume wa Baba Ruzoka
@user-yn7lp5wb5j8 ай бұрын
Mungu akubariki baba Askofu.
@leonidaskwigize18538 ай бұрын
Amazi yatimbiye yageze kule safi sana kwa kuenzi lugha ya Kiha ya kwetu Kigoma
@michaelambangile36328 ай бұрын
Ushuhuda wa Baraka! Maisha mema ya ustaafu.
@albertmaneno8 ай бұрын
Maneno ya hekima sana. Asante Baba Ruzoka kwa utume na utii
@nsodyaphilimon91538 ай бұрын
Waooo kumbe Paul Ruzoka ni Muha. God stey with you askofu
@user-bp5cf8er7v8 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ Hongera sana kwa kulitumikia jimbo la Tabora