Dini ni Imani katika Imani ambazo Zina ukweli basi uislamu ndio unafanana na ukweli anaotafuta binadam
@abdunnurahmedsilim74562 ай бұрын
Shukran kwa maoni yako lakini kimantiki kitu kinapofanana na kingine hakiwi kitu hicho. kwa hiyo UISLAMU HAUFANANI NA UKWELI BALI UISLAMU NDIO UKWELI WENYEWE
@Onlyforfun1992tube2 ай бұрын
Izi Imani ukizifatilia kisayansi au kwa ufahamu wa mwanadamu hupati majibu ila katika dini kabisa ambayo inaelekeana na uchunguzi wa kisayansi Quran pekeake ndio Ina majibu
@salemaliy19632 ай бұрын
Dunia inazinguka ,jua linazunguka pia mwezi unatembea pia hakika ametakasika mfalume WA dunia hii na akhera yake
@ShamimHassan-qm1et2 ай бұрын
Allahu akbar❤
@abdallahkambangwa72152 ай бұрын
upo vzr sana kaka mashaAllah, Allah akulipe kheri
@geraldluiso679219 күн бұрын
MANGO Movement Action Necessity Good Order
@eddiemohamed90032 ай бұрын
ALLAH IS GREAT
@user-ye3fy9kk6r2 ай бұрын
Baaraka llahu fik
@rayyanothumanmohammed82612 ай бұрын
Amazing
@FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын
Mashallah ❤️ ❤️
@a.8562 ай бұрын
Jazakallah khayran
@AbdullahOmar-be4wy2 ай бұрын
Mashallah
@AbujadiAbdalaAbujadiAbujad2 ай бұрын
Masha allh
@user-mu3lb7gx1r2 ай бұрын
ماشاءاللہ❤
@munaafaraj96832 ай бұрын
ماشاء
@KhamisHaji-pw4jo2 ай бұрын
Allahu-akbar
@jumajuma82632 ай бұрын
Allah akulipe sheikh nilikua naomba hizo Aya ue unasema nisura gan na Aya yake ilitukinote badae tupitie vzr elimu nzur sana hiyo
@hassannasibu6782 ай бұрын
Mbona ametaja ndugu
@user-ye3fy9kk6r2 ай бұрын
Surat Yassin ndo inaongelea kutembea kwa jua
@KhamisHaji-pw4jo2 ай бұрын
Sub-hanallah
@RajabKondo-bj5op2 ай бұрын
Asante kaka Mchambuzi
@ismailsoud36342 ай бұрын
Ni kweli. Wanadamu wajibu wetu kutii kama mfano wa jua , lenyewe kila siku linatoka mashariki linaenda magharibi, lenyewe halihitaji chakula wala maji wala petroli wala dizeli lakinii linamtii MOLA wake, iwaje wewe unaye hitaji chakula ili upate uhai barafu unakisa kumtii Mola wako. Binadamu tubadilike.
@salemaliy19632 ай бұрын
Sura tul Yasin
@MrBandari122 ай бұрын
Mashaa Allah .. Ila samahani dunia haitembei
@aboukar69m2 ай бұрын
Kaka dunia inatembeya
@MrBandari122 ай бұрын
@@aboukar69m kutokana ulivyofundishwa darasani ila you can't prove it..earth is stationary and its flat.. Do research on it
@abuubakar75942 ай бұрын
@@MrBandari12 dunia inatembea na sio tambarare kuna ushahidi mwingi tu soma boss
@MrBandari122 ай бұрын
@@abuubakar7594 nipe ushahidi kutoka katika qur an unaosema kwamba dunia inatembea Na ni round
@fidelfidel-jz4iw2 ай бұрын
Mwenyezi mungu ndio engineer mkuu hakuna yeyote anaweza hata jua yote tuna gusa gusa ujanja ujanja tu
@salumhaji32072 ай бұрын
Asalamu Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh, BARAKALLAHU FIIKUM. Kaka Kitota vitabu ulivyo viandika twaweza kuvipataje? Tujuze ama twaomba mawasiliano
@chingychingy20662 ай бұрын
Somo lako ni zuri ila kitu unakosea unaposema kuwa uislam ndo dini ya kweli..tambua kuna wa kristo pia tunaangalia kama mm binsfi uwa nakufuatiliaga sana kwaiyo mm pia nina iman yangu ya kikristo na ndo naamini dini yangu ya kweli..
@allybobsaith2 ай бұрын
hakukosea yupo kweli, dini iliokua sahihi ni moja tu ambayo ni uislam ukweli wote upo katika quran kitabu cha waisalmu
@mohammedmfamau432 ай бұрын
Kwa kukazia Allah SW anasema ;Vinamsabbih (vinamuabudu)M/MUNGU vilivyo mbinguni na ardhini na yeye ndie mwenye nguvu na hekima.
@fidelfidel-jz4iw2 ай бұрын
Waingo sayansi hasa mambo ya Africa wametudanganya mnoo