HISTORIA YA CARDINAL PENGO/AFUNGUKA MAZITO/'NIMESHAJIANDALIA KABURI/NASHANGAA MPAKA SASA NIKO HAI''
Пікірлер: 50
@frankalfredy4991Ай бұрын
Be blessed Mwadhama Pengo.
@evancekimalando77693 жыл бұрын
Natamani Mungu anipe upole na unyenyekevu wako.Mungu akupe maisha mema.
@evamringo23313 жыл бұрын
Bwana asifiwe Baba asikof .. mpokee Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako ili akuokoe asant
@pascalhamisi1246 Жыл бұрын
Mungu wetu ni mwema, aendelee kukutunza na kukulinda Baba Cardinal
@yohanekasonkwa26123 жыл бұрын
Mungu yupo pamoja nawe! Umebarikiwa
@darmodercompany2957 Жыл бұрын
Hongera kwa kazi nzuri uliyotufanyia katika kipibdi chote cha Utumishi wako. Udumu milele
@Chris-in1vc Жыл бұрын
Sujawah kumuona askofu mpole kama Pengo. Mungu ampe Baraka ya afya njema na baadae uzima wa milele
@leonardchoma18363 жыл бұрын
Pengo ni mpole,mnyenyekevu,mvumilivu na mwenye kusamehe Sana.Ndiyo maana Mungu alimteua kuwa Kadrinali 1997.
@charlesmugisha6529 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukutunza baba yetu.🙏🙏🙏🙏
@melaniachambala34993 жыл бұрын
Hakika wewe ni mnyenyekevu na mpole Sana,Mungu akupe afya njema vijana tujifunze mengi kutoka kwako baba
@starentrepreneurgeneral Жыл бұрын
Hongera Sana Baba Mwadhama Kadinali Pengo .
@davidmpiluka52243 жыл бұрын
Ahsante sana, Baba Askofu, P. K.Pengo kwa kutujuza hayo. Kwa Karama hiyo ya upole na unyenyekevu uliyo nayo, ufalme wa Mungu ni wako. Natamani sana siku moja nikushike tu mkono, naamini kwa kufanya hivyo nitakuja kuwa mpole na mnyenyekevu na hatimaye nitaurithi ufalme wa Mungu. Mungu akubariki.
@mabilekombe-lj5io Жыл бұрын
Mungu ni mwema tunakupenda sana baba yetu
@zaituniramadhani34762 жыл бұрын
Mungu ni mwema nimefurahi sana kusikia historia Yako inanitia moyo kwamba siku Moja itafika watoto wangu noeli pamoja na rafaeli watakuwa maaskofu mungu akubariki sana
@haikalyimo7693 жыл бұрын
Asante kwa kutujuza Hidtoria yako Baba
@babuloliondo74 Жыл бұрын
twende kazi kumekucha mzee vipi ushoga umetia saini papa ana semaje kuhusu tanzania
@francismigongwa61123 жыл бұрын
Amen sala na Kazi
@georgembise7234 Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu
@reginamzanje8171 Жыл бұрын
Mungu ni mwenye
@gawajohn Жыл бұрын
MWENYEZI MUNGU AKUPE AFYA NJEMA NA MAISHA MAEREFU ,BABA !!!
@ngwanajijimanon1653 жыл бұрын
Mungu akuongoze katika kutekeleza maelekezo yake.... Najua haukujichagua, alikuchagua Mungu mwenyewe. HONGERA SANA BABA WA IMANI
@neemajohn5634 жыл бұрын
Mungu akuongoze vizuri baba kweny imani yako
@joexey67183 жыл бұрын
Vp
@wencmbilango86223 жыл бұрын
Hongera sanaaa Baba Kadinali Pengo
@modestshikilana46103 жыл бұрын
Hongera! Ulikuwa na critical thinking utotoni. Mungu alikuaandaa mapema. Tumsifu Yesu Kristo
@frankkinyonge28683 жыл бұрын
Hongera Askofu
@mathiaspeter56683 жыл бұрын
Baba mungu aenderea kuku jaria àfya njemA
@mtanzaniamzalendo70013 жыл бұрын
Mungu akupe mwisho mzr
@leahmgunda50553 жыл бұрын
Pole mtumwa wa Bwana.
@gasirigwaaloyce87393 жыл бұрын
Mwenyezi MUNGU akubariki
@norbertlilungulu50183 жыл бұрын
UBARIKIWE baba!
@samwela.kasamalo21133 жыл бұрын
Mungu akubariki baba askofu
@kulwamusa39473 жыл бұрын
Asante kwa kutuhabarisha jistoli yako Mtumishi Wa jehova
@eliasmichael97813 жыл бұрын
Mungu ni kubwa Sana kumtumikia mungu kuna faida
@simontamba12853 жыл бұрын
Uwapita pakulemba tata Leza akukolelele
@charleeos15802 жыл бұрын
Mtangazaji hutoi sauti vizuri wakati wa kuhoji....unazidiwa na mzee...jitahidi kuimprove katika kada hiyo....otherwise gud job.
@mzeeclaud3 жыл бұрын
Stay positive My Cardinal. God Protect you from die to die
@mariammshana24493 жыл бұрын
Ubarikiwe baba na hongera sana baba
@TM-zs3rm3 жыл бұрын
Ni watu wa kuwaogopa hawa
@leinaamos3 жыл бұрын
Kweli wewe mtoto wamwisho na mchanga wa kwanza
@babuloliondo74 Жыл бұрын
mbona unaongea kama unajifunza kiiswairi
@zahorrashid54593 жыл бұрын
Hahahahahaha eti utumeee.jamanii kfr kwl akili hana. Duu.
@gracejohn8863 жыл бұрын
Tena koma kuita watu kafili wewe ndo kafili
@zahorrashid54593 жыл бұрын
@@gracejohn886 kafiri tn mkubwa anaedai utume mitume imepita nahaitorudi tn mpaka dunia itaisha hayo nimakafiri tuu.
@gracejohn8863 жыл бұрын
@@zahorrashid5459 wanamtumikia mwenyezi MUNGU kwa hiyo tuwaiteje kwa unavyoona wewe
@bernadetamodest61703 жыл бұрын
Kafir mwenyewe,fala kabisa,imekuuma sana umtukane?maisha yake hakuhusu nini mpaka umuite kafir?
@samsonfulgence55533 жыл бұрын
Sasa wew huku umefuata nin? Kama wew unajiona ni malaika na wenzio ni makafir si utoke kwenye platform hii uende kwa malaika wenzio? Sijui huwa mnakwama wapi yaani!
@issackchalahani12353 жыл бұрын
Mmh! Sio amejichimbia, bali huu ni utaratibu wa Maaskofu hata katika Uongozi wa juu wa Kanisa Duniani na Kaburi zao huchimbwa Kanisani.