Part 2:Tafakari Nzito ya Maisha ya Padre Pio, Pd. Patris Aelezea kwa Uchungu Kusudi la Mungu Kwetu

  Рет қаралды 34,666

Jugo Media

Jugo Media

Жыл бұрын

𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/GDS87FVmKB5...
Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+255757560764?text=NIUN...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+255757560764?text=Taar...)
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

Пікірлер: 82
@yesunimwema4497
@yesunimwema4497 Жыл бұрын
Asiye choka kumsikiriza huyu baba kiloho kama mimi,agonge like 👍hapa.
@rozkiwale912
@rozkiwale912 Жыл бұрын
Asante sana Padre nimejifunza mengi mno mafundisho ya dhambi ya kurithi inaathiri mno Mungu tunaomba utuokoe pamoja na vizazi vyetu na mababu wetu Padre Pio utuombee
@juliusmichael6191
@juliusmichael6191 Жыл бұрын
Amina
@juliusmichael6191
@juliusmichael6191 Жыл бұрын
Mtakatifu Padre Pio Utuombee 🙏
@getrudleonce8875
@getrudleonce8875 Жыл бұрын
Fr ni mara ya kwanza kusikia mahubiri yako lakini nimebarikiwa sana Mungu akutie nguvu.
@mumyhendry2919
@mumyhendry2919 Жыл бұрын
Asante Mungu kwa ajili ya Mtumishi wako!!! Ee Yesu ninakuomba nkuone leo kwa namna ambayo sjawahi kukuona🙏🙏🙏
@annamosha968
@annamosha968 Жыл бұрын
Oh! Umeomba VIZURI mno! Nami naomba kama wewe pia🙏
@user-ke2bw4dl1l
@user-ke2bw4dl1l 3 ай бұрын
Asante fr.tumeangamia kwa kukosa maarifa so nimebarikiwa sana
@josephinekessy1994
@josephinekessy1994 Жыл бұрын
Hakika nimebarikiwa sana na haya mahubiri...Mungu azidi kukubariki baba padre
@PascalinaMusungu-tt2wx
@PascalinaMusungu-tt2wx Жыл бұрын
Hongera baba kwa kutulisha neno
@cspsecurity7002
@cspsecurity7002 Жыл бұрын
Nimebarikiwa sana Father, naamini mahubiri haya yatatuacha kwrnye imani yetu ya asili. waumini wengi wanakwenda kwenye makanisa mengine pengine kufuata mafundisho na mahubiri kama haya. Nakuombea kwa Mungu aendlee kukupa nafasi yakutufungua na kuamini katika imani zetu
@dionisiabaynit2916
@dionisiabaynit2916 Жыл бұрын
Tumsifu Yesu Kristu wapendwa katika Kristu,baombeni no za Padre patrice, Mungu akutunze milele
@RufinaTairo-ph4iu
@RufinaTairo-ph4iu Жыл бұрын
Asante fr kwa mahubiri mazuri tumejifunza mengi
@mariaregulla5215
@mariaregulla5215 Жыл бұрын
Asante baba ,,nimeoenda sana mafundisho yako
@user-fj5dy9hh5v
@user-fj5dy9hh5v Ай бұрын
Father niombee mimi niko hivo na hizo roho za asili
@filmanchimbi1190
@filmanchimbi1190 Жыл бұрын
Padre Mungu akulinde Sana nimependa mahubiri yako sanaa
@DorcasMueni-sv1nh
@DorcasMueni-sv1nh 11 ай бұрын
Mafundisho mazuri, Asante
@afrikanshayo5903
@afrikanshayo5903 Жыл бұрын
Asante sana father,god may be with you.
@judykwoba9024
@judykwoba9024 Жыл бұрын
Asante fr Kwa mahubiri,imenijenga sana
@JasperDavidMugambi
@JasperDavidMugambi 5 ай бұрын
kweli maisha ni vita bila kisubaa/ kulala,,,nakubali
@fredybwaifrednand4888
@fredybwaifrednand4888 Жыл бұрын
Nimeguswa sana .. Ubarikiwe Fr
@winjoymakena2864
@winjoymakena2864 Жыл бұрын
Fr u are a blessing to me. Watching from Kenya
@verdianamtalo7739
@verdianamtalo7739 Жыл бұрын
Ukweli Padri Pio nimemtumia sana katika maisha yangu na mengi nimebarikiwa sana. Ubarikiwe sana Padre kwa maubiri mazuri.
@rozkiwale912
@rozkiwale912 Жыл бұрын
Fr hongera sana kweli una kitu cha ziada Mungu akubariki sana umtume wako uzidi kutuombea na kutufundisha daima
@remijilasana3383
@remijilasana3383 Жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na mahubiri haya kuhusu sala.
@enockkomba2295
@enockkomba2295 Жыл бұрын
Barikiwa father Mungu akukuze zaidi na huo utukufu wa Mungu isiondoke kwako
@maniratungageorge6797
@maniratungageorge6797 Жыл бұрын
Asant sana Mutume wa Yezu
@jenipherkyando4822
@jenipherkyando4822 Жыл бұрын
Asante mungu kwa kumleta mtumishi wako. Baba patirs unakusudi na kanisa lako nina uhakika.
@kiraeugene2920
@kiraeugene2920 Жыл бұрын
Asànte sana baba uko vizuri
@tmasingida2392
@tmasingida2392 Жыл бұрын
Hakika nimeguswa na kuhisi kupata upako Mtakatifu. Mungu abariki utume wako Baba Padre...!
@fratelltutiilaudatosi4153
@fratelltutiilaudatosi4153 Жыл бұрын
Baba ubarikiwe sana kwa mahuburi yako yamenifanya kuikomaza imani yangu
@beziarwongezibwa7980
@beziarwongezibwa7980 Жыл бұрын
Fr. Mungu akubariki sana. Nimejifunza sana juu ya maisha yangu. Nahitaji kutafakari zaidi na kumwomba Mungu sana kufunuliwa katika hili
@yolandaliyoya1839
@yolandaliyoya1839 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana Fr.
@benedictampery3275
@benedictampery3275 Жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu, nimejifunza na kufarijika sana kusikia mfano wa familia yangu unafanana na huo wako sioni aibu tena kumshuhudia Kristo
@ellumziray2952
@ellumziray2952 Жыл бұрын
Father ubarikiwe sana
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 Жыл бұрын
Asante sana BABA umenifundisha vitu vingi sana Mungu akubariki
@paulmichael5811
@paulmichael5811 Жыл бұрын
Mungu akubariki Fr kwa mafundisho yako mazuri
@astridahkatalyeba4611
@astridahkatalyeba4611 Жыл бұрын
Fr,ahsante kwa ujumbe huu....vita ya kiroho inatuangamiza...tunahitaji tumurudie Mungu ...hakika una kitu ndani yako Mungu akubariki sana... Nimebarikiwa mno ...
@benezethlukubah8569
@benezethlukubah8569 Жыл бұрын
Àsante sana Baba umekuwa Baraka kwangu ubarikiwe Sana
@jenipherkyando4822
@jenipherkyando4822 Жыл бұрын
Asante sana fr ni mengi jimejifunza
@emmanuelshayo4703
@emmanuelshayo4703 Жыл бұрын
asante fr. tunakupata vizuri kutoka nchi ya Pwani ya pembe
@christinasamwel8691
@christinasamwel8691 Жыл бұрын
M/Mungu akuweke injili yake ienee Duniani kote🙏
@lilianmnabwiru7074
@lilianmnabwiru7074 Жыл бұрын
Powerful homily thanks Father Patrice.God Bless you
@juliusmmbaga82
@juliusmmbaga82 Жыл бұрын
Hii ni changamoto kubwa ndani ya watu wengi wanateseka, watu wengi wanahitaji msaada wa kiroho sana,nimeyaona yote hayo katika huduma.ongera sana, Mungu hazidi kukutumia sana
@alfredshirimaatatztunaunga4000
@alfredshirimaatatztunaunga4000 Жыл бұрын
Amina baba Mungu akuongezea kila mbinu za aina zote ili uwasaidie watu wengi.
@marierobert42
@marierobert42 Жыл бұрын
Hongera Baba Kwa mafundisho mazuri
@bryanmuoki6250
@bryanmuoki6250 Жыл бұрын
Full of wisdom
@josephinegravasiano8860
@josephinegravasiano8860 Жыл бұрын
Amen be blessed padre
@myalanity5207
@myalanity5207 Жыл бұрын
AAAMINA KUBWA FR.
@paulmuli1768
@paulmuli1768 Жыл бұрын
How can reach you father, tunabarikiwa sana na maubiri yake
@harounclaude2263
@harounclaude2263 Жыл бұрын
Mafundisho mazuri sana
@getrudemassawe3400
@getrudemassawe3400 Жыл бұрын
Asante sana Baba. Ni kweli kabisa.
@generosakinemo5490
@generosakinemo5490 Жыл бұрын
Nafarijika sana kwa mafundisho haya. Natamani kuona mapadre wengi wakifundisha mafundisho ya kina na pia huduma za kututoa ktk asili zetu Fr Mungu akubariki na kukuongezea siku. Machungu ya kuondokewa na marehemu padre Saba yanapungua.
@aloycemchuo7687
@aloycemchuo7687 Жыл бұрын
PADRE PATRISI,AKSANTE,NINACHO KUOMBA.MAHUBIRI YAKO KWENYE MTANDAO USITOKE
@namkundamkumbwa8370
@namkundamkumbwa8370 Жыл бұрын
Mim n kkt ila nmebatikiwa mno na baba padr...safi hata wewe mungu unaye
@upendoeliudi5196
@upendoeliudi5196 Жыл бұрын
Thank you, God bless you father ,umekua mbaraka mkubwa sana kwangu
@rockyndiribango1627
@rockyndiribango1627 Жыл бұрын
Mungu azidi kumbariki Fr Patris
@japhetpeter6123
@japhetpeter6123 Жыл бұрын
Asante sana
@dionisiabaynit2916
@dionisiabaynit2916 Жыл бұрын
Amina
@fellytemba9064
@fellytemba9064 Жыл бұрын
Ama kwa hakika umetuinjilisha vema sana.Zidi kutuombea tupate kumjua Kristu aliye hai.
@beatricekavenuke5591
@beatricekavenuke5591 Жыл бұрын
Asante sana Mungu
@epifanassenga8595
@epifanassenga8595 Жыл бұрын
fr you tube account please
@pancrasiafelisian5389
@pancrasiafelisian5389 Жыл бұрын
Naomba no ya huyu Padre
@ellumziray2952
@ellumziray2952 Жыл бұрын
Naomba no ya Father Patris plse
@japhetmnyeta1076
@japhetmnyeta1076 Жыл бұрын
Yes,maisha MENGI hayana kusudi na mwovu anaiba kusudi hizi akitudanganya na asili zetu.Asante MUNGU Kwa huyu mtumishi wa mungu
@lilianmutimba8245
@lilianmutimba8245 Жыл бұрын
How can we reach there
@marymusembi9266
@marymusembi9266 Жыл бұрын
Naomba namba na huyu padri please...how can I get it?
@paulmuli1768
@paulmuli1768 Жыл бұрын
Amina fr naomba namba yako father
@jeremiakalumbete1131
@jeremiakalumbete1131 Жыл бұрын
ni somo zuri sana father analitoa naomba kujua anapatikana parokia gani father Patris
@csato9415
@csato9415 Жыл бұрын
Anahudumu katika parokia ya Yohane mtume, na mwinjili - Tegeta
@enockkomba2295
@enockkomba2295 Жыл бұрын
Tegeta
@bryanmuoki6250
@bryanmuoki6250 Жыл бұрын
How can I reach that priest?
@annasanga733
@annasanga733 Жыл бұрын
Ee Mungu Baba tuokoe na dhambi za urithi
@greenlife7189
@greenlife7189 Жыл бұрын
Nawezaje kupata mawasiliano ya huyu Padre Patris?
@JugoMedia
@JugoMedia Жыл бұрын
Tafadhali tutafute kupitia namba iliyopo kwenye bio tutakutumia
@aristidestarimo5543
@aristidestarimo5543 Жыл бұрын
@@JugoMedia Nahitaji hicho kitabu kinachozungumzia maisha ya mtatifu pia, lakin pia kina Sala nyingi Sana
@theresialudovick5614
@theresialudovick5614 Жыл бұрын
Baba padre Mungu akulinde akupe afya njema, uendelee kutulisha neno la Mungu tuweze kuokoa familia zetu kwenye mikono ya adui , karibu roho mtakatifu utufumbue mioyo yetu tuweze kilisikia neno lako sikuzote zamaisha yetu............
@mozesjoseph7630
@mozesjoseph7630 Жыл бұрын
Asante.tatizo. Waumini. Wengi. Hawajasoma. Uerewa. Ni. Mdogo. Erimu Tanzania. Mbovu. Hubirini. Kwanza. Erimu. Ya nchi hii. Iwe. Nzuri.iri. Mpate. Waumini. Waerewa. Shida. Nchi. Yetu. Shure. Hazina. Ubora. Ndoo. Maana. Waumini. Munahubiri. Sana. Rakini. Hawaerewi. Kwasababu. Hawajaenda. Shure. Hubirini. Kanza erimu
@josephanthon8037
@josephanthon8037 Жыл бұрын
hubiri wewe elimu kila mtu amepewa karama take umeelewa,Mozes Joseph?Mwache mtawa apige Neno
@protasrubaba2772
@protasrubaba2772 Жыл бұрын
Kwani Bwana Yesu alipokuja ulimwenguni alianza kuhubiri elimu kwanza? Huu ndio utume wa huyu Baba, waache wafu wawazike wafu wao.
@marymghanga4817
@marymghanga4817 Жыл бұрын
Mungu akubariki Baba tuombee tumshinde shetani
@paulmuli1768
@paulmuli1768 Жыл бұрын
Mimi ni mkenya
SEHEMU YA 1 | ASILI YAKO NA MADHABAHU  |  Pd. PATRICE NDEMASI
53:34
The Servant Media
Рет қаралды 2,2 М.
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 4,2 МЛН
这是王子儿子吗
00:27
落魄的王子
Рет қаралды 20 МЛН
Askofu Mkuu Nkwande alivyomnasa Frater feki Mwanza.
8:53
Radio Mbiu
Рет қаралды 42 М.
Shangwe la Kujivunia MKATOLIKI Kwaya ya Mt. Yohane Paul II - Kurasini | Dominika 16 Mwaka B
8:26
Kwaya ya Mt. Yohane Paul II - Kurasini
Рет қаралды 696
🔴#LIVE:23/02/2023 | KUVUNJA LAANA YA UMASKINI : PR. DAVID MMBAGA
1:01:59