dah, nimemkumbuka sana raisi wangu JPM, pumzika kwa amani
@radhiasalum71563 жыл бұрын
Hongera Rais wangu. Mola akutangulie kwenye kazi zako🙏🙏
@suleimanhassan66243 жыл бұрын
Mungu akumpe mahono yakuifanys kazi yawana hichi kwauuwaminifu nabils ubanhuzi wadin Wala wskabila mungu akpe uzima,
@teacherd3 жыл бұрын
JINSI YA KUFAULU MTIHANI WAKO BILA KUSOMA kzfaq.info/get/bejne/gNpgostls9G6lmQ.html
@zainabujuma72523 жыл бұрын
Tunakupenda Baba Magufuli go go go Ikulu yako ningekuwa na Amri ningekupa 20 kabisaa
@latifapolena76493 жыл бұрын
Mungu akupiganie
@juliethhouseofdesigns1473 жыл бұрын
Hongera sana Raisi wangu Mungu akusimamie katika utumishi wako.
@KM-hx8zy3 жыл бұрын
Mwanangu Joseph, Kazi njema na Mungu akutangulie, usibadirike, moyo wako ni mkarimu kwa watu wako. Mungu akushike mkono wake!!
@bernakajoro40833 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akulinde na kukuongoza kiongoz wetu mpendwa ,uliebarikiwa na mungu,mungu awajalie saana viongoz wetu,tunawapenda tunajivunia kuwa na ninyi kwani mfanyanya Mambo makubwa mazur ndani ya nchi hii,tunategemea makubwa Zaid mazur,tunawakubali saana.amina.
@rehemashabhay22053 жыл бұрын
Mh Rais wangu hongeraaaa sanaaa.mwisho wa yote ushindi tumepata Mungu ni mwema. Alhamdulillah Molla ni muweza wa yote.
@mluziwajini4734 Жыл бұрын
Endelea kupumzika vyema hakuka mwendo umeumaliza
@karirekinyana97593 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏👏Asante Mungu Magufuli kweli wewe siomutumishi wawa Tanzania pekee pia wewe nimutumishi wa Mungu Mwenyezimungu akujalie nakukupangufu watuwa Danmark tunagupenda sana Congratulations 🤝🤝🤝🤝🤝
@alexmilalu30313 жыл бұрын
Hongera Rais
@johnmasalumasalunjire58873 жыл бұрын
Hongera Magufuli Mungu akuriend
@annadotto24293 жыл бұрын
Kura yangu haijapotea wa sijakosea kukuchagua, hongera sana Rais wetu Mwenyez Mungu azidi kukulinda, wanaosema wameibiwa walikuwa wap wakat wana ibiwa?
@lilianpabro55113 жыл бұрын
Hakika umenena
@petershayo522727 күн бұрын
Rest in peace Baba tutakukumbuka milele😭😭
@user-un3df1sl2h3 жыл бұрын
Mungu akuweke raisi wetu
@fredymgina84043 жыл бұрын
Wakwanza leo jmn team jpm like zetu hapa 😍
@uwezowamunguutendaokazi30433 жыл бұрын
AMEN AMEN. MUNGU MKUU AKUBARIKI NA KUKULINDA RAIS MAGUFULI NA HEKIMA YA MUNGU MKUU IWE JUU YAKO.BARIKIWA MAMA YETU. AMEN.
@nkambapunguja15193 жыл бұрын
Mungu akulinde rais wangu Magufuli 🙏🙏🙏
@petersabai68013 жыл бұрын
Hegeraw sana mh jhon pombe magufuri kwa ushindi wako
@peterandrew279510 ай бұрын
Pole sana baba yangu
@rumb96913 жыл бұрын
Nyumbani kumenoga 🇹🇿
@raqikhalf64153 жыл бұрын
Utabaki kua raisi wa tanzania hakuna wakukupinga
@haithamalharthy683 жыл бұрын
Allah akusaidiye JMP. una apa kwa makini. MUNU akusaidiye
@deborahdeogratius44473 жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki kukulinda na kukutunza
@haithamalharthy683 жыл бұрын
Mama SAMIYA ALLAH akubariki na akusaidiye inshaAllah
@sophiamalinga183 жыл бұрын
Watz wamekuonyesha jinsi gani hawakutaki
@user-rd7jt1vi5x3 жыл бұрын
Kama humtaki ni wewe usiseme Watanzania wote hatumtaki sisi bado tunamhitaji sana wewe nenda kajifungie ndani kwako kimya
@toxicharmful49383 жыл бұрын
Walifumbwa ubongo tuwaache watajuta wenyewe
@lilianpabro55113 жыл бұрын
Humtak wew c wote
@magrethmussa64043 жыл бұрын
Chapa kazi baba tunakuaminia
@kusinayusuph39493 жыл бұрын
Hongera Sana Raisi wangu niliekuchagua mwenyewe
@uwezowamunguutendaokazi30433 жыл бұрын
Bado nasema yanga wabadili jezi. Hii njano ibaki ya Ccm tu.
@lomayanilaiza82053 жыл бұрын
Jemn President of naona unakula kiapo bythewei ngai 2mikia inch vizr
@sophiamalinga183 жыл бұрын
Mungu ameshamkataa ndio maana kura za wizi zimeonekana bado umelazimisha utangazwe umeshinda hakika Mungu atakupiga mchana kweupe
@toxicharmful49383 жыл бұрын
Watanzania tutaibiwa mpala mwisho kama kura zinaibiwa nn hakiwezi ibiwa
@melkizedekiwiliam55333 жыл бұрын
Kuna uthibitisho wa kuibiwa kura? Au ni kusikia tu ya mtaan
@josephinanikwelimdacki33303 жыл бұрын
Hongera rais wetu
@ayishaayisha80533 жыл бұрын
Amina yarabi allah akungoze
@christinebelinda34983 жыл бұрын
Congra JPM💝💝💝💝
@eliachniyonkuru97973 жыл бұрын
Congratulations DKT JPM GOD be with you!! Voice from Burundi
@linetwafula71073 жыл бұрын
Rip president magufuli
@ChangchunRealstateDragon3 жыл бұрын
Pumzika baba
@herieltadeus47223 жыл бұрын
Ongera baba munga akupe hekma kubwa kwa kuongoza taifa letu
Allah Hana sifa kama ya binadamu Allah anasamehe mpaka washirikina ambao Allah alisema anasamehe dhambi zote ila ushirikina tu ndie aliahid hatowasamehe washirikina basi kwa hiyo mdomo wako huwezi muingiza mtu motoni Wala peponi angalia yako wewe huna dhambi wewe
@rukundoibrahim8073 жыл бұрын
MASHA ALLAH.
@natariaboniphace71273 жыл бұрын
Kula yangu imenipa furaha.
@phylis14643 жыл бұрын
Leo hii ni marehemu😭😭😭
@cliffkidd_3 жыл бұрын
R.i.p JPM
@wangariann60443 жыл бұрын
Siningekuwa mtazania aki ama nihame Kenya nije TX huku hakuna upuzi
Hakuna mwanadamu anaekaa kikao na MUNGU juu ya wanadamu chini ya jua
@mangeleoporod27043 жыл бұрын
Imeandikwa wapi iyo wewe mwenyewe apo hujui utaenda motoni ama kwenye laha ya milele ndo uhukumu mwenzako
@matendupiterngoge8707 Жыл бұрын
Umefanya kosa kubwa sana kumuhukumu mtu akiwa hai kua yeye nimtu wa motonn nadhani wewe unaweza kua huujui uislamu kabisa unachukua mamlaka ya Allah ya kujua mtu wa motonn na WA peponإسغفرالله يا رجل
@noonelike63823 жыл бұрын
Hv yule CHIBA amehudhuria kweli hii shughuli 😄😄😄😄😆😆😆😆
@rosejoseph22283 жыл бұрын
Hahaha hahaha
@rehemasalim45903 жыл бұрын
Bora umeziba tundu
@toxicharmful49383 жыл бұрын
Kama baba anashinikiza watoto wake wote wawe na vyeo familia gani zinatengenezwa hapo na maendeleo gani yatapatikana bila changamoto mfumo wa vyama vingi unaovunjwa huo tutajuta
@lewismugo40703 жыл бұрын
kweli kabisa hakuna vile anataka chama chake tu kwa mbunge hakuna maendeleo.
@lilianpabro55113 жыл бұрын
Mtanyooka
@toxicharmful49383 жыл бұрын
@@lilianpabro5511 na mamaako pia ngoja tuwaache simnajifanya fyatu
@lilianpabro55113 жыл бұрын
@@toxicharmful4938 Et ee c fyatu n tunajielewa nyie mtaponda mwisho mtaacha tu amna jipya hapo tushazoea na mitano tushaampa afu kuhusu mama co unaechat nae plz heshima ifwate mkondo wake
@lewismugo40703 жыл бұрын
@@lilianpabro5511 mwenye kuumia ni sisi wanainchi, hii ndunia hakuna inchi iko na chama moja kwa mbunge labda kwa dictator maendeleo hakuna hapo.
@dsagagang38023 жыл бұрын
Ushuru wa mbuzi kutoka 3000 hadi 6500 tutaisoma wote
@kiyabolnjemu96463 жыл бұрын
Waanbie webzakoooo
@paulbaynet13963 жыл бұрын
Na bado yatatukuta sana
@dogoibrah59023 жыл бұрын
wapili leo jamana samahani sana kwa usumbuf na poleni na kazi ila naomba unisaidie ku subscribe KZfaq channel yangu na kushare ku comment please jina dogo_ibrah