Ibada mubashara kutoka Huduma ya Reality of Christ iliyopo Sinza Mori Dar es salaam inayoongozwa na Mtumishi Sunbella Kyando - +255 657 173322 #Sunbella_Kyando #ROCTV
Пікірлер: 125
@HeriethJoseph-cd8vk3 ай бұрын
Nakataaa roho ya hofu ndani yangu Kwa jina la yesu😢
@anuaritemanegabe9554 жыл бұрын
Mimi nikingali na fwata mafundisho hii m 2020.wandungu wapedwa kama umikumbali neno la mungu wetu aliye juu binguni gonga liki nauseme AMEN 🙌🙌
@neemamshiu1165 Жыл бұрын
Ameen
@zaudamwaisanila91502 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu, kiukweli nimejifunza na sitakuwa na hofu tena kwa jina la Yesu kristo wa Nazareti aliye hai
@annandossi10223 жыл бұрын
Asante sana Mtumishi 🙏🏾 kuanzia leo nakataa hofu kwa jina la Yesu.
@FurahaMuhindi-ti2gt6 ай бұрын
Nakataa roho ya hofuu kwa jina la Yesu 🙏🙏 Barikiwa mtumishi wa Mungu
@Queen..1133 жыл бұрын
Yesu nisaidie hii roho iondoke ndani yangu. Katka jina la Yesu Kristo
@edwardselekaroba55343 жыл бұрын
Mamb
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Mungu aniokoe na shimo na hofu natiwa nguvu na maombi YAKO.
@emmanueltwaha14893 жыл бұрын
Mungu akubariki Mtumishi, nabarikiwa sana na mafundisho yako.Nakupenda Baba.
@lovepower99082 жыл бұрын
Thank you GOD for bringing him to us
@user-qo8tm4sn3s8 ай бұрын
Eeh mungu niondolee roho ya hofu baba umeniguza
@user-id9gs6pg6x7 ай бұрын
Eee mungu baba niondolee roho y hofu maishani mwangu
@lulungatumbura26908 ай бұрын
mungu naomba nitoe hofu moyoni mwangu
@felixjoel32105 жыл бұрын
We mtumish ninoma on mekupabigapuuuuu !!!thenks .
@anthonybaisi2461 Жыл бұрын
Asante Sana mtumishi wa mungu umenijenga kiimani
@elizabethmarandu50432 жыл бұрын
Mungu naomba uniondolee hofu katika maisha yangu. Nimebarikiwa sana mtumishi wa mungu 🙏🙏🙏🙏🙏
@mokembo2channel564 Жыл бұрын
Naomba mungu uniondolee uwoga ndio niweze kuwa na confident nifanye kulinga na mapenzi yako
@joycekariuki462 жыл бұрын
Great message mtumishi tuned in from Seattle
@user-id9gs6pg6x7 ай бұрын
Ninaikataa roho ya hofu kwa jina la yesu kristo
@tessadams32462 жыл бұрын
Nabarikiwa na mafundisho yako kila siku katika mitandao ...kupitia mahubiri nimekombolewa na kupokea uponyaji
@marianaselestine1458 Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu, namuomba Mungu anisaidie kwa sababu nasumbuliwa na roho ya hofu. Niombee nipone kwa jina la Yesu Kristo.
@lovenessrichard996911 ай бұрын
Naikatakata roho ya hofu ndani yangu katika jina la Yesu Kristo ianguke chini Kama umeme
@beautylawrence58292 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana umetibu moyowangu
@user-bo2tc4fu9z8 ай бұрын
Asante mtumishi
@joycethadeo66352 жыл бұрын
Mungu akubariki sanaaa baba nimebarikiwa mnoo
@emmanuelbernard86283 жыл бұрын
Ubarikiwe baba Nmevuka Amen🙏🙏
@officialgabriel75352 жыл бұрын
A True servant of God,,thank you for the word ..am Gabriel from Kenya..
@loycegodson7754 Жыл бұрын
Barikiwa Sana pastor... Unanivusha...
@martinmwamlinda3181 Жыл бұрын
Huyu msomaji wa Biblia yuko vizur sana anasoma kwa suit nzuri mno, abarikiwe sanaaa
@gospelguest694 Жыл бұрын
Angalia shetani asije kukusemesha neno lingine Kwa kutafakari hiyo sauti. 🙈🙈
@furahaa1232 жыл бұрын
Mungu akubariki xna kw kufndixha hili somo kwanzia leo hi hofu imeixha kw jina la yesu wa Nazareth
@azzyhalid2112 жыл бұрын
nakalikiwa sana baba Mungu akubaliki
@zuenahamoud15322 жыл бұрын
Libarikiwe tumbo la mama aliekuzaa
@leonardsr89942 жыл бұрын
Hili somo linanihusu 100% naomba Roho Mtakatifu anisaidie
@florencekwamboka9717 Жыл бұрын
I get the point, good massage God bless you 🙏
@isabelavictor99642 жыл бұрын
Nakemea roho ya hofu katika Jina la Yesu Amen 🙏
@gabriellyimo71322 жыл бұрын
Amen
@sophisued18032 жыл бұрын
Amen
@florencekwamboka9717 Жыл бұрын
Thank you, God bless you 🙏
@mosesmnyantope9534 Жыл бұрын
Aminaa kubwa naomba mungu nami nitoe hofu
@elizabethmarwa40212 жыл бұрын
Asante Mtumishi Kuanzia Leo nakataaa Roho ya Hofu maishani Mwangu
@enoceruganga54354 жыл бұрын
Nakusoma mtumishi I see breakthrough
@jerubetjoan20 Жыл бұрын
Thank you God for your good servant.
@chrismwesiga23345 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi,umenitoa sehemu.
@aishambise65292 жыл бұрын
Nashukuru mtumish w mungu nikoivyo kwanzia sasa mungu niondolee ofu
Hali hii imenitesa Sana YESU nivushe sasa nakusihi
@mackmillan90404 жыл бұрын
Kwel kabisaaaa,, Mungu WA mbinguni azidi kujubariki
@leokadiamdeke17652 жыл бұрын
Amina lazima nipone na hofu maana nihofu na roho ya mauti kuanzia muda huu nafuta kwa damu ya yesu kristo
@tangadvstangacity9014 жыл бұрын
Hofu anajua tuyawazayo naye hufanya kazi yake kwa kutizama mawazo yetu NAIKATAA HOFU KWA VITENDO KATIKA JINA LA YESU
@faithmsemo82024 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi🙏 Hili somo limefanyika baraka na litaleta mabadiliko makubwa katika maisha yangu..
@joannelson11372 жыл бұрын
This is more than 💎💎🎓🎓 thanx God for give us your servant.🙌🙌🙏🙏
@richardhaule12675 жыл бұрын
Nakusikiliza katika Tunduma Nahitaji mawasilianono na wewe kwa mda sasa,skupati naongea na wasaidizi wako tuu,nijulishe kama kunautalatibu mwingine wakuweza kukufikia,na Mungu akubaliki sana Mtumushi pindi utakapo nipatia coneksheni ya kuwasiliana nawe
@carolinetalam58325 жыл бұрын
Nice teachings am really blessed
@dastanmboera84452 жыл бұрын
I love your teachings MOG
@annafrancis26292 жыл бұрын
Nimeelewa baba mungu anisaidie
@ezekielmwansasu4 жыл бұрын
Be blessed always @reality of Christ ministry
@GNSSAfrica3 жыл бұрын
Great message.Be blessed.
@professorcaleb84593 жыл бұрын
Asante kwa hili somo
@angeloelia64452 жыл бұрын
Ubarikiwe sanaaa mtumishi...
@amazonsecurity53592 жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi wa MUNGU
@starluzenja98612 жыл бұрын
I have been so blessed.God bless
@mariamfrank97952 жыл бұрын
True Man of God
@siakiwelu32553 жыл бұрын
Nakataa roho ya hofu ma woga kwa Jina la Yesu
@neemamchelema2542 жыл бұрын
Ameen
@crepinakatundu18312 жыл бұрын
Amina.Mtumishi wa Mungu.
@jansidorkas27495 жыл бұрын
Asante dada kwakunielimisha nisha kupata vizuri
@evelynmavura73374 жыл бұрын
Nakushukuru baba kwa neno limenibariki sana
@mcmteule34463 жыл бұрын
Amina baba nime pona leo
@wangarijane16692 жыл бұрын
Such deep truth can only be inspired by the Holy Spirit
@muhsinyahaya58223 жыл бұрын
Appreciate
@leytcastle94022 жыл бұрын
Somo Kubwa sana Nakushukuru sana Mtumishi wa Mungu endelea kutufungua
@realityofchristchurch2 жыл бұрын
Amen, Mungu atukuzwe sana 🙌
@leytcastle94022 жыл бұрын
@@realityofchristchurch Ibada inaanza saa ngapi na kwisha saa ngapu siku ya kesho?
@victorchami96145 жыл бұрын
Mtumishi tunabarkiwa sana. Mungu azidi kukujaza ufahamu.
@joycetematema13242 жыл бұрын
Naikataa hofu kwa jina la Yesu
@safiaseifhamad41005 жыл бұрын
Thank you for the lesson May God bless you abundantly I hope I shall be able to stand out with much strength and fight the unknown to the known
@anaaanick41872 жыл бұрын
Amen Ameen 🙏🙏🙏
@annaclement2723 Жыл бұрын
Sitokuwa na hofu tena kwajina la yesu
@veronicasadi38535 жыл бұрын
Aminaaaa Pastor, napokea kutoka Songea, nabarikiwa sana kwa mafundisho yako, barikiwaaaa
@MWALIMUCHAKATV2 жыл бұрын
Ayubu 3:25 [25]Maana jambo hilo nichalo hunipata, Nalo linitialo hofu hunijilia. For the thing which I greatly feared is come upon me, and that which I was afraid of is come unto me.
@ronaldsariah87604 жыл бұрын
Mtumishi ubarikiwe sana. Sijutii kukufahamu kupitia Chomoza. Nakosaga raha nikikosa mb. Ila ile namba ya group la whatsap nilituma sms lakini haijasomwa mpaka leo. Natamani kujua kanisani kwako
@newgeneration95243 жыл бұрын
Hivi kuna group la kupata mafundisho, kama lipo namimi nataka kuungwa
@vicentedwin49854 жыл бұрын
Umenifundisha kitu kikubwa sana Mungu Akubariki Mtumishi
@azizamtoi34682 жыл бұрын
Nilikuwa naombaga kila siku nipate mtumishi atakayenifundisha nimjue mungu.asante mungu kwa hii zawadi.ata nimalize bando kwa ajili yko sijutii
@sweetygodfrey65552 жыл бұрын
Nakata roho ya hofu kwajina la Yesu
@jamesninalwo48724 жыл бұрын
Ni kweli kabisa hofu uleta kushindwa juu ya jambo fulani
@ChancyLuhasa5 жыл бұрын
Hata daudi alishikwa na hofu. Alipo jigeuza mwendawazimu. Na alikimbia sauli. Pia akakimbia mtoto wake absalomo. Una fundisha vizuri ila kuna hofu amboa siyo mbaya.
@farajamoses74862 жыл бұрын
Hakika nimejifunza SoMo zuri
@emmanueltycoonpreneur32245 жыл бұрын
Asante Mtumishi kwa somo
@gladysmuhonja23422 жыл бұрын
Amen
@muhsinyahaya58223 жыл бұрын
Somo zuri hkk limenifnza
@janemarcus36652 жыл бұрын
🙏🙏
@RoseRose-vf5km4 жыл бұрын
Nime jifuza sna
@josephpetro84553 жыл бұрын
Ubarikiwe Mtumishi naitwa Mch Joseph petro kutoka mwanza.Nimeandika kitabu kinachoitwa shinda hofu ishi kishujaa na kimepokelewa vizuri sokoni.Natamani kuongea na wewe somo hili limenibariki sana 0754588198 ndio namba zangu
@realityofchristchurch3 жыл бұрын
Wasiliana nasi kwa simu namba 0657173322
@ChancyLuhasa5 жыл бұрын
Kwenye tatizo yote hofu inaondoka wakati Mungu anakupa ufunuo. Ila mwenye pepo ya hofu ni lazima apate ukombozi
@joelshija41845 жыл бұрын
Kama umemsikiliza vizuri mpendwa hofu inayouzungumziwa ni roho kamili
@mnembachambuya49563 жыл бұрын
Hio FEAR OF UNKNOWN roho wake mharibifu anakuja kuharibu nini kwenye maisha ya mhusika?
@everlineeva5943 жыл бұрын
Nakata kwa jina la YESU KRISTO,hofu inihondoke kwa maisha yangu 🤺🤺
@godlivermushi69302 жыл бұрын
Nimepokea kwajina LA Yesuu
@neemabobilya89783 жыл бұрын
Mungu akubariki unatufungua akili sana
@evaristeridrisser51532 жыл бұрын
Lipo wapi ili kanisa I want to join tafadhali nijulishwe
@realityofchristchurch2 жыл бұрын
Kanisa lipo Dar es Salaam, Sinza Mori karibu kabisa na ofisi za TAMWA. Karibu sana.
@kamobcooler10772 жыл бұрын
Mchungaji 🙏🙏🙏🤝🤝🤝🤝 (ila usiwe kama BULL-DOZA) 🤪
@ChancyLuhasa5 жыл бұрын
Ayubu aliongea hivyo, kwa sababu hakujua kama ni Mungu aliruhusu yale matokeo yote.
@joelshija41845 жыл бұрын
Ndiyo mana tunafundishwa tunamuhitaji sn Roho mtakatifu
@jansidorkas27495 жыл бұрын
Mimi fungu lakumi natoa nanimiti jinzi mandiko inasema sisengenyi. Sitharu sisemi huongo but simbariki niko palepale tu kuamini nimeani mpaka nimechoka sasa ata kuamini sasa
@shelmmahmegulin6465 жыл бұрын
Ubarikiwi kwa sababu unatoa hili ubarikiwe hutoi kwa moyo
@safiaseifhamad41005 жыл бұрын
Imani yako ndio tatizo kwako. Yaani namaanisha kinywa chako, nafsi na ubongo/akili yako vinapishana wakati wa maombi
@mbokalugano50605 жыл бұрын
Hama iyo madhabahu uliyopo
@movietheatresherrif70854 жыл бұрын
Biblia inasema watu wangu wanaangamizwa kwakukosa maarifa yawezekana huna maarifa ndio maana unaangamia na kumcha bwana ndio chanzo cha maarifa ndugu
@leytcastle94022 жыл бұрын
Baraka ni kuwabariki wengine! Baraka zako unapata ili uwabariki wengine ndio maana hukosi fungu la kumi! pia usijione mkamilifu mbele za Mungu
I wish ningepata mafundisho hayo miaka 9 iliyopita😥😥😥
@ronaldsariah87604 жыл бұрын
Mtumishi ubarikiwe sana. Sijutii kukufahamu kupitia Chomoza. Nakosaga raha nikikosa mb. Ila ile namba ya group la whatsap nilituma sms lakini haijasomwa mpaka leo. Natamani kujua kanisani kwako