SEMINA YA ''FAMILY DELIVERANCE'' MWANZA 15/03/2019 - 17/03/2019 KUTOKA HUDUMA YA REALITY OF CHRIST MINISTRY (Sinza Mori, mkabala na Ofisi za TAMWA) INAYOONGOZWA NA MTUMISHI SUNBELLA KYANDO.Kwa mawasiliano 0657 - 173322.
Пікірлер: 184
@puritypsinen92672 жыл бұрын
I'm so blessed with this message, niombie Mtumishi wa Mungu nichomoke niende ng'ambo.Nimekataliwa mara mbili kwa embassy lakini ninaamini baada ya kusikia hili neno nitarudi na ushuhuda!!
@josephinejumba99232 жыл бұрын
Faileur of my progress,,, marrige,, and busines,,, today am getting out of this trap in jesus name
@neemamgendi13892 жыл бұрын
Mtumishi nimekuelewa,Hawa akina shimei ni wengi Sana ktk maisha yetu.
@doryomary7322 жыл бұрын
Amina nimeguswa nimeliA MUNGU ANIVUSHE
@GodsgloryhasRisenonme2 жыл бұрын
Bwana Yesu tufungue kutoka kwa hii kifungo.Maisha yeti yamekwama kwa sababu ya minyororo....Bwana Yesu tumechoka tufungue kwa sababu wewe tu ndio unaweza! Asante Roho mtakatifu kwa masomo haya.....Asante sana Yesu Asante Yesu kwa sababu ya mwanzo mpya!Asante kwa sababu tumefunguliwa
@frankmushi88922 жыл бұрын
Amina nami nimefunguliwa piyaaa
@eunicemuigai53842 жыл бұрын
Am from Kenya be blessed dad keep on preaching so that we delivered
@petermghanga76342 жыл бұрын
Amina .... Neema ya Mungu izidi kuwa juu yako, mafundisho yako yanafunua.
@josephinejumba99232 жыл бұрын
Amen Amen ibelieve to b delivered from poverty,, and relationship,,
@linetflorah68712 жыл бұрын
Amen daddy much love from Kenya 🇰🇪 🇰🇪
@user-vt4wj1fr2c7 ай бұрын
Mungu anakutumia sana mtumishi na haya mafundisho yana pumzi ya uzima🙏
@user-bm8fw4vs7j4 ай бұрын
Amina Mungu namimi nifunguwe kwenye vifungo vyafamilia
@janelaflin22152 жыл бұрын
Asante baba leo nimejua maana halisi ya kufunguliwa..umetisha baba Kuna kitu nimefunguliwa ghafla..nikupate wapi nije nikushuhudie baba.
@marrykavete-6916 Жыл бұрын
Muhubiri sunbella, Mungu akubariki sana nimekua nikifuatilia jumbe zako na zimenifunza mengi i thank God for you am from kenya, thnks
@luceambo2 жыл бұрын
Loving your preaching from Kenya🙏. Am blessed
@qh42992 жыл бұрын
Mimi naona huyu mtumishi ametumwa kwa ajili yangu. It's like he was talking about me! I thank God for him
@ruthachayo80383 жыл бұрын
Babangu weee kanifungua macho kweli , barikiwa mtumishi wa Mungu....🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@hellendominick203 жыл бұрын
Barikiwa 🙏 sana mtumishi mungu akupe viwango vya juu zaidi.god bless you
@pstrafandelaizer18732 жыл бұрын
Mungu, MUNGU, mungu
@tausihasheem5169 Жыл бұрын
Niombee mchungaj yaan uliyoongea yananihusu..yote nilifunguliwa mpka kwenda mpk nchi za nje nimerud maisha yngu ypo vile vile hpo kwenye Jerusalem nimeelewa sanaa..Eeh YESU mwana wa Mungu naomba uniokoe ktk jina la YESU halie hai🙏🙏Am Blessed 👏👏
@floraritha14543 жыл бұрын
Yesu nisaidie niweze kutoka mahari hapa sipakwangu, Ee Mungu wangu nisaidi peke yangu siwezi.
@estellamgaya17933 жыл бұрын
Shalom naomba mnitag mwendelezo wa hii
@194summer2 жыл бұрын
Mtumishi wa Bwana niko Arusha nakukubaligi sana,,Nakuelewa sana
@user-io1tp6nz8m4 ай бұрын
Ameeeeeen pstr barikiwa sanaaaana ❤❤
@nancynandago32356 ай бұрын
neno la Mungu liliko ndani yako linaponya moyo wangu
@kakadkarima24483 жыл бұрын
Mtumishi Mungu akubariki sana. Yaan ninashindwa nikubariki kwa baraka ya aina gani ili moyo wangu uridhike. Wewe ni mwalimu mzuri sana.
@annestamwinuka2 жыл бұрын
MUNGU akubariki Mtumish
@raysjames1776Күн бұрын
Ili somo nilangu kabisa pastor, Mungu naomba kuanzia leo nifungue
@nancynandago32356 ай бұрын
Amen asante sana mchungaji kweli neno
@maggiemkawuda58702 жыл бұрын
Be blessed servant of God.
@jsangelinakitengeso61962 жыл бұрын
Amen....a powerful message
@winnerjudith20073 жыл бұрын
Amen mtumishi, tunaomba upate kibali uje mbeya pia
@beatusmichael1727 Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe naitwa aderina naomba maombi yako pasita nisaidie mafanikio yanguu sivuki na fanya biashara mitaji ina haribika madeni mengi baba nisaidie nipokagera mafungu ra kumi natoa kwa uaminifu
@mashamachupa612 Жыл бұрын
Shalom Baba MUNGU wako atukuzwa, Leo ktk Somo hili umenifungua kiroho.
@VioletFlora-ul8gq11 ай бұрын
Amen pastor, through this word let God bless me and change my life
@mariamwamakula27262 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi kwaujumbe mzuri naamin kupitia neno hili ,nitavuka tena kwakishindo.
@neldamakere88659 ай бұрын
Natamani sana kujua kanisa lipo wapi maana navutiwa sana na mafundisho yako mtumishi wa Mungu
@moseskimaro74302 жыл бұрын
Dah ! Resistance ! This is so deep , its so deep to be comprehended. The limits . So insightful . This is my message . I have such stories and patterns.
@veronicamlowe96637 ай бұрын
Mungu wangu umeruhusu nisikilize ujumbe huu tena usiku. Nakuomba uingilie kati.Uondoe kila mpaka na ntakuja hapa kushuhudia.
@mashaoelizabeth38982 жыл бұрын
Great service with a lot of message of deliverance and courage to pray in FAITH. Be blessed Mcungaji.
@veronicasadi38535 жыл бұрын
Ameeeeeeeeen, nabarikiwa toka Songea, mtumishi ubarikiwe na Bwana, navuka kiimani.
@petermunuo1657 Жыл бұрын
Amen mtumushi barikiwa sana
@groveyagroya1280 Жыл бұрын
Nabarikiwa Sana nawapata nikiwa Omani
@marypraise66932 жыл бұрын
Good message 👏at good time. Thankyou God am blessed
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Amen pastor 🙏
@rufuskea56436 ай бұрын
am blessed this is my message
@4gtradingimpex201 Жыл бұрын
Ili somo ni la mwaka 2019 April kwangu nimelipata leo naomba mungu akanivushe, kwenye mipaka ya kazi mipaka kwenye biashara mipaka kwenye familia Mungu naomba univushe. Amina.
@4gtradingimpex201 Жыл бұрын
Amina Amina Amina Amina
@rebvocerobert Жыл бұрын
Baba ubarikiwe mahubiri yako yananigusa sana ,,,,na huwa naingia kwenye mahusiano ,yanavunjika,,na sasa nimeongea kwenye ndoa,,napo nika unasuasua
@hwenys Жыл бұрын
UBARIKIWE SANA MTUMISHI
@peninahkerita72602 жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumishi wa mungu umenifunza kitu Cha muhimu Sana, Nehema ya Bwana yesu ikutoshe.
@aaronmuasya3025 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji for this message! Napenda sana mafundisho yako
@shaphats24373 жыл бұрын
God bless you
@beatricelucas14544 жыл бұрын
MTUMISHI wa Mungu Uko vizuri sana Mungu Akubariki Sana
@bisimwamushama9552 Жыл бұрын
Neno hili ni funguo kweli Mungu atu vushe kabisa Mungu akuzidishiye baba
@user-xp6ds6ny2l9 ай бұрын
Much Love from kenya
@bukuruphilibert86582 жыл бұрын
Be blessed man of God
@loycegodson7754 Жыл бұрын
Nakuelewa Sana mtumishi...
@isharakapapi2 жыл бұрын
Mungu wako awe Mungu wangu mzee!! Najisikiaga kwamba ninajaa kila ninaapo kuona nakukusikia!!
@emmanuelolemwarabu Жыл бұрын
God bless you 🙏 pastor 🙏
@heavenlight50845 жыл бұрын
Somo zuri sana,ubarikiwe sana mtu wa MUNGU, hayo yote unayosema ni kweli, nimelima shamba,tumemtafuta mteja,kesho tukavune ,Leo jioni wakaingia watu wakavuna,ni mzigo mkubwa sana,ni more than 9 million, tukalima tena,tukaibiwa na anaelinda shamba,nimejitaidi kumpeleka mchumba nyumbani, amerudi tu,mahusiano yakapungua,mara hanitambui,akaoa, sasa hivi nakaa kwenye relations, more than 3yrs mwisho nikauliza lini tunaishi, nikaambiwa bado my be after 2yrs .mtu wa MUNGU inaumiza.
@luhekelondelwa97143 жыл бұрын
Amin
@renatusdeogratias21082 жыл бұрын
Pole sana
@heavenlight50842 жыл бұрын
@@renatusdeogratias2108 asante sana,
@margrethemanuel7501 Жыл бұрын
Ur the best in teaching Man of Living God 🙏🙏 blessed.. though iam Shimel in Marriage n economic
@hannahmanu8642 Жыл бұрын
B blessed man of God more and more Grace 🙏🙏
@happinesspatrick3902 Жыл бұрын
So powerful,thank you Lord
@stellashao7885 Жыл бұрын
Amen Mtumishi, God bless you
@salmamwangi34972 жыл бұрын
am blessed daddy.. mtumishi naomba uniombee nina miaka miwili sisave pesa mshara wote natuma kenya kwa wtt niombee
Nashukuru Mungu Kwa mafundisho haya kupitia mtumishi wake
@mwaumark43722 жыл бұрын
Kama kwenye familia yangu tumekamatwa na roho ya umaskini, naikataa kwa Jina la Yesu
@deodathamhagama1 Жыл бұрын
God bless you .neno limenigusa sana hakika mungu anaenda kunifungua
@annesyombua6582 жыл бұрын
Asante sana mchungaji Naoba uniobee jia zangu zifunguke hayo yote umehubiri diyo hunitedekea niko Kenya
@winfridankwama51663 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi Mungu azidi kukuinua viwango na viwango
@Miriam84Akizimana2 жыл бұрын
Hallelujah hallelujah hallelujah nitafika tu kwa uwezo wa mwenyezi mungu
@grasherchavala2732 Жыл бұрын
Amen pastor God bless u
@francismpakasi76832 жыл бұрын
Mungu akikupa mkate na pia anakupa mbegu upande ili ubalikiwe
@laurensiamasalu35452 жыл бұрын
Mtumishi Mungu akubariki sana kwa mafunuo hayo.
@mgayaneema30762 жыл бұрын
Amina
@nursechunga44703 жыл бұрын
Mtumishi, Mungu aendelee kukubariki naomba namimi Mungu anikumbuke katika eneo la uchumi na afya yangu
@ellymaz21872 жыл бұрын
Hakika Mungu atafanya
@julietnyanje52202 жыл бұрын
Bwana asifiwe mtumishi wa mungu, nisaidie.
@cleophacemoshi84502 жыл бұрын
Nina barikiwa sana na mafundisho yako mpakwa mafuta wa bwana somo hili linanigusa sana
@cleophacemoshi84502 жыл бұрын
Nipo kwenye mpaka wa kiuchumi
@bathshebamchuza26482 жыл бұрын
Am blessed 🙏🙏🙏
@mercyavedi98122 жыл бұрын
Amen am blessed
@ErneusNdunguru-gu5hf4 ай бұрын
Blessed
@naanely22473 жыл бұрын
Asante Mtumishi wa Mungu
@zachariahtomemba90703 жыл бұрын
Be blessed so much MOG for the great revelation you have revealed the hidden secret, May God continue to use you mightly
@clementinenyoks88543 жыл бұрын
praise God man of God, I am based in kenya, if someone want to talk to you how can I get your contact?
@morinejean45912 жыл бұрын
@@clementinenyoks8854 kunakuaga namba hapo ya watsap yke
@anagracepaul28373 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mtu wa MUNGU
@irenekayombo55092 жыл бұрын
Amen mtumishi barikiwa sana
@oliversebastian38082 жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumishi kuna mahali unanivusha
@mashamachupa612 Жыл бұрын
Baba MUNGU wako atukuzwa kila Leo, Hakika NENO hili limekuwa funguo kwangu , NGUVU za MUNGU zimenishikia hapa chumbani kwangu. Jina la Bwana YESU liimidiwe milele, aimen aimen.
@neemanaston84082 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi Neno la ukweli
@GodsgloryhasRisenonme2 жыл бұрын
Amen and Amen!
@joachimlazaro36983 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana
@frankmushi88922 жыл бұрын
Mungu nisaidie pls nakuomba kupitia maombii ayaaaa
@floraritha14543 жыл бұрын
Kweli poster. Nimejikuta nalia, Mungu aniwezeshe kutoka katika hiyo mipaka
@GodsgloryhasRisenonme2 жыл бұрын
Kweli Yesu Jina lako Limetukuka kuliko majina yote
@eddahsanga30992 жыл бұрын
Amen
@kalidjokitokololoofficielt35003 жыл бұрын
Amen 🙏
@jacksonsakumi10723 жыл бұрын
Mbalikiwe sana
@mgallason...56865 жыл бұрын
ameeen!
@consolathamatimbwa64153 жыл бұрын
Tunashukur kwa somo paster. Ila nahitaji msaada wako peke yangu siwezi. Nina matatizo pastor
@kasuziprosper35702 жыл бұрын
Barikiwa Mchungaji ujumbe huu ni yenye ukweli akina Shimei ni wengi katika kazi na kwa jamii.
@kasuziprosper35702 жыл бұрын
Nafwata somo hili toka DRC
@estheridzah64 Жыл бұрын
Hata Mimi nikumbuke mtumishi kwa maombi nifunguliwe nivuke pia kwa uchumi wangu
@mesiamatheo22302 жыл бұрын
Mungu nisaidie mtumishi wako nateseka...
@francisnyese82892 жыл бұрын
Nimeelewa kweli unanisaidiej sina msaad
@isharakapapi2 жыл бұрын
Nakusii ukiona sms iyi au ukiambiwa kuhusu sms iyi Mzee; basi utamke Ata Neno moja kwa uruma yako kwa sisi tulio watumishi na tunapenda kutumiwa kama ambavyo Mungu anavyo kutumia ata zaidi