Рет қаралды 201
Binadamu tumeumba tofauti, na zaidi tumeumbwa na Tamaa, haya na mengineyo. Maungo yetu
yamekuwa yakitofautiana kiasi cha wengine kudiriki tamani maungo yaw engine na kuishia
kubadili yakwao ili yaweze kufanana na wengine.
Katika kukua na kuishi, wengi tumekuwa na hofu, tunapoteza ujasiri kuhusu miili yetu na
kutufanya tuwe wanyonge.
Na sasa tuziangazie hofu kadhaa mabazo humpata mwanamke juu ya mwonekano wa Uke wake
kama sehemu ya kiungo. Baadhi huzungumza bayana na wataalamu au watu wanao waamini na
wakati baadhi hukaa na hofu zao ndani ya nafsi zao....... Endelea!