WIMBO: TUIOMBEE MIITO MITAKATIFU MTUNZI: A. J. MYONGA AUDIO BY: MELLOW STUDIO VIDEO BY: HOLY TRINITY STUDIOS
Пікірлер: 295
@hyvemunezero13415 жыл бұрын
Mungu uibariki hii kwaya na wakatolika na wasio wa katatolika wote kwa ujumla. Uibariki pia Afrika na wana Afrika kwa ujumla. Kiukweli wimbo huu hunisaidia sana kwa kutafakali maisha ya ukiristu. From Colorado 🇺🇸
@josephambrose22152 жыл бұрын
Hakika wimbo mzuri Sana, na mmeutendea haki kabisa kwa wote walioshiriki ktk kutuletea ujumbe huo. Hongereni Sana wanakwaya🙏🙏🤔
@luclesiakifanjala91222 жыл бұрын
Daah wimbo mzuri, Mungu awalaze mahala pema wale waliofikwa na umauti 😭
@SixbertSanka-ku6isАй бұрын
Ni moja ya kwaya iliyonifanya mpaka nikaweza kuutambua wito wangu na sasa nipo seminary kuu kwa malezi ya Upadre ,,,Mungu awabariki sans
@SmilingMonarchButterfly-kh4veАй бұрын
Hongera sana kaka... Yesu kristo rafiki ako Akushikilie kweli kweli katika safari hiyo njema kabisa aliyoianzisha ndani mwako 🙏🏽❤️🙏🏽❤️❤️❤️
@KennedyChaula-ny9mu6 күн бұрын
Amina mavunonimengi watendakazi niwachache Mungu Awabarkisana.
@remigiachale2 ай бұрын
Asanteni sana kwa wimbo mzuri mungu awazidishie baraka 🙏🙏
@ElizabethSilayo-fr7sw Жыл бұрын
Mbarikiwe Sanaa ❤️❤️ Mmeimba Kwa Utulivu Na Hisia Za Kuiombea Miito Hakika Mungu Yu Pamoja Nasi Kuiimbea Miito Mitakatifu katika kanisaaa💒💒💒💒 Nabarikiwa snaaa ninapo Isikiliza hii Nyimboooo🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@paulkasawara54714 жыл бұрын
Kazi nzuri kutoka kwako kaka nyonga na nimefurahi kuona Kilocha seminari
@ditricksilinu60385 жыл бұрын
Uvikanjo mko juu sana ... Uimbaji wenu umetukuka na unapendeza sana
@user-jz5yz7fx9v10 ай бұрын
Nyimbo nzuri Sana ndugu zangu hongeren❤
@mapachunyi48304 жыл бұрын
Jamani mnabariki sana,mko vzr kuanzia sauti,mavazi,style na vyote,,,bila kumsahau mpiga kinanda rafiki yangu A.Muyonga,,barikiwa sana
@gemagabriel5105 жыл бұрын
Asanteni sana kwa wimbo mzuri.Mmeimba mkiwa na utulivu wa kutosha .Mbarikiwe sana:
@laurentdaud63774 жыл бұрын
Mungu awabariki katika kulitangaza neno la Mungu. Hongera sana kwa wanakwaya na mtunzi, nasikia furaha sana nisikiapo na Kuona nyimbo hii. Sijawahi choka kusikiliza Siku zote
@valeriamgani4524 Жыл бұрын
Niwimbo mzuri sana hongereni sana 🙏🙏👏👏
@clqudiaemmanuel77404 жыл бұрын
Hakika Mara zote mmekuwa mkinifariji kiukweli uvikanjo mmepata kunipa faraja pia kwa kongamano la vijana taifa Tanga hakika kazi yenu haiwezi kusahaulika
@user-lv8zz2ou7o Жыл бұрын
Hongera mtunzi ayubu muyonga daaaa na jopo lako
@givenisrael8015 жыл бұрын
my jimbo nakubali sana gonga like zote kama unawakubali kama mm apa
@martinkiwali28915 жыл бұрын
Given Israel yaa
@givenisrael8014 жыл бұрын
@@martinkiwali2891 nawapenda bure uvikanjo
@dreamsdavido81005 жыл бұрын
The best thing Katika hi video ni kuona mazingiraa mazuri ya kilocha. .God bless u UVIKANJO Kaz nzuriii mmeifanya
@filbetkalembe28062 жыл бұрын
Aliwapeleka kweli mnanikumbusha msiba uliotokea kwenu kupitia wimbo huu naamini waliotangulia wanasifu na bwana mbinguni
@siliviawabela42335 жыл бұрын
Mmm kweli mmeimba wimbo mzuri sauti zimetula mbarikiwe sana
@agripinamgema36564 жыл бұрын
Asanteni watumishi wa MUNGU, vijana wa Njombe mbarikiwe. Kwa nyimbo nzuri.
@user-lv8zz2ou7o10 ай бұрын
Hongereni sana, bila kumsahau sir A, muyonga tallented one
@anthonyleonard64195 жыл бұрын
Namuonea wivu mcheza kinanda hongera sana kak unaweza pamoja na mashibe nyie talented
@boychidu Жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana Mungu awe nanyi
@sekundaluwanga72165 жыл бұрын
Wimbo mzuri tulivu sana vijana njombe hongereni kwa kutuwakilisha.mungu awabariki mmeutendea haki kiukweli
@sarahfinah63045 жыл бұрын
Mbarikiwe sana
@fabiangeorge6165 жыл бұрын
Hakika mmefanya kazi nzuri ya kitume.Mmetumia karama yenu kuhamasisha wote tuwajibike kuombea miito.Mbarikiwe sana.Nawakaribisheni wanaopenda kujiunga na shirika lolote la kitawa.....Nayafahamu baadhi ya mashirika pia. Hongereni sana tena sana wapendwa.
@thomasnyamari4015 жыл бұрын
Kazi nzuri sana hongera nawatakia kila LA heri katika uimbaji wenu
@rudiamganiexaudi16284 жыл бұрын
Nimemuona mwalim wangu mbarikiwe San sir luzo hongera san
@lwangakajembula80852 жыл бұрын
Hongereni kwa wimbo mzuri....tunaomba mtusaidie nota zake swahil music ili nasisi tuweze kuimba
@innocentgaudencechuwa14495 жыл бұрын
Hongereni Uvikanjo ujumbe mzuri,hongera sana mpiga kinanda na Holly Trinity studios hakika wimbo mzuri.
@kizitom70785 жыл бұрын
kazi safi...tuombe pia tuweze kulieneza neno la mungu pote na popote.heko
@despinamdende98104 жыл бұрын
Hongern sana vijana kazi nzuri.hongeren sana HT mko vizuri sana.
@paskalibayyo31903 жыл бұрын
Hongereni sana kwaya nzuri
@fundibeny18213 жыл бұрын
Ongereni Sana kwa uinjilishaji mzur
@RichardMkongwa3 жыл бұрын
Bravo sana kwa Ndugu yangu A.J Myonga pamoja na kwaya nzima. 🔥🔥
@veronicathomas94222 жыл бұрын
Very pain full kwa ajali iliyowapata Mungu awapumzshe kwa amani na wngne uponyaj
@raphaelmalekwa70495 жыл бұрын
Hongereni jamani kwa uimbaji pia mnainjirisha mko vizuri Mungu awabariki na azidi kuwapa Upendo katika kikundi chenu na uaminifu katika Kumtumikia Mungu Asanteni.
@teddymulu23644 жыл бұрын
Tuzidi kuombea mapadri mabruda na mashemasi wazidi kutueka mbele ya Mungu
@kimatumusiccompositions26363 жыл бұрын
pongezi kwa wimbo mtamu
@romanaeugen30665 жыл бұрын
Tumwombe Bwana wa Mavuno apeleke watenda kazi katika Shamba la Bwana..Baraka tele kwenu kwa Ujumbe mzuri..
@emmanueldkulwa18245 жыл бұрын
Hongereni Sana wapendwa, uvikanjo wapya, vipi brother Mass siku hizi kawa Mzee? Sijamuone, Lugome nimekujicho, hongera Sana kujiunga na kwaya ya vijana! HT hamjawahi haribu kazi, mko juu Sana, bro bony a.k.a myunani na mwenzio latinus, kazi iko Poa sana
@nicodemusmutisya19075 жыл бұрын
Asanteni sana ujumbe wenu,kwa kweli sala ndio nguzo imara,Frt Nicodemus Mutisya wa shirika la Missionaries of Mary Immaculate (MMI) toka jimbo katoliki la Machakos nchini Kenya
@Msemwa4 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/i72SqNOhsMXUZ2w.html Karibu kusikiliza zaidi Muziki mtakatifu kupitia link hii. Please subscribe🙏🏽.
I just love the orgarn, moves, vocals, May God bless you, tuzidi kuombea miito katika kanisa
@rosekalolo68615 жыл бұрын
Dada tele kwa mbaaaali,, ruzooo tas na woooote barikiweni saaana tuiombee miito
@mjasiriamalikwanzanjombe67084 жыл бұрын
namwona roozo na dada rudesinta
@kamilusmgaya48065 жыл бұрын
Pongezi kwa video production umefanya kitu kitamu sana naiangaria toka babati
@happymsigala77325 жыл бұрын
hongereni sana jamani.MUNGU awabariki kwa kazi nzuri,hakika MUNGU atukuzwe daima.
@godfreymangalu19405 жыл бұрын
I'm proud to be Catholic. Kazi nzuri saana. Hakika Ujumbe umefika, hongereni kwa utunzi mzuri
@ayubj.myonga46945 жыл бұрын
Mungu wetu ni mwema!Na tumwombe aongeze watenda kazi katika shamba lake ili Basi mavuno yale yaliyo mengi yapate wavunaji(watenda kazi) wa kutosha nasi tupate kuokoka
@irenenyigu17875 жыл бұрын
Hongera sana Mtunzi .... YOU ROCK
@emmanueldkulwa18245 жыл бұрын
Copy kaka naweza kuipata? Wimbo umeusuka kisawasawa
@triffproductions43485 жыл бұрын
Hongera sana kijana
@stephanozacharia38475 жыл бұрын
Tafadhali tusaidie copy ya hii nondi kaka maana hiki ni kitu cha karne hongera sana
@danielmbanzi91994 жыл бұрын
Can mm
@buza3449 Жыл бұрын
Kazin nzur Amina sana
@faustusikyoshe30082 жыл бұрын
Kazi nzuri sana
@annachesco27582 жыл бұрын
Hongereni sana waimbaji mnaimba vzri sana Mungu awatangulie katika kumtumikia Mungu ...na wapenda sana ...pia Mungu awalaze mahali pema wale walio kufa kwa ajari njombe Mbele yetu nyuma yenu
kzfaq.info/get/bejne/i72SqNOhsMXUZ2w.html Karibu kusikiliza zaidi Muziki mtakatifu kupitia link hii. Please subscribe🙏🏽.
@luciajuma8336 Жыл бұрын
Am proud to be Catholic 🙏🙏
@FadhiliMduda15 күн бұрын
Sikiliza wimbo u
@paschalmathew88405 жыл бұрын
Asanteni kwa ujumbe mzuri na kutukumbusha jambo muhimu kweli yatupasa kuiombea miito mitakatifu Mungu awabariki
@stefanomwalongo45854 жыл бұрын
Hongera wanakwaya Hongera Myonga Hongera organist Hongera mwl. wa step Hongera mumeutendea haki wimbo.
@mussakiyule56658 ай бұрын
Nyimbo bora kutoka njombe
@revocatuskatto72935 жыл бұрын
Nice song big up HT kwa kaz nzur
@fedilikikabelege90145 жыл бұрын
Ahsant
@andreaa.nyundo83333 жыл бұрын
Kazi nzuri ilifanywa na Ayoub Myonga hakika kipindi hicho ndio utume Wa kwaya ulikuwepo, sasa imebaki jina uimbali ni Wa kiasi,ila Mungu awajalie mrudi katika uimbaji kama huu.
@augustinoevarist67545 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana aisee, Nabarikiwa sana ninaposikia nyimbo nzuri. Mungu azidi kuwaongoza katika utume wenu wa uimbaji.
@Msemwa4 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/i72SqNOhsMXUZ2w.html Karibu kusikiliza zaidi Muziki mtakatifu kupitia link hii. Please subscribe🙏🏽.
@asteriamkana53004 жыл бұрын
Mubarikiwe wapendwa wimbo umetulia
@kwayaviwawaparokiayabashne92812 жыл бұрын
Asanteni Wana njombe na mwalimu wangu
@felistaludela26955 жыл бұрын
Tumwombe BWANA wa mavuno awapekele watenda kazi shambani mwake. tuombe bila kuchoka. Hongera kwa ujumbe wenu umetufikia vema
@emilianaluoga68935 жыл бұрын
Hongera sana wapendwa kazi nzuri sana ya Kumsifu Bwana Mungu,, HT Mungu awabariki
@damianibira.84635 жыл бұрын
hongeren kwa kwaya nzur mngu awabariki mzidi kuitenda kaz ya mngu kwa amani
@michaelmusitah55535 жыл бұрын
Kazi nzuri sana wana Uvikanjo. Nimewaona ndugu zangu Mungu awabariki sana.
@remsimmbala76355 жыл бұрын
Barikiwa sana kwa uimbaji wenu wimbo ni mzuri sana pamoja na ujumbe uliomo,,,,,,,,,,
@hwayobihemo58662 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@alesiakayoka12035 жыл бұрын
Amina MUNGU Awabariki wote Mlio shiriki kuinjilisha
@luwaevergreen31905 жыл бұрын
uvikanjo kwaya mbarikiwe sana kwa kutuinjirisha mungu awabari sana wimbo mzuri sana sichoki kuusikiriza mungu awape nguvu ya kuwahubiria wanadamu hapa duniani mavuno nimengi rakini wafanyakazi ni wachache tumwombe bwana wa mavuno awapereke watenda kazi shabani mwake
@wilgismbele13135 жыл бұрын
Nzuri San 🎵 naona jamaazangu wapo vizuri holly trinity mpojuu mungu awape nguvu zaidi ya hapo mfike mbali zaidi
@theresiaburusu14975 жыл бұрын
Hongeren sana
@richmeela68125 жыл бұрын
Nyimbo ni nzuri sana hongereni sana
@christianngeleshi59214 жыл бұрын
safi sana, hongereni mno.... naomba msaada wa nota zake ka inawezekana🙏
@petersumuni43695 жыл бұрын
yaani sijawahi kumiliki neon la kusema juu ya ufundi wako mkuu wangu Ayubu j Myonga ila namuomba Mungu akuzidishie ki-awa katika utunzi wako
@hefintus5 жыл бұрын
Nikajua ni Albert F.Muyoga , maana nae fundi balaa yule mzee.
@wolfgangmsigwa945 жыл бұрын
Mungu awabariki ndugu zangu UVIKANJO kwa wimbo huo na wote waliowezesha kufikia hatua hii. Mellow Studio chini ya B.M Hongera.
@PaulOmarimanyara5 жыл бұрын
Bwana pokea ombi letu. Amina. Hongera Wanakwaya
@marysafari569 Жыл бұрын
Great choir, mtunzi apewe soda nakuja kulipia. God bless you guys. Asante Myonga
@germanacornel18225 жыл бұрын
Mungu awabariki. Wimbo umetulia na kuimbwa kwa utulivu. Nasi tumeutafakari
@gelmanusmwashiozya62165 жыл бұрын
wimbo mzuri umetulia saut saf mpiga Kinanda safi video safiiii
Basi naamini kwamba mmeenda,waliofikwa ma umauti mungu awape pumziko la milele
@davidrama51224 жыл бұрын
Ninakuwa na furaha moyoni mwangu ninapo sikia nyimbo sa kwaya mbali mbali za kanisa letu Katolika. Mungu aendelee nguvu ya kutimiza kazi yake.
@bmproduction63165 жыл бұрын
Hongereni waimbaji kazi nzuri sana. Mungu wetu mkuu azidi kuwatia nguvu huduma yetu ya uimbaji Njombe izidi kukua na kuieneza injili kote ulimwenguni. na zaidi MIITO IWE NI CHACHU YA KUMTUKUZA MUNGU KATIKA ROHO NA KWELI.
@rachelnyagawa60625 жыл бұрын
Kazi nzuri,hongereni sana ndugu zangu
@euchariakumbulu79385 жыл бұрын
wimbo supa barikiwa
@Msemwa4 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/i72SqNOhsMXUZ2w.html Karibu kusikiliza zaidi Muziki mtakatifu kupitia link hii. Please subscribe🙏🏽.
@raymondkibiki66615 жыл бұрын
woyooooo kazi nzuri sana, hongereni HT, Uvikanjo pamoja na mwalimu Myonga Mungu awabariki sana
@onesmolevi16604 жыл бұрын
Kwakeli Mungu awabariki sana uvikanjo...hii style ya uimbaji nimeipenda sana aisee...
@stellafungo97115 жыл бұрын
Mmeimba vizuri Sana na mmependeza. Mungu awabariki Sana.
@emmanuellaizzer79505 жыл бұрын
Hongereni xana kwa ujumbe mzuri, Mungu awape saut nzuri cku zote
@gaudensiabaltazar84125 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana , Hongera sana mwl wangu Myonga Mungu aendelee kukutumia.
@salomewandya72572 жыл бұрын
RIP wote mliotangulia😭😭😭
@eleganthomesolutions4 жыл бұрын
WOW WIMBO MZURI SANA..... 👌👌👍👍
@helenalagwen85295 жыл бұрын
Hongeren saaana , kwa kazi nzuri
@jakobpanga742 Жыл бұрын
Huu wimbo umenibariki sana vijana tujiunge na kwaya
@reyjosee93905 жыл бұрын
Asanteni sana Nyevaa kamwenee
@SmilingMonarchButterfly-kh4veАй бұрын
Waaooh 🤗🤗🙏🏽❤️🙏🏽❤️🙏🏽❤️❤️❤️🔥
@monicamabonde7945 жыл бұрын
Safi sanaa mnajua kwakwer
@jorasty2622 Жыл бұрын
Mungu atukuzwe miito ibarikiwe.Amen
@jackytuyi88995 жыл бұрын
Hongera HT kazi nzuri sana
@richardchaula18604 жыл бұрын
Safi sana Wanakwaya, Hakika Kuna Raha tele ndani ya Kanisa Katoliki.
@frankmakeula45065 жыл бұрын
Uvikanjo Njombe hongera kwa ujumbe mzuri Mungu awe nanyi