HOTUBA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ALIPOWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA - IKULU DSM
Пікірлер: 225
@coastermahenge89104 жыл бұрын
miaka 20 magufuli ngongeni like hapa,kuunga mkono
@raymondshilatu24954 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu Rais wetu
@shilungumoshi37324 жыл бұрын
Kiukweli huu ndio uadilifu unaofaa zaidi kuigwa kwa viongozi wotee Wa madhehebu ya dini na Wa serikali kwa ujumla hapo ndipo tutapata jamii mpya na Tanzania mpya.Hongera sana mheshimiwa JPM.Barikiwa
@ramadhankambalame46814 жыл бұрын
Alafu kuna baadhi ya watanzania wanasema Raisi hafai kwel? Allah katushushia neema ya huyu mzee Raisi magufuli
@imamuhemedi43874 жыл бұрын
Shilungu Moshi
@yohanamhanzi67974 жыл бұрын
Rais nakuelewa sana DPP tukusanyie hizo pesa zitusaidie kuboresha Nchi hapo DPP utakuwa umeacha alama ktk nafasi yako tena ya kihistoria na Mungu atakuona ktk hili.
@Teachercandle4 жыл бұрын
Hongera mheshimiwa raisi kwa kuwaeleza ukweli ili waweze kujifunza unaowateua..
@mohamedkikale72414 жыл бұрын
Allah mjalie Afya, wered, kheqma busara, na uchapa kazi Rais wetu, kwa niaba ya watanzania wote.
@user-my9hc6uf9l4 жыл бұрын
Amiiin Rabbil Alamiiin
@godfreynjamasi74034 жыл бұрын
Uyu president wengine wasubili
@upendonyava75744 жыл бұрын
UsikukuhusumagerezakutorewawFungwa
@shamirik_4 жыл бұрын
itatumia muda sana kumuelewa mh raisi wetu jpm.sasa nimeshajua nn muheshimiwa anataka 1.kutofuja kodi za wananchi 2.kulinda na kutetea haki za wananchi 3.ukweli na uwazi 😎 kazi kazi kazi kazi jpm raisi ambaye hatosahaulika .(ukweli usemwe).sina chama
@SuperKibwana4 жыл бұрын
4 kuchapa kazi
@SuperKibwana4 жыл бұрын
6 Kuacha majungu
@SuperKibwana4 жыл бұрын
5 Kila mmoja kujitambua na kuyajua majukumu yake
@imamuhemedi43874 жыл бұрын
Shamik Tv
@kombosaira78944 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa wa tabora angeletwa Dar.
@chumizola18474 жыл бұрын
Ile nia yangu ya kumuandika Mheshimiwa Raisi Barua, sasa inatimia! Mungu Azidi Kukubariki JPM
@hajisalum34944 жыл бұрын
Magufuli atabaki kuwa magufuli tu mjomba magu 2020 kula yangu utaipata panapo majaaliwa
@romeoromeo41254 жыл бұрын
Kaka Makonda jipange vzr, juzi kakuripua Vingunguti leo Coco Beach. Fanya kazi mambo yasiwe mengi!!!
@ismailkhalid61864 жыл бұрын
Makonda taa ya njano imeanza kuwaka
@philemganga84114 жыл бұрын
Huyu ndiye Raisi !
@lovebusness87774 жыл бұрын
Red inakarbia ustoshe makonda nae mambo meng
@adenihalisi42184 жыл бұрын
Sawa nimeelewa wewe ndio Rais Magufuli wengine walikuwa ni mfano wa marais!
@obbybenitho58034 жыл бұрын
adeni Halisi nakubaliana ww
@user-my9hc6uf9l4 жыл бұрын
Wengine walikuwa "symbols ", Hahahaaa!
@kimanzikato96784 жыл бұрын
adeni Halisi
@mr.machange13774 жыл бұрын
Watumbue bhana Mi naona upo sawa tu JPM
@seifmalijan87754 жыл бұрын
utakumbukwa mheshimiwa Rais kwamema unayoyafanya ktk nchi yetu.
@ahmadateguro48864 жыл бұрын
Yani mpaka machoz yananitoka kwa haya maneno wanayoambiwa wateuliwa dahh mungu katuzawadia allah akbarrrrrrr mungu mlinde raisi wetu kwa kila shari za walimwengu
@ahmedsalimsaleh97264 жыл бұрын
Amin
@petermponzi4114 жыл бұрын
"Tanzania got amazing President"
@ronaldsariah87604 жыл бұрын
Mheshimiwa hebu tupia jicho pale BRELA. Kuna changamoto kadhaa. Wachache watanielewa
@mswanawamswana31294 жыл бұрын
Asante sana kwa mabadiliko huko Morogoro. Mzee umemvumilia sana mh. Kebwe. Naomba umulike na Polisi mzee wetu ikibidi mabadiliko yafanyike. Kubadili leseni pale trafiki ni shida sanaaa. mazingira ya kupata leseni mpya ni magumu sana. Morogoro mulika polisi. Kuna alama tatu ambazo hazipo ktk barabara za Tanzania lkn utaulizwa tu maana wanataka kukwamisha ku renew leseni.
@kingndinyo97644 жыл бұрын
Viva Magufuli 2020 kura ipo gombea mpk miaka 20 mbele hk wote 2naongea lugha moja xaa hizi 😂😂
@amirichaka3554 жыл бұрын
Muheshimiwa wewe ni mwalimu tosha ktk utawala wako tusipo jifunza jombo basi Tz imeangamia na maendeleo ni hadithi ya mbali
@yonamwakanyamale50234 жыл бұрын
Nakupenda sana tena sana Raisi wangu JPM, Ni ushauri mzuri kwa mahakama maana mahakama imelala. Tunapata faida gani mtuhumiwa ana Pesa zetu alafu amefungwa, alipe Hela zetu atoke gerezani.
@imamuhemedi43874 жыл бұрын
Yona Mwakanyamale
@TheCvm2294 жыл бұрын
Ukisikia Hapa ni Kazi... Ndo kama hivi zege halisubiri jumapil ipite
@romeoromeo41254 жыл бұрын
Leo imekaa vzr ili kesho tu waanze kazi
@lovebusness87774 жыл бұрын
😀😁😂😂seven dayz kaz kaz
@evelynmon94234 жыл бұрын
Mungu akutunze Rais wetu Rais wa watanzania uwafundishe viongozi wa Tanzania 🇹🇿 kuongoza bila kula rushwa inawezekana
@kimanzikato96784 жыл бұрын
Hawa Boko
@geminiflorian62374 жыл бұрын
Hapa Kazi tu , Yani hii Tumbua Tumbua inasaidia kuondoa Mazoea ya kazi , Kiongozi yoyote anatakiwa awe Mwepesi wa Maamuzi yenye Manufaa kwa Taifa , Congratulations Mr President
@lovebusness87774 жыл бұрын
Fund mzr ni yule ajuae kujenga na kubomoa
@tozzaalexandar49054 жыл бұрын
Magu anaongoza nchi na ana fundisha
@msaphirimagallah57814 жыл бұрын
Huyu ndio rais wa Tanzania... Mungu akulinde Baba... saluti mzee wangu! Wasio weza kasi yako wakupishe jembe letu upige kazi na wanaokuelewa tu
@amanichanga34484 жыл бұрын
Keep going Tanzania
@jacksommndellah77944 жыл бұрын
Safi Sana rais mangufuli
@antonykahwage21894 жыл бұрын
hakika mheshimiwa ana upendo wa dhati saaaana na watanzania,
@niyonkurucanesius77737 ай бұрын
REST in eternal peace. we miss from Burundi
@frankrevelian69194 жыл бұрын
tuna mambo mengi ya kujifunza kwa mh rais, kwanza uvumilivu na hekima ya kuona nchi inapigwa na akaamua kunyenyekea akitafuta nafasi nzuri ya kuikomboa nchi kipindi chote alichokuwa kwenye uongozi, hii inatufundisha sana watanzania, hekima na busara ni muhimu sana
@imamuhemedi43874 жыл бұрын
FRANK REVELIAN
@abuumussa23904 жыл бұрын
nakuerewa sana mzee wangu ila kwa sasa kunawatanzania wafanya niyashala bado wanaenderea kuhujum uchumi ukienda kununia kitu anakwabia kwa risit ni sh 12000/= bila risit sh 9500. /= ushauri wangu kwa watanzania tuwe wakweli kama mweshimiwa raisi anavotaka kuripeleka hili taifa mbere mungu ibariki tanzania mungu mbariki mr Rais wa jamuhuri ya muungano
@lovebusness87774 жыл бұрын
👏👏👏salout make awa jamaa wanasumbuwa kweli juz nimeenda kununua godoro la super banco futi 3/6 nikaambiwa bila rst 95elf akinipa rist 120,000/=. Nikakubali aniuzie bila rst ila aniperekee mpaka nyumban kwangu nae akakubali kuliweka kwenye gr lake tukaelekea nymbn kwaiyo wafanyabihashara bado hawajakubr kutendea nchi yao haki.
@mumyhendry2919 Жыл бұрын
Baba ♥️♥️♥️bado ninakupenda mnoo na tunakuhutaji 😭😭😭plz kila sku nakuombea na naamini uko uwepon wa Mungu,tuombee wanao🙏🙏🙏♥️♥️♥️🙏🙏🙏
@msaphirimagallah57814 жыл бұрын
Makonda fanya kazi kaka.... huyu mzee humtendei haki, achana na mambo yasiyokuwa na maana fanya kazi
@johnnkwabi89334 жыл бұрын
Makonda naomba umsikilize mzee anataka nini juu ya Tanzania mpya bila uchafu kazini inawekana
@deusmauka96264 жыл бұрын
Mi machozi yanatoka tu, muoneeni huruma JPM, pigeni kazi jamani.
@janeypheremmanuel98444 жыл бұрын
nakupenda Rais wangu Mungu akubarik sana
@rweumbiza255ommy74 жыл бұрын
safi sana mkuu wa nchi Tunakuelewa sana...Allah akulinde na akupe afya njema
Kitu hujakosea ni kumtumbua mkuu wa mkoa wa morogoro maana alishindwa kazi kabisa hafai
@omarimkuya4 жыл бұрын
mh raisi hakika nafurahi kwa hili la mahabusu kwan wengi wanatamani hata msamaha wako mkuu, tunashukuru ila tukumbuke kwenye ajira sisi vijana hasa wa IT & Data Science bado soko letu la Technology lipo chini na vijana ni wengi wenye utaalam wa TEHAMA! asante sana mh raisi na mungu akupe afya tele kwa kazi unayoifanya maana wengi hawaelewi ila wataelewa tu!
@safari5774 Жыл бұрын
Rest in peace Magufuli we shall remember you mungu ailaze mahali pema peponi.
@stevenmeshack4678 ай бұрын
Uyuuu mzeee kweliii ni mfano sanaaa wakuigwaaa" upumzike baba yetuu mpendwaa
@celinaweber70244 жыл бұрын
Mh. John Pombe Joseph Magufuli, Tunashukuru sana kwa kazi yako nzuri sana sana Mungu akubariki akupe maisha marefu yenye baraka na afya tele! Barikiwa sana kiongozi wetu.
@kabaranamaganga66464 жыл бұрын
Nakutakia maisha marefu mh Rais hakika Mwenyezi Mungu ni mwaminifu
@omarykaita434 жыл бұрын
Mheshimiwa Rais pole kwa kazi ngumu, hongera kwa nia njema, sisi wazalendo na tunaojua nia ya moyo wako kwa Tanzania na Africa kwa ujumla Tunaitafsiri nia hiyo kwa kufanya kazi kwa bidii na kujituma ili kuweza kukomboa uchumi wa nchi yetu toka katika makucha ya wakoloni wa kiuchumi. Mwenyezi Mungu aendelee kukupa maono zaidi katika kutuongoza kwenda kanaani ya maendeeo yetu kama Taifa.
@beatusmichael46884 жыл бұрын
Good 👍👍👍👍👍
@pangarasfuko23834 жыл бұрын
Yan nchi hii utazan viongozi wanaelekezwa kama ndio wanatoka chuo ,yan hawaelewi
@mangegervas96514 жыл бұрын
Pole jpm na hongera kwa maamuz magumu
@godsonmasawe51634 жыл бұрын
THE BEST PRESIDENT EVER, I REALLY LIKE YOU MR PRESIDENT AM PROUD OF MY PRESIDENT JOHN POMBE MAGUFULI GOD BLESS AND PROTECT YOU.
@angellarobert38924 жыл бұрын
Mungu akutangulie Rais wetu mpendwa JPM. LIVE LONG
@edibertevarist10444 жыл бұрын
Kabisakabisa, upo sahihi mzee wetu wa nchi!,chapa kazi tupo nawewe
@shufaashabn1235 Жыл бұрын
Niliwa nakupenda kwa sababu ulikuwa hutumbui walk kuteua bila kufundisha l unataka nn kifanyike
@nilagushaha19904 жыл бұрын
Well noted,,,stay blessed our Honourable President JPM. We promise you as Country men, we shall not be, STIFF NECKED PEOPLE!! To implement what is right in accordance to your Outstanding views"
@rwenenahomechannel1634 Жыл бұрын
Na ndio maana damu yako italeta laana kwa wengi na neema ya busara na hekima kisiasa,ki dini kwa wenye kuzitumia akili kwa weledi. Raha ya milele inakuatahili baba Magufuli. Utubee huko pema ulipo.
@frenkisaya12804 жыл бұрын
Jpm wewe ni zaidi ya Rais
@jerumayamwasomola10654 жыл бұрын
Pole Kebwe. Ndio maisha.Kuna mazuri ulifanya,lkn dunia huwa inaangalia mabaya tu.
@nicolauswandao89884 жыл бұрын
Macho ya bashite sasa duuuuu imepenya iyo mjomba, wape vidonge vyao ☠☠☠⚠⚠⚠
@mamachris68114 жыл бұрын
Mungu akusimamie Raisi wetu,kazi ni ngumu kwa sababu nchi ilishaoza, Siasa nyingi kuliko utaalam Wanaokuelewa ni wachache. Mungu asaidie upate akina Majaliwa na Jaffo japo 10 tu
@violetn.finnvik373 Жыл бұрын
Tutakukumbuka milele Baba yetu 😭🇹🇿🙏❣️
@SuperKibwana4 жыл бұрын
Mr President.
@dorakiyao4509 Жыл бұрын
Mungu wangu,pumzika babaaa pumzika ,tunakukumbuka mnooo ,tunapata wapi MTU kama huyu
@deusmauka96264 жыл бұрын
Mh. Makonda nakupenda sana, wewe ni mchapa kazi, usimwangushe Rais wetu kipenzi JPM, piga kazi bhana, achana na mambo ya kubembelezana.
@erickmmary4225 Жыл бұрын
Kiukweli tuta kumiss ulikuwa mkweli daima so tuta kumbuka zaidi nazaid dady
@mpilimieston99824 жыл бұрын
Kwenye hilo nipesa tu lipa pesa utoke rupango
@meshackkanyetisahani55842 жыл бұрын
Ama kweli mweshimiwa uliweza kutoa mwelekeo mzuri wa nchi yetu na ulistahili kabisa kuwa mwalimu kwa ajili ya kuelimisha watanzania na waafrika wote...R I P Baba.
@wamalaibrahim18444 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde Mzee mweshimia Laisi Magufuli mimi ni mu Tanzania niliozalia uganda rakini naomba Mwenyezi Mungu aniwezeshe nikuoni ila niongeye nawewe jina rangu Ibrahim
@juddykazoka30664 жыл бұрын
Mungu akutenze mh raisi
@amriharuna42364 жыл бұрын
IKULU TANZANIA mwambieni amtoe Makonda Dar aende Tabora na Mwanry wa Tabora aje Dar atamfaa Sana maana mheshimiwa anapambana ila viongozi walio chini yake hawajamuelewa
@jumaigoti86764 жыл бұрын
Magu uko sawa
@juddykazoka30664 жыл бұрын
Mheshimiwa raisi ukienda hospitali una miaka 60 Kama wanakuona unajiweza dawa zingine wanakuambia ukanunue
@goodluckellyupfreshbrother72074 жыл бұрын
Dah aise
@rsautoservice9844 жыл бұрын
Tambua kuwa msanii harmonize ndio aliye mfanya raisi wa Tanzania John pombe.. Kusamehe wafungwa.. Harmonize top..
@neytoboy49254 жыл бұрын
mh tunaomba uje na songwe utusalimie
@SafeHaven_TV4 жыл бұрын
Nakupenda mno rais wangu,hata sijui nikupendeje zaidi...nahisi haijatosheleza.
@salimzaidi92034 жыл бұрын
Mungu akulinde milele baba etu wa taifa wewe kweli ni mungu alikuteua kuitumikia Tanzania
@sasha-ri7tf Жыл бұрын
Jiwe hili sijuwi lilikanyangwa na nini hadi kuvurugika?..
@J4UPro4 жыл бұрын
Safi sana rais wangu
@imanbrettyjohn3794 жыл бұрын
Kura yangu 2020 kwako mhe.Raisi maan kazi yako ni nzuri sisi wananchi wako tunafurahi sana
@mwinyikadhi2870 Жыл бұрын
😭😭😭
@furahamwajeka7463 Жыл бұрын
Barikiwa Sana baba na mungu amurehemu
@fanbullalukasa4864 жыл бұрын
kweli JPM ni mti wa mpingo,asante kwa sindano imeingia!!!
@robertfrank12074 жыл бұрын
Mzee ongea na wakuu vituo vya wakae peupe vituoni huwa tunapereka malalamiko. Hatuluusiwi kuwaona. Tunazuiliwa na askali wake wadogo.
@stivejayngoga14034 жыл бұрын
Kuna PSSSPF pia ni janga mkuu!
@rockzenamtui62964 жыл бұрын
Daah rais umenifurahisha sana mungu aendelee kukusimamia una kumbukumbu hatari hausomi mahali popote ila ni martial matupu na pia hongera kwa kumwambia DPP awatoe hao wahujumuuchumi walipe miradi iiendelee hongera sana raisi wangu
@georgewarioba97694 жыл бұрын
Napata shida sana kuona jinsi gani baadhi ya viongozi wa Serikali wanavyoshindwa kumuelewa Mh. Rais! Unajiuliza hivi hawa watu kusoma hawajui hata kuangalia picha wameshindwa! Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu.
@chamapatrickp.b5814 жыл бұрын
1.Makonda Ajiandae kuondoka. 2 . Mungu AKUBARIKI
@mudikomba74374 жыл бұрын
Mungu akulinde rais wetu mpendwa
@emmanuelnyanda5283 Жыл бұрын
Speech hii inanikumbusha mbali. Pumzika salama baba
@kpatrick84684 жыл бұрын
hakuna kumtoa Mh Makonda Dar, mengi kafanya mazuri ,hakuna mwanadamu hasiye kuwa na kasoro, bado anayo sifa ya kuongoza jiji la Dar,bado anayo nafasi ya kujirekebisha
@ismailkhalid61864 жыл бұрын
Mipango ya watendaji wa dar kumwangusha makonda inakarbia
@ismailkhalid61864 жыл бұрын
Makonda watendaji wako karbia wanafanikiwa kukwangusha kua mkali sana wanasubir kushangilia kW udhindi wao
@user-my9hc6uf9l4 жыл бұрын
Si mkazi wa Dar, lakini Mh.Makonda amefanya mengi mazuri. Angalizo kwa Mh.Makonda,awe mkali, akicheka na.... atavuna mabua, alafu watamcheka, mazuri aliyofanya tumeyaona,ni binadamu ,hakamiliki
@sudiyahya92764 жыл бұрын
Upo sawa mze baba.mi nakuelewaga sana,
@franceslenis45124 жыл бұрын
I have been understanding your language since then
@imamuhemedi43874 жыл бұрын
Frances Lenis .
@franceslenis45124 жыл бұрын
@@imamuhemedi4387 yes Imamu
@mtangombayaya70004 жыл бұрын
Hakika mungu atakusimamia daima raisi wangu kwa nia njema kwa taifa letu.
@wanderaothumani49194 жыл бұрын
Allah akulinde
@piusrobart10404 жыл бұрын
baba uko vzr ningependa wakuongeze uongoze miaka hata thelathin
@innocentmleli1196 Жыл бұрын
Mungu awe nawe daima
@williamhalinga35844 жыл бұрын
Ongera rais wetu speed hiyo hiyo ndo tunapenda hivo
@user-my9hc6uf9l4 жыл бұрын
Mheshimiwa Rais, Mtanzania yeyote anayekusema vibaya juu ya utendaji wako atakuwa ni alama ya unafiki, nchi ilikuwa inaendeshwa kimazoea, unataka watumishi wa Serikali na wananchi wabadili "mindset "ili wajue kuwa "jana" imeshapita,hii ni zama nyingine sio ile ya kazi kwa mazoea. Mh. KARIBU MKURANGA !
@thomasmagoti9040 Жыл бұрын
Lala mzee wetu
@abuusufian65064 жыл бұрын
Mume wangu Kazana 😂😂😂😂😂😂
@lamecktheonest2254 жыл бұрын
Abuu sufian he! Mume tena😁😁
@isackcsimba14364 жыл бұрын
Sasa Bunge LA Nin wakati Magufuri Ana sifa ya Ubunge pia Ana Sifa ya Uwaziri ikiwa yeye ni RAIS . Dhu kwel kizur akidumu ila Namuombea Adumu zaid na Mungu ampiganie . Hakuka Utakumbukwa Sana Kama tutaleta Utani juu ya Uyu Mtu Jamani . Wamemuua ghadafi lakin naona Roho ya Ghadaffi inatenda kaz . You're the Best
@trendings12934 жыл бұрын
Iko tu Sawa kama mtu akirudisha pesa that is what we need