HOTUBA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ALIPOWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA - IKULU DSM

  Рет қаралды 173,488

Ikulu Tanzania

Ikulu Tanzania

4 жыл бұрын

HOTUBA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ALIPOWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA - IKULU DSM

Пікірлер: 225
@coastermahenge8910
@coastermahenge8910 4 жыл бұрын
miaka 20 magufuli ngongeni like hapa,kuunga mkono
@raymondshilatu2495
@raymondshilatu2495 4 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu Rais wetu
@shilungumoshi3732
@shilungumoshi3732 4 жыл бұрын
Kiukweli huu ndio uadilifu unaofaa zaidi kuigwa kwa viongozi wotee Wa madhehebu ya dini na Wa serikali kwa ujumla hapo ndipo tutapata jamii mpya na Tanzania mpya.Hongera sana mheshimiwa JPM.Barikiwa
@ramadhankambalame4681
@ramadhankambalame4681 4 жыл бұрын
Alafu kuna baadhi ya watanzania wanasema Raisi hafai kwel? Allah katushushia neema ya huyu mzee Raisi magufuli
@imamuhemedi4387
@imamuhemedi4387 4 жыл бұрын
Shilungu Moshi
@yohanamhanzi6797
@yohanamhanzi6797 4 жыл бұрын
Rais nakuelewa sana DPP tukusanyie hizo pesa zitusaidie kuboresha Nchi hapo DPP utakuwa umeacha alama ktk nafasi yako tena ya kihistoria na Mungu atakuona ktk hili.
@Teachercandle
@Teachercandle 4 жыл бұрын
Hongera mheshimiwa raisi kwa kuwaeleza ukweli ili waweze kujifunza unaowateua..
@mohamedkikale7241
@mohamedkikale7241 4 жыл бұрын
Allah mjalie Afya, wered, kheqma busara, na uchapa kazi Rais wetu, kwa niaba ya watanzania wote.
@user-my9hc6uf9l
@user-my9hc6uf9l 4 жыл бұрын
Amiiin Rabbil Alamiiin
@godfreynjamasi7403
@godfreynjamasi7403 4 жыл бұрын
Uyu president wengine wasubili
@upendonyava7574
@upendonyava7574 4 жыл бұрын
UsikukuhusumagerezakutorewawFungwa
@shamirik_
@shamirik_ 4 жыл бұрын
itatumia muda sana kumuelewa mh raisi wetu jpm.sasa nimeshajua nn muheshimiwa anataka 1.kutofuja kodi za wananchi 2.kulinda na kutetea haki za wananchi 3.ukweli na uwazi 😎 kazi kazi kazi kazi jpm raisi ambaye hatosahaulika .(ukweli usemwe).sina chama
@SuperKibwana
@SuperKibwana 4 жыл бұрын
4 kuchapa kazi
@SuperKibwana
@SuperKibwana 4 жыл бұрын
6 Kuacha majungu
@SuperKibwana
@SuperKibwana 4 жыл бұрын
5 Kila mmoja kujitambua na kuyajua majukumu yake
@imamuhemedi4387
@imamuhemedi4387 4 жыл бұрын
Shamik Tv
@kombosaira7894
@kombosaira7894 4 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa wa tabora angeletwa Dar.
@chumizola1847
@chumizola1847 4 жыл бұрын
Ile nia yangu ya kumuandika Mheshimiwa Raisi Barua, sasa inatimia! Mungu Azidi Kukubariki JPM
@hajisalum3494
@hajisalum3494 4 жыл бұрын
Magufuli atabaki kuwa magufuli tu mjomba magu 2020 kula yangu utaipata panapo majaaliwa
@romeoromeo4125
@romeoromeo4125 4 жыл бұрын
Kaka Makonda jipange vzr, juzi kakuripua Vingunguti leo Coco Beach. Fanya kazi mambo yasiwe mengi!!!
@ismailkhalid6186
@ismailkhalid6186 4 жыл бұрын
Makonda taa ya njano imeanza kuwaka
@philemganga8411
@philemganga8411 4 жыл бұрын
Huyu ndiye Raisi !
@lovebusness8777
@lovebusness8777 4 жыл бұрын
Red inakarbia ustoshe makonda nae mambo meng
@adenihalisi4218
@adenihalisi4218 4 жыл бұрын
Sawa nimeelewa wewe ndio Rais Magufuli wengine walikuwa ni mfano wa marais!
@obbybenitho5803
@obbybenitho5803 4 жыл бұрын
adeni Halisi nakubaliana ww
@user-my9hc6uf9l
@user-my9hc6uf9l 4 жыл бұрын
Wengine walikuwa "symbols ", Hahahaaa!
@kimanzikato9678
@kimanzikato9678 4 жыл бұрын
adeni Halisi
@mr.machange1377
@mr.machange1377 4 жыл бұрын
Watumbue bhana Mi naona upo sawa tu JPM
@seifmalijan8775
@seifmalijan8775 4 жыл бұрын
utakumbukwa mheshimiwa Rais kwamema unayoyafanya ktk nchi yetu.
@ahmadateguro4886
@ahmadateguro4886 4 жыл бұрын
Yani mpaka machoz yananitoka kwa haya maneno wanayoambiwa wateuliwa dahh mungu katuzawadia allah akbarrrrrrr mungu mlinde raisi wetu kwa kila shari za walimwengu
@ahmedsalimsaleh9726
@ahmedsalimsaleh9726 4 жыл бұрын
Amin
@petermponzi411
@petermponzi411 4 жыл бұрын
"Tanzania got amazing President"
@ronaldsariah8760
@ronaldsariah8760 4 жыл бұрын
Mheshimiwa hebu tupia jicho pale BRELA. Kuna changamoto kadhaa. Wachache watanielewa
@mswanawamswana3129
@mswanawamswana3129 4 жыл бұрын
Asante sana kwa mabadiliko huko Morogoro. Mzee umemvumilia sana mh. Kebwe. Naomba umulike na Polisi mzee wetu ikibidi mabadiliko yafanyike. Kubadili leseni pale trafiki ni shida sanaaa. mazingira ya kupata leseni mpya ni magumu sana. Morogoro mulika polisi. Kuna alama tatu ambazo hazipo ktk barabara za Tanzania lkn utaulizwa tu maana wanataka kukwamisha ku renew leseni.
@kingndinyo9764
@kingndinyo9764 4 жыл бұрын
Viva Magufuli 2020 kura ipo gombea mpk miaka 20 mbele hk wote 2naongea lugha moja xaa hizi 😂😂
@amirichaka355
@amirichaka355 4 жыл бұрын
Muheshimiwa wewe ni mwalimu tosha ktk utawala wako tusipo jifunza jombo basi Tz imeangamia na maendeleo ni hadithi ya mbali
@yonamwakanyamale5023
@yonamwakanyamale5023 4 жыл бұрын
Nakupenda sana tena sana Raisi wangu JPM, Ni ushauri mzuri kwa mahakama maana mahakama imelala. Tunapata faida gani mtuhumiwa ana Pesa zetu alafu amefungwa, alipe Hela zetu atoke gerezani.
@imamuhemedi4387
@imamuhemedi4387 4 жыл бұрын
Yona Mwakanyamale
@TheCvm229
@TheCvm229 4 жыл бұрын
Ukisikia Hapa ni Kazi... Ndo kama hivi zege halisubiri jumapil ipite
@romeoromeo4125
@romeoromeo4125 4 жыл бұрын
Leo imekaa vzr ili kesho tu waanze kazi
@lovebusness8777
@lovebusness8777 4 жыл бұрын
😀😁😂😂seven dayz kaz kaz
@evelynmon9423
@evelynmon9423 4 жыл бұрын
Mungu akutunze Rais wetu Rais wa watanzania uwafundishe viongozi wa Tanzania 🇹🇿 kuongoza bila kula rushwa inawezekana
@kimanzikato9678
@kimanzikato9678 4 жыл бұрын
Hawa Boko
@geminiflorian6237
@geminiflorian6237 4 жыл бұрын
Hapa Kazi tu , Yani hii Tumbua Tumbua inasaidia kuondoa Mazoea ya kazi , Kiongozi yoyote anatakiwa awe Mwepesi wa Maamuzi yenye Manufaa kwa Taifa , Congratulations Mr President
@lovebusness8777
@lovebusness8777 4 жыл бұрын
Fund mzr ni yule ajuae kujenga na kubomoa
@tozzaalexandar4905
@tozzaalexandar4905 4 жыл бұрын
Magu anaongoza nchi na ana fundisha
@msaphirimagallah5781
@msaphirimagallah5781 4 жыл бұрын
Huyu ndio rais wa Tanzania... Mungu akulinde Baba... saluti mzee wangu! Wasio weza kasi yako wakupishe jembe letu upige kazi na wanaokuelewa tu
@amanichanga3448
@amanichanga3448 4 жыл бұрын
Keep going Tanzania
@jacksommndellah7794
@jacksommndellah7794 4 жыл бұрын
Safi Sana rais mangufuli
@antonykahwage2189
@antonykahwage2189 4 жыл бұрын
hakika mheshimiwa ana upendo wa dhati saaaana na watanzania,
@niyonkurucanesius7773
@niyonkurucanesius7773 7 ай бұрын
REST in eternal peace. we miss from Burundi
@frankrevelian6919
@frankrevelian6919 4 жыл бұрын
tuna mambo mengi ya kujifunza kwa mh rais, kwanza uvumilivu na hekima ya kuona nchi inapigwa na akaamua kunyenyekea akitafuta nafasi nzuri ya kuikomboa nchi kipindi chote alichokuwa kwenye uongozi, hii inatufundisha sana watanzania, hekima na busara ni muhimu sana
@imamuhemedi4387
@imamuhemedi4387 4 жыл бұрын
FRANK REVELIAN
@abuumussa2390
@abuumussa2390 4 жыл бұрын
nakuerewa sana mzee wangu ila kwa sasa kunawatanzania wafanya niyashala bado wanaenderea kuhujum uchumi ukienda kununia kitu anakwabia kwa risit ni sh 12000/= bila risit sh 9500. /= ushauri wangu kwa watanzania tuwe wakweli kama mweshimiwa raisi anavotaka kuripeleka hili taifa mbere mungu ibariki tanzania mungu mbariki mr Rais wa jamuhuri ya muungano
@lovebusness8777
@lovebusness8777 4 жыл бұрын
👏👏👏salout make awa jamaa wanasumbuwa kweli juz nimeenda kununua godoro la super banco futi 3/6 nikaambiwa bila rst 95elf akinipa rist 120,000/=. Nikakubali aniuzie bila rst ila aniperekee mpaka nyumban kwangu nae akakubali kuliweka kwenye gr lake tukaelekea nymbn kwaiyo wafanyabihashara bado hawajakubr kutendea nchi yao haki.
@mumyhendry2919
@mumyhendry2919 Жыл бұрын
Baba ♥️♥️♥️bado ninakupenda mnoo na tunakuhutaji 😭😭😭plz kila sku nakuombea na naamini uko uwepon wa Mungu,tuombee wanao🙏🙏🙏♥️♥️♥️🙏🙏🙏
@msaphirimagallah5781
@msaphirimagallah5781 4 жыл бұрын
Makonda fanya kazi kaka.... huyu mzee humtendei haki, achana na mambo yasiyokuwa na maana fanya kazi
@johnnkwabi8933
@johnnkwabi8933 4 жыл бұрын
Makonda naomba umsikilize mzee anataka nini juu ya Tanzania mpya bila uchafu kazini inawekana
@deusmauka9626
@deusmauka9626 4 жыл бұрын
Mi machozi yanatoka tu, muoneeni huruma JPM, pigeni kazi jamani.
@janeypheremmanuel9844
@janeypheremmanuel9844 4 жыл бұрын
nakupenda Rais wangu Mungu akubarik sana
@rweumbiza255ommy7
@rweumbiza255ommy7 4 жыл бұрын
safi sana mkuu wa nchi Tunakuelewa sana...Allah akulinde na akupe afya njema
@lucyngoliga3822
@lucyngoliga3822 4 жыл бұрын
Upo vzr magu Hongera sana
@thamu3133
@thamu3133 4 жыл бұрын
mzee wape wape hahahahahaa,huo ndo ukwel,nakupenda bure magu
@lamecktheonest225
@lamecktheonest225 4 жыл бұрын
Red Son 😁😁😁😁 yaanii
@hassanhamis6062
@hassanhamis6062 4 жыл бұрын
Magu unstisha unatumia kipaji
@mathayothomas3744
@mathayothomas3744 4 жыл бұрын
Kitu hujakosea ni kumtumbua mkuu wa mkoa wa morogoro maana alishindwa kazi kabisa hafai
@omarimkuya
@omarimkuya 4 жыл бұрын
mh raisi hakika nafurahi kwa hili la mahabusu kwan wengi wanatamani hata msamaha wako mkuu, tunashukuru ila tukumbuke kwenye ajira sisi vijana hasa wa IT & Data Science bado soko letu la Technology lipo chini na vijana ni wengi wenye utaalam wa TEHAMA! asante sana mh raisi na mungu akupe afya tele kwa kazi unayoifanya maana wengi hawaelewi ila wataelewa tu!
@safari5774
@safari5774 Жыл бұрын
Rest in peace Magufuli we shall remember you mungu ailaze mahali pema peponi.
@stevenmeshack467
@stevenmeshack467 8 ай бұрын
Uyuuu mzeee kweliii ni mfano sanaaa wakuigwaaa" upumzike baba yetuu mpendwaa
@celinaweber7024
@celinaweber7024 4 жыл бұрын
Mh. John Pombe Joseph Magufuli, Tunashukuru sana kwa kazi yako nzuri sana sana Mungu akubariki akupe maisha marefu yenye baraka na afya tele! Barikiwa sana kiongozi wetu.
@kabaranamaganga6646
@kabaranamaganga6646 4 жыл бұрын
Nakutakia maisha marefu mh Rais hakika Mwenyezi Mungu ni mwaminifu
@omarykaita43
@omarykaita43 4 жыл бұрын
Mheshimiwa Rais pole kwa kazi ngumu, hongera kwa nia njema, sisi wazalendo na tunaojua nia ya moyo wako kwa Tanzania na Africa kwa ujumla Tunaitafsiri nia hiyo kwa kufanya kazi kwa bidii na kujituma ili kuweza kukomboa uchumi wa nchi yetu toka katika makucha ya wakoloni wa kiuchumi. Mwenyezi Mungu aendelee kukupa maono zaidi katika kutuongoza kwenda kanaani ya maendeeo yetu kama Taifa.
@beatusmichael4688
@beatusmichael4688 4 жыл бұрын
Good 👍👍👍👍👍
@pangarasfuko2383
@pangarasfuko2383 4 жыл бұрын
Yan nchi hii utazan viongozi wanaelekezwa kama ndio wanatoka chuo ,yan hawaelewi
@mangegervas9651
@mangegervas9651 4 жыл бұрын
Pole jpm na hongera kwa maamuz magumu
@godsonmasawe5163
@godsonmasawe5163 4 жыл бұрын
THE BEST PRESIDENT EVER, I REALLY LIKE YOU MR PRESIDENT AM PROUD OF MY PRESIDENT JOHN POMBE MAGUFULI GOD BLESS AND PROTECT YOU.
@angellarobert3892
@angellarobert3892 4 жыл бұрын
Mungu akutangulie Rais wetu mpendwa JPM. LIVE LONG
@edibertevarist1044
@edibertevarist1044 4 жыл бұрын
Kabisakabisa, upo sahihi mzee wetu wa nchi!,chapa kazi tupo nawewe
@shufaashabn1235
@shufaashabn1235 Жыл бұрын
Niliwa nakupenda kwa sababu ulikuwa hutumbui walk kuteua bila kufundisha l unataka nn kifanyike
@nilagushaha1990
@nilagushaha1990 4 жыл бұрын
Well noted,,,stay blessed our Honourable President JPM. We promise you as Country men, we shall not be, STIFF NECKED PEOPLE!! To implement what is right in accordance to your Outstanding views"
@rwenenahomechannel1634
@rwenenahomechannel1634 Жыл бұрын
Na ndio maana damu yako italeta laana kwa wengi na neema ya busara na hekima kisiasa,ki dini kwa wenye kuzitumia akili kwa weledi. Raha ya milele inakuatahili baba Magufuli. Utubee huko pema ulipo.
@frenkisaya1280
@frenkisaya1280 4 жыл бұрын
Jpm wewe ni zaidi ya Rais
@jerumayamwasomola1065
@jerumayamwasomola1065 4 жыл бұрын
Pole Kebwe. Ndio maisha.Kuna mazuri ulifanya,lkn dunia huwa inaangalia mabaya tu.
@nicolauswandao8988
@nicolauswandao8988 4 жыл бұрын
Macho ya bashite sasa duuuuu imepenya iyo mjomba, wape vidonge vyao ☠☠☠⚠⚠⚠
@mamachris6811
@mamachris6811 4 жыл бұрын
Mungu akusimamie Raisi wetu,kazi ni ngumu kwa sababu nchi ilishaoza, Siasa nyingi kuliko utaalam Wanaokuelewa ni wachache. Mungu asaidie upate akina Majaliwa na Jaffo japo 10 tu
@violetn.finnvik373
@violetn.finnvik373 Жыл бұрын
Tutakukumbuka milele Baba yetu 😭🇹🇿🙏❣️
@SuperKibwana
@SuperKibwana 4 жыл бұрын
Mr President.
@dorakiyao4509
@dorakiyao4509 Жыл бұрын
Mungu wangu,pumzika babaaa pumzika ,tunakukumbuka mnooo ,tunapata wapi MTU kama huyu
@deusmauka9626
@deusmauka9626 4 жыл бұрын
Mh. Makonda nakupenda sana, wewe ni mchapa kazi, usimwangushe Rais wetu kipenzi JPM, piga kazi bhana, achana na mambo ya kubembelezana.
@erickmmary4225
@erickmmary4225 Жыл бұрын
Kiukweli tuta kumiss ulikuwa mkweli daima so tuta kumbuka zaidi nazaid dady
@mpilimieston9982
@mpilimieston9982 4 жыл бұрын
Kwenye hilo nipesa tu lipa pesa utoke rupango
@meshackkanyetisahani5584
@meshackkanyetisahani5584 2 жыл бұрын
Ama kweli mweshimiwa uliweza kutoa mwelekeo mzuri wa nchi yetu na ulistahili kabisa kuwa mwalimu kwa ajili ya kuelimisha watanzania na waafrika wote...R I P Baba.
@wamalaibrahim1844
@wamalaibrahim1844 4 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde Mzee mweshimia Laisi Magufuli mimi ni mu Tanzania niliozalia uganda rakini naomba Mwenyezi Mungu aniwezeshe nikuoni ila niongeye nawewe jina rangu Ibrahim
@juddykazoka3066
@juddykazoka3066 4 жыл бұрын
Mungu akutenze mh raisi
@amriharuna4236
@amriharuna4236 4 жыл бұрын
IKULU TANZANIA mwambieni amtoe Makonda Dar aende Tabora na Mwanry wa Tabora aje Dar atamfaa Sana maana mheshimiwa anapambana ila viongozi walio chini yake hawajamuelewa
@jumaigoti8676
@jumaigoti8676 4 жыл бұрын
Magu uko sawa
@juddykazoka3066
@juddykazoka3066 4 жыл бұрын
Mheshimiwa raisi ukienda hospitali una miaka 60 Kama wanakuona unajiweza dawa zingine wanakuambia ukanunue
@goodluckellyupfreshbrother7207
@goodluckellyupfreshbrother7207 4 жыл бұрын
Dah aise
@rsautoservice984
@rsautoservice984 4 жыл бұрын
Tambua kuwa msanii harmonize ndio aliye mfanya raisi wa Tanzania John pombe.. Kusamehe wafungwa.. Harmonize top..
@neytoboy4925
@neytoboy4925 4 жыл бұрын
mh tunaomba uje na songwe utusalimie
@SafeHaven_TV
@SafeHaven_TV 4 жыл бұрын
Nakupenda mno rais wangu,hata sijui nikupendeje zaidi...nahisi haijatosheleza.
@salimzaidi9203
@salimzaidi9203 4 жыл бұрын
Mungu akulinde milele baba etu wa taifa wewe kweli ni mungu alikuteua kuitumikia Tanzania
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf Жыл бұрын
Jiwe hili sijuwi lilikanyangwa na nini hadi kuvurugika?..
@J4UPro
@J4UPro 4 жыл бұрын
Safi sana rais wangu
@imanbrettyjohn379
@imanbrettyjohn379 4 жыл бұрын
Kura yangu 2020 kwako mhe.Raisi maan kazi yako ni nzuri sisi wananchi wako tunafurahi sana
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 Жыл бұрын
😭😭😭
@furahamwajeka7463
@furahamwajeka7463 Жыл бұрын
Barikiwa Sana baba na mungu amurehemu
@fanbullalukasa486
@fanbullalukasa486 4 жыл бұрын
kweli JPM ni mti wa mpingo,asante kwa sindano imeingia!!!
@robertfrank1207
@robertfrank1207 4 жыл бұрын
Mzee ongea na wakuu vituo vya wakae peupe vituoni huwa tunapereka malalamiko. Hatuluusiwi kuwaona. Tunazuiliwa na askali wake wadogo.
@stivejayngoga1403
@stivejayngoga1403 4 жыл бұрын
Kuna PSSSPF pia ni janga mkuu!
@rockzenamtui6296
@rockzenamtui6296 4 жыл бұрын
Daah rais umenifurahisha sana mungu aendelee kukusimamia una kumbukumbu hatari hausomi mahali popote ila ni martial matupu na pia hongera kwa kumwambia DPP awatoe hao wahujumuuchumi walipe miradi iiendelee hongera sana raisi wangu
@georgewarioba9769
@georgewarioba9769 4 жыл бұрын
Napata shida sana kuona jinsi gani baadhi ya viongozi wa Serikali wanavyoshindwa kumuelewa Mh. Rais! Unajiuliza hivi hawa watu kusoma hawajui hata kuangalia picha wameshindwa! Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu.
@chamapatrickp.b581
@chamapatrickp.b581 4 жыл бұрын
1.Makonda Ajiandae kuondoka. 2 . Mungu AKUBARIKI
@mudikomba7437
@mudikomba7437 4 жыл бұрын
Mungu akulinde rais wetu mpendwa
@emmanuelnyanda5283
@emmanuelnyanda5283 Жыл бұрын
Speech hii inanikumbusha mbali. Pumzika salama baba
@kpatrick8468
@kpatrick8468 4 жыл бұрын
hakuna kumtoa Mh Makonda Dar, mengi kafanya mazuri ,hakuna mwanadamu hasiye kuwa na kasoro, bado anayo sifa ya kuongoza jiji la Dar,bado anayo nafasi ya kujirekebisha
@ismailkhalid6186
@ismailkhalid6186 4 жыл бұрын
Mipango ya watendaji wa dar kumwangusha makonda inakarbia
@ismailkhalid6186
@ismailkhalid6186 4 жыл бұрын
Makonda watendaji wako karbia wanafanikiwa kukwangusha kua mkali sana wanasubir kushangilia kW udhindi wao
@user-my9hc6uf9l
@user-my9hc6uf9l 4 жыл бұрын
Si mkazi wa Dar, lakini Mh.Makonda amefanya mengi mazuri. Angalizo kwa Mh.Makonda,awe mkali, akicheka na.... atavuna mabua, alafu watamcheka, mazuri aliyofanya tumeyaona,ni binadamu ,hakamiliki
@sudiyahya9276
@sudiyahya9276 4 жыл бұрын
Upo sawa mze baba.mi nakuelewaga sana,
@franceslenis4512
@franceslenis4512 4 жыл бұрын
I have been understanding your language since then
@imamuhemedi4387
@imamuhemedi4387 4 жыл бұрын
Frances Lenis .
@franceslenis4512
@franceslenis4512 4 жыл бұрын
@@imamuhemedi4387 yes Imamu
@mtangombayaya7000
@mtangombayaya7000 4 жыл бұрын
Hakika mungu atakusimamia daima raisi wangu kwa nia njema kwa taifa letu.
@wanderaothumani4919
@wanderaothumani4919 4 жыл бұрын
Allah akulinde
@piusrobart1040
@piusrobart1040 4 жыл бұрын
baba uko vzr ningependa wakuongeze uongoze miaka hata thelathin
@innocentmleli1196
@innocentmleli1196 Жыл бұрын
Mungu awe nawe daima
@williamhalinga3584
@williamhalinga3584 4 жыл бұрын
Ongera rais wetu speed hiyo hiyo ndo tunapenda hivo
@user-my9hc6uf9l
@user-my9hc6uf9l 4 жыл бұрын
Mheshimiwa Rais, Mtanzania yeyote anayekusema vibaya juu ya utendaji wako atakuwa ni alama ya unafiki, nchi ilikuwa inaendeshwa kimazoea, unataka watumishi wa Serikali na wananchi wabadili "mindset "ili wajue kuwa "jana" imeshapita,hii ni zama nyingine sio ile ya kazi kwa mazoea. Mh. KARIBU MKURANGA !
@thomasmagoti9040
@thomasmagoti9040 Жыл бұрын
Lala mzee wetu
@abuusufian6506
@abuusufian6506 4 жыл бұрын
Mume wangu Kazana 😂😂😂😂😂😂
@lamecktheonest225
@lamecktheonest225 4 жыл бұрын
Abuu sufian he! Mume tena😁😁
@isackcsimba1436
@isackcsimba1436 4 жыл бұрын
Sasa Bunge LA Nin wakati Magufuri Ana sifa ya Ubunge pia Ana Sifa ya Uwaziri ikiwa yeye ni RAIS . Dhu kwel kizur akidumu ila Namuombea Adumu zaid na Mungu ampiganie . Hakuka Utakumbukwa Sana Kama tutaleta Utani juu ya Uyu Mtu Jamani . Wamemuua ghadafi lakin naona Roho ya Ghadaffi inatenda kaz . You're the Best
@trendings1293
@trendings1293 4 жыл бұрын
Iko tu Sawa kama mtu akirudisha pesa that is what we need
@stevenmeshack467
@stevenmeshack467 Жыл бұрын
🙏🙏 Rest easy baba yetuu
@prospermakundi2787
@prospermakundi2787 4 жыл бұрын
Tanzania tumepata kiongozi,
@SuperKibwana
@SuperKibwana 4 жыл бұрын
Kazi nzuri sana kwa kweli.
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House
00:18
123 GO! HOUSE
Рет қаралды 17 МЛН
HOTUBA KAMILI YA RAIS MAGUFULI AKIWA TARIME - 07/09/2018
1:23:49
HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWA UKEREWE - 04/09/2018
59:24
Azam TV
Рет қаралды 799 М.
0CTOBER 31,2016 ZIARA YA MH RAIS MAGUFULI NCHINI KENYA PARTY ONE
56:16
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
#LIVE: RAIS DKT. MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA DARAJA KIYEGEA MKOANI MOROGORO
1:03:04