Mwendo wabandika bandua kma unamkubali mama candy kua mkweli weka like hpa from Oman 🇴🇲
@busatitv20 күн бұрын
❤❤❤
@user-hf7pk2lx4v20 күн бұрын
Candy heri upoteze vitu zote lakini kukana mama mzazi hiyo ni laana asiyeskia la mkuu huvujika guu
@happynesbaemuhappynes881320 күн бұрын
Tunawashukuru sana kwa Move nzuri @@busatitv
@user-uz7uq5lj5w20 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉 Nawakubali Sana Jamani 🎉🎉🎉🎉kwahilo kofi la kwenye chavu 😮😮😮😮atari😂
@YasmeenKhalifa-zq1zk20 күн бұрын
🇴🇲
@CarolineMurugi-bt5dz20 күн бұрын
From kenya guys,,,mwenye anaona kendo anamfanyia mamake vibaya ngonga like hapa jamani😅
@ministerlightnessrobert534220 күн бұрын
Wale tunao ona ndowa ya zuu na kahi itafungwa like apa😊
@HellenSteven-y2y20 күн бұрын
❤
@user-lx8zm7rh4c17 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@JacksonVicent-i1t20 күн бұрын
❤ hii tamthilia cjalala nilikua nakusubir hiki kipande brothers mnajua sana
@YohanaKagundo20 күн бұрын
Wakwanza Leo Mimi naombeni like 10 kwajili ya dada wa kazi
@lovnell646220 күн бұрын
Mm kama shabiki naombeni likes ata Tano tw❤
@AdamZainab-mb7qj20 күн бұрын
Na mm Kam shabiki nimekup like
@user-qb4qp7xj7d20 күн бұрын
😅😂🤣@@AdamZainab-mb7qj
@user-qd7ey5cp5s20 күн бұрын
Watu wa kuomba likes hapa kama watoto ni lini mtakuwa watu wazima sasa😏😏hakuna siku mtawahi ongea mambo ya muhimu kupitia hii filamu na mjifunze kitu hapa....acheni utoto😏😏😏mnaboo sana
@marynabwile408620 күн бұрын
Hapo umenena wanaudhi sana
@user-im8pr5cj3n20 күн бұрын
Wanakela blaa😏😏
@user-ee5ek3se1s20 күн бұрын
Upo sahihi my dear
@naominafula780317 күн бұрын
Wanaudhi sana aiseee
@Mwanamvua-ze5ls20 күн бұрын
Wangap wanamkubli kendi kuitwa shida 😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂gonga like apo
@queenyqadoty19 күн бұрын
Hilo jina linamfaa sana😂😂😂😂
@queenyqadoty19 күн бұрын
Hilo jina linamfaa sana😂😂😂
@Mwanamvua-ze5ls19 күн бұрын
@@queenyqadoty 😀😀😀😀😆😂
@kalambonews20 күн бұрын
Mbona dada wakazi ajawai like comment yangu au Hana smart phone adi sasa 🤔🤔🤔
Hongeren San Kwa Kaz nzur Mung awabarik sana nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@user-sk7un6ls2t20 күн бұрын
Nimewahi naombaeni like kidogo please 😢😂😂😂❤❤❤
@Rsilk19220 күн бұрын
😢
@Marim-sj7oi20 күн бұрын
Hongera 🎉🎉🎉
@user-qb4qp7xj7d20 күн бұрын
Hay nimekupa Maan umeongea kwahuruma jmn
@user-sk7un6ls2t20 күн бұрын
@@user-qb4qp7xj7d asante 🤣🤣😂😂
@user-os3tt6ru7k20 күн бұрын
Kaombe msikitini
@user-yp7qy2qf7k20 күн бұрын
Mama ni mama hata kama unamzidi elimu candy mamako na unamfanyia hivo 😢😢😢😢😢
@brendakhasiala734320 күн бұрын
Tangu EP 1 adi hii Leo Wacha ni comment aki nime fell mamake shida wah kweli kabisa hiyo ni uchungu, kumzaa adui yako 😢, like zi come basi
@user-ti5mt6cr7v20 күн бұрын
Wanao mkubari mam cendy kusema ukweli weka like
@mauamshindo255820 күн бұрын
Sehem ya comment ni yakutoa mawazo na mlichojifunza nyie mnaomba like😂😂😂🙌
@Mariam55-hz8if20 күн бұрын
Huyu candy kiboko sana yaan mama ake anamjibu kama mke mwenzake na huyo masozi saut kama kaweza sabufaa😂😂😂😂😂kudangia vilema hii noma sana
@AdelaLudovick20 күн бұрын
Wanaoniunga mkono kuwa waongeze dakika like zenu tafazali
@UpendoHussein-k7t20 күн бұрын
Busati tv mambo ni moto MR TASHA umetisha sana
@user-jr1qx1sj8t20 күн бұрын
Ucmdharau mzazi ata kama ana magumu kumbuka yy alikulea akiwa na maisha hayo hayo ya dhiki 2heshimu sana wazaz 2uangalie kisa cha candy na kai 2kielwe nawapenda wote❤❤
@MizeMatano-nb9pj20 күн бұрын
Wenye tumeisubiria kwa hamu tujuane hapa mnipe like ata tatu🎉🎉🎉
@HellenSteven-y2y20 күн бұрын
🎉🎉
@user-xn7ru6fl6q20 күн бұрын
Wa tatu leo like zenu
@user-mv6vi1gv6f20 күн бұрын
Leo130 naomba like mwenye atakuja nyuma 🎉❤🎉❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@UniceMsomi20 күн бұрын
Naona watu hamlali duh sio pw jaman Ata dakika1 haijaisha ila watu mpo😂😂😂Aya bana kutoka zanzibar apa ❤
@Emeraldlady1692020 күн бұрын
Wawooooh hatimaye mama lend kuonyesha ukweli kuhusu kandy
@SleepingEyes-ej3ir20 күн бұрын
Wa Kwanzaa nipeni like wapenzi much love from Canada ❤❤
@nurusaid469820 күн бұрын
Cendi Wwe Aya Kma Ndio Maisha Kweli Cjui Ungekuaje Maana Naona Mtto Uliepatikana Kwa Shuda Ungekuwa Unamfita Mmako Machozi Aliopitiya Yuma Nawe Ila Funzo Zuri❤❤❤❤
@RAMSABOYTZ20 күн бұрын
Nyie watu sio WAZURI mmeshafika kumbe ila acheni kuomba like mnazingua aiseeee
@sabrahnibuka121120 күн бұрын
Daah chozi limenitoka daah
@MymunaMuna-qn5lo20 күн бұрын
hawana kazi 😊
@ClariceMatulanga20 күн бұрын
Kumbe umeona😂😂😂😂
@GetrudeChengula20 күн бұрын
Ndio waache usumbufu
@user-bm4nr4no2d20 күн бұрын
@@GetrudeChengulaWanasumbua 😂😂
@estermpare407820 күн бұрын
Yaani comment zilizojaa ni kuomba like tuu !! Hebuu kuweni watu wazima basi acheni utoto. Mnakeraaa😏😏😏😏😏
@user-qd7ey5cp5s20 күн бұрын
Waambie maana mm nishachoka
@jaliamartinz20 күн бұрын
Wambie bwana 👏👏👏
@SunGod-i4b20 күн бұрын
Waambie jmn waelewe sababu wanakera sana
@marynabwile408620 күн бұрын
Waambie tena wanaudhi sana
@TabiaMwaisumo-ss7pz20 күн бұрын
Wanakera sana
@user-mq3zd9vk2p20 күн бұрын
Pole sana mama candy waaah hii movie ina Mafunzo mengi sana big up sana 🎉🎉🎉❤❤❤
@RehemaSospeter-vu4ms20 күн бұрын
Yan kwenye tamthilia zingine watu hawaombi like km humu jmn....hemu acheni
@user-or7bm5ui5f20 күн бұрын
Wa kwanza jaman naomba like 2
@JasminiSabun20 күн бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭kumbe watoto wakubakwa ndo wako hivo
@adelinaomani901220 күн бұрын
Wengi wao wasumbufu sabu ya waliomzalisha hiyo ndo ndo tabia sasa mtoto piahulisi
@JacksonVicent-i1t20 күн бұрын
Shabiki no one member NN mm APA mkurya niso na baya tarime moja kichwa radi panga sheria nawakubali sana wakongwe kai zuh hii part unyama sana ❤❤❤
@MaryamMaryam-ru1qt20 күн бұрын
Hahaha wakulya 2po
@user-dn3sn2fk9v20 күн бұрын
40 ep house girl here we go❤❤❤❤❤❤❤❤❤ I wish isiishe iendelee Tu at ad 1000ep😂😂😂
@juma347320 күн бұрын
Kweli kabisa nzuri sana sana usimalize jamani iwe kama ya kihindi ❤❤❤❤❤❤❤
@user-os3tt6ru7k20 күн бұрын
Hahahaha
@MymunaMuna-qn5lo20 күн бұрын
hata kwenye tivi nyumbani wambieni wawape like kwenye tivi maana kwenye simu tumechoka like like khaaaa mnachosha
@VioletGerald-dl9wr20 күн бұрын
Nimewah leo jaman wap like
@RAMSABOYTZ20 күн бұрын
Mnaoomba like mnaenda kupika kama mbogas au niadje
@user-kc7ri4vj4q20 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@SunGod-i4b20 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@aishaaisha709720 күн бұрын
😅😅
@CarolyneNyanchama-yk1gf20 күн бұрын
😂😂 Bora uwaulize wewe
@Asha-xc1nc20 күн бұрын
Yani Kila kukicha movi n 🔥🔥🔥nawapenda jaman sana🎉🎉🎉from🇰🇪🇸🇦
@user-gu2yu2wp1z20 күн бұрын
Aisai sio kwa kibuli hicho,,kwa hpo ilipofika kuna kakitu kana kuja,waigizaji n mashabiki wenzang nawapendeni snaaa snaa ❤
Waaaaah yan moto juu ya fire 🔥 tu saiii yan mngemuacha ajiue man anadharau sana huyo nawakubali sana much love from saudi ❤❤❤❤kai hapo usijishaulishe ukampenda tena fanya yote ila umutafute zuu kai ❤❤❤❤
@LovenessValentine-nn7wm20 күн бұрын
Nimewahi Leo jamani maana house girl inanifanya nikeshe mie but nawapenda❤
@Igra25419 күн бұрын
Uchungu wa mwana ajuaye ni mama usimdharau mama mzazi hata mamamlezi samahani ❤Kwa upendo likes za mamake candy
@LightnessUrio-fo7mq20 күн бұрын
Mimi kama shabiki wa house girl naomben ata like kumi tuu mm sitajiuwa atamkininyima😂😂😂🎉🎉
@IshakaMachanoMakame-sb2xx20 күн бұрын
Mnazingua banaaaa
@user-cy2rb4pf7e20 күн бұрын
Safi sana kay, like tu jamani
@user-lu7vs8wd8v20 күн бұрын
Mimba ya candy aka shida ilitakiwa kutibiwa na p 2 mapema sana
@OfficialZuli-ve5kh20 күн бұрын
🎉🎉🎉 nzuriii yenyee kuvutia kuelimisha na kuburudisha
@christine774420 күн бұрын
Waaa candy jamani weee hata kma ni move ata nalia much love you guys❤❤❤
@WeddyMithika20 күн бұрын
Much love from kenya🇰🇪
@LINDAKARANI-jx3dr20 күн бұрын
Fellow Kenyans let's gather here
@aishaqassim177720 күн бұрын
Leo nimewahi wakwanza ila nawapenda 😊😊😊mungu awabaliki kwakazi nzuli ❤❤❤❤
@zubedamae-ro1jx20 күн бұрын
Hii movie aky inamafunzo lkn sijui kama nayaona mm au pia nyinyi waomba like mnaona au nivip, anyway tuwapende wazz wetu na tusiwe wepesi wepesi wa kuamini marafika tukaacha mashauri ya wzz, napia kugawa sio poa unajidhalilisha 😂😂 yaaan kugawa kitumbuaaa 😂😂😂
@PurityWaithira-ud2vj19 күн бұрын
Mie naombeni msamaha kazi imekuwa nyingi huku qatar😢, naombeni like tafadhali ingawa ni saa chelewa
@ShakilaHussein20 күн бұрын
Mashallah move nzuli Sana mwenyezi mungu azidi kuwapa ufaham na ujuzi makubwa zaidi ya hapa inshallah nawapenda Sana ❤❤❤❤❤🙏🙏
@mariamsalehabdulla682520 күн бұрын
Wa kwanz mm leooo nilikuw naisubr kw hamuuu
@VaneGesare-wf7oq20 күн бұрын
Weuh kendi mbona humkatae mama kazi kwl kendi cio poa
@AjathSwaibu20 күн бұрын
Leo nimekua wakwanza naombeni like jaman wapendwa na mpenda sana zuu na Kai
@user-os3tt6ru7k20 күн бұрын
Hizo like kamuombe mama yako
@AjathSwaibu20 күн бұрын
@@user-os3tt6ru7k mmmm sawa
@Franciscah-ks5zq20 күн бұрын
nilisubiria kwa hamu na ghamu hii
@ElizabethOuma-j4s20 күн бұрын
Isay mnabamba hapa mie Niko shule wee mnabadilsha matendo yanyu well done
@zanishaikhonge729620 күн бұрын
Kidogo nimewahi jaman kazi nzur pamoja sana
@Jumambogo12320 күн бұрын
Mimi sitaki like zenu
@jofumwakalambo109720 күн бұрын
Kwanza mm jaman toka sumbawanga
@aishaomar228720 күн бұрын
Candy alopiga mamake jiwe la kichwa kisa chakula kai ndie ulitarajia awe mkeo😢...inasikitisha, watoto tuwapende na kuwajali mama zetu hata watokee kutupata katika mazingira gani
@user-le6xc6ei5x20 күн бұрын
Wakwanza leo 😂😂team zuu miko juu
@SunGod-i4b20 күн бұрын
Hizo like mnazo omba mnaenda kupanguzia mavi au, mnakera sana
@annwanalo781320 күн бұрын
Jamani Leo nimewai 🎉🎉❤jamani ata like Moja tu ❤
@merinazyd053220 күн бұрын
Wapeni wenzenu hongera na sio kuomba like jamani kwani mnataka mzipeleke wapi hizo like mbona akili hamna
@CatherineLubela-sb1fb20 күн бұрын
Wana Kela saana Hao wote Wanao omba like sijui niutoto jamani
Jamn msimlaumu cendy vile alivyo ni kwasababu cendy anababa sita yaan ajulikani baba😅
@Dayana-o4z20 күн бұрын
😂😂😂waaah wewe sio cendy wewe n shida
@sussymtunga367320 күн бұрын
Mambo imechemka hku sana waaa aki 😂😂😂😂😂 candy uko na vitisho...... very interesting nangoja the next part 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-nk4oq4ek9y20 күн бұрын
Jmn sofia ni mwiko wa pilau lkn kajeuri sanaa kimbaombao
@user-gy1tu7wv8d20 күн бұрын
Candy kweli ni Shida😅😅😅si bure ya iyo kina lake😂😂😂😂si wamwache hajiue
@ShazzLizz20 күн бұрын
Hadi Mimi nataka likes jamani kutoka Kenya❤️❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@marynabwile408620 күн бұрын
Aki,usituangushe wakenya huwa hatuombi likes huku likes ni kama wimbo
@LINDAKARANI-jx3dr20 күн бұрын
@@marynabwile4086mwambie
@BahatiNjemo-of9lx20 күн бұрын
Kwani na nyie mnaoomba like mbona ivo sasa, ama munkua km ao wanaotumia hii move kwa ajili yakujiendeleza
@AshaNzara20 күн бұрын
😂😂😂kaeni kwa kutulia
@user-ky7cf6nm8d20 күн бұрын
Mmewai ila namimi nimewai team kai 🎉🎉🎉🎉
@dottonangemo216620 күн бұрын
Huyo ndio candy ukisikia mwengine photocopy tupo sambamba na we candy mpaka radhi ikutafune😂
@GivenessJamal20 күн бұрын
Hongerani kwa kutufunza na kutuburudisha
@MupaMumbo-fi4gu20 күн бұрын
Nimekuawa Kwanza Leo nipee like
@jasminselemani6220 күн бұрын
😏🙄😡
@irenengowi865720 күн бұрын
Sahvi hta sio nzurii hii movie jaman zuu the way awamuonyeshi sana na kai
@AidatAmadi20 күн бұрын
Iiih kipande ata sio nzur Yan maadis yamekuwamengi
@chandigamoses0520 күн бұрын
Wakwanza leo ❤❤❤
@-kagerayetubw9jx20 күн бұрын
Uyo mimi sasa
@sadahamad615820 күн бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉 woyoo tupo chonjo team zuu
@Nailah73620 күн бұрын
Yenye nimekumbuka kwa hii movie 😢😢😢😢😢eeeh mola nijazie neema na ujasiri 😢
@nasmaramdhan-bf3bm20 күн бұрын
Naomben like jaman
@CarolyneNyanchama-yk1gf19 күн бұрын
😂😂😂aty candy anaitwa nani??? Mama candy wewe ni bonge la mama sasa poor shida kubali 😂shida ni dramatic woman kajiue basi😅 nawapenda guys kwa kazi nzuri ❤❤
@Sofiashabani78020 күн бұрын
Heee washajaa kila mahali
@AgnesDavidmtalemwa14 күн бұрын
Nmechelewe jaman kai na timu yako gonga like
@beathakatwiga922820 күн бұрын
❤
@LUKASNGOMBANIZA20 күн бұрын
Mnastahir sifa kwasababu kazi yenu ninzuri tunaipenda Sana ofcourse inatuelimisha wanajamii wenzenu. Ahsanten na mungu azidi kuwafunulia maarifa yakutoa mafundisho kwasababu tunaamini bado mnamengi yakutufunza zaidi.❤❤❤