#mwijaku #masoudkipanya Tembelea http s://sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Пікірлер: 253
@omarybakunda255427 күн бұрын
Mwijaku umemtukana sana diamond kajikalia kimya sasa umeyakanyaga.
@yama_virginhairthequeen106526 күн бұрын
YN HUYO wamkomalie akomeshwe😢
@yama_virginhairthequeen106526 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂Alipe
@maryamtanzania974322 күн бұрын
Mna roho mbaya sana kwani yeye daimond ingekuwa ni kweli angekuwa anachukua ktk kazi zake
@bimumaulid117127 күн бұрын
Safi sn aliwafanyia kina NANDI SASA ZAMU YAKE 👍👍👍👍
@user-ii6gs2jg4g27 күн бұрын
Safi sana peleka ndani mpumbavu huyo keshazoea sana
@MsodokiTheson27 күн бұрын
Mwijaku kayatimba mwaka huu
@GibsonNtamamilo27 күн бұрын
Nadhani hata Serikali ilifanyie kazi hili. Mtu kama huyu ni hatari sana kwa maisha na maendeleo ya watu.. Msijaku anaishi kwa kuombaomba kwa wakubwa hakuna anachofanya. Kipanya amepambana tukimuona kukuza Brand yake na anaheshimika sana. Hii haikubaliki anatakiwa achukuliwe hatua ili ajifunze na wengine pia wajifunze waache upbavu kama huu.
@saxannjo617327 күн бұрын
LEGEND KIPANYA NI A GREAT GUY,,, LEVO ZAKE NI KUBWA SANA KWA MPUMBAVU NA CHAWA MWIJAKU
@gastonfuraha27 күн бұрын
Ikawe fundisho kwa mwijaku pengine atajifunza kila mtu anamsema vby kama alivyomuonea diamond
@samkoka327 күн бұрын
Aloooo huyu mwanasheria mkali snaa na kwa hili anataka kufanya fundisho kwa kwel
Hii itakuwa FUNDISHO kwa Wenye Tabia hizi za kujipaisha kwa kupitia watu wengine na kuwadhalilisha.... NITAOMBA SHERIA ICHUE MKONDO WAKE HII MITANDAO IMEKUWA INATUMIKA KUCHAFUANA
@alifredmkoka27 күн бұрын
Atwambie Biashara haramu ni zipi na aje na Evidence la sivyo alipe hiyo B5 make kuropoka kwake kumezidi, na Masoud asimuhurumie hata kidogo akaze ili kijana apate adabu
@jamilaathumani548127 күн бұрын
Mim nakuelewa baba angu...unajuwa watu wengi hawajal kuhusu hisia za watu kabisa ...yani wanapenda kuwaumiza watu hisia zako bila kujali..pole kaka masoud ..ila itaonyesha upo siriaz na maisha yako na hadhi yako itaonyesha hupendi masihala na watu wakuheshimu..kwel usipende kuwaprovok na kuwadharirisha watu bila sababu kisa tu nikiki...ila pole kaka angu masoud mimi nakupenda sana kaka angu masoud since kipndi cha marehem amina chifupa...mim nimemuelewa na nakuelewa sana kaka masoud na pole ..ila bado tunaiman na wewe na tunakupenda kila la heri kwakujipambania haki yako
@papsmicrocreditcompanylimi144327 күн бұрын
Nasubilia press conference ya Doto Magari
@BarbaraPatience-qt9cc27 күн бұрын
Weee na pia ya Baba levo.....maana Baba levo humruka mwijaku akipata shida😂😂😂
@papsmicrocreditcompanylimi144326 күн бұрын
@@BarbaraPatience-qt9cc 🤣🤣
@japhetlust505025 күн бұрын
Tayari ishatiki😂😂
@joeandres974427 күн бұрын
yaan angeongea upuuzi wote ila kusema "biashara haramu" ,,"anaharibu watoto wa watu" hapana afilisiwe tu lile ghorofa,,,,mwijaku ana maneno machafu sana kama sio msomi yaan baba levo yupo smart kuliko mwijaku
@ibrahimaziz715824 күн бұрын
Safi sana wazee ifike muda mijitu mijingajinga ipunguzwe mjini
@aaa64sa1327 күн бұрын
Wakili fanya kazi yako. Mi nimekuelewa vzr sana. Sheria ifwate mkondo wake. Amezowea sana kudhalilisha watu. Jingazzzzz
@RamadhanpMwakilasa-di5hc27 күн бұрын
Sasa ameyakanyaga bola apelekwe mahakamani 💪💪💪
@AminaAbdullah-ws3wy25 күн бұрын
Malipo ni Dunian Akhera ni Hesabu. Umemtukana sana Diamond
@wasaficlassicshoes27 күн бұрын
APA ndo utajua kuwa DIAMOND PLATNUMZ nimtupowa sana
@eleven-in5qw26 күн бұрын
Juzi mjinga anachafua kwa kuwa anatamba na pesa feki hii mbaya saaaana kuliko hiyo mwanzo mondi mtukubwa zaidi duniani tena anaaambatanisha na picha.. Stupid guy ever
@jamilaathumani548127 күн бұрын
Ila nikwer huwez kumchafua mtu kwa kujinufaisha wewe mwenyewe..apo nikwel kabisa maneno aliyosema mwija hakufanya haki na hesma..nikwel inatakiwa akanushe ayo maneno azawaiz sheria ifuate mkondo wake...kama ukiwa marekan iyo nikesi mbaya sana na unaweza ukalipwa pesa nyingi sana kwa kumchafua mtu...ths is like buring on media..
@EmmyNamoyo27 күн бұрын
Alizidi
@shaabanramadhan677026 күн бұрын
Alidhani kila mmoja ni mpumbavu km yeye kuna watu wapo seriously na maisha yao lazma atawajibishwa na hii iwe fundisho kwa waropokaji wote pumbav
@idinado-wk3lx27 күн бұрын
Safi Sana maana amezidi sana
@jamilaathumani548127 күн бұрын
Mim nimekuelewa sana baba wakili ...polen kwa mnayopitia na mliyopitia...naona itakuwa funzo na watu kuwasema watu ovyo ...kiukwel upo sahihi baba angu na tumekuelewa na poleni kwa izo changamoto..na iyo itakuwa funzo kwa watanzania wengine ambao wanapenda kuwaboling watu na kuwashusha wenzao alimladi tu kuwa kujipandisha yeye...ila baba wakili nimekuelewa na nimejifunza sana kutoka kwako...yani nimejifunza sana na nimekuelewa na nakuelewa sana kwamba kiukwel lazima umie kihisia kuhusu difemation ...kiukwel itakuwa funzo
@maryamtan68226 күн бұрын
Mwijaku amezidi kwa kweri kuzalilisha watu wengi sana.
@vero5727 күн бұрын
HUYO MWIJAKU UTAKOMA, MARA ANAVAA KITAULO ALAFU ANAFOKA FOKA !! KWENDA DUBAI UNATANGAZA, NEDA SERENGETI WIKI NDIYO NITAKUONA MTU WA MAANA MWIJAKU, HUKO DUBAI KUNA NINI CHA MAANA?? USHAMBA TUU!! ALAFU PIA ANA.MTUKANA SANA DOTTO MAGARI , MWIJAKU ANA MUIGA MANGE KIMAMBI .
@jonasmziray395127 күн бұрын
Taifa limejaa waropokaji na wasema hovyo, huyu anahitaji athabu itakayokua mfano kwa wengine.
@saidimketo670826 күн бұрын
Alimdhalilisha mdada wa watu wakiwa wapenzi na kuziuza picha za uchi akimfanya sasa mungu anamuonyesha jinsi ya kuishi
@user-nb2jw4km6f26 күн бұрын
Ukiona wa nyumbani kwako anamtusi jirani usifurahie kesho atakutusi na wewe ndio hii sasa😂😂
@romzget189225 күн бұрын
Kma adi taasisi sina terminate mikataba basi hii ishu ipo seriously aisee kuna mtu atapoteza na kuna mwingine gonna win 🏅ila mdomo unaponza kichwa😂😂😂😂😂
@kingmzebez778627 күн бұрын
Uchawa sio kazi una mwisho wake haya sasa kayakanyaga kwa mazoea ya domo lake kamachoo malinaza na kipanya ndio tukuone elimu yk na uchawa vina kusaidia nn ume rahaniwa mwijaku pumbavu maliza kwa mzee wa katuni🙏🤳
@user-cy5jr8nh3d27 күн бұрын
Msitukane jmn funz hili siwafundish tena
@user-it6zi7zw8y26 күн бұрын
wanao comment wengi ni roho mbaya sababu sijaona comment inayo seme msameeni katereza kama binadam maana kuchafua tu sio maneno kwa mtu hata Hao wengine wanao fanya ujinga mitandaoni kuva uchi matendo yajabu mitandaoni kudhalilisha Jami nchi wananchi na family mbali mbali mbona ao awajachukuliwa sheria haki iwe sawa kwa binadam wote ili kila mmoja ajifunze jinsi gani ya kutumia mitandao
@user-uo8xw9kr4b26 күн бұрын
Ukiona hivyo wat wamemchoka na tabia yake man si mar moja au2 hat kidini haitakiw hat km jambo ni kweli analo unatakiwa umnasih aache na sio kumtangaza .
Sanaa ya Kipanya inasaidia sana jamii ,hao ndio wandishi kama masoud ndio tunawataka ..Uropokaji wake mwijaku umemponza
@zayumar295526 күн бұрын
Shenzi kabisaaaa huyu mwijaku kwakweli amekua akimvaa kila mtu inakera mnoo hii tabia yake Jmn apewe fundisho tu kwakweli maana hua hajali hisia za watu kabisa ye ni lopolopo tu 😢📌📌📌
@channyanjen904726 күн бұрын
Yani Safi Sana kabisa wanaonaga diamond anawapuwuziya ingekuwa anawashikiliya Hao wote wanamchafuwaga kila siku kwenye mitandaoni wengi angepata adabu shenzi ao peleka mahakamani uyo alipe izo pesa na wangine wahoneye apoo
@hashimchaoga956626 күн бұрын
Hela azitoe wapi vitauzwa vyote alivyonavyo haitofikia hiyo fidia atakua amekwisha kimaisha
@rogerabdallah43927 күн бұрын
Kwanza naona kama mnachelewa uyo mbwa
@japhetlust505025 күн бұрын
😂😂😂 mbona marekani hawana uluma hapa bongo mwijaku apingwe jera tu
@mohamedjarwan25 күн бұрын
Hii ni laana kutoka kwa MUNGU , maana mtu ukisha hijji akaenda hijja MAKKA ukirudi unatakiwa uwe mwema tofauti na hapo unakuwa unamfanyia MUNGU masiharà wenzio wanatamani kwenda MAKKA ww unabahatika kufika alafu unarudi unaendelea kuteta watu, SASA hii ni BAKORA kutoka kwa MUNGU na sio hili tu Kuna mengi yanakuja kama hajafanyà toba ya kweli amekwisha, anasoma aya za mwenyezi MUNGU na Hadith za mtume (s.a.w) sio kiimani hasa ila kwa maslahi yake inakuwa anamstizai MUNGU na kinacho fata ni laana na asipo omba toba mapema angoje kufirisika ña kufedheheka.
@ammaherman339126 күн бұрын
Mwijaku muda wa kuliwa na nyapara umefika😂😂😂😂
@issachina944327 күн бұрын
Mwijaku ataenda kulialia Kwa viongozi na baadhi wakubwa mwishowake watawaita wote wataka chini watayamaliza! sema mwamba abadilike tena kama jinsi anavyo mdhihaki mondi! anamoyo wapekee aisee
@KS-iw7qv27 күн бұрын
KUROPOKA KUMEZIDI MITANDAONI ... Pumbav !!!😊
@user-rh4ue7rb6t26 күн бұрын
True
@witnesskagirigiri376327 күн бұрын
DIAMOND WAPELEKE PIMBI NA JUMA NAMSOMA ILI NAO WAJIFUNZE KUROPOKA NI KOSA HAPA TANZANIA.
@ilynpayne749124 күн бұрын
Usi msamehe mwijaku amezidi dharau huyo mbwa
@rajabdibwa641527 күн бұрын
Anadhani huyu ni diamond? Sasa na alipe😂😂😂
@majimbeTV26 күн бұрын
Kulopoka lopoka sio vizuri
@martinmendrad353126 күн бұрын
Safi kabisa
@EmmanuelMhone-bn6fe27 күн бұрын
Tatizo anaona media zinatumika kwa kutangaza ulimbukeni huyu bwana. Anaona trending kuwa dili mjini.
@ludovickanael342626 күн бұрын
Advance ya 1.3b ipo tayari ,asije kujitetea kuwa Hana uwezo.
MINAONA HII FUNDISHO KAZIDI YANI MINAJUA UKIENDA MAKA UKIRUDI UNAKUWA UMEBADILIKA LAKINI SIO MWIJAKU MI MTAZAMO WANGU BORA ALIPE ILI AKOME
@fauzishabani262225 күн бұрын
Alipe tu pesa kdg sana hiyo kwa mtuhumiwa. kumi ndio ingemtingisha lkn tano ndogo sana kwake
@napster255823 күн бұрын
Hana ela bhan😂😂😂
@Rafaeltuli-gw8ii27 күн бұрын
Peleka ndani
@rogerabdallah43927 күн бұрын
Sio ndani tu Chooni
@KelvinMauky27 күн бұрын
Aisee ningekuwa mimi masoud mwijaku nisingempata hata onyo la kuomba radhi dairekti nampeleka mahakan maana sio kwa kumchafua taaruma yake kihvyoo yaan Mzee masoud usimwachie bure huyo kijana Mwijaku kama anatafuta kiki mfanye hata siku nyingine afanye kiki zake kwa kujielewa ila mnyooshee kweli kweli huyo kijana aache kiki zake
@tanzanianpatriotic353227 күн бұрын
Kisheria usipo mpa onyo naukaenda mahakanani basi hata ukishinda gharama zakuendesha hiyo kesi hauta rudishiwa na uliemshtaki kwani hukumpa "demand notes" so nilazima ili kesi ikiisha udai gharama zako zakuendesha hiyo kesi
@HabibuHoseni-sv8hd26 күн бұрын
Nimekumbuka shule mambo ya deformation sheria inakuwajibisha na fain hua unalipa kulingana na ukubw wa jina na nyazifa mbali mbali za uliemchafua na anaamua mwenyew aek dau gan pole mijaku umeyakanyagaaa babu
@LeeLian9526 күн бұрын
Defamation Sio deformation
@HabibuHoseni-sv8hd25 күн бұрын
@@LeeLian95 typing error my furend
@GOODLUCKGodwell-bm4br26 күн бұрын
Mimi niliwahi kutaka kumunya siku moja kama mtu wa MUNGU akaniarau kazi kwake
@MussaPaul-ob3nh27 күн бұрын
Anyway mdomo ukizidi kichwa ni mbaya kwa yoyote.
@GapsonRevoson-bn7nt27 күн бұрын
Wakili sio kwa vitisho hivyo hapa kazi ipo
@barakambigi352225 күн бұрын
Na atauza Hilo ghorofa,ikithibitika ni kweli.
@alphaigogo78727 күн бұрын
SAFI sana! Way to go, KP!
@mchunguliechibwa19827 күн бұрын
Hakuna aliyesalama ,ukishatumika na chama mwisho wa siku ni aibu tu,hata hivyo msitutoe kwenye reli na issue ya BASHE WAZIRI WA KILIMO ,,"WIZI"na kulidanganya BUNGE LA WANANCHI😢😢
Mawakili wa mchongo hawa ww unaijua billion 5 kila siku kuna kesi huko zinawashindwa
@MsAggie527 күн бұрын
Membe alitaka shilingi ngapi toka kwa musiba?
@samkoka327 күн бұрын
Hapa lazima alipe pesa nying ameyatimba kwa kwel maan hata yey kweny interview amesema akiguswa brand yake hawez kukuaameheee
@vincentmushi124726 күн бұрын
Sawa amekosea na Ana hitaji kuadhibiwa sababu domo lake kama brush ya choo limemponza😂😂😂lkn hapo kwenye billioni 5 sio kweli...yaani ajiuze yy na familia na kaghorofa kake kenye kisima juu hafiki hata billion 1😢
@negwakomwasanyula695126 күн бұрын
Iwe fundisho kwa vijana wale wasiotaka kufanya kazi za jasho halafu wamejikita kwenye uchawa na kuuza kashfa za watu kwenye mitandao
@hamisiomaryi169927 күн бұрын
Mwijaku hunarudishwa Sasa kijijini kuvuna b 5 hipokweli
@Elybwayz27 күн бұрын
Gorofa sasa kwagher 😢😢😢
@stanslauschatata348327 күн бұрын
gorofa litauzwa round hii😂😂😂
@user-rk9gr9yf3i27 күн бұрын
Da changamoto kote kote
@KelvinMauky27 күн бұрын
Msimuonee huruma huyu mwijakuu hata kidgo alipe fain au akalale jeraa
@GibsonNtamamilo27 күн бұрын
😂😂😂 umenifurahisha😂😂😂
@user-uj5wg9mm2t27 күн бұрын
😂😂😂😂😂kbsaaa
@mohammededy708627 күн бұрын
Hakuna lolote acha kutishia watu mwambie kipanya akae kw kutulia
@josephk9027 күн бұрын
Huyu wakili ni mtata asee Mwijaku ameyatimba mamae ndo utaacha misifa ya kipumbavu😂😂😂
@user-ii6gs2jg4g27 күн бұрын
Bilion 5.!? Si atauuza mpaka ukoo wake wote sana sana ikawe fundisho
@GibsonNtamamilo27 күн бұрын
Alisha sema anafedha za kutosha
@Elybwayz27 күн бұрын
Gorofa sasa ni lamasudi 😅
@malkavoice257027 күн бұрын
Mwijaku ni mkoja kati ya chawa wa Raisi wa sasa aka Mama na tunapoelekea anakua na kujikuta yuko juu ya kila kitu nchini
@user-wk2bg8zf3l20 күн бұрын
Kayakanyaga mwijaku
@rukiauwonde706226 күн бұрын
DUH BINAADAM TUMEJAWA NA HUSDA NIN HIKI KUMUOMBEA MABAYA 😢ILI FAMILIA YAKE ITESEKE?SEMA TUMUOMBEE ILI ASIRUDIE KOSA
@anitamwehonge828724 күн бұрын
Kwani alitumwa kuropoka??? Sio Mara ya kwanza kutukana watu,kazoea huyo, yeye haoni hasara alizomletea mwenzake
@gottaboy417827 күн бұрын
Oya hii iko serious sana, kimkakati
@caashamacalini388726 күн бұрын
Rubbish huyu wakili Kwanza aanze kumuuliza huyu masudi imekuwaje mwijaku hata akamjibu vile yeye ndio aliyoanza sasa alafu karudishiwa mapigi imemuuma
@ContentSmartphone-rq6po27 күн бұрын
Pengine😂 huyu mwijaku ni wakuja sio mtanzania
@Pedeshee0127 күн бұрын
Tanzania hakuna jina la Mwijaku hiyo anatoka Kongo ni wale wazazi waliingia Kama wakimbizi akazaliwa tz
@GibsonNtamamilo27 күн бұрын
Ni Mkongo hata anavyosema anayoka Kigoma sio kweli. Hata wazazi wake alikimbilia Morogoro baada ya kuwa wanashukiwa.
@saidnoumani724427 күн бұрын
Pia ni kama mhutu wa burundi
@Pedeshee0127 күн бұрын
@@saidnoumani7244 kabisa kuna majina tu unaelewa huyu siyo mtanzania halisi.ujue kule kigoma wengi wameingia kwa njia za panya na za uhalali miongoni mwao ni hao wakina bato mwemba ama mwijaku,(tanzania hatuna jina lmwijaku)kule kenya ukiitwa jina la mwijaku mtu unapigana labisaa
@MsAggie527 күн бұрын
@@GibsonNtamamilohe! Ni kweli? Jamani sasa mbona anafanya ujinga hivi au ndo maana anakuwa chawa ili alindwe
@King_Of_Everything26 күн бұрын
👍👊✌️.
@mancholotrasco835027 күн бұрын
Aende akafilane kwanza hata mwaka mmoja tu choko huyo
@vicentibrahim349624 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣
@jonesphorjonathan595726 күн бұрын
Hii inaitwa ukatiri ndani ya utaratibu 😂
@alphoncejohn630827 күн бұрын
Huyu mwjaku ana akili kwel
@SamsonEzekiel-or9xc27 күн бұрын
Asantee amnyooshee halijafunzwa hilo limwijaku km kubwa jinga hivi
@salehothman614426 күн бұрын
Masoud Tunatakufahm tangu tupo wadogo ,heshima yako ameichafua sana katika jamii usikubali nenda mahakamani kwa hili,hata alete viongozi gani waje kukuomba msamaha lakini heshima yako haiwezi kufanyika zaidi ya kwenda mahakamani
@faziliabea-fg3tu26 күн бұрын
Amezindi sana mndomo awekwe ndani tu
@SaidKinyota21 күн бұрын
Kaka asamehewe kwa kipi anatukana sana watuuu acha akome arimpeka nanda amripe wewe unataka asamehewe kazi atajifunza kutukana watu
@eleven-in5qw26 күн бұрын
Dah hiii itakuwa😢😢😢😢😢😮
@emmosilver603927 күн бұрын
Hee!hapo hachomoi analeta promo kwa wajanja.
@user-ii6gs2jg4g27 күн бұрын
Sema ushahidi ni mgumu kidogo kuuleta ila masoud na yeye anatumika ndio na wakosoa serikali. Ila pia mwijaku apelekwe ndani shenzi huyo
@MsAggie527 күн бұрын
Kwani kuikosoa serikali ni kosa? Si ndio kazi za waandishi wa habari unafikili mwandishi kuwa chawa ni sahihi?
@EmmanuelMajele-ny2hk27 күн бұрын
Mwanashelia kunaeneo anakosea kwenye maelezo kusema maraisi hakuwepo Enzi za nyelele wingi unazia kwenye ngapi hata wawili tu wana tosha