Huenda MWIJAKU akalipa BILIONI 5 kwa kumchafua MASOUD KIPANYA,Mambo ni MAZITO,kesi kwenda MAHAKAMANI

  Рет қаралды 20,379

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

28 күн бұрын

#mwijaku #masoudkipanya
Tembelea http s://sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 253
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 27 күн бұрын
Mwijaku umemtukana sana diamond kajikalia kimya sasa umeyakanyaga.
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 26 күн бұрын
YN HUYO wamkomalie akomeshwe😢
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 26 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂Alipe
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 22 күн бұрын
Mna roho mbaya sana kwani yeye daimond ingekuwa ni kweli angekuwa anachukua ktk kazi zake
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 27 күн бұрын
Safi sn aliwafanyia kina NANDI SASA ZAMU YAKE 👍👍👍👍
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 27 күн бұрын
Safi sana peleka ndani mpumbavu huyo keshazoea sana
@MsodokiTheson
@MsodokiTheson 27 күн бұрын
Mwijaku kayatimba mwaka huu
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 27 күн бұрын
Nadhani hata Serikali ilifanyie kazi hili. Mtu kama huyu ni hatari sana kwa maisha na maendeleo ya watu.. Msijaku anaishi kwa kuombaomba kwa wakubwa hakuna anachofanya. Kipanya amepambana tukimuona kukuza Brand yake na anaheshimika sana. Hii haikubaliki anatakiwa achukuliwe hatua ili ajifunze na wengine pia wajifunze waache upbavu kama huu.
@saxannjo6173
@saxannjo6173 27 күн бұрын
LEGEND KIPANYA NI A GREAT GUY,,, LEVO ZAKE NI KUBWA SANA KWA MPUMBAVU NA CHAWA MWIJAKU
@gastonfuraha
@gastonfuraha 27 күн бұрын
Ikawe fundisho kwa mwijaku pengine atajifunza kila mtu anamsema vby kama alivyomuonea diamond
@samkoka3
@samkoka3 27 күн бұрын
Aloooo huyu mwanasheria mkali snaa na kwa hili anataka kufanya fundisho kwa kwel
@Mwamba67
@Mwamba67 27 күн бұрын
😅 Lawyer ni denja,,,!
@MsAggie5
@MsAggie5 27 күн бұрын
@@Mwamba67😂😂
@maryamtan682
@maryamtan682 26 күн бұрын
Na. Ajawai kushindwa kesi mahakamani, yuko vizuri kinoma. Mwijaku kz anayo ss.
@emmosilver6039
@emmosilver6039 27 күн бұрын
Hapo hakuna uswahili,lazima awajibishwe.
@amotvtz1302
@amotvtz1302 27 күн бұрын
Bora mumkomeshe maana amezidi kutukana watu
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 27 күн бұрын
Hii itakuwa FUNDISHO kwa Wenye Tabia hizi za kujipaisha kwa kupitia watu wengine na kuwadhalilisha.... NITAOMBA SHERIA ICHUE MKONDO WAKE HII MITANDAO IMEKUWA INATUMIKA KUCHAFUANA
@alifredmkoka
@alifredmkoka 27 күн бұрын
Atwambie Biashara haramu ni zipi na aje na Evidence la sivyo alipe hiyo B5 make kuropoka kwake kumezidi, na Masoud asimuhurumie hata kidogo akaze ili kijana apate adabu
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 27 күн бұрын
Mim nakuelewa baba angu...unajuwa watu wengi hawajal kuhusu hisia za watu kabisa ...yani wanapenda kuwaumiza watu hisia zako bila kujali..pole kaka masoud ..ila itaonyesha upo siriaz na maisha yako na hadhi yako itaonyesha hupendi masihala na watu wakuheshimu..kwel usipende kuwaprovok na kuwadharirisha watu bila sababu kisa tu nikiki...ila pole kaka angu masoud mimi nakupenda sana kaka angu masoud since kipndi cha marehem amina chifupa...mim nimemuelewa na nakuelewa sana kaka masoud na pole ..ila bado tunaiman na wewe na tunakupenda kila la heri kwakujipambania haki yako
@papsmicrocreditcompanylimi1443
@papsmicrocreditcompanylimi1443 27 күн бұрын
Nasubilia press conference ya Doto Magari
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 27 күн бұрын
Weee na pia ya Baba levo.....maana Baba levo humruka mwijaku akipata shida😂😂😂
@papsmicrocreditcompanylimi1443
@papsmicrocreditcompanylimi1443 26 күн бұрын
@@BarbaraPatience-qt9cc 🤣🤣
@japhetlust5050
@japhetlust5050 25 күн бұрын
Tayari ishatiki😂😂
@joeandres9744
@joeandres9744 27 күн бұрын
yaan angeongea upuuzi wote ila kusema "biashara haramu" ,,"anaharibu watoto wa watu" hapana afilisiwe tu lile ghorofa,,,,mwijaku ana maneno machafu sana kama sio msomi yaan baba levo yupo smart kuliko mwijaku
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 24 күн бұрын
Safi sana wazee ifike muda mijitu mijingajinga ipunguzwe mjini
@aaa64sa13
@aaa64sa13 27 күн бұрын
Wakili fanya kazi yako. Mi nimekuelewa vzr sana. Sheria ifwate mkondo wake. Amezowea sana kudhalilisha watu. Jingazzzzz
@RamadhanpMwakilasa-di5hc
@RamadhanpMwakilasa-di5hc 27 күн бұрын
Sasa ameyakanyaga bola apelekwe mahakamani 💪💪💪
@AminaAbdullah-ws3wy
@AminaAbdullah-ws3wy 25 күн бұрын
Malipo ni Dunian Akhera ni Hesabu. Umemtukana sana Diamond
@wasaficlassicshoes
@wasaficlassicshoes 27 күн бұрын
APA ndo utajua kuwa DIAMOND PLATNUMZ nimtupowa sana
@eleven-in5qw
@eleven-in5qw 26 күн бұрын
Juzi mjinga anachafua kwa kuwa anatamba na pesa feki hii mbaya saaaana kuliko hiyo mwanzo mondi mtukubwa zaidi duniani tena anaaambatanisha na picha.. Stupid guy ever
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 27 күн бұрын
Ila nikwer huwez kumchafua mtu kwa kujinufaisha wewe mwenyewe..apo nikwel kabisa maneno aliyosema mwija hakufanya haki na hesma..nikwel inatakiwa akanushe ayo maneno azawaiz sheria ifuate mkondo wake...kama ukiwa marekan iyo nikesi mbaya sana na unaweza ukalipwa pesa nyingi sana kwa kumchafua mtu...ths is like buring on media..
@EmmyNamoyo
@EmmyNamoyo 27 күн бұрын
Alizidi
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 26 күн бұрын
Alidhani kila mmoja ni mpumbavu km yeye kuna watu wapo seriously na maisha yao lazma atawajibishwa na hii iwe fundisho kwa waropokaji wote pumbav
@idinado-wk3lx
@idinado-wk3lx 27 күн бұрын
Safi Sana maana amezidi sana
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 27 күн бұрын
Mim nimekuelewa sana baba wakili ...polen kwa mnayopitia na mliyopitia...naona itakuwa funzo na watu kuwasema watu ovyo ...kiukwel upo sahihi baba angu na tumekuelewa na poleni kwa izo changamoto..na iyo itakuwa funzo kwa watanzania wengine ambao wanapenda kuwaboling watu na kuwashusha wenzao alimladi tu kuwa kujipandisha yeye...ila baba wakili nimekuelewa na nimejifunza sana kutoka kwako...yani nimejifunza sana na nimekuelewa na nakuelewa sana kwamba kiukwel lazima umie kihisia kuhusu difemation ...kiukwel itakuwa funzo
@maryamtan682
@maryamtan682 26 күн бұрын
Mwijaku amezidi kwa kweri kuzalilisha watu wengi sana.
@vero57
@vero57 27 күн бұрын
HUYO MWIJAKU UTAKOMA, MARA ANAVAA KITAULO ALAFU ANAFOKA FOKA !! KWENDA DUBAI UNATANGAZA, NEDA SERENGETI WIKI NDIYO NITAKUONA MTU WA MAANA MWIJAKU, HUKO DUBAI KUNA NINI CHA MAANA?? USHAMBA TUU!! ALAFU PIA ANA.MTUKANA SANA DOTTO MAGARI , MWIJAKU ANA MUIGA MANGE KIMAMBI .
@jonasmziray3951
@jonasmziray3951 27 күн бұрын
Taifa limejaa waropokaji na wasema hovyo, huyu anahitaji athabu itakayokua mfano kwa wengine.
@saidimketo6708
@saidimketo6708 26 күн бұрын
Alimdhalilisha mdada wa watu wakiwa wapenzi na kuziuza picha za uchi akimfanya sasa mungu anamuonyesha jinsi ya kuishi
@user-nb2jw4km6f
@user-nb2jw4km6f 26 күн бұрын
Ukiona wa nyumbani kwako anamtusi jirani usifurahie kesho atakutusi na wewe ndio hii sasa😂😂
@romzget1892
@romzget1892 25 күн бұрын
Kma adi taasisi sina terminate mikataba basi hii ishu ipo seriously aisee kuna mtu atapoteza na kuna mwingine gonna win 🏅ila mdomo unaponza kichwa😂😂😂😂😂
@kingmzebez7786
@kingmzebez7786 27 күн бұрын
Uchawa sio kazi una mwisho wake haya sasa kayakanyaga kwa mazoea ya domo lake kamachoo malinaza na kipanya ndio tukuone elimu yk na uchawa vina kusaidia nn ume rahaniwa mwijaku pumbavu maliza kwa mzee wa katuni🙏🤳
@user-cy5jr8nh3d
@user-cy5jr8nh3d 27 күн бұрын
Msitukane jmn funz hili siwafundish tena
@user-it6zi7zw8y
@user-it6zi7zw8y 26 күн бұрын
wanao comment wengi ni roho mbaya sababu sijaona comment inayo seme msameeni katereza kama binadam maana kuchafua tu sio maneno kwa mtu hata Hao wengine wanao fanya ujinga mitandaoni kuva uchi matendo yajabu mitandaoni kudhalilisha Jami nchi wananchi na family mbali mbali mbona ao awajachukuliwa sheria haki iwe sawa kwa binadam wote ili kila mmoja ajifunze jinsi gani ya kutumia mitandao
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 26 күн бұрын
Ukiona hivyo wat wamemchoka na tabia yake man si mar moja au2 hat kidini haitakiw hat km jambo ni kweli analo unatakiwa umnasih aache na sio kumtangaza .
@anitamwehonge8287
@anitamwehonge8287 24 күн бұрын
Hapana sio katereza!! Mwijaku apewe tuu adhabu amezidi kuropoka
@luthermartin1098
@luthermartin1098 27 күн бұрын
Ninaunga mkono bwana Kipanya kumchukulia hatua Mwijaku
@Nyanda506
@Nyanda506 26 күн бұрын
Sanaa ya Kipanya inasaidia sana jamii ,hao ndio wandishi kama masoud ndio tunawataka ..Uropokaji wake mwijaku umemponza
@zayumar2955
@zayumar2955 26 күн бұрын
Shenzi kabisaaaa huyu mwijaku kwakweli amekua akimvaa kila mtu inakera mnoo hii tabia yake Jmn apewe fundisho tu kwakweli maana hua hajali hisia za watu kabisa ye ni lopolopo tu 😢📌📌📌
@channyanjen9047
@channyanjen9047 26 күн бұрын
Yani Safi Sana kabisa wanaonaga diamond anawapuwuziya ingekuwa anawashikiliya Hao wote wanamchafuwaga kila siku kwenye mitandaoni wengi angepata adabu shenzi ao peleka mahakamani uyo alipe izo pesa na wangine wahoneye apoo
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 26 күн бұрын
Hela azitoe wapi vitauzwa vyote alivyonavyo haitofikia hiyo fidia atakua amekwisha kimaisha
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 27 күн бұрын
Kwanza naona kama mnachelewa uyo mbwa
@japhetlust5050
@japhetlust5050 25 күн бұрын
😂😂😂 mbona marekani hawana uluma hapa bongo mwijaku apingwe jera tu
@mohamedjarwan
@mohamedjarwan 25 күн бұрын
Hii ni laana kutoka kwa MUNGU , maana mtu ukisha hijji akaenda hijja MAKKA ukirudi unatakiwa uwe mwema tofauti na hapo unakuwa unamfanyia MUNGU masiharà wenzio wanatamani kwenda MAKKA ww unabahatika kufika alafu unarudi unaendelea kuteta watu, SASA hii ni BAKORA kutoka kwa MUNGU na sio hili tu Kuna mengi yanakuja kama hajafanyà toba ya kweli amekwisha, anasoma aya za mwenyezi MUNGU na Hadith za mtume (s.a.w) sio kiimani hasa ila kwa maslahi yake inakuwa anamstizai MUNGU na kinacho fata ni laana na asipo omba toba mapema angoje kufirisika ña kufedheheka.
@ammaherman3391
@ammaherman3391 26 күн бұрын
Mwijaku muda wa kuliwa na nyapara umefika😂😂😂😂
@issachina9443
@issachina9443 27 күн бұрын
Mwijaku ataenda kulialia Kwa viongozi na baadhi wakubwa mwishowake watawaita wote wataka chini watayamaliza! sema mwamba abadilike tena kama jinsi anavyo mdhihaki mondi! anamoyo wapekee aisee
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 27 күн бұрын
KUROPOKA KUMEZIDI MITANDAONI ... Pumbav !!!😊
@user-rh4ue7rb6t
@user-rh4ue7rb6t 26 күн бұрын
True
@witnesskagirigiri3763
@witnesskagirigiri3763 27 күн бұрын
DIAMOND WAPELEKE PIMBI NA JUMA NAMSOMA ILI NAO WAJIFUNZE KUROPOKA NI KOSA HAPA TANZANIA.
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 24 күн бұрын
Usi msamehe mwijaku amezidi dharau huyo mbwa
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 27 күн бұрын
Anadhani huyu ni diamond? Sasa na alipe😂😂😂
@majimbeTV
@majimbeTV 26 күн бұрын
Kulopoka lopoka sio vizuri
@martinmendrad3531
@martinmendrad3531 26 күн бұрын
Safi kabisa
@EmmanuelMhone-bn6fe
@EmmanuelMhone-bn6fe 27 күн бұрын
Tatizo anaona media zinatumika kwa kutangaza ulimbukeni huyu bwana. Anaona trending kuwa dili mjini.
@ludovickanael3426
@ludovickanael3426 26 күн бұрын
Advance ya 1.3b ipo tayari ,asije kujitetea kuwa Hana uwezo.
@erickabel6201
@erickabel6201 27 күн бұрын
Safi 😅😅😅😅
@Lina4285baby
@Lina4285baby 27 күн бұрын
Safi sana 💪🏾💪🏾💪🏾
@user-xc7qj7ze7m
@user-xc7qj7ze7m 26 күн бұрын
Ni kweli hata mm nilipata hofu juu ya masoud
@deusisindwa616
@deusisindwa616 27 күн бұрын
Kiukweli Mwijaku amezid,, Kuomba radhi haitoshi,,kumsingizia Masud anauza madawa ya kulevya cyo sawa,,
@user-xr7fh9ht8o
@user-xr7fh9ht8o 24 күн бұрын
MINAONA HII FUNDISHO KAZIDI YANI MINAJUA UKIENDA MAKA UKIRUDI UNAKUWA UMEBADILIKA LAKINI SIO MWIJAKU MI MTAZAMO WANGU BORA ALIPE ILI AKOME
@fauzishabani2622
@fauzishabani2622 25 күн бұрын
Alipe tu pesa kdg sana hiyo kwa mtuhumiwa. kumi ndio ingemtingisha lkn tano ndogo sana kwake
@napster2558
@napster2558 23 күн бұрын
Hana ela bhan😂😂😂
@Rafaeltuli-gw8ii
@Rafaeltuli-gw8ii 27 күн бұрын
Peleka ndani
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 27 күн бұрын
Sio ndani tu Chooni
@KelvinMauky
@KelvinMauky 27 күн бұрын
Aisee ningekuwa mimi masoud mwijaku nisingempata hata onyo la kuomba radhi dairekti nampeleka mahakan maana sio kwa kumchafua taaruma yake kihvyoo yaan Mzee masoud usimwachie bure huyo kijana Mwijaku kama anatafuta kiki mfanye hata siku nyingine afanye kiki zake kwa kujielewa ila mnyooshee kweli kweli huyo kijana aache kiki zake
@tanzanianpatriotic3532
@tanzanianpatriotic3532 27 күн бұрын
Kisheria usipo mpa onyo naukaenda mahakanani basi hata ukishinda gharama zakuendesha hiyo kesi hauta rudishiwa na uliemshtaki kwani hukumpa "demand notes" so nilazima ili kesi ikiisha udai gharama zako zakuendesha hiyo kesi
@HabibuHoseni-sv8hd
@HabibuHoseni-sv8hd 26 күн бұрын
Nimekumbuka shule mambo ya deformation sheria inakuwajibisha na fain hua unalipa kulingana na ukubw wa jina na nyazifa mbali mbali za uliemchafua na anaamua mwenyew aek dau gan pole mijaku umeyakanyagaaa babu
@LeeLian95
@LeeLian95 26 күн бұрын
Defamation Sio deformation
@HabibuHoseni-sv8hd
@HabibuHoseni-sv8hd 25 күн бұрын
@@LeeLian95 typing error my furend
@GOODLUCKGodwell-bm4br
@GOODLUCKGodwell-bm4br 26 күн бұрын
Mimi niliwahi kutaka kumunya siku moja kama mtu wa MUNGU akaniarau kazi kwake
@MussaPaul-ob3nh
@MussaPaul-ob3nh 27 күн бұрын
Anyway mdomo ukizidi kichwa ni mbaya kwa yoyote.
@GapsonRevoson-bn7nt
@GapsonRevoson-bn7nt 27 күн бұрын
Wakili sio kwa vitisho hivyo hapa kazi ipo
@barakambigi3522
@barakambigi3522 25 күн бұрын
Na atauza Hilo ghorofa,ikithibitika ni kweli.
@alphaigogo787
@alphaigogo787 27 күн бұрын
SAFI sana! Way to go, KP!
@mchunguliechibwa198
@mchunguliechibwa198 27 күн бұрын
Hakuna aliyesalama ,ukishatumika na chama mwisho wa siku ni aibu tu,hata hivyo msitutoe kwenye reli na issue ya BASHE WAZIRI WA KILIMO ,,"WIZI"na kulidanganya BUNGE LA WANANCHI😢😢
@user-xq6rg2pb1x
@user-xq6rg2pb1x 27 күн бұрын
Ameyatimba aaaaaa ameyatimba
@lilybarongo8119
@lilybarongo8119 26 күн бұрын
Kamtukana sana babuu wa kitaa
@denismasele4130
@denismasele4130 25 күн бұрын
Masoud kpanya alinichora namfungulia mashtaka😂😂😂😂😂😂😂
@user-hn6kv6xe7m
@user-hn6kv6xe7m 26 күн бұрын
Mshtaki usimwachie kazoeya kusema umbea mwanamme mzma ,iwe funzo kwake na wenzake
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 27 күн бұрын
Huyu Mwijaku atakuwa amejikangaga sana
@ahmadifataha6677
@ahmadifataha6677 27 күн бұрын
Mawakili wa mchongo hawa ww unaijua billion 5 kila siku kuna kesi huko zinawashindwa
@MsAggie5
@MsAggie5 27 күн бұрын
Membe alitaka shilingi ngapi toka kwa musiba?
@samkoka3
@samkoka3 27 күн бұрын
Hapa lazima alipe pesa nying ameyatimba kwa kwel maan hata yey kweny interview amesema akiguswa brand yake hawez kukuaameheee
@vincentmushi1247
@vincentmushi1247 26 күн бұрын
Sawa amekosea na Ana hitaji kuadhibiwa sababu domo lake kama brush ya choo limemponza😂😂😂lkn hapo kwenye billioni 5 sio kweli...yaani ajiuze yy na familia na kaghorofa kake kenye kisima juu hafiki hata billion 1😢
@negwakomwasanyula6951
@negwakomwasanyula6951 26 күн бұрын
Iwe fundisho kwa vijana wale wasiotaka kufanya kazi za jasho halafu wamejikita kwenye uchawa na kuuza kashfa za watu kwenye mitandao
@hamisiomaryi1699
@hamisiomaryi1699 27 күн бұрын
Mwijaku hunarudishwa Sasa kijijini kuvuna b 5 hipokweli
@Elybwayz
@Elybwayz 27 күн бұрын
Gorofa sasa kwagher 😢😢😢
@stanslauschatata3483
@stanslauschatata3483 27 күн бұрын
gorofa litauzwa round hii😂😂😂
@user-rk9gr9yf3i
@user-rk9gr9yf3i 27 күн бұрын
Da changamoto kote kote
@KelvinMauky
@KelvinMauky 27 күн бұрын
Msimuonee huruma huyu mwijakuu hata kidgo alipe fain au akalale jeraa
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 27 күн бұрын
😂😂😂 umenifurahisha😂😂😂
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t 27 күн бұрын
😂😂😂😂😂kbsaaa
@mohammededy7086
@mohammededy7086 27 күн бұрын
Hakuna lolote acha kutishia watu mwambie kipanya akae kw kutulia
@josephk90
@josephk90 27 күн бұрын
Huyu wakili ni mtata asee Mwijaku ameyatimba mamae ndo utaacha misifa ya kipumbavu😂😂😂
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 27 күн бұрын
Bilion 5.!? Si atauuza mpaka ukoo wake wote sana sana ikawe fundisho
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 27 күн бұрын
Alisha sema anafedha za kutosha
@Elybwayz
@Elybwayz 27 күн бұрын
Gorofa sasa ni lamasudi 😅
@malkavoice2570
@malkavoice2570 27 күн бұрын
Mwijaku ni mkoja kati ya chawa wa Raisi wa sasa aka Mama na tunapoelekea anakua na kujikuta yuko juu ya kila kitu nchini
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l 20 күн бұрын
Kayakanyaga mwijaku
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 26 күн бұрын
DUH BINAADAM TUMEJAWA NA HUSDA NIN HIKI KUMUOMBEA MABAYA 😢ILI FAMILIA YAKE ITESEKE?SEMA TUMUOMBEE ILI ASIRUDIE KOSA
@anitamwehonge8287
@anitamwehonge8287 24 күн бұрын
Kwani alitumwa kuropoka??? Sio Mara ya kwanza kutukana watu,kazoea huyo, yeye haoni hasara alizomletea mwenzake
@gottaboy4178
@gottaboy4178 27 күн бұрын
Oya hii iko serious sana, kimkakati
@caashamacalini3887
@caashamacalini3887 26 күн бұрын
Rubbish huyu wakili Kwanza aanze kumuuliza huyu masudi imekuwaje mwijaku hata akamjibu vile yeye ndio aliyoanza sasa alafu karudishiwa mapigi imemuuma
@ContentSmartphone-rq6po
@ContentSmartphone-rq6po 27 күн бұрын
Pengine😂 huyu mwijaku ni wakuja sio mtanzania
@Pedeshee01
@Pedeshee01 27 күн бұрын
Tanzania hakuna jina la Mwijaku hiyo anatoka Kongo ni wale wazazi waliingia Kama wakimbizi akazaliwa tz
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 27 күн бұрын
Ni Mkongo hata anavyosema anayoka Kigoma sio kweli. Hata wazazi wake alikimbilia Morogoro baada ya kuwa wanashukiwa.
@saidnoumani7244
@saidnoumani7244 27 күн бұрын
Pia ni kama mhutu wa burundi
@Pedeshee01
@Pedeshee01 27 күн бұрын
@@saidnoumani7244 kabisa kuna majina tu unaelewa huyu siyo mtanzania halisi.ujue kule kigoma wengi wameingia kwa njia za panya na za uhalali miongoni mwao ni hao wakina bato mwemba ama mwijaku,(tanzania hatuna jina lmwijaku)kule kenya ukiitwa jina la mwijaku mtu unapigana labisaa
@MsAggie5
@MsAggie5 27 күн бұрын
@@GibsonNtamamilohe! Ni kweli? Jamani sasa mbona anafanya ujinga hivi au ndo maana anakuwa chawa ili alindwe
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 26 күн бұрын
👍👊✌️.
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 27 күн бұрын
Aende akafilane kwanza hata mwaka mmoja tu choko huyo
@vicentibrahim3496
@vicentibrahim3496 24 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣
@jonesphorjonathan5957
@jonesphorjonathan5957 26 күн бұрын
Hii inaitwa ukatiri ndani ya utaratibu 😂
@alphoncejohn6308
@alphoncejohn6308 27 күн бұрын
Huyu mwjaku ana akili kwel
@SamsonEzekiel-or9xc
@SamsonEzekiel-or9xc 27 күн бұрын
Asantee amnyooshee halijafunzwa hilo limwijaku km kubwa jinga hivi
@salehothman6144
@salehothman6144 26 күн бұрын
Masoud Tunatakufahm tangu tupo wadogo ,heshima yako ameichafua sana katika jamii usikubali nenda mahakamani kwa hili,hata alete viongozi gani waje kukuomba msamaha lakini heshima yako haiwezi kufanyika zaidi ya kwenda mahakamani
@faziliabea-fg3tu
@faziliabea-fg3tu 26 күн бұрын
Amezindi sana mndomo awekwe ndani tu
@SaidKinyota
@SaidKinyota 21 күн бұрын
Kaka asamehewe kwa kipi anatukana sana watuuu acha akome arimpeka nanda amripe wewe unataka asamehewe kazi atajifunza kutukana watu
@eleven-in5qw
@eleven-in5qw 26 күн бұрын
Dah hiii itakuwa😢😢😢😢😢😮
@emmosilver6039
@emmosilver6039 27 күн бұрын
Hee!hapo hachomoi analeta promo kwa wajanja.
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 27 күн бұрын
Sema ushahidi ni mgumu kidogo kuuleta ila masoud na yeye anatumika ndio na wakosoa serikali. Ila pia mwijaku apelekwe ndani shenzi huyo
@MsAggie5
@MsAggie5 27 күн бұрын
Kwani kuikosoa serikali ni kosa? Si ndio kazi za waandishi wa habari unafikili mwandishi kuwa chawa ni sahihi?
@EmmanuelMajele-ny2hk
@EmmanuelMajele-ny2hk 27 күн бұрын
Mwanashelia kunaeneo anakosea kwenye maelezo kusema maraisi hakuwepo Enzi za nyelele wingi unazia kwenye ngapi hata wawili tu wana tosha
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 7 СЕРИЯ ФИНАЛ
21:37
Inter Production
Рет қаралды 536 М.
ОСКАР ИСПОРТИЛ ДЖОНИ ЖИЗНЬ 😢 @lenta_com
01:01
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
MASHARTI MATATU MAZITO ALIYOPEWA MWIJAKU "TULIMPA SIKU TATU"
6:06
MWIJAKU AMLIPUA HAMISA MOBETTO, KUTEMBEA NA AZIZI K NI UPUUZI
11:42
KIMEUMANA: DOTTO MAGARI NA MZAZI MWENZA NUSU WAZICHAPE STUDIO
27:31
Wasafi Media
Рет қаралды 205 М.
Попрошайка на BMW😅 #shorts
0:42
PANKOV
Рет қаралды 5 МЛН
Ява 638 сегодня в Тренде ?
0:14
TS Moto
Рет қаралды 838 М.
W truck driver #edit #trollface
0:20
TRET1
Рет қаралды 11 МЛН