Mkuu wa mkoa umetisha sana bongo la poiti nimekuelewa sana mjomba chalamila
@saxannjo617311 күн бұрын
AMAIZING,,,,,TB JOSHUA in TANZANIA
@Maryc2G10 күн бұрын
@@saxannjo6173 yes 👍🏽
@victorwilliam998710 күн бұрын
ukifikiria vizuri utagundua ata mondi akifanya show hajazi hivi, utakuja gundua,wakina mwamposa ndo ma super star wa hii nchi.. watu wenye mashabiki wao.. plus wanatoa sadaka.. plus unaweza kuta kazi ya mungu haina kodi. yan hawa ndo ma star wenye u billionaire ja hawajionyeshi..
@janesuma-is4wc8 күн бұрын
Na umati still mdogo hawajaja wote wapo tulio keshea majumbani ni hatari sana
@odhiaodhia989811 күн бұрын
Hongera sana mtumishi wa Mungu utukufu kwa Yesu
@Oldskulgemini999110 күн бұрын
Hakuna mtu Bongo anaweza kujaza kama hivi
@edwinamos973410 күн бұрын
Jamani mtume Mwamposa yupo safi sana.Kiukweli hata akija malaika bado hamto amini utaki kwenda achaaa!!!!!! sisi tutaenda bora kukukimbilia miujiza tena bureee kabisa kuliko mazinga obwe ya waganga na bado mnalipia na kutapeliwa.
@VitusMagobe6 күн бұрын
Kweli kaka watu wanaongea mengi kumhusu mtume
@FloraMarinyo9 күн бұрын
Wanadam hawapendi kuona watu wanakimbilia kwa Yesu.......
@Leeeeeeee-969 күн бұрын
kweli ili waendelee kuturoga
@terezadotto54589 күн бұрын
Hongera mhe.kutuasa vizuri kabisa juu ya habari ya mbinguni.Safi sana
@kingswebe32518 күн бұрын
Kuna kantu kilisema mwamposa ataanza kupoteana kwanzia mwezi wa 3 ndio kwanza anauwasha moto
@mohammedkombo979810 күн бұрын
Huyu jamaa anakubalika sana not a joke
@augustinenjesi321510 күн бұрын
Duuuuu huyu mwamba apewe tu mauwa yake sio kwa utitiri huo
@Maryc2G11 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu Chalamila 👏🏽👏🏽🇹🇿🇹🇿
@shijandobehe495310 күн бұрын
@@Maryc2G 😅😅😅 huyo ni mlevi mmoja mzuri tu
@Maryc2G10 күн бұрын
@@shijandobehe4953 ohhh, Mungu ampiganie aache kilevi, maana madhabahu anaiweza sana.
@martinisadru989910 күн бұрын
@@Maryc2Gwe unafaa kua mtumishi wa MUNGU,,
@martinisadru989910 күн бұрын
@@shijandobehe4953kama ni mlevi! Unapaswa kumwombea aache ulevi, na sio ku-mhukimu.
@shijandobehe49538 күн бұрын
kweli kabsaa jukwaa analimudu ila Sasa kwenye utumishi ni wito awaachie wengine yeye anafaa kwenye siasa labda hapo baadae coz mungu ana watu wake kama na yeye anaweza kuwa miongoni mwao sawa
@norfenvgeraldo949310 күн бұрын
Nimebarikiwa sana kwenye huu mkesha nimejiunganisha kwenye tv nikiwa Mozambique 🇲🇿 (palma) presha ya kupanda na kushuja nimepona kabisa 🙏🙏 🙏
@hamisisaidi906910 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@badirashid46688 күн бұрын
😂
@wadantz1238 күн бұрын
We jamaa muongo😂😂😂😂
@suzysam60029 күн бұрын
Maneno mazito sana mkuu MUNGU akubariki sana mkuu , mwenye masikio na asikie
@naimarishedy152310 күн бұрын
Mkuu umenena point. Pastor Mwamposa niinue NAMI ktk magumu niepushe na hasira kwa wanaonitafuyia chuki zisizo na sababu. Niinue baba🙏
@janesuma-is4wc8 күн бұрын
😢 dah mtumishi anakuinuaje Yesu pekee ndio anaweza kukuinua na kukutoa apo ulipo unapaswa kufata magizo ya mtumishi uchukue hatua ya imani kumwamini Yesu uwinuke mtumishi ni njia tu muinuaji ni Yesu
@Bilioneabichwa3317 күн бұрын
Pumbav, yaani akuinue mwamposa?
@othmanmaulid48677 күн бұрын
Badili umuombe mungu unamuomba mwamposa acha ujinga
@victorvenantkaigarula62553 күн бұрын
😂😂😂😂 nimecheka sana, mwamposa akuinue
@benmbwele10 күн бұрын
Kuna wetu ni watumishi wa Mungu ila hawajijui. Chalamila ni mmojawapo. Ipo sikumoja mtakumbuka maneno yangu...!
@mudywaya32811 күн бұрын
mkuuwamkowa huyu namkubalisana👏👏👏👏👏👏💥
@ruahahilltoplodge9 күн бұрын
Mwamposa baba ninakupenda sanaa Mungu aliyekupa kibali akupe maisha marefu uifanye kazi uokoe watu wake..
@vicentpantaleo58379 күн бұрын
Kibal gan nisili yke zinduka
@Chrisblaze-beats11 күн бұрын
Watu wana shida mzeee wangu.
@Oboss_billharvester10 күн бұрын
Huyu jamaa aache siasa ana chembechembe za kiutumishi wa kiungu, ila siasa inampotezea dhumini la mungu Ndani yake
@eunicejohn552010 күн бұрын
Sana tu ila MUNGU ana njia akiamua anamtoa kwenye uongozi
@costantinekikinda75747 күн бұрын
😂😂😂😂😂 charamila ni mwana sahikolojia sana hongera kwa neno MWENYE macho na aone amen
@VictoriaNgatunga-nm9py7 күн бұрын
Kwa maombezi ya mtume na Mimi ntapokea mapacha 🙏
@BarakaMalande4 күн бұрын
Dini ni moja , mungu mmoja na mtume WA mwisho ni mtume Muhammad sallalahu allayhi wasallam, huyu mwamposa mtume na yesu tumitaje?
@fredyjeremia70747 күн бұрын
Mkuu wa mkoa DAR,, UMEongea serious ..ujumbe wa amani na upendo kwa watu wako na mataifa mengine tumekuskia baba.BARIKIWA SANA.
@mpefu_493610 күн бұрын
Tunakimbila miugiza simama omba mungu yupo uvivu ni mbaya
@TumsifuErick7 күн бұрын
Hongera sana mh.charamila hakika utaendelea kujikusanyia umaarufu kwa points zako muhimu
@mtzhalisi223211 күн бұрын
Chalamila leo umenifuraisha sana
@salummahanzar67147 күн бұрын
RC chalamila nakukubali Sana kaka
@shijandobehe495311 күн бұрын
Jana mida ya saa2 usiku nikiwa mitaa ya mikocheni aisee kulikuwa na foleni ya hatari ogopaaa mabasi YALIKUWA full watu wanatembea mpaka Kwa mguu kiufupi ilikuwa ni hatari hasa Wana wake watu wanataka miujiza na mafanikio na sio mungu
@user-ez1ky4ls7c11 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂kabisa
@shijandobehe495310 күн бұрын
@@user-ez1ky4ls7c na hao watu hawana Cha bible wa Quran tutafika tumechoka Sana wanahubiliwa mafanikio tu ukisikiliza kipindi Cha ushuhuda aisee shuhuda za kutisha tisha KAZI yao ni kutumia maji na mafuta ya upako huna haja ya kutaja jina la MUNGU 😥
@user-ur7pw9ek6s10 күн бұрын
Ujinga ni mzigo kwakweli watu hawataki kufanya kazi wanataka utajiri na maisha mazuri kwa miujiza 😂😂😂😂
@Kelvinjoseph-jz7kq10 күн бұрын
@@user-ur7pw9ek6s Kam wasingekuw Na mafanikio bas kusingekuw Na foleni za Magari ,,wangekuw Na punda ndio mseme,,2sipend kuhukm
@ce-0810 күн бұрын
Kama familia yako hajawah kupata shida na ikatatuliwa kwa mwamposa huwez kumuelewa utamuona ni Muongo tu
@HASASON11 күн бұрын
Mimi nilikaa miaka miwili sina kazi lakini nilimsikia mwamposa kwa bahati nzuri tu kwenye radio dodoma nikafatilia yale maombi ndani ya siku 4 nikapigiwa simu ni kapata kazi mshahara laki 6 ni mwaka wa tatu naenda sasa kazini
@davidsamson829210 күн бұрын
Imani yako imekuponya
@Henricovicent10 күн бұрын
Machawa wa Mwamposa utawajua tu.
@user-ts9lp4rm9j10 күн бұрын
Hata mmi tena nilienda mara moja tu na kazi,mtto,mke juu
@Henricovicent10 күн бұрын
@@user-ts9lp4rm9j Machawa wa Mwamposa utawajua tu kwa matendo yao.
@BakariAlly-dm1vf10 күн бұрын
😂😂
@kadrimwingamno2587 күн бұрын
Uma una-angamia kwa uvivu wa kutaka kupata maisha mazuri kwa kuwamini wachawi. Ambao wamejivisha Johoo la utume. Audhubillah.
@happynkya97706 күн бұрын
Na weee kuwà mchawi ili uache maneno mengi
@miriamwinston9908Күн бұрын
Nenda kwa bibi yako shenz mbwa wewe
@kadrimwingamno258Күн бұрын
Siku @@miriamwinston9908 siku ya kiyama utakapo chomwa moto na ukafiri wako ndiyo utakapo jua nani mbwa. Endelea na upotofu wako.
@kadrimwingamno258Күн бұрын
Mwaposa alitakiwa awajela kwa kuuwa watu...ambao aliwatoa kafara kwa kanyaga turubai alilotia mafuta yake ya uganga wa kienyeji. Endeleni kufwata wajinga mtaendelea kufa kama utitili.
@Oboss_billharvester10 күн бұрын
Naona Leo chalamila kaongea uhalisia na ukweli wa maisha
@GeofreyKalo-ot3we10 күн бұрын
Kama mtu hajakutana na changamoto hutomuona Kwa mwamposa ila kiukweli chalamila kaongea point shida watu wanaubishi mwingi Hadi kwenye maswala ya Imani MUNGU mbariki RC MUNGU mbariki apostle
@stanleymissiontv230310 күн бұрын
Jamaaa likiamua kuongea point liko vzr
@jedidahbintidaudi824110 күн бұрын
@@stanleymissiontv2303 kwa kweli🤣🤣
@AgnesNjau-iq3gf8 күн бұрын
Na wengine wapo humu ukweli huo unawauma haswaaa....
@FurahiniMbise-cb6uf9 күн бұрын
Ameeen and ameen
@evaristmbuya62209 күн бұрын
Kazi kazi
@user-us1mh8zw1v10 күн бұрын
Nakuelewa sana mkuu wa mkoa Wang Kwa speech zako unanimaliziaga bando Kwa harakati zako ususani speech zako mwamposa mola azid kukujalia tusiksikatae watoto na WA mama masiue watoto Leo waZaz wake mwamposa wanajivunia mtoto wap saffff
@user-st3ws1ns5g5 күн бұрын
Show ya mwamposa imejaa,ila chalamila unatuchosha kweli sikuizii
@bennygwasa456310 күн бұрын
Mkuu wa mkoa upo vizuri sana
@rukiamadati3364 күн бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu🙏🏾👏
@hamadsheni899711 күн бұрын
YEREMIA 50:6. YACMA KONDOO WANGU WANAPOTEZWA NA WACHUNGAJI WAO.
@DjMswati10 күн бұрын
kweli broo
@HamduniYasir10 күн бұрын
Hamad Shein 😂😂😂
@luotagwabt773010 күн бұрын
Hahahaha kwa masheikh unaenda kupata kisomo na mavukizi ubani wa majini lakini jina la Yesu aaah.
@gosbertbuberwa619810 күн бұрын
@@luotagwabt7730😂😂😂😂😂😂😂😂Mwambie Huyoooo!
@corrolesscps10 күн бұрын
Wewe endelea na yako, hapa kwa Mwamposa anahubiria YESU KRISTO, yeye ni njia ya kweli na uzima, yeye ni mponyaji, anaokoa, na kufungua, kila Giza, alikuja kwa ajili ya kuokoa ulimwengu, kwa tatizo lako lolote ille, yeye yupo kwa ajili yako,akuja kwaajili ya Dini, na kila atake litaja Jina la Bwana ataokoka
@Dema_Tours9 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu
@kessiahLutungulu-t3s6 күн бұрын
Baba mungu akupe maisha milioni
@ShabanMainde7 күн бұрын
Alikusanya dunia sio kijiji😮
@user-tr3bi1ry6t9 күн бұрын
Mtu wa maaana kabisa chalamila
@GodfreyMwamaso9 күн бұрын
Amen Amen.umenena vema mtumishi wa Mungu chalamila una utumishi ndani yako Mungu akuinue
@japhetmsafiri10 күн бұрын
Salaam Almassih, Yeshua akibar
@ezekiambise259511 күн бұрын
Jina la bwana libarikiwe.
@upendomwakalibule11 күн бұрын
Ameeeeeeen
@joshuaezekiel82578 күн бұрын
Ameen kubwa mkuuu wetu
@user-ni2kv3yf6e9 күн бұрын
Namuona magufuli wa badae
@user-yh8ny1nf3f10 күн бұрын
Maneno ya upako
@yaluclile56610 күн бұрын
Nina mtoto nikicha naomba unisaidie nipo burundi
@babajay344510 күн бұрын
Hao wote uliowaona hapo hawakufuata wokovu Wana hali ngumu ya maisha iliyosababiswha na ccm wenyewe
@josephdimosso638010 күн бұрын
Hamna habari ya wokovu, hapo ni mafanikio na magonjwa iponyaji
@josephdimosso638010 күн бұрын
Hamna habari ya wokovu, hapo ni mafanikio na magonjwa iponyaji
@PrudencePaul-mr1ge9 күн бұрын
Hayajawafika siku yakiwafika mtaelewa
@calvinpaul21718 күн бұрын
Kwel kabxaa
@AGM196977 күн бұрын
Mimi sina hali ngumu ya maisha na nilienda kumtukuza Mungu mkeshani
@martinlema41926 күн бұрын
Amen! Nawakumbusha msisahau kipindi cha masika haliya mvua kidogo si rafiki.
@user-nb2jw4km6f10 күн бұрын
Watu wengi kama utitiri
@yaluclile56610 күн бұрын
Naomba namba ya mwaposa nipo Burundi
@KhalidAlly-je8ky10 күн бұрын
Duh
@tseaamaqhamarabura71389 күн бұрын
Dar imepata RC hakika
@gelarisjonathan708110 күн бұрын
Çhalamira mbona muhubiri mzuri
@mpjozzegalvanize492610 күн бұрын
Ana tone ya kuhubiri kabisa
@MwalimuJelly10 күн бұрын
Amen
@MozaSihha10 күн бұрын
❤
@HappinessMsham6 күн бұрын
❤❤
@emmanuelmlekwangano999110 күн бұрын
Mwamposa ni asset kwa wanasiasa
@Yesunimwokozi110 күн бұрын
Mtumish wa MUNGU MWAMPOSA,, MUNGU AKUBARIKI ZAID
@SmilingBeaver-rf6sf10 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@lusogoalbert1386 күн бұрын
DC Chalamira kashusha point nzito saaana makofi kwakee🎉🎉
@dismaboytz484911 күн бұрын
Kinacho tuponza TZ ni umasikini 😂 mashehe Huwa wanaongea sana wakiona seem Kuna ubwabwa chalamila shikamoo baba kz unaiweza Mimi kama___siachi uchawa😂😂😂😂😂 kwenye pesa
@MuniraShughuli-kc7vj11 күн бұрын
Ovyooo
@omarmohammed515710 күн бұрын
Na ujinga pia unatuponza
@mwawekomiuda977910 күн бұрын
Unaleta kashfa isiyo na maana. Waislamu huwaga hawatumii uchawi. Na dini yao huwezi kuichanganya na uongo ndio tofauti. Mm siamini kama mwamposa ana uwezo wowote zaidi ya uchawi anaotumia.
@ashuramuhammed325710 күн бұрын
Wewe chalamina ndo umesilimu wewe mtume mwamposa tena
@MagrethSudy6 күн бұрын
Pamoja mtumishi
@jamilaathumani548111 күн бұрын
Innarilah wainahilah rajiun
@Nick1669710 күн бұрын
Usilo lijua kwako ni sawa na usiku wa giza..
@SharifTwahirAbdullqadir10 күн бұрын
Nailo ndo guza lenyewe@@Nick16697
@AGM196977 күн бұрын
Yule wa kwenu alishawaambieni yeye hajui anaenda wapi wala hajui ninyi mtaenda wapi ila anawaonya tu. Na mpaka leo mnamuombea, sasa hapo mbona mtihani mkubwa sana. Yesu alisema mimi ni njia kweli na uzima mtu hawezi kwenda kwa Baba bila kupitia yeye
@bettykinyami50966 күн бұрын
Njia ya shetani ina watu wengi sana hii ni njia pana lakini njia ya Mungu ni nyembamba na imeaonga nao waionayo ni wachache,
@fredyjeremia70747 күн бұрын
AMEN🙏🙏
@user-ii1gz2it4c10 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🇧🇮🇧🇮
@PrinceCharlz-vv1zs11 күн бұрын
waislam wanakasirik sabab Mungu wetu anafanya kuliko kawaida
@omytifa640310 күн бұрын
Atukasir nyinyi mna dini yetu na sis tuna dini yetu
@user-ts9lp4rm9j10 күн бұрын
Cha ajabu hapo kwa MWAMPOSA waislam n wengi kuliko wenye dini yao na wanashida balaa
@user-cq4lp5rv1l10 күн бұрын
Mungu wako sisi waislam hatuna mungu
@omytifa640310 күн бұрын
@@user-cq4lp5rv1l ww sio muislam km una MUNGU
@Leeeeeeee-969 күн бұрын
@@omytifa6403wenzio wamejaa kwa mwampisa umebaki wewe
@VeronicaRugoyi6 күн бұрын
Watu wanapenda miujiza kuliko neno
@hanifamziray27710 күн бұрын
Hapo ni wanawake ni wengi sn
@AGM196977 күн бұрын
Ni hao hao waliodamka asubuhi na mapema kuuangalia mwili wa Yesu kaburini
@mr_kajomba_og571911 күн бұрын
Sisi watu wa Kawe tumekipata Cha moto Naul kawe Morocco buku kawe bugurun buku jero kawe mbagala 2000 na bado gar nizakugombaniwa
@PaulinaOtaigo-cr3sq10 күн бұрын
Kufa kufaana
@RubenMtuwaMungu-bz8ee10 күн бұрын
Narudia tena Mungu siyo wa quantity yeye ni wa quality. Sauti ya wengi si sauti ya Mungu bali sauti ya mwenye haki ndiyo sauti ya Mungu.
@Oldskulgemini999110 күн бұрын
Kwahiyo unataka kusema hao wengi sio wa Mungu ila wewe ndo wa Mungu eti😅 we umejuaje kama sio wa Mungu?
@shongatv122410 күн бұрын
@@Oldskulgemini9991watanzania wengi tupo njia panda jambo likiwa kubwa ni shetani likiwa dogo sana tunaamin ndo haki yetu
@Oldskulgemini999110 күн бұрын
@@shongatv1224 vichwa panzi, watu wote hao kwamba ni wehu ila wao wachache ndo wanajiona wanaakili😅 ukiona mtu anaetumia muda wake kufatilia dini za wengine jua Hana kazi ya kufanya, maisha Yako mbio Sana unaanzaje kupoteza muda kuanza kukosoa Imani za watu
@RubenMtuwaMungu-bz8ee9 күн бұрын
@@shongatv1224 huu ni wakati wa kunyang'anywa taji ya uzima. Hatumpingi mtu kwa ajili ya wivu, laiti ningekutana na wanaokwenda kwa manabii wa hivyo ninge debate nao kibiblia tuweke pembeni itikadi zetu za madhehebu na ufuasi ndipo ungejua kuwa watu wengi hawajui hata sababu gani Yesu alikuja duniani na alikufa kwa sababu gani Ili iweje. Sababu injili tuliyoachiwa na Yesu haikubaliki kwa kizazi cha leo na kwakuwa ni hivyo je injili inayopendwa na kizazi cha leo itawapeleka wapi hatimaye!?
@RubenMtuwaMungu-bz8ee9 күн бұрын
@@Oldskulgemini9991 swali la kitoto! Nimejuaje na wewe umejuaje kuwa ni ya Mungu? In short jambo lolote hupimwa kwa kipimo kinachokubalika na wote. Swali imani yako wewe huwa unaipima kwa kutumia nini? Biblia ndiyo kipimo pekee kinachokubalika ikiwa wewe unajitambua kama mkristo. Waliojikinai hubeza mwongozo wa biblia kwa kuwa imeandikwa "kuna wakati watayakataa mafundisho yenye uzima na kufuata mafundisho ya mashetani kwa kuwa wana masikio ya utafiti". Mathayo sura ya 24 na Yeremia 23:16-30 biblia imeeleza wazi manabii wa uongo walivyo. Kama ni suala la miujiza na utajiri wa vitu hicho siyo lengo kuu la Yesu kufa msalabani. Injili ya utajirisho na kuondoa laana ni dhaifu haiwezi kuwashawishi mabilionea duniani ambao wengi wao ni wapagani kumwamini Yesu.
@mrsmussa11511 күн бұрын
ujinga ni mzigo Allah atuongoze
@omytifa640310 күн бұрын
Ameen
@tanzanianpatriotic353210 күн бұрын
Maranyingi mjinga huzani yeye ni mwerevu na kumuita mwerevu mjinga, lakini ukijua yakwamba Mungu anaweza kuongea na wewe binafsi basi jaribu kumuliza ukweli ni upi,atakupa utayari wakujifunza na atasema na wewe binafsi.
@luotagwabt773010 күн бұрын
Allah atuongoze wapi ndugu malizia hapo...kwenye njia iliyonyooka ya 3rd Caliph Uthman kurani moja ilinyooka isiyo na kujichanganya au wapi, au atuongoze Kibra kubusu jiwe jeusi na kumpiga mawe shaitwani fafanua vizuri...au kwa sabab hana mtoto na hakuwa na mke, au kwa sababu Isa atarudi kuwahukumu wakristo ya kwamba kwanini walimfanya Isa, Maryam na Allah kuwa Mungu watatu? jifunze atuongoze wapi???
@pastadandan356910 күн бұрын
Waislamu wanakwazika sana wakiona viwango hivi
@gosbertbuberwa619810 күн бұрын
@@pastadandan3569Sanaaaa! Mpaka Wasemeeee!
@matukiotvonline636611 күн бұрын
Dunia hii muamini mungu tuu hata viongozi wa nchi huongoza kuwafanya raiya kuwa mazezeta daah😥😥😥😥
@Beauthoms11 күн бұрын
Amini unachokiamini kila mtu anashida zake mzee ,ko usihukumu usichokijua
@emmadora784810 күн бұрын
We mwenyewe zezeta au hujajiua?
@GeorgeChitemo-kt8sw11 күн бұрын
Muabudu rusifa mkubwa Sana mwamposa muuni Moto unamsubiria asipo tubu lazma ziwa la Moto na reg rusifa wake
@MaurenEmmanuely-nc9id11 күн бұрын
Ww umetubu nyoko ww
@ezekiakiwovele779411 күн бұрын
Fungua na wew
@maryamtanzania974310 күн бұрын
Hivi hawa watu huwa siwaelewi wenyewe yesu ndo wanamuita mngu au
@bonifasiemanueli2110 күн бұрын
Kiukweli mwamposa Yuko upande wA shetani,
@janesuma-is4wc8 күн бұрын
Atubu kwani amekokesea nin
@achawanunetv116711 күн бұрын
Wa Kaka wakina Juma Lokole Na Noël wa wasafi
@MuniraShughuli-kc7vj11 күн бұрын
Astaghafirullah
@luotagwabt773010 күн бұрын
Ukisomewa kisomo cha majini na kufukizwa ubani fresh au siyo
@Nick1669710 күн бұрын
@@luotagwabt7730hawa watu ni wa ajabu sana sijui kwann, wanafika mahali wanasema kuna majini wema 😂😂
@Leeeeeeee-969 күн бұрын
bafo hujasema wenzio na nikabu na majuba na barakashia wamejaa kwa mwamposa mpaka watu kutoka zanzbar
@AGM196977 күн бұрын
@@Nick16697hivi wanashinwaje kushtuka? Majini ni vijana wa shetani na tunaambiwa majini ni Waislamu, hapo sasa wanashindwaje kushtuka?
@consolatamaunde98209 күн бұрын
Kuwa mkuu wa mkoa sio ndo kuwa na macho ya rohoni izo habari za mchawi au sio mchawi waachie watu wa rohoni . Inawezekana umesimama kwenye madhabahu inayosababisha hayo yote yanatusumbua POLE
@AdamAmos-rr6fg11 күн бұрын
Uyu nae chawa kwel uyu
@jesusnetworkministry11 күн бұрын
kweli njia ni pana sana
@Leeeeeeee-969 күн бұрын
bado hujasema mtu uliefika mbinguni 😂
@MashakaMagesa9 күн бұрын
Hiyo madhabahu ya Alise inatenda kama ukiamini tu mimi nimepokea chako ni chako mara 2 leo niko vizuri Namshukru mungu wa mbinguni
@happynkya97706 күн бұрын
Duuuh hapa ilikuwa benjamin mkapa au
@michaelmlugu565411 күн бұрын
Akuombee wewe uwe waziri aombee na wezi wa serikali waache kuiba aiombee serikali watu wasiojulikana wapatikane na waache kuwatesa watu na kuwaua mkuu una fungu hapo
@isaackambofi124111 күн бұрын
We chiz
@Leeeeeeee-969 күн бұрын
pambana na hali yako
@jaromemwazembe639610 күн бұрын
Nakusihi Mwamposa fundisho watu kumwamini Kristo na kuacha dhambi hayo Mambo ya utajiri yatafuatana nao wakifundishwa ujuzi wa kufanya kazi. Fuata fundisho la Yesu Kristo pekee achana nabkuwafanya watu wajihisi wamefugwa kila mahali hapana wafundishe kuwa na Imani thabiti kwa Kristo isiyo na viambayanisho/visaidizi vya mafuta,maji ya upako etc.
ushawai fwatilia mafundisho yake au unaota kijana kabla hujacomment fwatilia ibada za mwamposa ndo utajua anafundisha nini 😂😂😂😂
@ChristopherNgubiagai8 күн бұрын
@Leeeeeeee-96 biblia ni kubwa sana achakudharau anachofundisha mtumishi,ebu niambie kosamojakimaandiko lamwamposa,acheni ulimbuken wamapokeo yamadhehebu
@Leeeeeeee-968 күн бұрын
@@ChristopherNgubiagai mimi au wewe ndo limbukeni uko zama zipi bro
@ChristopherNgubiagai8 күн бұрын
@Leeeeeeee-96 we nimshamba wamaandiko unawaza kukemea dhambi kuish kifukara,mafundisho yakipumbavu yamekufanya uenautindio wakiroho.mnajiona mnajua mungu kumbe mmefungwa
@stanleymanya43811 күн бұрын
Ukovizuri mr copypest.
@johnsonzuma493210 күн бұрын
Wewe RC siyo harufu wewe ni mtanzania gani!!! MTU atowi arufu bali MTU ana towa Rehe juwa hilo...
@NashonJunior-or5eh9 күн бұрын
Sijawai ona akihubir watu waache dhambii
@Leeeeeeee-969 күн бұрын
una uhakika ata leo kahubiri watu waache zambi acha kukurupuka utaaibika vibaya
@janesuma-is4wc8 күн бұрын
Wewe umehubiria wangapi waache dhambi zaidi ya kuhukumu
@joshuajofrey983210 күн бұрын
Hapo wanaccm wanafikili ni namna gani watamtumia mwamposa kujinufaisha kisiasa
@nathanpangjanda273411 күн бұрын
Hao wote ni wanyakyusa hapo kuna ukabila fulani
@user-jj7qv7kh2s11 күн бұрын
Yani wewe akili yako imeishia hapo
@user-jj7qv7kh2s11 күн бұрын
Hapo kuna makabila yote mpaka wazungu wahindi wapo hapo.
@ambakisyemwakinunu200211 күн бұрын
😂😂😂😂😂 Umechemka vibaya RC CHARAMILA n MNYALUKOLO(MHEHE) wa IRINGA/NJOMBE na MWAMPOSA ni MNYAKYUSA wa MBEYA,waache watu na Imani zao wewe na mimi tubaki na tunachoamini ila haifai kujiona wewe uko sahihi kuliko mwingine juu ya imani Maana ni Mungu pekee ndo anajua usahihi wa imani ya mtu
@user-ts9lp4rm9j10 күн бұрын
Rc chalamila cio mnyakusa n muhehe
@Leeeeeeee-969 күн бұрын
ufahamu wako kiwango cha chini kabisa
@barakalameck734210 күн бұрын
Mungu awasaidie watu wake wanaangamia sana kwakuamini manabii hawa..ila mungu hadhihakiwi nawaambia kua mungu atawasambalatisha mmoja baada ya mwingine ole wenu acheni kucheza na mungu.
@Nick1669710 күн бұрын
Omba Mungu akupe rehema ya kumjua yeye na taratibu zake
@barakalameck734210 күн бұрын
@@Nick16697Tunamambo mengi sana yakumwomba mungu, ikiwemo kuombea taifa nasio kuomba kumjua mtu zaidi chakukushauli nikwamba umwombe mungu kumjua yeye zaidi ndo utajua maana yayote hayo unayoyaona duniani unaishi kwaamani sana nakumwamini yeye siyokuamini mitume na manabii??
@Leeeeeeee-969 күн бұрын
mungu ndie anaehukumu wewe umepata wapi ujasiri wa kutoa hukumu kua makini isije akarudi kwako 😊
@janesuma-is4wc8 күн бұрын
Ujinga unakusumbua msiwe mna musisha Mungu kwenye upumbavu wa akili zenu
@akidahabibu78624 күн бұрын
maokoto kaisha chukua ya mwamposa sema kaongea point ila mwamposa bado kwangu niwa mchongo akili nyingi sana.
@miriamwinston9908Күн бұрын
Kachongeshe na wewe
@karimjuma401910 күн бұрын
Anafuata maneno ya mama uyu jamaa kweli chawa
@hadijatwahadossa10 күн бұрын
Hakuna kitu hapo,,,,hata wakina Bushiri walikuwepo South Africa,,, wamekimbia wenyewe,,,wakina TB Joshua wako wapi....hayo ni matangazo kama yalivyo matangazo ya biashara,......wapeni mitaji.....sio mikopo