Umati wa MWAMPOSA wamshangaza RC CHALAMILA,afunguka MAZITO ''kama ni UCHAWI ata mimi usingenifikia''

  Рет қаралды 52,342

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

13 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 424
@aghamedia
@aghamedia 11 күн бұрын
Speech Yako mkuu ni nzr sana umenena vyema
@OsupatiKisota-j5r
@OsupatiKisota-j5r 10 сағат бұрын
Jey melody
@hboywasasa
@hboywasasa 10 күн бұрын
Mkuu wa mkoa umetisha sana bongo la poiti nimekuelewa sana mjomba chalamila
@saxannjo6173
@saxannjo6173 11 күн бұрын
AMAIZING,,,,,TB JOSHUA in TANZANIA
@Maryc2G
@Maryc2G 10 күн бұрын
@@saxannjo6173 yes 👍🏽
@victorwilliam9987
@victorwilliam9987 10 күн бұрын
ukifikiria vizuri utagundua ata mondi akifanya show hajazi hivi, utakuja gundua,wakina mwamposa ndo ma super star wa hii nchi.. watu wenye mashabiki wao.. plus wanatoa sadaka.. plus unaweza kuta kazi ya mungu haina kodi. yan hawa ndo ma star wenye u billionaire ja hawajionyeshi..
@janesuma-is4wc
@janesuma-is4wc 8 күн бұрын
Na umati still mdogo hawajaja wote wapo tulio keshea majumbani ni hatari sana
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 11 күн бұрын
Hongera sana mtumishi wa Mungu utukufu kwa Yesu
@Oldskulgemini9991
@Oldskulgemini9991 10 күн бұрын
Hakuna mtu Bongo anaweza kujaza kama hivi
@edwinamos9734
@edwinamos9734 10 күн бұрын
Jamani mtume Mwamposa yupo safi sana.Kiukweli hata akija malaika bado hamto amini utaki kwenda achaaa!!!!!! sisi tutaenda bora kukukimbilia miujiza tena bureee kabisa kuliko mazinga obwe ya waganga na bado mnalipia na kutapeliwa.
@VitusMagobe
@VitusMagobe 6 күн бұрын
Kweli kaka watu wanaongea mengi kumhusu mtume
@FloraMarinyo
@FloraMarinyo 9 күн бұрын
Wanadam hawapendi kuona watu wanakimbilia kwa Yesu.......
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 9 күн бұрын
kweli ili waendelee kuturoga
@terezadotto5458
@terezadotto5458 9 күн бұрын
Hongera mhe.kutuasa vizuri kabisa juu ya habari ya mbinguni.Safi sana
@kingswebe3251
@kingswebe3251 8 күн бұрын
Kuna kantu kilisema mwamposa ataanza kupoteana kwanzia mwezi wa 3 ndio kwanza anauwasha moto
@mohammedkombo9798
@mohammedkombo9798 10 күн бұрын
Huyu jamaa anakubalika sana not a joke
@augustinenjesi3215
@augustinenjesi3215 10 күн бұрын
Duuuuu huyu mwamba apewe tu mauwa yake sio kwa utitiri huo
@Maryc2G
@Maryc2G 11 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu Chalamila 👏🏽👏🏽🇹🇿🇹🇿
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 10 күн бұрын
@@Maryc2G 😅😅😅 huyo ni mlevi mmoja mzuri tu
@Maryc2G
@Maryc2G 10 күн бұрын
@@shijandobehe4953 ohhh, Mungu ampiganie aache kilevi, maana madhabahu anaiweza sana.
@martinisadru9899
@martinisadru9899 10 күн бұрын
​@@Maryc2Gwe unafaa kua mtumishi wa MUNGU,,
@martinisadru9899
@martinisadru9899 10 күн бұрын
​@@shijandobehe4953kama ni mlevi! Unapaswa kumwombea aache ulevi, na sio ku-mhukimu.
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 8 күн бұрын
kweli kabsaa jukwaa analimudu ila Sasa kwenye utumishi ni wito awaachie wengine yeye anafaa kwenye siasa labda hapo baadae coz mungu ana watu wake kama na yeye anaweza kuwa miongoni mwao sawa
@norfenvgeraldo9493
@norfenvgeraldo9493 10 күн бұрын
Nimebarikiwa sana kwenye huu mkesha nimejiunganisha kwenye tv nikiwa Mozambique 🇲🇿 (palma) presha ya kupanda na kushuja nimepona kabisa 🙏🙏 🙏
@hamisisaidi9069
@hamisisaidi9069 10 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@badirashid4668
@badirashid4668 8 күн бұрын
😂
@wadantz123
@wadantz123 8 күн бұрын
We jamaa muongo😂😂😂😂
@suzysam6002
@suzysam6002 9 күн бұрын
Maneno mazito sana mkuu MUNGU akubariki sana mkuu , mwenye masikio na asikie
@naimarishedy1523
@naimarishedy1523 10 күн бұрын
Mkuu umenena point. Pastor Mwamposa niinue NAMI ktk magumu niepushe na hasira kwa wanaonitafuyia chuki zisizo na sababu. Niinue baba🙏
@janesuma-is4wc
@janesuma-is4wc 8 күн бұрын
😢 dah mtumishi anakuinuaje Yesu pekee ndio anaweza kukuinua na kukutoa apo ulipo unapaswa kufata magizo ya mtumishi uchukue hatua ya imani kumwamini Yesu uwinuke mtumishi ni njia tu muinuaji ni Yesu
@Bilioneabichwa331
@Bilioneabichwa331 7 күн бұрын
Pumbav, yaani akuinue mwamposa?
@othmanmaulid4867
@othmanmaulid4867 7 күн бұрын
Badili umuombe mungu unamuomba mwamposa acha ujinga
@victorvenantkaigarula6255
@victorvenantkaigarula6255 3 күн бұрын
😂😂😂😂 nimecheka sana, mwamposa akuinue
@benmbwele
@benmbwele 10 күн бұрын
Kuna wetu ni watumishi wa Mungu ila hawajijui. Chalamila ni mmojawapo. Ipo sikumoja mtakumbuka maneno yangu...!
@mudywaya328
@mudywaya328 11 күн бұрын
mkuuwamkowa huyu namkubalisana👏👏👏👏👏👏💥
@ruahahilltoplodge
@ruahahilltoplodge 9 күн бұрын
Mwamposa baba ninakupenda sanaa Mungu aliyekupa kibali akupe maisha marefu uifanye kazi uokoe watu wake..
@vicentpantaleo5837
@vicentpantaleo5837 9 күн бұрын
Kibal gan nisili yke zinduka
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats 11 күн бұрын
Watu wana shida mzeee wangu.
@Oboss_billharvester
@Oboss_billharvester 10 күн бұрын
Huyu jamaa aache siasa ana chembechembe za kiutumishi wa kiungu, ila siasa inampotezea dhumini la mungu Ndani yake
@eunicejohn5520
@eunicejohn5520 10 күн бұрын
Sana tu ila MUNGU ana njia akiamua anamtoa kwenye uongozi
@costantinekikinda7574
@costantinekikinda7574 7 күн бұрын
😂😂😂😂😂 charamila ni mwana sahikolojia sana hongera kwa neno MWENYE macho na aone amen
@VictoriaNgatunga-nm9py
@VictoriaNgatunga-nm9py 7 күн бұрын
Kwa maombezi ya mtume na Mimi ntapokea mapacha 🙏
@BarakaMalande
@BarakaMalande 4 күн бұрын
Dini ni moja , mungu mmoja na mtume WA mwisho ni mtume Muhammad sallalahu allayhi wasallam, huyu mwamposa mtume na yesu tumitaje?
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 7 күн бұрын
Mkuu wa mkoa DAR,, UMEongea serious ..ujumbe wa amani na upendo kwa watu wako na mataifa mengine tumekuskia baba.BARIKIWA SANA.
@mpefu_4936
@mpefu_4936 10 күн бұрын
Tunakimbila miugiza simama omba mungu yupo uvivu ni mbaya
@TumsifuErick
@TumsifuErick 7 күн бұрын
Hongera sana mh.charamila hakika utaendelea kujikusanyia umaarufu kwa points zako muhimu
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 11 күн бұрын
Chalamila leo umenifuraisha sana
@salummahanzar6714
@salummahanzar6714 7 күн бұрын
RC chalamila nakukubali Sana kaka
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 11 күн бұрын
Jana mida ya saa2 usiku nikiwa mitaa ya mikocheni aisee kulikuwa na foleni ya hatari ogopaaa mabasi YALIKUWA full watu wanatembea mpaka Kwa mguu kiufupi ilikuwa ni hatari hasa Wana wake watu wanataka miujiza na mafanikio na sio mungu
@user-ez1ky4ls7c
@user-ez1ky4ls7c 11 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂kabisa
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 10 күн бұрын
@@user-ez1ky4ls7c na hao watu hawana Cha bible wa Quran tutafika tumechoka Sana wanahubiliwa mafanikio tu ukisikiliza kipindi Cha ushuhuda aisee shuhuda za kutisha tisha KAZI yao ni kutumia maji na mafuta ya upako huna haja ya kutaja jina la MUNGU 😥
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s 10 күн бұрын
Ujinga ni mzigo kwakweli watu hawataki kufanya kazi wanataka utajiri na maisha mazuri kwa miujiza 😂😂😂😂
@Kelvinjoseph-jz7kq
@Kelvinjoseph-jz7kq 10 күн бұрын
@@user-ur7pw9ek6s Kam wasingekuw Na mafanikio bas kusingekuw Na foleni za Magari ,,wangekuw Na punda ndio mseme,,2sipend kuhukm
@ce-08
@ce-08 10 күн бұрын
Kama familia yako hajawah kupata shida na ikatatuliwa kwa mwamposa huwez kumuelewa utamuona ni Muongo tu
@HASASON
@HASASON 11 күн бұрын
Mimi nilikaa miaka miwili sina kazi lakini nilimsikia mwamposa kwa bahati nzuri tu kwenye radio dodoma nikafatilia yale maombi ndani ya siku 4 nikapigiwa simu ni kapata kazi mshahara laki 6 ni mwaka wa tatu naenda sasa kazini
@davidsamson8292
@davidsamson8292 10 күн бұрын
Imani yako imekuponya
@Henricovicent
@Henricovicent 10 күн бұрын
Machawa wa Mwamposa utawajua tu.
@user-ts9lp4rm9j
@user-ts9lp4rm9j 10 күн бұрын
Hata mmi tena nilienda mara moja tu na kazi,mtto,mke juu
@Henricovicent
@Henricovicent 10 күн бұрын
@@user-ts9lp4rm9j Machawa wa Mwamposa utawajua tu kwa matendo yao.
@BakariAlly-dm1vf
@BakariAlly-dm1vf 10 күн бұрын
😂😂
@kadrimwingamno258
@kadrimwingamno258 7 күн бұрын
Uma una-angamia kwa uvivu wa kutaka kupata maisha mazuri kwa kuwamini wachawi. Ambao wamejivisha Johoo la utume. Audhubillah.
@happynkya9770
@happynkya9770 6 күн бұрын
Na weee kuwà mchawi ili uache maneno mengi
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Күн бұрын
Nenda kwa bibi yako shenz mbwa wewe
@kadrimwingamno258
@kadrimwingamno258 Күн бұрын
Siku ​@@miriamwinston9908 siku ya kiyama utakapo chomwa moto na ukafiri wako ndiyo utakapo jua nani mbwa. Endelea na upotofu wako.
@kadrimwingamno258
@kadrimwingamno258 Күн бұрын
Mwaposa alitakiwa awajela kwa kuuwa watu...ambao aliwatoa kafara kwa kanyaga turubai alilotia mafuta yake ya uganga wa kienyeji. Endeleni kufwata wajinga mtaendelea kufa kama utitili.
@Oboss_billharvester
@Oboss_billharvester 10 күн бұрын
Naona Leo chalamila kaongea uhalisia na ukweli wa maisha
@GeofreyKalo-ot3we
@GeofreyKalo-ot3we 10 күн бұрын
Kama mtu hajakutana na changamoto hutomuona Kwa mwamposa ila kiukweli chalamila kaongea point shida watu wanaubishi mwingi Hadi kwenye maswala ya Imani MUNGU mbariki RC MUNGU mbariki apostle
@stanleymissiontv2303
@stanleymissiontv2303 10 күн бұрын
Jamaaa likiamua kuongea point liko vzr
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 10 күн бұрын
@@stanleymissiontv2303 kwa kweli🤣🤣
@AgnesNjau-iq3gf
@AgnesNjau-iq3gf 8 күн бұрын
Na wengine wapo humu ukweli huo unawauma haswaaa....
@FurahiniMbise-cb6uf
@FurahiniMbise-cb6uf 9 күн бұрын
Ameeen and ameen
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 9 күн бұрын
Kazi kazi
@user-us1mh8zw1v
@user-us1mh8zw1v 10 күн бұрын
Nakuelewa sana mkuu wa mkoa Wang Kwa speech zako unanimaliziaga bando Kwa harakati zako ususani speech zako mwamposa mola azid kukujalia tusiksikatae watoto na WA mama masiue watoto Leo waZaz wake mwamposa wanajivunia mtoto wap saffff
@user-st3ws1ns5g
@user-st3ws1ns5g 5 күн бұрын
Show ya mwamposa imejaa,ila chalamila unatuchosha kweli sikuizii
@bennygwasa4563
@bennygwasa4563 10 күн бұрын
Mkuu wa mkoa upo vizuri sana
@rukiamadati336
@rukiamadati336 4 күн бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu🙏🏾👏
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 11 күн бұрын
YEREMIA 50:6. YACMA KONDOO WANGU WANAPOTEZWA NA WACHUNGAJI WAO.
@DjMswati
@DjMswati 10 күн бұрын
kweli broo
@HamduniYasir
@HamduniYasir 10 күн бұрын
Hamad Shein 😂😂😂
@luotagwabt7730
@luotagwabt7730 10 күн бұрын
Hahahaha kwa masheikh unaenda kupata kisomo na mavukizi ubani wa majini lakini jina la Yesu aaah.
@gosbertbuberwa6198
@gosbertbuberwa6198 10 күн бұрын
​@@luotagwabt7730😂😂😂😂😂😂😂😂Mwambie Huyoooo!
@corrolesscps
@corrolesscps 10 күн бұрын
Wewe endelea na yako, hapa kwa Mwamposa anahubiria YESU KRISTO, yeye ni njia ya kweli na uzima, yeye ni mponyaji, anaokoa, na kufungua, kila Giza, alikuja kwa ajili ya kuokoa ulimwengu, kwa tatizo lako lolote ille, yeye yupo kwa ajili yako,akuja kwaajili ya Dini, na kila atake litaja Jina la Bwana ataokoka
@Dema_Tours
@Dema_Tours 9 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu
@kessiahLutungulu-t3s
@kessiahLutungulu-t3s 6 күн бұрын
Baba mungu akupe maisha milioni
@ShabanMainde
@ShabanMainde 7 күн бұрын
Alikusanya dunia sio kijiji😮
@user-tr3bi1ry6t
@user-tr3bi1ry6t 9 күн бұрын
Mtu wa maaana kabisa chalamila
@GodfreyMwamaso
@GodfreyMwamaso 9 күн бұрын
Amen Amen.umenena vema mtumishi wa Mungu chalamila una utumishi ndani yako Mungu akuinue
@japhetmsafiri
@japhetmsafiri 10 күн бұрын
Salaam Almassih, Yeshua akibar
@ezekiambise2595
@ezekiambise2595 11 күн бұрын
Jina la bwana libarikiwe.
@upendomwakalibule
@upendomwakalibule 11 күн бұрын
Ameeeeeeen
@joshuaezekiel8257
@joshuaezekiel8257 8 күн бұрын
Ameen kubwa mkuuu wetu
@user-ni2kv3yf6e
@user-ni2kv3yf6e 9 күн бұрын
Namuona magufuli wa badae
@user-yh8ny1nf3f
@user-yh8ny1nf3f 10 күн бұрын
Maneno ya upako
@yaluclile566
@yaluclile566 10 күн бұрын
Nina mtoto nikicha naomba unisaidie nipo burundi
@babajay3445
@babajay3445 10 күн бұрын
Hao wote uliowaona hapo hawakufuata wokovu Wana hali ngumu ya maisha iliyosababiswha na ccm wenyewe
@josephdimosso6380
@josephdimosso6380 10 күн бұрын
Hamna habari ya wokovu, hapo ni mafanikio na magonjwa iponyaji
@josephdimosso6380
@josephdimosso6380 10 күн бұрын
Hamna habari ya wokovu, hapo ni mafanikio na magonjwa iponyaji
@PrudencePaul-mr1ge
@PrudencePaul-mr1ge 9 күн бұрын
Hayajawafika siku yakiwafika mtaelewa
@calvinpaul2171
@calvinpaul2171 8 күн бұрын
Kwel kabxaa
@AGM19697
@AGM19697 7 күн бұрын
Mimi sina hali ngumu ya maisha na nilienda kumtukuza Mungu mkeshani
@martinlema4192
@martinlema4192 6 күн бұрын
Amen! Nawakumbusha msisahau kipindi cha masika haliya mvua kidogo si rafiki.
@user-nb2jw4km6f
@user-nb2jw4km6f 10 күн бұрын
Watu wengi kama utitiri
@yaluclile566
@yaluclile566 10 күн бұрын
Naomba namba ya mwaposa nipo Burundi
@KhalidAlly-je8ky
@KhalidAlly-je8ky 10 күн бұрын
Duh
@tseaamaqhamarabura7138
@tseaamaqhamarabura7138 9 күн бұрын
Dar imepata RC hakika
@gelarisjonathan7081
@gelarisjonathan7081 10 күн бұрын
Çhalamira mbona muhubiri mzuri
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 10 күн бұрын
Ana tone ya kuhubiri kabisa
@MwalimuJelly
@MwalimuJelly 10 күн бұрын
Amen
@MozaSihha
@MozaSihha 10 күн бұрын
@HappinessMsham
@HappinessMsham 6 күн бұрын
❤❤
@emmanuelmlekwangano9991
@emmanuelmlekwangano9991 10 күн бұрын
Mwamposa ni asset kwa wanasiasa
@Yesunimwokozi1
@Yesunimwokozi1 10 күн бұрын
Mtumish wa MUNGU MWAMPOSA,, MUNGU AKUBARIKI ZAID
@SmilingBeaver-rf6sf
@SmilingBeaver-rf6sf 10 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@lusogoalbert138
@lusogoalbert138 6 күн бұрын
DC Chalamira kashusha point nzito saaana makofi kwakee🎉🎉
@dismaboytz4849
@dismaboytz4849 11 күн бұрын
Kinacho tuponza TZ ni umasikini 😂 mashehe Huwa wanaongea sana wakiona seem Kuna ubwabwa chalamila shikamoo baba kz unaiweza Mimi kama___siachi uchawa😂😂😂😂😂 kwenye pesa
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj 11 күн бұрын
Ovyooo
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 10 күн бұрын
Na ujinga pia unatuponza
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 10 күн бұрын
Unaleta kashfa isiyo na maana. Waislamu huwaga hawatumii uchawi. Na dini yao huwezi kuichanganya na uongo ndio tofauti. Mm siamini kama mwamposa ana uwezo wowote zaidi ya uchawi anaotumia.
@ashuramuhammed3257
@ashuramuhammed3257 10 күн бұрын
Wewe chalamina ndo umesilimu wewe mtume mwamposa tena
@MagrethSudy
@MagrethSudy 6 күн бұрын
Pamoja mtumishi
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 11 күн бұрын
Innarilah wainahilah rajiun
@Nick16697
@Nick16697 10 күн бұрын
Usilo lijua kwako ni sawa na usiku wa giza..
@SharifTwahirAbdullqadir
@SharifTwahirAbdullqadir 10 күн бұрын
Nailo ndo guza lenyewe​@@Nick16697
@AGM19697
@AGM19697 7 күн бұрын
Yule wa kwenu alishawaambieni yeye hajui anaenda wapi wala hajui ninyi mtaenda wapi ila anawaonya tu. Na mpaka leo mnamuombea, sasa hapo mbona mtihani mkubwa sana. Yesu alisema mimi ni njia kweli na uzima mtu hawezi kwenda kwa Baba bila kupitia yeye
@bettykinyami5096
@bettykinyami5096 6 күн бұрын
Njia ya shetani ina watu wengi sana hii ni njia pana lakini njia ya Mungu ni nyembamba na imeaonga nao waionayo ni wachache,
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 7 күн бұрын
AMEN🙏🙏
@user-ii1gz2it4c
@user-ii1gz2it4c 10 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🇧🇮🇧🇮
@PrinceCharlz-vv1zs
@PrinceCharlz-vv1zs 11 күн бұрын
waislam wanakasirik sabab Mungu wetu anafanya kuliko kawaida
@omytifa6403
@omytifa6403 10 күн бұрын
Atukasir nyinyi mna dini yetu na sis tuna dini yetu
@user-ts9lp4rm9j
@user-ts9lp4rm9j 10 күн бұрын
Cha ajabu hapo kwa MWAMPOSA waislam n wengi kuliko wenye dini yao na wanashida balaa
@user-cq4lp5rv1l
@user-cq4lp5rv1l 10 күн бұрын
Mungu wako sisi waislam hatuna mungu
@omytifa6403
@omytifa6403 10 күн бұрын
@@user-cq4lp5rv1l ww sio muislam km una MUNGU
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 9 күн бұрын
@@omytifa6403wenzio wamejaa kwa mwampisa umebaki wewe
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi 6 күн бұрын
Watu wanapenda miujiza kuliko neno
@hanifamziray277
@hanifamziray277 10 күн бұрын
Hapo ni wanawake ni wengi sn
@AGM19697
@AGM19697 7 күн бұрын
Ni hao hao waliodamka asubuhi na mapema kuuangalia mwili wa Yesu kaburini
@mr_kajomba_og5719
@mr_kajomba_og5719 11 күн бұрын
Sisi watu wa Kawe tumekipata Cha moto Naul kawe Morocco buku kawe bugurun buku jero kawe mbagala 2000 na bado gar nizakugombaniwa
@PaulinaOtaigo-cr3sq
@PaulinaOtaigo-cr3sq 10 күн бұрын
Kufa kufaana
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 10 күн бұрын
Narudia tena Mungu siyo wa quantity yeye ni wa quality. Sauti ya wengi si sauti ya Mungu bali sauti ya mwenye haki ndiyo sauti ya Mungu.
@Oldskulgemini9991
@Oldskulgemini9991 10 күн бұрын
Kwahiyo unataka kusema hao wengi sio wa Mungu ila wewe ndo wa Mungu eti😅 we umejuaje kama sio wa Mungu?
@shongatv1224
@shongatv1224 10 күн бұрын
​@@Oldskulgemini9991watanzania wengi tupo njia panda jambo likiwa kubwa ni shetani likiwa dogo sana tunaamin ndo haki yetu
@Oldskulgemini9991
@Oldskulgemini9991 10 күн бұрын
@@shongatv1224 vichwa panzi, watu wote hao kwamba ni wehu ila wao wachache ndo wanajiona wanaakili😅 ukiona mtu anaetumia muda wake kufatilia dini za wengine jua Hana kazi ya kufanya, maisha Yako mbio Sana unaanzaje kupoteza muda kuanza kukosoa Imani za watu
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 9 күн бұрын
@@shongatv1224 huu ni wakati wa kunyang'anywa taji ya uzima. Hatumpingi mtu kwa ajili ya wivu, laiti ningekutana na wanaokwenda kwa manabii wa hivyo ninge debate nao kibiblia tuweke pembeni itikadi zetu za madhehebu na ufuasi ndipo ungejua kuwa watu wengi hawajui hata sababu gani Yesu alikuja duniani na alikufa kwa sababu gani Ili iweje. Sababu injili tuliyoachiwa na Yesu haikubaliki kwa kizazi cha leo na kwakuwa ni hivyo je injili inayopendwa na kizazi cha leo itawapeleka wapi hatimaye!?
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 9 күн бұрын
@@Oldskulgemini9991 swali la kitoto! Nimejuaje na wewe umejuaje kuwa ni ya Mungu? In short jambo lolote hupimwa kwa kipimo kinachokubalika na wote. Swali imani yako wewe huwa unaipima kwa kutumia nini? Biblia ndiyo kipimo pekee kinachokubalika ikiwa wewe unajitambua kama mkristo. Waliojikinai hubeza mwongozo wa biblia kwa kuwa imeandikwa "kuna wakati watayakataa mafundisho yenye uzima na kufuata mafundisho ya mashetani kwa kuwa wana masikio ya utafiti". Mathayo sura ya 24 na Yeremia 23:16-30 biblia imeeleza wazi manabii wa uongo walivyo. Kama ni suala la miujiza na utajiri wa vitu hicho siyo lengo kuu la Yesu kufa msalabani. Injili ya utajirisho na kuondoa laana ni dhaifu haiwezi kuwashawishi mabilionea duniani ambao wengi wao ni wapagani kumwamini Yesu.
@mrsmussa115
@mrsmussa115 11 күн бұрын
ujinga ni mzigo Allah atuongoze
@omytifa6403
@omytifa6403 10 күн бұрын
Ameen
@tanzanianpatriotic3532
@tanzanianpatriotic3532 10 күн бұрын
Maranyingi mjinga huzani yeye ni mwerevu na kumuita mwerevu mjinga, lakini ukijua yakwamba Mungu anaweza kuongea na wewe binafsi basi jaribu kumuliza ukweli ni upi,atakupa utayari wakujifunza na atasema na wewe binafsi.
@luotagwabt7730
@luotagwabt7730 10 күн бұрын
Allah atuongoze wapi ndugu malizia hapo...kwenye njia iliyonyooka ya 3rd Caliph Uthman kurani moja ilinyooka isiyo na kujichanganya au wapi, au atuongoze Kibra kubusu jiwe jeusi na kumpiga mawe shaitwani fafanua vizuri...au kwa sabab hana mtoto na hakuwa na mke, au kwa sababu Isa atarudi kuwahukumu wakristo ya kwamba kwanini walimfanya Isa, Maryam na Allah kuwa Mungu watatu? jifunze atuongoze wapi???
@pastadandan3569
@pastadandan3569 10 күн бұрын
Waislamu wanakwazika sana wakiona viwango hivi
@gosbertbuberwa6198
@gosbertbuberwa6198 10 күн бұрын
​@@pastadandan3569Sanaaaa! Mpaka Wasemeeee!
@matukiotvonline6366
@matukiotvonline6366 11 күн бұрын
Dunia hii muamini mungu tuu hata viongozi wa nchi huongoza kuwafanya raiya kuwa mazezeta daah😥😥😥😥
@Beauthoms
@Beauthoms 11 күн бұрын
Amini unachokiamini kila mtu anashida zake mzee ,ko usihukumu usichokijua
@emmadora7848
@emmadora7848 10 күн бұрын
We mwenyewe zezeta au hujajiua?
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 11 күн бұрын
Muabudu rusifa mkubwa Sana mwamposa muuni Moto unamsubiria asipo tubu lazma ziwa la Moto na reg rusifa wake
@MaurenEmmanuely-nc9id
@MaurenEmmanuely-nc9id 11 күн бұрын
Ww umetubu nyoko ww
@ezekiakiwovele7794
@ezekiakiwovele7794 11 күн бұрын
Fungua na wew
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 10 күн бұрын
Hivi hawa watu huwa siwaelewi wenyewe yesu ndo wanamuita mngu au
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 10 күн бұрын
Kiukweli mwamposa Yuko upande wA shetani,
@janesuma-is4wc
@janesuma-is4wc 8 күн бұрын
Atubu kwani amekokesea nin
@achawanunetv1167
@achawanunetv1167 11 күн бұрын
Wa Kaka wakina Juma Lokole Na Noël wa wasafi
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj 11 күн бұрын
Astaghafirullah
@luotagwabt7730
@luotagwabt7730 10 күн бұрын
Ukisomewa kisomo cha majini na kufukizwa ubani fresh au siyo
@Nick16697
@Nick16697 10 күн бұрын
​@@luotagwabt7730hawa watu ni wa ajabu sana sijui kwann, wanafika mahali wanasema kuna majini wema 😂😂
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 9 күн бұрын
bafo hujasema wenzio na nikabu na majuba na barakashia wamejaa kwa mwamposa mpaka watu kutoka zanzbar
@AGM19697
@AGM19697 7 күн бұрын
​@@Nick16697hivi wanashinwaje kushtuka? Majini ni vijana wa shetani na tunaambiwa majini ni Waislamu, hapo sasa wanashindwaje kushtuka?
@consolatamaunde9820
@consolatamaunde9820 9 күн бұрын
Kuwa mkuu wa mkoa sio ndo kuwa na macho ya rohoni izo habari za mchawi au sio mchawi waachie watu wa rohoni . Inawezekana umesimama kwenye madhabahu inayosababisha hayo yote yanatusumbua POLE
@AdamAmos-rr6fg
@AdamAmos-rr6fg 11 күн бұрын
Uyu nae chawa kwel uyu
@jesusnetworkministry
@jesusnetworkministry 11 күн бұрын
kweli njia ni pana sana
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 9 күн бұрын
bado hujasema mtu uliefika mbinguni 😂
@MashakaMagesa
@MashakaMagesa 9 күн бұрын
Hiyo madhabahu ya Alise inatenda kama ukiamini tu mimi nimepokea chako ni chako mara 2 leo niko vizuri Namshukru mungu wa mbinguni
@happynkya9770
@happynkya9770 6 күн бұрын
Duuuh hapa ilikuwa benjamin mkapa au
@michaelmlugu5654
@michaelmlugu5654 11 күн бұрын
Akuombee wewe uwe waziri aombee na wezi wa serikali waache kuiba aiombee serikali watu wasiojulikana wapatikane na waache kuwatesa watu na kuwaua mkuu una fungu hapo
@isaackambofi1241
@isaackambofi1241 11 күн бұрын
We chiz
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 9 күн бұрын
pambana na hali yako
@jaromemwazembe6396
@jaromemwazembe6396 10 күн бұрын
Nakusihi Mwamposa fundisho watu kumwamini Kristo na kuacha dhambi hayo Mambo ya utajiri yatafuatana nao wakifundishwa ujuzi wa kufanya kazi. Fuata fundisho la Yesu Kristo pekee achana nabkuwafanya watu wajihisi wamefugwa kila mahali hapana wafundishe kuwa na Imani thabiti kwa Kristo isiyo na viambayanisho/visaidizi vya mafuta,maji ya upako etc.
@ChristopherNgubiagai
@ChristopherNgubiagai 10 күн бұрын
Undisha wewe labda niwitowako achakujitia wewe ndie unamjuamungu saaana fuatayako
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 9 күн бұрын
ushawai fwatilia mafundisho yake au unaota kijana kabla hujacomment fwatilia ibada za mwamposa ndo utajua anafundisha nini 😂😂😂😂
@ChristopherNgubiagai
@ChristopherNgubiagai 8 күн бұрын
@Leeeeeeee-96 biblia ni kubwa sana achakudharau anachofundisha mtumishi,ebu niambie kosamojakimaandiko lamwamposa,acheni ulimbuken wamapokeo yamadhehebu
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 8 күн бұрын
@@ChristopherNgubiagai mimi au wewe ndo limbukeni uko zama zipi bro
@ChristopherNgubiagai
@ChristopherNgubiagai 8 күн бұрын
@Leeeeeeee-96 we nimshamba wamaandiko unawaza kukemea dhambi kuish kifukara,mafundisho yakipumbavu yamekufanya uenautindio wakiroho.mnajiona mnajua mungu kumbe mmefungwa
@stanleymanya438
@stanleymanya438 11 күн бұрын
Ukovizuri mr copypest.
@johnsonzuma4932
@johnsonzuma4932 10 күн бұрын
Wewe RC siyo harufu wewe ni mtanzania gani!!! MTU atowi arufu bali MTU ana towa Rehe juwa hilo...
@NashonJunior-or5eh
@NashonJunior-or5eh 9 күн бұрын
Sijawai ona akihubir watu waache dhambii
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 9 күн бұрын
una uhakika ata leo kahubiri watu waache zambi acha kukurupuka utaaibika vibaya
@janesuma-is4wc
@janesuma-is4wc 8 күн бұрын
Wewe umehubiria wangapi waache dhambi zaidi ya kuhukumu
@joshuajofrey9832
@joshuajofrey9832 10 күн бұрын
Hapo wanaccm wanafikili ni namna gani watamtumia mwamposa kujinufaisha kisiasa
@nathanpangjanda2734
@nathanpangjanda2734 11 күн бұрын
Hao wote ni wanyakyusa hapo kuna ukabila fulani
@user-jj7qv7kh2s
@user-jj7qv7kh2s 11 күн бұрын
Yani wewe akili yako imeishia hapo
@user-jj7qv7kh2s
@user-jj7qv7kh2s 11 күн бұрын
Hapo kuna makabila yote mpaka wazungu wahindi wapo hapo.
@ambakisyemwakinunu2002
@ambakisyemwakinunu2002 11 күн бұрын
😂😂😂😂😂 Umechemka vibaya RC CHARAMILA n MNYALUKOLO(MHEHE) wa IRINGA/NJOMBE na MWAMPOSA ni MNYAKYUSA wa MBEYA,waache watu na Imani zao wewe na mimi tubaki na tunachoamini ila haifai kujiona wewe uko sahihi kuliko mwingine juu ya imani Maana ni Mungu pekee ndo anajua usahihi wa imani ya mtu
@user-ts9lp4rm9j
@user-ts9lp4rm9j 10 күн бұрын
Rc chalamila cio mnyakusa n muhehe
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 9 күн бұрын
ufahamu wako kiwango cha chini kabisa
@barakalameck7342
@barakalameck7342 10 күн бұрын
Mungu awasaidie watu wake wanaangamia sana kwakuamini manabii hawa..ila mungu hadhihakiwi nawaambia kua mungu atawasambalatisha mmoja baada ya mwingine ole wenu acheni kucheza na mungu.
@Nick16697
@Nick16697 10 күн бұрын
Omba Mungu akupe rehema ya kumjua yeye na taratibu zake
@barakalameck7342
@barakalameck7342 10 күн бұрын
​@@Nick16697Tunamambo mengi sana yakumwomba mungu, ikiwemo kuombea taifa nasio kuomba kumjua mtu zaidi chakukushauli nikwamba umwombe mungu kumjua yeye zaidi ndo utajua maana yayote hayo unayoyaona duniani unaishi kwaamani sana nakumwamini yeye siyokuamini mitume na manabii??
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 9 күн бұрын
mungu ndie anaehukumu wewe umepata wapi ujasiri wa kutoa hukumu kua makini isije akarudi kwako 😊
@janesuma-is4wc
@janesuma-is4wc 8 күн бұрын
Ujinga unakusumbua msiwe mna musisha Mungu kwenye upumbavu wa akili zenu
@akidahabibu7862
@akidahabibu7862 4 күн бұрын
maokoto kaisha chukua ya mwamposa sema kaongea point ila mwamposa bado kwangu niwa mchongo akili nyingi sana.
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Күн бұрын
Kachongeshe na wewe
@karimjuma4019
@karimjuma4019 10 күн бұрын
Anafuata maneno ya mama uyu jamaa kweli chawa
@hadijatwahadossa
@hadijatwahadossa 10 күн бұрын
Hakuna kitu hapo,,,,hata wakina Bushiri walikuwepo South Africa,,, wamekimbia wenyewe,,,wakina TB Joshua wako wapi....hayo ni matangazo kama yalivyo matangazo ya biashara,......wapeni mitaji.....sio mikopo
@AziziAlly-xc6nm
@AziziAlly-xc6nm 10 күн бұрын
MWAMPOSA AMEANZA KUINGIZA SIASA KWENYE DINI
@AziziAlly-xc6nm
@AziziAlly-xc6nm 10 күн бұрын
Yani anaongea mafumbo ni siasa sana
Cat Corn?! 🙀 #cat #cute #catlover
00:54
Stocat
Рет қаралды 15 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 71 МЛН
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 11 МЛН
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 62 МЛН
Rais Ruto akosolewa kwa kumpa pole TRUMP
6:26
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 7 М.
Barbara O'Neill's SHOCKING Hair Loss Discovery: What They Hid From You!
21:56
Быстрый, стильный и крутой Тигуан! Проект закончен 💪
1:42:27
ИЛЬДАР АВТО-ПОДБОР
Рет қаралды 2,7 МЛН
Skyfall mit dem Auto 💨💥 #crash #pov
0:26
tomhansenmedia
Рет қаралды 4,8 МЛН
Choose car for Dad 😄#supercars
0:23
Earn Edix
Рет қаралды 8 МЛН
Подменил НОМЕРА на ЧУЖОМ скутере 😱 #shorts
1:00
Лаборатория Разрушителя
Рет қаралды 1,2 МЛН
Thieves steal E-Bikes from Ace Hardware store in broad daylight
0:39
ЗЛОЙ ВЫХЛОП на КИТАЙЦА #shorts
1:00
Мистер Глушитель
Рет қаралды 1,1 МЛН