Ujue wa tanzania sisi akili zetu tunazijua wenyewe tunaanda sehemu na kurekodi sehemu za comedy tucheke wakati tunachekwa na watu wenye akili zao na maendeleo sisi tunajiona watu wa fahari mnafurahisha sana tena sio kidogo
@epiphaniachristian5450Ай бұрын
Jamn sijui nina nn ? Kwenye hii video nilkuwa namwangalia Doctor Tom akicheka tu na mm ndo nacheka😂😂