Margarine 200g Icing Sugar Powder 1000g Water 1/2 cup Flavour 5mls/1tsp
Пікірлер: 348
@khadijaseif38978 ай бұрын
Mimi naomba vipimo vya icing butter mfano keki ya robo nitumie vipimo gani na keki ya nusu nitumie vipimo gani vya butter icing ambayo itatosha kupamba keki yang
@zaitunilyimo90122 жыл бұрын
Thank you so much my sis nimepata tabu butter cream zinavimba baada ya kuremba keki nimejaribu yako cake imekauka nimefurahi sana unafundisha kitu halisi haufichi fichi kama wengine. Mwenyezi Mungu akubariki sana sana 🙏❤
@aminaayubu62732 жыл бұрын
hasate sana nimejua kosa langu nini
@angelvalerian29272 жыл бұрын
Yaan huyu dada Mungu amuwwke
@julianaawuor90072 жыл бұрын
iko xwa kabisa
@user-cq8pe3tp5y8 ай бұрын
@@angelvalerian2927❤❤
@rebecasitta74785 ай бұрын
Mungu ambariki sana huyu dada
@mahranrashma17452 жыл бұрын
Ulichokifundisha ndio uhalisia dada, nimejaribu imetoka vizuri sana. Asante dada. Mungu akuongozee mambo yako ufanikiwe zaidi. Ameen. Lots of luv 😘
@aminamollel57253 жыл бұрын
Ahsante sana tena sanaaaaaaa, ilikiwa inamisumbua sana hii
@elizabethedward37492 жыл бұрын
Mungu abariki kazi ya mikono yako, najifunza mengi sana kutoka kwako🙏🏼🙏🏼❤❤
@emillianapaulo4622 жыл бұрын
asante sana dada kwa somo,hili.mungu akuinue.kazi yako.
@sharifamrisho80122 жыл бұрын
Unajua hadi unakera safi sana mungu akulipe kubwa kuliko ulilofanya sio mchoyo my
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
😉
@user-nz6yz1us4g Жыл бұрын
Good stuff I like it
@evaizengo808 Жыл бұрын
Najifunza sana , natafuta naanzajw kuwa mtengenezaji mzuri na msabambazaji
@agnesmtenga68202 жыл бұрын
Nimeipenda,nitajaribu na nitakupa mrejesho
@ruthpastory95213 жыл бұрын
Asante dear kwa somo,swali langu kama hyo butter nataka kuandikia maua na kufunikia cake naeza igawa?inafaa pia kufunikia?
@agnesmagehema5762 ай бұрын
Nakupenda mziwanda bakery Mungu akubariki sana
@zulekharamadhan2016 Жыл бұрын
YAANI MUNGU AKUWEKE AKUZIDISHIE UMRI UZIDI KUTUFUNDISHA MIMI HAPA KUTOKA KENYA MOMBASA NIMEJUA KUPIKA CAKE KWA SABABU YAKO NIMEFATA HATUA BAADA YA HATUA NA NDIO MARA ILIKUA MARA YA KWANZA MWAKA JUZI SAI NATENGEZA CAKE NAUZA NIKIKWAMA NAINGIA KWA YU TUBE ZAKO MOJA BAADA YA INGINE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ MUCH LOVE MY DEAR
@MamyTriple-gc5dy9 ай бұрын
Nmekupenda sanaa
@ZiadaKhamisi2 күн бұрын
Habari nafurahi unavyotufundisha mm napata changamoto kwenye kupamba kwa kutumia butter keki haiwi nzuri
@fatimamohammed3463 Жыл бұрын
Thank you nikfanya my cakes melt fast if stays out of the fridge is it because I put it on the fridge?
@victoriakabota49762 жыл бұрын
Yani we ni mwalim mzuri tunakuelewa sana
@HalimaFikirini3 ай бұрын
Iko perfect kabisa
@shadyamnanka13423 жыл бұрын
Mashaallah Aunt navutiwa sana na ninapenda kujua kupika keki pia nahitaji kufundishwa kuazia kupika keki na nk na mie niko mwanza naomba niwe mwanafunzi wako nakupataj?
@user-xp9bt9pl8n8 ай бұрын
Asante.niliweka maji mengi nilivyopamba ikayeyuka.je rangi ya unga inafaa kwenye cream butter?
@adellamlay93347 ай бұрын
Asante Sana dear nimejifunza kitu maana Mimi niliambiwa nitie limao kidogo Ndiyo itakuwa ngumu kumbe si lazima.
@DianaDioskori3 ай бұрын
Wow❤❤
@HurumSankoАй бұрын
Asanteee dada na jee, kwenye keki robo natumia vipimo gani
@witnesspeter6602 Жыл бұрын
Nashukuru kwa somo,je naweza funikia hiyo na maua hiyohiyo
@NeemaTemba-x1x10 күн бұрын
Asantee dada Kwa somo sasa kwenye keki ya robo naweka icing sugar kias gan? Halfu luhusu rangi nawekaje sasa
@fatmatwalib8408 Жыл бұрын
Hongera na ahsante sana Hii unaiweza kuitunza kwa muda gani?wenye friji au nje ya friji?
@violanyamwihura75733 жыл бұрын
Thank you very much for your tutorials. Which margarine brand are you using, blue band?
@zippyphoepy9507 Жыл бұрын
Siz Kwan huwa tunaeka maji I thought we mix butter and icing sugar only until ikue white and fluffy
@janethmunisi7199 Жыл бұрын
Asante ntajaribu kutengeneza
@eastcuisines1243 жыл бұрын
asante dear naomba utufundishe royal icing
@jacklinejohn73802 жыл бұрын
Hello madam mm nimekuwa nikkfuatilia sana but changamoto yng kubwa ni kuhusu kupika keki yaan nikipka keki huwa inakuwa na mlima for sure siipend hii hali na time nyng huwa inapsuka na kuvujia kweny ile mipasuko kitu ambacho kinafanya keki ichelewe kuiva hayo maeneo
@hossanajosiah57162 жыл бұрын
Naweza tumia kimbo?? Badala ya blueband pls help
@ChristinaKimaroАй бұрын
Unajua Kupika keki dada yangu mungu akubariki
@aminasuleiman7084 Жыл бұрын
Hbr mm nauliza hiv unaweza kutengeneza icing sugar kwa sukar ya kawaida na isichuruzike
@irinesimiyu67723 ай бұрын
Can you use blue and?
@syliviamgina62132 жыл бұрын
Ahsante kwasomo nilikuwa nauliza kwamba unaweza kupambia keki yote au kwajili ya mauwa tu. Maana nikipaka huwa unagandia kwenye sahani wakati wa kukata keki atanikiweka kwenye friji. Msaada please...🙏🙏
@estherakinyi2622 Жыл бұрын
Asante Sana kwa mashauri yako
@eliethkwesigabo19903 жыл бұрын
Asante nimejifunza kitu
@eliasshekalage92323 жыл бұрын
Maji unatumia ya moto au baridi love
@mziwandabakers82973 жыл бұрын
Baridi kawaida
@DorineAgaziva16 күн бұрын
Nimekupata vizuri sana
@upendoombeni43092 жыл бұрын
Iv hiyo butter inayobaki naeza tunza kwaa matumizi ua siku nyingine,?
@halimaleila23232 жыл бұрын
Asante dd ninakufatiriya nikiwa 🇧🇮 nikijariwa kupata mutaji NITAKUTAFUT iri unijuze zaidi❤️
@suleiyumabdul2486 Жыл бұрын
kitu cha kwanza ulicho weka sijakujua ni nini iko
@pulcheriamayombo578010 ай бұрын
Nimependa ufundishaji wako napenda nunua noso rose Maya ya na ten gene za and?
@selinamwakiluma79683 жыл бұрын
je naweza kutumia maziwa kipimo hichohicho badal ya maji?
@janetmilgo503 Жыл бұрын
Good
@florenceadhiambo86226 ай бұрын
I still have a problem with the cream. Could u please repeat the lecture once more. Thank u.
@mariamhamisi25113 ай бұрын
Samahan margarine ndoinavyoitw hivo au ni blue band?
@rosemarypeter92322 жыл бұрын
Ahsanteee umenifunza kitu
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Karibu
@dayanayahya2667 Жыл бұрын
Butter cream yang inakua na chenga chenga haiwi soft ivo
@HalimaFikirini3 ай бұрын
Iko perfect kabisa 8:55 ❤
@DOTOCHARLES-so7rh10 ай бұрын
Unaweza kutumia Kimbo na mompishi kwa vipimo hivi?
@kiwengaambari13315 ай бұрын
Waweza kutumia Brenda ya juis
@sostenesswai7783 жыл бұрын
naomba kuuliza nikiweka maj ya chungwa badala ya ljmao nisahihii
@ketrapetro45912 жыл бұрын
Nemependa.
@anithageorge1646 ай бұрын
Naomb kufahamu hyo machine unayotumia n ipi na machine nzur ya kuchapia ni ipi?
@emmynilesh87423 жыл бұрын
Ubarikiwe mpnz wangu nilikua napata shida kweli kumbe n rahis namna hii hailavyuuuuu❤️😘😘
@mziwandabakers82973 жыл бұрын
😘😘😘
@kingalpha78552 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 nice dear
@kingalpha78552 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 huweki ladha
@ruthwaweru6846 Жыл бұрын
Thanks alot
@ambitiousqueen2545 Жыл бұрын
Niulizee waezatumiaa mafuta ya Kimbo ya kupika??
@user-ew2ne8jm8t7 ай бұрын
Asante sana nimejifunza
@jumagodi91162 жыл бұрын
MMI bado dada kabisa tatizo vipimo nakosea sujui
@raudhatmohammed19272 жыл бұрын
Mashallah Dada napenda kumjuwa kupamba keki nitaanza kujifunza Na kufuatilia
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Karibu
@anadoricekomba3064 Жыл бұрын
Nafuata vipimo. Margarine naipiga hadi inaanza kuwa nyeupe ndio naanza kuweka icing sugar lkn kukauka changamoto naweka hadi kwenye friji ikitoka inaanza kuyeyuka nakosea wapi?
@HalimaFikirini3 ай бұрын
Samahani dada naomba ivo vipimo vya icing butter
@SekelaMwangosi28 күн бұрын
Mm huwa nikipamba keki ile icing inabanduka hata kama ni nzito cjui nakosea wap naomba kujua
@HadijaOmary-xv6kd6 ай бұрын
Asant my nimejifunza
@sisitadumshamba7754 Жыл бұрын
Asant dadaangu je naweza kuipaki sehemu na ikakaa ata mwezi bila kuharbika
@yuscotv23722 жыл бұрын
Dada unaweka maji yakawaida na inakaa kwamda gani ili isihalibike
@user-to8wy6kl4k11 ай бұрын
Na kama sina popping bag substitute ni???
@christinapeter71312 жыл бұрын
Hand mixer yako ni aina gani?
@mamyswedy Жыл бұрын
Asante sana ubalikiwe
@ireneraphael33512 жыл бұрын
unaweza tumia brenda
@dinajunior97902 жыл бұрын
Thnx my dear
@yuscotv23722 жыл бұрын
Dada mii sijaerewa apo kwenye maji niyakawaida au majigani
@ayussuf33453 жыл бұрын
Just saw your clip umko wapi . Dar or
@salmandege39612 жыл бұрын
Asante sana mzuwanda mi nilijaribu ikakauka ikawa ngumu kumbe nilikosea sana
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Jifunze zaidi ili ufanikishe dear
@NeymaAlly-rr5xz3 ай бұрын
Asant sana
@yusrambarouk3884 Жыл бұрын
Shukran
@BeritaOtieno_KE22 күн бұрын
Asante sana
@rehemakaluwa472 жыл бұрын
Asante ngoja nitajarbu
@AhmedSaid-wc7fv2 жыл бұрын
Dada asante sana kwa mafunzo sijajaribu bado ila swali langu ni kwamba hata hizi blueband za kupima si naweza kutumia?
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Ndio zinafaa
@RahmahDuah-gn8xm6 ай бұрын
Mashallah mm nimgeni kwenye chanel yako ila nimependa sana my Shukurani
@momorochu96002 жыл бұрын
VP hali mm nikitengeneza mbona huwa ngunu kutoka kwenye koni
@SuzyKibendela2 ай бұрын
Ahsante sana ntakupa matokeo
@sarahlyimo87982 жыл бұрын
Niceee👌 Atleast nimejifunza kituu
@ketrapetro45912 жыл бұрын
Naomba kuwa mwanafunzi mpya kutengeneza icing butter cream na na cake
@christinapeter71312 жыл бұрын
Somo nimeelewa sana aksante dada
@awadhkitogo13842 жыл бұрын
Natenge neza icing sugar hai kai kama we we niweke nin na nin
@jackyluns82243 жыл бұрын
Thanx ccy much love
@mziwandabakers82973 жыл бұрын
Thanks
@luciamethod18272 жыл бұрын
asante madam kwa somo, unaeza tumia margarine 100g na robo cep water kwa box moja?
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Exactly
@LaikaJ0004 ай бұрын
Naomba vigezo vya kujiunga
@upendomwaifuge82612 жыл бұрын
Vp ukitumia maziwa badala ya maji?
@fetychina3273 Жыл бұрын
Maji ni yabaridi au yamoto??
@mariamurashidi1243 Жыл бұрын
Hbr box Moja inaweza kupambia keki ngapi?
@marynaeku3355 Жыл бұрын
Asante sana ,nilikuwa nauliza hii icing sugar ni sukari yenye imesiangwa ama nini?
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Ni sukari ya aina hiyo inavitu vingine ndani yake sio sukari ya kusaga
@IrakozeShanella5 сағат бұрын
🎉
@rehemarajabu493 жыл бұрын
Iv Radha unayoweka kwenye keki,unaweza kuweka Radha nyingine kwenye buttercream namaanish mbili tofauti
@eliwanguminja5932 жыл бұрын
Yes inawezekan kabisa my dear mfano umetumia ladha ya strawberry kwa keki kwenye buttercream unaweza weka buble gum
@ireneclaudy42382 жыл бұрын
Madam umesema icing gram 1000 lakini mimeona umetumia gram 500 tu
@halimasaidhamis16572 жыл бұрын
Mimi nataman kujua namna ya kutengeneza faundant
@rehemakajabu13172 жыл бұрын
Je!unaweza kutumia kimbo nyeupe badala ya blue band?na ikawa kama hiyo ya kwako?