Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015

  Рет қаралды 146,687

Ikulu Tanzania

Ikulu Tanzania

8 жыл бұрын

Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015

Пікірлер: 187
@pascoalphonce2911
@pascoalphonce2911 11 ай бұрын
Huwa namaliza MB zangu kusikiliza hii hotuba kila mala nailejea tena nani nipo nae leo 3/9/2023
@emanuelgunda4033
@emanuelgunda4033 3 ай бұрын
Hakika ww Jpm ni ulikuwa Jembe na nusu
@haafidhaboubakary3097
@haafidhaboubakary3097 2 жыл бұрын
Who is watching this speech January 2022🔥🔥
@kevinmremi6312
@kevinmremi6312 Жыл бұрын
28 July 2023, I am here watching, and I don't believe that our dear beloved President JPM is REALLY gone. In most cases, we always remember the treasures we had, long after they are gone! You are a gem, a treasure, a true son of Africa, a Pan-Africanist and you are now gone! May your soul rest in eternal peace. Amen
@johnkanuda9355
@johnkanuda9355 Жыл бұрын
Pumzika kwa aman JPM, love u more our late beloved President of all in the world,,, mungu akupunguzie adhabu ya kaburi kipenzi chawatanzania.!
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 8 ай бұрын
Ameni
@organistsskills4921
@organistsskills4921 3 жыл бұрын
Hii Hotuba nairudia tena na tena... Dira ya Taifa ilianzia hapa.
@nyanjigamuyenjwa5192
@nyanjigamuyenjwa5192 10 ай бұрын
Moja ya hotuba bora kabisa karne ya 21 Napenda sana kusikiliza hotuba hii ,kwani haichoshi Tukubali Mh Magufuli alikuwa mtu na nusu Pumzika baba,uketi mkono wa kiume
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Жыл бұрын
Nani yupo anatazama hiyi october 2022? Tujuane 😢😢😢
@dennismalima5365
@dennismalima5365 Жыл бұрын
Mwambaaaa 😢... Who is watching JPM SPEECH? 4TH OCT, 2022
@mwitachacha-official
@mwitachacha-official 2 жыл бұрын
Huyu alikuwa kiongozi wa aina yake na ilikuwa zawadi kutoka kwa mungu...sina hakika kama tunaweza kumpata kiongozi kama huyu..RIP magufuli.
@hassanaloobaidan25
@hassanaloobaidan25 3 жыл бұрын
Kiukweli mimi nilimuelewa Sana mzeee kazi umefanya baba na umetufundisha namna bora ya kuheshimu kazi ahsante kwa kuja
@masungajp1
@masungajp1 Жыл бұрын
Nyerere, Magufuli type of leaders are many in Tanzania. It's all about time or timing. May God rest the soul of this great man in peace. Tutakukumbuka daima kwa mema.
@samsonobedi3472
@samsonobedi3472 3 жыл бұрын
Safali umemaliza Iman umeilinda baba enda maguful. Enda kwa Amin
@dennismalima5365
@dennismalima5365 9 ай бұрын
28.10.2023... Baba nipo hapa naifatilia hotuba yako na kesho ni birthday yako.. Happy Birthday in heaven JPM
@nelsonpeter2112
@nelsonpeter2112 4 жыл бұрын
Mkuu umefanikiwa kwa asilimia zaidi ya 90% hongera sana 2020 hii
@nicsaelemanuelburra3486
@nicsaelemanuelburra3486 4 жыл бұрын
Hongera sana kiongozi wangu
@dickmlawa8843
@dickmlawa8843 3 жыл бұрын
99.9%
@bannychanel9752
@bannychanel9752 4 жыл бұрын
Magufuli NI kiongozi Bora Sana kuwahi kutokea duniani...Na mengi aliyohaidi ametekeleza...big up my president
@dennismalima5365
@dennismalima5365 4 жыл бұрын
Hotuba haichoshi aisee... Thanks God for this president.. He is intelligent! Alichokisema, ndo anachokifanya. Haina unafiki. Piga kazi Mzee, Tupo nyuma yako.
@Cyril_James-Jr.
@Cyril_James-Jr. 7 ай бұрын
I am watching now it's 07.01.2024
@mwalumwakili2541
@mwalumwakili2541 7 ай бұрын
Watcing this on 10th January 2024😢😢😢 RIP POMBE huku kenya tuliahidiwa mengi ya uongo
@yusuphkapilimka
@yusuphkapilimka 2 жыл бұрын
Who is watching September 2021
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 2 жыл бұрын
Im even here today December 9 uhuru day
@japhethgeriad4519
@japhethgeriad4519 2 жыл бұрын
Here today 07TH April, 2022 KARUME DAY.
@emanuelcharles3548
@emanuelcharles3548 4 жыл бұрын
2020 Umevuka malengo ya utekelezaji baba JPM.
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
Na kweli Mzee HUKUWA na KIGUGUMIZI katika KUISHUGHULIKIA Ile MIJIZI.....R.I.P the GIANT PRESIDENT.....!
@josephnchunga1247
@josephnchunga1247 2 жыл бұрын
Hutuba zenye hisia za mh Magufuli zenye malengo yenye usawa dah daima mi binafsi nimepotelewa na Bonge la rais. Mungu akupe pumziko la milele amina
@jojolee382
@jojolee382 4 жыл бұрын
Jan 25 2020, Magufuli is the best....!! 2020 TANO TENA.
@AggreyHamisi-og2fm
@AggreyHamisi-og2fm 6 ай бұрын
Haya mm npo leo Date 3 feb 2024 Saturday, listening to the speech . But naona ambacho hajafanikiwa kutekeleza ni swala la " KATIBA " Na kuvutia wawekezaji weng tofaut yake alkua kama anawataka walipe kodi kubwa sn . But all ni all 95% ya vyote alvyoahidi katekeleza Lkn pia ithink ndo rais ambae matamanio ya wananchi weng wa TZ tulmsubr sn but kwa kua Mungu almpenda zaidi ,RIP Magu 😭😭😭😭😭😭 ( we loved u and we still needed u )
@ibrahimkambi9288
@ibrahimkambi9288 4 жыл бұрын
Mh.Rais uliahidi na umetekeleza kwa zaidi ya asilimia 98.99 Kongole sana kwako.
@agneomasonda2462
@agneomasonda2462 6 жыл бұрын
Shikamoo baba Magufuli hotuba hii imenifanya kuwa balozi kukutea nakuombea mema daima. Kazi nzuri sana tunaiona watanzania.
@mahelamnazaletinmm880
@mahelamnazaletinmm880 3 жыл бұрын
Mjinga wew auna akili unamshukur MTU kwa matakwa yak
@josephmlela9757
@josephmlela9757 3 жыл бұрын
Pumzika Rais wangu niliekupenda Doctor John pombe Joseph Magufuri
@frankkashner
@frankkashner 3 жыл бұрын
I love this Man Na yotee ametekeleza Mwamba
@makalangakiselya5207
@makalangakiselya5207 3 жыл бұрын
sina la kusema zaidi ya R.I.P Jemedari hakika ulitawala vizuri
@jafaryally2037
@jafaryally2037 2 жыл бұрын
Ukisikiliza tu kama ni mzalendo wa kweli lazima machozi yatoke tu. Kazi ya Mungu haina makosa
@stephenmutuli9441
@stephenmutuli9441 Жыл бұрын
Pumzika salama kiongozi
@mosesmussa3669
@mosesmussa3669 4 жыл бұрын
Daah nimesikiliza hotuba hii tena,sijutii kumpigia Kura mh JPM
@issackdauda5071
@issackdauda5071 2 жыл бұрын
Yaani mungu alitupiga fimbo kwa huyu jamaa
@ramamohamed8392
@ramamohamed8392 9 ай бұрын
Daaaah😭😭😭😭
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 2 жыл бұрын
Rais asiyeandikiwa speech na kila aongeacho ni point na speech haichoshi kuskiliza hata km ni masaa mengi bundle haliendi bure...RIP JPM tunakukumbuka kwa mengi
@dihajimaulidi3799
@dihajimaulidi3799 2 жыл бұрын
Me nimerud tena baada ya kifo chako 21 na hali ya Tanzania yetu umeme na mfumuko wa bei upo juu chini ya utawala wa mama samia
@shabankawala6606
@shabankawala6606 2 жыл бұрын
Pumzika kwa amani rais wetu Magufuli na mungu ailaze roho yako mahalipema peponi amina.
@motv3853
@motv3853 4 жыл бұрын
Hivi alikuja amekariri Maaana sioni akisoma. Anachungulia tu na kuendelea kutiririka. Big up for total reflexão
@organistsskills4921
@organistsskills4921 3 жыл бұрын
Anatumia kifaa maalum ya presidential device kwaajili ya kusomea hotuba.. A teleprompter, also known as an autocue, is a display device that prompts the person speaking with an electronic visual text of a speech or script. Using a teleprompter is similar to using cue cards. The screen is in front of, and usually below, the lens of a professional video camera, and the words on the screen are reflected to the eyes of the presenter using a sheet of clear glass or other beam splitter, so that they are read by looking directly at the lens position, but are not imaged by the lens.
@issayamshana3750
@issayamshana3750 2 жыл бұрын
@@organistsskills4921 Itakuwa hivyo mana teknolojia inakuwa sanaa....!! Lakini pia huyu Raisi alikuwa na kipaji binafsi. Katika kuzungumza mbele ya Watu, hata kama hotuba imeandikwa pia uwezo binafsi ni jambo la muhimu sanaa
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 2 жыл бұрын
@@issayamshana3750 ah wapi unaambiwa anasoma Bado unang'ang'ania vitu ambavyo havina tija
@yusuphwella9651
@yusuphwella9651 4 жыл бұрын
Nilikuaga nikifuatiliaga hotuba za mwl nyerere sasa nimepata rais mwingine wakufuata hotuba zake
@isaacmwailinga8921
@isaacmwailinga8921 7 ай бұрын
This Was Very powerful Speech ever heard from The leader in our Country 😢 Powerful thought Thanks You For the God Seak
@samsonobedi3472
@samsonobedi3472 3 жыл бұрын
Ww ndio rais kwanza kusema ss nitajili baba pia we ndio mtu ulitupenda ss makini Baba. Nakupenda San jpm
@loner_wolf
@loner_wolf 3 жыл бұрын
Hao wanaotoka bungeni tuachie sisi mzee, sisi wenye nchi ndio tutamalizananao 2020
@empbakumbafamily9072
@empbakumbafamily9072 3 жыл бұрын
Naangalia tena hotuba ya baba leo😔😭
@jumachanewstrends6899
@jumachanewstrends6899 2 жыл бұрын
Nimerudiii kusikilizaa tenaa hotuba yako Leo tarehe 21/03/2022 baaada ya mwaka mmoja kututokaa
@lilykarim8968
@lilykarim8968 2 жыл бұрын
Hilo libibi linasafiri na mdege wako mkubwa baba na msafara rukuki tunateseka sana likuskilize labda litajirekebisha ila linapenda starehe kwelikweli
@nestor384
@nestor384 2 жыл бұрын
Dr. Magufuli was the masterpiece Dr. Magufuli was the true pan africanist Dr. Magufuli showed how Africa can be transformed to the better place RIP Sir
@chabadeus6475
@chabadeus6475 Жыл бұрын
Just waoh..... wonderfully....guy....how better him
@aminihamisi3551
@aminihamisi3551 2 жыл бұрын
Daaah basi bwana Mungu mpumzishe mahali pema Magufuli wetu🤲🤲🤲
@user-ys1ge5no8f
@user-ys1ge5no8f Жыл бұрын
Nilikupenda sana Rais wangu lakini mungu kakupenda sanakwakutoa Hutuba bila kusoma kimemo
@winfredchaula1849
@winfredchaula1849 4 жыл бұрын
Wewe ni Rais Msema ukweli nimerudi tena kuiskiliza hii hotuba baada ya kuiangalia live mwaka 2015, Umeyatekeleza yote uliyoahidi .Hongera saana magufuli wewe ni Jembe kweli
@mohamedhabibu3170
@mohamedhabibu3170 2 жыл бұрын
Magufuli wewe ni zaidi chuma si chuma kufanana na kingine mungu akulipe pepo Rais wangu
@mohamedhabibu3170
@mohamedhabibu3170 2 жыл бұрын
Magufuli wewe ni daidi ya chuma si chuma ukafanana na kingine mungu akulipe pepo Raisi wangu
@samsonobedi3472
@samsonobedi3472 3 жыл бұрын
Nitaman Kuna 2025 itakuwa wp inamn. Yangu Bado ipo juu ya baba nimejifunza meng katika maisha ukweli umakini uwazi upendo na kumjua mungu tz ingkuwa mpya baba
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
Huyu ndio alikua Rais Kwa Watanzania, alitaka mpk PENI ya ofisini ikinunuliwa BUKU iwe BUKU....na kweli ALIWADHIBITI walikua kama MASHETANI,....sisi maskini TULII ENJOY sana wakati wako , R.I.P the GIANT PRESIDENT 🙏
@njiranyinjaMwenyeheri
@njiranyinjaMwenyeheri 13 күн бұрын
Baba popote uwendapo mungu akupe mahali pazuri kuwa nasi ichini Congo tunge MUPATA mutu kama wewe tunge shukuru mungu zai hasa kamanyola kijijini
@ernestomwakababu6342
@ernestomwakababu6342 Жыл бұрын
Mwamba alitoa dira, na alipambana sana kugusa kila alipoahidi kufanya, japo alikwamishwa Kwa nguvu nyingi mnoooo.... Mwamba alisimama kwenye mstari .
@nitumesokoni3164
@nitumesokoni3164 3 жыл бұрын
Tutaongea mengi sana ila kwa ufupi huyu mwamba alikuwa CHUMA. Yote aliyoyaongea mwaka 2015 leo hii yametekelezeka. Pumzika kwa amani baba. Umevipiga vita vilivyo vizuri, imani umeilinda, mwendo umeumaliza. Tutaonana baadae
@brendanjiro1418
@brendanjiro1418 5 ай бұрын
Feb 14, 2024😔 Thank you Sir🙏 continue to RIP
@sishamtula2133
@sishamtula2133 4 жыл бұрын
2020 still here😊
@princessmohammed
@princessmohammed 4 ай бұрын
I'm watchin now ts 27.03.2024
@EliahParpulisEvalyneMkulati
@EliahParpulisEvalyneMkulati 3 жыл бұрын
Dope!! Great work is done!! Keep it up!!
@loner_wolf
@loner_wolf 3 жыл бұрын
Nimemuona Zitto anamkonyeza cameraman 42:25 asimmulike sana😂😂😂😂. KAMA UMEMUONA gonga like
@zenj1986
@zenj1986 3 жыл бұрын
Yaani vigogo wanajitafuta vidole mana hawakujua kama JPM atakuwa mkali kiasi hiki.
@brianshomi722
@brianshomi722 4 ай бұрын
Sichoki kukusikiliza kiongozi wangu 12-03-2024
@samsonobedi3472
@samsonobedi3472 3 жыл бұрын
Unapo sema unasema kwel baba tuliombea Sana kwa mungu ila mungu alikupend Zaid baba lala kwa Amina kwangu we ndio rais wangu
@peterandrew2795
@peterandrew2795 2 жыл бұрын
Punzika baba angu kwa amani.....watanzania hawana masikio hujue hilo....utuombee baba mungu wetu.....hatusikiii....pole baba angu
@user-pu8rn2pe8q
@user-pu8rn2pe8q 11 ай бұрын
Huyu ndiye Aliyekuwa Rais mpenda haki na mtenda kazi ktk Kupigania wananchi wake Ni Mfano Bora Wa kuigwa
@dickmlawa8843
@dickmlawa8843 3 жыл бұрын
Mungu tunakuomba utupe jembe kama hili hata likifanana kwa vitendo tu mungu tusaidie🙏
@allankimaro4327
@allankimaro4327 Жыл бұрын
Yote uliyoahidi uliyatekeleza kwa kishindo kikubwa. Hakika hautasahaulika Baba Magufuli. Rest in paradise Magufuli
@frankmpanda3405
@frankmpanda3405 5 ай бұрын
Mimi leo nasikilza trh.13.02.2024
@zenj1986
@zenj1986 3 жыл бұрын
Kwakuwa hali ya nchi ilikuwa ni rushwa, kutokuwajibika serikalini, matumizi mabaya ya pesa za serikali na viongozi na familia zao, huduma mbovu ya afya, vilio vya huduma ya maji na umeme iliokuwa mzuri, wenye kipato cha juu kuona anaweza kufanya lolote bila ya kuambiwa lolote, watu kudhulumiwa ardhi na kujichukulia ardhi na kukopa pesa kwenye benki za nje lakini sio kwajili ya kuendeleza mambo yao nchini ili kutoa ajira kwa watanzania. Huyu alikuwa ni mtu muhimu sannnna kwa taifa letu. Magufuli alikuwa na uchungu juu ya nchi yake na watu wake.
@Gambasingu_Gilitu
@Gambasingu_Gilitu 2 ай бұрын
15 May 2024 Bado naisikiliza hotuba hii Bora Bora kabisa.
@emmanuelnyangi6837
@emmanuelnyangi6837 4 ай бұрын
Niko hapa Leo trh 04/04/2024 kumcheki Mzee wetu jpm alchoongea
@geoffreykossami1631
@geoffreykossami1631 4 жыл бұрын
Umetekeleza !
@emmanuelbonifas2804
@emmanuelbonifas2804 Жыл бұрын
Ulienda wapi magufuri leo hii Tanzania inakulilia na watanzania pia maisha yamekuwa magumu ayaelezeki kila kitu kichungu
@fadhiliwaleo5903
@fadhiliwaleo5903 Жыл бұрын
Hata mtoto wangu nitamsimulia kwa mama yako
@parmenaprosper3780
@parmenaprosper3780 4 жыл бұрын
One word from this clip “Always start with your internal problems then you will conquer anything”
@daudimasebo4073
@daudimasebo4073 2 жыл бұрын
One of the greatest speech around the president of afrca
@mangolaayubu9114
@mangolaayubu9114 4 жыл бұрын
Good president in my country.Hongera sana mheshimiwa kwa kazi nzuri unayoifanya.
@mlokaferdinand
@mlokaferdinand 4 жыл бұрын
Kama hua unarudiarudia hii hotuba hii Mara kwa Mara gonga like twende sawa....yaaani alio yaongea yoote yashatelekelezeka na mengine yanatekelezeka......haichoshi kuisikiliza....big up Mr president
@7675kio
@7675kio 10 ай бұрын
Tumepoteza jembe lililotembea juu ya maneno yake!
@samsonobedi3472
@samsonobedi3472 3 жыл бұрын
Ulijiamini Sana baba uketi kifuan kwq kwa elia
@ElaviusSaulo
@ElaviusSaulo Ай бұрын
Nawatch tena hii hotuba..4.7.2024...R.I.P JPM
@kadirdhulfiqaar7820
@kadirdhulfiqaar7820 2 жыл бұрын
Memory
@dotoeliudi7197
@dotoeliudi7197 2 жыл бұрын
Natamana kila Kiongozi wetubwa juu, Rais na mawaziri na viongozi waandamiz wa Taifa hili waliopo n wanaokuja wasikilize hotuba za bunge zote mbili za Magufuli.
@samsonobedi3472
@samsonobedi3472 3 жыл бұрын
Sauti umelala baba
@samsonobedi3472
@samsonobedi3472 3 жыл бұрын
Nitakupenda adi cku yangu ya mwish nataman ata urud mm ndio niondk baba
@abdurazzaq4356
@abdurazzaq4356 7 ай бұрын
Tena naskiliza hotuba yako mr president 13/12/2023
@emanuelcharles3548
@emanuelcharles3548 7 ай бұрын
9 January 2024, nimekuja tu hapa kujikumbusha maono yako na uhalisia wa jinsi ulivyotekeleza, we lost a father and a true patriot
@drfrankfaustine5469
@drfrankfaustine5469 4 жыл бұрын
Kiukweli watanzania wenye akili na uwezo wa kufikilia hawawezi kubeza kiongo, i wetu uyu ananipa mwanaga wa kuonesha nia ya kuwa kiongozi pia ata mm apo badae kwa kuenzi aya anayo yafanya kiukweli nakuombea sana mwshimiwa
@drfrankfaustine5469
@drfrankfaustine5469 4 жыл бұрын
Nakupenda sana mzee wang ww toka ukiwa waziri ulikuwa iv ivi
@mahelamnazaletinmm880
@mahelamnazaletinmm880 3 жыл бұрын
@@drfrankfaustine5469 unaumwa wew
@organistsskills4921
@organistsskills4921 3 жыл бұрын
Umwa na ww
@samsonobedi3472
@samsonobedi3472 3 жыл бұрын
Nimekaaa chin na kuangalia hutuba yak Rais meng uliyoyasema umefanya baba ukweli ulikuwa ni sehem ya maisha yak baba nilitaman uwep baba
@braycetz99
@braycetz99 2 жыл бұрын
😭😭😭rip chumaa
@thomasmagoti9040
@thomasmagoti9040 Жыл бұрын
Dr magufuli 😭umelala mzee wetu mungu akusamehe akupe pumziko la milele
@edisonmaliva1719
@edisonmaliva1719 Жыл бұрын
Kumbe kila kitu alikiweka wazi mapema kabisa na hii hotuba ndio iliotoa mwongozo na dira ya uongozi wake.
@alfredyjustinian6984
@alfredyjustinian6984 3 жыл бұрын
Daaah nkupenda saana my president wa wanyongeee 25 tena mzee
@bminawandu
@bminawandu Жыл бұрын
Magufuri nchi imeoza zaidi mkombozi magu
@loner_wolf
@loner_wolf 3 жыл бұрын
Chuma hiko.... Kinapounguruma kinamaanisha muungurumo huo huo ndio uko ktk heart beat yake
@hillarymuliro3135
@hillarymuliro3135 2 жыл бұрын
The best president off all times Rip rais
@peterandrew2795
@peterandrew2795 2 жыл бұрын
Utakuwa baba kwangu milele.
@abeljoseph4102
@abeljoseph4102 2 жыл бұрын
I miss u so much my love president 😭😭😭😭😭😭😭😭
@kiliantereba6502
@kiliantereba6502 2 жыл бұрын
Wewe ulikuwa mkweli na yote uliyoyaahidi ulitekeleza. Ulikuwa kiongozi bora na wa pekee kuwahi kupatikana Tanzania na barani Afrika. Tutakukumbuka daima
@charlesmeshack9023
@charlesmeshack9023 2 жыл бұрын
😭😭😭unapaswa kuigwa mzee wangu
@johnkanuda9355
@johnkanuda9355 Жыл бұрын
Ikiwa leo ni tar.29/09/2022...huku uchaguzi waviongozi ndani yachama ukiendelea....lkn.rushwa imetawala tenah baada ya wewe baba kututoka.JPM....pumzika kwa aman Neema twakuombea kipenzi cha wanyonge.mzalendo wakitanzania.!
@nchagwamichael5959
@nchagwamichael5959 2 жыл бұрын
Nimerudi leo kumsikiliza mwamba tena.
@jovenaryjovenary8428
@jovenaryjovenary8428 4 жыл бұрын
Naomba kama itapendeza ungetuwekea na ile ya uwanja wa taifa alipokuwa anakabidhiwa nchi aliposema "Mimi ndiye Rais" hongera sana Mh. Rais kazi inaonekana
Я не голоден
01:00
К-Media
Рет қаралды 9 МЛН
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
00:21
FASH
Рет қаралды 24 МЛН
Can A Seed Grow In Your Nose? 🤔
00:33
Zack D. Films
Рет қаралды 30 МЛН
HOTUBA KAMILI YA RAIS MAGUFULI AKIWA TARIME - 07/09/2018
1:23:49
Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa
16:08
Azam TV
Рет қаралды 107 М.