INAJUZU KUOA MKRISTO?

  Рет қаралды 3,085

Ustadh Khatib Omar

Ustadh Khatib Omar

3 ай бұрын

MASWALI NA MAJIBU KILA SIKU YA MWISHO WA MWEZI NA USTADH KHATIB OMARY, ULIZA SWALI LAKO KUPITIA 0765 586 868 SHEIKH ATAKUJIBU BIIDHILLAH INSHAALLAH
#mawaidha #darsa #masjidkitumbini #khutbah #quran #koran #islam #2023
KARIBU DARASANI KILA SIKU YA IJUMATATU MPAKA AL KHAMIS BAADA YA SWALA YA ADHUHURI MASJID AL JUMAA, KITUMBINI

Пікірлер: 14
@Al.habeebAl.habaaib
@Al.habeebAl.habaaib Ай бұрын
Hujajibu suali Umeongea porojo tuuuuu
@bonnycharles1239
@bonnycharles1239 6 күн бұрын
Naomba kuuliza, kama mtu ana mke na watoto wakiwa wote ni wakristo halafu mume aka amuwa kuslim, lkn mke wake hataki kuslim je huyu mtu anatakiwa afanye nn ili awe mkamilifu katika dini maana inasemekana mke wako kama si muislam bado hujakamilika samahani naomba mnisaidie katika hilo.
@ustadhkhatibomar9848
@ustadhkhatibomar9848 3 күн бұрын
KARIBU, SHEIKH ATAKUJIBU MUDA SI MREFU, ENDELEA KUTUFUATILIA
@ibrahimjumbe8121
@ibrahimjumbe8121 3 ай бұрын
Mmmmmmmmmh 😢
@abdallahdataguy
@abdallahdataguy 24 күн бұрын
Wakristo na mayahudi ndo ahlulkitaab. Wamejaa tele mitaani kwetu sijui kwa nini tunajipa kazi ya kuwatafuta watu wanaojulikana au tunajipa fikra ya kukataa uhalisia. Ahlulkitaab ni mayahudi na wakristo sasa watu tunakataa kwa kutumia akili. Hapo ndo utaona ujinga wa waislamu walio wengi. Ruhusa imetoka kwenye surat Maaidah aya ya 5.
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 17 күн бұрын
Ahlulkitabu wenyewe ndiyo hawa wandengereko, wachaga, na wanyakyusa wanaofata maandiko ya yaliyochakachuliwa au vipi?! 😂😂😂 tambua waliokusudiwa sio hawa ni wale wa zamani waliofata taurati na injili ya kweli ambao tayari walishapambanukiwa bishara watakayoifata ya Mtume Muhammad (S) baada ya ujio wake kwao, ahlulkitab hawa wa sasa asili ya mafundisho yao imetoka kwa nani?! Yesu Mussa au Fikra za wazungu waliyoyachakata mafundisho sahihi ya ahlulkitab halisi?!... kaka usiwe mwepesi hivyo... tafakari!!
@idrissamustafabukenya6110
@idrissamustafabukenya6110 3 ай бұрын
Sheikh maneno mengi hujabibu swali umepiga story tu. Hajapinga kama hawako.ila swali nihivi wakirisito wanafa kuwawowa?
@salimmapande4668
@salimmapande4668 2 ай бұрын
Sijui kwanini inakuwa vigumu kwa mtu kukubali kwamba swali limemshinda
@isaachassan43
@isaachassan43 Ай бұрын
Hapa kwetu Kenya wengi ni washirikina hapo vipi?
@idrissamustafabukenya6110
@idrissamustafabukenya6110 Ай бұрын
@@isaachassan43 niharamu kumuwowa mushirikina ata kama amekufurahisha
@m.othman866
@m.othman866 Ай бұрын
Usihukumu mambo bila kufahamu kwa sheria.​@@idrissamustafabukenya6110
@KomoraMohamed
@KomoraMohamed Ай бұрын
Kwa evo hakuna sio
JE, INAFAA KUMCHINJAA MNYAMA KWA KUTUMIA MASHINE?
9:57
Ustadh Khatib Omar
Рет қаралды 736
KWANIINI SWALA ZINGINE TUNASWALI KWA SAUTI NA ZINGINE HATUTOI SAUTI
4:22
Ustadh Khatib Omar
Рет қаралды 6 М.
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 7 МЛН
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 16 МЛН
Little girl's dream of a giant teddy bear is about to come true #shorts
00:32
NGUZO 5 ZA NDOA | USTADH KHATIB OMARY
6:22
Ustadh Khatib Omar
Рет қаралды 182
SHEIKH KILEMILE-MWISHO WA MAISHA YA VIUMBE
43:22
Rashid Dilunga
Рет қаралды 86 М.
FADHILA ZA KUSWALI  JAMAA
24:09
Ustadh Khatib Omar
Рет қаралды 98
FAHAM NAMNA YA KUFUATA MADHEHEBU
27:12
Ustadh Khatib Omar
Рет қаралды 163
HISTORIYA YA IMAM SHAFII
17:48
Ustadh Khatib Omar
Рет қаралды 24
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42