KATIKA MJADALA MKALI MWALIMU DANIEL MKEMWA AMEELEZEA ASILI YA MAJINI NA KWANINI WAKRISTO WANAYAPINGA NA KUYAITA MASHETANI
Пікірлер: 273
@samweljackson57545 күн бұрын
Asante mwalimu Daniel mwankemwa, MUNGU akulinde saaana,barikiw
@user-dt5wp5qo4n11 күн бұрын
Mwenyezi mungu akubariki sana pastor Daniel mwendelee kutubariki na ujumbe
@frankmugomba348412 күн бұрын
Asante Mwalimu Kuna Watu tunapona sana Be Blessed Bwana Yesu Mzuri sana
@user-cn7gq2bc6n12 күн бұрын
Haujapona chochote msikilize vizur anachoongea usifuate visherehesho tu
@FridayMwassaКүн бұрын
@@user-cn7gq2bc6nkwaani kuna uongo gani aliyosema mwalimu Daniel wakati kasoma vitabu vyenu
@apostlejacksonkalinga519113 күн бұрын
Asante sana mtumishi KAZI Yako ni Njema.
@JacksonFrances13 күн бұрын
Mbarikiwe Sana Watumishi Wa Mungu Kwa Elimu Hiyo Mnazidi Kutufumbua Akili"
@user-tz8zu2gt6u13 күн бұрын
daniel tunashukuru sana kwa kuzidi kufumbua ukweli hao ndugu zetu wamjue yesu wakweli mwana wa mungu aliye hai
@saidimkwinzu910611 күн бұрын
Anaongea pumba tu tangu neno lake la kwanza kafanganya mtaliwa sana Hela nyie na mtapotezwa sana
@Maalim_Samatta5 күн бұрын
Duh, na wewe nawe, Mara yesu mwana wa Mungu mara ndie Mungu😂 mbona hamueleweki nyinyi??? mmerogwa?
@FridayMwassaКүн бұрын
@saidimkwinzu9106 Mmezoea kudanganywa ndiyo maana mnachukia ukweli
@user-dt5wp5qo4n11 күн бұрын
Mungu ni mkuu,barkiwa daniel,mungu akulinde
@norfenvgeraldo949313 күн бұрын
Asante mtumishi Daniel tumefunguliwa kwa elimu hiyo
@jacksonngusi412212 күн бұрын
Ustadhi Daniel ameiva kwa Neno Bwana akutie nguvu
@Mahershalalhashbazi-kf6xi11 күн бұрын
Usimshushe thamani mtumishi wa Mungu,kwa kumuita ustaadh(mwalimu wa Quran,majini) muite Pastor au Muinjilisi,au Mwalimu wa Neno la Mungu
@mayangeramadhani849710 күн бұрын
@@Mahershalalhashbazi-kf6xi hana anachojua yy tu anashindwa kutofautisha majini na malaika ww unamuona bonge la mwalimu malaika hajawai kuwa jin
@Mahershalalhashbazi-kf6xi9 күн бұрын
@@mayangeramadhani8497 Soma ufafanuzi wa Surat Al Fatiha utajuwa anachokisema Mwalimu Daniel
@mwoso13 күн бұрын
Umeeleza vizuri Sana .
@user-qo2xd3hb8l12 күн бұрын
Na wakati mnaanguka makanisani uwa mnaangushwa na nini?
@user-cn7gq2bc6n12 күн бұрын
Wakristo njoeni huku ivi huyu ndio padri au mchungaji?? Jaman wakristo somoni dini huyu mchungaji hana elimu ya dunia wa ya akhera hamna analolijua inalilah
@georgekimasaofficial162911 күн бұрын
Kwa hiyo hivyo vitabu nivya uongo anavyo Soma?
@Mahershalalhashbazi-kf6xi11 күн бұрын
Quran 3:7
@happnesskitumbo57138 күн бұрын
Ongea ukweli na wewe tukusikie.
@joezeno811 күн бұрын
Mtangazaji uko vizuri bro
@user-hi8le2vb7z12 күн бұрын
ndacha mwenyewe hampati uyo mch danieli kwa ubishi...uyo mwisho
@realramjen327012 күн бұрын
Mchungaji Daniel Mwankemwa siyo ustadhi
@haidar4387 күн бұрын
I like the way you ask him 🙈
@binseif221613 күн бұрын
Mungu kaumba Majini na binadamu ili wamuabudu yeye na hayo ni maneno ya Mungu mwenyewe ndani ya Quran (WALA SIKUWAUMBA MAJINI NA BINADAMU ISPOKUWA WANIABUDU MIMI)
@0badiaMwasongwe-rt1wr13 күн бұрын
Shidaaa nikuwa MUNGU wa kwenye Biblia c MUNGU wa kwenye Quran hapo ndipo watu wanashindwaa kutambua na ubishii hauwezi kuishaa kwamaana kila mtu hapo na imani yake.
@0badiaMwasongwe-rt1wr13 күн бұрын
Na ndomaana Quran unawezaa kulogeaa kitu chochotee yaan ushirikina lkn Biblia haiwezii na inakatazaa huoni hapo Tofauti? Muhammad alipozaliwa majini na mashetani yalishangilia YESU KRISTO alipozaliwa malaika mbinguni walishangilia huoni Tofauti hapo? Biblia iliandikwa na manabii wakiongozwaa NA ROHO WA MUNGU LKN QURAN WALIOANDIKA WALE AKINA OMARY WALIKUWA WANAPANDISHAA MASHETANI KICHWANI HUONI TOFAUTI HAPO??
@binseif221613 күн бұрын
@@0badiaMwasongwe-rt1wr Naomba andiko yakuwa Mtume Muhammad SAW alipozaliwa mashetani walifurahia usilete maneno yko,na ukumbuke pia Quran ndo mwongozo wa maisha,na hata Mungu ndani ya Quran kuna Aya zinatulinda na mabaya lkn hakuna Aya ya kuroga na ukumbuke huo ulimi wako kesho kwa Muumba utakwenda kujibu
@badruseif131813 күн бұрын
@@0badiaMwasongwe-rt1wrbibilia ina n mpaka nyaraka za Enonga
@0badiaMwasongwe-rt1wr13 күн бұрын
@@binseif2216msikilizeanatoa Aya kwenye vitabu vyenu auusikiliziiii????
@SamsiaKassaKangeta6 күн бұрын
UCHAWI UPO ISRAELI! Isaya 47:12. 12. Simama sasa na uganga wako, na wingi wa uchawi wako, uliojitaabisha nao tangu ujana wako; labda utaweza kupata faida, labda utaweza kushinda. Matendo ya Mitume 13:6. 6. Walipokwisha kupita katikati ya kisiwa chote mpaka Pafo, wakaona mtu mmoja, mchawi, nabii wa uongo, Myahudi jina lake Bar-Yesu;
@SamsiaKassaKangeta6 күн бұрын
HATA PAULO ALICHUKULIWA NA JINI! 2 Wakorintho 12:7. 7. Na makusudi nisipate kujivuna kupita kiasi, kwa wingi wa mafunuo hayo nalipewa mwiba katika mwili, mjumbe wa Shetani ili anipige, nisije nikajivuna kupita kiasi. 1 Timotheo 1:20. 20. Katika hao wamo Himenayo na Iskanda, ambao nimempa Shetani watu hao, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.
@selemanimchana359811 күн бұрын
Yesu pia hakusoma, niambie wapi yesu aliambiwa soma, lakini Muhammad aliambiwa soma kwa jina la Allah
@bustedislam357811 күн бұрын
Luka 4:17-19 Neno: Bibilia Takatifu 17 Akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifun gua mahali palipoandikwa: 18-19 “Roho wa Bwana yu juu yangu. Amenichagua kuwahubiria maskini Habari Njema. Amenituma kuwatan gazia wafungwa kuwa wako huru, kuwaambia vipofu kuwa wanaweza kuona tena; na kuwaweka huru wanaoonewa, na nitangaze mwaka ambao Bwana atawabariki watu wake.”
@FridayMwassaКүн бұрын
Aliambiwa na nani
@bustedislam3578Күн бұрын
@@selemanimchana3598 Hivi kweli Allah alimtuma malaika wake kwa marehemu Muhammad akamuomba asome japo hajui kusoma wala kuandika? Allah hakujua kwamba marehemu Muhammad hakujua kusoma wala kuandika? Alafu akamufinya...
@SamsiaKassaKangeta7 күн бұрын
Mbona Mungu Wako alishirikiana na Majini? 1 Wafalme 22:20.,21.,22.,23. 20. BWANA akasema, Ni nani atakayemdanganya Ahabu, ili akwee Ramoth-Gileadi akaanguke? Basi huyu akasema hivi; na huyu hivi. 21. Akatoka pepo, akasimama mbele za BWANA, akasema, Mimi nitamdanganya. 22. BWANA akamwambia, Jinsi gani? Akasema, Nitaondoka, na kuwa pepo wa uongo kinywani mwa manabii wake wote. Akasema, Utamdanganya, na kudiriki pia; ondoka ukafanye hivyo. 23. Basi angalia, BWANA ametia pepo wa uongo kinywani mwa manabii wako hawa wote; naye BWANA amenena mabaya juu yako.
@qerysir441013 күн бұрын
ASANTE SANA KWA SOMO HILI, NIMEELIMIKA PAKUBWA👏👏👏 OMBI: Wakutanishe DANIEL na NDACHA kwa ajili ya HOJA YA SABATO na UTATU MTAKATIFU🔥🔥🔥🔥
Eti Quran ina vyanzo vinne: Taurat,Injili na zaburi, Baada Muhammad kurogwa na Kwenye Mashairi. Huyo ndio Daniel, chuki yake juu ya uislaam yamsukuma kusema lolote la uongo, bila kujali kwamba anayoyasema yana baki na wajukuu zake watayasoma na watauona uwongo wake.
@ibrahimjuma9709Күн бұрын
Katika viumbe wote walioumbwa na mwenyezi Mungu ni viumbe wawili ndiyo wamemkana mwenyezi mungu na kumzushia uongo anae mpinga uyo hanaesabika ni shetani jiulize uko kundi gani
@samsonkariuki969613 күн бұрын
Daniel na mwalimu dacha wanafilisi uislamu
@badruseif131813 күн бұрын
Jipe moyo
@amissiradjabu656112 күн бұрын
majini sio malaikaa bali ni biumbe tofauti n'a malaika n'a mwanadamu
@user-dt5wp5qo4n10 күн бұрын
Majini nimalaika waliowaasi,ndio maana mungu akawatupa hapa duniani ili wakae mbali na mungu mpaka siku ya kihama,toka kwa hio dini yamajini waliosilimu njoo kwa njia iliyo nyooka ambayo ni yesu kristo ndie njia,kweli,na uzima, kariba,
@Maalim_Samatta5 күн бұрын
@@user-dt5wp5qo4nlete abdiko kuwa majini ni malaika walioasi. 😂😂😂
@Maalim_Samatta5 күн бұрын
Hawa elimu hawana ndo mana wanapata shida sana juu ya elimu ya viumbe hawa😂😂
@jumakihiyoСағат бұрын
Huyu huko kwa Shafi na Sule mbali sana huyu wallah hata mimi maamuma haniwezi wallah thumma wallah
@user-mc2xd4eu2p11 күн бұрын
sasa huyu hana andiko majini wote wamelaaniwa wakristo mnatumia kiungo gani kufikiri eti huyu nae mwalimu
@SamsiaKassaKangeta6 күн бұрын
IBILISI MWENYE-KITI WA KANISA NI JINI ..? Ufunuo wa Yohana 2:12.,13. 12. Na kwa malaika wa kanisa lililoko Pergamo andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye na huo upanga mkali, wenye makali kuwili. 13. Napajua ukaapo, ndipo penye kiti cha enzi cha Shetani; nawe walishika sana jina langu, wala hukuikana imani yangu, hata katika siku za Antipa shahidi wangu, mwaminifu wangu, aliyeuawa kati yenu, hapo akaapo Shetani.
@StanleyMwaipopo10 күн бұрын
UKWELI UNAUMA MASHEHE WAO NDO WANAYATUMIA KWENYE UGANGA KUPIGA RAMLI
@user-tz8zu2gt6u8 күн бұрын
@@StanleyMwaipopo pamoja nakuroka watu pakana na muisilamu utasumbuliwa na jini hawa nihatari sana
@ismailmasoud60017 күн бұрын
Mtangazaji umemuuliza swali zuri lkn unaona mwankemwa hana analojua ,
@RichardHenjewele-gs8rk12 күн бұрын
Yes
@joshuajohn853311 күн бұрын
Mwaka 570BK alizawali mtu aliyekuja kuleta sumu mbaya sana mwaka 610BK alitokewa na shetani akampa kazi ya kudanganya watu. Mamailioni wanapotea na imani ya uongo😭😭😭😭
@mtz558210 күн бұрын
Sidhani kama wengi wanatamba huyo mtu alikuwa possessed na evil spirit na pia suicidal thoughts may be ndo mana followers wa hiyo MTU wote wana suicidal traits na almost as if always possessed with the DRAGON
@salumharuna587222 сағат бұрын
@@mtz5582 Mafundisho gani yanaonesha ana evil spirit? Jaribuni kuwa fair basi japo kidogo. Hivi dini inayoruhusu ushoga, dhambi ambayo Mungu aliangamiza jamii nzima kwa gharika inatafsiriwa ndio dini ya Mungu? kuweni fair...
@SamsiaKassaKangeta6 күн бұрын
MAJINI HUWAINGIA WAKRISTO! Mathayo 12:43.,44.,45. 43. Pepo mchafu, amtokapo mtu, hupitia mahali pasipo maji, akitafuta mahali pa kupumzika, asipate. 44. Halafu husema, Nitarudi nyumbani kwangu nilikotoka; hata akija, aiona tupu, imefagiwa, na kupambwa. 45. Mara huenda, akachukua pamoja naye pepo wengine saba walio waovu kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo; na mtu yule hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki kilicho kibaya. HAKUNA AYA HATA MOJA YESU AKISEMA LIVE KUWA DAMU YAKE NI KINGA YA MAJINI AO MASHETANI! UNANUKUU UFUNUO AMBAO NI NDOTO SI MAMBO HALISIA! WAPI AYA YESU AKISEMA LIVE KUWA DAMU YAKE NI KINGA YENU DHIDI YA MAJINI??.
@mikerutto816411 күн бұрын
Hakuna muasi mzuri shetani pamoja na malaika zake majini walitupwa kutoka mbinguni
@k4cmmhcn29712 күн бұрын
Mzee sioni hoja zako huwezi kusimama na dr sule wala ust shafii vile ni vichwaa vitakuumbuwa mzee
@Maalim_Samatta5 күн бұрын
Umeona eeeh😅 yaani hawa ni mabwabwa kweli, eti majini ni malaika walioasi dah😂😂😂
Hapo mwankemwa unaongopa sakaramentu ya ni ya kiroma hili humshinde shetani lazima utii amri na sheria na imani ya yesu
@husseinothman12575 күн бұрын
Inaonesha hajui kuwa malaika hawana sifa ya kumuasi MUNGU, kwa hiyo si kweli kamba majini ni malaika walioasi, malaika ni viumbe wengine na majini ni viumbe wengine. Kama hamjui semeni mfahamishwe.
@oscarwilliam834110 күн бұрын
Mwalimu unapunguza ukali ukweli nomashetani kwasabab Majin nikizazi Cha ibilisi alie akolewa na malaika wakati alla alipo ombwa na malaika waje kuangalia je kipikilichobaki wakamkuta mtoto mdogo ndio anebaki nae alikua ni ibilisi wakamchukua wakampeleka ndio hao maji vp shetani awe na kizazi chema nimashetani Huu ndio wislamu kwetu sis wakristo huu upagani haupo wao ndio wametusimulia
@BabaFuraha12 күн бұрын
Mzee aujue kitu kabisa polesana nakuonea urum
@FridayMwassaКүн бұрын
Kosoa kwa hoja
@JamesMoses-jd1yq12 күн бұрын
Kwa hiyo maislam wite wanasupport majini badala mpinge hile
@Hussein-gx4qu11 күн бұрын
Jini hajawahi kuwa maraika Wala maraika hajawahi kuwa jini
@user-tz8zu2gt6u8 күн бұрын
@@Hussein-gx4qu aja kupingana na qurani Muhammad alisimu mapepo au kwa lugha nyingine majini sule anayatumia kukanga watu pamoja nakutoa kafara cku mnaita yakujinja majini husheherekea damu unadhani hatujui
@faustinelias328411 күн бұрын
Yeye anasoma kama irivo andikwa naona hajakosea rabda nyie mnaokubariana namajin ndoo mnaona akosea
@deusNjimba10 күн бұрын
WEWE NI KIBOKO. ULIMTOA JASHO. MAZINGE. PALE IGOMA. MWANZA
@drmahwa816610 күн бұрын
Hahahaha huyo ni poyoyo hanaelim ya kiroho anafuata matamanio yake.msikilize vizuri kisha utafakari?
@FridayMwassa10 күн бұрын
Technologia imekuja kuufunu uislam ulivyo
@haidar4387 күн бұрын
Eti Ustadh Daniel 😂😂😂
@HamisiNgomango10 күн бұрын
Huyu mchungaji hajui lolote et malaika ni jini😂😂😂shenzi sana
@ABDIKASIM-qe4lc8 күн бұрын
Dk sure kayatakamwenyewe
@user-qo2xd3hb8l12 күн бұрын
Mnaombea vipofu wanapona lakini nyinyi mkitaka kusoma bibilia mnavaa miwani
@Maalim_Samatta5 күн бұрын
😂😂😂
@FridayMwassa2 сағат бұрын
@@Maalim_SamattaKwaani kuna kipofu umemuona hapo,kutumia miwani siyo dhambi kama maandishi hayaonekani vizuri
@jumanneselemani217210 күн бұрын
vp zile nguo anazovaa papa na maaskofu au mapadri.
@samxx41112 күн бұрын
Ila wakristo mnahitaji kusomeshwa kweli, hawa walimu wenu watawapoteza sana ila kwa baadhi ya wakristo nadhani wanafahamu hivyo...
@msemakweli24311 күн бұрын
Unabishana na ukweli
@samxx41110 күн бұрын
@@msemakweli243 ukweli upi tatizo wakristo hamsomi vitabu yaani mchungaji akisema sawa
@msemakweli24310 күн бұрын
@@samxx411 anasoma vitabu bado wewe unabisha
@FridayMwassa10 күн бұрын
@@samxx411sisi ndiyo watu wa kitabu au unabishana na koran yako
@samxx4119 күн бұрын
@@msemakweli243 wewe huwezi fahamu wanasoma vitabu wanavyotaka wao wanabadili maana, kwa mfano biblia inasema wakujuwe wewe Mungu wa kweli na pekee na yesu uliyemtuma...sasa hapa Mungu wa kweli na pekee wakristo wanabadili mnasema mmoja lkn ana utatu, yesu pia na yeye ni Mungu umeona tatizo lenu
@bigmanfish63468 күн бұрын
Sema ukweli uongoze wakiristo wacha kupoteza wenzako. Unajua kabisa uislamu ndio dini lakini unakataa
@AbdullahKigua7 күн бұрын
Ila uyu hamna kitu
@shabandamas17598 күн бұрын
KINACHO WATATIZA NYINYI NIKWAMBA HUWA MNADHANI NAKUAMINI UNAPOISHIA UKOMO WA MTU KUFIKIRI KATIKA JAMBO FULANI HUWA NDO UHALISIA NA MWISHO WAKE THUS WHY MNAHITIMISHA KUPATA MATOKEO KTK JAMBO.. BASI ENDELEENI KUWEKA MIPAKA KATIKA AKILI ZENU ILI MSIPATE KUJUA KILICHO NJE YA UFAHAMU WENU.
@hassanWanjiku10 күн бұрын
Weeeeeee koma nyokooo unajua Qur'an gani shindwe ,,,,mtume wetu hana mahusiano n majini Wala nini hivi viumbe kama mimi na wewe tena ukome ukomae ulimwengu wao tofauti na sisi Wana maisha yao wanaoa wanaolewa juu n viumbe wanatuona hatuwaoni kwa uwezo w Allah
@FridayMwassa10 күн бұрын
Kwa matusi haya bila shaka wewe ni mwislam swafi, mtume wako alimsilimisha shetani akawa mwislam lakini wewe maamuma subiri usomewe na mashehe
@hassanWanjiku10 күн бұрын
@@FridayMwassa 🤣🤣🤣😭😭ati alisilimisha nani weee wajua majini na mashetani ni akina nani acheni ukafiri mkiwa waislamu ndo mtajua ni akina nani majini na je tunauhusiano ,,,,
@hamiskidunda97709 күн бұрын
Tatzo muandishi anaelimu kuliko mchungaji😂😂😂 na ndio maana wanagona
@user-do7ui5wi3n10 күн бұрын
Hujuwi nani jini nani malaika
@saba-gv3mj8 күн бұрын
Ww huwezi kupambana na shafi wala sule mana hata majini hujui jini ni jini na malaika nimalaika tu vitu viwili tafauti
@shabandamas17598 күн бұрын
ELIM NI PANA NA UELEWA UMEFICHWA KATIKA KUULIZA, ACTUALLY SIKITIKO LANGU NA HUZUNI YANGU NI KWAMBA WEMGI HAWANA ELIMU, HAWAJUI NA HAWAJUI KAMA HAWAJUI NA HAWAKO TAYARI KUJIFUNZA.. HUYU NAE ANAJITATHMINI KAMA MWALIMU..!! ELIM NI BAHAR BADO UNASAFARI NDEFU SANA..
@HajiAmbali-jq9dr7 күн бұрын
Huna jipya
@SamsiaKassaKangeta6 күн бұрын
MUHAMMAD ALOKIRI ISA NI MTUME ,ROHO NA NENO LAKE ALLAH LEO WEWE WAMTUHUMU NI MWONGO? { يَٰٓأَهۡلَ ٱلۡكِتَٰبِ لَا تَغۡلُواْ فِي دِينِكُمۡ وَلَا تَقُولُواْ عَلَى ٱللَّهِ إِلَّا ٱلۡحَقَّۚ إِنَّمَا ٱلۡمَسِيحُ عِيسَى ٱبۡنُ مَرۡيَمَ رَسُولُ ٱللَّهِ وَكَلِمَتُهُۥٓ أَلۡقَىٰهَآ إِلَىٰ مَرۡيَمَ وَرُوحٞ مِّنۡهُۖ فَـَٔامِنُواْ بِٱللَّهِ وَرُسُلِهِۦۖ وَلَا تَقُولُواْ ثَلَٰثَةٌۚ ٱنتَهُواْ خَيۡرٗا لَّكُمۡۚ إِنَّمَا ٱللَّهُ إِلَٰهٞ وَٰحِدٞۖ سُبۡحَٰنَهُۥٓ أَن يَكُونَ لَهُۥ وَلَدٞۘ لَّهُۥ مَا فِي ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَمَا فِي ٱلۡأَرۡضِۗ وَكَفَىٰ بِٱللَّهِ وَكِيلٗا } [Surah An-Nisāʾ: 171] Ali Muhsin Al-Barwani: Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi Mungu ila kwa lilio kweli. Hakika Masihi Isa mwana wa Maryamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na neno lake tu alilo mpelekea Maryamu, na ni roho iliyo toka kwake. Basi Muaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala msiseme: Utatu. Komeni! Itakuwa kheri kwenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja tu. Ametukuka Yeye na kuwa na mwana. Ni vyake Yeye vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha.
@SamsiaKassaKangeta6 күн бұрын
Umejaa chuki na hasadi na ndio sababu haupati mwili!😮😮😮
@user-ie3lw9eb6p11 күн бұрын
Jinga jinga unawaja tu moto utawameza nyinyi bipofu
@nassorsharifu98375 күн бұрын
majini hawajawahi kuwa malaika
@SamsiaKassaKangeta6 күн бұрын
SHETANI HUWAPEPETA NA KUWAINGIA WAKRISTO YESU MWENYEWE AKIWEPO ACHA UONGO! Luka 22:3.,31. 3. Shetani akamwingia Yuda, aitwaye Iskariote, naye ni mmoja wa wale Thenashara. 31. Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano;
@anwarabdallah709512 күн бұрын
Mzee wewe mwenyewe sahii Jini yuwakutumia hauko Sawa kimaelezo kunakifungu Kwa bibilia yesu alibebwa Na shetani hapo VP Buda.
@0badiaMwasongwe-rt1wr12 күн бұрын
Shidaa uelewa hakubebwaa Kama unavyofikili wewe ila alijalibiwa
@msemakweli24311 күн бұрын
Alikuwa anajalibiwa
@drmahwa816610 күн бұрын
Wewe hunaelim.jini ni kiumbe malaika nikiumbe na binadamu nikiumbe.shetani ni tabia siyo kiumbe .na malaika hawana sifa ya kuasi
@salumharuna58726 күн бұрын
Kama ndio mchungaji wa wakristo wanamuamini basi dah msiba mkubwa. Akili hamna kabisa, eti majini ni malaika walioasi...
@FridayMwassaКүн бұрын
Nikweli majini walikuwa malaika na wapoasi ndipo wakatupwa duniani
@salumharuna587222 сағат бұрын
@@FridayMwassa Soma vitabu, malaika hawajaumbwa na matamanio, wao wameumbwa kutii amri ya Mungu hawajawahi kuasi tangu kuumbwa kwao. Majini ni viumbe walikuwepo kabla ya binadamu na malaika ni viumbe wengine kabisa hawafanani na viumbe wengine.
@SaleheKijazy4 күн бұрын
Yaani ww unae muhoji una kosea ume shindwa kumuuliza maswali ya umuhimu. Alipo sema majini ni malaika waasi kwanini asinge kupa Usha hidi kwenye vitabu kuthibitisha hayo maneno yake.
@MishiPapalan7 күн бұрын
Yani hijamaa kama chizi halijuwi lolote da kama sege duuu
@SamsiaKassaKangeta7 күн бұрын
WAPI AYA YA BIBLIA JINI NI MALAIKA MUASI?
@Pablolookman8 күн бұрын
Dunia inapolekea mapastor watajiandikia Quran ya kwao ili kuwapoteza
@FridayMwassaКүн бұрын
Acha uongo,uchafu wa dini yako uslazishe mambo
@youssefsanje87437 күн бұрын
Huyu amelaaniwa hawezi kuitambua haki jini na malaika ni viumbe viwili tofauti
@FridayMwassaКүн бұрын
Tuulizeni sisi watu wa kitabu tutawasaidia
@jumakihiyo4 сағат бұрын
Wewe mchungaji huna akili timamu,kwanza useme jini ni kiumbe au si kiumbe kama ni kiumbe aliumba kwa lengo gani?kwani binadamu muasi si kiumbe?acheni kupotosha watu
@OmariShuli12 күн бұрын
Acha uongo. bibilia haija eleza asili ya majini. wala hakuna andiko ktk bibilia linalo sema kuwa Majini ni malaika walio asi. na andiko ulosoma kutoka ufunuo 12:3-6 ni ndoto.
@Mahershalalhashbazi-kf6xi11 күн бұрын
Bila shaka una pepo au PhD ya ujinga
@OmariShuli12 күн бұрын
Kwa nini tukio la kusulubiwa na kufa na kufufuka kwa Yesu liwe jambo la kiimani? kwani halikutokea hapa Duniani? kwani halikushuhudiwa na watu? walio lishuhudia-kama wapo-agizo la kuamini litawafaa nini?
@msemakweli24311 күн бұрын
Sio jambo la kuamini bali ni ukweli sasa unashindwa kuamini ukweli?
@SamsiaKassaKangeta6 күн бұрын
KUHUSU NABII MWONGO PAULO AMPINGA YOHANA UNAYENUKUU! PAULO AONA MTUME MWONGO NI YULE ATUMIAYE HILA! 2 Wakorintho 11:13. 13. Maana watu kama hao ni mitume wa uongo, watendao kazi kwa hila, wanaojigeuza wawe mfano wa mitume wa Kristo. NA KATIKA HAO WAONGO MMOJA WAO NI PAULO MWENYEWE! 2 Wakorintho 12:16. 16. Lakini na iwe hivyo, mimi sikuwalemea; bali kwa kuwa mwerevu naliwapata kwa hila.
@nassorokilindo860912 күн бұрын
Marini said mashetani
@georgekimasaofficial162911 күн бұрын
Huyu anae kuhoji uwezo wake ni mdogo sana wa kuelewa.
@hassanjuma277211 күн бұрын
Kwani ulisema uwezo wake mdogo wa kumuhoji
@salisali373812 күн бұрын
Eti ni malaika waasi jamanii jini kawa malaika ume tupiga hapo😅
@Mahershalalhashbazi-kf6xi11 күн бұрын
Hujuwi kitu wewe kasome tena
@bilid412812 күн бұрын
Eti kumbe walishamalizana 😂😂😂
@Pablolookman8 күн бұрын
Hayo majini wanakataza maasi kwa watu gani ?
@nassorsharifu98375 күн бұрын
Hata biblia imetaja Pepo wachafu ikimaanisha kuwa na wema wapo
@user-fy4op1sw2f11 күн бұрын
😂😂😂😂 Duuh noma ndio maana bibilia ina waita wachungaji ni umbwa walio bubu 😂😂😂😂sasa hapo vp
@SamsiaKassaKangeta6 күн бұрын
JE, MUHAMMAD ALIKUA MKRISTO ALI AWE NABII WENU AO MTUME WENU MUONGO? DANIELI UMEJAA UONGO KAMA MUNGU WAKO! Yeremia 4:10. 10. Nami nikasema, Aa, Bwana MUNGU! Hakika umewadanganya sana watu hawa na Yerusalemu, ukisema, Mtakuwa na amani lakini upanga umeingia katika nafsi za watu.
@SamsiaKassaKangeta6 күн бұрын
AMBIA WATU HAWA PEPO WA CHAFU WANAWATII WAKRISTO KWA NJIA IPI KATI YA NZURI NA MBAYA? Luka 10:17. 17. Ndipo wale sabini waliporudi kwa furaha, wakisema, Bwana, hata pepo wanatutii kwa jina lako.
@samweljackson57545 күн бұрын
Mwalimu unanishangaza sana hii elimu uliipataje? Unaipataje? nataman sana niwe nawe na mm kichwa kifunguke, duuuu!
@NdeshaPaul-uz9bw13 күн бұрын
Je? Danieli majini au mashetani unakumbuka kuwa Yobu alikuwa mtu safi mbele ya Mungu lakini mashetani walimjaribu. Wapo watu wanaingiwa na mashetani na bila hata wao kujua na wanateseka TU. Wapo watu wachawi wanawatupia wengine shetani na Kuna mashetani wengi wanaranda duniani ili kuwaharibu binadamu na kuwateswa.
@edinahbonareri225112 күн бұрын
yesu ni mwana wa mungu amerithi jina la babake sio Mungu wewe vipi?. kwani mtoto wako hawezi tumia jina lako?. ni follow upate elimu utoke kwa dini ya mohammed na uchawi anawafundisha yenye walikuwa wakiabudu kule makkah.
@mhogomchungu716810 күн бұрын
Jini si malaika kwa imani ya kiislamu, ni viumbe viloumbwa na Mwenyezi Mungu kwa moto kama binaadamu walivyoumbwa kwa udongo. Malaika wameumbwa kwa nuru na hawawezi kumuasi Mwenyezi Mungu kamwe. Sasa kwa imani yenu mnaweza kuzungumzia viumbe vyengine tofauti na wanavyovizungumzia waislamu kwa kuwa waislamu hawaamini majini kuwa ni malaika
@FridayMwassa2 сағат бұрын
Kwamujibu wa uislam majini wanapotubu wanakuwa waislam lakini kwa wayahudi na wakristo jini hawezi kutubu
@mhogomchungu7168Сағат бұрын
@@FridayMwassa Shetani ambae Ni ibilisi hawazi kutubu, majini Ni viumbe vinavyoweza kutubu Kwa imani yetu. Huenda tunazungumzia vitu tofauti
@user-dx8dz4kl1u5 күн бұрын
Huyu muongo hajui jioni Wala sheteni kwani ukristo dini? Cini eti kama hujui SEMA ufahamishwe wewe ilo halitaki kusoma
@selemanimchana359811 күн бұрын
Mchungaji mimi sina elimu saana! Ila kuna malaika na majini, na ndio maana wakati mungu alipowaamuru malaika wamsujudie adamu lakini ibilisi alikataa kwa kua yeye sio miongoni mwa malaika, hujawa na elimu bado
@bustedislam357811 күн бұрын
Sasa kwanini Allah alimuhukumu ibilisi japo yeye hakupewa hiyo amri ya kumsujudia Adamu? Yaani Allah siye mkweli?
@msemakweli24311 күн бұрын
Ibilis alikuwa nani kama sio malaika
@bustedislam357811 күн бұрын
@@msemakweli243 Ndugu wetu ameandika kwamba Iblis hakuwa malaika... Sijuwi kwanini Allah alimuhukumu... Yaani Allah siye mkweli
@msemakweli24311 күн бұрын
@@bustedislam3578 hajielewi
@petromachanga553813 күн бұрын
Mungu gani anaeabudiwa namajini?
@edinahbonareri225112 күн бұрын
yesu ni mwana wa mungu amerithi jina la babake sio Mungu wewe vipi?. kwani mtoto wako hawezi tumia jina lako?. ni follow upate elimu utoke kwa dini ya mohammed na uchawi anawafundisha yenye walikuwa wakiabudu kule makkah.
@petromachanga553812 күн бұрын
@@edinahbonareri2251 bibilia haijatumia jina lababa mtume gani alitumia jina lababae?
@Sudisudi-uo4lg12 күн бұрын
Je petro naye vipi maana yesu aliosema shetan
@edinahbonareri225112 күн бұрын
yesu ni mwana wa mungu amerithi jina la babake sio Mungu wewe vipi?. kwani mtoto wako hawezi tumia jina lako?. ni follow upate elimu utoke kwa dini ya mohammed na uchawi anawafundisha yenye walikuwa wakiabudu kule makkah.
@OmariShuli12 күн бұрын
Mchungaji wako ndacha ameweka wazi kwamba Yesu ana asili ya Mungu, tena akapiga mfano wa mtoto wa ng'ombe kuwa naye ni ng'mbe kwa bababu ana asili ya ng'ombe mamaake.Sasa basi ukiwa na ng'ombe na mtoto wake unakuwa na ng'ombe wawili. Je ukiwa na Mungu na mtoto wake mwenye asili ya mungu babaake una Miungu wangapi? Na kama amechanganya asili mbili, basi huyo ni mungumtu.
@OmariShuli12 күн бұрын
Kurithi ni hadi anaerithiwa afe.
@khammadjeffa51513 күн бұрын
Huyu jamaa hata haelewi, sasa hapa anatuambia ni madai majini hudai kuwa wanatoka miji mitukufu na hujiuwanisha na majina mazuri kama vile sharif, huyu jamaa hajielewi kiswahili kina mchanganya
@edinahbonareri225112 күн бұрын
yuko sawa kabisa. toka katika dini ya ibilisi
@ChandeDaudi12 күн бұрын
Mungu ameumba malaika,jini,binadamu, malaika kaumbwa kwa nuru,jini kaumbwa kwa moto,binadamu kaumbwa kwa udongo huyo anaeongea hajui kitu
@ChandeDaudi12 күн бұрын
Yesu alisoma shule gani
@roggerasili308912 күн бұрын
@@ChandeDaudiMohamed nusary school
@roggerasili308912 күн бұрын
@@ChandeDaudiswali la kijinga kabisa
@samxx41112 күн бұрын
@@roggerasili3089wewe na huyu mwalimu mnalingana sana elimu zenu
@samxx41112 күн бұрын
Sasa unasema ukiamini kifo cha yesu majini hawawezi kukuchezea, vipi wale wanaokuja kanisani wamepagawa vipi hawaamini kifo cha yesu??
@mtz558210 күн бұрын
Wana bacground mbali mbali ,wapo huja kanisani ila Bado hawajaacha maovu yao mfano Imani za kishirikina......hivyo
@user-dx8dz4kl1u5 күн бұрын
Huyo anaye kuuliza anakuli kuliko wewe padri
@user-mc2xd4eu2p12 күн бұрын
Ukafiri mbaya sana yani wanalazimisha malaika waliasi hakuna malaika wanaoasi sifa ya malaika hawamuasi mwenyezi mungu elimu za kukaririshwa na paulo itawapeleka motoni
@frankmugomba348412 күн бұрын
Brother hope mzima na kwema sorry naomba kujua kama Akuna Malaika aliehasi Je Shetani Ibilisi Alikuwa nani kwa uwelewako?
@user-mc2xd4eu2p12 күн бұрын
@@frankmugomba3484 shetani ibliss hakuwa malaika bali alikua jinni jinsia yake
@user-mc2xd4eu2p12 күн бұрын
Na ndio maana pamoja na kua alikua jinni lakini alikua mja mwema baadae akaasi akallaniwa ila hakuwa malaika
@0badiaMwasongwe-rt1wr12 күн бұрын
Kwani torati aliandika Paul???
@user-mc2xd4eu2p12 күн бұрын
@@0badiaMwasongwe-rt1wr torati imetiwa mikono na hao akina paul ambayo ndio mnadai ndio torati aliyopewa musa kuna yalisalimika na kuna yaliyoharibiwa
@OmariShuli12 күн бұрын
Rekibisha lugha yako. sio...."Majini ndio waloshangira..."hiyo ina maana ni majini peke yao ndio waloshangiria. Huo ndio upotoshaji mnaoufanya.Kitabu Barazanje hakisemi hivyo,ila wewe umefahamisha hivyo. Kitabu barazanje kimeorodhesha viumbe wengi waliofurahia kuzaliwa kwa Mtume yakiwamo hayo Majini,lkn kwa khiyana wewe daniel umetaka wafuasi wako wajue kuwa ni majoni peke yao walioshangiria.