INASIKITISHA Mtoto aliebakwa alia kwa MAKONDA afanya maamuzi MAGUMU, Bibi yake nae aangua kilio

  Рет қаралды 65,576

Habari Digital

Habari Digital

Күн бұрын

Пікірлер: 108
@MtegekiKaijage
@MtegekiKaijage 2 ай бұрын
Kazi za mahakama Tanzania hii ni kunyanyasa wanyonge na kuwadhurumu haki zao
@FatumaMombo
@FatumaMombo 2 ай бұрын
Jamani jamani makonda kweli kunasababu yawewe kuwa Arusha
@hassanmwallimu5767
@hassanmwallimu5767 2 ай бұрын
Hapo vipi watu wa haki za binadamu na UWT
@halimamasai2234
@halimamasai2234 2 ай бұрын
Hebu tusubiri watasema nini maana wao wapo wapo tu. Halafu wanamlaumu Makonda
@boyfromtansania7788
@boyfromtansania7788 2 ай бұрын
Hapo wanafyataga mikia
@OCTAVIANSINZO
@OCTAVIANSINZO 2 ай бұрын
🤣🤣
@anamsaid8610
@anamsaid8610 2 ай бұрын
Hapo hawaoni
@Goldenbutterfly-hk1hp
@Goldenbutterfly-hk1hp 2 ай бұрын
Yule mama wankumtuhumu makonda kumamayo hebu alete mkundu wake hapa asikilize haya maumivu alaf anaongea ukuma mayo tu uko....Makonda baba piga kazi
@user-ry8xf1no2s
@user-ry8xf1no2s 2 ай бұрын
IPO siku mueshimiwa Samia suluhuhasani laisi wangu mpendwa Atakuchagua kuwa wazili mkuuu Dua ninalo liomba kila siku Uje utusaide watanzania Unauwezo mkubwa sana Alha amekupa kuwa kiongozi
@benjaminmollel3393
@benjaminmollel3393 2 ай бұрын
Your comment very touching my heart 🤔
@AminaRamadhani-gx8yr
@AminaRamadhani-gx8yr 2 ай бұрын
Kama alikua ajabakwa docter alitoa dozi ya dawa y akutibu nini, hii nchi uonevu kwa wanyonge umezidi
@user-ml3zf7mw1y
@user-ml3zf7mw1y 2 ай бұрын
Kuna mbunge mwanamke aliomba ipitishwe sheria Lola mwanaume atakae baimika na kosa la ubakaji AHASIWE
@user-ry8xf1no2s
@user-ry8xf1no2s 2 ай бұрын
Mueshimiwa makonda Alha akuongoze awatoweza kukufanya chocolate ulinzi mkubwa Alha ata kulinda inshallah
@Mgema001
@Mgema001 2 ай бұрын
Ukichukua mabaya ya MAKONDA wanayosema halafu ukalinganisha na mazuri yake utakuja kugundua mazuri ni kitita kuliko mabaya, huyu ni mwanga unaomurika kwenye Giza Nene...big up MAKONDA
@dicksonjonas1799
@dicksonjonas1799 2 ай бұрын
Umesema point ndugu
@FatmaLyego
@FatmaLyego 2 ай бұрын
Amina kubwa sana
@user-qc9ph9he7u
@user-qc9ph9he7u Ай бұрын
Umeongea point ubarikiwe
@robertzamani5612
@robertzamani5612 2 ай бұрын
Hivi hawa mahakimu hata huruma hawana jamani kweli mtt amebakwa hakimu unampa ushindi mbakaji huyu hakimu wa hii kesi ajitafakari
@DominicaShio
@DominicaShio 2 ай бұрын
Rais Samia suluhu hassani hoyeeeeeeee we ni suluhu kweli tusaidie hivyohivyo kwa hili jembe asante
@KhmsNsr
@KhmsNsr 2 ай бұрын
DAH! KUNA WAKATI MAKONDA ANASHINDWA HATA AAMUE KESI VIPI MANA ANAKUTANA NA MAKUBWA KWELI. DAH! MUNGU AKUPE NGUVU KWELI MAKONDA.
@dicksonjonas1799
@dicksonjonas1799 2 ай бұрын
Dah kabisaa yaan ndugu yangu
@user-ew7xd1xu3s
@user-ew7xd1xu3s Ай бұрын
Yani namuona magufuli ndani yamakonda kwer
@dicksonjonas1799
@dicksonjonas1799 2 ай бұрын
Mungu azidi kukulinda mh Mkuu wa mkoa,,piga kaz na MUNGU yu pamoja na wew,,wananch wengi wanaonewa kwa kukosa pa kusemea,,wew ndomtetezi wa wanyonge mkuu.
@naligiatomaso5006
@naligiatomaso5006 2 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭 Subha Allah subhaallah subhaallah 😭😭😭
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 2 ай бұрын
Nyie kubakwa kunauma wallah 😢😢 mm mpaka leo sijapona akili my uncle na alijaribu tu kunibaka sasa what about her hii ni tatizo kubwa kwa mtoto watu wana roho za unyama hawana huruma hawa wakubaka niwakuuliwa tu....
@jaymwinyi6957
@jaymwinyi6957 2 ай бұрын
So painful waallahi 😭😭😭daah Allah atustiri na vizazi vyetu jmni
@NasraAlMarjabi
@NasraAlMarjabi 2 ай бұрын
Uchungu Saana Tanzania Mtu Akiiba kitu kidogo Anachomwa moto mbakaji Anaachwa Uchungu Saana
@user-mr3qg9iq5k
@user-mr3qg9iq5k 2 ай бұрын
😢😢 inauma sana jiran yangu hapa kaiba jana kitu kidogo kachomwa moto kafa lakin Mapepo yapo yanaish
@JoalAlma-ci1hi
@JoalAlma-ci1hi 2 ай бұрын
Mueshimiwa toka sikuyakwanza nimekuwa nikukupenda saan unakutan na vitu vigumu saan but this one is toomuch.tafazali mueshimiwa kama nikweli uyu muusika naisi anstaili kuuwawa kabisa nina mtoto binti kama uyu tafazali simama juuyahili
@valenakomba7686
@valenakomba7686 2 ай бұрын
Kwa kweli, Hao ndo wanasheria wa Tanzania. Wanauza mpaka haki za watoto.
@ndeenengomselle1267
@ndeenengomselle1267 2 ай бұрын
Gombea UBUNGE Arusha uchukue asubuhi mapema ukawe wazuri mkuu....Mungu akutangulie sana kaka....hampo wengi duniani hivyo usiogope vita
@FredrickEdson
@FredrickEdson 2 ай бұрын
Usimponze ndio kilicho mkuta dar alikuwa mkuu wa mkoa tulimpenda akataka ubunge wanakigamboni tukafurahi tutampata akafanyiwa figisu
@tanzalandtv3311
@tanzalandtv3311 2 ай бұрын
YUDABULIYUTI ... UWT mko wapo na wale wa haki za binadamu
@chantalharakandi2576
@chantalharakandi2576 2 ай бұрын
Inasikitisha sanaaa Allah atamlipia uyo mtoto na bibi yake
@aderanderwa7623
@aderanderwa7623 2 ай бұрын
MUNGU tunaomba REHEMA ZAKO
@user-ml3zf7mw1y
@user-ml3zf7mw1y 2 ай бұрын
Mko wapi HAKI ZA BINADAMU NA UWT JE HAMJASIKIA HILI AU TENGERU HAWAPO UWT?
@topfreelancer5151
@topfreelancer5151 2 ай бұрын
Tuwaongezee sauti hawasikii labda
@ndeenengomselle1267
@ndeenengomselle1267 2 ай бұрын
Mungu awalaani wote wanaopindisha haki za wanyonge
@CatherineMbatta
@CatherineMbatta 2 ай бұрын
Amen walaaaaniwe wote wanaopindisha kesi kwa makusudi
@Zainab_salat
@Zainab_salat 2 ай бұрын
Wanaume acheni kuaribu watoto jamani
@rachelkihaka9204
@rachelkihaka9204 2 ай бұрын
Makonda Mungu akusimamie sana toka alivyotuacha mh. Magufuli nilitamani Mungu angekuinua wewe uwe raisi ila haikuwezekana ila itawezekana tu
@LoshilaaMollel-qh5pb
@LoshilaaMollel-qh5pb 2 ай бұрын
Jamani binadam tumekuwa wanyama Sana lakini haya yote yanachangiwa na police.kwanini wamuchie mtuumiwa? Makonda msaidie huyo mama
@JaneCharles-ru1tz
@JaneCharles-ru1tz Ай бұрын
Makonda una baya mungu akulinde uishimiaka mingi kama nambaza vocha
@FatmaLyego
@FatmaLyego 2 ай бұрын
Mungu akutunze makonda wasije wakakuua kama Magu
@ChristinaElias-e8v
@ChristinaElias-e8v Ай бұрын
Rais wa awamu ya saba mungu akutangulie akiachia mama uingie ww
@NeemaMmary-kl7no
@NeemaMmary-kl7no 2 ай бұрын
Jaman atokee na kwetu moshi makonda
@user-tm4bl5tg3t
@user-tm4bl5tg3t Ай бұрын
Dah😭😭😭😭mungu atusaidie sisi wenye watoto wa kike😭😭😭🙌🏽💔
@RosemaryAmonMwasalama-tc4uz
@RosemaryAmonMwasalama-tc4uz Ай бұрын
Pole mama angu, niwati wa kuoba jamani hii ni dalili ya nyakati za mwisho,hivi nyie wababa hivi wake zenu mnawafanyaga hivyo,tubuni wababa jehanam yawasubiri kweri kabsa tubuni hiyo dhambi mbingu ipo,na jehanam ipo haya,😭😭😭😭😭😭😭😭
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 2 ай бұрын
Why wamuanzishie dawa za kuzuia maambukizi huku akubakwa? Hapo daktari pia anahusika akatoe maelezo vzr bila shaka naye alipewa hongo
@neemamwocha2113
@neemamwocha2113 2 ай бұрын
Wanaume mtatuua, jamani ,,ona huyu mama anavyopumua kwa presha,,
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 2 ай бұрын
Una uhakika aliyehukumu kesi ni mwanaume? Una uhakika mahakimu wa kike hawagandamizi haki za wanyonge?
@LIGHTNESSISAYAMOLLEL
@LIGHTNESSISAYAMOLLEL Ай бұрын
Makonda wew gombea urais.mimi nakupa kura no 1baba
@AdelaFungo
@AdelaFungo 2 ай бұрын
Makonda mungu akupe maisha malefu kwa jinsi unavo saidia wanachi
@timothbenard8213
@timothbenard8213 2 ай бұрын
Duuh sasa hivi nchi yetu mungu aingilie kat coz saizi watoto wetu wanatendewa vtu vya hovyo na wabaya hawafanywi chochote wananguvu kuliko serilali
@user-el6ev9dt5k
@user-el6ev9dt5k 2 ай бұрын
Muheshimiwa makonda fanya uchunguzi haki ya mtoto ipatikane, lkn pia mtoto kubakwa nyumba na mbele halafu aweze kukimbia mpaka kwa bibi kutoa taarifa ni ngumu, labda kama sio mara ya kwanza
@user-mn2et2pf6z
@user-mn2et2pf6z 2 ай бұрын
Hapana jamani.hakimu alie jukumu kesi hiyo anapaswa achunguzwe.kwa sababu ushahidi wa dakitari ndo ushahidi tosha.
@dennishyera5448
@dennishyera5448 2 ай бұрын
ye hautaki ushahidi huo anataka Wa mtuhumiwa. Itapendeza Huyo hakimu afuatiliwe kisha atimuliwe kazi
@respiciusndyanabo366
@respiciusndyanabo366 2 ай бұрын
Nakukubali sana Msh Makonda
@lightnessgilliard3703
@lightnessgilliard3703 2 ай бұрын
Ninashauri mkuu wa mkoa kuwa na Afsa ustawi ambae atakua na help desks kila anapokwenda na hii daima sio sawa
@dennishyera5448
@dennishyera5448 2 ай бұрын
Huo ndio uhalisia, Tunashukuru viongozi mnapo y'a skia haya. Uonevu kwa wanyonge ni mkubwa Sana. Waovu hulindwa. Ukimshitaki mwenye pesa and uwezo WA kukugeuzia Kes we mwenyewe. Mungu tusaidie akina Makonda waongezeke.
@abdallahassan6378
@abdallahassan6378 2 ай бұрын
Mb zangu hua zinamalizwa na Makonda , namkubali sn
@user-cp2do9pd5k
@user-cp2do9pd5k 2 ай бұрын
Kweli tuanze upya
@MariamMmary-yn9nu
@MariamMmary-yn9nu 2 ай бұрын
Hivi hawa watu hawana utu wamekosa hata madada poa huko mtaani wapo wengi hvyo c wawanunue huko waache watoto wadogo hvyo jaman Allah awalaani sana hawa watu mlaaniwee kabisa msiwai furahia haya maisha kabisa mfeee
@richkaja3317
@richkaja3317 2 ай бұрын
Makonda omba mungu upate uraisi unafaaa sanaa hauna huruma
@nkidakisenga9004
@nkidakisenga9004 2 ай бұрын
Namuomba Mungu siku moja uchukue fom ya urais
@mwanduelizabeth2282
@mwanduelizabeth2282 2 ай бұрын
😭😭😭Mungu Linda watoto wetu maana umesema watoto wote watafundishwa na wewe.
@MonguMagege
@MonguMagege 2 ай бұрын
Weka ndan miaka miamoja jera uyo
@HadijaGorge
@HadijaGorge Ай бұрын
Mungu wangu duu inauma
@NasraAlMarjabi
@NasraAlMarjabi 2 ай бұрын
Haki Iko Wapi 😭😭😭😭
@pyelesyamwakatika540
@pyelesyamwakatika540 2 ай бұрын
Nakupenda Makonda Mungu akutunze baba
@EsterLameck-fc1re
@EsterLameck-fc1re 2 ай бұрын
Makonda baba mungu akutunze huna baya❤
@HemediNgasakwa
@HemediNgasakwa 2 ай бұрын
Mtu atakayesema makonda mbaya tutagombana breather makonda mm ajuwa hujawahi niona ila nirafkiako nasema mbele za mungu tupoge job
@nkidakisenga9004
@nkidakisenga9004 2 ай бұрын
Njoo na simiyu utuogoze makonda
@LovelyBrain-wz7si
@LovelyBrain-wz7si 2 ай бұрын
Chatanda uko wapi? Jitokeze Sasa wamama wanadhalilishwa au wewe unatetea Wala rushwa
@user-zt4rd5pr1e
@user-zt4rd5pr1e 2 ай бұрын
Anasagwa yule mama, tena hana akili kabsa Kaz kumpinga mkonda tyu eb tuone nahili kama atasem jambo
@lightnessgilliard3703
@lightnessgilliard3703 2 ай бұрын
Ninafikiri Kuna namna tunapaswa kusikiliza matatizo ya jamii na wala sio kwa kuwadhalilisha zaidi. Ni mawazo yangu tuu lakini waziri muhusika unaweza tupa muongozo hapa
@user-gx4vx5ru2u
@user-gx4vx5ru2u 2 ай бұрын
Wanaume wanaume mnachotafuta ni nin kwa vichanga? Mtakufa wote nyie kwa laana
@user-dd7lh7fs8n
@user-dd7lh7fs8n Ай бұрын
Pole bibi
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h 2 ай бұрын
Watu wafanye kazi wapate pesa halali wasidanganywe kuwabaka Watoto. Huyo mbakaji apewe kibano cha kutosha.
@user-ew3zj8ig4n
@user-ew3zj8ig4n 2 ай бұрын
Mtihan wallah 😢😢😢huyo kaka hatalaniwa huyo jamaaa
@jacobmakono4399
@jacobmakono4399 2 ай бұрын
Makonda hapo umenichefua!Yesu Kristo akisema kitu ndo itakuwa hivyo hivyo .mambo yote yatapita lkn neno litasimama!Uf 21:8..waongo .. sehemu yao ni ktk ziwa la moto!!Heri wafu wafao ktk Bwana tangu Sasa wapate kupumnzika..leo hii utakuwa pamoja nami peponi!!..
@selemaniabdallah2621
@selemaniabdallah2621 2 ай бұрын
Haya wale mbuzi wa haki za binadamu wako wapi Sasa mbona na hili hawasemi makonda piga KAZI baba
@hellenjonson5210
@hellenjonson5210 2 ай бұрын
Usiache kugombea urais
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 2 ай бұрын
Hizi ndio mahakama zetu bwana . Mtu anaishi na mume miaka 12 mahakama inasema imejiridhisha hawajawahi kuchuma Mali yeyote😂
@rosehillary8742
@rosehillary8742 2 ай бұрын
Muueni huyo mbakaji Muueni tu
@user-do6ep2md2d
@user-do6ep2md2d 2 ай бұрын
Kweli hii ndunia inamungu
@johnjoel5012
@johnjoel5012 2 ай бұрын
Shasema mahakama za Tanzania ni rushwa ni uhozo no haki.
@MtegekiKaijage
@MtegekiKaijage 2 ай бұрын
Mahakimu wengi nchi hiii ni wa ovyo sijawahi kuonaa
@mrmirrowmrmirrow
@mrmirrowmrmirrow 2 ай бұрын
Makonda asanter baba
@user-kq9lb7bd8l
@user-kq9lb7bd8l 2 ай бұрын
jamani arusha kunamatukiwo sana
@SILASSAYON-rb4pp
@SILASSAYON-rb4pp 2 ай бұрын
Haki za binadam na mnadakiwa kudili na hao sio kudili na makonda
@user-ur8cq1ye3b
@user-ur8cq1ye3b 2 ай бұрын
Nyie mnaokaa maakamani mnaakili kweli au
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 2 ай бұрын
Mungu tuhurumie
@michaellomanus5121
@michaellomanus5121 2 ай бұрын
Chatanda yuko wapi????
@user-jb1fi5iq8g
@user-jb1fi5iq8g 2 ай бұрын
😢😢😢
@user-ty2kc5jy7s
@user-ty2kc5jy7s 2 ай бұрын
Aisee mm ntamuua mtu mchana kweupeeeeee walah
@WansolaLuther-tq8qm
@WansolaLuther-tq8qm 2 ай бұрын
Hata mimi
@rukiyyarukiyya6317
@rukiyyarukiyya6317 2 ай бұрын
Dubiani hakuna haki
@RamadhanOmar-do5of
@RamadhanOmar-do5of Ай бұрын
Anashangaz
@user-bm8eg9qq9m
@user-bm8eg9qq9m Ай бұрын
Ababae
@muzneali4747
@muzneali4747 2 ай бұрын
UMOJA WA WANAWAKE KIMYA
@user-zt4rd5pr1e
@user-zt4rd5pr1e 2 ай бұрын
Waendelee kusema tena makonda anazalilisha wanawake
@user-pe8wh5bw2h
@user-pe8wh5bw2h 2 ай бұрын
Jmn jmn
@danyhance5679
@danyhance5679 2 ай бұрын
Hapa issue ni kukata rufaa na kesi isimamiwe na serikali ya mkoa, ila kuanza upya sidhani kama itakua sahihi kisheria, itaonekana kuna taratibu zimekiukwa na watapata Technical Knockout.
@Mgema001
@Mgema001 2 ай бұрын
Samahani mzee hivi kumbe kukata rufaa sio kuanza kesi upya
@jacobmakono4399
@jacobmakono4399 2 ай бұрын
Yes!as long as room ya rufaa ipo basi hiyo ndo nafasi!
@anamsaid8610
@anamsaid8610 2 ай бұрын
Rais alisema anakupeleka Arusha kwa kazi maalum. Kama kazi yenyewe ndio hii basi dumu katika kazi Allah mtukufu akupe nguvu na busara
@aldeamasuki6196
@aldeamasuki6196 2 ай бұрын
Mungu anakusudi lake nani angegudua haya madudu
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 2,9 МЛН
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 159 МЛН
How I Did The SELF BENDING Spoon 😱🥄 #shorts
00:19
Wian
Рет қаралды 36 МЛН
Harley Quinn's revenge plan!!!#Harley Quinn #joker
00:59
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 18 МЛН
Полыхание №2
18:58
Metal Family Xydownik
Рет қаралды 908 М.
Kuruluş Osman 99. Bölüm @atv
2:15:39
Kuruluş Osman
Рет қаралды 6 МЛН
ПИРАМИДА  | 5 серия | bayGUYS
17:01
bayGUYS
Рет қаралды 280 М.
Жездуха 36-серия
26:55
Million Show
Рет қаралды 3,3 МЛН
Мой парень исполнил мечту моей мамы
12:45
Моя анимированная история
Рет қаралды 764 М.