INASIKITISHA: NENO LA MWISHO YA MFANYABIASHARA BABU RAMA NA MWANAHALISI TV KABLA HAJAJIPIGA RISASI

  Рет қаралды 60,919

MwanaHALISI TV

MwanaHALISI TV

Күн бұрын

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Пікірлер: 262
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani 5 ай бұрын
Waziri mkuu ajiuzulu.kwa Hili naomba mheshimiwa majaliwa ujiuzulu umeshindwa majukumu yako kwa heshima na taadhima mheshimiwa Majaliwa achia ngazi umeshindwa kazi!
@stevenkomanya1442
@stevenkomanya1442 4 ай бұрын
Uongoze wewe apo
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani 4 ай бұрын
@@stevenkomanya1442 .duh mtanzania mwenzangu watanzania Tupo milioni 63 na ziada hivi unafikiria hakuna mtanzania anayeweza kuziba nafasi ya uwaziri Mkuu?kweli. Hata kama una chuki binafsi tumia basi hata busara kuelewa komenti yangu. Mimi Sina haja ya kuwa na Wala siwezi kuja kuwa waziri hata wa maji ukiacha huo uwaziri Mkuu. Hata udiwani siuwezi/siutaki.ila wapo watanzania wenye uwezo zaidi ..na sizungumzii siasa hapa..maana siasa ni upofu Ngoma Kila mtu uvutia kwake🙏🏿
@naimatemba8061
@naimatemba8061 4 ай бұрын
Kabisa
@heritier5119
@heritier5119 4 ай бұрын
Familia yake utailisha wewe
@mariyammariyam1454
@mariyammariyam1454 4 ай бұрын
😅😮😮
@user-lu8ny2gu7t
@user-lu8ny2gu7t 5 ай бұрын
Umeteseka sana umepambana vya kutosha yoyote aliesababisha mpaka uchukuwe maamuzi magumu Mungu atashughulika nae Pumzika kwa Amani
@heritier5119
@heritier5119 5 ай бұрын
Ujinga wake
@AminaKweya
@AminaKweya 5 ай бұрын
@abdirizakibrahim1975
@abdirizakibrahim1975 5 ай бұрын
Kuna mtanzania kaandike ni ujinga wa Marehem umekosea labda nawewe umedhulumu
@anodearsulusi7536
@anodearsulusi7536 5 ай бұрын
​@@heritier5119na hujui unachokisema ndo maana ila siku yakikukuta utajua ni ujinga au vipi msongo wa makwazo ni mbaya sana
@patsonanyitike9584
@patsonanyitike9584 4 ай бұрын
Wengi tutapotea mjambazi tamaaaaaaa unyaga nyi
@ABSTemu
@ABSTemu 4 ай бұрын
We mtangazaji unacheka cheka nini kwa swala serious kama hilo. Haileti picha nzuri. Kuwa serious.
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 5 ай бұрын
Selikari ya CCM ni majizi 99%
@oyay2821
@oyay2821 4 ай бұрын
Chama Cha Maharamia
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 4 ай бұрын
Yaani kama tungeweza tusiwape kura kabisa ,maana wanongea kwa kiburi ,hawatujali ,wanajijali wao tu, wanajilimbikia mali ili hali sisi tuanakufa na umaskini ,maisha yamekuwa magumu ili hali wanaishi kama malaika . So sad
@mpetafrank7195
@mpetafrank7195 4 ай бұрын
Nimefatilia story nzima ya mfanyabiashara huyu Ina umiza kiukwel na inakatisha tamaa nikiendelee kuandika kitu naweza nikatukana nikachukuliwa hatua bure 🤬 maana watu kufatilia haki za mtu wagumu ila kufatilia ujinga wepes na wanajua kutu nyoosha ila mungu yupo Ipo siku
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 5 ай бұрын
Yaani ukiwa masikini mtihani ukisema ujikwamue kimaisha mtihani yaani dah mungu ndie hakimu wa haki atalipa wote mungu alali wala, asinzii
@hashimmziray7416
@hashimmziray7416 5 ай бұрын
Mwenyezi Mungu tujaalie Mwisho mwema
@eliudgathuthi8601
@eliudgathuthi8601 4 ай бұрын
Late rais moi alisema, shinda ya mwafrika ni mwafrika mwenyewe. Yaani mwafrika mwenzako anakuangisha mpaka umauti. Pole kwa marafiki na familia
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 ай бұрын
duuh kumbee hiii statement ni kutoka kwa Rais Moi ivi eh?
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 Ай бұрын
Our legend Daniel toroitich arap moi.🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@isacktesha6659
@isacktesha6659 5 ай бұрын
Tunashukuru sana Mungu kwa kuweka muda wa kuishi miaka isiyozodi 120 kwa kila mwanadamu ,kuna baadhi ya watu wako Duniani kama wataishi milele ,
@sethnyenzitv6617
@sethnyenzitv6617 5 ай бұрын
Inaumiza sana,tulippewa dhamana tutimize wajibu wetu
@user-tn7ic2ky3i
@user-tn7ic2ky3i 5 ай бұрын
Makonda Makonda Makonda nakuita Mara 3 unaona serkali unayo itetea hata imenzarau Makufuli kweli hivi wataenda kwa wananchi utawaambia nini na Juwa Mungu atawalipa nyinyi nyote mulio sababisha umauti wa Ramadhani
@amanimyolo1478
@amanimyolo1478 4 ай бұрын
Tena wataanza kuungua hapahapa duniani
@arafahhh5574
@arafahhh5574 5 ай бұрын
Mungu atakulipia na hao majambazi
@VeronicaMacha-pl3xt
@VeronicaMacha-pl3xt 5 ай бұрын
Poleni sana inauma kweli kweli😩😩
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 4 ай бұрын
Hivi Mama Samia haoni haya,badala ya wafanyabiashara kutiwa moyo na kuwezeshwa wanadidimizwa,inatakiwa wafanyabiashara wanyanyuliwe hata kama ni kwakusamehewa kodi,hili suala linawachafulia CV viongozi wa nchi
@daudiniyonsaba1113
@daudiniyonsaba1113 4 ай бұрын
Japo kuwa magazeti mnatangaza kuwa amejipiga risasi; nahisi, ameuliwa! Kujipiga risasi ni kisingizio tu! Tunaomba uchunguzi wa kina na ufanywe na FBI.
@pascalntandu1217
@pascalntandu1217 5 ай бұрын
Alafu watu waje kuleta mitaji yao nchi hii kufanya biashara;mtasubiri sana nchi ya ajabu sana hii.
@nixonjohnson4908
@nixonjohnson4908 4 ай бұрын
Walimvuta wakijua watammaliza na watamdhulumu haki yake ..
@YusufFamau-w2x
@YusufFamau-w2x Ай бұрын
Nimeumia sana nimeishi nae na nimelea watoto wake wakiwa wanaishi urambo mtaa wa majengo ya tabora Allah akuweke pahal pazur
@sofiaantonioantonio7265
@sofiaantonioantonio7265 5 ай бұрын
Wote walio husika Kudhulumu haki ya huyu Baba Mungu na awahukumu!
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 5 ай бұрын
Achana na maswala ya Mungu hapa duniani ni vita alitakiwa kuwa maliza mtandao wote .
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 5 ай бұрын
Mungu kwanza yeye ndiyo analipa kilamtenda mabaya. Duniani na Allhlah Kamanimtukamuua huyu baba atakiona chamoto sijuiyeye atakufaje mana hatobaki
@user-ut3gf1tg2n
@user-ut3gf1tg2n 4 ай бұрын
Unamtoa Mungu embu acha ujinga wewe​@@kaaakwakutuliaa5179
@fredgonga
@fredgonga 5 ай бұрын
Mimi sasa hivi nafundisha watoto wangu jinsi ya kwenda kuishi inchi za watu... Hii ni dunia yetu sote.. hii inchi ni taabu tupu uwe na hela usiwe na hela.
@noelbryson7840
@noelbryson7840 5 ай бұрын
Upo sahihi kabisa ndugu..
@user-vs2nf8qe1x
@user-vs2nf8qe1x 5 ай бұрын
Inalillah wa inaillah Rajuuun ,Haki tutaipata siku ya Hukumu Duniani tuishi kwa Tahadhari tu pumzika salama Mzee wetu .🎉🎉🎉😢😢😢
@SurprisedAtom-vp5qe
@SurprisedAtom-vp5qe 5 ай бұрын
Hamza hamza hamza nimekuita mara 3 tunaitaji watu kama ww mzee asingejiuwa mwenyewe angeenda huko tra awe kama hmza
@antidiusalfred4686
@antidiusalfred4686 5 ай бұрын
Lingekuwa jambo jema
@Ernestlaiza
@Ernestlaiza 4 ай бұрын
Angekufa hata na watu wa tra kama kumi kwakua ana silaha
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 5 ай бұрын
Baba alikuwa na akili sana huyu Tena sana amepambana sana mpaka akachoka amewapa ushindi TRA wezi wakubwa ili wale vizuri pesa zake Pumzika salama Baba laana uliyowaachia sio ndogo. 😢😢
@amanimyolo1478
@amanimyolo1478 4 ай бұрын
Kweli jasho la mtu haliliki wataungua duniani mpaka kwa mwenyezimungu
@frankraphael7546
@frankraphael7546 5 ай бұрын
Makonda makonda unaona Aya madudu ya chama chako kweli waziri mkuu anajua yote Aya mungu anawaona
@naimatemba8061
@naimatemba8061 4 ай бұрын
Huyu majaliwa kwa nini asijiuzulu kwa hichi kilichotokea
@YusufFamau-w2x
@YusufFamau-w2x Ай бұрын
Duuuuh siamin jmn polen sana wadogo zang Sharifu,karmu,najaty najua maumiv mlionayo kumpoteza baba nawapenda na nawamis sana ni mda sasa tumepotezana
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 5 ай бұрын
Wamemdhulum huyu m2 lakini kila alie husika Allah atamhukum hapa hapa duniani na wa2 watashuhudia
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 5 ай бұрын
sema iyo bunduki hajaitendea haki kabisa ilitakiwa jino kwa jino
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 5 ай бұрын
Allah awazalil8she wote kamakweri wamemxurumu nafsi yake. Inaumiza sana Ila Munguyupo atawalipa kwani akuna atakae baki
@arthurdonnietello9691
@arthurdonnietello9691 5 ай бұрын
Amin
@user-im9zj7wv1m
@user-im9zj7wv1m 5 ай бұрын
Amiiin 🙏
@heritier5119
@heritier5119 5 ай бұрын
Ah wapi
@gorettimtungwe9011
@gorettimtungwe9011 5 ай бұрын
inaumiza huyu Mz. amejipingania haki yake huwezi amini watanzania tunaoneana
@kazkaz1943
@kazkaz1943 5 ай бұрын
Hii nchi ngumu sana hata ufanyeje ni mateso tu
@muturidorcas6798
@muturidorcas6798 29 күн бұрын
Pole sana hata hivyo mshukuru Mungu bado una afya njema
@winfredkaroli5065
@winfredkaroli5065 5 ай бұрын
Duuu!!? Muha mwenzangu pole sana mungu anawaona ,yan hii nchi sijui kama inaviongozi ,yani mda wote huo hawakumsikiliza ?mpaka anaamua maamuzi magumu hivo!!?mm namuombea kwa mungu hiyo damu iwe juu yao waliomfanyia ushenzi huo na mungu akawalani
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 5 ай бұрын
MH. RAIS SAMIA....MH. WAZIRI MKUU....DA U YA MAREHEMU RAMADHANI IKO MIKONONI MWENU....NA WOTE WALIOHUSIKA KWENYE KASHFA YA KUMDHULUMU WA TRA WAWAJIBISHWE! FAMILIA YAKE ILIPWE HAKI YAKE!
@philipomwazyunga4572
@philipomwazyunga4572 5 ай бұрын
Daah inasikitisha sana...am shocked,
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 5 ай бұрын
Yaniiii duuu kunakutu siyo bule lala salama mzee pole kwa familia
@dignakanje4508
@dignakanje4508 5 ай бұрын
Ewe mungu tunahurumie.Kiukweli tunahishi kwaneema zamungu tu.Lakini hii nchi inawatu wenye rohoo zaajabu sana pamoja NAKUWA navyeo VIKUBWA mishahara mikubwa wanauwezo wakukopa wakupata chochote ndani yamadaraka yao,lakini unaweza kuteseka mpka ukakataa TAMAA yakuishi.Upumzike Kwaamani shujaa wetu mfanyabiashara uliekuwa unalipa Kodi mlipa Kodi Mtanzania mwema.
@selemsigala4771
@selemsigala4771 5 ай бұрын
Kwakweli inauma sana Mungu akupokee maana kupitia ayo yote akuna anaejua vita uliokua unapigana Mungu ibariki Tanzania.
@heritier5119
@heritier5119 5 ай бұрын
Mungu na shetani hawapokei mtu aliyejiua
@christianlutego1288
@christianlutego1288 5 ай бұрын
Mungu wetu, atawalipia wanyonge, Mungu tunakuomba, tenda
@henryyuda2989
@henryyuda2989 5 ай бұрын
Mmmmm inaumaaaaa sanaa
@mussamalick1045
@mussamalick1045 4 ай бұрын
Inasikitisha sana .nchi hii inahitaji raisi mwwnye maamuzi magumu kama hayati Magu.tutamkumbuka daima
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 5 ай бұрын
Eeeh mwenyezimungu uwalipe mabaya wale wote waliochangia kumdhulumu huyu jamaa yani damu yake haitaenda bure ni stress na mawazo kuona familia itaadhirika na ilihali alikua na mtaji wake itawagarimu wote walioshiriki na hawana mda mrefu mungu atawaonyesha wakati wa mungu ni sahihi
@smarty1064
@smarty1064 5 ай бұрын
Haitoshi
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 5 ай бұрын
@@smarty1064 Dua tosha hilo yani mwaka huu litajibu kwanza naskia walosababisha kumdhulumu huyo jamaa watu wanasoma albadiri ya dhulma
@AminaKweya
@AminaKweya 5 ай бұрын
😮😮
@NazaeliMollel
@NazaeliMollel 5 ай бұрын
Mungu hatanyamaza kwa hili
@user-jj3nc9rn2q
@user-jj3nc9rn2q 5 ай бұрын
Daah! Inauma sana 😢😢😢
@msafirimfilinge8222
@msafirimfilinge8222 5 ай бұрын
Daa inasikitisha sana!😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@ABSTemu
@ABSTemu 4 ай бұрын
Very Sad! Kwanini tunafanya hivi? Akili timamu kweli hawa watu wetu viongozi wetu?
@nusalim3389
@nusalim3389 5 ай бұрын
Allah akurehemu akusamehe iwe umejiuwa au umeuliwa
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 5 ай бұрын
MUNGU ailaze roho yake mahala pema Amina
@IrenePhilip-ek4lw
@IrenePhilip-ek4lw 5 ай бұрын
Wamemuua hii nchi jaman ishakuwa haina aman hatjazoea hv
@siyabamnubimohamed-yr9jx
@siyabamnubimohamed-yr9jx 4 ай бұрын
🤔wanasema kajiua 😢waongo, wamemuua huyu 😢
@ednalugano2906
@ednalugano2906 4 ай бұрын
Kwa simulizi yake, ikiwa hakujiua wakati ule, taarifa kuwa kajiua linatia shaka.
@user-wj6zj1ly4e
@user-wj6zj1ly4e 5 ай бұрын
Uko kawaida sana kujipga risasi, tena mungu amekuongaza sana amepgana naww toka 2017 hadi 2024 mungu akuweke mahala salama mzee wangu.
@williamgeorge-hd2tn
@williamgeorge-hd2tn 5 ай бұрын
Daaaah inaumiza sanaa
@anosiata8242
@anosiata8242 5 ай бұрын
Pole sana kaka
@babuafya3446
@babuafya3446 5 ай бұрын
pale TRA angeendq kufanya kama hamza
@josephbizzy1813
@josephbizzy1813 4 ай бұрын
Una mawazo kama yangu yaani.
@user-pr6jq1st1q
@user-pr6jq1st1q 5 ай бұрын
Laaa inauma sana
@gwaluganosaiba629
@gwaluganosaiba629 5 ай бұрын
Pole kaka hii selikali hatari
@missarepafra3973
@missarepafra3973 4 ай бұрын
Haki ya kweli iko kwa Mungu hivyo pamoja na kuwa kimantiki una haki muombe Mungu kwani wanaosimamia dhamana wengi wao wanajifanya ni miungu watu, wanasahau kuwa yupo Mungu mkuu anaejua mambo yote yaliyo wazi na yaliyo sirini. Maisha yote tumtumaini Mungu wala tusiwatumaini wanadamu ambao nao wako chini ya hukumu. Kweli na haki huwa havifi vinaishi milele ila magumashi (njia za uongo) vina mwisho na mwisho huo ni mbaya. Mungu tutee tutee tutee.
@missarepafra3973
@missarepafra3973 4 ай бұрын
Mtangazaji Uwe na hekima ya kuhoji kulingana na hali ya maudhui ya unachohoji. Ktk jambo hilo kicheko kitatokea wapi??!!
@oscarwasenga1333
@oscarwasenga1333 5 ай бұрын
Pole ndugu jamani
@norbertkyando
@norbertkyando 4 ай бұрын
😊😊.
@user-se9no4rg3k
@user-se9no4rg3k 5 ай бұрын
Pole mungu akuondoleer adhabu ya kaburii
@heritier5119
@heritier5119 5 ай бұрын
Mungu apokei mtu anaejiua
@shamimukanju8402
@shamimukanju8402 4 ай бұрын
Pole kwa familia inauma sana
@sadasaid7212
@sadasaid7212 5 ай бұрын
Inna lillah wa Inna ilayhi raajiun 😭 m kumbe ulijiua mzee wangu!!! Kwaniniiii!!!!!? Imeniuma Sana kwakweli
@ZachariaNgesse-el1ge
@ZachariaNgesse-el1ge 5 ай бұрын
Inaumiza xn 😭😭😭😭😭kwa mtu huyu ukimfatilia mkasa wake Mungu anawaona😭😭😭 hata waziri mkuu yuko ni mmoja wa wahusika kumzurumu ukisikiliza vizuri hii stor
@johnkapesula122
@johnkapesula122 5 ай бұрын
Laaah Eee Mungu.
@AminaKweya
@AminaKweya 4 ай бұрын
❤🎉
@braggadachu1723
@braggadachu1723 5 ай бұрын
Mungu atakuinua baba
@luthermajoji7300
@luthermajoji7300 5 ай бұрын
Kashajiua tayari, ni marehemu. INAUMA SANA😭
@alexkamba5264
@alexkamba5264 5 ай бұрын
Da Mungu atunusuru.
@edmundmakoye7322
@edmundmakoye7322 5 ай бұрын
Mungu muhukumu wa haki yupo!
@amanimyolo1478
@amanimyolo1478 4 ай бұрын
❤❤❤
@JumaMambo-dp6bj
@JumaMambo-dp6bj 3 ай бұрын
Kweli wa afrika mwafrika mwezao akiaza kupata mafanikio inakuwa shida ila wengine wa ngozi nyeupe ndio halali kwa mafanikio kweli wakoloni wameondoka ila wamebaki wakoloni uchwara
@martinkisha6307
@martinkisha6307 5 ай бұрын
Ndiyo maana hawataki kuleta katiba mpya wanaogopa kushitakiwa
@dismasmtui729
@dismasmtui729 4 ай бұрын
Kumbe jamaa alikuja kujiua?!, very painful!.Hakika damu yake ni juu ya wote walioshindwa kutatua hili jambo lake!.
@apboy8944
@apboy8944 11 күн бұрын
Mbn hao police na TRA hawasumbui biashara za akina Moh, Bakhresa na Gsm?
@miraculolopa
@miraculolopa 4 ай бұрын
Nimegundua tanzania kuna mauaji sana Ila ya chini kwa chini 😮 Hujajiua wamekuua mbwaa hao
@modestamashoke9038
@modestamashoke9038 5 ай бұрын
Mhe: Rais tunaomba haki ya huyu mtu itendeke hata kama amefariki familia yake ilipwe hizo pesa,
@hawakiza6067
@hawakiza6067 5 ай бұрын
Kabisa
@lailafakhihaji
@lailafakhihaji 5 ай бұрын
Ivi viongozi wa nchi yetu hamuoni aibu watu mliowakabidhi kazi hawatendi haki kwa wananchi au hao trą mnagawana nao pesa trą imo mikononi mwa majambazi waziri mkuu mungu anakuona ivi kweli ulishindwa kumsaidia huyu baba mpaka amejiua mnawaogopa wafanyakazi mliowaajiri wenyewe kwa ajili ya rushwa hatuna imani na serikali yenu
@vickylupemba6055
@vickylupemba6055 5 ай бұрын
Jmn imeniuma kupita kiasi, miaka yote Hii hakuna solution. Dada pia mkewe waliadhirika. Hakika ni wangapi wanapitia Haya🙏🏾
@reginas1832
@reginas1832 5 ай бұрын
Viongozi au majambazi na wauwaji
@lailafakhihaji
@lailafakhihaji 5 ай бұрын
@@reginas1832 viongozi ndio majambawazi wakubwa wateuliwa wsuwani yaani ni team
@AthumanDauda
@AthumanDauda Ай бұрын
Ccm kweli mnavaa nguo zenu mnatembelea v8 mnasababisha kifo cha ntunzwe kisa kudai haki yake innalilahi wainnailah rajiun pumzika Kwa aman 🕯️🕯️🕯️😭🕯️ nch hi inagiza totoro
@user-qi2bt7mw4x
@user-qi2bt7mw4x 4 ай бұрын
Mama Samia,mana samia,mama samia, jmn Makonda,Makondoka, Makonda jmn Wazir mkuu Wazir mkuu jmn Wazir mkuu nyie ndio viongozi wateteze jmn mfuatilieni huyu baba inaumiza sana tunapinga umaskini lkn bado kumbe kuna watu wanahitaji nchi yetu watu wake wabaki kua maskini 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@mussamalick1045
@mussamalick1045 4 ай бұрын
Alishakufa huyu.amefariki juzi juzi tu inasadikiwa amejipiga risasi😭😭
@user-fl1xz3ln3c
@user-fl1xz3ln3c 5 ай бұрын
Innalillah wainnalilah rajiun 🙏🙏
@apboy8944
@apboy8944 11 күн бұрын
Hii nchi ngumu we acha tu 😢😢😢😢😢😢
@injilinjeyakutazakanisa
@injilinjeyakutazakanisa 5 ай бұрын
Kuna kazi ukikosa laana, ni neema tu. Lkn ni lazima
@user-du6su6mh1h
@user-du6su6mh1h 5 ай бұрын
Nch yetu ni yatima tutapata Rais 2025 ..na wote wanaojiona ni wanyonyaji watanyea debe juani
@denisnjaila2182
@denisnjaila2182 5 ай бұрын
Duh
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 5 ай бұрын
👊✌️🙏
@sadasaid7212
@sadasaid7212 5 ай бұрын
Mejiua lini???
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 5 ай бұрын
Mwandishi wa habali badilisha hio logo ya mailing mbona imechakaa sana inatia aibu😂😂😂😂
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 5 ай бұрын
Mungu akutie nguvu hii ni dhuruma ya wazi
@user-ir5mc7vk8b
@user-ir5mc7vk8b 5 ай бұрын
Ni Bora kumtumainia Mungu kuliko wanadamu
@laylayl5166
@laylayl5166 5 ай бұрын
Yaani nyie mliomdhulum huyu baba mungu atahukum mmechangia sana hili laleo
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 5 ай бұрын
Allah amsamehe kwa makosa yake.
@justuswaweru1703
@justuswaweru1703 4 ай бұрын
i dont believe this man took his life,this must b the mafais in TRA.second its a shame to the government of the day.
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 4 ай бұрын
Kwanini huwezi sikia mfanyabiashara wa Asia yanawakumba haya , jamaa wanajua maafisa wa ushuru wa TRA wananuka Rushwa kwahiyo hutumia huo mwanya , Ndo utakuta wanao ongoza kuwa mijengo ya Maana Ni wao, Rushwa wanaipata wapi? Kwenye makadirio ya kulipa Kodi, lipa hii au hii , kama huchukui Rushwa vita ya Rushwa huwa Ni nyepesi Saaana tena mno
@richardnganya2311
@richardnganya2311 5 ай бұрын
Watu wengi wanaumizwa na hatuoni kama kuna kuumizwa hadi mtu wa karibu yako yamfike. Tunapoambiwa kuna uonezi huwa hatukubali. Tutakuwa hivi hadi lini ?
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 5 ай бұрын
Waziri mkuu ni mmoja ya walio mhujumu huyu mtu kwa sababu yeye ndiye aliyekuwa kwenye serikali iliyosema huyu mfanyabiashara alipwe.Inaudhi tena inaumiza sana
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 4 ай бұрын
Ukitaka kujua Wanasiasa wana roho kiasi gani na hawana Nia ya dhati ya kumkwamua Mwananchi wa kawaida atoboe, fuatilia sakata la huyu jamaa tokea mwanzo, utaona unafiki ulioko kwenye Maisha ya watu, utamsikia Mwanasiasa tudumishe Kiswahili na shule zetu mitaala iwe ya Kiswahili kuanzia KG hadi class 7 , Sasa Ni Kiongozi gani anaesomesha mtoto shule za mitaala ya Kiswahili, kama kweli wana Nia ya dhati ya kudumisha Kiswahili mbona Karb watoto wao wote wanasoma international au English medium schools, hili Ni dogo tu , ukiona Mwanasiasa analefanya jambo la maendeleo Ni Ku draw attention tu ili aendelee na kuchaguliwa lakini Nia ya dhati au sera za kulimlinda Mzawa ktk uwekezaji hakuna na kama ziko sakata la huyu Mzee lisingefikia hapa
@user-dz4ob1xj8g
@user-dz4ob1xj8g 4 ай бұрын
INNAA LILLAHI WAINNAA ILAHI RAAJIUN HUYU MZEE TAYARI AMESHAFARIKI TAARIFA KUTOKA URAMBO TABORA
@kingsofa6006
@kingsofa6006 3 ай бұрын
😢
@dayana5513story
@dayana5513story 4 ай бұрын
Dunian kuna binadamu wanatisha utafikili wataishi milele
@duncannjau1223
@duncannjau1223 4 ай бұрын
Hata TZ imefika hapa? Miaka ngapi mtu moja na swala la wazi kachukua muda mrefu hivyo? Shame shame to the government of Tanzania...
@NjooAustralia
@NjooAustralia 4 ай бұрын
Kitu Tanzania mnatakiwa mjifunze ambacho wazungu wamekifanya kwa muda mrefu, ni kushirikiana kuwa na kundi la wafanya biashara mnafanya pamoja kitu kimoja (corporate company). One man show mara nyingi utakwama tu hamna kingine unatafuta hapa duniani...utachoka manake unashindana na kundi la wafanya biashara wa kihindi na waarabu ambao ni group. Waafrika hata souz africa bado wanafikiria ku run things alone... hiyo haiwezekani milele ndio maana tunajikuta tuna fikia mwisho huu! Ahsanteni Mungu awape ufunguo wa kuona hilo mapema...
@omarykabonga908
@omarykabonga908 4 ай бұрын
Ukiwa mfanya biashara lazima utafute rafiki mkubwa awe polisi na tra
@user-wk1ix1gm1p
@user-wk1ix1gm1p 4 ай бұрын
Innalilah wainaillah rajiun 😭😭😭
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 5 ай бұрын
KWA HAKIKA HAKUSTAHILI KUJIUA.....ALITAKIWA AMWEKE MWENYEZI MUNGU MTUKUFU MBELE BILA KUJALI HALI YAKE KIUCHUMI.....NA KWA WALIOMDHULUMU WOTE MWENYEZI MUNGU MTUKUFU HATAWAACHA SALAMA....KUANZIA HAPA DUNIANI MPAKA KESHO BAADA YA KIFO!
@muhammednassor690
@muhammednassor690 5 ай бұрын
Haki ipo kwa mungu
@user-oo1vz3zi1t
@user-oo1vz3zi1t 5 ай бұрын
Hvi kweli mliosababisha yoote yaliyomsibu huyu baba mnaami ni kweli mmeumbwa na Mwenyez Mungu
@VeronicaMacha-pl3xt
@VeronicaMacha-pl3xt 5 ай бұрын
Hawana hofu ya Mungu hawa
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 26 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 33 МЛН
Mfahamu Aliyebomolewa Ghorofa na Waziri Silaa 'Ni Tapeli?'
12:17
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 26 МЛН