No video

Vunja bei atoboa siri ya mafanikio yake, "Mpenzi alinikataza"/'"Sijawahi kulala polisi".

  Рет қаралды 90,357

ITV Tanzania

ITV Tanzania

3 жыл бұрын

#Kumekucha #Kishindo, Aprilii 22, 2021.
#ITVTanzania #KumekuchaKishindo #Mubashara
Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our KZfaq Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg

Пікірлер: 90
@funnymen194
@funnymen194 3 жыл бұрын
Very smart guy reminds me of Ruge Mutahaba RIP. Big inspiration to the youth #Tomuchmoney
@yordanyona1234
@yordanyona1234 3 жыл бұрын
Sure
@aloyskamalamo1675
@aloyskamalamo1675 3 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa Sana ubarikiwe sana
@johnrogath1066
@johnrogath1066 3 жыл бұрын
Sichokagi kumsikiliza uyu brother, Mungu akubariki sanaa brother...Very inspiring
@dullahsimbaulanga6472
@dullahsimbaulanga6472 3 жыл бұрын
>>>Me pia
@jasperleopord4838
@jasperleopord4838 3 жыл бұрын
Huyu jamaa kiukwer nimemuona Kama Ruge Mtahaba
@johnrogath1066
@johnrogath1066 3 жыл бұрын
@@jasperleopord4838 kweli kabisa
@alfredzunda4655
@alfredzunda4655 3 жыл бұрын
Very humble speaking
@leonardgervas7515
@leonardgervas7515 3 жыл бұрын
Fred ana mengi sana kichwani ,kuhusu biashara
@johwilly8723
@johwilly8723 3 жыл бұрын
Matangazaji ya ITV yamelala lala tu, hata hayana maswali ni kuitikia tu, sasa mtu amesema alikua mtumishi wa Umma hata kumuuliza alikua anafanya kazi gan hamna, mtu anasema amesoma sana hata kumuuliza elimu yake hamna, nnnhhhiiii!!! aaanhhaa!!!
@jacksonsilvery5963
@jacksonsilvery5963 3 жыл бұрын
amesoma BCom pale UDSM na MBA mzumbe.Huyu jamaa ni smart
@emmamatemu8225
@emmamatemu8225 3 жыл бұрын
Unadharau sana boya wewe
@magecharles7158
@magecharles7158 3 жыл бұрын
Ulidhani ana form4,asingesema kasoma LA saba Na form4 ni elimu ya taifa
@magerito6811
@magerito6811 3 жыл бұрын
Barakoa linamchanganya..anatangaza na Barakoa jmn khaa
@muzikizaidi
@muzikizaidi 3 жыл бұрын
nnnhhhiiii!!! aaanhhaa!!!
@neemasky822
@neemasky822 Жыл бұрын
Nashukuru kaka kwa kutufungua
@genetic_online_tv
@genetic_online_tv 3 жыл бұрын
Barakoa yenyew inasemaj
@christophermsekena616
@christophermsekena616 3 жыл бұрын
Khaaa jamaa anatangaza na barakoa
@rajalfred3859
@rajalfred3859 3 жыл бұрын
Hana tofauti na mtu anakuwa kwenye gari mwenyewe ukiwa umevaa barakoa. Very pathetic
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 2 жыл бұрын
Mmmmh kijana wangu ur a Very smart nafurahia SN hudaharau kabila lako umeongea uhalisia wako mm ninaekujua all ur are talking is real tumekua wote Safi bro nakuombea ufike mbali maana umebeba wakinga wengi SN nyuma wanakutegemea kwa maono yko.. mm mwenyew kwa uwezo wa Allah nitapambana.
@hakusfakir7364
@hakusfakir7364 2 жыл бұрын
Nice........fredy...( Vunja bei )
@haidaryjoe5546
@haidaryjoe5546 10 ай бұрын
that's My broo Vunjabei
@mulangilakabwarebenson5128
@mulangilakabwarebenson5128 3 жыл бұрын
Litangazaji libovu sana
@yumbujackson869
@yumbujackson869 2 жыл бұрын
Good message
@amenyemwansile631
@amenyemwansile631 3 жыл бұрын
Hongera kaka wewe kweli Ni kioo Cha jamii una tuhamasisha Sana vijana broo
@tithotweve-my9zj
@tithotweve-my9zj Жыл бұрын
Correct
@ngonyani1
@ngonyani1 3 жыл бұрын
Barakoa linaboa kaka sauti kama uko kwenye chungu...
@lupexmushi9237
@lupexmushi9237 2 жыл бұрын
Hahahaha
@monicapeter1853
@monicapeter1853 Жыл бұрын
Hongera Fred nakukubali sana
@ericfelician7996
@ericfelician7996 Ай бұрын
😂😂😂
@user-ct1ue6tr2n
@user-ct1ue6tr2n Жыл бұрын
Yupo smart sana lakini nimependa hakuibeza elimu ! Bado elimu Ina mchango mkubwa sna
@MosesSanga-oo9du
@MosesSanga-oo9du 7 ай бұрын
jamaa unajibu maswali vizuri sana
@shabanially8022
@shabanially8022 3 жыл бұрын
Man of fact
@johanesjohn8471
@johanesjohn8471 3 жыл бұрын
Huyu jamaa anafaa apewe hata saa nzima maana anakitu Cha kufunza vijana.
@ignassindabaha1813
@ignassindabaha1813 3 жыл бұрын
Na siyo mchoyo wa material, harafu muwazi tu yuko open kinyamaa
@ajeyplatnumz7436
@ajeyplatnumz7436 3 жыл бұрын
Iko poa sana
@qasimsaid2486
@qasimsaid2486 3 жыл бұрын
Mungu azidi kumuinua maana ana moyo sana ya kusaidia vijana wenzake
@samwelmassi1932
@samwelmassi1932 2 жыл бұрын
Unanihamasishaa sana fread kibiasharaaa
@manduatechnology1055
@manduatechnology1055 3 жыл бұрын
Braza Fred my role model..nakukubal san
@Ibraah06
@Ibraah06 2 жыл бұрын
Go baby
@barakanatus5676
@barakanatus5676 3 жыл бұрын
Sawa sawa
@nasrafadhili8941
@nasrafadhili8941 3 жыл бұрын
Kuna kitu huwa najifunza kupitia ww kila ninapokusikiliza
@ericfelician7996
@ericfelician7996 Ай бұрын
Duuu kuajiriwa inatakiwa kujiangalia
@remichimogu-eb3yq
@remichimogu-eb3yq Жыл бұрын
Gudi bro
@david2tsh834
@david2tsh834 3 жыл бұрын
Mungu nisaidie na mimi nitoboe
@supertallmediatz8436
@supertallmediatz8436 3 жыл бұрын
✊✊
@abubakarkhamishaji2849
@abubakarkhamishaji2849 3 жыл бұрын
yaan nimependa umekuja media yakiustarabu ukavaaaa kiustarabu
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 Жыл бұрын
Ndio wakinga wengi na wachaga
@elibarikisospita8804
@elibarikisospita8804 8 ай бұрын
Uko vzur xana vunja bei
@magecharles7158
@magecharles7158 3 жыл бұрын
Sio uwongo nawajua vzr familia yake niwafanya biashara kaka ake namjua vzr sio ajabu haya maendeleo
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 3 жыл бұрын
Fredi na CF/Makambako wana uhisiano wowote ki Familia?
@partnersah8802
@partnersah8802 3 жыл бұрын
Eti mtu ana dislike hii duuuh! Kweli hakuna kitu utatoa kitakuwa perfect kwa kila mtu
@magecharles7158
@magecharles7158 3 жыл бұрын
Ana wivu
@mcluvanda
@mcluvanda 3 жыл бұрын
Dunia ina mambo ya Ajabu Sana😅
@emmanuelzao
@emmanuelzao 3 жыл бұрын
😎
@rodgersndossi5024
@rodgersndossi5024 3 жыл бұрын
Kabisa binadamu wa ajabu sana
@nilansaid2927
@nilansaid2927 3 жыл бұрын
Sasa wewe na hilo libarakoa lako what for? Huyo director wako nae Taahira kama wewe
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ni kichwa
@smartboyeze2190
@smartboyeze2190 3 жыл бұрын
Mask ya nn bro😒 Mnatisha watoto bnaa distance ur self wash ur hands mask doesn't protect that much only that t prohibit u from touching ur 👃
@benardethamhela4898
@benardethamhela4898 2 жыл бұрын
Uko juu sana.una akili nyingi
@yordanyona1234
@yordanyona1234 3 жыл бұрын
Mika 2 mbele nitakuja nikiwa karibia wewe Umeongea point nzito..wakinga nawakubali Sana ..mnajituma ,,najifunza kutoka kwako kwa kusikia ..hii comment note
@allenmethod6788
@allenmethod6788 2 жыл бұрын
Kalibu kwetu ukingani tukupe elimu ya biashara
@evcloudjuma9790
@evcloudjuma9790 3 жыл бұрын
Huyu mbwa aliye vaa barakoa mpaka kafanya kipind kiwe kinaboa!
@georgeakasha764
@georgeakasha764 3 жыл бұрын
Baba ako nae sio mbwa kwani ?
@rosenaadolfu99
@rosenaadolfu99 2 жыл бұрын
Unaboa sana sasa kwann umwite mwenzako mbwa kwa kua amevaa barakoa
@Ibraah06
@Ibraah06 2 жыл бұрын
What
@sirielsamweli5688
@sirielsamweli5688 3 жыл бұрын
Huwa sipitwi na interview zako hata wiki iishe ntafungua tu maana huwa napata vya kujifunza,,,,,uje na moshi ,,,, laki tano na sisi wa moshi
@barakaenockdaniel260
@barakaenockdaniel260 3 жыл бұрын
Wekeni access ya kudownload please
@maxpharm2714
@maxpharm2714 2 жыл бұрын
Smart Generation tuko nyuma yako.
@salbokosaid8992
@salbokosaid8992 Жыл бұрын
Upo vizuri maliza na biashara ya chakula hasa mafuta ya alzet hio no moja kwa wewe unaweza kwani Ina biasha Mara 2 shudu na mafuta Nina PhD ya mtaa
@hassanmsipi4094
@hassanmsipi4094 3 жыл бұрын
5:48 Brother kuna wasambaa wakina Makurunge wamejazana hapo kariakoo
@sosbrayantbenjamin9701
@sosbrayantbenjamin9701 3 жыл бұрын
Wakinga weng sana kkoo hao wasambaa hata 200 hawafik pale
@amenyemwansile631
@amenyemwansile631 3 жыл бұрын
Na wanyakyusa kibao wapo Kama wakina rungwe palace hotel wengi tuu wanna maduka pale kariakoo
@sosbrayantbenjamin9701
@sosbrayantbenjamin9701 3 жыл бұрын
@@amenyemwansile631 idadi yao bado hawafikii wakinga kwa wing
@innocentherman5101
@innocentherman5101 3 жыл бұрын
mim sio mkinga ila wakinga bro nawasikia sanaaaaa, ni wengi kariakoo pale
@amenyemwansile631
@amenyemwansile631 3 жыл бұрын
@@innocentherman5101 unaamini Cha kuambiawa Mimi nilidhani umewaona ndugu
@alphanyasin3915
@alphanyasin3915 2 жыл бұрын
Kuna vitu vingi nimejifnz
@selestinmajura8782
@selestinmajura8782 2 жыл бұрын
Vunjabei mimi nakubari sana wewe nimuekezaji mzuri nakuombauwekeze na kweujenzi wa majumba nibiashara nzuri
@abufirdaus4254
@abufirdaus4254 Жыл бұрын
Kuwekeza kwenye nyumba ni kulaza Hela ya mzunguko...hiyo ni akili ya kizamani
@nickylyanga2139
@nickylyanga2139 11 ай бұрын
Napingana na wewe ...biashara ya majengo kama una mtaji mkubwa ndo biashara bora kbs...ishu ni mtaji wako tu
@mangenyanyondo8691
@mangenyanyondo8691 3 жыл бұрын
Mapembeloo kinga jangu
@luganomwambete7090
@luganomwambete7090 3 жыл бұрын
Kweliii Kaka vijana unatufundsha njia za kutokea
@neltontias3827
@neltontias3827 3 жыл бұрын
Xx hilo li barakoa tutajuaje ka ww n kijana mwenzetu,...litoe bhna,
@babgmachenje7115
@babgmachenje7115 3 жыл бұрын
Uyu jamaa nae anasifa sn kila cku ctori ioio moja mamaee
@eliahjohnsolomoneliah9175
@eliahjohnsolomoneliah9175 3 жыл бұрын
Utabaki hivyohivyo
@immajuzo2440
@immajuzo2440 3 жыл бұрын
Unastahili kua ulipo
@edwinnyabikwi560
@edwinnyabikwi560 3 жыл бұрын
M
@florasanga9848
@florasanga9848 2 жыл бұрын
Hongera sana
@BongoCryptos
@BongoCryptos 3 жыл бұрын
Kula dislike kwa kuvaa barakoa.
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 79 МЛН
🔴TAMASHA LA MICHEZO...AGOSTI 18, 2024
ITV Tanzania
Рет қаралды 7
Salama Na Jokate Ep 3 | KAMISHNA Part 1
26:24
YahStoneTown
Рет қаралды 319 М.