No video

Part4_C0R0NA ILILETWA MIAKA 200 ILIYOPITA,YATAPITA MAWIMBI 12 |ALIYEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI

  Рет қаралды 49,594

PROMOVER TV

PROMOVER TV

2 жыл бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/DjZYNtGlQSE...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Jzfy3pn4CyB...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 123
@millicentnaliaka
@millicentnaliaka 2 жыл бұрын
Waah kweli Biblia ilisema nyakati za mwisho mambo yatawekwa waziwazi tunashukuru Kwa kutuwekea wazi
@tatumluv6054
@tatumluv6054 2 жыл бұрын
Weee jamani adui halali Sisi nasi tukeshe na kuomba bila kukoma
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 2 жыл бұрын
Makubwa haya Bwana tuonekanie tuyashinde haya katika Jina lako Yesu kristo Amina..Asanti ndugu JACKTAN pamoja na Mchungaji kwa kutufunulia tusioyajua
@martinmaryogo3676
@martinmaryogo3676 2 жыл бұрын
hakika kumbe tunatakiwa kuomba sana jmn mungu tusimamie
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
Malango ya kuzimu nayafunga hayata simama juu ya maisha na familia yangu na ukoo na taifa langu - enyi wasimamizi wa anga bahari na ardhi na nchi kavu nawafuata popote katika jina la YESU ,achia nafasi achia moyo achia maçho ,achia utashi
@dokasa9176
@dokasa9176 2 жыл бұрын
Waah,jameni ni kujikaza Kwa maombi na kukesha mpaka Yesu arudi
@kimsamespa8490
@kimsamespa8490 2 жыл бұрын
Andika kitabu mtumishi wa Mungu napenda unavyo eleza na unaakili Sana ndio maana waliiba
@Priscakihiyo4352
@Priscakihiyo4352 2 жыл бұрын
Yesu usituache watoto wako utupiganie bila wewe hatuwezi 🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭
@edsoncharles6950
@edsoncharles6950 2 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu Jacktan Msafiri, hakika kazi yako ni njema, unaokoa roho za watu wengi sana kupitia kazi yako. Ulindwe kwa Damu ya Yesu. Ninasubiria part 5 ya huu Ushuhuda.
@mariengeranyaegbuka6506
@mariengeranyaegbuka6506 Жыл бұрын
Mungu asifiwe na ushuuda na wokovu wako. Mimi ni mkongomani lakini naishi America Nafata video zako na mina barikiwa sana na ufunuo Uzo. Asante sana
@gestinabunganiekuya6300
@gestinabunganiekuya6300 2 жыл бұрын
Yesu nisaidie nipande viwango vya imani
@anitasamson7850
@anitasamson7850 2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana kwa ushuhuda huu, Tunajifunza mengi kwakweli dunia hii bila Yesu Kristo hatuwezi.
@sallymumia8425
@sallymumia8425 2 жыл бұрын
What a heavy revelation,thank you Jesus Christ.
@fedhajoseph7687
@fedhajoseph7687 2 жыл бұрын
Amina kubwa utukufu kwa Yesu kristo wa nadharethe aliye hai Mungu mweye nguvu zote Najifunza mengi kwa Yesu kuna raha zote.
@elizabethconstantino6056
@elizabethconstantino6056 2 жыл бұрын
Barikiwa sana kaka Jactan, tunazidi kuimarika kiroho kupitia shuhuda hizi, na tumejua jinsi ambavyo kuna vita kali kati ya wana wa Mungu na ibilisi, Mungu atusaidie katika safari hii ngumu ya kwenda mbinguni.
@carolinederi5690
@carolinederi5690 2 жыл бұрын
Mungu atusaidie kwa jina Yesu
@ingabireyimanabenitha.1182
@ingabireyimanabenitha.1182 2 жыл бұрын
Kaka Jack Mungu akubaliki sana tunaendelea kufunguka macho.nakuona umuhimu wa Ulinzi wa Mungu Juu yamaisha ya wanadamu.naupendo wake kwetu ulivyomkuu.Nimeamini Binadamu tunaishi nikwaneematu.Yaani ikiwa Mungu ange stopisha Ulinzi wake kwetu mfano one minute Dunia kuhalibiwa Na shetani nirahisi sana Rishukuliwe Jina la BWANA Mungu wa Majeshi.Muumbaji wa Mbingu na nchi YeYe Anae tupigania Nakutufunika kwa Damu Ya YESU.Nalihimidiwe Jinala Yesu Kristo Ambaro kwalo tumepewa Neema ya Wokovu.Amen🙏
@MaggieG276
@MaggieG276 2 жыл бұрын
Amina
@martinmaryogo3676
@martinmaryogo3676 2 жыл бұрын
kbs jmn
@paulpaul4551
@paulpaul4551 2 жыл бұрын
Dah! Yaani najifunza vitu hapa , lakini pia naskia hasira na kuichukia dhambi na ROHO MTAKATIFU ATUSAIDIE amina
@josephkatto7725
@josephkatto7725 2 жыл бұрын
..
@miria659
@miria659 2 жыл бұрын
Wah this is unbelievable the devil is a schemer thanks a lot jactan God give you more grace as you serve him
@daisymuthoni675
@daisymuthoni675 2 жыл бұрын
Following n learning more be blessed Jactan
@yvettekyalika907
@yvettekyalika907 2 жыл бұрын
...Na kweli Mungu anafitshuwa aduwi zetu... BWANA YESU ASIFIWE...Aksanti Sana mutumishi Jacktan...❤️
@georgemungai3813
@georgemungai3813 10 ай бұрын
Habari hii niyakweri kulingana na Mambo mengi Mungu alinifunulia miaka mingi ilipita..Yesu Christo pekee nimwingi Walehema na Neema.. Damu ya Yesu yakomboa!! Amen!
@raphaelmwambenja6500
@raphaelmwambenja6500 2 жыл бұрын
This guy is more than intelligent
@debbohkawaka9222
@debbohkawaka9222 2 жыл бұрын
Yuko vizuri kuelezea,, maelezo yake ni sawa na shehe omari mnyeshani 🤔🤔
@stellahkathure-px9cf
@stellahkathure-px9cf Жыл бұрын
Kusema ukweli mm nikama nilifanyiwa hivyo juu maisha yangu nikuangaika plz niweke kwamaombi ningetamani sana roho wa mungu aniongoshe juu ata nikijaribu kazi haidi vinzuri
@Nnnnnnnnnnnnnnnnnnnmmmmmmm
@Nnnnnnnnnnnnnnnnnnnmmmmmmm 2 жыл бұрын
Asante kwa kutufunulia siri nzito Ubarikiwe na Mungu
@nelsonsalumuclovis753
@nelsonsalumuclovis753 2 жыл бұрын
Amen,barikiwa sana watumish wa YESU
@helmashimba7761
@helmashimba7761 2 жыл бұрын
Nice message may the Lord grand you all Grace to continue with his work . Appreciation 👏👏🌺
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
Kumbe ndio maana gwajima alikuwa anapinga koronna hakika gwajima ni jitu la mbinguni - korona tunakusaga vipande vipande zamia kuzimu kwa jina la YESU - hakuna chanjo hapa Bali tunapiga majeshi majeshi.... - kila walio chukua nyota yangu utashi ,akili ,nafsi,namsaga vipande vipande achia kwa jina la YESU - wachawi ,waganga,marafiki ,waliochukua kitu change kwa namna yoyote achia kwa jina la YESU - nawafuata mabondeni nawafuata kuzimu nawafuata baharini nawafuata njia panda nawafuata makaburini achia mikono achia macho achia akili yangu achia utashi na upenyo - vifuniko vya tabia,akili iliyologwa ,nyota mikono iliyochukuliwa nawasaga kwa jina la YESU kristo
@eunicemsigo9677
@eunicemsigo9677 2 жыл бұрын
Gwajima Baba Lao ATA ukifa yuwakufufua Napenda maombi yake 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Napiga kila corner achia Kwa kina la yesu na damu ya yesu
@yvettekyalika907
@yvettekyalika907 2 жыл бұрын
....WAKE UP CHURCH...
@wilsonkombeyeri4623
@wilsonkombeyeri4623 Жыл бұрын
Karibu Kenya ndugu Jactan utushuhudie na sisi
@florafaustine4637
@florafaustine4637 2 жыл бұрын
Tunamhitaji utuandalie mkutano wa huyo mtumishi anayesimulia mambo makuu.
@peninahkariuki1136
@peninahkariuki1136 2 жыл бұрын
Damu ya Yesu itufunike Shetani asituone .Barikiwa ndugu jacktan still following from 🇰🇪🙏
@frankinspired6486
@frankinspired6486 2 жыл бұрын
Jacktan yesu christo akubariki, Leta part 5 na kama huyu mchungaji akona hadi part 20 leta zote usikatize, ushuhuda wake unajenga imani ya wokovu sana...
@elizabethmuthike9623
@elizabethmuthike9623 2 жыл бұрын
Nasubiri muendelezo mtumishi wa mungu jactan na ubarikiwe sana waaaaaa siri nzito sana kwakweli kuijua nimuimu sana wooooi mungu tusaindie
@MaggieG276
@MaggieG276 2 жыл бұрын
For sure God is only our refuge in the dark world.
@mindenlightenment
@mindenlightenment 2 жыл бұрын
Brother jacktan may the lord grant you grace to reach far 🤍 in your ministry
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@deborahcharles6507
@deborahcharles6507 2 жыл бұрын
Mungu ibariki huduma hii inatuinua Wengi kiroho
@francisalcardo544
@francisalcardo544 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Jactan na team nzima ya promover tv kwakweli tunabarikiwa sana sana Nina swali kwa anaetoa ushuhuda vip mtumishi anasemaje kuhusu chanjo ya corona ?
@zenataashura792
@zenataashura792 2 жыл бұрын
Sina lakusema tofauti na Bwana wetu Yesu kristo asifiwe
@apostlerebeccamunguaniinul7073
@apostlerebeccamunguaniinul7073 Жыл бұрын
Asante sana baba kwaku tu eleza siri kubwa ya shetani
@deborahcharles6507
@deborahcharles6507 2 жыл бұрын
Nihifadhi BWANA YESU KWA NEEMA YAKO
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
Tunapita kati kati yao kwa jina la YESU hao wachawi waganga na kuzimu,piga wasimamizi
@janethsilomba6298
@janethsilomba6298 2 жыл бұрын
Mungu tusaidie peke yetu hatuwezi.
@ngendakumanalewis1472
@ngendakumanalewis1472 2 жыл бұрын
Sheikh Omar Mnyeshani nayeye Pia alitaja majina hayohayo wakati anazungumzia kuhusu majemedari6 wa kuzimu hii inathibitisha kama ni kweli kweli kbsa (Tusiyidharau dhambi atakama ndogo ili tujitakase zaidi)
@elizabethlusato7363
@elizabethlusato7363 2 жыл бұрын
Ujumbe wako umezidi kunifumbua macho asante mtumishi kwa elimu uzidi kubarikiwa
@wemamanikana9791
@wemamanikana9791 2 жыл бұрын
Bwana Yesu Kristo nakutegemea wewe, naomba usiniache 🙏
@isaacsenaji6065
@isaacsenaji6065 2 жыл бұрын
mambo makubwa! nashukuru Yesu
@doricemrema2177
@doricemrema2177 2 жыл бұрын
Barikiwa kaka dastani🙏
@aimeranceseko1042
@aimeranceseko1042 2 жыл бұрын
Mtumishi waMungu ubarikiwe sana kwakazii tunazidi kufunguliwa kwa ushuuda uu amen
@florafaustine4637
@florafaustine4637 2 жыл бұрын
Ameeen nimebarikiwa sana
@shufaayakuti754
@shufaayakuti754 Жыл бұрын
Mungu azidi kukulinda
@Priscakihiyo4352
@Priscakihiyo4352 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sanaaaaa mtumishi Jactani Msafiri
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@mosesmwapinga1538
@mosesmwapinga1538 2 жыл бұрын
Naelewa kwanini kuna Nabii wa uongo alitaka waumini wake wapeleke kucha na nywele za utosi,duh kweli tunaangamia kwa kukosa maarifa.
@capteinchuimchafu7894
@capteinchuimchafu7894 2 жыл бұрын
Waislam Kaz wanayo najivunia kuwa mkristo
@daisymuthoni675
@daisymuthoni675 2 жыл бұрын
I remember this sheikhs testimony asante Yesu...
@starluzenja9861
@starluzenja9861 2 жыл бұрын
Title ni gani?kwa youtube
@peninahmwaniah9755
@peninahmwaniah9755 2 жыл бұрын
God bless you mtumishi wa Mungu Jacktan Msafiri, tafadhali nina swali, mtu wa umri wa miaka sabini aweza chukuliwa kama msukule?
@fedhajoseph7687
@fedhajoseph7687 2 жыл бұрын
Atamilango ya kuzimu ahitalishinda kanisa shetani utashindwa tuu .
@MrXavely
@MrXavely 2 жыл бұрын
Duh..huu ushuhuda huu...mmh!
@lukasemmanuel4614
@lukasemmanuel4614 2 жыл бұрын
Safi sana hii
@SPORTS-HUB.2
@SPORTS-HUB.2 Жыл бұрын
Corona has 12 categories..nimekubaliana nawe Sababu tumefika wave namba 7
@stellahkathure-px9cf
@stellahkathure-px9cf Жыл бұрын
Kama mm mtumishi wa mungu
@dawhiteschola8847
@dawhiteschola8847 2 жыл бұрын
MUNGU nisaidie ni yashinde ya Dunia
@simonnsengiyumva1000
@simonnsengiyumva1000 2 жыл бұрын
Yesu unipe Mwisho mzuri 🙏🙏🙏🙏
@naomimunanga6363
@naomimunanga6363 2 жыл бұрын
Namshukuru mungu tangu nilianza kujitambua nilikuwa sipendi kitu kinachoitwa nabii ju nimewai amini tu hakuna nabii wa ukweli na hadi sai sitawai amini kuna nabii, nabii wangu yupo moyoni mwangu asande sana ndugu Jacktan na mgeni wetu mbarikiwe sana, am frome Kenya thanks.
@magwaza8904
@magwaza8904 2 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa Neema ya kuokoka
@macamezungu7031
@macamezungu7031 2 жыл бұрын
Amen 🙏
@irenewilfred7767
@irenewilfred7767 2 жыл бұрын
Mungu mwema
@abdimohamed3953
@abdimohamed3953 2 жыл бұрын
Omar mnyeshani aliwataja hawa majini pia
@fabianmkimbu880
@fabianmkimbu880 2 жыл бұрын
Ndiyo abdi Sasa mpokee Yesu nduguyangu km umeamini hizi shuhuda
@annamulenda6652
@annamulenda6652 2 жыл бұрын
Asante Mtumishi wa Mungu.. ubarikiwe Sana nahuduma yako... Number please...
@preciouslissahparis1352
@preciouslissahparis1352 2 жыл бұрын
Data,hii dunia inatisha,ushindi ni kuwa NA YESU
@henryosoro7696
@henryosoro7696 2 жыл бұрын
Nimejifunza mambo mengi sana
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494 2 жыл бұрын
Ameeeeeeen
@daisymuthoni675
@daisymuthoni675 2 жыл бұрын
Mungu nisaidie pamoja na kanisa lako
@myself4128
@myself4128 2 жыл бұрын
Haya mambo yooooote kama unafuatilia Davistar mata channel kuna mtu anaitwa Kanyerere na Mwingine Sheikh Omar mnyeshani wameyaongelea yaani vile vile!!! Jamani Tumche Mungu wateule tuache Mizaha
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 2 жыл бұрын
eeee Yesu utusaidie watu wako jamani
@johnbosconiyibigira7811
@johnbosconiyibigira7811 2 жыл бұрын
Ukiunganisha ushuhuda ukakuja kuwa mtu mkubwa kiimani maama sili za kuzimu ziko wazi sasa
@leahbhoke8718
@leahbhoke8718 2 жыл бұрын
Yesu tusaidie
@irineochieng2455
@irineochieng2455 2 жыл бұрын
Mtumishi Jacktan, hebu muulize kuhusu kukamatwa mamlaka ya imani. Ina maana hakuna vile mtu anaeza kukombolewa kabisa?
@preciouslissahparis1352
@preciouslissahparis1352 2 жыл бұрын
Mawimbi ya corona 12,kwa waziri was afya atatangaza mpaka achoke,YESU NISAIDIE
@violethbagila905
@violethbagila905 2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi Jacktani mtumishi wa Mungu nimefunguliwa
@irineochieng2455
@irineochieng2455 2 жыл бұрын
Mtumishi Jacktan, muulize kuhusu kukamatwa kwa mamlaka ya imani. Ina maana hakuna vile mtu anaeza kukombolewa tena?
@mathildekamwanya8298
@mathildekamwanya8298 Жыл бұрын
Veillez nous aider nous de la République démocratique du Congo d'interpréter en français merci beaucoup
@venancezumba202
@venancezumba202 2 жыл бұрын
Namuelewa Sana mtumishi huyu
@daisymuthoni675
@daisymuthoni675 2 жыл бұрын
Wah hii inalingana na ushuhuda wa Kanyerere na Sheikh Mnyeshani
@tracyirene8917
@tracyirene8917 2 жыл бұрын
Kweli kabisa I Agree 💯 percent 👍
@nestorygilbert6170
@nestorygilbert6170 2 жыл бұрын
Ohh nimepata jibu kumbe ndiyo maana waliofunuliwa kuzimu na MBINGUNI wengi waliofunuliwa 2012, mf magret, nyisak nk Mbarikiwe sana🙏
@gestinabunganiekuya6300
@gestinabunganiekuya6300 2 жыл бұрын
Jamani mbona hutuwekei part 5
@mwigarleysaid5406
@mwigarleysaid5406 2 жыл бұрын
Sna hata cha kucoment Mhh!!🙏😭😭😭
@mariengeranyaegbuka6506
@mariengeranyaegbuka6506 Жыл бұрын
Lakini nilitaka uliza kama inawezekana ku translate ushuuda kwa luga y’a kingereza, Kiswahili iko magumu sana kwa sisi mengine na vile nilitaka ku share na ma rafiki wamerikani
@officialmubytz1076
@officialmubytz1076 2 жыл бұрын
Mi ni mkristu jina nasali Mara chache mnoo lakini Kuna wakati nikiwa usingizi I ninahisi Kuna shida au wanga wananitembela Huwa namtaja yesu kwa mazingira hsyo na kuwashinda Hii Ina maana gani?
@dawhiteschola8847
@dawhiteschola8847 2 жыл бұрын
Nashindwa hata kukoment 😭😭
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
Wala usiogope kukoment tunaye YESU hutenda miujiza
@pallangyomashamy7607
@pallangyomashamy7607 2 жыл бұрын
Tuna maswali sana huna group la whatsp ili tupate kujadili humo
@jemimmahjembe8770
@jemimmahjembe8770 Жыл бұрын
Mtumishi mbona umevaa hiyo bangili ya shanga na tunaambiwa ni za devoli?
@happykajeli5453
@happykajeli5453 2 жыл бұрын
Yesu utembee nami na family yangu shetani anatuwinda km ndege
@mwigarleysaid5406
@mwigarleysaid5406 2 жыл бұрын
Naomba namba za Mchungaji Kama itawezekana nifike alipo Niko Kahama Hapa kwasasa tafadhali
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Endelea kufuatilia Ushuhuda ukifika tamati utapata namba zake
@issackpastor1915
@issackpastor1915 2 жыл бұрын
YESU NIMKUU ATATUSAIDIA
@aminaally4163
@aminaally4163 2 жыл бұрын
USHUHUDA HUU UNATUFUNGUA SANA
@fabianmkimbu880
@fabianmkimbu880 2 жыл бұрын
Amina Ally Sasa mpokee Yesu km umeamini hizi shuhuda
@catherinemuoka1322
@catherinemuoka1322 11 ай бұрын
Jameni tusilale
@lovenesswalter6650
@lovenesswalter6650 2 жыл бұрын
Hapa ni kuokoka kisawa sawa
@apostlerebeccamunguaniinul7073
@apostlerebeccamunguaniinul7073 Жыл бұрын
Halafu yule aliye chanjwa chanjo bila ku juwa ata fanya nini?
@zuhuramuhanga5400
@zuhuramuhanga5400 2 жыл бұрын
Rais wetu magufuli je walimchukua wtu wa kuzimu?
@nyarkristoforjesuskoga3761
@nyarkristoforjesuskoga3761 2 жыл бұрын
JESUS OF NAZARETH
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 34 МЛН
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 12 МЛН
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 44 МЛН
PART 8 MAONO YA KUNYAKULIWA KWA KANISA DUNIANI USHUHUDA WA KENZO
25:16
SHUHUDA ZA KWELI
Рет қаралды 6 М.
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 34 МЛН