Part15_JINSI YA KUOMBA ILI KUKOMBOA NYOTA ILIYOKAMATILIWA|ALIYEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI

  Рет қаралды 93,672

PROMOVER TV

PROMOVER TV

2 жыл бұрын

KUJIUNGA WHAT'S APP GROUP LA MARAFIKI WA MCH.KATEJELA NO.2 BONYEZA LINK👇
chat.whatsapp.com/G6ymOcE6bc7...
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/DjZYNtGlQSE...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Jzfy3pn4CyB...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 382
@skeetergodwins2576
@skeetergodwins2576 2 жыл бұрын
Mchungaji wangu nakushukuru mno kwa jinsi unavyoendelea kurufungua macho. Asante Yesu kwa kunipa nafasi hii ya kujua siri ambazo shetani alitufumba macho kwa muda mrefu
@yvettekyalika907
@yvettekyalika907 2 жыл бұрын
❤️i want to Say something to kanisa la TANZANIA , mu nabahatika kupata vidjana awa in this generation wanadji sacrifiye , wana tupatiya mafundisho mengi ! Musiwe wazaïfu please..i 'm from Congo RDC and i dream one day all this testimonies be translate in FRENCH , ni nawapenda sana ❤️myself my swahili is not perfect but more i listen this young missionaries of TANZANIA i learn more and more !❤️God blessed You 😂jacktan Musafiri 💃unakata danse 🤣minatsheka ,minafurahi💃🔥..... ADUWI MUDJIPANGEEEE ! DJESHI YA YESU INA AMUKA DUNIANI🔥🔥
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@magrethmollel1078
@magrethmollel1078 2 жыл бұрын
@@PromovertvTz shalom mtumishi Jactan naomba no ya simu ya mtumishi
@halidomary5708
@halidomary5708 2 жыл бұрын
Naomba link ya group
@gadyjohn3815
@gadyjohn3815 Жыл бұрын
We also love you, I love Congolese and your music and everything, be blessed man of God
@clementinejazymine3899
@clementinejazymine3899 Жыл бұрын
De rein ,ndeko ya mobali oyo azali mulakisi na mwana wa nzambe ..ton nom est insi marveux Jesuis....salisa na Ngai ,,olimwa ein
@anneokaka8213
@anneokaka8213 Жыл бұрын
Mimi ni mkenya nashukuru sana kwakuyafumbua macho yangu mungu akutiye nguvu.
@panadomadola3064
@panadomadola3064 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa somo zuri la ukombozi wa nyota tena aendelee kukupa nguvu siku zote za maisha yako
@wemamanikana9791
@wemamanikana9791 Жыл бұрын
Kwanzia sasa nazidi kukazana kumuishia Mungu. Sirudi nyuma tenaaaa, asante Bwana Yesu Kristo kwa kutuletea Chanel hii na mtumwa wako Amieli Katekela. Tumeongezwa kasi za ajabu ya kumuishia Mungu 🙏🙏
@frankinspired6486
@frankinspired6486 2 жыл бұрын
Shukran kwa Mungu kwa Jacktan na Amieli. Mafunzo ya Amieli imenifanya kupenda kuomba na kusoma neno sana, imani yangu ya wokovu imeimarika saaaana!!
@user-ut1ls8fi8f
@user-ut1ls8fi8f 2 ай бұрын
Amen mtumishi wa Mungu unatufunguwa fahamu zetu sana mambo tuliyokuwa hatuyajui tumeyajuwa kupitia wewe MUNGu akubariki sana🙏
@monicamwenda2294
@monicamwenda2294 Жыл бұрын
Ansante Yesu kwa ajili ya mtumishi wako endelea kumtumiaa zaidi 🇮🇱
@georgemungai3813
@georgemungai3813 9 ай бұрын
Ufunuo kutoka kwa Roho Mtakatifu.. Mungu nimwema akulinde Sana Rev. Amieli. Amen.
@dokasa9176
@dokasa9176 2 жыл бұрын
Mungu ni mwaminifu sana,Dorcah Bonareri,nashukuru Mungu Baba yetu aliye kupeleka kuzimu kusomea ile elimu ya kishetani lakini ilhali ni manufaa kwetu sisi km wakristo,tumejifunza mengi tena makubwa sana,kwa wa wale ambao mliroga wakarogeka ni wazi kwamba Mungu anatufundisha bila wokovu kamilivu shetani atatukamata hivo maana yake imani iwe timilifu katika Yesu kristo,na wale ambao hawakurogeka ni fundisho kubwa sana,kutuonyesha kwamba heri tuwe na mzimamo kamilifu mbele za Bwana
@sarahmichael7538
@sarahmichael7538 2 жыл бұрын
Haya ni maarifa makubwa yenye kuleta Ufahamu. Hakika fahamu zetu zinatiwa nuru kwa mafundisho haya, tunabarikiwa sana washirika wote wa Promover tv
@irenek7280
@irenek7280 2 жыл бұрын
Glory to JESUS... blessings watumishi hakika this is helpful and eye opening
@moseslokorio9834
@moseslokorio9834 2 жыл бұрын
Ushuhuda huu umenijenga kiimani .Mungu awabariki watumishi
@reenyaysher7639
@reenyaysher7639 Жыл бұрын
Asante bwana Yesu, nakupenda sana
@lucylyale7169
@lucylyale7169 Жыл бұрын
Ahsante MUNGU kwa nafas hii adimu kwaajl ya mtumishi wako Amiel kunifungua macho ktk hili barikiwa sn mtumishi wa Mungu🙏
@dianawebala9381
@dianawebala9381 2 жыл бұрын
Hallelujah! Mungu ni mwema! Asante sana mtumishi wa Bwana. Nimeelimika sana
@jackilinaavitus4677
@jackilinaavitus4677 3 ай бұрын
mtumishi ubariwe sana kwa kunielekeza.kuhsu nyota nimekuelewa sana.mtumishi mi nipo mbeya.
@graceomondi9720
@graceomondi9720 2 жыл бұрын
Very inspirational and helpful,thank you man of God.
@Jweru80
@Jweru80 2 жыл бұрын
Mafundisho mazuri sana.. God bless you man of God for your testimony and teaching. I have learned a lot
@brendajadevera9597
@brendajadevera9597 2 жыл бұрын
God bless u pastor Amiel I’ve learned a lot through your testimonies, for sure life is full of mistries
@monicangongi7891
@monicangongi7891 2 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana kwetu..ametupenda upeo hata akamwinua mtumishi wake atufungue macho na fikra zilizofungwa..ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana
@ElizabethMhwaga
@ElizabethMhwaga 23 күн бұрын
Mtumishi wa mungu hongera Sanaa wafashe inafasi ya Moses kolora mungu andelee kuachilia hofu yake ndani yako na Kwa mkeo amina
@christabeladeya8805
@christabeladeya8805 2 жыл бұрын
I'm learning alot from this teachings...God bless you so much as you spread the word of God and show us ways of deliverance
@peninahkariuki1136
@peninahkariuki1136 2 жыл бұрын
Ameen mafunzo mazuri. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🇰🇪🙏
@helenbahati8038
@helenbahati8038 2 жыл бұрын
Amen Amen mtumishi barikiwa sana kwa maelezo ya nyote hakika imenikaza kiwango kikubwa sana
@rakaieva5472
@rakaieva5472 2 жыл бұрын
wow wow wow God bless you so much Pastor Amiel for this great teachings thank you 🙏🙏🙏🙏🙏
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 жыл бұрын
Omba nami mutumishi wa mungu mm natoka kenye, but kwa sahii nko saudia roho ya kulataliwa imetawala nikipanga kitu hiipangiki
@methodsilver8445
@methodsilver8445 Жыл бұрын
Kwanza uyu Muha anaakiri sana Mungu akubariki Mchungaji
@hopemachocho1037
@hopemachocho1037 Жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu. Mimi ni mkenya. Nimezungukwa na madeni, mikosi na balaa, mimi nabaadhi ya watoto wangu. Nimeombewa sana lakini bado tu. Nimefunga nimetoa lakini bado tu. Tafadhali nisaidie.
@mindenlightenment
@mindenlightenment 2 жыл бұрын
A lesson that opens spiritual eyes ,be blessed man of God
@Noreen-gd6js
@Noreen-gd6js 2 жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji wetu mwema
@ellymwakapyanila7063
@ellymwakapyanila7063 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi. Nimekupata barabara uko sahihi. Hayo ni mambo mazito ya kiroho inahitaji MTU mwenye ujuzi na uzani mzito wa kiroho kuyajua haya
@binakitigwa3311
@binakitigwa3311 2 жыл бұрын
Hakika hii ndiyo hazina za gizani zilizofichika tumepata neema ya kufunuliwa na kuyajua haya. Asante Yesu kwa upendo wako. Mungu akutunze daima mtumishi wa Mungu.
@mandyaltrfawi1507
@mandyaltrfawi1507 2 жыл бұрын
Amen Amen be blessed
@maggyirene110
@maggyirene110 2 жыл бұрын
Amen amen Asante sana kwa funzo hilo. Much blessings
@mkaryenyoka6853
@mkaryenyoka6853 2 жыл бұрын
Amen kwa kutufunza hili somo, walokole wengi tunaamgamia kwa kukosa maarifa, sasa sai tumefudzwa acha tuchukue hatua , ndo mana kanisa nyingi hatuhumbiri kuhusu dhambi kwa ajali ya kuogopa watu barikiweni watu wa Mungu
@AlphaHamad-td1gr
@AlphaHamad-td1gr Ай бұрын
Mungu aendelee kukulinda mtumishi wa mungu Ayo yote unayoeleza ni mpango wa mungu binafsi nimejifunza kitu kikubwa
@emmanueljacob4303
@emmanueljacob4303 2 жыл бұрын
Mtumishi wa MUNGU Nimebarikiwa sana.niunge kwenye group lako.MUNGU akubariki.
@marypanwark8132
@marypanwark8132 Жыл бұрын
Amen amen Man of God...Mungu wa Mbinguni akutunze...
@isabellarkageha7707
@isabellarkageha7707 Жыл бұрын
Nilijifunza hili somo la nyota hapa promover......Mwenyezi Mungu awabariki Amen
@mathewstanslaus5567
@mathewstanslaus5567 2 жыл бұрын
Asante sana Pastor kwa neno, uzidi kubarikiwa uokoe roho zaidi za waliofungwa na shetani
@winniedavid9171
@winniedavid9171 Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu naomba ukuje huku kwetu Kenya utufunze zaidi
@elinajamson325
@elinajamson325 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mch . nimejifunza mengi .Mbarikiwe watumishi kwa HUDUMA
@everlynemiriam5943
@everlynemiriam5943 Жыл бұрын
Amen Amen u have opened my eyes God bless you always with ur family Amen
@bonifasemmanuel4700
@bonifasemmanuel4700 2 жыл бұрын
Kwakweli wewe ni chombo kiteule cha Bwana Yesu,chapa kazi Yesu yuko mbele ,Yesu you nyuma ,Yesu vivyo kando walindwa vyema, I'm going,mtumishi jua kuwa kuna watu wengi sana wanao fuatilia mafundisho yako hata kama hatukomenti
@marycharlesndulila5061
@marycharlesndulila5061 2 жыл бұрын
Amen 🙏 Mungu ni kuu sana anatupatia mbinu za adui kupitia mtumishi wake NEEMA ZA MUNGU ZIWE JUU YAKO
@rebecashidika7801
@rebecashidika7801 2 жыл бұрын
Mungu akubariki mchungaji Kwa mafundisho, Andelee kukupigania na wala asiwapubgukie wewe na timu yako in Jesus name.
@mariamariki7132
@mariamariki7132 Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu,, nimejifunza kitu Leo kikubwa sana
@puritychao5215
@puritychao5215 2 жыл бұрын
Asante mtumishi wa mungu.kwa kunielimisha nilikua gixani
@tamarali8325
@tamarali8325 2 жыл бұрын
Amen ni kweli mkristo kujua nyota yake ni muhimu. Hata mama jusi waliiona nyota ya Yesu. Neno nyota limeandikwa mara zaidi ya mbili katika biblia takatifu. Barikiwa pastor Amieli kwa ufunuo huu. Jacktan Barikiwa sana kwa kazi kubwa unayoifanya.
@lilianluhasi5053
@lilianluhasi5053 2 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu aliye hai katika jina la Yesu Kristo kutufungua ufahamu kwa haya ya nyota
@sarahjacobs8814
@sarahjacobs8814 2 жыл бұрын
Hakika mtumishi wa Mungu umenibariki Sana
@user-nevistours
@user-nevistours 6 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi kwa somo zuri.
@annacharles2842
@annacharles2842 2 жыл бұрын
AMEEEEEN! Barikiwa mtumishi wa Mungu
@jescambogoma8394
@jescambogoma8394 2 жыл бұрын
Amina mtumish tufungue tunateseka
@TunaelMhema
@TunaelMhema 3 ай бұрын
Hongera mungu akulinde kwa Kazi hii nzuri
@tatumluv6054
@tatumluv6054 2 жыл бұрын
Amen Amen barikiweni sana watumishi wa BWANA
@leahkahabi604
@leahkahabi604 Жыл бұрын
Naomba namba
@elizabethlusato7363
@elizabethlusato7363 2 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na elimu yako,Mungu azidi kukutunza na kukubariki mtumishi
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494 2 жыл бұрын
Ameeeeen BWANA awabariki sana
@jacymueni1671
@jacymueni1671 Жыл бұрын
Asante Mtu wa Mungu niombee sana ukiomba, nikumbuke Be blessed.
@laurentmuinde2751
@laurentmuinde2751 Жыл бұрын
I like your teachings..how can i reach you??.am from Kenya
@marinemodest1798
@marinemodest1798 2 жыл бұрын
amen mtumishi MUNGU Akubariki sana
@loinamsungu7459
@loinamsungu7459 Жыл бұрын
Asantee mtumishi hayoyote yapo tunamuomba mungu atupe ujasili na faham zakujua kumshinda shetani
@peninahmwendwa2519
@peninahmwendwa2519 2 жыл бұрын
Amen sana pastor nimejua siri
@gmruma8867
@gmruma8867 2 жыл бұрын
Mt JACTANI MUNGU AKUBARIKI SN. NAMFUATILIA SN HUYU NDG KATEKELA. AMEKUWA RAFIKI YANGU SN. NAMKUBALI NA AMEKUWA MSAADA KWANGU KUPITIA MAFUNDISHO YAKE. PROMOVER ITADUMU NA KUWA JUU SANA,KWAKUWA IMEFANYA KAZI KUBWA YA KUINUA KANISA LA MUNGU.
@jasminemahindu3423
@jasminemahindu3423 2 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa mafundisho mazuri
@rosefavoured
@rosefavoured Жыл бұрын
Am blessed.and i now know the way to freedom.
@joannanekesa7758
@joannanekesa7758 2 жыл бұрын
AMEN AMEN ubarikiwe mchungaji katejela na jacktan msafiri 🙏
@marianamarianaken8049
@marianamarianaken8049 Жыл бұрын
Asante kwa taarifa hii mchungaji umenifundisha mengi sana barikiwa
@elizabethraphy2659
@elizabethraphy2659 Жыл бұрын
Shukrani kwa Mungu Mwenyenzi kwa ajili ya mtumishi wako maana elimu hii inaufunuo mkubwa wa kujenga wokofu wetu kwa hekima
@doricemrema2177
@doricemrema2177 2 жыл бұрын
Amen, somo
@yvettekyalika907
@yvettekyalika907 2 жыл бұрын
Thank you to give us the testimony of the servant of God Dr Gwajima anafundisha neno he push me to read to MEDITATE the word of GOD...i like ile kanisa ; i feel i'am one of this family.. aksanti sana Past Amiel na team ya promover TV ❤️ nawapenda ! Siku izi tu nachoka kusikiya paka wa nabi wa uongo..I learn the beauty of Gospel of JESUS kwa kufatiliya mafundisho ya ili kanisa ya ufufuo na uzima..😂imagine the first time i ear " munvuli juuuuuu "..💃💃❤️kwa YESU kunarahaaa 💃💃..
@johnshihesi3528
@johnshihesi3528 2 жыл бұрын
Yes
@kikosibenderajehovanisitea9688
@kikosibenderajehovanisitea9688 Жыл бұрын
Mchungaji No yako ya simu ya voda haupatikani naomba nyingine kama umebadirisha No..
@jeniphatemu2937
@jeniphatemu2937 2 жыл бұрын
TUSAIDIE SIRI ZOTE PASTOR TUMESHATESEKA VYA KUTOSHA. WENGINE ROHO, NAFSI MPAKA MOYO VIMEIBIWA, KAIBA NANI, KIVIPI NA VINARUDI JE NA LINI KWA JINA LA YESU TUSAIDIE BILA KUIOGOPA DINI YOYOTE.
@marywaweru6089
@marywaweru6089 2 жыл бұрын
Wah powerful yangu iliibiwa nikiwa mtoto Asante kwa mafundisho mazuri ntafuatilia mpaka nyota irudi
@chaseborgia
@chaseborgia 2 жыл бұрын
Asante sana Mchungaji Amiel Katekela kwa expose. Mungu akubariki sana utumike zaidi
@user-io1tp6nz8m
@user-io1tp6nz8m 4 ай бұрын
Ameeeeeen muniombee saaana namushukuru mungu anaweka mambo wazi
@bahatimaluba825
@bahatimaluba825 17 күн бұрын
Amina
@evodiaathansio769
@evodiaathansio769 2 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu yaan umenifungua maali kuhusu nyota
@neemanzowa2712
@neemanzowa2712 Жыл бұрын
Mafundisho mazuri sana mtumishi, ainuliwe Mungu alietoa kibali cha kukutumia katika utumishi wake, nimebarikiwa sana
@happykajeli5453
@happykajeli5453 2 жыл бұрын
Asanteni Mungu awabariki
@puritynjeri1946
@puritynjeri1946 2 жыл бұрын
Very very informative teachings. Thankyou so so much. Learned alot
@getrudeliyayi8050
@getrudeliyayi8050 2 жыл бұрын
Wow wow Jesus be praised sana teaching 🙏
@mariamngongolo7024
@mariamngongolo7024 11 ай бұрын
Tunaomba mtuunge kwenye group wapendwa
@kesiaamissijohn6625
@kesiaamissijohn6625 10 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu kwamafundisho mazuri.
@leahbhoke8718
@leahbhoke8718 2 жыл бұрын
Oooh ahsante Yesu wewe ni Bwana
@khadijatanzania7817
@khadijatanzania7817 Жыл бұрын
Barikiwa sana Baba kwa kumujua mwokoz wako🙏🙏📖📖
@rhodamasunga7423
@rhodamasunga7423 2 жыл бұрын
Asante pia nmejifunza vitu vingi ubarikiwe
@catherinemuoka1322
@catherinemuoka1322 11 ай бұрын
God bless you amiel
@fidemikaeli8145
@fidemikaeli8145 Жыл бұрын
Mungu akuinue sana, mtumishi tunafunguliwa sana
@saitafrank4945
@saitafrank4945 Жыл бұрын
Amina nakuelewa Sana mtumishi
@patrickpaandi6759
@patrickpaandi6759 Жыл бұрын
Asante Kwa kunifunguwa macho yangu, Sasa najielewa
@agneshabona2166
@agneshabona2166 Жыл бұрын
Asante kwa ufafanuzi mzuri wa neno
@aloycemary1968
@aloycemary1968 2 жыл бұрын
Ubarikiwe pastor
@phaniceariviza4399
@phaniceariviza4399 2 жыл бұрын
Thank you so much
@akinyiskitchen
@akinyiskitchen Жыл бұрын
Asante sana kwa mafundisho mazuri
@user-rc2fe3co1w
@user-rc2fe3co1w 7 ай бұрын
Watching from kenya i love your teachings and would like prayers and learn more about God
@neemabobilye1541
@neemabobilye1541 2 жыл бұрын
Mungu akubariki nahomba naamba zako baba mchungaji
@maryandason1815
@maryandason1815 2 жыл бұрын
Anglia shuhuda za nyuma ametaja no zake zote
@vicentwilbert9567
@vicentwilbert9567 Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi kazi Yako njema
@pamelakibet-tetinitiatives9075
@pamelakibet-tetinitiatives9075 Жыл бұрын
Thanks again and again
@missti1612
@missti1612 2 жыл бұрын
Thank you Abba Father for this day that you have given us to listen to this testimony &teaching from Pastor Amiel & thank you Promover Tv & Jactan & team we pray 🙏 for you all. We here I 🇰🇪 are joyfully awaiting for the crusade next week by the grace & mercy of our Lord & Savior Jesus Christ hallelujah amen 🙏. Welcome to Nairobi 🙏
@ayetafatuu8715
@ayetafatuu8715 2 жыл бұрын
Amen amena amina
@AbelyThedonny-ko4fw
@AbelyThedonny-ko4fw 11 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu@@
@PauloMaona-in4qh
@PauloMaona-in4qh 11 ай бұрын
baba mchungaji usipo sema hatuta pona usiogope kuzungumza chochote baba hata masuala ya kuvaa milegezo na vimini kanisani ni kuingiza dunia kanisani washiliki watakuchukia lkn hawajui chochote wanajifariji baba ubarikiwe na yesu kristo mkombozi wetu..
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 66 МЛН
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 158 МЛН
Пробую самое сладкое вещество во Вселенной
00:41
MAOMBI YA ASUBUHI | Sitaogopa
6:06
Maombi Ya Asubuhi
Рет қаралды 497 М.
Pastor Paul Hussein Mubarakh Vunja Nguvu Ya Uisilamu Na Majini Official Video
1:38:46