Jazakallah sheikh hawa hawawezi kutwambia Ramadhani tuangalie mwezi kisha hija tusihesabu mwezi ukiandama Bali tuangalie mahujaj
@JUMAKANYEBWE-hy7geАй бұрын
Hakuna tarehe moja mbili kwa mungu tofauti masaa tu
@anisasalim667Ай бұрын
Sheikhe langu mungu akujalie uende haji na iwe tofauti ya matalii kama hivi,kisha wewe usiende Arafa uende siku ya pili ufanye wuquf peke yako,kwa huja kuwa watoka nchi iko nyuma kwa siku
@jimjam-xg7rvАй бұрын
Maa Shaa ALLAH 💚💚💚
@user-ic2cb9gm2jАй бұрын
Hamujasoma kushinda masheikh wa Saudia na mtume wa mwisho atoka saudi
@ZANAZETUАй бұрын
Mashallah sheikh law kwa ufafanuzi wako
@MariamAsudiАй бұрын
MashaAllah MashaAllah ❤❤❤
@nassoroseif3332Ай бұрын
Shekh uko sahihi ukanda huu tulionao haufungamani na makka
@MariamAsudiАй бұрын
Zii unakosea tufuate Sunnah za MTUME swallallahu alayhi wasallam basi!!! Kumbuka haya yote masuula ukisoma vizuri Hadithi za MTUME Moja wapo ni HIJJA ni pale wanapo HIJJIH WATU BASI!!!!
@AbdulalwailyАй бұрын
Mashallah
@hajihajihaji8351Ай бұрын
Mm nimejifunza kitu hawa wanachuki na saudia
@salumharuna5872Ай бұрын
Mtihani Wallah
@JUMAKANYEBWE-hy7geАй бұрын
Hakuna tarehe moja mbili kwa mwezi
@bagaluchaАй бұрын
5:104. Na wanapo ambiwa: Njooni kwenye yale aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, na kwa Mtume, husema: Yanatutosha tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawajui kitu wala hawakuongoka?
@JamalAli-tz6pjАй бұрын
Ustadh uko sahih kabisa nyny mnaotukana hapa mwajiona warabu pia nyny ebu tuheshimiananeni..ustadh shika msimano wako nasituko na dua
@MariamAsudiАй бұрын
Si kwa ubaya lakini ndugu yangu tunachojaribu kuatete hapa ni SUNNAH za MTUME ukisoma hadithi vizuri mtume anasema HIJJA ni pale wanapo HIJJIH WATU BASI!!! Jamani tuacheni kuhitilafiana katika dini sote ni ndugu samahani kama nimekukwaza EID MUBARAK 🤣🤣
@JamalAli-tz6pjАй бұрын
@@MariamAsudi Dini haitaki ushabiki na hakuna muislamu ambae hafati sunna au hadithi ispokuwa wanafik tatizo kubwa dadangu liko hapa saa hii hawa wanafanya waislamu wachukiane kiusawa sio mitandaoni kama kweli wataka mrekebisha mtu mpigie direct call upate kujadiliana nae sio mitanadaoni kutaka kupata ushabikii hio sawa ya mwanaume sio kutaka kuonesha watu na wakati sisi wasikizaji pia hatutaki kusoma twataka kusikia hop umeelewa point yangu..shukran
@MariamAsudiАй бұрын
@@JamalAli-tz6pj unaposema hakuna muislamu ambaye hafati Sunnah za MTUME unakosea kwani Maulidh pia sio Sunnah ya Mtume Wala watu hawajali wanafanya kulingana na akili zao zinavyowaambia ,kweli sisi ni waislamu na tunafaa kufuata Sunnah ,LAKINI kumbuka Kuna watu wanajiongezea elimu katika fikra zao , Kuna makombora yanayo rusha SAUDIA unajuwa kwa nini??? Wanataka kuivunja Al ka'bah,kwani wanafanya hivyo sio waislamu??? Ni hao hao ndungu zetu, wapo waislamu wanaohitilafiana wengine WAO wanataka kujuwa wapi kaburi la FATIMA (RA)kwani hao sio waislamu ???? Bado ni ndugu zetu , yapo mambo mengi tuu yanayofanyika na kuhitilafiana baina ya sisi kwa sisi ,,,, Alafu unaposema kumwelekeza mtu sio mitandaoni unakosea ,maadamu tatizo ni la mitandaoni,basi tutaelekezana mitandaoni vilevile ,licha ya hivyo Kuna wenzetu pia hawajuwi wanataka kuelimika pia,sasa tukilichukulia swala hili liwe la ana kwa ana wenzetu wataelimika vipi???? Tukisema tuelimishane Siri kwa Siri vpi kuhusu Hawa wengine ???. Kama nimekukosea niwiye radhii ila lazima tukumbushane na tuieneze Sunnah za MTUME swallallahu alayhi wasallam...kwani Mwenyezi Mungu anatuambia tuwalinganie watu katika dini ya haki ,,na ili kuitimiza dini lazima Sunnah za MTUME pia tufuate!!!!! Hope umenielewa
@MahmoudMwacharoАй бұрын
❤❤❤❤❤
@ImamuDossaАй бұрын
Ee sheikh wee.Fuata Jamaica achana na Makka.
@user-ic2cb9gm2jАй бұрын
Sheikh kuwa mkweli mwezi ukionekana sehemu za Digo au Garissa hamuutaki mwataka mwezi wa lamu
@wakwetu2444Ай бұрын
Sio lazima. Tufuate mwandamo wa nchi zetu.
@salumsimai642Ай бұрын
Na inaonekana unachuki ba saudia wamekukosa nn ?
@JUMAKANYEBWE-hy7geАй бұрын
Mwezi wa saudi na apa kwetu nimmoja tu ubishi tuacheni
Shekh hujataka kunyoosha maneno.hujakubaliana na Chief
@jimjam-xg7rvАй бұрын
Kadhi asema kuifuata saidia tu bila yalitiwa hadithi wala aya ss wataka anyooshe maneno upendavyo ww tu..ama???
@abiabi9353Ай бұрын
Mawahabi wana akili fupi kweli.Sasa wataka sheikh akubaliane na chief kadhi kwa lipi?
@abdallahsuwed65Ай бұрын
Kwa sababu ndio kiongozi wao wa kidini na ndio hua anawambia fungeni na fungueni
@omarrumbanyamawiАй бұрын
Assalam a'lykum wrahmatullahhi wbarakaatuh kka, ka chf kadhi kakosea tupe mwongozo wako ARAFA ya Kenya ni lini ndo tufunge....
@abiabi9353Ай бұрын
Wewe jahili wakiwahabi hujui hata uulizalo
@BaruaniAllyallyАй бұрын
Kitu ambacho kina shangaza Sana Nipale tu ma shekh wakiwa Makka kwenye inchi zao huenda sambamba na makka kwakuwa na wao wapo makka wakiwa Hawapo Makka ihtillafu zaanza
@FadhiliFadhili-qq7ziАй бұрын
Arafa kuipata lazima tufuate saudia
@bagaluchaАй бұрын
Ushabiki wameuweka mbele ushabiki, na hili ni tatizo
@mbarakmwanyanje1563Ай бұрын
Khaswaa
@ImamuDossaАй бұрын
Kwani Jamaica ni lini?Fuata arafa ya Jamaica.
@user-tr5xx3vi7xАй бұрын
Wacha bifu ww huyo unamueza kwa elimu ? Mwajifanya mnajuwa sana mtume hakuwa na tabia hio mwakosoa watu kwani jamaica hakuna waislamu nahuko sudia nimabaya mangapi yafanyika hamumuezi huyo
@MariamAsudiАй бұрын
Samahani sheikh ila kwa Hadith alioitowa DARAQUTWNIY ,,kutoka kwa bwana wetu MTUME swallallahu alayhi wasallam kuwa amesema ;HIJJA ni pale wanapo HIJJIH WATU basi,..kesi imeisha hapo. Katika RAMADHAN hapana watu wanafuatwa miji Yao.... lakini DHUL HIJJA sote tunafuata SAUDIA inamaana. ARAFAH ni sote... Tuacheni kuhitilafiana katika mahujaji na tufate Sunnah za MTUME basi!!!.
@mbarakmwanyanje1563Ай бұрын
Watu washindani Sanaa sijui kwa nn hawatisheki n Hadith y mtume Swallallahu aleyhi wassalam?
@ABDULLAOALIАй бұрын
Sheikh, ameshajifundisha tmemsikia
@user-ic2cb9gm2jАй бұрын
Sheikh Izudin mutake musitake Allah alichaguwa Saudia ndio kitovuu cha uislamu
@abdallahsuwed65Ай бұрын
Aseme tu kama kadhi yupo wrong.asijizingushe
@abiabi9353Ай бұрын
Amakweli mawahabi hawaelewi. Kwani hukumuelewa Sheikh tangu mwanzo? Sheik kasema ndiyo chief kadhi yupo wrong kulazimisha watu kufata Saudia bila dalili
@abuusalmaan-kw2xzАй бұрын
wewe huna elimu nyamaz
@user-ib1yl3zp5vАй бұрын
Masala sichuki na saudia ni ilimu iweke wazi hakuna dalili ya kufuata funga ya arafa kwa kisimamo cha arafa historia ya mashekhe walio tangulia kulazimisha Kwak sababu saa hi twaona watt wako arafa je zama za kina imamu shafi rahimahullah walikua wakifunga vipi watu walio mbali na saudia ilimu sio chuki
@salumsimai642Ай бұрын
Huyu anaongea kwa chuki na jazba
@DiudaKozi-qu8slАй бұрын
Acha polojo kuhusu saa .mbona muongo wewe
@abdallahsuwed65Ай бұрын
Kimsingi una chuki na saudia
@saidalhinai1131Ай бұрын
Saudia hawana mwezi kwao ni kalenda wapi ufuate kalenda au mwezi usiseme ana chuki
@user-pu2uw2ib5yАй бұрын
Kwa nini hata ukasema haipendi saudia?
@user-pu2uw2ib5yАй бұрын
@@saidalhinai1131... Pia hakuna aalimu yeyote anaesema km watu wafate saudia sasa sijui awo wenzetu ni kigenzo gani wanachokifata
@jimjam-xg7rvАй бұрын
Ebu jiweke mbali na thana mbaya
@abiabi9353Ай бұрын
Wewe ni jahili tu wakiwahabi wala hujui usemalo
@mohammadswaleh6900Ай бұрын
Sio lazima ufuate Saudia Wala hatuna haja ufuate Saudia fuata Lamu peke yake Riayadhwa ndio makka ndogo hyo
@bagaluchaАй бұрын
Huyu Izzudin hajifahamu,Saudia leo ni jumamosi,Kenya,Tanzania leo ni jumamosi,ati siku moja tarehe tafauti,ana chuki na choyo na hii nchi ya Saudia,kisa wanazipinga shirki zao za kisharifu za Tawwasul,eeh wewe Ezzudin Umesoma wapi???.
@aliabdalla9297Ай бұрын
Jumamosi inachomozewa na jua au mwezi
@nassoroseif3332Ай бұрын
Shekh uko sahihi ukanda huu tulionao haufungamani na makka