Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe
@LatifaamiriLatifaamiri-dj9kt25 күн бұрын
Mashaallah mungu akulipe kher tutafunga juma pili
@mihesohudson186625 күн бұрын
Maa shaa Allah tabarak Allah
@user-wc9wl5lk4h26 күн бұрын
shukran shekh Izudin
@taurehassan739926 күн бұрын
هم الرجال ونحن الرجال صدقت الشيخ❤
@mihesohudson186625 күн бұрын
Maa shaa Allah
@vitukocomedy266527 күн бұрын
Mashallah sheikh izudin alwy
@vichekeshotv547827 күн бұрын
Apo upo sawa sheikh izudin alwy
@SirlemNasir23 күн бұрын
HII HADITH MBONA SIJASIKIA MUKIISOMA NA KUIFAFANUA... Juzuu ya 7, Kitabu cha 69, Nambari 509: Imepokewa na Um Al-Fadl: Watu walitilia shaka iwapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alikuwa amefunga au ni Siku ya Arafa au la. Basi nikampelekea kikombe chenye maziwa na akanywa.
@hasani-mq6ei21 күн бұрын
Swali ni walikua wakitumia calendar gani ?
@rushydahmed917926 күн бұрын
mwezi wao, mwezi wenu, mwezi wetu, mwezi wangu , mwezi wako na mwezi wake ...kasheshe, tumewakina au tumewaamini?
@khamismussa625826 күн бұрын
Sheikh leo hata dua umesahau 😂😂
@salumchoma873122 күн бұрын
Uzuri wa haya yote ni kwamba siku hazigandi
@MuhamedChabaga26 күн бұрын
Afatuuminuna bibaadhw lkitab watakfuruna bibaadw
@harunaramadhanimzule24 күн бұрын
Hujaelewa wewe
@ShakurAlly26 күн бұрын
Nimekuckiliza shekhe mwanzo ady mwixho ila kiukweli cjamuelew ata kidogo
@harunaramadhanimzule24 күн бұрын
Waonyesha umtupu ktk elimu ya dini
@taurehassan739926 күн бұрын
Hya bacho araddi hii aseme albani hajaeleweka au kacngiziwa,hawayasemi hya kw hasadi walizokuwa nazo
@user-dc8bu2mf9v24 күн бұрын
Kuwa makin shehee
@mutomubaya27 күн бұрын
Acheni kuwataja taja Ma Ulamaa ambao mnakubali hawasatahiki lawama, kwa maneno ya kuwaharibia sifa
@seifrashid206427 күн бұрын
Kalaumiwa nani shekhe hapo
@YassirmohdAli26 күн бұрын
Ah ww huna elimu yan unafahamish wat bidaa
@harunaramadhanimzule24 күн бұрын
Ww ndio mtihani kabisaaa
@KessyMwinchum26 күн бұрын
Yan mtu mwenye elimu hata kidogo tuu anajua kuwa ww ni sufi mtu wa bidaa.
@hassankachemela100826 күн бұрын
Kaa chini usome, acha kashfa 😏.. toa hoja na uache dhihaka