Somo kubwa sana na la muhimu kwenye maisha yetu. Shukrani sana brother.
@joelnanauka5 жыл бұрын
Success Path Thanks #SeeYouAtTheTop
@meshackpatrick69815 жыл бұрын
Simon Zurich Sana nag linatia motorcycle ongera Sana kijana
@chaptech5 жыл бұрын
brother Ezden, nakuelewa sana ukweli, nafurahi kuona pia nawe unajifunza kupitia watu kama wewe, nyote mbarikiwe pamoja na brother Joel
@successpathnetwork5 жыл бұрын
@@chaptech thanks Peter
@marthazakayo97874 жыл бұрын
@@successpathnetwork balikiwa Sana , Kwan mafundisho yako kiukwel yananijrnga sana
@manenolugendo63965 жыл бұрын
Bro ujumbe huu nimzuri sana umenigusa sana hakika wewe nimwalimu wa maisha wakweli nakumbuka wakati mgumu nilipitia rafiki wengi wakajitenga nami nilipokuja pata wakati mzuri wakataka kurudi nikafunga milango kwakujua kwamba hawakua watu sahihi. Ahsante kwa Ujumbe
@joelnanauka5 жыл бұрын
Maneno Lugendo Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@allicemwassa27894 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa mafundisho mazuri,
@rukiayasuleyman29002 жыл бұрын
Hayo yote unayosema! Ndiyo maisha yangu napata taabu Sana kwenye ndoa yangu lkn nashindwa kufanya maamzi, nisaidie nipate ujasili😭😭😭
@jessydaktari52095 жыл бұрын
Thanks for the speech kila jambo baya linatokea kuna kitu tunaepushwa.....sante bro
@msleny67675 жыл бұрын
Safi sana tena maelezo nzuri sana, ni ukweli kabisa mambo haya. Nina rafiki aliye kataliwa na mzazi wake hapo basi akawa hana pakuenda wala pakukalia, lakini baada ya kuzungumzia na kijitia moyo asikate tama kuna sababu yake , leo hii anasema amejifunza vitu vingi kupitia changamoto hilo na amejifunza kumtegemea Mungu badala ya wanadamu Thanks for the upload Brother Joel💪👏👏
@joelnanauka5 жыл бұрын
Hellen Ogego Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@msleny67675 жыл бұрын
@@joelnanauka Thanks for your uploads too, am greatly humbled
@issamkondoa71835 жыл бұрын
Kiongozi umenigusa zaidi ya 100% Nina zaidi ya miaka 7 sasa ninahangaika lakini nashindwa kusimama tena. Nimepoteza marafiki kama wote. Mara ya mwisho wiki iliyoisha nimejaribu biashara fulani nayo ikaanguka vibaya na shida kubwa nawaamini sana watu. Na hapa nilipo nina majonzi mpaka nalia na ninajiuliza nimemkosea nini mwenyezi mungu!
@maryammaram26125 жыл бұрын
Pole issa usivunjike moyo amin unaweza jaribu tena utasimama 💪💪
@aasiyaasia6825 жыл бұрын
ISSA MKONDOA uckate tamaa bora yan hapo mafanikio yako yapo karibu sana hivyo weka juhud zaid ,usilie tafakar na uangalie wapi unakosea na ujipange upya,kuwa na subra Muombe Mwenyez Mungu afu pia usipende kumuamin kila mtu sababu tupo katika dunia ilojaa hasad,chuki....inuka bro na uendelee kupigania ndoto yako ..bahar tulivu haitengenez nahodha bora...USIKATE TAMAA
@alfaniabassi70915 жыл бұрын
Usikate tamaaa
@umikram67555 жыл бұрын
Akhui kabla yakuanza jambo sema na ALLAH S.W atakujbu
@bina255724 күн бұрын
Mimi wakati mgumu ulinilazmisha kufanya maamzi ambayo yamebadilisha sana maisha yangu kias kwamba nisingefanya maamzi saivi ingekuwa story nyingne asante sana kaka Joel Nanauka
@richardvalson98685 жыл бұрын
Thanks so much ßrother NANAUKA ulipo nipo👍👍👍
@T1tanGamingCsgoMore4 жыл бұрын
Lecture yako imenigusa na yote ulosema ni ukweli kabisa na yamenitokea kweli na hata wanangu na baadae yanakuwa ni kheri kwetu. You're the best and God bless you 🙏
@hilarygodfrey58625 жыл бұрын
Nimekisoma kitabu chako cha ongeza kipoto kwakweli kinafundisha sana good job my brother
@joelnanauka5 жыл бұрын
Hilary Godfrey Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@giversteve68522 жыл бұрын
Asante sana brother ....maana Dah nilihisi kupasuka moyo ....angalau
@timamusportstelevision65995 жыл бұрын
Shukrani you're my hero
@theresiadebeli96214 жыл бұрын
Najifunza mengi Sana kwa kila kitu naona maisha yangu yanaenda Sasa tanks nakupenda bure kaka
@amonkomba72325 жыл бұрын
Thank you in advance once more MR JOEL
@joelnanauka5 жыл бұрын
AMON KOMBA #SeeYouAtTheTop
@seifzongo3205 жыл бұрын
Yaani elimu unayoitoa n Zaid yA elimu dunia hayo n maarifa ya kiroho that's why ukiongea unaongea na roho mpaka nywele zinasisimka, nakupenda Sana Kaka ila nakuuliza unaandika vitabu?! Kama una vitabu vinapatikana kwa utaratibu upi maana hauzungumzii kabisa kuhusu vitabu kak
@martinemanuel97825 жыл бұрын
Yeah anaandika vitabu anavyo zaid ya vitano
@seifzongo3205 жыл бұрын
@@martinemanuel9782 vinapatikana wapi Sasa mbna atangaz
@martinemanuel97825 жыл бұрын
Kama Uko arusha nikupe no za wakala wake boss
@joelnanauka5 жыл бұрын
Andante snaa seif karibu sana unaweza kuwasiliana 0756-094875 kuvipata
@robertemmanuel16855 жыл бұрын
Thanks bro, kwa masomo unayoyatoa tunapata mengi mazuri sana.
@erickwilbard64579 ай бұрын
Ubarikiwe sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻, Mungu aendelee kukuinua, pia najifunza mambo mengi sana kutok kwako.
@samsonezekiel9705 жыл бұрын
True
@hafsahcletty59685 жыл бұрын
Alhamdulilah mashaallah.Shukran
@helbertsoneka20085 жыл бұрын
shukran brother J
@salmonmkanulasalmonmkanula8075 жыл бұрын
Hizo ndo changamoto nilizo nazo kaka nimejitahidi kujikwamua ngoma imezidi kuwa ngumu nilikuwa vizur kipindi cha nyuma nimekuwa mtu wakuangushwa tu na ndugu na mahusiano yangu ya mapenz nimepata mke lakin ambaye amekubali kuwa na mm lakin bado naona kabisa changamoto zimezidi nimekosa hata hela ya kodi na matibabu ya mke wangu, yupo hospital mjamzito muda si mrefu kuanzia sasa anajifungua wakwe zangu wananiona kama namtesa mtoto wao najisikia aibu sana kaka nakuomba unipe mbinu nyingine labda mungu atanibaliki na mm
@mammyali34245 жыл бұрын
Asanteee sana brother Joel..nikiwa Dubai nimejifunza kila siku Mimi ni mwanafunzi na leo umenifunza kumbe wakati mgumu...ni funzi katika maisha haufai kulikwepa
@joelnanauka5 жыл бұрын
Mammy Ali Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@egonkasiano78225 жыл бұрын
Shukran
@nathanielsteven5395 жыл бұрын
Ubarikiwe sana brother Joel,amina!!umenena jambo muhimu sana limenionyosha jambo, Keep it up brother.
@ovn-sportswear49834 жыл бұрын
Salute big broo somo hatar sana
@princeholy47774 жыл бұрын
Nakuona kama wewe ni Role model katika maisha yangu.
@judithwambura92345 жыл бұрын
Many thanks bro
@benedictmasigo38025 жыл бұрын
Thanks brother I appreciate
@tynomwingira99045 жыл бұрын
Nashukur kwa somo zuriii Mungu akubariki..kitabu chako cha #timizamalengoyako naweza kukipata wap?,binafsi nipo iringa!
@mwanadamtz12985 жыл бұрын
Thanks my coach
@shabanihaji73915 жыл бұрын
thank you brother
@mg.general77105 жыл бұрын
Shukran Sana broo
@mohamedsigwa17124 жыл бұрын
Ni kweli kabisa somo nimelipokea vzr na nimeelewa Mungu akubariki
@elibarikibayo40475 жыл бұрын
Thank you so much
@rashidkihombo67824 жыл бұрын
Asante kwa elimu nzuri mi niko kwenye tatizo hilo kabisa nahitaj elimu zaid nirud tena kwenye mstar
@alexandermajula72685 ай бұрын
Asante sana
@priscakalenga40553 жыл бұрын
Asante sana nashukuru kaka
@joyceisack59305 жыл бұрын
Asante sana J
@alfayoamani1774 жыл бұрын
Thanks for advice brother
@joseefaidabutu72944 жыл бұрын
Asante sana mwalimu
@akidasalim38593 жыл бұрын
Asante sana umenisaidia
@gladyvictor90942 жыл бұрын
Asanteee
@neemamacha88065 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri kaka Joel. hili ni la kwangu kabisa!
@furahayabwana61275 жыл бұрын
💯👏👏👏 Asante
@emmanuelkitomary22743 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho yako nimejifunza Sana barikiwa
@agathamichael88185 жыл бұрын
Thanks bro
@anisiamedard37755 жыл бұрын
Asante sana.
@Lululemon55 Жыл бұрын
Nateseka sana mpk nguvu zimeniisha depression imeharibu kila ktu katk maisha yangu hakuna ktu chochote cha kunipa hamasa, nishajidhuru si mara moja wala mbili, nimejaribu kujiua sijui mara ngapi nishalazwa mental hospital miezi miwili lkn hakuna ktu kilichobadilika wallah natamani mda wng wa kufa ufike kwa haraka
@assilaibra4563 Жыл бұрын
Pole Sana Dear,, Nitafute.
@dullahwago53602 жыл бұрын
Ahsante Joel
@ramadhanalmashamza3458 Жыл бұрын
Asante sana kaka na mungu akubariki
@clemencejohnson10725 жыл бұрын
Shukran kaka ..MUNGU AKUBARIKI SANA..
@aishaubalozi70885 жыл бұрын
Asante sana kaka kwakutuelimisha
@fatmaali47943 жыл бұрын
Asante my brother
@elizabethmrema55563 жыл бұрын
Kaka somo lako ni nzurii sanaa litatufundisha wengi
@meshackmakungu97924 жыл бұрын
Asante
@joowzeyboyjoowzee44744 жыл бұрын
Thanks again
@blessedman11635 жыл бұрын
Am proud of u bro najifunza sana kupitia wewe ubarikiwe sana na Mungu azidi kukuinua
@joelnanauka5 жыл бұрын
elia leonard Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@joelnanauka5 жыл бұрын
elia leonard Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@joelnanauka5 жыл бұрын
elia leonard Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@joelnanauka5 жыл бұрын
elia leonard Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@joelnanauka5 жыл бұрын
elia leonard Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@kevinlonghe2945 жыл бұрын
Wouw God bless you brother
@dullahgutram70403 жыл бұрын
asante brother mungu akubariki
@davierobert55635 жыл бұрын
Asante sana kaka jn kwa masomo yako mazuri nimejifunza mengi sana
@paulinastephano2362 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Sana 🙏🙏
@edwardsizya35153 жыл бұрын
Safi bro
@keflentito80525 жыл бұрын
Asante kaka
@alimaalim92875 жыл бұрын
Iko vizuri sana
@homemarket16012 жыл бұрын
Shukran sana kaka nimepata funzo kubwa
@jacksonmakasi83782 жыл бұрын
Asante Kaka umeleweka
@aishafrancis7714 Жыл бұрын
Asante kwa somo kaka napitia wakati mgumu ila tangu nikujue wewe umekuwa mkombozi wngu!
@yoramdogezah80004 жыл бұрын
Brother, Kiukweli mfumo huu wa kufundisha uko vzr kuliko ile ukiwa ofifisini, Unafundisha vitu ambavyo ni halisi ya maisha ha watu, Brikiwa sana mtu wa Mungu.. NAOMBA UONGEZE ZAIDI MASOMO MENGINE YA NAMNA YA KUPANGA BAJETI, NA NIDHAM YA PESA
@dinnamhepwa35475 жыл бұрын
Jaman, asante sana kaka
@mariangailla6602 жыл бұрын
Asante my kaka wanifunza mengi na kunipa nguvu
@salimmuhamed77312 ай бұрын
Mwalimu mungu akubariki mm nafanyakazi na ndungu zangu lakini wananiharibia kazi kuwaondosha nilawama nifanye nini niepukane na huu mzigo
@priscahrobert54815 ай бұрын
Mungu akubarik sana❤
@philomenajolam85163 жыл бұрын
Jamani Mungu anatoa somae kwa wkt , asante kwa somo zuri
@swahibmakumulo93295 жыл бұрын
Well Spoken Joel!!!!
@fanuelmallongo10425 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana kaka kwa ujumbe mzuri
@hamismkunda14525 жыл бұрын
ubarkiwe kwa somo nzurii
@omaryshafii505 жыл бұрын
Naam kujifunza ni muhimu sana na Mungu anajua zaidi... Ahsante Mungu akubariki
@joseefaidabutu64675 жыл бұрын
Asante sana kwakuniongezea tena ujuzi
@devotastambuli8644 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@wejja4235 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mkuu. Kuna vitu nimejifunza katika somo hili
@charlesatanas32704 жыл бұрын
ubarikiwe sana joel,nilipotea kazi yangu ya kwanza nikajua ndio mwisho wa maisha lakini nikaja kupata bora zaidi ya ile ya kwanza
@herimailo8183 Жыл бұрын
Brother asante
@helmanmamai37095 жыл бұрын
Asant brother.
@joycewambui22705 жыл бұрын
Amen Joel barikiwa kwa hekima iii
@beatricmmpantaleo34203 жыл бұрын
Smart Kaka with smart brain🙏🙏🙏
@maimunapelembo42845 жыл бұрын
kweli umenigusa sana ktk maisha haya napitia magumu mengi mno mpaka Nakata
@shabansalum60143 жыл бұрын
Shukran sana Mtaalam... Faida kubwa inapatikana kwa hakika katika Somo hili na mengine mengi unayo yaleta...
@bitembwambo28932 жыл бұрын
Nimejifunza mengi kk barikiwa
@eugenfredrick23285 жыл бұрын
Thanks Sana my brother!!!
@chrisnam88854 жыл бұрын
Hello
@hezronmangulamangula97183 жыл бұрын
Daaaaaaa bradha nimeshinda nimetapeliwa sana Kuna wakati nilitapeliwa kazini hakika nimeyashinda mungu mkubwa sana leo ndo najuwa kumbe nilikuwa natengenezewa njia
@naomiebieza88215 жыл бұрын
Sahihi
@leatitiamirimba45465 жыл бұрын
Ubarikiwe
@shukuranirebecca4877 Жыл бұрын
🙏🙏
@joycengonyani35294 жыл бұрын
Hongera kaka kwa somo zuri.
@jumannemohamed45265 жыл бұрын
Ahsante sana kwa ushauri wako
@judithnjunwa66685 жыл бұрын
safi kaka Joel
@luhanyamipawantobi68884 жыл бұрын
Nilichongewa KAZIN nikaumiasana,,,ila nimepata kazi nzuri KULIKO ile
@mwanaharusialifakifaki87165 жыл бұрын
“ kuna wakati mgumu mwengine inabidi ufanya maamuzi usipofanya wakati mgumu unajirejea ili kukulazima ufanye maamuzi”sahihi mno maamuzi wakati meengine yanauma unaweza kutoa maamuzi huku unalia ila inabidi ili utoke kwenye kifungo jpkua unapenda ilaukioonahupendwi br kutoa maamuzi na baadae vitu vyote hukaasawa ahsante dokta joel somo lako ninaonesha wAzi sikukokea pia nimejifunza