Balikiwa sana kaka ww nimtu muhim sana kwenye maisha ya watu wengi ishi myaka ming
@frankjoshua6869 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana, kwa maana unatusaidia vijana wengi sana kwa masomo yako japo hatujitokezi na kushukuru, binafsi umenisaidia sana katika swala la kujiali, kitabu chako cha Timiza malengo yako kimenisaidia sana nakumbuka mwaka 2017 nilikua natamani kufanya kitu changu mwenyewe lakini nilikua nimenasa kwenye office za watu na nilikua sielewi natokaje, baada tu yakusoma Timiza malengo yako hakika nilipata ujasili na atimaye mwak 2019 nikaanza kujitegemea na kufanya kazi yangu mwenyewe aiseee Mungu akutunze sana kaka yangu.
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Joel Joel saa 12; kamili ndo naamka nakutana na hii click🙏Jana nimepata cop ya Cheri changu Cha ndoa,Cheti kilipotea,Mme wangu alinikimbia na watot wetu wawili akawatelekeza,ameoa na amezaa na mwanamk kamuwek kwenye nyumba niliyojenga nae,nataka anipe tarak lakini Nina Hofu Sana Asante Sana,
@user-fx5gu6xs5o10 ай бұрын
Kaka kwakweli umekua mwalim mzuli na umekua sehem yabalaka kwawengi masomo yako yamesaidia wengi balikiwa sana kaka
@chirwaellace10939 ай бұрын
Nimefanya maamuzi yakuacha kazi mda wowote, watu wananiuliza kwanini unaacha kazi kabla haujapata ingine. Kiukweri hii kazi Sina amani nao
@tengarashid47039 ай бұрын
Huna Aman nayo??? Bila shaka uko chini ya mtu
@meggy52686 ай бұрын
Mungu anisaidie nipone na nitoke kwenye mambo ya hofu na nijipe mouo
@ramadhanalmashamza3458 Жыл бұрын
Kaka ubarikiwe sana wewe ni life kocha wangu kila siku unanimotivate kusonga mbele
@directorpatron69959 күн бұрын
ubarikiwe kaka mimi uwa nina hofu yakuanzisha jambo
@mussalrugegwa6147 Жыл бұрын
Asante sana kaka yangu kwa kuniokoa maan na hofu ya kuanza upya kwasababu nimejiestablish kwenye eneo moja mda mrefu
@victorrock6660 Жыл бұрын
Big up m2 wangu
@felsonsanga85028 ай бұрын
Amen, Mwalimu Dr Joel nanauka ubarikiwe sana nakufuatilia upo vizuri sn
@user-ts4jr7ok1e11 ай бұрын
❤❤ umenitoa mbali sana Mungu akubariki
@julianafaustine617817 күн бұрын
Amen ubarikiwe mnoo mtu WA Mungu, hakika Mungu anakutumia kubadili maisha ya watu
@JudithNakajumo Жыл бұрын
Kaka mungu akubariki Sana...kuna mengi nimefanya Kwa mafunzo yako na nimekaa sawa sasa kaka
@kelvinarnold Жыл бұрын
🎉ni kwel kuishi kwa kuhofia watu ni hatari sana kwenye maisha ya kila cku,barkiwa sana mtumishi
@annamallya8756 Жыл бұрын
Ahsante sana kaka,nimejifunza mengi na naendelea kujifunza Mwenyezi Mungu azid kukubariki
@abrahammwambije2769 Жыл бұрын
Petro alizama kwasababu ya hofu Asante kwa ujumbe mzuri siku haipiti bila kusikia ujumbe wako
@yahyasirlim4928 Жыл бұрын
sijutiiii mbs zangu zikiisha kwa kujifunza kwa kutizama video zako life coach
@dulesame1193 Жыл бұрын
Kwa sasa naishi kwenye furaha baada ya Kujua kusudi langu hapa duniani ahsante sana na nabii *+ Joel nanauka
@zuberymasalu1452 Жыл бұрын
Hofu ndio inatufanya tushindwe hata kutimiza malengo yetu ila hongera sana Mr kwa somo Zur endelea kubalikiwa
@sharifasuleiman8297 Жыл бұрын
Wewe ni daktar tosha mungu akubariki🙏
@nurdininanjota4056 Жыл бұрын
Hofu ni kikwazo katika kuanza jambo nisahihi kabisa mungu nitie ujasili kwajuhudi ninazozifanya kuondondokana na tatizo hili naweza🇹🇿🙏.
@janeflorencesajjabi1545 Жыл бұрын
BARIKIWA Joel, MUNGU Akulinde na Kukutunza uzidi kutuelimisha.
@kikometecnology99637 ай бұрын
Mungubazidi kukutumia zaid juu ya watu wake mungu akulinde sana kaka wengi bado tunakuitaji
@user-su8po8yr4m3 ай бұрын
Hongela Sana kaka Make nine elewa vitu vingi kwako na nimejitambua palefu sana hatali
@yokimrossie3536 Жыл бұрын
Aise Leo umeniamsha kwenye usingz mzito Mungu akubariki akupe afya njema uzidi kutufungua
@chrissmalloy9 Жыл бұрын
Kabisaa kaka unaongea vitu muhimu sana kwenye maisha
@meryjohn72158 ай бұрын
Hofu nyngine inatokana na maisha waliyoishi kuanzia walipokuwa watot inatesa sana
@issakatety3535 Жыл бұрын
Kaka nakushukuru sana niliweza kuzishinda hofu za kuanza muda mrefu sana nilivoanza kukufatilia
@timothykengere2535 Жыл бұрын
Ukweli mtupu hofu ni mbaya , 🎙️
@ashaidd2912 Жыл бұрын
Hofu ilinikuta lkn alhamdulillah nipo out of my contry na life linasonga mwanzo nilipata shida mungu akubariki
@WapekeeMwashua-oo9fv Жыл бұрын
Asante Kaka mungu akupe maalifazaidi usikate tamaa unatuelimisha
@saidside28387 ай бұрын
Badoo najifunza mwnyezi mungu akuwekee tuzd kupata elim kaka
@khadijashabaninimba7890 Жыл бұрын
Barikiwa sana kaka najifunz vingi kupitia Chanel yako 🙏🙏katika safari ya kila mmoja anakaratasi yake ya mtihani
@niyongabogady1100 Жыл бұрын
Huu ni Mwalimu wangu pia tangu naanza kufuata mafundisho yake yamenijenga sana .
@macksemuyango6108 Жыл бұрын
Ewe Mwenyezi Mungu naomba unitie nguvu katika nyakati hizi ninazopitia ili nyakati hizo ninazopitia nizishinde!!!
@user-lu4lj5sy2x10 ай бұрын
Amin yarab n mimi pia
@HappinessHarman-nt6zc Жыл бұрын
Kweli hofu ni ugonjwa unaonisumbua mungu nisaidie
@mohamedkudura8114 Жыл бұрын
Allah AKULIPE KHERI,darsa tamu
@samwelmpenda8573 Жыл бұрын
Nakubal Sana akaka
@kuruthumukondo71495 ай бұрын
You're correct my brother, don't compare with another person ❤❤
@RehemaHaji-pc2nh Жыл бұрын
Shukrani sana, ubarikiwe
@PASKALILUANDA Жыл бұрын
Hiyo nzuri San
@BernardMango-wr4hbАй бұрын
Asante kaka joel Umenitibuleo kaka
@Mamoshbizekampuni-qt1fg Жыл бұрын
Mwaka Jana nilinunua vifaranga wa kuku wa mayai 300 nimepambana kuwakuza kwa gharama kubwa mwisho nimekuza kuku 50 tu ninao sasa, na hao pia had I sasa hawajtaga, nikikumbuks pesa nyingi sana nimepotezs kuku niliopata ni wachache sana pia hata hao had sasa hawajataga naendelra kuealisha tu, nataka niwauze nianzishe biashara mpya
@user-lu4lj5sy2x10 ай бұрын
Asantee🥰🥰🥰🥰🥰
@wemaRichard-rb1hj Жыл бұрын
Umensaidia Sana kwasababu ninamtaji lakini naogopa kuanza
@pleasethank2962 Жыл бұрын
18,40,60. Kbl y kuielewa kanuni hii ilikuwa ni changamoto kwangu lkn kuna siku nlikuskia ukielezea nikawa responsible nayo na Leo umeirudia tn nazidi kuwa imara..KWA KWELI UBARIKIWE sana MR. JOEL NANAUKA.
@richardmartin6429 Жыл бұрын
Sina chakuongeza zaidi yakusema Ubarikiwe.
@vadolcedefao32325 күн бұрын
Asnt san
@JamesKaminde-ig1xr3 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@shukuranirebecca4877 Жыл бұрын
Thank you kwa mafunzo mazuri
@directorpatron69959 күн бұрын
kaka natamani hofu initoke namimi nijipate
@asiamsemo61726 ай бұрын
Mmm hta mimi naogopa sana bt nashkuru kusikiliza hii i am doin it want i want to do now .
@RamadhanMtaki-sw1gx10 ай бұрын
Shukrani mkubwa mungu hawe nawe
@northerntanzaniatv4033 Жыл бұрын
Hii imenigusa sana kaka barikiwa
@FrolaJoram-eg1ng Жыл бұрын
Asante kaka Joel
@deboralaiton-ge8mf Жыл бұрын
Amina mungu akutie nguvu ya kutusaidia
@amazingnecla Жыл бұрын
Blessed with a great
@user-oq4fv5ed7u2 ай бұрын
Barikiwa mtumishi
@Mamoshbizekampuni-qt1fg Жыл бұрын
Hapa nimepambana nimepata pesa kias fulan sasa nswaza ninunue chakula cha kuku kutagisha kama watu wanavyonishauli au nianzishe biashara mpya, nashindwa kuamua niendee su nibadili muelekeo maana niliishi hali ngumu sana so hii hela niliyopa naogopa isije ikapotea kama mwanzo
@noelinasaru14968 күн бұрын
Absolutely yes
@user-gy1lb9fo2b11 ай бұрын
Sawa kabisa Joel
@user-ig8kf5rx8s10 ай бұрын
❤ umeelewek doctor
@hassanomary7353 Жыл бұрын
Shukran tunakuelewa
@CharlesMabula-lg1fl11 ай бұрын
Nawezaje kujua kama mungu amesema namimi katika jambo flan?
@user-qd6sd9iw6m4 ай бұрын
Good advice
@nduhe_victor9 ай бұрын
❤
@brendamunuo68449 ай бұрын
Nashukuru kaka❤❤
@user-kj1yo8rl5p11 ай бұрын
Joel nanauka!!? Tafadhar naomba tuwasiliane
@user-by1bm7db8o7 ай бұрын
Asante kaka nanauka
@gracelaizerkisyoki7279 Жыл бұрын
Barikiwa kaka
@mashikudeus-hh2jv Жыл бұрын
Exactly 💯
@aderiderkihupi7240 Жыл бұрын
UBARIKIWE
@user-op2mo8wt3q Жыл бұрын
Nice speech
@gerraldgready8051 Жыл бұрын
Nateseka na hofu ya kupoteza kila mara
@reganimushi8062 Жыл бұрын
Amen 🙏
@EnosMark-jk6xf11 ай бұрын
Shukulan sana
@user-oq3so2no8y7 ай бұрын
Hifu inatutesa wengii kaka...
@almightymapp Жыл бұрын
My name is UShinde I am from america
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Asante sana
@kakawamashariki8978 Жыл бұрын
Salaam za pongezi toka mwanza 🐟
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
🔥❤️🙏
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
📝🙌🏿
@deborasimon42210 ай бұрын
Amen
@jonasebuela8975 Жыл бұрын
Sasa kaka tutajuwa je kama Mungu anasena tuhanze kitu kipya?