Ni kutoka Nanenane Mbeya 2022 ambapo tunakuletea mtaalamu wa kilimo akikueeleza namna bora ya kufanya kilimo cha Ndizi
Пікірлер: 24
@baltazarybasingo5773Ай бұрын
Safi sana jembe halimtupi mkulima
@kazkaz1943 Жыл бұрын
Watanzania bwana vitu kama ivi comment tatu ila watu wakichafua hali ya hewa comment laki 1 machawa wakizungumzia upupu coment elfu, tuna ujinga mwingi sana ndo mana nyerere alitwambia adui yetu n ujinga nimeamin
@elicktilia4430 Жыл бұрын
Ukweli unauma
@muhammedwakif6216 Жыл бұрын
watanzania wao nyimbo tu
@baltazarybasingo5773Ай бұрын
Tunashabikia vitu ambavyo kiuchumi havina mchango wowote. Kweli TU wajinga maana tunashindwa kuchagua vipaombele.Hatari sana kuchezea muda🤔😭
@tabithamchanga52862 ай бұрын
Asante sana kwa eliminate MUNGU akubariki sana aana, naomba kuuliza. Mkungu aina ya mzuzu, kile kishungi kinapokwisha kabisa chote ndo mkungu unakua umekomaa naweza kuukata au unaendelea kbakia kwenye shine lake mpaka mud gani?
@rahmasuleiman86887 ай бұрын
Very nice maashaallah
@johnmagoma6962 Жыл бұрын
Nashukuru sana kwa jali kazi yako haswa
@GreatTractor Жыл бұрын
Safii Baba, endelea kutufunza zaidi.
@ramadhanhassan8196 Жыл бұрын
kazi nzuri sana Mwananchi hongereni nimejua sasa kupanda migomba
@kennykazung3824 Жыл бұрын
Miche ya migomba naipataje
@muhammedwakif6216 Жыл бұрын
shamba safii sana dah hadi raha
@hafsanoman3952 Жыл бұрын
Nimejifunza kitu mungu akubariki
@selemanisalimu837711 ай бұрын
Asante mtaram
@jacksonmtaswa28852 ай бұрын
Je hzo ndiz huwaga zinakubari kila maeneo nikimaanisha km mrima ambao unaasili ya mawe mawe
@rukiaissa5878 Жыл бұрын
Mungu akupe nguvu kwa kutupa taaluma hii sahihi ya kilimo cha migomba
@innocentmakala654210 ай бұрын
👍
@pamellabosire37052 ай бұрын
Naomba ya mtalamu huyu
@priscachale5646 Жыл бұрын
Dar Migomba inastawi?
@PrestonKwizombe-qf1gc9 ай бұрын
mtaalam naomba weka namba nahitaji miche
@shangemollel560310 ай бұрын
Nipe dawa ya myauko wa ndizi mshare
@IssaBashir-pk2ks Жыл бұрын
ungojwa wa mnyauko unadawa?
@isayaanthon7063 Жыл бұрын
Kuna dawa ya kuua minyoo ktk migomba?
@shangemollel560310 ай бұрын
@@isayaanthon7063 nipe dawa ya myauko wa ndizi mshare