Fundi wangu jisi yakujua kama zimekufa au zinafua moto mdogo inakuwaje
@lottolotto1454 Жыл бұрын
Sawa nashukuru kwa kujibu.
@gabrieljowi782710 ай бұрын
Good work,,am watching from Kenya,,,,can i get attachment place in your Company next year may?
@AbuJunaidi4 ай бұрын
Bei gani zinsuzwa solar kama hizo complete
@maalimjuma2881 Жыл бұрын
leo sijakuelewa kabisa darasa hili hujatuonesha nyuma ya pannel waya zinawekwaje, pia kwenye kuunga betri inakuweje vile vile kwenye charger control hukumalizia kuunga, unekwenda so faster binafsi sijafahanu kitu kabisa!
@mahamudabdullahi750611 ай бұрын
Umefunga solar bila kutumia fremu Hii sio sawa Kwa sababu ya overheating on the ironsheet
@lottolotto1454 Жыл бұрын
Hiyo kampuni ya LITAR nichukue lead acid battery au dry battery? Ipi itakuwa Bora kwenye matumizi yangu ya solar
@NyihitaChacha3 ай бұрын
24v mwisho isome ngapi
@RichardMsabaha-ts6dy2 ай бұрын
Kwa maelezo ya Mwalimu inveta ya Vlt 24 isizidi 25 ukiona inafika mpk 30vt bc Kuna hatari ya kuunguza mashine
@papiasmugabo66858 ай бұрын
Jambo nataka sola
@buberwazimbeiya7406 Жыл бұрын
Kazi chafu, mwl amevaa kama yupo kijiweni😅😅😅😅😅😅
@Abuassma360 Жыл бұрын
Mwalimu zingatia mawasiliano hutukufii ss huku +254
@darasalaumeme7421 Жыл бұрын
Aiseee sawa
@user-ge9jg8nk3q6 ай бұрын
Mnapatikana wapi mwalimu
@darasalaumeme74216 ай бұрын
Mimi nipo Dar
@lottolotto1454 Жыл бұрын
Betri za solar kutoka kwenye campuni gani ni bora? Maana betri za Sundar hazifiki hata mwaka.
@darasalaumeme7421 Жыл бұрын
Lita
@sixofficial123 Жыл бұрын
Ivi earth kwenye solar inawekwaje
@Abuassma360 Жыл бұрын
Hii no yke mtema mbona haikubali kw wasp yasema invit
@darasalaumeme7421 Жыл бұрын
Ipo mbona ndugu
@Abuassma360 Жыл бұрын
Mr number yako ya whatapp ni gani mbona hii haitaki