Baada ya kuona uhitaji wa mbegu za nguruwe tumetengeneza utaratibu huu!
Пікірлер: 8
@mulapfarm96644 ай бұрын
Jiunge kwenye Group la Whattsap tumefungua rasmi sasa! Upate bidhaa zetu bora kabisa🐷🐖🤝!
@northerntanzaniatv40334 ай бұрын
Mimi nimechimba Maji chini sasa sina umeme kwenye eneo langu nataka niweke pump sasa naomba kujua Kati ya solar na generator ipi inaweza kuwa njia nzuri yakupump maji kutoka kwenye ground hadi juu ya tank
@mulapfarm96644 ай бұрын
@@northerntanzaniatv4033 generator ya petroleum oil, inanguvu kubwa. Solar sijatumia mkuu sifahamu. Sina umeme pia shamba
@northerntanzaniatv40334 ай бұрын
@@mulapfarm9664 asante sana boss na banda moja kama lako la nguruwe limetumia bati ngapi maana naona mikubwa mno na tofali ngapi mr denis mulap?🙏
@northerntanzaniatv40334 ай бұрын
Mkuu naomba kujua kuhusu kupata maji shambani huwa mnapump kwa kutumia solar power au generi